MatendoyaMitume
SURAYA1
1Maandikoyakwanza,EeTheofilo,nimeandikajuuya mamboyoteambayoYesualianzakufanyanakufundisha. 2mpakasikuilealipochukuliwajuu,alipokwisha kuwaamurukwaRohoMtakatifuwalemitume aliowachagua;
3Ambaopiaalijidhihirishakuwahaibaadayamatesoyake kwauthibitishomwingiusiowezakukosea,akiwatokea kwamudawasikuarobaini,nakuyanenamambo yaliyohusuufalmewaMungu
4Nayealipokuwaamekusanyikapamojanao,akawaamuru wasitokeYerusalemu,baliwaingojeahadiyaBaba, ambayomlisikiakwangumimi
5KwamaanaYohanaalibatizakwamaji;lakini mtabatizwakwaRohoMtakatifubaadayasikusinyingi
6Basi,walipokutanikapamoja,wakamwuliza,wakisema, Bwana,wakatihuuutarudishaufalmekwaIsraeli?
7Akawaambia,Sikaziyenukujuanyakatiwalamajira, Babaaliyowekakatikamamlakayakemwenyewe
8Lakinimtapokeanguvu,akiishakuwajiliajuuyenuRoho Mtakatifu;nanyimtakuwamashahidiwangukatika Yerusalemu,nakatikaUyahudiwote,naSamaria,nahata mwishowanchi.
9Nayealipokwishakusemahayo,walipokuwawakitazama, alichukuliwajuu;nawingulikampokeakutokamachoni pao.
10Walipokuwawakikazamachombinguni,alipokuwa akipandajuu,tazama,watuwawiliwakasimamakaribunao, wenyemavazimeupe;
11naowakasema,EnyiwatuwaGalilaya,mbona mmesimamamkitazamambinguni?Yesuhuyu aliyechukuliwakutokakwenukwendajuumbinguni, atakujajinsiiyohiyomlivyomwonaakiendazake mbinguni.
12KishawakarudiYerusalemukutokakatikamlima uitwaoMizeituni,uliokaribunaYerusalemu,wamwendo wasabato
13Walipoingiandani,wakapandakatikachumbachajuu, ambakoPetro,Yakobo,Yohana,Andrea,Filipo,Tomaso, BartholomayonaMathayo,YakobomwanawaAlfayo,na SimoniZelotewalikuwawakikaanaYudanduguye Yakobo
14Hawawotewalikuwawakidumukwamoyommoja katikakusalinakuomba,pamojanawalewanawake,na MariamumamayakeYesu,napamojananduguzake
15SikuzilePetroakasimamakatikatiyawanafunzi, akasema,(idadiyamajinayotepamojayapatamiana ishirini)
16Nduguzangu,nilazimaandikohililitimie,ambalo RohoMtakatifualinenakwakinywachaDaudihapoawali kuhusuYuda,aliyekuwakiongoziwawalewaliomkamata Yesu.
17Kwamaanaalikuwaamehesabiwapamojanasi,akapata sehemuyahudumahii
18Basimtuhuyualinunuashambakwamalipoyauovu; akaangukachinichini,akapasukakatikati,namatumbo yakeyoteyakatoka
19Jambohilolikajulikanakwawakaziwotewa Yerusalemu;hatakondelilekwalughayaohuitwa Akeldama,yaani,Shambaladamu.
20KwamaanaimeandikwakatikakitabuchaZaburi, Makaoyakenayaweukiwa,walapasiwenamtuakae humo;
21Kwahiyokatikawatuhawawaliofuatananasiwakati woteBwanaYesualipokuwaakiingianakutokakatiyetu, 22TanguubatizowaYohanampakasikuile alipochukuliwakutokakwetu,nilazimamtummoja awekweaweshahidiwaufufuowakepamojanasi
23Wakawekawatuwawili,YusufuaitwayeBarsaba, mwenyejinalapiliYusto,naMathiya
24Wakaomba,wakasema,Wewe,Bwana,ujuayemioyo yawatuwote,utuonyesheninaniuliyemchaguakatika hawawawili;
25iliapatesehemuyahudumahiinautume,ambaoYuda aliasikwakukosa,iliaendemahalipakemwenyewe.
26Wakapigakurazao;kuraikamwangukiaMathiya;naye alihesabiwapamojanawalemitumekuminammoja
SURAYA2
1HatailipotimiasikuyaPentekostewalikuwakowote mahalipamoja
2Ghafla,sautiikasikikakutokambingunikamaupepowa nguvuukiendakasi,ukaijazanyumbayotewaliyokuwa wameketi
3Kukawatokeandimizilizogawanyika,kamandimiza moto,zikawakaliakilammojawao
4WotewakajazwaRohoMtakatifu,wakaanzakusemakwa lughanyingine,kamaRohoalivyowajaliakutamka.
5NahukoYerusalemuwalikuwakoWayahudi,watu wamchaoMungu,kutokakatikakilataifachiniyambingu 6Sautihiyoiliposikika,umatiwawatuukakusanyikana kufadhaika,kwasababukilammojaaliwasikiawakisema kwalughayakemwenyewe
7Wakashangaawote,wakastaajabu,wakiambiana,Tazama, hawawotewasemaosiWagalilaya?
8Basi,tunawezajekumsikiakilamtukatikalughayetu tuliyozaliwanayo?
9Waparthi,naWamedi,naWaelami,nawakaao Mesopotamia,naUyahudi,naKapadokia,naPonto,na Asia;
10FrugianaPamfiliakatikaMisrinasehemuzaLibia karibunaKurene,wagenikutokaRumi,Wayahudina wageuzwa-imani;
11WakretenaWaarabu,tunawasikiawakisemakwalugha zetumatendoyaajabuyaMungu
12Wakashangaawote,wakaingiwanashaka,wakiambiana, Maanayakenini?
13Wenginewakadhihakiwakisema,Watuhawa wamelewamvinyompya.
14Petroakasimamapamojanawalekuminammoja, akapazasautiyake,akawaambia,EnyiwatuwaUyahudi, naninyinyotemkaaoYerusalemu,lijuenijambohili,na sikilizenimanenoyangu
15Kwamaanawatuhawahawakulewakama mnavyodhani,kwakuwanisaatatutuyamchana.
16LakinihilindilolililonenwananabiiYoeli;
17Itakuwakatikasikuzamwisho,asemaMungu, nitawamwagiawatuwoteRohoyangu,nawanawenuna
bintizenuwatatabiri,navijanawenuwataonamaono,na wazeewenuwataotandoto.:
18Najuuyawatumishiwangunawajakaziwangusiku zilenitamiminaRohoyangu;naowatatabiri;
19Naminitafanyamaajabumbingunijuu,naisharakatika nchichini;damu,namoto,namvukewamoshi;
20Jualitageuzwakuwagiza,namwezikuwadamu,kabla haijajailesikukuunamashuhuriyaBwana.
21NaitakuwakwambakilaatakayeliitiajinalaBwana ataokolewa
22EnyiwatuwaIsraeli,sikilizenimanenohaya;Yesuwa Nazareti,mtualiyethibitishwanaMungukwenukwa miujizanamaajabunaishara,ambazoMungualizifanya kwayeyekatiyenu,kamaninyiwenyewemjuavyo;
23yeye,akiishakutolewakwashaurilililoamriwanakujua kwaketanguzamani,mkamtwaa,nakwamikonoyawaovu mkamsulibishanakumwua;
24ambayeMungualimfufua,akiufunguauchunguwa mauti,kwasababuhaikuwezekanaashikwenayo.
25KwamaanaDaudianenajuuyake,NalimwonaBwana mbeleyausowangusikuzote,kwamaanayukomkono wanguwakuume,nisitikisike.
26Kwahiyomoyowanguulifurahi,naulimiwangu ukafurahi;zaidiyahayomwiliwangunaoutakaakatika tumaini;
27Kwasababuhutaiachanafsiyangukatikakuzimu,wala hutamwachaMtakatifuwakoaoneuharibifu
28Umenijulishanjiazauzima;utanijazafurahakwauso wako
29Nduguzangu,naombaniwaambiewaziwazihabariza mzeewetuDaudi,kwambaalikufaakazikwa,nakaburi lakelikokwetuhataleo
30Kwahiyokwakuwaalikuwanabii,naakijuayakuwa Mungualimwapiakwakiapoyakwambakatikauzaowa viunovyakekwajinsiyamwiliatamketishaKristokatika kitichakechaenzi;
31Nayeakitanguliakuyaonahayo,alisemajuuyaufufuo waKristo,yakwambarohoyakehaikuachwakuzimu,wala mwiliwakehaukuonauharibifu
32HuyoYesuMungualimfufua,nasisisotenimashahidi wajambohilo
33Kwahiyo,akiwaameinuliwakwenyemkonowakuume waMungu,nakupokeakutokakwaBabaileahadiyaRoho Mtakatifu,amemiminahiimnayoonanakusikiasasa
34KwamaanaDaudihakupandambinguni,balianasema mwenyewe,BwanaalimwambiaBwanawangu,Keti mkonowanguwakuume;
35Mpakaniwawekeaduizakochiniyamiguuyako.
36KwahiyonyumbayoteyaIsraelinawajueyakini, kwambaMunguamemfanyaYesuhuyomliyemsulibisha kuwaBwananaKristo
37Waliposikiahayowakachomwamioyoyao, wakamwambiaPetronamitumewengine,Tufanyenini nduguzetu?
38Petroakawaambia,Tubuni,mkabatizwekilammoja wenukwajinalaYesuKristo,mpateondoleoladhambi zenu,nanyimtapokeakipawachaRohoMtakatifu.
39Kwamaanaahadihiinikwaajiliyenu,nakwawatoto wenu,nakwawotewaliombali,nakwawotewatakaoitwa naBwanaMunguwetu.
40Nakwamanenomenginemengialishuhudiana kuwaonyaakisema,Jiokoeninakizazihikichenyeukaidi
41Basiwalewaliolipokeanenolakewakabatizwa,nasiku ilewakaongezekawatuwapataelfutatu.
42Wakawawakidumukatikafundisholamitume,na katikaushirika,nakatikakuumegamkate,nakatikakusali.
43Kilamtuakaingiwanahofu,maajabunaisharanyingi zikafanywanamitume
44Nawotewalioaminiwalikuwapamojanakuwanavitu vyoteshirika;
45wakauzamalizaonavituvyao,wakawagawiawatu wotekamakilamtualivyokuwanahaja
46Kilasikukwamoyommojawalidumundaniyahekalu, wakimegamkatenyumbakwanyumba,nakulachakula chaokwafurahanakwamoyomweupe.
47wakimsifuMungunakuwapendezawatuwoteBwana akalizidishakanisakilasikukwawalewaliokuwa wakiokolewa.
SURAYA3
1PetronaYohanawalikuwawakikweapamojakwenda hekaluni,saayakusali,saatisa
2Namtummojakiwetetangutumbonimwamamayake alibebwa,ambayewalimwekakilasikukatikamlangowa hekaluuitwaoMzuri,iliaombesadakakwawalewaingiao ndaniyahekalu;
3NayealipowaonaPetronaYohanawakiingiaHekaluni, akawaombawapewe
4PetropamojanaYohanawakamkodoleamacho,akasema, Ututazame
5Nayeakawatazama,akitarajiakupatakitukwao
6Petroakasema,Mimisinafedhanadhahabu;lakini nilichonachondichonilichonacho;kwajinalaYesu KristowaNazareti,ondokauende
7Akamshikamkonowakuume,akamwinua;maramiguu yakenavifundovyamiguuyakevikatiwanguvu
8Kishaakaruka-ruka,akasimama,akatembea,akaingia pamojanaoHekaluni,akitembeanakuruka-rukana kumsifuMungu
9WatuwotewakamwonaakitembeanakumsifuMungu 10Wakamjuayulemtualiyekuwaakiketikutoasadaka kwenyemlangoMzuriwaHekalu;
11HuyokiweteakiwashikaPetronaYohana,watuwote wakawakimbiliakatikaukumbiuitwaowaSulemani, wakistaajabusana
12Petroalipoonahayo,akawajibumakutano,Enyiwatu waIsraeli,kwaninimnastaajabiahaya?Aumbona mnatutazamasanakanakwambakwanguvuzetuwenyewe auutakatifuwetutumemfanyamtuhuyuaende?
13MunguwaIbrahimu,nawaIsaka,nawaYakobo, Munguwababazetu,amemtukuzaMwanawakeYesu; ambayemlimsalitinakumkanambeleyaPilato,alipokuwa ameamuakumfungua.
14LakinininyimlimkanayeyealiyeMtakatifunaMwenye Haki,mkaombamruhusiwemwuaji
15mkamwuayuleMkuuwauzima,ambayeMungu alimfufuakatikawafu;ambayosisinimashahidiwake 16Najinalakekwaimanikatikajinalakelimemtianguvu mtuhuyumnayemwonanakumjua;
17Nasasa,ndugu,najuakwambamlifanyahivyokwa kutojua,kamawalivyofanyawatawalawenupia.
18LakinimamboyaleambayoMungualitangazahapo awalikwavinywavyamanabiiwakewote,kwambaKristo atateswa,ameyatimizahivyo
19Tubunibasi,mrejee,ilidhambizenuzifutwe,zipate kujanyakatizakuburudishwakwakuwakokwakeBwana; 20NayeatamtumaKristoYesuambayemlihubiriwahapo awali
21ambayembingulazimazimpokeempakanyakatiza kufanywaupyavituvyote,ambazoMungualisemakwa kinywachamanabiiwakewatakatifutanguzamani
22KwamaanaMusaaliwaambiamababa,Bwana,Mungu wenu,atawainulieninabiikatikanduguzenukamamimi; mtamsikiayeyekatikamamboyoteatakayowaambia.
23Naitakuwakwambakilamtuambayehatamsikiliza nabiihuyoataangamizwakutokamiongonimwawatu 24Naam,manabiiwotekutokakwaSamwelinawale waliomfuata,wotewalionena,walitabirivivyohivyojuu yasikuhizi
25NinyiniwanawamanabiinawaaganoambaloMungu alifanyanababazetu,akimwambiaAbrahamu,Nakatika uzaowakokabilazotezaduniazitabarikiwa
26Mungu,akiishakumfufuaMwanaweYesu,alimtuma kwenuninyikwanza,iliawabarikikwakumwepushakila mmojawenunamaovuyake
SURAYA4
1Walipokuwawakisemanawatu,makuhani,mkuuwa hekalunaMasadukayowakawajia;
2wakihuzunikakwasababuwaliwafundishawatuna kuhubiriufufuowawafukwanjiayaYesu.
3Wakawakamatanakuwawekagerezanihadikeshoyake, kwamaanailikuwajioni
4Lakiniwengikatikawalewaliosikialilenenowaliamini; nahesabuyawanaumeilikuwakamaelfutano
5Keshoyakewatawalawao,wazeenawalimuwaSheria
6KuhaniMkuuAnasi,Kayafa,Yohana,Aleksandana watuwotewajamaayakuhanimkuu,walikusanyikahuko Yerusalemu
7Wakawawekakatikatiwakawauliza,Nikwanguvugani aukwajinaganimmefanyahaya?
8Petro,akiwaamejaaRohoMtakatifu,akawaambia,Enyi watawalawawatunawazeewaIsraeli!
9Ikiwasisileotunachunguzwajuuyatendojema alilofanyiwayuleasiyenauwezo,jinsianavyofanywa kuwamzima;
10naijulikanekwenunyotenakwawatuwotewaIsraeli, yakwambakwajinalaYesuKristowaNazareti,ambaye ninyimlimsulubisha,ambayeMungualimfufuakatika wafu,kwajinahilomtuhuyuanasimamahapambeleyenu akiwamzima
11Huyundiyejiwelililodharauliwananinyiwaashi, ambalolimekuwajiwekuulapembeni
12Walahakunawokovukatikamwingineawayeyote,kwa maanahapanajinajinginechiniyambinguwalilopewa wanadamulitupasalosisikuokolewakwalo
13BasiwalipoonaujasiriwaPetronaYohana,na kuwafahamuyakuwaniwatuwasionaelimu,wasiona maarifa,wakastaajabu;wakawatambuayakuwawalikuwa pamojanaYesu.
14Walipomwonayulemtualiyeponywaamesimama pamojanao,hawakuwezakusemalolotedhidiyake
15LakiniwalipokwishakuwaamuruwatokenjeyaBaraza, wakafanyashauriwaokwawao.
16wakisema,Tufanyenininawatuhawa?Maananiwazi kwambamuujizamashuhuriumefanywanao,nidhahiri kwawotewakaaoYerusalemu.nahatuwezikukataa.
17Lakiniilijambohilolisieneezaidikatiyawatu,na tuwaonyesanawasisemenamtuyeyotekutokasasakwa jinahilo.
18Wakawaitanakuwaamuruwasisemekabisawala kufundishakwajinalaYesu
19PetronaYohanawakajibu,wakawaambia,Je!
20Kwamaanasisihatuwezikuachakusemayale tuliyoyaonanakuyasikia.
21Basi,walipozidikuwatisha,wakawaachawaendezao, bilakupatachochotechakuwaadhibukwaajiliyawatu; 22Kwamaanamtuhuyoalikuwanaumriwazaidiya miakaarobaini,ambayeisharahiyoyauponyaji ilionyeshwa
23Walipoachiliwawakaendakwawenzao,wakatoataarifa yamamboyoteambayomakuhaniwakuunawazee walikuwawamewaambia
24WaliposikiahivyowalipazasautizaokwaMungukwa moyommoja,wakasema,“Bwana,wewendiweMungu, uliyezifanyambingunanchinabaharinavyotevilivyomo
25Weweuliyesemakwakinywachamtumishiwako Daudi,‘Kwaninimataifawanafanyaghasia,nawatu kufikiriaubatili?
26Wafalmewaduniawalisimama,nawatawala walikusanyikapamojadhidiyaBwananadhidiyaKristo wake
27KwamaananikweliHerodenaPontioPilatopamojana watuwamataifanawatuwaIsraeliwalikuwa wamekusanyikapamojadhidiyaMwanawakomtakatifu Yesu,uliyemtiamafuta.
28ilikufanyayoteambayomkonowakonamashauriyako ulikusudiatanguzamaniyatendeke
29Nasasa,Bwana,tazamavitishovyao,ukawajalie watumishiwakokunenanenolakokwaujasiriwote;
30kwakunyoshamkonowakokuponya;naisharana maajabuyafanyikekwajinalamtotowakomtakatifuYesu.
31Walipokwishakusali,mahalipalewalipokusanyika pakatikiswa;wotewakajazwaRohoMtakatifu,wakanena nenolaMungukwaujasiri.
32Namakutanoyawalewalioaminiwalikuwanamoyo mmojanarohomoja;lakiniwalikuwanavituvyoteshirika 33Namitumewakatoaushahidikwanguvunyingijuuya ufufuowaBwanaYesu,naneemakubwaikawajuuyao wote.
34Walahapakuwanamtuyeyotemiongonimwao aliyepungukiwa; 35Wakaviwekamiguunipamitume; 36naYosefu,aliyeitwanamitumeBarnaba,(maanayake, MwanawaFaraja),Mlawi,mwenyejiwaKipro; 37Alikuwanashamba,akaliuza,akaziletazilefedha, akaziwekamiguunipamitume
SURAYA5
1LakinimtummojaaitwayeAnania,pamojanaSafira mkewe,aliuzashambalake.
2Akabakizasehemuyathamaniyake,mkewenayeakijua habarizake,akaletasehemufulaninakuiwekamiguunipa mitume
3Petroakasema,Anania,kwaniniShetaniamekujaza moyowakokumwambiauongoRohoMtakatifu,nakuzuia kwasirisehemuyathamaniyakiwanja?
4Ilipokuwabado,haikuwayakomwenyewe?nabaadaya kuuzwahaikuwakatikauwezowakomwenyewe?mbona umetianenohilimoyonimwako?hukusemauongokwa wanadamu,balikwaMungu
5Ananiaaliposikiamanenohayoakaangukachini,akakata roho;
6Vijanawakaamka,wakamfunganguo,wakamchukuanje, wakamzika
7Ikawayapatasaatatubaadaye,mkewake,bilakujua yaliyotukia,akaingia.
8Petroakamwambia,Niambiekamamliuzakiwanjakwa kiasihiki?Akasema,Ndiyo,kwakiasihiki
9Petroakamwambia,Imekuwajemmepatanapamoja kumjaribuRohowaBwana?tazama,miguuyao waliomzikamumeoikomlangoni,naowatakuchukuanje
10Maraakaangukachinimiguunipake,akakataroho; vijanawakaingia,wakamkutaamekufa,wakamchukuanje, wakamzikakaribunamumewe
11Hofukubwaikajajuuyakanisalotenawotewaliosikia haya
12Nakwamikonoyamitumeisharanamaajabu yalifanyikakatikawatu;(nawotewalikuwakokwania mojakatikaukumbiwaSulemani
13Walawenginehakunamtualiyethubutukujiunganao, lakiniwatuwaliwatukuza.
14WauminiwakazidikuongezekakwaBwana,idadi kubwayawanaumenawanawake)
15Hatawakawatoanjewagonjwanjiani,wakawalazajuu yavitandanamakochi,iliPetroakipitaangalaukivuli chakekiwekivulichabaadhiyao
16Umatimkubwawawatukutokakatikamijiya kandokandoyaYerusalemuukaja,wakiwaletawagonjwa nawatuwaliosumbuliwanapepowachafu,nao wakaponywakilammoja.
17KishaKuhaniMkuunawotewaliokuwapamojanaye, ambaoniwamadhehebuyaMasadukayo,wakasimama, wakajaaghadhabu.
18Wakawakamatamitumenakuwawekagerezani
19LakinimalaikawaBwanausikuakaifunguamilangoya gereza,akawatoanje,akasema, 20Nendeni,mkasimameHekaluninakuwaambiawatu manenoyoteyamaishahaya.
21Waliposikia,waliingiaHekaluniasubuhinamapema, wakafundishaLakiniKuhaniMkuunawalewaliokuwa pamojanayewakaja,wakakusanyaBarazalaBarazana BarazalotelaWaisraeli,wakatumawatugerezaniili waletwe
22Lakiniwalewalinziwalipofikanahawakuwakuta gerezani,walirudinakutoataarifa
23wakisema,Gerezatulilionalimefungwakwausalama wote,nawalinziwamesimamanjembeleyamilango; 24Kuhanimkuunamkuuwawalinziwahekaluna makuhaniwakuuwaliposikiahayo,wakawanashakajuu yaonininikingetokea?
25Kishamtummojaakajanakuwaambia,akisema, Tazameni,walewatumliowawekagerezaniwamesimama Hekaluniwakiwafundishawatu
26Basijemadariakaendapamojanawalinzi,wakawaleta bilanguvu,kwamaanawaliogopawatuwasijewakapigwa kwamawe
27Baadayakuwaleta,wakawawekambeleyaBaraza KuhaniMkuuakawauliza, 28Akasema,Je!natazama,mmejazaYerusalemu mafundishoyenu,namnakusudiakuletadamuyamtuhuyu juuyetu
29Petronawalemitumewakajibu,wakasema,Imetupasa kumtiiMungukulikowanadamu.
30MunguwababazetualimfufuaYesuambayeninyi mlimwuanakumtundikajuuyamti
31MtuhuyoMunguamemtukuzakwamkonowakewa kuume,aweMkuunaMwokozi,awapeWaisraelitobana msamahawadhambi
32Nasisitumashahidiwamambohaya;Vivyohivyona RohoMtakatifuambayeMunguamewapawalewanaomtii
33Waliposikiahivyowalichomwamioyoyao,wakafanya shaurilakuwaua.
34KishaFarisayommojaaitwayeGamalieli,ambaye alikuwamwalimuwaSheria,aliyeheshimikanawatuwote, akasimamakatikabaraza,akaamuruwalemitume watolewenjekwamuda
35Akawaambia,EnyiwatuwaIsraeli,jihadharinininyi wenyewemnalokusudiakuwatendawatuhawa.
36KwamaanakablayasikuhizialiondokaTheuda, akijisifukuwayeyenimtumkuu;ambayehesabuyawatu wapatamiannewalijiunganaye;nawotewaliomtii wakatawanyikanakuangamizwa
37BaadayamtuhuyoakainukaYudawaGalilaya,sikuza uandikishaji,akawavutawatuwamfuate;nawotewaliomtii wakatawanyika
38Basisasanawaambia,Jiepusheninawatuhawa, waacheni;
39LakiniikiwaimetokakwaMungu,hamwezi kuiangamiza;msijemkaonekanakuwamnapiganana Mungu.
40Wakamkubalia,naowakawaitamitume,wakawapiga, wakawaamuruwasisemekwajinalaYesu,wakawaacha waendezao.
41Naowakatokanjeyailebaraza,wakishangiliakwa sababuwamehesabiwakuwawamestahilikuteswakwaajili yajinalake.
42Nakilasikukatikahekalunakilanyumbahawakuacha kufundishanakuhubirihabarinjemazaYesuKristo.
SURAYA6
1Sikuzile,wanafunziwalipokuwawakiongezekahesabu, palikuwanamanung'unikoyawatuwaliosemaKigirikijuu yaWaebrania,kwasababuwajanewaowalisahauliwa katikahudumayakilasiku
2KishawaleThenasharawakawaitaumatiwawanafunzi, wakasema,SivemasisikuliachanenolaMunguna kuhudumumezani
3Kwahiyo,ndugu,chagueniwatusabamiongonimwenu walioshuhudiwakuwawema,waliojaaRohoMtakatifuna hekima,ilituwawekejuuyakazihii
4Lakinisisitutadumukatikamaombinahudumayaneno
5Nenohilolikapendezaumatiwote,naowakamchagua Stefano,mtualiyejaaimaninaRohoMtakatifu,naFilipo, naProkoro,naNikanori,naTimoni,naParmena,na Nikolaomgeuzwa-imaniwaAntiokia; 6wakawawekambeleyamitume,naowalipokwisha kuomba,wakawekamikonoyaojuuyao
7NenolaMungulikaongezeka;nahesabuyawanafunzi ikazidisanakatikaYerusalemu;nakundikubwala makuhaniwakaitiiimani
8NayeStefano,akiwaamejaaimaninauwezo,alifanya maajabunaisharakubwakatiyawatu
9KishawakasimamabaadhiyasunagogiliitwalolaWatu Huru,nalaWakirene,nalaWaaleksandria,nalawalewa KilikianaAsia,wakibishananaStefano
10Lakinihawakuwezakushindananailehekimanaroho ambayoalikuwaakisemanaye.
11Kishawakawashawishiwatuwaseme,Tumemsikia akisemamanenoyakumtukanaMusanaMungu
12Wakawachocheawatu,wazeenawalimuwaSheria, wakamwendea,wakamkamata,wakampelekakwenye baraza
13wakasimamishamashahidiwauongowaliosema,Mtu huyuhaachikusemamanenoyakufurujuuyamahalihapa patakatifunajuuyasheria;
14KwamaanatumemsikiaakisemakwambaYesuhuyo waNazaretiatapaharibumahalihapanakuzibadilidesturi ambazoMusaalitukabidhi
15NawotewalioketikatikaileBarazawakamkaziamacho, wakauonausowakekamausowamalaika
SURAYA7
1KuhaniMkuuakasema,Je!
2Akasema,Nduguzangunaakinababa,sikilizeni;Mungu wautukufualimtokeababayetuIbrahimu,alipokuwa katikaMesopotamia,kablahajakaaHarani; 3akamwambia,Ondokakatikanchiyako,najamaazako, uendempakanchinitakayokuonyesha
4NdipoakatokakatikanchiyaWakaldayo,akakaaHarani; 5Walahakumpaurithindaniyake,hatapakuwekamguu wake;lakinialiahidikwambaatampaiwemilkiyake,naya uzaowakebaadayake,alipokuwabadohanamtoto 6Munguakasemahivi,Wazaowakewatakaakatikanchi yaugeni;nakuwatiautumwaninakuwatesamiakamianne 7Nataifalilewatakaokuwawatumwanitawahukumu mimi,asemaMungu;
8Akampaaganolatohara,nahivyoIbrahimuakamzaa Isaka,akamtahirisikuyanane;IsakaakamzaaYakobo;na Yakoboakawazaawazeekuminawawili
9WalewazeewaukoowakamwoneaYosefuwivu, wakamuuzampakaMisri,lakiniMungualikuwapamoja naye.
10akamwokoakatikataabuzakezote,akampakibalina hekimamachonipaFarao,mfalmewaMisri;naye akamwekakuwaliwalijuuyaMisrinanyumbayakeyote
11KukawananjaakatikanchiyoteyaMisrinaKanaani, nadhikinyingi,nababazetuhawakupatariziki.
12YakoboaliposikiakwambahukoMisrikulikuwana nafaka,aliwatumababazetukwanza
13MarayapiliYusufualijulikanakwanduguzake;na jamaayaYusufuikajulishwakwaFarao
14YusufuakatumawatukumwitaYakobobabayakena jamaazakewote,watusabininawatano.
15YakoboakashukampakaMisri,akafa,yeyenababa zetu;
16WakachukuliwampakaShekemu,wakawekwakatika kaburiambaloAbrahamualinunuakwakiasichafedha kutokakwawanawaHamori,babawaShekemu 17HataulipokaribiawakatiwaileahadiambayoMungu alikuwaamemwapiaAbrahamu,watuwakazidi kuongezekanakuongezekakatikanchiyaMisri 18MpakamfalmemwingineakainukaasiyemjuaYosefu 19Huyoaliwatendeajamaazetukwahila,akawatesababa zetukwakuwatupawatotowaowachanga,iliwasiishi.
20WakatihuoMusaalizaliwa,nayealikuwamzurisana, akalelewakatikanyumbayababayakemudawamiezi mitatu.
21Alipotupwanje,bintiFaraoakamchukuanakumlea kamamwanawe
22MusaakafundishwahekimayoteyaWamisri,akawa hodariwamanenonamatendo
23Hataalipokuwanaumriwamiakaarobaini,ikaja moyonimwakekuwatazamanduguzake,wanawaIsraeli.
24Alipoonammojawaoakidhulumiwa,akamteteana kulipizakisasikwayulealiyeonewanakumpigayule Mmisri.
25AlidhanikwambanduguzakewataelewajinsiMungu atakavyowaokoakwamkonowake,lakiniwao hawakuelewa.
26KeshoyakeYesuakawatokeawalipokuwa wakishindana,akatakakuwapatanishaakisema,Bwana, ninyinindugu;kwaninimnadhulumuninyikwaninyi?
27Lakiniyulealiyemdhulumujiraniyakeakamsukuma, akisema,Ninanialiyekuwekawewekuwamkuuna mwamuzijuuyetu?
28Je!watakakuniuakamaulivyomwuayuleMmisrijana?
29BasiMusakwanenohiloakakimbia,akakaamgeni katikanchiyaMidiani,hapoakazaawanawawili.
30Miakaarobainiilipotimia,malaikawaBwana akamtokeakatikajangwalamlimaSinaikatikamwaliwa motokatikakijiti.
31Musaalipoyaonahayo,alistaajabiamaonohayo; 32akisema,MiminiMunguwababazako,Munguwa Ibrahimu,naMunguwaIsaka,naMunguwaYakobo. NdipoMusaakatetemeka,asithubutukutazama
33Bwanaakamwambia,Vuaviatuvyakomiguunimwako, maanamahalihapounaposimamaninchitakatifu.
34Nimeona,nimeonamatesoyawatuwanguwalioko Misri,naminimesikiakuuguakwao,naminimeshukaili kuwaokoaNasasanjoo,nitakutumaMisri
35Musahuyuwaliyemkataawakisema,Ninani aliyekuwekakuwamkuunamwamuzi?huyoMungu alimtumaawemtawalanamwokozikwamkonowa malaikaaliyemtokeakwenyekilekichaka
36Ndiyealiyewatoa,baadayakufanyamaajabunaishara katikanchiyaMisri,nakatikaBahariyaShamu,nakatika jangwamiakaarobaini
37HuyondiyeMusaaliyewaambiawanawaIsraeli, Bwana,Munguwenu,atawainulieninabiikatikandugu zenukamamimi;msikieniyeye
38Huyundiyealiyekuwakatikakanisakulejangwani pamojanayulemalaikaaliyesemanayekatikamlimawa Sinai,napamojanababazetu;
39ambayebabazetuhawakumtii,baliwakamsukumia mbali,namioyonimwaowakarejeatenaMisri; 40wakimwambiaHaruni,Tufanyiemiunguitutangulie; kwamaanahuyoMusa,aliyetutoakatikanchiyaMisri, hatujuiyaliyompata.
41Wakatengenezandamasikuzile,wakaitoleadhabihu hiyosanamu,wakafurahikwaajiliyakazizamikonoyao wenyewe.
42Munguakageuka,akawaachawaabudujeshila mbinguni;kamailivyoandikwakatikakitabuchamanabii, EnyinyumbayaIsraeli,je!
43Naam,mlichukuahemayaMoleki,nanyotayamungu wenuRefani,sanamumlizozifanyailikuziabudu;nami nitawahamishampakaBabeli
44Babazetuwalikuwanahemayaushuhudakule jangwani,kamaalivyoamuru,akisemanaMusa,aifanye kwaulemfanoaliokuwanao
45ambayopiababazetuwalioifuatawaliiingizapamojana Yesukatikamilkiyawatuwamataifa,ambaoMungu aliwafukuzambeleyausowababazetu,hatasikuzaDaudi; 46ambayealipatakibalimbelezaMungu,nayeakataka amtafutieMunguwaYakobohema.
47LakiniSulemanialimjengeanyumba
48LakiniAliyejuuhakaikatikamahekaluyaliyojengwa kwamikono;kamaasemavyonabii,
49Mbingunikitichanguchaenzi,nadunianimahalipa kuwekamiguuyangu:mtanijengeanyumbagani?asema Bwana;aunimahaliganipakupumzikakwangu?
50Je!simkonowanguuliofanyavituhivivyote?
51Enyiwenyeshingongumunamsiotahiriwamioyona masikio,sikuzotemnampingaRohoMtakatifu;
52Niyupikatiyamanabiiambayebabazenu hawakumtesa?nawamewauawalewaliotanguliakusema juuyakujakwakeMwenyeHaki;ambayesasammekuwa wasalitinawauajiwake;
53Ninyimliipokeasheriakwauwezowamalaika,wala hamkuishika.
54Waliposikiahayowalichomwamioyoyao,wakamsagia meno
55LakiniyeyeakiwaamejaaRohoMtakatifu,akakaza machoyakembinguni,akauonautukufuwaMunguna YesuamesimamaupandewakuliawaMungu
56akasema,Tazama,naonambinguzimefunguka,na MwanawaAdamuamesimamaupandewamkonowa kuumewaMungu
57Wakaliakwasautikuu,wakazibamasikioyao, wakamrukiakwaniamoja
58wakamtupanjeyamji,wakampigakwamawe;nao mashahidiwakawekanguozaomiguunipakijanammoja jinalakeSauli
59WakampigamaweStefano,akiombanakusema,Bwana Yesu,pokearohoyangu.
60Akapigamagoti,akaliakwasautikuu,Bwana, usiwahesabiedhambihiiNayealipokwishakusemahayo, akalala
SURAYA8
1SaulialikuwaakikubalikuuawakwakeWakatihuo palikuwanamatesomakubwajuuyakanisalililokuwako Yerusalemu;nawotewakatawanyikakatikasehemuza UyahudinaSamaria,isipokuwamitume
2WatuwaliomchaMunguwakamchukuaStefanohadi kumzika,wakamfanyiamaombolezomakuu.
3NayeSaulialiliharibukanisa,akiingiakilanyumba, akiwavutawanaumekwawanawakenakuwatiagerezani.
4Basiwalewaliotawanyikawakaendahukonahuko wakilihubirineno
5FilipoakashukampakamjiwaSamaria,akawahubiria Kristokwao.
6Umatiwawatukwaniamojawakasikilizayale aliyosemaFilipo,waliposikianakuzionaishara alizozifanya
7Kwamaanapepowachafuwaliwatokawatuwengi waliopagawanaowakiliakwasautikuu;
8Kukawanafurahakubwakatikamjiule
9LakinipalikuwanamtummojaaitwayeSimoni,ambaye hapoawalialikuwaakifanyauchawikatikamjiule, akiwashangazawatuwaSamaria,akijionakuwamtumkuu
10ambaowotewalimsikiliza,tangumdogohatamkubwa, wakisema,MtuhuyuniuwezamkuuwaMungu.
11Naowalimjalikwasababukwamudamrefualikuwa amewalogakwauchawi
12LakiniwalipomwaminiFilipo,akihubirijuuyaUfalme waMungunajinalaYesuKristo,wakabatizwa,wanaume nawanawake
13Simonimwenyewealiamini,nayealipobatizwa, akadumupamojanaFilipo,akistaajabiamiujizanaishara zilizokuwazikifanyika
14MitumewaliokuwakuleYerusalemuwaliposikia kwambaSamariaimelipokeanenolaMungu,waliwatuma kwaoPetronaYohana
15naowaliposhukawaliwaombeailiwampokeeRoho Mtakatifu;
16(Kwamaanabadohajawashukiahatammojawao,bali walibatizwatukwajinalaBwanaYesu.)
17Kishawakawekamikonoyaojuuyao,naowakapokea RohoMtakatifu
18SimonialipoonayakuwawatuwanapewaRoho Mtakatifukwakuwekewamikonoyamitume,akawatolea fedha
19akisema,Nipenimiminamimiuwezohuu,ilikila nitakayemwekeamikono,apokeeRohoMtakatifu
20Petroakamwambia,Pesayakonaipoteleembalipamoja nawe,kwakuwaumedhaniakuwakaramayaMungu inawezakununuliwakwafedha
21Hunasehemuwalahunasehemukatikajambohili,kwa maanamoyowakosisawamachonipaMungu.
22Basi,tubuubayawakohuu,umwombeMungu,ililabda usamehewefikirazamoyowako.
23Kwamaananaonaweweukatikauchunguwauchungu, nakatikakifungochauovu
24Simoniakajibu,akasema,NiombeenikwaBwana,nisije nikapatahatamojawapoyahayomliyosema.
25Naowalipokwishakutoaushahidinakulihubirinenola Bwana,walirudiYerusalemunakuhubiriInjilikatikavijiji vingivyaWasamaria
26MalaikawaBwanaakanenanaFilipo,akamwambia, Ondoka,uendekusinikwenyenjiaishukayokutoka YerusalemukwendaGaza,nayoninyika
27Akasimama,akaendazake;natazama,mtuwaKushi, towashimwenyemamlakachiniyaKandakemalkiawa Kushi,mwenyekusimamiahazinayakeyote,naye amekujaYerusalemukuabudu
28Alikuwaanarudinaameketikatikagarilakeakisoma kitabuchanabiiIsaya.
29RohoakamwambiaFilipo,Nendakaribunagarihili ukashikamanenalo.
30Filipoakamkimbilia,akamsikiaakisomakitabucha nabiiIsaya,akasema,Je!
31Akasema,Nitawezajemtuasiponiongoza?Akamwomba Filipoapandenakuketipamojanaye.
32SehemuyaMaandikoaliyoisomanihii:Alichukuliwa kamakondookwendamachinjoni;nakamamwana-kondoo aliyebubumbeleyamkatamanyoyayake,ndivyo hakufunguakinywachake;
33Katikaunyongewakehukumuyakeiliondolewa,nani naniatakayetangazakizazichake?maanauhaiwake umeondolewaduniani
34YuletowashiakamjibuFilipo,akauliza,Nakuomba, nabiianasemahayajuuyanani?juuyakemwenyewe,au juuyamtumwingine?
35Filipoakafunguakinywachake,akaanzakatikaandiko lilohilo,akamhubirihabarinjemazaYesu
36Walipokuwawakiendeleanasafari,walifikamahali penyemaji;towashiakasema,Tazama,majihaya;ninini kinachonizuianisibatizwe?
37Filipoakasema,Ukiaminikwamoyowakowote, inawezekana.Nayeakajibu,akasema,Naaminiyakwamba YesuKristoniMwanawaMungu
38Yesuakaamurulilegarilisimame;naowakashukawote wawilimajini,Filiponayuleofisa;nayeakambatiza.
39Walipopandakutokamajini,RohowaBwana akamnyakuaFilipo,yuletowashiasimwonetena;
40LakiniFilipoalionekanaAzoto,nayeakipitaakipita akihubirikatikamijiyotehataakafikaKaisaria
SURAYA9
1Sauli,alipokuwaakiendeleakutoavitishonamauaji dhidiyawanafunziwaBwana,akaendakwaKuhaniMkuu. 2akamwombabaruazakwendaDamaskokwamasinagogi, iliakionamtuyeyotewaNjiahii,wanaumekwawanawake, awaletewakiwawamefungwampakaYerusalemu.
3Hataalipokuwaakisafiri,akakaribiaDamasko,na ghafulanurukutokambinguniikamwangazapandezote 4Akaangukachini,akasikiasautiikimwambia,Sauli,Sauli, kwaniniunaniudhi?
5Akasema,Unaniwewe,Bwana?Bwanaakasema,Mimi ndimiYesuunayeniudhiwewe; 6Nayeakitetemekanakustaajabuakasema,Bwana, watakanifanyenini?Bwanaakamwambia,Ondoka,uingie mjini,naweutaambiwaunachopaswakufanya
7Nawalewatuwaliosafiripamojanayewakasimama kimya,wakisikiasauti,lakinihawakumwonamtu
8Sauliakainukakatikanchi;namachoyake yalipofumbuliwahakuonamtu;lakiniwakamshikamkono, wakampelekaDameski
9Akakaasikutatuhaoni,walahakulawalakunywa
10KulikuwanamfuasimmojahukoDamasko,jinalake Anania;Bwanaakamwambiakatikamaono,Anania. Akasema,Tazama,nikohapa,Bwana
11Bwanaakamwambia,Ondoka,uendekatikanjiaiitwayo Nyofu,ukaulizekatikanyumbayaYudamtuaitwayeSauli, waTarso;
12nayeamemwonamtuaitwayeAnaniaakiingiana kumwekeamkonoiliapatekuonatena.
13Ananiaakajibu,Bwana,nimesikiakwawengihabariza mtuhuyu,jinsimaovumengialiyowatendawatakatifu wakohukoYerusalemu.
14Nahapaanamamlakakutokakwamakuhaniwakuu kuwatianguvuniwotewanaoliitiajinalako
15LakiniBwanaakamwambia,Nendazako;
16Kwamaananitamwonyeshajinsiimpasavyokuteswa kwaajiliyajinalangu
17Ananiaakaendazake,akaingianyumbani;akaweka mikonoyakejuuyakeakasema,NduguSauli,Bwana, Yesu,yeyealiyekutokeakatikanjiauliyoijia,amenituma, upatekuonatena,nakujazwaRohoMtakatifu
18Maravikaangukamachonipakekamamagamba, akapatakuonamara,akasimama,akabatizwa.
19Alipopatachakula,alitiwanguvuBasi,Saulialikuwa pamojanawanafunzihukoDamaskosikukadhaa
20MaraakaanzakuhubiriKristokatikamasunagogi, kwambayeyeniMwanawaMungu
21Lakiniwotewaliomsikiawalishangaa,wakasema;Je! huyusiyeyulealiyewaangamizawalewalioliitiajinahili kuleYerusalemu,naalikujahapakwaniahiyo,iliawatie wafungwakwawakuuwamakuhani?
22LakiniSauliakazidikupatanguvu,akawatiafadhaa WayahudiwaliokaaDamasko,akithibitishakwambahuyu ndiyeKristo
23Baadayasikunyingikupita,Wayahudiwalifanya shaurilakumwua
24LakinimpangowaohuoulijulikananaSauliWakalinda malangomchananausikuiliwamwue.
25Kishawanafunziwakamchukuausiku,wakamteremsha ukutanikatikakapu
26SaulialipofikaYerusalemualijaribukujiungana wanafunzi,lakiniwotewalimwogopanahawakuamini kwambayeyenimfuasi
27LakiniBarnabaakamchukua,akampelekakwamitume, akawaelezajinsialivyomwonaBwananjiani,najinsi alivyosemanaye,najinsialivyohubirikwaujasirikatika DamaskokatikajinalaYesu.
28Nayealikuwapamojanao,akiingianakutokahuko Yerusalemu
29NayealizungumzakwaujasirikatikajinalaBwana YesunakubishananaWagiriki,lakiniwaowalitaka kumwua
30Nduguwalipojuajambohilo,wakampelekaKaisaria, wakampelekaTarso
31BasikanisakatikaUyahudiwotenaGalilayana Samarialikawanautulivu,likajengwawakaenendakatika kichochaBwananafarajayaRohoMtakatifu
32IkawaPetroalipokuwaakizunguka-zungukapandezote, alitelemkiapiakwawatakatifuwaliokaaLida.
33HukoakamkutamtummojaaitwayeEnea,ambayekwa mudawamiakaminanealikuwaamelalakitandanimwake, nayeamepooza
34Petroakamwambia,Enea,YesuKristoanakuponya; Nayeakainukamaramoja.
35WatuwotewaliokaaLidanaSaroniwalimwona, wakamgeukiaBwana
36HukoYafapalikuwanamfuasimmojaaitwayeTabitha, tafsiriyakeniDorkasi
37Ikawasikuzilealikuwahawezi,akafa;
38KwakuwaLidailikuwakaribunaYafa,naowanafunzi waliposikiakwambaPetroalikuwahuko,wakatumawatu wawilikwakeilikumwombaasikawiekujakwao
39Petroakainuka,akaendapamojanao.Alipofika wakampelekakatikachumbachajuu,nawajanewote wakasimamakaribunayewakilianakuonyeshakanzuna nguoambazoDorkasialikuwaakitengenezaalipokuwa pamojanao.
40Petroakawatoanjewote,akapigamagoti,akaomba; akaugeukiaulemwili,akasema,Tabitha,inuka Akafumbuamachoyake,naalipomwonaPetro,akaketi
41Akampamkono,akamwinua,akawaitawalewatuwa Mungunawajaneakamwekambeleyaoakiwahai.
42HabarihiyoikajulikanakatikaYopayote;nawengi wakamwaminiBwana
43IkawaalikaasikunyingihukoYafapamojanaSimoni mtengenezajiwangozi
SURAYA10
1PalikuwanamtuKaisaria,jinalakeKornelio,akidawa kikosikiitwachoKiitaliano; 2mtumtauwa,mchajiwaMungu,yeyenanyumbayake yote,nayealikuwaakiwapawatusadakanyingi,na kumwombaMungudaima.
3Akaonakatikamaonodhahiriyapatasaatisayamchana, malaikawaMunguakimjianakumwambia,Kornelio!
4Alipomtazamaakaogopa,akasema,Kunanini,Bwana? Akamwambia,Salazakonasadakazakozimefikajuuna kuwaukumbushombelezaMungu
5SasatumawatuYafawakamwitemtummojaaitwaye Simoni,aitwayepiaPetro
6YeyeanakaakwaSimonimtengenezajiwangoziambaye nyumbayakeikokandoyabahari,yeyeatakuambia unachopaswakufanya
7MalaikaaliyesemanaKornelioalipokwishakuondoka, aliwaitawawiliwawatumishiwakewanyumbani,na askarimmojamtauwakatikawalewaliomtumikiadaima; 8Nayealipokwishakuwaelezamambohayoyote, akawatumaYafa.
9Keshoyakewalipokuwawakisafirinakuukaribiamji, Petroalipandajuuyadariyanyumbamnamosaasita kusali.
10Akaonanjaasana,akatakakula;
11Akaonambinguzimefunguka,nachombokimoja kikimshukia,kamashukakubwailiyosokotwakatika pembenne,kikishushwahatanchi;
12Ndaniyakemlikuwanakilanamnayawanyamawa nchiwenyemiguuminne,nawanyamawamwituni,na vitambaavyo,nandegewaangani
13Sautiikamjia,Petro,inuka;kuuanakula
14Petroakasema,Sivyo,Bwana;kwamaanasijakula kamwekitukilichokichafuaunajisi
15Ilesautiikamwambiatenamarayapili,VileMungu alivyovitakasa,usiviitenajisi
16Jambohilililifanyikamaratatu,nakilechombo kikachukuliwatenajuumbinguni.
17Petroakiwabadoanashakandaniyanafsiyakemaana yamaonohayaaliyoyaona,tazama,walewatuwaliotumwa naKorneliowalikuwawameiulizianyumbayaSimoni, wakasimamambeleyalango;
18WakapigakelelenakuulizakamaSimoniaitwayePetro anakaapale.
19Petroalipokuwaakiwazajuuyamaonohayo,Roho akamwambia,Tazama,watuwatatuwanakutafuta.
20Basi,simama,ushuke,uendepamojanao,bilamashaka yoyote,kwamaananimiminiliyewatuma
21NdipoPetroakateremkakwawalewatuwaliotumwa kwakenaKornelio;akasema,Tazama,mimindiye mnayemtafuta;kwasababuganimmekuja?
22Wakasema,JemadariKornelio,mtumwadilifu,mchaji waMungu,mwenyesifanjemakatikataifalotela Wayahudi,alionywanaMungunamalaikamtakatifuili akutumeuendenyumbanikwakenakusikiliza.maneno yako
23Kishaakawaitandani,akawakaribishaKeshoyake Petroakaendapamojanao,nandugufulanikutokaYafa wakafuatananaye
24KeshoyakewakaingiaKaisariaNaKornelioalikuwa akiwangojea,naalikuwaamewaitapamojajamaazakena marafikiwakaribu
25Petroalipokuwaanaingia,Kornelioakamlaki, akaangukamiguunipakenakumsujudia.
26LakiniPetroakamwinua,akisema,Simama;Mimi mwenyewepianimwanaume
27Alipokuwaakizungumzanayeakaingiandani, akawakutawatuwengiwamekusanyika
28Akawaambia,Ninyimnajuayakuwasihalalikwamtu aliyeMyahudikushirikiananamtuwataifalingine,au kumwendea;lakiniMunguamenionyanisimwitemtu yeyotenajisiaunajisi
29Kwahiyonilikujakwenubilakukanusha,nilipoitwa.
30Kornelioakasema,Sikunnezilizopitanilikuwanafunga hatasaahii;nasaatisanaliombanyumbanimwangu,na tazama,mtuakasimamambeleyangumwenyemavazi yenyekung'aa;
31akasema,Kornelio,salayakoimesikiwa,nasadaka zakozimekumbukwambelezaMungu.
32Basi,tumawatuYopaukamwiteSimoniaitwayePetro; anakaakatikanyumbayaSimonimtengenezajiwangozi kandoyabahari.
33Basimaranikatumakwako;naweumefanyavyemakuja BasisasasisisotetukohapambelezaMunguilikuyasikia yoteambayoMunguamekuamuru.
34Petroakafumbuakinywachake,akasema,Hakika natambuayakuwaMunguhanaupendeleo;
35Lakinikatikakilataifamtuamchayenakutendahaki hukubaliwanaye
36NenolileMungualilotumakwawanawaIsraeli akihubiriamanikwaYesuKristo(yeyeniBwanawawote)
37MnajuanenolilelililoeneakatikaUyahudiwote, lilianzaGalilaya,baadayaubatizoaliokuwaakihubiri Yohana;
38JinsiMungualivyomtiamafutaYesuwaNazaretikwa RohoMtakatifunanguvukwamaanaMungualikuwa pamojanaye
39Nasisitumashahidiwamamboyotealiyoyafanya katikanchiyaWayahudinakatikaYerusalemu;ambaye walimwuanakumtundikajuuyamti;
40HuyoMungualimfufuasikuyatatu,akamdhihirisha waziwazi;
41sikwawatuwote,balikwamashahidiwaliochaguliwa tanguawalinaMungu,sisituliokulanakunywapamoja nayebaadayakufufukakwakekutokakwawafu
42Nayealituamurutuhubirikwawatunakushuhudia kwambayeyendiyealiyewekwarasminaMungukuwa mwamuziwawaliohainawafu
43Huyomanabiiwotehumshuhudia,yakwambakwajina lakekilaamwaminiyeatapataondoleoladhambi.
44Petroalipokuwabadoanasemamanenohayo,Roho Mtakatifuakawashukiawotewaliokuwawanalisikialile neno
45Walewatoharawalioamini,walewotewaliokuja pamojanaPetro,wakashangaa,kwasababukipawacha RohoMtakatifukilimiminwanajuuyaMataifa
46Kwamaanawaliwasikiawakisemakwalughana wakimtukuzaMungu.NdipoPetroakajibu, 47Je!
48AkaamuruwabatizwekwajinalaBwanaKisha wakamwombaakaesikufulani.
SURAYA11
1MitumenanduguwaliokuwakoYudeawalisikiakwamba watuwamataifamenginepiawamelipokeanenolaMungu
2PetroalipokuwaamepandakwendaYerusalemu,wale watuwatoharawakashindananaye
3wakisema,Uliingiakwawatuwasiotahiriwa,ukalanao
4LakiniPetroaliwaelezajambohilotangumwanzo, akawaelezakwaamri,akisema,
5NilikuwakatikamjiwaYafanikiomba,nakatikandoto nikaonamaono,chombokimojakinashuka,kamashuka kubwa,kikishushwakutokambingunikwapembenne; nayoyakanijia;
6Nilipoyakaziamachonikaona,nikaonawanyamawanchi wenyemiguuminne,wanyamawamwituni,watambaaona ndegewaangani
7Nikasikiasautiikiniambia,Inuka,Petro;kuuanakula.
8Lakininikasema,Lahasha,Bwana;
9Lakiniilesautiikanijibutenakutokambinguni,"Vile Mungualivyovitakasa,usiviitenajisi."
10Jambohilililifanyikamaratatu,navyotevikavutwa tenambinguni
11Natazama,marawatuwatatuwalikuwawamekuja nyumbaninilimokuwa,wametumwakwangukutoka Kaisaria
12Rohoakaniambianiendepamojanaobilamashakayo yoteNahaondugusitawalifuatananami,tukaingia nyumbanikwayulemtu.
13Akatuonyeshajinsialivyomwonamalaikanyumbani mwakeakisimamanakumwambia,TumawatuYafa wakamwiteSimoniaitwayePetro; 14ambayeatakuambiamanenoambayokwayowewena nyumbayakoyotemtaokolewa
15Nanilipoanzakunena,RohoMtakatifuakawashukia kamaalivyotushukiasisihapomwanzo
16NikakumbukanenolaBwana,jinsialivyosema,Yohana alibatizakwamaji;balininyimtabatizwakwaRoho Mtakatifu
17Basi,kwakuwaMungualiwapawaokaramaileile aliyotupasisituliomwaminiBwanaYesuKristo;mimi nilikuwaninihataniwezekumpingaMungu?
18Waliposikiahayowakanyamaza,wakamtukuzaMungu, wakisema,Basi,MunguamewajaliahataMataifanaotoba liletalouzima
19Walewaliotawanyikakwaajiliyadhikiiliyotukiakwa ajiliyaStefano,wakasafirimpakaFoinike,naKipro,na Antiokia,wasihubirililenenokwamtuyeyoteilakwa Wayahudipekee
20BaadhiyaowalikuwawatuwaKupronaKurene,ambao walipofikaAntiokia,wakazungumzanaWagiriki wakihubirihabarinjemayaBwanaYesu
21MkonowaBwanaulikuwapamojanao,naidadikubwa yawatuwakaamininakumgeukiaBwana
22Habarihizizikafikamasikionimwakanisalililokuwa Yerusalemu,wakamtumaBarnabaaendeAntiokia
23NayealipokujanakuonaneemayaMungu,akafurahi, akawasihiwotewashikamanenaBwanakwamakusudiya moyo
24Kwamaanaalikuwamtumwema,amejaaRoho Mtakatifunaimani,nawatuwengiwakaongezekakwa Bwana
25KishaBarnabaakaendaTarsoilikumtafutaSauli
26Alipomwona,akamletaAntiokia.Ikawamwakamzima wakakusanyikapamojanakanisa,wakafundishamakutano mengiNawanafunziwaliitwaWakristokwanzahuko Antiokia.
27SikuzilemanabiiwalifikaAntiokiakutokaYerusalemu 28Kishaakasimamammojawao,jinalakeAgabo, akaonyeshakwauwezowaRohokwambakutakuwana njaakubwakatikaduniayote,ambayoilitokeasikuza KlaudioKaisari
29Wanafunzi,kilammojakwakadiriyauwezowake, wakaazimukutumamsaadakwanduguwaliokaaUyahudi 30Wakafanyahivyo,wakapelekakwawazeekwamikono yaBarnabanaSauli.
SURAYA12
1Wakatihuohuo,mfalmeHerodeakanyoshamikonoyake kuwatesabaadhiyawatuwakanisa
2AkamwuaYakobonduguyakeYohanakwaupanga.
3NakwakuwaalionaimewapendezaWayahudi, akaendeleakumkamataPetropia(Wakatihuozilikuwa sikuzamikateisiyotiwachachu.)
4Alipokwishakumtianguvuni,akamtiagerezani, akamkabidhikwavikosivinnevyaaskari-jeshiwanne, wamlinde;akikusudiakumletambeleyawatubaadaya Pasaka
5Basi,Petroakalindwagerezani;
6NaHerodealipokuwaakitakakumtoanje,usikuuleule Petroalikuwaamelalakatiyaaskariwawili,amefungwa kwaminyororomiwili,nawalinzimbeleyamlango wakilindagereza.
7Natazama,malaikawaBwanaakamjia,nanuru ikamulikamlechumbani,akampigaPetroubavuni, akamwamsha,akisema,OndokaupesiNaminyororoyake ikaangukamikononimwake
8Malaikaakamwambia,Jifunge,uvaeviatuvyako.Na ndivyoalivyofanyaAkamwambia,Jivikevazilako, unifuate
9Akatokanje,akamfuata;walahawakujuayakuwani kweliyaliyofanywanayulemalaika;lakinialifikirianaona maono
10Walipitalindolakwanzanalapili,wakafikakwenye langolachumalakuingiliamjini;likawafunguliakwa kupendakwake;wakatoka,wakapitakatikanjiamoja;na maramalaikaakamwacha.
11Petroalipopatafahamu,akasema,Sasanajuayakini kwambaBwanaamemtumamalaikawakenakunitoa katikamkonowaHerodenakatikakutazamiakotekwa watuwaWayahudi.
12Nayealipokwishakuyatafakarihayo,akafikanyumbani kwaMariamu,mamayakeYohana,aitwayeMarko; ambapowatuwengiwalikuwawamekusanyikawakiomba 13Petroalipokuwaakibishahodikwenyelangolalango, kijakazimmojaaitwayeRodaakajakusikiliza.
14AlipoijuasautiyaPetro,kwafurahahakufungualango, balialikimbiliandaninakuwaambiakwambaPetro alikuwaamesimamambeleyalango.
15Wakamwambia,UnawazimuLakinimarakwamara alisisitizakwambailikuwahivyoNdipowakasema,Ni malaikawake.
16LakiniPetroaliendeleakubishahodi; 17Nayeakawapungiamkonowanyamaze,akawaeleza jinsiBwanaalivyomtoagerezani.Akasema,Mweleze YakobonanduguhabarihiziAkatoka,akaendamahali pengine
18Kulipopambazuka,kukawanaghasiakubwakatiya waleaskarikuhusuninikimempataPetro
19Herodealipomtafutalakinihakumpata,aliwauliza walinzi,akaamuruwauawe.Nayeakashukakutoka UyahudimpakaKaisaria,akakaahuko
20HerodealikasirishwasananawatuwaTironaSidoni kwasababunchiyaoililishwananchiyamfalme.
21Sikumojailiyopangwa,Herodealijivikamavaziya kifalme,akaketikwenyekitichakechaenzinakutoa hotubambeleyao.
22Watuwakapigakelele,wakisema,Nisautiyamungu,si yamwanadamu
23MaramalaikawaBwanaakampiga,kwasababu hakumpaMunguutukufu;akaliwanawadudu,akafa
24LakininenolaMungulikakuanakuenea
25BarnabanaSauliwalipokwishakutimizahudumayao walirudikutokaYerusalemu,wakamchukuapamojanao YohaneaitwayeMarko
SURAYA13
1PalikuwanamanabiinawalimukatikakanisalaAntiokia. kamavileBarnaba,naSimeoniaitwayeNigeri,naLukio waKurene,naManaenialiyekuwaamelelewapamojana mtawalaHerode,naSauli
2WalipokuwawakimfanyiaBwanaibadanakufunga, RohoMtakatifuakasema,NitengeeniBarnabanaSauli kwakaziileniliyowaitia.
3Baadayakufunganakuomba,wakawekamikonoyaojuu yao,wakawaachawaendezao
4Basi,haowatuwakiwawametumwanaRohoMtakatifu, wakaendaSeleukia;nakutokahukowalipandamelihadi Kipro.
5WalipofikaSalami,walihubirinenolaMungukatika masunagogiyaWayahudi,naYohanapiaalikuwa mtumishiwao.
6WakapitakatikatiyakisiwampakaPafo,wakamkutamtu mmoja,mchawi,nabiiwauongo,MyahudijinalakeBarYesu
7HuyoalikuwapamojanaliwaliSergioPaulo,mtu mwenyebusara;ambayealiwaitaBarnabanaSauli, akatakakusikianenolaMungu
8LakiniElima,yulemlozi(maanandivyojinalake linavyotafsiriwa)akawapinga,akitafutakumzuiayule liwaliasiigeimani
9NdipoSauli,ambayepiaaliitwaPaulo,akiwaamejawa naRohoMtakatifu,akamkaziamacho
10akasema,Eweuliyejaahilanauovuwote,mwanawa Ibilisi,aduiwahakiyote,hutaachakuzipotoshanjia zilizonyokazaBwana?
11Nasasa,tazama,mkonowaBwanaujuuyako,nawe utakuwakipofu,usilionejuakwamuda.Maraukunguna gizavikamwangukia;nayeakaendahukunahukoakitafuta mtuwakumshikamkono
12Yuleliwali,alipoonayaliyotukia,akaamini, akiyastaajabiamafundishoyaBwana
13PaulonawenzakewalipoondokaPafo,wakafikaPerga katikaPamfulia.
14LakiniwaowakaondokaPerga,wakafikaAntiokia katikaPisidia,wakaingiakatikasinagogisikuyasabato, wakaketi.
15BaadayakusomwakwaSherianamanabii,wakuuwa sinagogiwakatumaujumbekwaowakisema,"Ndugu, mkiwananenololotelakuwatiamoyowatu,semeni."
16Pauloakasimama,akawapungiamkono,akasema,Enyi watuwaIsraeli,nanyimnaomchaMungu,sikilizeni
17MunguwawatuhawawaIsraelialiwachaguababazetu, akawainuawatuhaowalipokuwawakikaaugeninikatika nchiyaMisri,akawatoahumokwamkonoulioinuka
18Nakwamudawamiakaarobainialiwavumiliamazoea yaonyikani
19Nayealipokwishakuyaangamizamataifasabakatika nchiyaKanaani,akawagawianchiyaokwakura.
20Baadayahayoakawapawaamuzimudawamiakamia nnenahamsinimpakanabiiSamweli
21Baadayewakatakamfalme,nayeMunguakawapaSauli mwanawaKishi,mtuwakabilayaBenyamini,kwamuda wamiakaarobaini
22Nayealipokwishakumwondoahuyomfalme, akawainuliaDaudiawemfalmewao;nayeakamshuhudia, akasema,NimemwonaDaudi,mwanawaYese,mtu aupendezayemoyowangu,atakayefanyamapenziyangu yote
23Katikauzaowamtuhuyu,Mungu,kamaalivyoahidi, amewaleteaIsraeliMwokozi,Yesu;
24Yohanaalikuwaamehubirikwanzakablayakujakwake ubatizowatobakwawatuwotewaIsraeli
25Yohanaalipokuwaanamalizamwendowake,alisema, Mnafikirimimininani?MimisiyeyeLakinitazama, anakujammojabaadayanguambayemimisistahilihata kumvuaviatuvyake
26Nduguzangu,wanawaukoowaAbrahamu,nawote miongonimwenuwanaomchaMungu,nenolawokovuhuu limetumwakwenu
27KwamaanawakaaoYerusalemunawatawalawao,kwa sababuhawakumjuayeye,walasautizamanabii zinazosomwakilasabato,wamezitimizakwakumhukumu
28Naingawahawakuonasababuyakifokwake, walimwombaPilatoauawe.
29Walipokwishakutimizayoteyaliyoandikwajuuyake, wakamshushakutokakwenyemti,wakamwekakaburini.
30LakiniMungualimfufuakutokakwawafu.
31Nayealionekanasikunyinginawalewaliopanda pamojanayekutokaGalilayampakaYerusalemu,ambaoni mashahidiwakekwawatu.
32NasisitunawahubirininyiHabariNjema,yakwamba ileahadiilitolewakwababuzetu
33Munguametimizahayokwetusisiwatotowao,kwa kumfufuaYesu;kamailivyoandikwakatikazaburiyapili, WewendiweMwanangu,mimileonimekuzaa.
34Nakuhusukumfufuakutokakwawafu,asipatekurudi tenakwenyeuharibifu,alisemahivi,Nitawaparehemaza hakikazaDaudi.
35Kwahiyoasemapiakatikazaburinyingine,Hutamacha Mtakatifuwakoaoneuharibifu
36KwamaanaDaudi,akiishakutumikiakatikamapenziya Mungukatikakizazichakemwenyewe,alilalausingizi, akazikwakwababazake,akaonauharibifu;
37LakiniyuleambayeMungualimfufua,hakuona uharibifu
38Basi,naijulikanekwenu,nduguzangu,yakuwakwa huyomnahubiriwamsamahawadhambi;
39Nakatikayeyekilaamwaminiyehuhesabiwahaki katikamamboyaleyoteambayomsingewezakuhesabiwa hakikwasheriayaMusa.
40Jihadharinibasi,msijemkapatwananenolililonenwa namanabii;
41Tazameni,ninyiwenyekudharau,mshangae,na kuangamia;
42BasiWayahudiwalipotokakatikasinagogi,watuwa mataifamenginewakaombakwambamanenohaya yahubiriwekwaosabatoinayofuata
43Kusanyikolilipovunjika,Wayahudiwengina wageuzwa-imaniwadiniwakawafuataPaulonaBarnaba. 44Sabatoiliyofuata,karibumjiwoteukakusanyikaili kusikilizanenolaMungu
45LakiniWayahudiwalipoonaumatiwawatuwalijawana wivu,wakapingayaleyaliyonenwanaPaulowakipingana kumtukana
46PaulonaBarnabawakasemakwaujasiri,wakasema, IlikuwalazimanenolaMungulinenwekwenukwanza;
47KwamaanandivyoBwanaalivyotuamuru,akisema, NimekuwekauwenuruyaMataifa,uwewokovuhata miishoyadunia
48Watuwamataifamenginewaliposikiahayowalifurahi, nakulitukuzanenolaBwana,nawalewotewaliokusudiwa uzimawamilelewakaamini
49NenolaBwanalikaeneakatikanchiyote
50LakiniWayahudiwakawachocheawanawake waliomchaMungunawatuwaheshimanawakuuwamji, wakawaleteamatesoPaulonaBarnaba,wakawafukuza kutokakatikamipakayao
51Lakiniwaowakakung'utamavumbiyamiguuyaodhidi yao,wakafikaIkonio.
52WanafunziwakajaafurahanaRohoMtakatifu
SURAYA14
1IkawahukoIkoniowaliingiapamojakatikasinagogila Wayahudi,wakanenahatamkutanomkubwawaWayahudi naWagirikipiawakaamini.
2LakiniwaleWayahudiwasioaminiwaliwachocheawatu wamataifamenginenakufanyamioyoyaokuwambaya dhidiyahaondugu.
3Kwahiyowakakaamudamrefuwakinenakwaujasiri katikaBwana,ambayealilishuhudianenolaneemayake, nakuwapaisharanamaajabuyatendekekwamikonoyao 4Watuwamjihuowaligawanyika,wenginewakawa upandewaWayahudinawengineupandewamitume.
5Kulipotokeashambuliolawatuwamataifamengine,na piaWayahudipamojanawatawalawao,kuwafanyiajeuri nakuwapigakwamawe;
6Walipojuajambohilo,wakakimbiliaListranaDerbe, mijiyaLikaonia,nasehemuzakandokando
7NahukowakahubiriInjili.
8KulikuwanamtummojahukoListra,ambayealikuwa kiwetetangutumbonimwamamayake,ambaye hajatembeakamwe.
9HuyoalimsikiaPauloalipokuwaakiongea,ambaye alimkaziamachonakuonakwambaalikuwanaimaniya kuponywa.
10akasemakwasautikuu,Simamakwamiguuyakowima Nayeakarukanakutembea
11UmatiwawatuulipoonaalichofanyaPaulo,wakapaza sautizaokwaKilikaonia,wakisema,Miunguimetushukia kwasurazawanadamu
12WakamwitaBarnabaZeu;naPaulo,Merkurio,kwa sababundiyealiyekuwamzungumzajimkuu
13KishakuhaniwaZeu,aliyekuwambeleyamjiwao, akaletang'ombenashadalamauambeleyamalango, akatakakutoadhabihupamojanawatu
14MitumeBarnabanaPaulowalipopatahabarihiyo, wakararuamavaziyao,wakakimbiliakatikatiyaumati wakipigakelele
15wakisema,Bwanazangu,kwaninimnafanyamambo haya?Sisinasituwatuwenyemawazokamayenu; 16ambayehapoawalialiwaachamataifayotewaende katikanjiazaowenyewe
17Walakinihakujiachapasipoushuhuda,kwakuwa alitendamema,akitupamvuakutokambinguninamajira yamatunda,akiijazamioyoyetuchakulanafuraha
18Kwakusemahivyo,ilikuwavigumukuwazuiawatu wasiwatoedhabihu
19WayahudifulaniwakajakutokaAntiokianaIkoniamu, wakawashawishimakutano,wakampigakwamawePaulo, wakamkokotanjeyamji,wakidhaniamekwishakufa
20Lakiniwanafunziwalipokuwawamemzunguka, alisimama,akaingiamjini.Keshoyakeakaondokapamoja naBarnabampakaDerbe
21BaadayakuhubiriHabariNjemakatikamjihuona kuwafundishawatuwengi,walirudiListranaIkoniona Antiokia
22wakizithibitisharohozawanafunzi,nakuwaonyawakae katikaimani,nayakwambaimetupasakuingiakatika ufalmewaMungukwanjiayadhikinyingi
23Nawalipokwishakuwachaguliawazeekatikakila kanisa,nakuombapamojanakufunga,wakawawekachini yaBwanawaliyemwamini
24BaadayakupitakatikanchiyaPisidia,wakafika Pamfilia.
25BaadayakuhubirililenenohukoPerga,wakashuka mpakaAtalia.
26KutokahukowalisafirikwamelihadiAntiokia,ambako walikuwawametolewakwaneemayaMungukwaajiliya kaziambayowalikuwawameimaliza
27Walipofikanakulikusanyakanisapamoja,wakawaeleza mamboyoteMungualiyofanyapamojanao,najinsi alivyofunguamlangowaimanikwawatuwamataifa mengine
28Wakakaahukopamojanawanafunzikwamudamrefu
SURAYA15
1WatufulaniwalishukakutokaYudeawakiwafundisha walenduguwakisema,"Msipotahiriwakufuatananamila yaMose,hamwezikuokolewa"
2Basi,baadayaPaulonaBarnabakuwanamabishanona mabishanomakubwanao,wakaamuakwambaPaulona BarnabanabaadhiyaowapandekwendaYerusalemukwa mitumenawazeekuhusujambohilo.
3Baadayakusindikizwanakanisa,wakapitakatiya FoinikenaSamariawakitangazakuongokakwawatuwa mataifamengine.
4WalipofikaYerusalemuwalikaribishwanakanisana mitumenawazee,naowakaelezamamboyoteambayo Mungualifanyapamojanao.
5LakinibaadhiyawatuwamadhehebuyaMafarisayo walioaminiwakasimama,wakasema,Nilazimawatuwa kutahiriwanakuwaamurukuishikaSheriayaMose.
6Mitumenawazeewakakusanyikailikutafakarijambo hilo
7Kulipokuwanamabishanomengi,Petroakasimama, akawaambia,Nduguzangu,mnajuayakuwatanguzamani MungualichaguakatiyetuiliMataifawalisikienenola Injilikwakinywachangu;nakuamini.
8NaMungu,ajuayemioyo,aliwashuhudiakwakuwapa RohoMtakatifu,kamavilealivyotupasisi;
9Walahakuwekatofautikatiyetunawao,akiisafisha mioyoyaokwaimani
10Sasabasi,kwaninimnamjaribuMungukwakuweka kongwakwenyeshingozawanafunzi,ambalobabazetu walasisihatukuwezakulichukua?
11Lakinitunaaminikwambasisitutaokolewakwaneema yaBwanaYesukamawao.
12Umatiwoteukanyamaza,ukawasikilizaBarnabana PaulowakielezamiujizanamaajabuambayoMungu alitendakwamikonoyaokatiyamataifa
13Walipokwishakunyamaza,Yakoboakajibu,akisema, Nduguzangu,nisikilizeni;
14SimeoniameelezajinsiMunguhapokwanza alivyowatembeleawatuwamataifamengineilikuchukua kutokakwaowatukwaajiliyajinalake
15Namanenoyamanabiiyapatananahili;kama ilivyoandikwa,
16Baadayahayonitarudi,nanitaijengatenahemaya Daudiiliyoanguka;naminitayajengatenamagofuyake,na kuyasimamisha;
17IlimabakiyawanadamuwamtafuteBwana,naMataifa yote,ambaojinalangulinaitwajuuyao,asemaBwana, ambayehufanyamambohayayote
18Munguanajulikanakazizakezotetangumwanzowa ulimwengu.
19Kwahiyomiminakatakaulikwambatusiwataabishe waleambaomiongonimwawatuwamataifamengine wamemgeukiaMungu.
20lakinituwaandikiekwambawajiepushenaunajisiwa sanamu,nauasherati,nanyamazilizosongolewa,nadamu 21KwamaanazamanizakaleMusaanaowatu wamuhubiriokatikakilamji,nakusomwakatika masinagogikilasabato
22Mitumenawazeepamojanakutanikolotewakawaona vemakuwatumawatuwaliochaguliwamiongonimwao waendeAntiokiapamojanaPaulonaBarnaba.yaani,Yuda aitwayeBarsaba,naSila,watuwakuukatikandugu
23Naowakaandikabaruakupitiawaonamnahii;Mitume nawazeenanduguwanatumasalamukwanduguwawatu wamataifamenginewaliokoAntiokianaShamunaKilikia 24Kwakuwatumesikiakwambabaadhiyawatuwaliotoka kwetuwamewasumbuakwamanenonakupotosharoho zenu,wakisema,Nilazimamtahiriwenakushikasheria, ambaosisihatukuwapaamrikamahiyo
25Sisitumekutanikakwaniamoja,kuwatumakwenuwatu wateulepamojanawapendwawetuBarnabanaPaulo; 26watuambaowamehatarishamaishayaokwaajiliyajina laBwanawetuYesuKristo.
27Basi,tumewatumaYudanaSila,ambaonao watawaambiamamboyaleyalekwamdomo
28KwamaanailimpendezaRohoMtakatifunasisi tusiwatwikeninyimzigowowotezaidiyahayoyaliyo lazima;
29Mjiepushenavituvilivyotolewasadakakwasanamu,na damu,nanyamazilizosongolewa,nauasherati;Fanya vizuri
30BasiwalipoachwawakaendaAntiokia,nao wakakusanyaumatiwawatuwakawapailebarua
31Walipokwishakuisoma,wakafurahikwaajiliyafaraja hiyo.
32YudanaSila,wakiwamanabiiwenyewe, wakawahimizandugukwamanenomengina kuwathibitisha.
33Walikaahukokwamuda,wakaachwakwaamanina ndugukwendakwamitume
34LakiniilimpendezaSilakubakihuko.
35PaulonaBarnabawakakaaAntiokiawakifundishana kuhubirinenolaBwanapamojanawenginewengi
36Baadayasikukadhaa,PauloakamwambiaBarnaba, “Twendenitenatukawatembeleenduguzetukatikakilamji tulipohubirinenolaBwana,tuonejinsiwanavyoendelea.
37BarnabaaliamuakumchukuaYohaneaitwayeMarko pamojanao
38LakiniPauloalionasivemakumchukuapamojanao, ambayealiwaachakutokaPamfilia,asiendenaokazini.
39Kukawanaugomvimkalikatiyao,hatawakaachana
40PauloakamchaguaSila,akaondoka,akiwaametolewa nandugukwaneemayaMungu
41NayealipitiaSirianaKilikiaakiyaimarishamakanisa SURAYA16
1KishaakafikaDerbenaListra,natazama,hapopalikuwa namfuasimmojaaitwayeTimotheo,mwanawa
mwanamkeMyahudialiyeamini;lakinibabayakealikuwa Mgiriki.
2HuyoalishuhudiwavemananduguwaListranaIkonio
3HuyoPauloakamtakaaondokepamojanaye;akamtwaa, akamtahirikwaajiliyaWayahudiwasehemuzile;maana wotewalijuayakuwababayakeniMgiriki
4Walipokuwawakipitakatikamijihiyo,wakawapawatu yalemaagizoambayomitumenawazeewaYerusalemu walikuwawameamuruwayashike
5Hivyomakanisayakaimarishwakatikaimani,nahesabu ikaongezekakilasiku
6WalipitakatikasehemuyaFrugianaGalatia,wakiwa wamekatazwanaRohoMtakatifukuhubirililenenokatika Asia
7WalipofikaMisiawalijaribukuingiaBithinia,lakini Rohohakuwaruhusu.
8WakapitaMisiawakashukampakaTroa 9Pauloalionamaonousiku;MtummojawaMakedonia alikuwaamesimamaakimwombaakisema,Vukauje Makedoniautusaidie
10Nayealipokwishakuyaonamaonohayo,mara tukajitahidikwendaMakedonia,tukiwanahakikakwamba BwanaametuitatuwahubiriInjili
11BasitukatokaTroakwamelimojakwamojatukafika Samothrakia,nakeshoyaketukafikaNeapoli;
12kutokahapotukafikaFilipi,mjimkuuwawilayaileya Makedonia,ambaopianikoloni
13Sikuyasabatotukatokanjeyamji,tukaendakandoya mto,mahaliambapopalikuwanadesturiyakusali;tukaketi, tukasemanawanawakewaliokusanyikahuko
14MwanamkemmojaaitwayeLidia,mfanyabiasharawa nguozazambarau,mwenyejiwaThiatira,mchaMungu, alitusikiliza;
15Nayealipokwishakubatizwa,yeyenanyumbayake, alitusihi,akisema,IkiwammeonamiminamwaminiBwana, ingieninyumbanimwangu,mkaeNayeakatulazimisha
16Ikawatulipokuwatukiendakusali,kijakazimmoja mwenyepepowauaguziakakutananasi,aliyewapatia bwanazakefaidanyingikwakuagua
17HuyoalimfuataPaulonasisi,akipigakelele,akisema, WatuhawaniwatumishiwaMunguAliyeJuuSana, wanaotuhubirinjiayawokovu
18Akafanyahivyosikunyingi.LakiniPauloakahuzunika, akageuka,akamwambiayulepepo,Nakuamurukwajinala YesuKristo,mtokehuyuNayeakatokasaaileile
19Mabwanazakewalipoonakwambatumainilaola kupatafaidalimetoweka,wakawakamataPaulonaSila, wakawakokotasokonikwawakuu.
20Wakawapelekakwamahakimu,wakasema,Watuhawa wanausumbuasanamjiwetukwaniWayahudi; 21nakufundishadesturiambazosisiWarumihaturuhusiwi kuzipokeawalakuzifuata.
22Umatiwawatuukakusanyikadhidiyao,namahakimu wakawararuamavaziyao,wakaamuruwapigweviboko 23Baadayakuwapigamapigomengi,wakawatupa gerezani,wakamwamuruaskariwagerezaawalindesana 24Nayeakiishakupokeaamrikamahiyo,akawatupa katikachumbachandanikabisa,nakuifungamiguuyao kwamkatale
25UsikuwamananePaulonaSilawalikuwawakisalina kumwimbiaMungunyimbozakumsifu,nawafungwa walikuwawakiwasikiliza
26Ghaflapakatokeatetemekokubwalaardhihatamisingi yagerezaikatikisika.
27Askariwagerezaalipoamkanakuonamilangoya gerezaimefunguliwa,akauchomoaupangawake,akataka kujiua,akidhaniyakuwawafungwawamekimbia.
28LakiniPauloakaliakwasautikuu,akisema,Usijidhuru, kwamaanasisisotetukohapa
29Kishaakaombataailetwe,akarukiandani,akaja akitetemeka,akawaangukiaPaulonaSila
30Kishaakawaletanje,akasema,Bwanazangu,yanipasa nifanyenininipatekuokoka?
31Wakasema,MwaminiBwanaYesu,naweutaokoka pamojananyumbayako.
32WakamwambianenolaBwana,nawotewaliokuwamo nyumbanimwake
33Akawachukuasaaileileyausiku,akawaoshamapigo yao;akabatizwamara,yeyenawenzake
34Akawaletanyumbanikwake,akawaandaliachakula, akafurahipamojanajamaayakeyotekwakuwaalikuwa anamwaminiMungu
35Kulipopambazuka,mahakimuwakawatumamaofisa wakisema,Wafungueniwalewatu.
36AskariwagerezaakamwambiaPaulomanenohayo, "MahakimuwametumawatumfunguliweBasisasa nendenizenukwaamani."
37LakiniPauloakawaambia,"Wametupigahadharanibila hatia,sisituWarumi,nakututupagerezani;nasasa wanatutoanjekwasiri?lakwahakika;lakiniwaje wenyewewatutoe
38Maafisawakawaambiamahakimumanenohayo,nao wakaogopawaliposikiakwambawaoniWarumi.
39Wakajanakuwasihi,wakawatoanje,wakawaomba watokenjeyamji
40Wakatokagerezani,wakaingianyumbanikwaLidia;
SURAYA17
1WakapitakatikatiyaAmfipolinaApolonia,wakafika Thesalonike,palipokuwanasinagogilaWayahudi; 2Paulo,kamailivyokuwadesturiyake,akaingiakwao, akahojiananaokwamanenoyamaandikosabatotatu; 3akifunguanakusisitizakwambailimpasaKristokuteswa nakufufukakutokakwawafu;nakwambaYesuhuyu ninayewahubirininyindiyeKristo
4Baadhiyaowaliamini,wakajiunganaPaulonaSila;na umatimkubwawaWagirikiwaliomchaMungu,na wanawakewengiwaliowakuusiwachache
5LakiniWayahudiambaohawakuamini,kwasababuya wivu,wakawachukuawatufulaniwazinziwaainaya waovu,wakakusanyakikundichawatu,wakafanyafujo katikajijilote,wakaishambulianyumbayaYasoni, wakatakakuwatoanje.kwawatu.
6Walipowakosa,wakamvutaYasoninandugukadhaa mbeleyawakuuwamji,wakipigakelele,"Watu walioupinduaulimwenguwamefikahukupia;
7AmbaoYasoniamewapokea;nahawawotewanafanya kinyumechaamrizaKaisari,wakisemakwambakuna mfalmemwingine,Yesu
8Walifadhaishaumatiwawatunawakuuwamji waliposikiahayo.
9BaadayakuchukuadhamanakutokakwaYasonina wengine,wakawaachawaendezao
10MarahiyonduguwakawapelekaPaulonaSilausiku hadiBeroya.
11Hawawalikuwawaungwanakulikowalewa Thesalonike,kwakuwawalilipokealilenenokwauelekevu wamoyo,wakayachunguzamaandikokilasiku,waone kamamambohayondivyoyalivyo
12Kwahiyowengiwaowaliamini;nawanawakewa Kigirikiwenyeheshima,nawanaumesiwachache.
13LakiniWayahudiwaThesalonikewalipojuakwamba nenolaMungulilikuwalinahubiriwanaPaulohuko Beroya,walikwendahukopianakuwachocheaumatiwa watu
14MarawalenduguwakamtumaPauloaendezakempaka baharini,lakiniSilanaTimotheowakabakihuko
15WalewaliomsindikizaPaulowakampelekampaka Athene;
16PauloalipokuwaakiwangojahukoAthene,rohoyake ilifadhaikasanaalipouonamjiuleumejaasanamu
17KwahiyoakajadiliananaWayahudinawatuwaliomcha Mungukatikasunagoginakilasikusokonipamojanawale waliokutananaye
18KishabaadhiyawanafalsafawaWaepikuronaWastoiki wakabishananayeNawenginewakasema,Je!wengine, Anaonekanakuwamhubiriwamiungumigeni;
19Wakamkamata,wakampelekaAreopago,wakisema,Je! 20Maanawaletamaajabumasikionimwetu;
21(KwamaanawatuwotewaAthenenawageniwaliokaa hukohawakutumiamudawaokatikanenolingineila kuelezaaukusikiajambojipya)
22PauloakasimamakatikatiyamlimawaMars,akasema, EnyiwatuwaAthene,naonakwambakatikamamboyote ninyiniwashirikinakupitakiasi
23Kwamaananilipokuwanikipitahaponakuyatazama mamboyaibadayenu,nilionamadhabahuyenye maandishihaya,KWAMUNGUASIYEJULIKANABasi yeyeambayemnamwabudubilakumjua,ndiye ninayewapashahabari.
24Mungualiyeumbaulimwengunavituvyotevilivyomo, yeyeambayeniBwanawambingunanchi,hakaikatika mahekaluyaliyojengwakwamikono;
25walahatumikiwikwamikonoyawatukanakwamba anahitajikituchochote,maanayeyendiyeanayewapawote uhainapumzinavituvyote.
26Nayealifanyakutokakatikadamumojamataifayoteya wanadamu,wakaejuuyausowanchiyote,akiisha kuwawekeanyakatializoziamurutanguzamani,namipaka yamakaziyao;
27iliwamtafuteBwana,labdawampapasa-papasena kumwona,ingawahayukombalinakilammojawetu;
28Kwamaanandaniyakeyeyetunaishi,tunakwenda,na kuwanauhaiwetu;kamavilebaadhiyawashairiwenu walivyosema,Maanasisipiatuwazaowake.
29Basi,kwakuwasisiniwazaowaMungu,hatupaswi kudhanikwambaUungunikamadhahabuaufedhaaujiwe lililochongwakwaustadinafikirazawanadamu
30NyakatizaujingahuoMungualijifanyakamahazioni; lakinisasaanawaagizawatuwotewakilamahaliwatubu.
31kwamaanaamewekasikuatakayowahukumu walimwengukwahaki,kwamtuyulealiyemweka;Naye amewapawatuwoteuthabitiwamambohayokwa kumfufuakatikawafu
32Waliposikiahabarizaufufuowawafu,wengine walidhihaki,nawenginewakisema,Tutakusikilizatena kuhusujambohili
33Basi,Pauloakaondokakatiyao.
34Lakiniwatufulaniwaliambatananayenakuamini; miongonimwaoalikuwaDionisioMwareopago, mwanamkemmojaaitwayeDamarinawenginepamoja nao.
SURAYA18
1Baadayahayo,PauloalitokaAthene,akaendaKorintho 2akamkutaMyahudimmojajinalakeAkila,mzaliwawa Ponto,ametokaItaliahivikaribuni,pamojanaPrisila mkewe;(kwasababuKlaudioalikuwaameamuru WayahudiwotewatokeRoma)akaendakwao.
3Nakwakuwawalikuwawakazimoja,alikaanaona kufanyakazi;
4Kilasabatoalikuwaakijadilianakatikasunagogina kuwavutaWayahudinaWagiriki
5SilanaTimotheowalipofikakutokaMakedonia,Paulo alifadhaikasanarohoni,akawashuhudiaWayahudiya kwambaYesundiyeKristo
6Walipompinganakumtukana,alikung'utamavaziyake, akawaambia,Damuyenunaiwejuuyavichwavyenu; miminisafi;tangusasanitakwendakwaMataifa
7Akatokahapoakaingiakatikanyumbayamtummoja jinalakeYusto,mchaMungu,ambayenyumbayake ilikuwakaribunasinagogi
8Krispo,mkuuwasunagogi,alimwaminiBwanapamoja najamaayakeyote;nawengiwaWakorinthowaliposikia waliamini,wakabatizwa
9NdipoBwanaakamwambiaPaulokatikamaonousiku, Usiogope,balinena,walausinyamaze;
10Kwamaanamiminipopamojanawe,walahakunamtu atakayekushambuliailikukudhuru;kwamaananinawatu wengikatikamjihuu.
11Akakaahukomwakammojanamiezisita,akifundisha nenolaMungukatiyao
12WakatiGalioalipokuwaliwaliwaAkaya,Wayahudi walifanyamaasikwaniamojadhidiyaPaulo, wakampelekakwenyekitichahukumu
13wakisema,Mtuhuyuhuwavutawatuwamwabudu Mungukinyumechasheria
14Pauloalipokuwakaribukufunguakinywachake,Galio akawaambiaWayahudi,“Kamalingekuwajambolauovu auuasheratimbaya,enyiWayahudi,ningewavumilianinyi; 15Lakiniikiwanisualalamanenonamajinanasheria yenu,liangalienininyi;kwamaanamimisitakuwa mwamuziwamambokamahayo
16Nayeakawafukuzakutokakwenyekitichahukumu 17NdipoWagirikiwotewakamkamataSosthene,mkuuwa sinagogi,wakampigambeleyakitichahukumuNaGalio hakujalihatamojayamambohayo
18Pauloalikaahukosikunyingizaidi,kishaakawaaga walendugu,akapandamelikwendaSiriapamojanaPrisila naAkila;akiwaamekatanywelezakehukoKenkrea,kwa maanaalikuwananadhiri
19AkafikaEfeso,akawaachahuko,lakiniyeyemwenyewe akaingiakatikasinagogiakajadiliananaWayahudi. 20Walipomwombaakaenaomudamrefuzaidi, hakukubali;
21Lakiniakawaagaakisema,"Imenipasakuiadhimisha sikukuuhiiinayokujaYerusalemu;lakiniMunguakipenda nitarudikwenutena"NayeakapandamelikutokaEfeso
22KishaakashukaKaisaria,akapandanakulisalimukanisa, akashukampakaAntiokia.
23Baadayakukaahukokwamudafulani,aliondoka, akaendakwautaratibukatikanchiyaGalatianaFrugia, akiwatiamoyowanafunziwote.
24MyahudimmojaaitwayeApolo,mzaliwawa Aleksandria,mtuwakusema,mwenyeuwezokatika MaandikoMatakatifu,akafikaEfeso
25MtuhuyualikuwaamefundishwanjiayaBwana;naye akiwaamechangamkarohoni,alinenanakufundishakwa bidiimamboyaBwana,akijuaubatizowaYohanetu
26Akaanzakunenakwaujasirikatikasinagogi
27HataalipokuwananiayakwendaAkaya,walendugu wakaandika,wakiwahimizawanafunziwamkaribishe; 28KwamaanaaliwashindaWayahudikwanguvunahivyo hadharani,akionyeshakwaMaandikoMatakatifukwamba YesundiyeKristo
SURAYA19
1Ikawa,ApoloalipokuwaKorintho,Pauloakiishakupita katiyanchizajuu,akafikaEfeso;
2Akawaambia,Je!mmepokeaRohoMtakatifutangu mlipoamini?Wakamwambia,"Hatujasikiakwambakuna RohoMtakatifu."
3Akawaambia,Basimlibatizwakwaubatizogani? Wakasema,KwaubatizowaYohana
4NdipoPauloakasema,Yohanaalibatizakwaubatizowa toba,akiwaambiawatuwamwaminiyeyeatakayekuja baadayake,yaani,KristoYesu
5Waliposikiahayo,wakabatizwakwajinalaBwanaYesu.
6Pauloalipokwishakuwekamikonoyakejuuyao,Roho Mtakatifuakajajuuyao;wakaanzakunenakwalughana kutabiri.
7Nawanaumewotewalikuwawapatakuminawawili
8Akaingiakatikasinagogi,akanenakwaujasirikwamuda wamiezimitatu,akihojiananawatunakuwavutakatika mamboyaUfalmewaMungu
9Lakiniwatuwenginewalipokuwawakikaidi,wakakataa kuamini,nakuongeavibayajuuyaNjiailembeleyaumati wawatu
10Nahayoyakaendeleakwamudawamiakamiwili;hata wakaziwotewaAsiawalisikianenolaBwana,Wayahudi kwaWagiriki
11MunguakafanyamiujizayaajabukwamikonoyaPaulo; 12hatalesonanguozilizotokamwilinimwakezililetwa kwawagonjwa,magonjwayakawatoka,napepowachafu wakawatoka
13BasibaadhiyaWayahudiwaliokuwawakizurura-zurura, wenyekutoapepo,wakajaribukulitajajinalaBwanaYesu juuyahaowenyepepowachafu,wakisema,Tunawaapisha kwaYesuambayePauloanamhubiri
14NawalikuwakowanasabawamtummojaSkewa, Myahudi,mkuuwamakuhani,waliofanyahivyo.
15Pepomchafuakajibu,akasema,Yesunamjua,naPaulo namjua;lakinininyiniakinanani?
16Yulemtualiyekuwanapepomchafuakawarukia, akawashindanakuwashinda,hatawakakimbiakutoka katikailenyumbawakiwauchinawamejeruhiwa
17JambohililikajulikanakwaWayahudiwotenaWagiriki waliokaaEfeso;nahofuikawashikawote,najinalaBwana Yesulikatukuzwa
18Nawengiwalioaminiwalikujanakuungamana kuonyeshamatendoyao.
19Nawengiwawalewaliotumiamamboyauganga wakakusanyavitabuvyao,wakavichomamotombeleya watuwote;
20HivyonenolaMungulikakuakwanguvunakushinda 21Baadayamambohayokuisha,Pauloaliazimiarohoni mwake,akiishakupitiaMakedonianaAkaya,kwenda Yerusalemu,akisema,Baadayakufikahuko,imenipasa kuonaRomapia.
22Basi,akawatumawaendeMakedoniawawilikatiya wahudumuwake,TimotheonaErasto;lakiniyeye mwenyewealikaaAsiakwamuda.
23WakatihuohuokukazukaghasiakubwakuhusuNjiaile 24KwamaanamtummojaaitwayeDemetrio,mfuafedha, aliyetengenezavihekaluvyafedhavyaArtemi,aliwaletea mafundifaidakubwasana;
25Akawaitapamojanawafanyakaziwakazikamahizo, akasema,Enyiwatu,ninyimnajuayakuwakwakazihii tunapatautajiriwetu
26MnaonanakusikiakwambasikatikaEfesotu,bali karibukatikaAsiayote,Paulohuyuamewashawishina kuwageuzawatuwengikuwamiungu,akisemakwamba miunguiliyofanywakwamikonosimiungu
27Kwahiyosiufundiwetuhuutuambaoukokatikahatari yakudharauliwa;balipiakwambahekalulamungumkuu wakikeDianalinapaswakudharauliwa,nautukufuwake uangamizwe,yeyeambayeAsiayotenaulimwengu humwabudu
28Waliposikiamanenohayowalikasirikasana,wakapiga kelelewakisema,"MkuuniArtemiwaWaefeso!"
29Mjiwoteukajaaghasia,wakawakamataGayona Aristarko,watuwaMakedonia,waliokuwawasafiri pamojanaPaulo,wakakimbiakwamoyommojahadi kwenyeukumbiwamichezo
30Pauloalitakakuuingiaumatiwawatu,lakiniwanafunzi hawakumruhusu.
31NabaadhiyawakuuwaAsia,waliokuwarafikizake, wakatumaujumbekwake,wakimsihiasijitiekatikaukumbi wamichezo.
32Baadhiyawatuwakaliajambohilinawenginejambo linginekwamaanamkutanoulivurugikanawengi hawakujuakwaniniwamekusanyika.
33WakamtoaAleksandakatikauleumatiwawatu, Wayahudiwakimpelekambele.Aleksandaalipungamkono, akatakakujiteteambeleyawatu
34WalipotambuakwambayeyeniMyahudi,wotekwa sautimojawalipigakelelekwamudawasaambili:"Mkuu niDianawaWaefeso!"
35Yulekaraniwamjialipokwishakuwatulizawatu, akasema,EnyiwatuwaEfeso,kunamtuganiasiyejuaya kuwamjiwaEfesonimchaMungumkuuDiana,na sanamuiliyoangukakutokakwaZeu?
36Basi,kwakuwamambohayahayawezikupingwa, imewapasakunyamazanakutofanyajambololotekwa haraka
37Kwamaanammewaletawatuhawaambaosi wanyang’anyiwamakanisawalawamkufurumungumke wenu
38Kwahiyo,ikiwaDemetrionamafundiwaliopamoja nayewanakesidhidiyamtuyeyote,mahakamaikowazi namanaibuwapo;
39Lakinimkiulizajambololotekuhusumambomengine, litaamuliwakatikakusanyikolililohalali.
40Kwamaanatukokatikahatariyakuhukumiwakwaajili yaghasiayaleo,bilasababuyoyoteambayokwayo tunawezakutoamaelezojuuyakusanyikohili.
41Baadayakusemahayo,akauvunjamkutano
SURAYA20
1Ghasiahiyoilipokwisha,Pauloaliwaitawalewanafunzi, akawakaribisha,kishaakaondokazakekwendaMakedonia
2Nayealipokwishakupitasehemuzilenakuwahimiza sana,akafikaUgiriki;
3AkakaahukomiezimitatuWayahudiwalipomvizia, alipokuwaakisafirikwamelikwendaSiria,alikusudia kurudikwanjiayaMakedonia.
4SopatrowaBeroyaakafuatananayempakaAsia;nawa Wathesalonike,AristarkonaSekundo;naGayowaDerbe, naTimotheo;nawaAsia,TikikonaTrofimo.
5Hawawalitangulia,wakatungojeaTroa
6SisitukasafirikwamelikutokaFilipibaadayasikuza MikateIsiyotiwachachu,tukafikakwaoTroabaadayasiku tano;ambapotulikaasikusaba
7Hatasikuyakwanzayajuma,tulipokuwatumekutana kumegamkate,Pauloakawahubiriahabari,akiazimu kusafirisikuyapiliyake;akaendeleanahotubayake mpakausikuwamanane
8Kulikuwanataanyingikatikachumbachajuu walichokuwawamekusanyika
9KijanammojaaitwayeEutikoalikuwaameketidirishani, akapitiwanausingizimzito.
10Pauloakashukachini,akamwangukia,akamkumbatia, akasema,Msijisumbue;maanauhaiwakeumondaniyake
11Basialipopandatena,akamegamkate,akala, akazungumzakwamudamrefuhatakulipopambazuka, hivyoakaendazake
12Wakamletayulekijanaakiwahai,wakafarijikasana.
13SisitukatanguliakupandamelitukasafirimpakaAso, tukikusudiakumchukuaPaulohuko,kwamaanaalikuwa ameagizahivyo,akitakakwendakwamiguu.
14AlipokutananasihukoAso,tukamkaribishandani, tukafikaMitulene
15Tukasafirikutokahukonakeshoyaketukafikambeleya Kio;nasikuyapiliyaketukafikaSamo,tukakaaTrogilio; nakeshoyaketukafikaMileto.
16KwamaanaPauloalikusudiakupitaEfesokwameliili asikawiewakatikatikaAsia;
17KutokaMiletoakatumawatuEfesonakuwaitawazee wakanisa.
18Walipofikakwakeakawaambia,Ninyimnajuakwamba tangusikuileyakwanzanilipokujaAsia,jinsinilivyokaa nanyisikuzote;
19nikimtumikiaBwanakwaunyenyekevuwotenakwa machozimenginamajaribuyaliyonipatakwampangowa Wayahudi
20najinsinilivyowazuilianenololotelililokuwalafaida kwenu,baliniliwahubirinakuwafundishahadharanina nyumbakwanyumba;
21nikiwashuhudiaWayahudinaWagirikipia,kutubukwa MungunaimanikwaBwanawetuYesuKristo.
22Nasasa,tazama,naendaYerusalemuhalinimefungwa rohoni,nisijuemamboyatakayonipatahuko;
23isipokuwakwambaRohoMtakatifuhunishuhudia katikakilamjiakisemakwambavifungonadhiki vinaningoja
24Lakinimambohayohayanisumbui,walasiyahesabu maishayangukuwayathamanikwangu,ilinikamilishe mwendowangukwafuraha,nahudumaniliyopokeakwa BwanaYesu,yakushuhudiaInjiliyaneemayaMungu
25Nasasa,tazama,najuayakuwaninyinyoteambao nilikwendakatiyaonikihubiriufalmewaMungu, hamtanionatenausowangu
26Kwahiyonawashuhudianinyisikuhiiyaleo,yakuwa mimisisafikatikadamuyawatuwote.
27Kwamaanasikujiepushanakuwatangazianinyi mashauriyoteyaMungu
28Jitunzeninafsizenu,nalilekundilotenalo,ambalo RohoMtakatifuamewawekaninyikuwawaangalizindani yake,mpatekulilishakanisalakeMungu,alilolinunuakwa damuyakemwenyewe.
29Kwamaananajuayakuwabaadayakuondokakwangu mbwa-mwituwakaliwataingiakwenu,wasilihurumie kundi.
30Tenakatikaninyiwenyewewatainukawatuwakisema mapotovu,wawavutewanafunziwawafuatewao
31Kwahiyokesheni,mkumbukekwambakwamudawa miakamitatu,usikunamchana,sikuachakuonyakila mmojakwamachozi
32Nasasa,ndugu,ninawawekaninyikwaMungu,nakwa nenolaneemayake,ambalolawezakuwajenganakuwapa ninyiurithipamojanawotewaliotakaswa
33Sikutamanifedha,waladhahabu,walamavaziyamtu.
34Ndio,ninyiwenyewemnajuakwambamikonohii imetumikakwamahitajiyangunayawalewaliokuwa pamojanami.
35Katikamamboyotenimewaonyeshakwambakwa kushikakazihiviimewapasakuwasaidiawaliodhaifu,na kukumbukamanenoyaBwanaYesu,jinsialivyosema,Ni herikutoakulikokupokea
36Alipokwishakusemahayo,alipigamagotipamojanao wotenakusali.
37Wotewakaliasana,wakaangukakwenyeshingoya Paulonakumbusu
38wakihuzunikazaidikwaajiliyamanenoaliyosema, kwambahawatamwonatenausowakeWakamsindikiza mpakakwenyemashua.
SURAYA21
1Ikawakwambatulipokwishakuondolewakwaona kuanzasafari,tulifikaKookwanjiayamojakwamoja,na sikuiliyofuatatukafikaRodo,nakutokahukotukafika Patara;
2BaadayakupatameliiliyokuwaikivukakwendaFoinike, tukapandanakuanzasafari.
3TulipokwishakuuonakisiwachaKupro,tuliuacha upandewakewakushoto,tukasafirihadiSiria,tukatia nangakatikaTiro,kwamaanahapomashuailipaswa kuutuamzigowake
4Tukawakutawanafunzi,tukakaahukokwamudawasiku saba,naowakamwambiaPaulokwauwezowaRoho kwambaasipandekwendaYerusalemu
5Tulipomalizasikuhizo,tuliondokatukaendazetu;nao wotepamojanawakenawatotowakatusindikizampaka njeyamji;tukapigamagotiufuoni,tukaomba 6Tulipoaganatukapandameli;wakarudinyumbanitena 7TulipomalizasafariyetukutokaTirotukafikaTolemai, tukawasalimundugunakukaanaosikumoja
8KeshoyakesisituliokuwawakikundichaPaulo tukaondokatukafikaKaisarianakukaanaye
9Mtuhuyoalikuwanabintiwanne,mabikira,waliotabiri 10Tulipokuwatukikaahukosikunyingi,nabiimmoja aitwayeAgaboakashukakutokaYudea
11Alipofikakwetu,akautwaamshipiwaPaulo,akajifunga mikononamiguu,akasema,RohoMtakatifuasemahivi, HivyondivyoWayahudiwaYerusalemuwatamfungamtu mwenyemshipihuu,nakumtiamikononimwaomikono yaMataifa.
12Tuliposikiahayo,sisinawatuwamahalipaletukamsihi asipandekwendaYerusalemu
13Pauloakajibu,“Mnamaanishaninikunililiana kunivunjamoyo?kwamaananikotayarisikufungwatu, balihatakufakatikaYerusalemukwaajiliyajinalaBwana Yesu.
14Nayealipokataakushawishiwa,tukatulia,tukasema, MapenziyaBwanayatendeke
15Baadayasikuhizotukachukuavyombovyetu tukapandakwendaYerusalemu
16NabaadhiyawanafunziwaKaisariawalifuatananasi, wakatuletaMnasonimmojawaKipro,mfuasiwazamani, ambayetulipaswakukaanaye
17TulipofikaYerusalemu,nduguwalitukaribishakwa furaha.
18KeshoyakePauloakaingiapamojanasikwaYakobo; nawazeewotewalikuwapo
19Kishaakawasalimu,akawaelezahasamamboambayo Mungualikuwaametendakatiyawatuwamataifakwa hudumayake
20Waliposikiahayo,wakamtukuzaBwana,wakamwambia, Ndugu,unaonajinsimaelfuyaWayahudiwalivyoamini; naowotewanabidiikwasheria;
21Naowamejulishwahabarizakokwambaunawafundisha Wayahudiwotewaliokatiyawatuwamataifakumwacha Musa,ukiwaambiawasiwatahiriwatotowao,wala wasizifuatedesturi.
22Nininibasi?Nilazimaumatiwakutane,kwamaana watasikiakwambaumekuja.
23Basi,fanyahilitunalokuambia:Tunaowatuwanne walionanadhirijuuyao;
24Watwaehao,ujitakasepamojanao,naweuwatoze,ili wanyoenywelezao;baliwewemwenyeweunaenendakwa ustadinakushikasheria
25Kwahabariyawatuwamataifawalionaimani, tumeandikanakuamuakwambawasishikekitukamahicho, isipokuwatuwajiepushenavituvilivyotambikiwasanamu, nadamu,nanyamailiyonyongwa,nauasherati.
26NdipoPauloakawachukuawalewatu,nasikuiliyofuata akajitakasapamojanao,akaingiandaniyahekalu, akionyeshautimizowasikuzautakaso,hatatoleolitolewe kwaajiliyakilammojawao
27Hatazilesikusabazilipokaribiakwisha,Wayahudiwa Asiawalipomwonahekaluni,wakawachocheawatuwote, wakamkamata;
28wakipigakelele,WanaumewaIsraeli,msaada!Huyu ndiyemtuanayewafundishawatuwotekilamahalijuuya watu,nasheria,namahalihapa;
29(KwamaanawalikuwawamemwonaTrofimo, mwenyejiwaEfeso,pamojanayekatikamji,ambaye walidhaniyakuwaPauloalikuwaamemletaHekaluni)
30Jijilotelikachafuka,watuwakakimbiapamoja, wakamkamataPaulo,wakamkokotanjeyahekalu,namara milangoikafungwa
31Walipokuwawakitakakumwua,habarizikamfikia mkuuwakikosikwambaYerusalemuyoteilikuwakatika ghasia
32Marahiyoakawachukuaaskarinamaakida, akawakimbiliaWalipomwonamkuuwajeshinaaskari, wakaachakumpigaPaulo
33Mkuuwajeshiakakaribia,akamshika,akaamuru afungwekwaminyororomiwili;akaulizayeyeninani,na amefanyanini
34Wenginekatikauleumatiwawatuwakaliajambohili nawenginejambolingine
35Alipopandangazi,askariwalimchukuakwasababuya jeuriyawatu.
36Kwamaanaumatiwawatuulimfuataukipigakelele, "Mwondoe!"
37Basi,Pauloalipokuwakaribukuingizwandaniya ngome,alimwambiamkuuwajeshi,Je!Naniakasema,Je! 38Je!
39Pauloakasema,"MiminiMyahudikutokaTarso,mji waKilikia,mwenyejiwamjiusioduniNakuomba uniruhusunisemenawatu"
40Alipomparuhusa,Pauloakasimamakwenyengazi, akawapungiamkonowatuKukawakimyakikuu,akasema naokwalughayaKiebrania,akisema,
SURAYA22
1Nduguzangunaakinababa,sikilizeninikijiteteakwenu sasa
2(Waliposikiakwambaanazungumzanaokwalughaya Kiebrania,wakazidikukaakimya.
3HakikamiminiMyahudi,niliyezaliwaTarso,mjiwa Kilikia,lakininililelewakatikamjihuumiguunipa Gamalieli,nakufundishwasawasawanasheriayababa zetu,namwenyebidiiMungu,kamaninyinyotemlivyo leo.
4Naminaliwatesanjiahiihatakufa,nikiwafungana kuwatiagerezaniwanaumekwawanawake
5kamavilekuhanimkuuanishuhudiavyo,nabarazalotela wazee;ambaonalipokeakwaobaruakwandugu,nikaenda DamaskoilikuwaletaYerusalemuwamefungwa,ili waadhibiwe
6IkawanilipokuwanikisafirinakukaribiaDameskiyapata saasitamchana,ghaflanurukuukutokambinguni iliniangaziapandezote.
7Nikaangukachini,nikasikiasautiikiniambia,Sauli,Sauli, kwaniniunaniudhi?
8Nikajibu,Weweninani,Bwana?Nayeakaniambia, MiminiYesuwaNazareti,ambayeweweunamtesa
9Nawalewaliokuwapamojanamiwaliionailenuru, wakaogopa;lakinihawakusikiasautiyayulealiyesema nami
10Nikasema,Nifanyenini,Bwana?Bwanaakaniambia, Ondoka,uendeDameski;nahukoutaambiwamamboyote ambayoumeamriwauyafanye
11Nanilipokuwasiwezikuonakwaajiliyautukufuwa nuruile,nikaongozwanamkononawalewaliokuwa pamojanami,nikafikaDamasko
12NamtummojaAnania,mchaMungukwamujibuwa sheria,aliyeshuhudiwavyemanaWayahudiwotewaliokaa huko;
13akajakwangu,akasimama,akaniambia,NduguSauli, patakuonatenaNasaaileilenilimtazama
14Akasema,Munguwababazetuamekuchaguawewe upatekujuamapenziyake,nakumwonayuleMwenye Haki,nakuisikiasautiyakinywachake
15Kwamaanautakuwashahidiwakekwawatuwotewa mambouliyoyaonanakuyasikia.
16Nasasaunakawianini?Simama,ubatizwe,ukaoshwe dhambizako,ukiliitiajinalaBwana
17IkawaniliporuditenaYerusalemu,nilipokuwa nikiombakatikahekalu,nilishikwanandoto;
18nikamwonaakiniambia,Fanyaharaka,utoke Yerusalemuupesi,kwamaanahawatakubaliushuhuda wakokunihusu
19Nikasema,Bwana,waowanajuayakuwamimi niliwatiagerezaninakuwapigakatikakilasinagogiwale waliokuamini;
20NawakatidamuyashahidiwakoStefanoilipomwagika, mimipianilikuwanimesimamakaribunikikubalianana kifochake,nikiyachungamavaziyawalewaliomwua
21Nayeakaniambia,Nendazako,kwamaananitakutuma uendembalikwaMataifa.
22Wakamsikilizahatanenolile,kishawakapazasautizao, wakisema,Mwondoedunianimtukamahuyu;
23Naowalipokuwawakipigakelele,nakuyatupamavazi yao,nakurushamavumbihewani
24Mkuuwajeshiakaamuruapelekwendaniyangome, akaamuruachunguzwekwakupigwamijeledi;iliapate kujuanikwaniniwalimliliahivyo
25Walipokuwawanamfungakwakamba,Paulo akamwambiajemadarialiyesimamakaribu,Je!
26Jemadarialiposikiahayo,akaendakumwambiamkuu wajeshi,akisema,Angaliaufanyalo;
27Mkuuwajeshiakamwendea,akamwambia,Niambie, weweniMroma?Akasema,Ndiyo
28Mkuuwajeshiakajibu,"Nimepatauhuruhuukwakiasi kikubwa"Pauloakasema,Lakinimiminilizaliwahuru
29Marawalewaliopaswakumhojiwakamwacha;na jemadarinayeakaogopaalipojuakwambayeyeniMroma, nakwasababualikuwaamemfunga.
30Keshoyake,akitakakujuahakikanikwaniniYesu alishitakiwanaWayahudi,alimfunguaPaulokatika vifungovyake,akawaamuruwakuuwamakuhanina Barazalaolotewaje,kishaakamteremshaPaulona kumwekambeleyao.
SURAYA23
1Pauloakawakaziamachobaraza,akasema,Nduguzangu, miminimeishimbelezaMungukatikadhamirinjemahata leo.
2KuhaniMkuuAnaniaakawaamuruwalewaliokuwa wamesimamakaribunayewampigekofimdomoni 3NdipoPauloakamwambia,Munguatakupigawewe, ukutauliopakwachokaa;
4Nawalewaliosimamakaribuwakasema,Je!
5Pauloakasema,Sikujua,nduguzangu,yakuwayeyeni KuhaniMkuu;
6PauloalipotambuayakuwasehemumojaniMasadukayo nanyingineMafarisayo,akapazasautiyakekatikabaraza, Nduguzangu,miminiMfarisayo,mwanawaMfarisayo katikaswali.
7Alipokwishasemahayo,kukatokeafarakanokatiya MafarisayonaMasadukayo,makutanoyakagawanyika 8KwamaanaMasadukayohusemakwambahakunaufufuo, walamalaika,walaroho;lakiniMafarisayohukiriyote mawili
9Kukatokeaukelelemkubwa,nawaandishiwaupandewa Mafarisayowakasimama,wakabishana,wakisema, Hatuoniubayawowotekatikamtuhuyu;Mungu
10Kulipotokeamafarakanomakubwa,mkuuwajeshi akiogopakwambaPauloangekatwavipande-vipande, akawaamuruaskariwashukewamtoekwanguvukutoka katiyaonakumpelekandaniyangome.
11UsikuuliofuataBwanaakasimamakaribunaye, akasema,Jipemoyo,Paulo;
12Kulipopambazuka,baadhiyaWayahudiwalifanya shaurinakujiapizakwambahawatakulawalakunywa mpakawamwuePaulo
13Nawalikuwazaidiyaarobainiwaliofanyanjamahiyo.
14Wakaendakwawakuuwamakuhaninawazee, wakasema,Tumejifungakwalaanakuukwamba hatutakulachochotempakatutakapokuwatumemwua Paulo
15Basisasaninyipamojanabarazamwonyeshenimkuu wajeshiamletekwenukamamnatakakujuahabarizake kwaukamilifu;
16NamwanawadadayakePauloaliposikiajuuya mpangowaowakumvizia,akaenda,akaingiandaniya ngome,akampashaPaulohabari
17Pauloalimwitammojawaakidaakamwambia,Mpeleke kijanahuyukwajemadari,maanaananenolakumwambia.
18Basiakamchukua,akampelekakwajemadari,akasema, MfungwaPauloaliniitaakaniombanikuleteekijanahuyu kwako,ambayeanajambolakukuambia
19Mkuuwajeshiakamshikamkono,akaendanaye faraghani,akamwuliza,Unaninichakuniambia?
20Akasema,Wayahudiwamepatanakukuombaumlete Paulokeshombeleyabaraza,kanakwambawanataka kuulizahabarizakekwausahihizaidi
21Lakiniweweusiwakubali,kwamaanawatuzaidiya arobainiwanamviziamiongonimwao,ambaowameapa kwambahawatakulawalakunywampakawatakapomuua; nasasawakotayarinikitafutaahadikutokakwako
22Basijemadariakamwachahuyokijanaaendezake, akamwamuru,Usimwambiemtuyeyotekwamba umenionyeshamambohaya
23Akawaitamaakidawawili,akisema,Wekenitayari askarimiambiliwaendeKaisaria,nawapandafarasisabini, nawapigamikukimiambili,saatatuusiku;
24mtawaandaliawanyamailiwampandishePaulona kumpelekasalamakwamkuuwamkoaFelisi.
25Nayeakaandikabaruahivi:
26KlaudioLisia,kwaFelisi,mtawalaborakabisa, nakusalimu.
27MtuhuyualikamatwanaWayahudiwakatakakuuawa nao;
28Naminilipotakakujuasababuyakumshtaki,nikamleta njekwenyebarazalaolawatu
29Nikaonakwambaanashitakiwakwamaswaliyasheria yao,lakinihakuwanashtakalinalostahilikifoauvifungo
30NilipoambiwajinsiWayahudiwalivyofanyanjamaya kumkamatamtuhuyo,nilitumaujumbekwakomaramoja, nikawaamuruwashtakiwakepiawasemembeleyako mashtakayaodhidiyakeKwaheri
31Basiaskari,kamawalivyoagizwa,wakamchukuaPaulo, wakampelekausikuAntipatri
32Keshoyakewaliwaachawapandafarasiwaendepamoja naye,wakarudikwenyengome.
33WalipofikaKaisaria,wakampaliwalibaruahiyo, wakamwekaPaulombeleyake
34Mkuuwamkoaalipoisomailebarua,akaulizaalikuwa wamkoaganiNayealipofahamuyakuwayeyenimtuwa Kilikia;
35Alisema,Nitakusikiawatakapokujawalewashitaki wakoKishaakaamuruawekwechiniyaulinzikatikaikulu yaHerode
SURAYA24
1Baadayasikutano,KuhaniMkuuAnaniaalishuka pamojanawazeepamojanamsemajimmojaaitwaye Tertulo
2Alipoitwa,Tertuloakaanzakumshtaki,akisema,Kwa kuwatunafurahiautulivumwingikupitiawewe,na kwambataifahililimetendewamemasanakwauandalizi wako;
3Sisitunalikubalijambohilisikuzotenakilamahali,kwa shukranizote,wewemtukufuFelisi
4Hatahivyo,ilinisikuchoshezaidi,nakuombautusikilize kwamanenomachachejuuyarehemazako
5Kwamaanatumemwonamtuhuyukuwamtumbayana anayechocheauasikatiyaWayahudiwotedunianikotena kiongoziwamadhehebuyaWanazareti
6YeyepiaalitakakulitiaunajisiHekalu,ambaye tulimkamatanatulitakakumhukumukufuatananaSheria yetu
7LakinijemadariLisiaakatujia,akamwondoamikononi mwetukwanguvunyingi.
8Akawaamuruwashtakiwakewajekwako;
9Wayahudinaowakakubali,wakisemakwambamambo hayondivyoyalivyo
10Basi,Paulo,liwalialipomwashiriaazungumze,akajibu, “Ninachojuakwambaumekuwamwamuziwataifahili kwamudawamiakamingi,najijibukwamoyomkuuzaidi
11iliupatekufahamuyakuwabadosikukuminambili tangunilipokweakwendaYerusalemukuabudu.
12HawakunikutaHekaluninikibishananamtuyeyote, walakuwachocheawatukatikamasunagogiwalamjini
13Walahawawezikuthibitishamambowanayonishitaki sasa.
14Lakinininaungamanenohilikwako,yakwambamimi namwabuduMunguwababazangukwanjiaileile wanayoiitauzushi,nikiyaaminiyoteyaliyoandikwakatika toratinakatikamanabii;
15tenaninatumainikwaMungu,ambalowaowenyewe wanalo,kwambakutakuwanaufufuowawafu,wenyehaki nawasiohaki
16Nakatikahilinajizoezakuwanadhamiriisiyonahatia mbelezaMungunambeleyawanadamusikuzote
17Sasabaadayamiakaminginilikujakuletasadakakwa taifalangunamatoleo.
18KwahiyobaadhiyaWayahudikutokaAsiawalinikuta nikiwanimejitakasaHekaluni,sipamojanaumatiwawatu walabilafujo.
19ambaowalipaswakuwahapambeleyakonakunishtaki kamawalikuwananenojuuyangu
20Auwaachehawawaliohapawaseme,ikiwawamepata uovuwowotendaniyangu,nilipokuwanimesimamambele yabaraza;
21Isipokuwanisautihiimojaniliyopigakelele nikisimamakatiyao,Kuhusuufufuowawafu, ninashutumiwananinyileo
22Felisialiposikiahayo,akiwanaujuzimwingizaidiwa Njiaile,akawaahirisha,akasema,Lisia,jemadarimkuu, atakaposhuka,nitajuakabisahabarizenu
23AkaamuruakidammojaamzuiePaulo,naawenauhuru, naasimkatazemtuyeyotewamarafikizakekumhudumia aukujakwake
24Baadayasikukadhaa,Felisialifikapamojanamke wakeDrusila,ambayealikuwaMyahudi,akatumawatu kumwitaPaulo,akamsikilizakuhusuimanikatikaKristo 25Alipokuwaakinenajuuyahaki,nakuwanakiasi,na hukumuitakayokuja,Felisiakatetemeka,akajibu,Nenda sasa;nipatapomajiranitakuita
26AlitumainipiakwambaPauloangempafedhaili amfungue;
27Lakinibaadayamiakamiwili,PorkioFestoakaingia mahalipaFelisi;
SURAYA25
1Festoalipofikakatikajimbohilo,baadayasikutatu alipandakutokaKaisariampakaYerusalemu
2KuhanimkuunawakuuwaWayahudiwakamletea mashtakadhidiyaPaulonakumsihi
3akaombaneemajuuyakekwambaatumeaitwe Yerusalemu,wakiwawanamvizianjianiiliwamuue
4LakiniFestoakajibukwambaPauloalipaswakulindwa Kaisarianakwambayeyemwenyeweatakwendahuko upesi.
5Akasema,Kwahiyowaleambaomiongonimwenu waweza,nawashukepamojanami,wakamshitakimtu huyu,ikiwaanauovuwowotendaniyake
6Alipokwishakukaanaozaidiyasikukumi,alishuka mpakaKaisaria;Keshoyake,akiwakatikakitichahukumu akaamuruPauloaletwe
7Alipofika,WayahudiwalioshukakutokaYerusalemu wakasimamawakimzunguka,wakatoamashitakamengina mazitojuuyaPaulo,ambayohawakuwezakuyathibitisha
8Nayeakijijibumwenyewe,Sikukosanenololotejuuya SheriayaWayahudi,walajuuyahekalu,walajuuya Kaisari
9LakiniFestoakitakakujipendekezakwaWayahudi, akamjibuPaulo,akasema,Je!
10Pauloakasema,“Nimesimamambeleyakiticha hukumuchaKaisari,ambapoinanipasakuhukumiwa 11Kwamaanaikiwamiminimkosajiaunimefanyajambo lolotelinalostahilikifo,sikataikufa;Nakatarufanikwa Kaisari
12NdipoFestoalipozungumzanabaraza,akajibu,Je, umekatarufanikwaKaisari?kwaKaisariutakwenda
13BaadayasikukadhaamfalmeAgripanaBernike wakafikaKaisariailikumsalimuFesto
14Walipokuwawamekaahukosikunyingi,Festo akamwelezamfalmehabarizaPaulo,akisema,Kunamtu mmojaaliyeachwanaFeliksikifungoni
15ambayenilipokuwaYerusalemumakuhaniwakuuna wazeewaWayahudiwalinileteahabarizakewakitaka hukumudhidiyake
16Naminikamjibu,SidesturiyaWarumikutoamtuye yoteafe,kablamshtakiwahajapatananawashtakiwake usokwauso,nakuwanakibalichakujiteteamwenyewe juuyahatiaaliyoshtakiwa
17Kwahiyo,walipofikahapa,sikukawiakamwe,siku iliyofuataniliketikwenyekitichahukumu,nikaamuruyule mtualetwenje
18Washitakiwaliposimamajuuyake,hawakuleta mashtakayoyoteyaleniliyofikiri
19lakiniwalikuwanamaswalifulanidhidiyakekuhusu imaniyaoyakishirikina,najuuyamtummojaYesu ambayealikuwaamekufa,ambayePauloalithibitisha kwambayuhai
20Basi,kwakuwanilikuwanashakajuuyamaswalikama hayo,nikamwulizakamaangependakwendaYerusalemu nakuhukumiwahukokuhusumambohaya
21LakinibaadayaPaulokukatarufaniiliisikizwena Augusto,niliamurualindwempakanimtumekwaKaisari
22AgripaakamwambiaFesto,Mimipianingependa kumsikilizamtuhuyo.Alisema,Keshoutamsikiliza.
23Keshoyake,AgripaalikujapamojanaBernikewakiwa nafaharikubwa,wakaingiakatikachumbachakusikiliza kesipamojanamaakidawakuunawakuuwajiji,kwaamri yaFesto,Pauloakaletwanje
24Festoakasema,“MfalmeAgripanawatuwotemliopo hapapamojanasi,mnamwonamtuhuyuambayeumati wotewaWayahudiulinifanyiakazikatikaYerusalemuna hapapia,akipigakelelekwambaasinilazimishe.kuishitena.
25Lakininilipoonakwambahakutendanenololote linalostahilikifo,nakwambayeyemwenyeweamekata rufanikwaAugusto,niliamuakumpeleka
26Mimisinanenolahakikalakumwandikiabwanawangu juuyakeKwahiyonimemletambeleyenu,nahasambele yako,EemfalmeAgripa,ili,baadayauchunguzi,nipate jambolakuandika
27Kwamaananaonakuwasijambolaakilikupeleka mfungwa,nabilakuonyeshamaovuyaliyowekwajuuyake.
SURAYA26
1AgripaakamwambiaPaulo,"Unaruhusiwakujitetea" NdipoPauloakanyoshamkono,akajibukwaajiliyake mwenyewe.
2Najionamwenyefuraha,EemfalmeAgripa,kwasababu leonitajijibumbeleyakojuuyamashitakayote niliyoshitakiwanaWayahudi;
3Hasakwakuwawewenimjuziwadesturinamabishano yoteyaWayahudi;kwahiyonakuombaunisikilizekwa uvumilivu
4Namnayamaishayangutanguujanawangu,iliyokuwa hapokwanzakatikataifalanguhukoYerusalemu,wanaijua Wayahudiwote;
5Walionijuatangumwanzo,kamawangetakakushuhudia, yakwambamiminaliishikamaMafarisayo,kwakufuata liledhehebulililodhahirisanaladiniyetu
6Nasasaninasimamailinihukumiwekwaajiliyatumaini laahadiambayoMungualiwapababuzetu.
7Ahadihiyoambayokabilazetukuminambili, wakimwabuduMungukwabidiimchananausiku, wanatumainikufika.Kwaajiliyatumainihilo,mfalme Agripa,ninashitakiwanaWayahudi
8Kwaninimfikiriwekuwanijambolisilosadikikakwenu kwambaMunguatawafufuawafu?
9Hakikamimimwenyewenilifikirikwambaimenipasa kufanyamambomengikinyumechajinalaYesuwa Nazareti.
10NaminilifanyajambohilohukoYerusalemu;na walipouawa,nilitoasautiyangudhidiyao
11Namaranyingikatikakilasinagoginiliwaadhibuna kuwashurutishakukufuru;nakwakuwanikiwanawazimu kupitakiasi,niliwatesampakamijiyaugenini
12KwahiyonilipokuwanikiendaDamaskonikiwana mamlakanaagizokutokakwamakuhaniwakuu
13Wakatiwaadhuhuri,Eemfalme,njianinilionanuru kutokambinguni,ipitayomwangazawajua,ikimulika pandezotemiminawalewaliosafiripamojanami
14Sisisotetulipokuwatumeangukachini,nikasikiasauti ikisemanamikwalughayaKiebrania,Sauli,Sauli,kwa niniunanitesa?nivigumukwakokupigateke
15Nikasema,Weweninani,Bwana?Akasema,Mimi ndimiYesuunayeniudhi.
16Lakiniinuka,usimamekwamiguuyako;
17nikikukomboakutokakwawatunakutokakwawatuwa mataifa,ambaoninakutumakwaosasa.
18uwafumbuemachoyao,nakuwageuzawaiachegizana kuiendeanuru,nakutokakatikanguvuzaShetanina kumwelekeaMungu,wapateondoleoladhambinaurithi miongonimwaowaliotakaswakwaimaniiliyondani yangu
19Kwahiyo,EemfalmeAgripa,sikuyaasimaonoyaleya mbinguni
20LakininiliwahubirikwanzawatuwaDamaskona Yerusalemu,nakatikamipakayoteyaUyahudi,kishakwa watuwaMataifa,kwambawatubunakumgeukiaMungu, nakufanyamatendoyanayopatananatoba.
21KwaajiliyahayoWayahudiwalinikamatahekaluni, wakatakakuniua
22Kwahiyo,baadayakupatamsaadakutokakwaMungu, naendeleahadileohii,nikiwashuhudiawadogokwa
wakubwa,nisisememambomengineisipokuwayale ambayomanabiinaMusawalisemayatatokea.
23kwambaKristoatateswa,nakwambaatakuwawa kwanzakufufukakutokakwawafu,nakutangazanurukwa watunakwamataifa.
24Alipokuwaakijiteteahivyo,Festoakasemakwasauti kuu,“Paulo,unawazimu;elimunyingihukutiawazimu
25Lakiniakasema,Sinawazimu,mheshimiwaFesto;bali nanenamanenoyakwelinayakiasi
26Kwamaanamfalmeanajuamambohaya,ambaye ninasemanayekwauhuru;maanajambohilihalikufanyika pembeni
27MfalmeAgripa,je,unawaaminimanabii?Najua kwambaunaamini
28AgripaakamwambiaPaulo,Karibuunifanyekuwa Mkristo.
29Pauloakasema,NamwombaMungukwambasiwewe tu,balinawotewanaonisikilizaleowawekamamimi nilivyo,isipokuwavifungohivi.
30Baadayakusemahayo,mfalmeakasimama,liwalina Bernikenawalewaliokuwawameketipamojanao
31Wakaondokawakasemezanawaokwawao,wakisema, Mtuhuyuhafanyinenololotelinalostahilikifoauvifungo
32AgripaakamwambiaFesto,Mtuhuyuangaliweza kuachiliwakamaasingalikuwaamekatarufanikwaKaisari.
SURAYA27
1BasiilipoamuliwatusafirikwamelikwendaItalia, walimtiaPaulonawafungwawenginekwaofisammoja aitwayeYulio,wakikosichaAugusto.
2TukapandamerikebuyaAdramitio,iliyokuwatayari kusafirikatikapwaniyaAsia;mmojaAristarko, MmakedoniawaThesalonike,alikuwapamojanasi.
3KeshoyaketukafikaSidoniNayeYulioakamfanyia Paulokwauungwana,akamparuhusayakwendakwa rafikizakeiliapatekuburudisha.
4KutokahukotulisafirikwamelichiniyaKiprokwa sababuupepoulikuwaunatupinga
5TukavukabahariyaKilikianaPamfilia,tukafikaMira, mjiwaLikia
6HukoakidaakakutameliyaAleksandriailiyokuwa ikisafirikwendaItalia;naakatuwekahumo.
7Baadayakusafiripolepolekwasikunyingi,tukafikakwa shidakuelekeaKinido
8Tukapitanjiakwashida,tukafikamahalipaitwapo BandariNzuri;karibunamjiwaLasea
9Wakatimwingiulipokwishakupita,nasafariilipokuwa hatari,kwasababumfungoulikuwaumekwishakupita, Pauloakawaonya, 10Akawaambia,Bwanazangu,naonayakuwasafarihii itakuwayamadharanamadharamengi,siyashehenana melitu,balinamaishayetupia
11Lakiniyulejemadarialimwamininahodhanamwenye melizaidiyayalealiyosemaPaulo
12Kwakuwailebandarihaikuwanzurikukaahumo wakatiwabaridi,wengiwaowakashaurikuondokahuko pia,ikiwakwanjiayoyotewangewezakufikaFoinikena kukaahukowakatiwabaridiambayonibandariyaKrete, nayoikoupandewakusini-magharibinakaskazinimagharibi
13Upepowakusiulipovumapolepole,wakadhani kwambawametimizakusudilao,wakaondokahapo, wakasafirikaribunaKrete
14Lakinimudamfupibaadaye,upepowatufaniuitwao Euroklidoniukatokeadhidiyake.
15Meliiliponaswa,nahaikuwezakustahimiliupepo, tukaiachaiendeshe
16TukapitachiniyakisiwakiitwachoKlauda, tukalazimikakusafirikwamashua
17Walipoiinua,walitumiamisaadakwakuifunga merikebu;nakwakuogopawasijewakaangukakwenye mchangawamchanga,wakapunguzamatanganahivyo kusukumwa.
18Tulipokuwatukipeperushwasananatufani,keshoyake wakapunguzauzitowameli;
19Sikuyatatutukatupakwamikonoyetuvifaavyameli.
20Najuawalanyotahazikuonekanakwasikunyingi,na tufaniisiyokuwandogoikatujia,tumainilotelakuokolewa likatoweka.
21Lakinibaadayakukaamudamrefubilakula,Paulo akasimamakatikatiyao,akasema,"Enyiwatu, mngalinisikilizanahamkutokaKretenakupatamadharana hasarahii"
22Nasasanawasihimuwenamoyomkuu;
23Kwamaanausikuhuualisimamakaribunamimalaika waMunguambayemiminiwakenaambayeninamtumikia 24akisema,Usiogope,Paulo;lazimaupelekwembeleya Kaisari,natazama,Munguamekupawotewanaosafiri pamojanawe
25Kwahiyo,mabwanazangu,jipenimoyo;
26Lakiniimetupasakutupwakatikakisiwafulani.
27Ilipofikausikuwakuminanne,tulipokuwa tukisukumwahukunahukuhukoAdria,yapatausikuwa mananemashuawalifikirikwambawanakaribianchifulani;
28Wakapigatarumbeta,wakaonakuwanipimaishirini; 29Kwakuogopatusijetukaangukakwenyemiamba, wakatupanangannenyumayameli,wakatakakuche.
30Mabahariawalipokuwatayarikukimbiakutoka merikebuni,waliishushamashuabaharini,ilionekanakana kwambawanatakakutupanangakwenyesehemuyambele yameli
31Pauloakamwambiayulejemadarinaaskari,Hawa wasipokaandaniyamashua,hamwezikuokoka.
32Kishaaskariwakakatakambazamashua,wakaiacha ianguke
33Kulipopambazuka,Pauloakawasihiwotewalechakula, akisema,Leonisikuyakuminanneambayommekaana kufungabilakulachochote.
34Kwahiyonawaombenimlechakula,kwamaanahikini kwaajiliyaafyayenu;
35Baadayakusemahayo,akatwaamkate,akamshukuru Mungumbeleyaowote,akaumega,akaanzakula.
36Basiwotewakachangamka,wakalapiachakula
37Nasisisotetulikuwandaniyamerikebuwatumiambili sabininasita
38Walipokwishakulachakulachakutosha,wakapunguza uzitowamashuanakutupanganobaharini.
39Kulipopambazuka,hawakuijuanchikavu,lakini walionakijitokimojachaufuo,nawalitakakuingiza mashuahumokamaingewezekana.
40Wakang'oananga,wakaziachabaharini,wakazifungua kambazausukani;
41Wakaangukamahalipalipokutananabaharimbili, wakaiangushamerikebu;nasehemuyambeleilishikamana nakukaabilakutikisika,lakinisehemuyanyumailipasuka kwanguvuyamawimbi.
42Nashaurilaaskarililikuwakuwauawafungwa,ili mmojawaoasiogeleenakutoroka
43LakiniyulejemadariakitakakumwokoaPaulo, akawazuiawasifanyekusudilao;akawaamuruwale wanaowezakuogeleawatupwekwanzabaharininakufika nchikavu;
44Nawaliosalia,wenginejuuyambao,nawenginejuuya vipandevyamerikebuNaikawakwambawotewakaokoka mpakanchikavuwakiwasalama.
SURAYA28
1Walipokwishakuokoka,walifahamukwambakilekisiwa kinaitwaMelita
2Walewenyejiwakatutendeawemamwingi,kwamaana waliwashamotonakutupokeasisisotekwasababuya mvuailiyokuwaikinyeshanakwasababuyabaridi
3Pauloalikusanyafungulakuninakuziwekajuuyamoto, nyokammojaakatokakwasababuyajoto,akamshika mkono
4Wenyejiwalipomwonayulemnyamaananing'inia mkononimwake,wakasemezanawaokwawao,"Hakika mtuhuyunimwuaji,ambayeingawaameokokabaharini, kisasihakimwachikuishi."
5Nayeakamkung'utiayulemnyamamotoni,asipate madhara
6Lakiniwaowalikuwawakitazamiakwambaangevimba aukuangukachininakufaghafula;
7Mahalihapopalikuwanamashambayamkuuwakisiwa, jinalakePublio;ambayealitukaribisha,akatukaribishakwa ukarimusikutatu
8IkawababakePublioalikuwaamelalakitandani,hawezi homanakutokwanadamu;
9Jambohilolilipotukia,wenginewaliokuwanamagonjwa katikakisiwawakajawakaponywa
10naowalituheshimukwaheshimanyingi;na tulipoondoka,walitubebeshayaletuliyohitaji
11Baadayamiezimitatutukaondokakwamerikebuya Aleksandriailiyokuwaimekaakisiwaniwakatiwabaridi, yenyeisharayakeKastornaPoluksi
12TulifikaSirakusa,tukakaahukosikutatu
13KutokahukotukazungukatukafikaRegio,nabaadaya sikumojaupepowakusiukavuma,sikuyapilitukafika Puteoli;
14Hukotuliwakutaakinandugu,tukasihitukaenaosiku saba;
15Kutokahuko,akinanduguwaliposikiahabarizetu, walikujakutupokeampakakwenyeukumbiwaApiona kwenyeMikahawamitatu
16TulipofikaRoma,jemadarialiwawekawafungwakwa mkuuwawalinzi,lakiniPauloaliruhusiwakukaapeke yakepamojanaaskarianayemlinda
17Ikawa,baadayasikutatu,Pauloaliwaitawakuuwa Wayahudipamoja,naowalipokutanika,akawaambia, Nduguzangu,ijapokuwasikuwatendanenololotejuuya watuaudesturizababazetu.,hatahivyonilitiwakatika mikonoyaWaromanikiwamfungwakutokaYerusalemu
18Naowalipokwishakunihoji,walitakakuniachaniende zao,kwasababuhapakuwanasababuyakuniua.
19LakiniWayahudiwalipopinga,nililazimikakukata rufanikwaKaisari;sikwambanilikuwanakitucha kuwashtakitaifalangu.
20Kwasababuhiyonimewaitaninyiniwaonena kuzungumzananyi,kwasababukwaajiliyatumainila Israelinimefungwakwamnyororohuu.
21Wakamwambia,Sisihatukupokeabaruakutoka Uyahudijuuyako,walahakunanduguyeyotealiyekuja kutoahabariaukusemanenobayajuuyako
22Lakinitunatakakusikiakutokakwakomaoniyako,kwa maanakuhusumadhehebuhiitunajuakwambakilamahali inasemwavibaya
23Walipomwekeasikumoja,watuwengiwalimwendea katikamakaoyake.ambaoaliwafafanulianakuwashuhudia ufalmewaMungu,akiwavutakatikahabarizaYesu, kutokakatikatoratiyaMusanakatikamanabii,tangu asubuhihatajioni.
24Wenginewaliaminimanenoyaliyosemwa,lakini wenginehawakuamini
25Nakwakuwahawakupatanawaokwawao,wakaenda zao,baadayaPaulokusemanenomoja,RohoMtakatifu alisemavemakwakinywachanabiiIsayanababazetu;
26akisema,Nendakwawatuhawa,ukawaambie,Kusikia mtasikia,walahamtaelewa;nakutazamamtatazama,wala hamtaona;
27Kwamaanamioyoyawatuhawaimekuwamizito,na kwamasikioyaohawasikiivema,namachoyao wameyafumba;wasijewakaonakwamachoyao,nakusikia kwamasikioyao,nakuelewakwamioyoyao,nakuongoka, naminikawaponya
28Basiijulikanekwenu,yakwambawokovuwaMungu umetumwakwaMataifa,naowatausikia.
29Baadayakusemahayo,Wayahudiwakaendazao,huku wakiwanamajadilianomengikatiyao
30Pauloalikaamiakamiwilimizimakatikanyumbayake aliyoiajiri,akawakaribishawotewaliokuwawakimwendea 31akihubiriufalmewaMungu,nakuyafundishamambo yaBwanaYesuKristokwaujasirimwingi,asikatazwena mtu