Swahili - The Book of Prophet Ezekiel

Page 1


Ezekieli

SURAYA1

1Ikawakatikamwakawathelathini,mweziwanne,siku yatanoyamwezi,nilipokuwakatiyawafungwakaribuna mtoKebari,mbinguzikafunguka,nikaonamaonoya Mungu.

2Katikasikuyatanoyamwezi,ambaoulikuwamwakawa tanowakutekwakwamfalmeYehoyakini, 3NenolaBwanalikamjiaEzekieli,kuhani,mwanawa Buzi,waziwazi,katikanchiyaWakaldayo,karibunamto Kebari;namkonowaBwanaulikuwahukojuuyake

4Kishanikaona,natazama,tufaniyakisulisuliikitoka kaskazini,wingukubwa,namotounaowaka,namwangaza kulizungukapandezote,nakutokakatikatiyakekama rangiyakahawia,kutokakatikatiyamoto.

5Tenakutokakatikatiyakekulikuwanamfanowaviumbe haiwanneNahiindiyosurayao;walikuwanamfanowa mtu.

6Nakilammojaalikuwananyusonne,nakilammoja alikuwanamabawamanne

7Namiguuyaoilikuwamiguuiliyonyooka;nanyayoza miguuyaokamanyayozandama;zilimetakamarangiya shabailiyosuguliwa

8Nawalikuwanamikonoyamwanadamuchiniyambawa zaokatikapandezaonne;nahaowannewalikuwana nyusozaonamabawayao

9Mabawayaoyaliunganishwa,hilinahili;hawakugeuka walipokwenda;walikwendakilammojambelemojakwa moja

10Kwahabariyamfanowanyusozao,haowanne walikuwanausowamwanadamu,nausowasimbaupande wakuume;nahaowannewalikuwanausowang'ombe upandewakushoto;haowannepiawalikuwanausowatai. 11Nyusozaozilikuwahivi;namabawayaoyalikuwa yamenyoshwajuu;mabawamawiliyakilammoja yalishikamana,hilinahili,namabawamawiliyalifunika miiliyao

12Naowakaendakilammojambelemojakwamoja;nao hawakugeukawalipokwenda

13Nasurayahaoviumbehai,kuonekanakwaokulikuwa kamamakaayamotoyawakayo,nakamakuonekanakwa taa;namotoulikuwamkali,nakatikamotohuoukatoka umeme

14Nahaoviumbehaiwalikimbianakurudikama kuonekanakwaumeme

15Basinilipokuwanikiwatazamawaleviumbehai,tazama gurudumumojajuuyanchikaribunavileviumbehai, pamojananyusozakenne

16Kuonekanakwamagurudumuhayonakaziyake ilikuwakamarangiyazabarajadi;nahayomanneyalikuwa nasuramoja;nakuonekanakwakenakaziyakeilikuwa kamagurudumumojakatikatiyagurudumu

17Walipokwendawaliendapandezaonne,wala hawakugeukawalipokwenda

18Petezakezilikuwajuusanahatazikatisha;napetezao nnezilikuwazimejaamachopandezote.

19Nahaoviumbehaiwalipokwenda,magurudumu yalikwendakandoyao;

20Popoterohoilitakakwenda,walikwenda,narohoyao iliendahuko;nayomagurudumuyaliinuliwambeleyao; kwamaanarohoyaviumbehaiilikuwandaniya magurudumu

21Haowalipokwenda,haowalikwenda;nahao waliposimama,haowalisimama;nahivyovilipoinuliwa kutokachini,magurudumuyaliinuliwambeleyao;kwa maanarohoyaviumbehaiilikuwandaniyamagurudumu

22Namfanowaangajuuyavichwavyaviumbehai ilikuwakamarangiyakiooyakutisha,iliyotandazwajuu yavichwavyaojuu

23Nachiniyaangamabawayaoyalikuwayamenyooka, hilililielekealapili;

24Naowalipokwenda,nilisikiamshindowambawazao, kamamshindowamajimengi,kamasautiyaMwenyezi, sautiyausemi,kamasautiyajeshi;waliposimama walishushamabawayao

25Kulikuwanasautikutokaangailiyokuwajuuyavichwa vyao,waliposimamanakuangushamabawayao

26Najuuyaangailiyokuwajuuyavichwavyaopalikuwa namfanowakitichaenzi,kamakuonekanakwajiwela samawi;

27Kishanikaonakamarangiyakahawia,kamakuonekana kwamotondaniyakekuizungukapandezote,tangu kuonekanakwaviunovyakenajuu,natangukuonekana kwaviunovyakenachini,nikaonakanakwambani kuonekanakwamoto,napalikuwanamwangazapande zote

28Kamakuonekanakwaupindewamvuauliokatika wingusikuyamvua,ndivyokulivyokuwakuonekanakwa mwangahuopandezoteHiiilikuwanikuonekanakwa surayautukufuwaBWANA.Naminilipoona,nikaanguka kifudifudi,nikasikiasautiyamtualiyesema

SURAYA2

1Akaniambia,Mwanadamu,simamakwamiguuyako, naminitasemanawe.

2Nayealiposemanami,rohoikaniingia,ikanisimamisha kwamiguuyangu,nikamsikiayeyealiyesemanami

3Akaniambia,Mwanadamu,nakutumakwawanawa Israeli,kwataifalawaasi,lililoniasimimi;

4Kwamaanawaoniwatotowakaidinawenyemioyo migumu.nakutumakwao;naweutawaambia,Bwana MUNGUasemahivi

5Nao,kwambawatasikia,aukwambahawatakikusikia, (maanawaoninyumbailiyoasi),hatahivyowatajuaya kuwanabiiamekuwakokatiyao

6Nawewe,mwanadamu,usiwaogope,walausiogope manenoyao,ijapokuwamichongomanamiibaikopamoja nawe,naweunakaakatiyange;

7Naweutawaambiamanenoyangu,kwambawatasikia,au kwambahawatakikusikia;kwamaanawaoniwaasisana.

8Lakiniwewe,mwanadamu,sikianinalokuambia;Usiwe mwasikamanyumbaileiliyoasi;funguakinywachako,ule ninachokupa.

9Naminilipotazama,tazama,mkonoulitumwakwangu; natazama,gombolakitabulilikuwandaniyake;

10Nayeakaitandazambeleyangu;nayoilikuwa imeandikwandaninanje,nandaniyakekulikuwa kumeandikwamaombolezo,namaombolezo,naole

1Tenaakaniambia,Mwanadamu,kulaupatacho;ule gombohili,uendeukasemenanyumbayaIsraeli.

2Basinikafunguakinywachangu,nayeakanilishanile gombohilo

3Akaniambia,Mwanadamu,lishatumbolako,ukajaze matumboyakonagombohilininalokupa.Kishanikala; nachokilikuwakinywanimwangukamaasalikwautamu

4Akaniambia,Mwanadamu,enenda,uendekwanyumba yaIsraeli,ukasemenaomanenoyangu

5Kwamaanahukutumwakwawatuwalughangenina lughangumu,balikwanyumbayaIsraeli; 6sikwamataifamengiyalughangeninalughangumu, ambaomanenoyaohuwezikuyafahamuHakikalau ningekutumakwaowangekusikiliza.

7LakininyumbayaIsraelihawatatakakukusikiliza;kwa maanahawatakikunisikiliza;kwamaananyumbayoteya Israeliniwakaidinawagumumioyoni.

8Tazama,nimeufanyausowakokuwamgumujuuya nyusozao,nakipajichakochausokuwakigumujuuya vipajivyanyusozao.

9Nimefanyakipajichausowakokamaadamungumu kulikogumegume;usiwaogope,walausifadhaikekwa sababuyanyusozao,wajapokuwaninyumbayakuasi.

10Tenaakaniambia,Mwanadamu,manenoyanguyote nitakayokuambia,yapokeemoyonimwako,nauyasikie kwamasikioyako.

11Uendezako,uwaendeewatuwauhamisho,kwawana wawatuwako,usemenao,nakuwaambia,Bwana MUNGUasemahivi;kwambawatasikia,aukwamba watakataa

12Ndiporohoikaniinua,nikasikianyumayangusautiya mshindomkuu,ikisema,UtukufuwaBwananaubarikiwe mahalipake

13Tenanikasikiamshindowamabawayawaleviumbehai wakigusana,namshindowamagurudumukuwaelekea,na mshindowamshindomkuu

14Basirohoikaniinua,ikanichukua,nikaendakwa uchungu,katikajotolarohoyangu;lakinimkonowa BWANAulikuwananguvujuuyangu

15NdiponikafikakwawatuwauhamishohukoTelabibu, waliokaakaribunamtoKebari,nikaketimahaliwalipoketi, nikakaahukokatiyaokwamudawasikusaba

16Ikawamwishowasikusaba,nenolaBwanalikanijia, kusema, 17Mwanadamu,nimekuwekakuwamlinziwanyumbaya Israeli;basi,sikianenohilikinywanimwangu,ukawape maonyokutokakwangu

18Nimwambiapomtumbaya,Hakikautakufa;nawe usimpemaonyo,walahusemiilikumwonyamtumbaya, aachenjiayakembaya,nakuokoamaishayake;mtu mwovuhuyohuyoatakufakatikauovuwake;lakinidamu yakenitaitakamkononimwako

19Lakiniukimwonyamtumbaya,walayeyehauachiuovu wake,walanjiayakembaya,atakufakatikauovuwake; lakiniumejiokoanafsiyako.

20Tena,mwenyehakiatakapoghairi,nakuiachahakiyake, nakutendauovu,naminikawekakikwazombeleyake, atakufa;lakinidamuyakenitaitakamkononimwako.

21Lakiniukimwonyamwenyehaki,kwambamwenye hakiasitendedhambi,walayeyehatendidhambi,hakika ataishikwasababuameonywa;piaumejiokoanafsiyako 22NamkonowaBwanaulikuwahapojuuyangu; akaniambia,Ondoka,nendauwandani,namihukonitasema nawe

23Ndiponilipoinuka,nikaendauwandani;natazama, utukufuwaBwanaulisimamapale,kamauleutukufu niliouonakaribunamtoKebari;nikaangukakifudifudi

24Ndiporohoikaniingia,ikanisimamishakwamiguu yangu,akasemanami,nakuniambia,Enenda,ukajifungie ndaniyanyumbayako

25Lakiniwewe,mwanadamu,tazama,watakuwekea kamba,nakukufunganazo,walahutatokakwendakatiyao; 26Naminitaufanyaulimiwakoushikamanenakaakaala kinywachako,hatauwebubu,walahutakuwamlaumu kwao;kwamaanawaoninyumbailiyoasi

27Lakininitakaposemanawe,nitafunguakinywachako, naweutawaambia,BwanaMUNGUasemahivi; Anayesikianaasikie;nayeyeakataayenaaache;maana waoninyumbailiyoasi

SURAYA4

1Wewenawe,mwanadamu,jitwaliekigae,uliwekembele yako,ukauchorejuuyakehuomji,yaani,Yerusalemu; 2nauuzingie,nakujengangomejuuyake,nakuweka bomajuuyake;wekakambijuuyake,nakuwekamaboma juuyakekuizungukapandezote

3Tenaujipatiesufuriayachuma,ukaiwekeiweukutawa chumakatiyakonahuomji;Hiiitakuwaisharakwa nyumbayaIsraeli

4Naweulalekwaubavuwakowakushoto,nakuuwekea uovuwanyumbayaIsraelijuuyake;

5Kwamaananimewekajuuyakomiakayauovuwao kamahesabuyasiku,sikumiatatunatisini;ndivyo utakavyouchukuauovuwanyumbayaIsraeli.

6Nautakapozitimiza,lalatenaubavuwakowakuume, naweutauchukuauovuwanyumbayaYudamudawasiku arobaini;

7Kwahiyoutaelekezausowakokuelekeakuzingirwakwa Yerusalemu,namkonowakoutakuwawazi,naweutatoa unabiijuuyake.

8Natazama,nitakutiavifungo,walahutageukakutoka upandemmojahataupandemwingine,hata utakapozimalizasikuzakuzingirwakwako.

9Naweujipatiengano,nashayiri,namaharagwe,nadengu, namtama,nasaki,ukavitiekatikachombokimoja, ukajifanyiemkatekwahizo,kamahesabuyasiku utakazolalakwaubavuwako,utakulakwasikumiatatuna tisini

10Nachakulachakoutakachokulakitakuwakwamizani, shekeliishirinikwasiku;utakulamarakwamara

11Naweutakunywamajikwakipimo,sehemuyasitaya hini;utakunywamarakwamara

12Naweutailakamamikateyashayiri,naweutaiokakwa maviyawanadamumbeleyamachoyao.

13Bwanaakasema,NdivyowanawaIsraeli watakavyokulamkatewaouliotiwaunajisikatiyamataifa, hukonitakakowafukuza.

Ezekieli

14Ndiponikasema,EeBwanaMUNGU!tazama,roho yanguhaijatiwaunajisi;walanyamailiyochukiza haikuingiakinywanimwangu

15Ndipoakaniambia,Tazama,nimekupamaviyang'ombe badalayamaviyamwanadamu,naweutaandaachakula chakokwahayo

16Tenaakaniambia,Mwanadamu,tazama,nitalivunja tegemeolamkatekatikaYerusalemu;naowatakunywa majikwakipimo,nakwamshangao;

17Iliwapatekukosamkatenamaji,nakustaajabuwao kwawao,nakuangamizakwaajiliyauovuwao

SURAYA5

1Nawewe,mwanadamu,jipatiekisuchenyemakali, ujipatiewembewakinyozi,ukapitishejuuyakichwa chakonandevuzako;

2Naweutateketezakwamototheluthimojakatikatiyamji, sikuzakuzingirwazitakapotimia;naweutatwaatheluthi moja,nakuupigapandezotekwakisu;naminitauchomoa upanganyumayao

3Nawetwaakatikahayomachachekwahesabu,na kuifungakatikavazilako

4Kishautwaebaadhiyaotena,ukavitupekatikatiyamoto, viteketezekatikamotohuo;kwakuwamotoutatokea katikanyumbayoteyaIsraeli

5BwanaMUNGUasemahivi;HuundioYerusalemu; nimeuwekakatikatiyamataifananchizinazouzunguka.

6Nayeamezibadilihukumuzangukuwauovukuliko mataifa,nasheriazangukulikonchizinazomzunguka;kwa maanawamezikataahukumuzangunasheriazangu, hawakukwendakatikahizo

7BasiBwanaMUNGUasemahivi;Kwasababuninyi mmekuwawengikulikomataifawanaowazunguka,wala hamkuenendakatikasheriazangu,walahamkuzishika hukumuzangu,walahamkuzifanyahukumuzamataifa wanaowazunguka;

8BasiBwanaMUNGUasemahivi;Tazama,mimi,naam, mimi,nijuuyako,naminitafanyahukumukatikatiyako machonipamataifa.

9Naminitafanyandaniyakoyaleambayosijafanya,wala sitafanyatenakamahayo,kwasababuyamachukizoyako yote.

10Kwahiyobabawatakulawanakatikatiyako,nawana watakulababazao;naminitafanyahukumundaniyako,na mabakiyakoyotenitawatawanyakatikapepozote.

11Basi,kamamiminiishivyo,asemaBwanaMUNGU; Hakika,kwasababuumepatiaunajisipatakatifupangukwa machukizoyakoyote,nakwamachukizoyakoyote,kwa hiyomiminaminitakupunguza;walajicholangu halitaachilia,walasitaonahuruma

12Theluthimojayawewewatakufakwatauni,nakwa njaawataangamizwakatiyako;natheluthimoja wataangukakwaupangapandezotezako;natheluthimoja nitawatawanyakatikapepozote,naminitauchomoaupanga nyumayao

13Hasirayanguitakamilika,naghadhabuyangunitaiweka juuyao,naminitafarijiwa;

14Tenanitakufanyakuwaukiwa,naaibukatiyamataifa yanayokuzunguka,machonipawotewapitao.

15Hivyoitakuwaaibunadhihaka,mafundishonakitucha kushangazakwamataifayanayokuzunguka,

nitakapotekelezahukumundaniyakokwahasirana ghadhabunamaonyomakali.Mimi,BWANA,nimesema haya

16nitakapowapelekeamishalemibayayanjaa, itakayowaangamiza,nayonitaitumailikuwaangamiza; naminitaongezanjaajuuyenu,nakulivunjategemeolenu lamkate;

17Basinitatumajuuyenunjaanawanyamawabaya,nao watakunyang'anya;natauninadamuzitapitakatiyako; naminitaletaupangajuuyakoMimi,BWANA,nimesema haya

SURAYA6

1NenolaBwanalikanijia,kusema, 2Mwanadamu,uelekezeusowakokuelekeamilimaya Israeli,nakutoaunabiijuuyao;

3useme,EnyimilimayaIsraeli,lisikieninenolaBwana MUNGU;BwanaMUNGUaiambiahivimilimanavilima, mitonamabonde;Tazama,mimi,naam,mimi,nitaleta upangajuuyenu,naminitapaharibumahalipenupajuu

4Namadhabahuzenuzitakuwaukiwa,nanguzozenu zitavunjwa;naminitawaangushawatuwenuwaliouawa mbeleyavinyagovyenu

5NaminitawekamizogayawanawaIsraelimbeleya vinyagovyao;naminitaitawanyamifupayenupandezote zamadhabahuzenu

6Katikamakaoyenuyotemijiitafanywaukiwa,namahali pajuupatakuwaukiwa;ilimadhabahuzenuziharibiwena kufanywaukiwa,nasanamuzenuzivunjwenakukoma,na sanamuzenuzikatwe,nakazizenuzifutwe.

7Naowaliouawawataangukakatikatiyenu,nanyimtajua yakuwamimindimiBwana

8Lakininitaachamabaki,ilimpatebaadhiyawatu watakaookokaupangakatiyamataifa,mtakapotawanywa katikanchizote

9Nahaowaliookokakatiyenuwatanikumbukakatiya mataifaambakowatachukuliwamateka,kwasababu nimevunjwamoyowaowauasherati,walioniacha,nakwa machoyao,wanaozifuatasanamuzao;

10NaowatajuayakuwamimindimiBwana,wala sikusemaburekwambanitawatendauovuhuu

11BwanaMUNGUasemahivi;Pigakwamkonowako, pigakwamguuwako,useme,Olewakokwamachukizo yotemabayayanyumbayaIsraeli!kwamaanawataanguka kwaupanga,nakwanjaa,nakwatauni.

12Aliyembaliatakufakwatauni;nayeyealiyekaribu ataangukakwaupanga;nayeyeatakayesalianakuzingirwa atakufakwanjaa;ndivyonitakavyotimizaghadhabuyangu juuyao

13NdipomtajuayakuwamimindimiBwana,watuwao waliouawawatakapokuwakatiyavinyagovyaokuzunguka madhabahuzao,juuyakilakilimakirefu,navilelevyote vyamilima,nachiniyakilamtiwenyemajanimabichi,na chiniyakilamwalonimnene,mahalihapowalipotolea uvumbawakupendezakwasanamuzaozote

14Naminitaunyoshamkonowangujuuyao,nakuifanya nchikuwaukiwa,naam,ukiwakulikojangwalaDibla, katikamakaoyaoyote;naowatajuayakuwamimindimi Bwana.

1TenanenolaBWANAlikanijia,kusema, 2Nawewe,mwanadamu,BwanaMUNGUaiambianchi yaIsraelihivi;Mwisho,mwishoumefikakatikapembenne zanchi

3Sasamwishoumekujia,naminitatumahasirayangujuu yako,naminitakuhukumusawasawananjiazako,na kukulipamachukizoyakoyote

4Jicholanguhalitakuachilia,walasitakuoneahuruma; lakininitakupatilizanjiazako,namachukizoyako yatakuwakatikatiyako;nanyimtajuayakuwamimindimi Bwana.

5BwanaMUNGUasemahivi;Uovu,uovuwapekee, tazama,unakuja

6Mwishoumekuja,mwishoumekuja,unakungoja;tazama, imekuja

7Asubuhiimekujia,weweukaayekatikanchi;wakati umefika,sikuyataabuimekaribia,walasisautiyamilima.

8Sasahivikaribuninitamwagaghadhabuyangujuuyako, nakuitimizahasirayangujuuyako,naminitakuhukumu sawasawananjiazako,nakukulipakwaajiliyamachukizo yakoyote

9Najicholanguhalitakuachilia,walasitaonahuruma; nanyimtajuayakuwamimindimiBWANAnipigaye.

10Tazama,siku,tazama,inakuja,asubuhiimetoka;fimbo imechanua,kiburikimechipuka

11Udhalimuumeinukanakuwafimboyauovu;

12Wakatiumefika,sikuileinakaribia;mnunuziasifurahi, walamuuzajiasiomboleze;kwamaanaghadhabuikojuu yawatuwakewote.

13Kwamaanamuuzajihatakirudiakilekilichouzwa, wajapokuwawangalihai;walahatajitianguvukatikauovu wamaishayake.

14Wamepigatarumbeta,hatakuyawekatayariyote;lakini hakunaaendayevitani;kwamaanaghadhabuyanguikojuu yajamiiyakeyote.

15Upangaukonje,natauninanjaazikondani;yeyealiye shambaniatakufakwaupanga;nayeyealiyemjini,njaana taunizitamla.

16Lakiniwaowatakaookokawataokoka,nawatakuwajuu yamilimakamanjiwawamabondeni,wotewakiomboleza, kilamtukwaajiliyauovuwake.

17Mikonoyoteitalegea,namagotiyoteyatalegeakama maji

18Naowatajifunganguozamagunia,nahofuitawafunika; naaibuitakuwajuuyanyusozote,naupaajuuyavichwa vyaovyote.

19Watatupafedhazaokatikanjiakuu,nadhahabuyao itaondolewa;fedhayaonadhahabuyaohazitaweza kuwaokoakatikasikuyaghadhabuyaBwana; hawatashibishanafsizao,walahawatajazamatumboyao; 20Uzuriwapambolakealiuwekakatikaenzi,lakini walifanyasanamuzamachukizoyaonamachukizoyao ndaniyake;kwahiyonimeiwekambalinao

21Naminitaitiakatikamikonoyawageniiwemateka,na waovuwaduniakuwamateka;naowataitiaunajisi.

22Nitawageuziausowangu,naowatalitiaunajisimahali pangupasiri;

23Tengenezamnyororo,kwamaananchiimejaauhalifu waumwagajidamu,namjiumejaajeuri

24Kwahiyonitaletawatuwamataifawaliowaovuzaidi, naowatazimilikinyumbazao;namahalipaopatakatifu patakuwanaunajisi

25Uharibifuunakuja;naowatatafutaamani,wala haitakuwapo.

26Madharayatakujajuuyamadhara,nauvumijuuya uvumi;ndipowatamtafutianabiimaono;lakinisheria itapoteakutokakwakuhani,nashaurikutokakwawazee.

27Mfalmeataomboleza,namkuuatavikwaukiwa,na mikonoyawatuwanchiitatetemeka;naowatajuayakuwa mimindimiBWANA

SURAYA8

1Ikawakatikamwakawasita,mweziwasita,sikuyatano yamwezi,nilipokuwanikikaanyumbanimwangu,wazee waYudawakikaambeleyangu,mkonowaBwana MUNGUukaniangukiahuko

2Kishanikaona,natazama,kitukamakuonekanakwa moto;natanguviunovyakenajuu,kamakuonekanakwa mwangaza,kamarangiyakahawia

3Nayeakanyoshamfanowamkono,akanishikakwautepe wakichwachangu;rohoikaniinuakatiyadunianambingu, ikaniletakatikanjozizaMungumpakaYerusalemu,mpaka mlangowalangolandani,uelekealoupandewakaskazini; kilikuwawapikitichasanamuyawivu,ambayo husababishawivu

4Natazama,utukufuwaMunguwaIsraeliulikuwahapo, sawasawanamaononiliyoyaonakatikauwanda

5Ndipoakaniambia,Mwanadamu,inuamachoyakosasa kuelekeaupandewakaskazini.Basinikainuamachoyangu kuelekeakaskazini,nikaonaupandewakaskazini,penye langolamadhabahuhiisanamuyawivumahalipa kuingilia.

6Kishaakaniambia,Mwanadamu,unaonawanachofanya? machukizomakubwawanayoyafanyanyumbayaIsraeli hapa,hataniendembalinapatakatifupangu?lakini ukigeukatena,naweutaonamachukizomakubwazaidi

7Akaniletampakamlangonipaua;nanilipotazama, tazama,palikuwanatunduukutani.

8Ndipoakaniambia,Mwanadamu,chimbasasaukutani; 9Akaniambia,Ingiandani,uyatazamemachukizomabaya wanayofanyahapa.

10Basinikaingianakuona;natazama,kilanamnaya vitambaavyo,nawanyamawachukizao,nasanamuzoteza nyumbayaIsraeli,zimechorwaukutanipandezote.

11Wakasimamambeleyaowatusabiniwawazeewa nyumbayaIsraeli,nakatikatiyaoakasimamaYaazania, mwanawaShafani,kilamtuchetezochakemkononi mwake;nawinguzitolauvumbalikapandajuu

12Ndipoakaniambia,Mwanadamu,je!umeona wanayofanyawazeewanyumbayaIsraeligizani,kilamtu ndaniyavyumbavyakevyasanamu?maanahusema, BWANAhatuoni;BWANAameiachanchi

13Tenaakaniambia,Ruditena,naweutaonamachukizo makubwazaidiwanayofanya

14Kishaakaniletampakamlangowalangolanyumbaya Bwana,lililoelekeakaskazini;natazama,wanawake wameketiwakimliliaTamuzi

15Ndipoakaniambia,Je!umeyaonahaya,Eemwanadamu? utaonamachukizomakubwakulikohaya

Ezekieli

16Kishaakaniletampakauawandaniwanyumbaya Yehova,natazama,mlangonipahekalulaYehova,katiya ukumbinamadhabahu,walikuwakowanaumewapata ishirininawatano,wakilielekeahekalulaYehova,na nyusozaozikielekeamashariki;naowakaabudujuaupande wamashariki

17Ndipoakaniambia,Je!umeyaonahaya,Eemwanadamu? Je!nijambojepesikwanyumbayaYudakufanya machukizowanayofanyahapa?kwamaanawameijazanchi udhalimu,wamerudikunikasirisha;natazama,wanaliweka tawipuani

18Kwahiyomiminaminitatendakwaghadhabu;jicho languhalitaachilia,walasitaonahuruma;wajapolia masikionimwangukwasautikuu,sitawasikia

SURAYA9

1Akaliamasikionimwangukwasautikuu,akisema, Wakaribisheniwasimamiziwamji,kilamtunasilahayake yakuangamizamkononimwake

2Natazama,watusitawakajakutokakwanjiayalangola juu,linaloelekeakaskazini,nakilamtuakiwanasilahaya kuchinjamkononimwake;namtummojamiongonimwao alikuwaamevaanguoyakitani,mwenyekidauchawino chamwandishikiunoni;wakaingianakusimamakandoya madhabahuyashaba

3NautukufuwaMunguwaIsraeliukapandajuukutoka kwakerubi,alipokuwajuuyake,mpakakizingiticha nyumbaAkamwitayulemtualiyevaakitani,mwenye kidauchawinochamwandishikiunoni;

4Bwanaakamwambia,Pitiakatikatiyamji,katiya Yerusalemu,ukatiealamakatikavipajivyanyusozawatu wanaouguanakuliakwaajiliyamachukizoyote yanayofanywakatiyake.

5Akawaambiahaowenginenikiwasikia,Pitenikatikati yakemjini,mkapige;

6Wauenikabisawazeenavijana,wajakazinawatoto wadogonawanawake;lakinimsimkaribiemtuyeyote aliyenahiyoalama;nakuanziapatakatifupanguKisha wakaanzakwawazeewaliokuwambeleyanyumba.

7Akawaambia,Itieninyumbaunajisi,nakuzijazanyua watuwaliouawa;Wakatoka,wakauamjini

8Ikawa,walipokuwawakiwaua,naminikiwanimeachwa, niliangukakifudifudi,nikalia,nikasema,EeBwana MUNGU!Je!utaharibumabakiyoteyaIsraelikatika kumwagaghadhabuyakojuuyaYerusalemu?

9Ndipoakaniambia,UovuwanyumbayaIsraelinaYuda nimwingisana,nanchiimejaadamu,namjiumejaaukaidi; 10Namipia,jicholanguhalitaachilia,walasitawahurumia, balinitaletanjiayaojuuyavichwavyao

11Natazama,yulemtualiyevaakitani,mwenyekidaucha winoubavunimwake,akatoahabari,akisema,Nimefanya kamaulivyoniamuru

SURAYA10

1Kishanikaona,natazama,katikaangailiyokuwajuuya vichwavyamakerubipalionekanajuuyaokitukamayakuti samawi,kanakwambanimfanowakitichaenzi

2Akanenanayulemtualiyevaakitani,akasema,Ingiakati yamagurudumu,yaani,chiniyakerubi,ukajazemkono wakomakaayamotokutokakatiyamakerubi,na

kuyatawanyajuuyamjiNayeakaingiambeleyamacho yangu.

3Basimakerubiwalisimamaupandewakuumewa nyumba,hapomtuhuyoalipoingia;lilewingulikaujazaua wandani.

4NdipoutukufuwaBwanaukapandajuukutokakwa kerubi,ukasimamajuuyakizingitichanyumba;na nyumbaikajazwanalilewingu,nauaukajaamwangaza wautukufuwaBWANA

5Nasautiyamabawayamakerubiikasikikahatauawa nje,kamasautiyaMunguMwenyezi,anenapo

6Ikawa,alipomwagizayulemtualiyevaakitani,akisema, Twaamotokatikatiyamagurudumu,katikatiyamakerubi; kishaakaingia,akasimamakandoyamagurudumu

7Kerubimmojaakaunyoshamkonowakekutokakatiya makerubimpakamotouliokuwakatiyamakerubi, akautwaanakuutiakatikamikonoyakeyeyealiyevaanguo zakitani;nayeakautwaa,akatoka

8Kukaonekanandaniyamakerubimfanowamkonowa mwanadamuchiniyamabawayao

9Nilipotazama,tazama,yalemagurudumumannekaribu namakerubi,gurudumumojakaribunakerubimoja,na gurudumulinginekaribunakerubilingine;

10Nakuonekanakwao,wotewannewalikuwanasura moja,kanakwambagurudumulilikuwakatikatiya gurudumu

11Walipokwenda,walikwendapandezaonne; hawakugeukawalipokuwawakienda,balimahali kilipotazamakichwawalifuata;hawakugeukawalipokuwa wakienda

12Namwiliwaowote,namigongoyao,namikonoyao, namabawayao,namagurudumu,yalikuwayamejaa machopandezote,yalemagurudumuwaliyokuwanayo haowanne.

13Nayomagurudumuyaliitwamasikionimwangu,Ee gurudumu

14Nakilammojaalikuwananyusonne;usowakwanza ulikuwausowakerubi,nausowapiliulikuwausowa mwanadamu,nausowatatuulikuwausowasimba,nauso wanneulikuwawatai.

15NamakerubiyakainukaHuyundiyekiumbehai niliyemwonakaribunamtoKebari

16Makerubihayoyalipokwenda,magurudumuyalikwenda kandoyao;

17Waliposimama,hawawalisimama;naowalipoinuliwa, haonaowakajiinua;maanarohoyakiumbehaiilikuwa ndaniyao

18NdipoutukufuwaBwanaukatokajuuyakizingiticha nyumba,ukasimamajuuyamakerubi

19Makerubiwakainuamabawayaonakupaajuukutoka chinimachonipangu;nautukufuwaMunguwaIsraeli ulikuwajuuyao.

20HuyundiyekiumbehainiliyemwonachiniyaMungu waIsraelikaribunamtoKebari;nikajuayakuwahaoni makerubi

21Kilammojaalikuwananyusonnekilammoja,nakila mmojamabawamanne;namfanowamikonoya mwanadamuilikuwachiniyambawazao

22Nasurayanyusozaoilikuwaninyusozilezile nilizozionakaribunamtoKebari,surazaonawao wenyewe;walikwendakilammojambelemojakwamoja

1Kisharohoikaniinua,ikaniletampakalangolamashariki lanyumbayaBwana,litazamaloupandewamashariki;na tazama,mlangonipalangowatuishirininawatano;ambao katiyaonilimwonaYaazania,mwanawaAzuri,naPelatia mwanawaBenaya,wakuuwawatu

2Ndipoakaniambia,Mwanadamu,hawandiowatu wanaopangamaovunakutoamashaurimabayakatikamji huu;

3Wasemao,Hayukokaribu;natujengenyumba;mjihuu nisufuria,nasisitunyama

4Kwahiyotoaunabiidhidiyao,toaunabii,Eemwanawa binadamu

5RohowaBwanaakaniangukia,akaniambia,Nena; Bwanaasemahivi;Mmesemahivi,EnyinyumbayaIsraeli; 6Mmeongezawatuwenuwaliouawakatikamjihuu,na kuzijazanjiazakewaliouawa

7BasiBwanaMUNGUasemahivi;Watuwenuwaliouawa, mliowawekakatikatiyake,haondionyama,namjihuuni chungu,lakinimiminitawatoaninyikutokakatiyake

8Mmeuogopaupanga;naminitaletaupangajuuyenu, asemaBwanaMUNGU

9Naminitawatoaninyikutokakatiyake,nakuwatiakatika mikonoyawageni,naminitatekelezahukumukatiyenu.

10Mtaangukakwaupanga;nitawahukumuninyikatika mpakawaIsraeli;nanyimtajuayakuwamimindimi BWANA.

11Mjihuuhautakuwasufuriayenu,walaninyihamtakuwa nyamakatikatiyake;lakininitawahukumuninyikatika mpakawaIsraeli;

12NanyimtajuayakuwamimindimiBwana;

13Ikawanilipotabiri,PelatiamwanawaBenayaakafa Ndiponikaangukakifudifudi,nikaliakwasautikuu, nikasema,Aa!Je!utawakomeshakabisamabakiyaIsraeli?

14NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 15Mwanadamu,nduguzako,naam,nduguzako,watuwa jamaayako,nanyumbayoteyaIsraelikabisa,haondio ambaowakaajiwaYerusalemuwamewaambia,Ondokeni mbalinaBWANA;

16Basisema,BwanaMUNGUasemahivi;Ijapokuwa nimewawekambalikatiyamataifa,nanijapokuwa nimewatawanyakatiyanchimbalimbali,lakininitakuwa kwaokamapatakatifupamudamfupikatikanchi watakazoziendea

17Basisema,BwanaMUNGUasemahivi;Nami nitawakusanyaninyikatikakabilazawatu,na kuwakusanyakutokakatikanchimlizotawanyika,nami nitawapanchiyaIsraeli

18Naowataingiahuko,naowataondoahumomachukizo yakeyote,namachukizoyakeyote

19Naminitawapamoyommoja,naminitatiarohompya ndaniyenu;naminitauondoamoyowajiwekatikamiili yao,naminitawapamoyowanyama; 20iliwaenendekatikasheriazangu,nakuzishikahukumu zangu,nakuzitenda;naowatakuwawatuwangu,nami nitakuwaMunguwao.

21Lakiniwaleambaomoyowaounafuatamoyowa machukizoyaonamachukizoyao,nitaletanjiayaojuuya vichwavyaowenyewe,asemaBwanaMUNGU.

22Ndipomakerubiwakainuamabawayao,na magurudumukandoyao;nautukufuwaMunguwaIsraeli ulikuwajuuyao

23UtukufuwaBwanaukapandajuukutokakatikatiyamji, ukasimamajuuyamlimaulioupandewamasharikiwamji.

24Kisharohoikaniinua,ikaniletakatikamaonokwaRoho waMungumpakaUkaldayo,kwaowafungwaBasiyale maononiliyoyaonayakapandajuukutokakwangu.

25Kishanikawaambiawatuwauhamishomanenoyote ambayoYehovaalikuwaamenionyesha

SURAYA12

1NenolaBwanalikanijia,kusema, 2Mwanadamu,unakaakatiyanyumbailiyoasi,watuwalio namachoyakuona,lakinihawaoni;wanamasikioya kusikia,lakinihawasikii;maanawaoninyumbailiyoasi 3Basi,wewemwanadamu,jiandalievyombovya uhamisho,ukaondokemchanamachonipao;nawe utaondokamahalipakompakamahalipenginembeleya machoyao;

4ndipoutakapotoavyombovyakowakatiwamchana mbeleyamachoyao,kamavyombovyakuhamishwa; 5Toboaukutambeleyamachoyao,ukatoenjekwahuo 6Mbeleyamachoyaoutaichukuamabeganimwako,na kuitoanjewakatiwamachweo;utafunikausowako, usiionenchi;

7Naminikafanyakamanilivyoamriwa;nalitoavyombo vyangumchanakamavyombovyauhamisho,najioni nikatoboaukutakwamkonowangu;naliitoawakatiwa machweo,nikaichukuabeganimbeleyamachoyao.

8Ikawaasubuhi,nenolaBwanalikanijia,kusema, 9Mwanadamu,je!nyumbayaIsraeli,nyumbailiyoasi, hawakukuambia,Unafanyanini?

10Waambie,BwanaMUNGUasemahivi;Nenohili linamhusumkuuwaYerusalemu,nanyumbayoteya Israeliiliyokatiyao.

11Sema,Miminiisharayenu;kamanilivyofanya,ndivyo watakavyotendewa;wataondokanakwendautumwani 12Namkuualiyekatiyaoatachukuabeganiwakatiwa machweo,nayeatatokanje;watatoboaukutailiwatoenje kwahuo;

13Nitatandazawavuwangujuuyake,nayeatanaswa katikamtegowangu;naminitamletaBabelihatanchiya Wakaldayo;lakinihataiona,ingawaatafiahumo

14Naminitawatawanyapandezotezaupepowote wanaomzungukailikumsaidia,navikosivyakevyote; naminitauchomoaupanganyumayao.

15NaowatajuayakuwamimindimiBwana, nitakapowatawanyakatiyamataifa,nakuwatawanya katikanchizote

16Lakininitawasazawatuwachachemiongonimwaona upanga,nanjaa,natauni;iliwapatekutangazamachukizo yaoyotekatiyamataifawanakokwenda;naowatajuaya kuwamimindimiBWANA

17TenanenolaBWANAlikanijia,kusema, 18Mwanadamu,ulechakulachakokwakutetemeka,na kunywamajiyakokwakutetemekanakwakuhangaika; 19Uwaambiewatuwanchi,BwanaMUNGUasemahivi juuyawakaaoYerusalemu,najuuyanchiyaIsraeli; Watakulachakulachaokwakuhangaika,nakunywamaji yaokwamshangao,ilinchiyakeipatekuwaukiwanavitu

Ezekieli vyotevilivyomondaniyake,kwasababuyajeuriyawatu wotewakaaondaniyake.

20Namijiinayokaliwaitafanywaukiwa,nanchiitakuwa ukiwa;nanyimtajuayakuwamimindimiBWANA.

21NenolaBwanalikanijia,kusema, 22Mwanadamu,nimithaliganihiyomliyonayokatika nchiyaIsraeli,mkisema,Sikuzinakawia,namaonoyote hayatimizwi?

23Basiwaambie,BwanaMUNGUasemahivi; Nitaikomeshamithalihii,walahawataitumiatenakuwa mithalikatikaIsraeli;lakiniwaambie,Sikuhizi zimekaribia,namatokeoyakilamaono 24Kwamaanahapatakuwatenanamaonoyaubatiliwala uaguziwakubembelezakatikanyumbayaIsraeli 25KwamaanamimindimiBwana;nitanena,naneno nitakalolinenalitatimia;haitakawiatena;maanakatikasiku zenu,enyinyumbailiyoasi,nitanenaneno,nakulitimiza, asemaBwanaMUNGU

26NenolaYehovalikanijiatena,kusema, 27Mwanadamu,tazama,watuwanyumbayaIsraeli husema,Maonohayoanayoyaonaniyasikunyingizijazo, nayeanatabirihabarizanyakatizilizombali.

28Basiwaambie,BwanaMUNGUasemahivi;Hakuna nenolangulolotelitakalokawiatena,balinenohilo nililolinenalitatimizwa,asemaBwanaMUNGU.

SURAYA13

1NenolaBwanalikanijia,kusema,

2Mwanadamu,toaunabiijuuyamanabiiwaIsraeli wanaotabiri,uwaambiehaowanaotabirikwamioyoyao wenyewe,LisikieninenolaBwana;

3BwanaMUNGUasemahivi;Olewaomanabii wapumbavu,wanaofuatarohozaowenyewe,lakini hawajaonachochote!

4EeIsraeli,manabiiwakonikamambwehajangwani

5Hamkupandamahalipalipobomoka,wala hamkuitengenezeanyumbayaIsraeliboma,ilikusimama vitanikatikasikuyaBwana

6Wameonaubatilinauaguziwauongo,wakisema,Bwana asema,walaBWANAhakuwatuma;

7Hamkuonamaonoyaubatili,walahamkunenaugangawa uongo,hatamkisema,Bwanaasemahivi;japosijasema?

8BasiBwanaMUNGUasemahivi;Kwasababummenena ubatili,nakuonauongo,basi,tazama,miminijuuyenu, asemaBwanaMUNGU.

9Namkonowanguutakuwajuuyamanabiiwanaoona ubatili,nawatabiriouongo;nanyimtajuayakuwamimi ndimiBwanaMUNGU

10Kwasababu,hatakwasababuwamewadanganyawatu wangu,wakisema,Amani;walahapakuwanaamani;na mmojaakajengaukuta,natazama,wenginewakaupaka chokaakisichokauka;

11Waambiehaowaipakaochokaaisiyokauka,yakwamba itaanguka;nanyi,enyimawemakubwayamvuayamawe, mtaanguka;naupepowadhorubautaipasua

12Angalieni,ukutautakapoanguka,je!

13BasiBwanaMUNGUasemahivi;Nitalipasuakwa upepowadhorubakatikaghadhabuyangu;nakutakuwana mvuayamaweyenyekufurikakatikahasirayangu,na mvuakubwayamawekatikaghadhabuyanguili kuiteketeza

14Naminitaubomoaukutamlioupakachokaaisiyonajoto, nakuuangushachini,hatamsingiwakeutafunuliwa,nao utaanguka,nanyimtaangamizwakatikatiyake;nanyi mtajuayakuwamimindimiBwana.

15Ndivyonitakavyoitimizaghadhabuyangujuuyaukuta, najuuyahaowalioupakachokaaisiyonajoto; 16yaani,manabiiwaIsraeliwanaotabirijuuya Yerusalemu,nawanaonamaonoyaamanikwaajiliyake, walahapanaamani,asemaBwanaMUNGU

17Nawewe,mwanadamu,uelekezeusowakojuuyabinti zawatuwako,watabiriokwamioyoyaowenyewe;nawe utabirijuuyao, 18useme,BwanaMUNGUasemahivi;Olewao wanawakewashonaomitokwenyemashimoyoteya mikono,nakutengenezalesojuuyavichwavyakilakimo ilikuwindarohozawatu!Je!mtaziwindarohozawatu wangu,nakuziokoarohozinazowajia?

19Nanyimtanitiaunajisikatiyawatuwangukwakonziza shayirinavipandevyamkate,ilikuziuarohozisizopaswa kufa,nakuzihifadhihairohozisizopaswakuwahai,kwa kuwadanganyawatuwanguwanaosikiauongowenu?

20BasiBwanaMUNGUasemahivi;Angalieni,mimini kinyumechamitoyenu,ambayokwahiyomnawindaroho zawatuilikuzirusha,naminitairaruamikononimwenu,na kuziacharohoziende,naam,rohohizomnazoziwindaili kuzirusha

21Nalesozenunitazirarua,nakuwaokoawatuwanguna mikonoyenu,walahawatakuwatenamkononimwenu kuwindwa;nanyimtajuayakuwamimindimiBWANA 22Kwasababukwauongommemhuzunishamoyo mwenyehaki,ambayemimisikumhuzunisha;akaitia nguvumikonoyamtumwovu,asigeukenakuiachanjia yakembaya,kwakumwahidiuzima;

23Kwahiyohamtaonatenaubatili,walauaguzi;kwa maananitawaokoawatuwangunamikonoyenu;nanyi mtajuayakuwamimindimiBwana

SURAYA14

1NdipobaadhiyawazeewaIsraeliwakanijia,wakaketi mbeleyangu

2NenolaBwanalikanijia,kusema, 3Mwanadamu,watuhawawamewekavinyagovyao mioyonimwao,nakuwekakikwazochauovuwaombele yanyusozao;je!

4Basisemanao,uwaambie,BwanaMUNGUasemahivi; KilamtuwanyumbayaIsraeliambayehuviwekavinyago vyakemoyonimwake,nakuwekakikwazochauovuwake mbeleyausowake,nakumwendeanabii;Mimi,Bwana, nitamjibuyeyeajayekwawingiwasanamuzake; 5iliniwakamatenyumbayaIsraelikwamioyoyao wenyewe,kwasababuwotewamefarakananamikwa vinyagovyao

6BasiwaambienyumbayaIsraeli,BwanaMUNGUasema hivi;Tubuni,nakuziachasanamuzenu;nakugeuzanyuso zenunamachukizoyenuyote

7KwamaanakilamtuwanyumbayaIsraeli,aumgeni anayekaakatikaIsraeli,anayejitenganami,nakushika sanamuzakemoyonimwake,nakuwekakikwazocha uovuwakembeleyausowake,nakumwendeanabiiili kumwulizahabarizangu;Mimi,BWANA,nitamjibupeke yangu;

8Naminitaukazausowangujuuyamtuhuyo,nami nitamfanyakuwaisharanamithali,naminitamkatiliambali asiwekatiyawatuwangu;nanyimtajuayakuwamimi ndimiBWANA.

9Nanabiihuyoakidanganyikakunenaneno,mimi,Bwana, nimemdanganyanabiihuyo,naminitaunyoshamkono wangujuuyake,nakumwangamizaatokekatiyawatu wanguIsraeli.

10Naowatachukuaadhabuyauovuwao; 11ilinyumbayaIsraeliwasipotekeetenambalinami,wala wasitiweunajisitenakwamakosayaoyote;baliwawe watuwangu,naminiweMunguwao,asemaBwana MUNGU.

12NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 13Mwanadamu,nchiitakaponitendadhambikwakosakuu, ndiponitaunyoshamkonowangujuuyake,nakulivunja tegemeolamkatewake,nakutumanjaajuuyake,na kuwakatiliambaliwanadamunawanyama;

14ijapokuwawatuhawawatatu,Nuhu,naDanieli,na Ayubu,walikuwamondaniyake,wangejiokoanafsizaotu kwahakiyao,asemaBwanaMUNGU

15Nikipitishawanyamawaharibifukatikanchi,nakuiteka nyara,hataiweukiwa,hatamtuasipitekwasababuya hayawani;

16wajapokuwamowatuhawawatatundaniyake,kama miminiishivyo,asemaBwanaMUNGU,hawataokoawana walabinti;haotundiowatakaookolewa,lakininchi itakuwaukiwa.

17Aunikiletaupangajuuyanchihiyo,nakusema, Upanga,pitakatiyanchi;hatanikamkatiliambali mwanadamunamnyama;

18Wajapokuwamowatuhawawatatundaniyake,kama miminiishivyo,asemaBwanaMUNGU,hawataokoawana walabinti,baliwaowenyewepekeyaowataokolewa.

19Aunikipelekataunikatikanchihiyo,nakumwaga ghadhabuyangujuuyakekatikadamu,nakuwakatilia mbaliwanadamunamnyama;

20wajapokuwamoNuhu,naDanieli,naAyubu,kama miminiishivyo,asemaBwanaMUNGU,hawataokoa mwanawalabinti;ilawatajiokoanafsizaowenyewekwa hakiyao

21MaanaBwanaMUNGUasemahivi;Sizaidisana nitakapopelekahukumuzangunnekalijuuyaYerusalemu, upanga,nanjaa,namnyamambaya,natauni,kuwakatilia mbaliwanadamunawanyama?

22Lakini,tazama,watasaliamabakiwatakaozaliwa,wana nabinti;tazama,watawatokeaninyi,nanyimtaionanjia yaonamatendoyao;

23Naowatawafarijininyi,mtakapozionanjiazaona matendoyao;nanyimtajuayakuwasikufanyabilasababu yoteniliyofanyandaniyake,asemaBwanaMUNGU

SURAYA15

1NenolaBwanalikanijia,kusema, 2Mwanadamu,mzabibunininikulikomtiwowote,au tawilililokatiyamitiyamwituni?

3Je!mtiutachukuliwakwakekufanyakaziyoyote?au watuwatatwaakwakepiniyakutundikachombochochote juuyake?

4Tazama,hutupwamotonikuwakuni;motounakulancha zakezotembili,nakatikatiyakeimeteketea.Je,inafaakwa kaziyoyote?

5Tazama,ulipokuwamzima,haukufaakwakaziyoyote; je!hautafaakwakaziyoyote,motoukiiteketezana kuteketea?

6BasiBwanaMUNGUasemahivi;Kamavilemzabibu katiyamitiyamsituni,ambaonimeutoakwamotokuwa kuni,ndivyonitakavyowapawakaajiwaYerusalemu

7Naminitauelekezausowangudhidiyao;watatokakatika motommoja,namotomwingineutawala;nanyimtajuaya kuwamimindimiBwana,nitakapoukazausowangujuu yao.

8Naminitaifanyanchikuwaukiwa,kwasababu wamekosa,asemaBwanaMUNGU

SURAYA16

1NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 2Mwanadamu,julishaYerusalemumachukizoyake, 3useme,BwanaMUNGUauambiaYerusalemuhivi; Kuzaliwakwakonakuzaliwakwakonikatikanchiya Kanaani;babayakoalikuwaMwamori,namamayako alikuwaMhiti

4Nakatikahabarizakuzaliwakwako,sikuuliyozaliwa kitovuchakohakikukatwa,walahukuoshwakwamajiili kukusafisha;hukutiwachumvihatakidogo,wala hukusongwahatakidogo.

5Hakunajicholililokuhurumiakukutendeamojawapoya hayo,kwakukuhurumia;lakiniulitupwanjeuwandani, kwakuchukizwananafsiyako,sikuileuliyozaliwa.

6Naminilipopitakaribunawe,nikakuonaumetiwaunajisi katikadamuyakomwenyewe,nalikuambia,Ulipokuwa katikadamuyako,Uishi;naam,nalikuambiaulipokuwa katikadamuyako,Uishi

7Nimekufanyakuwawengikamachipukizilamashamba, naweumeongezekanakuwamkuu,ukafikakwenye mapambomazuri;

8Basinilipopitakaribunawe,nakukutazama,tazama, wakatiwakoulikuwawakatiwaupendo;naminikatandaza upindowavazilangujuuyako,nikafunikauchiwako; naam,naliapia,nikafanyaaganonawe,asemaBwana MUNGU,ukawawangu.

9Ndiponikakuoshakwamaji;naam,nalikuoshakabisa damuyako,nakukupakamafuta

10Nikakuvikanguoyataraza,nikakuvaaviatuvyangozi yapomboo,nikakuvikanguoyakitanisafi,nikakufunika kwahariri.

11Nikakupambakwamapambo,nikatiavikukumikononi mwako,namkufushingonimwako

12Nikatiakitojuuyapajilausowako,napetemasikioni mwako,natajinzurijuuyakichwachako.

13Ndivyoulivyopambwakwadhahabunafedha;na mavaziyakoyalikuwayakitanisafi,nahariri,nakaziya taraza;ulikulaungamwembamba,naasali,namafuta; naweulikuwamzurisana,ukafanikiwakatikaufalme

14Sifazakozikaeneakatiyamataifakwaajiliyauzuri wako;

15Lakiniuliutumainiauzuriwako,ukafanyaukahabakwa ajiliyasifazako,ukamwagauasheratiwakojuuyakila mtualiyepita;ilikuwayake

Ezekieli

16Ulichukuabaadhiyamavaziyako,ukajipambamahali pakopajuu,penyeranginyingi,ukafanyaukahabajuu yake;mambokamahayohayatakuja,walahayatakuwa

17Tenaukavitwaavyombovyakovyemavyadhahabu yangunavyafedhayangu,nilivyokupa,ukajifanyia sanamuzawanaume,ukafanyauzinzinazo; 18ukatwaamavaziyakoyataraza,nakuyafunika, ukawekamafutayangunauvumbawangumbeleyao.

19Chakulachangunilichokupa,ungamwembamba,na mafuta,naasali,nilichokulisha,umeviwekambeleyao viweharufuyakupendeza;nandivyoilivyokuwa,asema BwanaMUNGU

20Tenauliwatwaawanawakonabintizako,ulionizalia, ukawachinjiakwaajiliyaoiliwaliweJe!huuuzinziwako nijambodogo?

21Kwambaumewauawatotowangu,nakuwatoaili kuwapitishamotonikwaajiliyao?

22Nakatikamachukizoyakoyote,namamboyakoya kikahaba,hukuzikumbukasikuzaujanawako,ulipokuwa uchi,hunanguo,naunajisikatikadamuyako

23Ikawabaadayauovuwakowote,(ole,olewako,asema BwanaMUNGU;)

24naweumejijengeamahalipalipoinuka,nakujifanyia mahalipajuukatikakilanjia

25Umejengamahalipakopajuupenyekilakichwacha njia,ukaufanyauzuriwakokuwachukizo,nawe umemfunguliamiguuyakokilamtualiyepitanjiani,na kuzidishauzinziwako.

26TenaumefanyauzinzinaWamisri,jiranizako, wakubwawamwili;ukaongezauzinziwakoili kunikasirisha.

27Kwahiyo,tazama,nimeunyoshamkonowangujuu yako,nakukipunguziachakulachakochakawaida,na kukutiakatikawapenziwaowakuchukiao,bintiza Wafilisti,walioyaoneahayanjiayakoyauasherati 28TenaumefanyauzinzipamojanaWaashuri,kwasababu hukushiba;naam,ulifanyauzinzinao,walahukutosheka.

29TenaumezidishauzinziwakokatikanchiyaKanaani hataUkaldayo;nabadohukutoshekanahayo

30Jinsimoyowakoulivyodhaifu,asemaBwanaMUNGU; 31kwakuwautajijengeamahalipakopalipopenyekichwa chakilanjia,nakufanyamahalipakopajuukatikakilanjia kuu;walahukuwakamakahaba,kwakudharauujira;

32Balikamamkeaziniye,awatwaayewagenibadalaya mumewe!

33Wanatoazawadikwawazinziwote,lakiniwewe huwapawapenziwakowotezawadizako,nakuwaajiri,ili wajekwakopandezotekwaajiliyauzinziwako.

34Nakinyumechakokatikamamboyakoyakikahabani kinyumechawanawakewengine,walahakuna wakufuatayeilikufanyauasherati;

35Kwahiyo,Eekahaba,lisikienenolaYehova.

36BwanaMUNGUasemahivi;kwasababuuchafuwako ulimwagika,nauchiwakoukafunuliwakwauzinziwako nawapenziwako,nakwasanamuzotezamachukizoyako, nakwadamuyawatotowako,uliyowapa;

37Basitazama,nitawakusanyawapenziwakowote, uliojifurahishanao,nawoteuliowapenda,pamojanawote uliowachukia;naminitawakusanyajuuyakopandezote, naminitawafunuliauchiwako,wapatekuuonauchiwako wote

38Naminitakuhukumu,kamawahukumiwavyowanawake wazinzinakumwagadamu;naminitakupadamuya ghadhabunawivu

39Namipianitakutiamkononimwao,naowatapabomoa mahalipakopalipoinuka,nakupabomoamahalipakopa juu;

40Naowataletakusanyikolawatujuuyako,nao watakupigakwamawenakukuchomakwapangazao.

41Naowataziteketezanyumbazakokwamoto,na kutekelezahukumujuuyakomachonipawanawakewengi; naminitakukomeshakufanyaukahaba,nawehutatoaujira tena

42Naminitaitulizaghadhabuyangukwako,nawivu wanguutakuondokea,naminitanyamaza,walasitakuwana hasiratena

43Kwasababuhukuzikumbukasikuzaujanawako,bali umenifadhaishakatikamambohayoyote;tazama,mimi naminitaletanjiayakojuuyakichwachako,asemaBwana MUNGU;nawehutafanyauasheratihuukulikomachukizo yakoyote

44Tazama,kilamtuatumiayemithaliatatumiamithalihii juuyako,akisema,Kamamamaalivyo,ndivyobintiyake alivyo

45Weweubintiyamamayako,amchukiayemumewena watotowake;naweuumbuladadazako,waliowachukia waumezaonawatotowao;mamayakoalikuwaMhiti,na babayakoMwamori

46NaumbulakomkubwaniSamaria,yeyenabintizake wakaaomkonowakowakushoto;naumbulakomdogo, akaayemkonowakowakuume,niSodomanabintizake

47Lakinihukuzifuatanjiazao,walahukufanyasawasawa namachukizoyao;

48Kamamiminiishivyo,asemaBwanaMUNGU,Sodoma umbulako,yeyenabintizake,hajafanyakamaulivyofanya wewenabintizako

49Tazama,uovuwaumbulakoSodomaulikuwahuu,na kiburi,nakushibachakula,nauvivumwingiulikuwandani yakenabintizake,walahakuutianguvumkonowa maskininawahitaji

50Naowalikuwanakiburi,wakafanyamachukizombele zangu;

51WalaSamariahakutendanusuyadhambizako;lakini weweumeongezamachukizoyakokulikohao,nawe umewafanyadadazakokuwawenyehakikatika machukizoyakoyoteuliyoyafanya

52Wewenawe,uliyewahukumudadazako,uchukueaibu yakomwenyewekwaajiliyadhambizakoulizozifanya zenyekuchukizazaidikulikowao;waoniwenyehakizaidi kulikowewe;

53Nitakapowarudishawafungwawao,wafungwawa Sodomanabintizake,nawafungwawaSamarianabinti zake,ndiponitakapowarudishawafungwawako waliofungwakatiyao;

54iliuibebeaibuyakomwenyewe,nakufadhaikakatika yoteuliyofanya,kwakuwaumekuwafarajakwao

55Dadazako,Sodomanabintizake,watairudiahaliyao yakwanza,naSamarianabintizakewatairudiahaliyaoya kwanza,ndipowewenabintizakomtairudiahaliyenuya kwanza

56KwamaanaSodomadadayakohakutajwakinywani mwako,sikuyakiburichako

57Kablayakufichuliwauovuwako,kamawakatiwaaibu yakoyabintizaShamu,nawotewanaomzunguka,bintiza Wafilisti,wanaokudharaupandezote

58Umeuchukuauasheratiwakonamachukizoyako,asema Bwana.

59MaanaBwanaMUNGUasemahivi;Naminitakutendea kamaulivyotenda,weweuliyedharaukiapokwakulivunja agano.

60Walakininitalikumbukaaganolangunililofanyanawe katikasikuzaujanawako,naminitawekaaganolamilele kwako

61ndipoutazikumbukanjiazako,nakutahayarika, utakapowakaribishaumbulako,wakubwawakonawadogo wako;naminitakupawaokuwabintizako,lakinisikwa aganolako

62Naminitalithibitishaaganolangunawe;naweutajuaya kuwamimindimiBWANA;

63iliupatekukumbuka,nakufadhaika,walausifungue kinywachakotenakwasababuyaaibuyako, nitakaposamehewajuuyakokwaajiliyayoteuliyoyatenda, asemaBwanaMUNGU

SURAYA17

1NenolaBwanalikanijia,kusema, 2Mwanadamu,tegakitendawili,uwaambienyumbaya Israelimithali;

3useme,BwanaMUNGUasemahivi;Taimkubwa, mwenyemabawamakubwa,mwenyemabawamarefu, aliyejaamanyoya,yenyeranginyingi,akafikaLebanoni, akatwaatawilajuukabisalamwerezi;

4Akakikatakilelechamatawiyakemachanga,akakipeleka mpakanchiyabiashara;akaiwekakatikamjiwa wafanyabiashara.

5Tenaakatwaabaadhiyambeguzanchi,akazipanda katikashambalenyekuzaamatunda;akauwekakandoya majimengi,akauwekakamamsondo.

6Ikakua,ikawamzabibuwenyekueneasana,wakimo kifupi,ambaomatawiyakeyalielekeakwake,namizizi yakeilikuwachiniyake;

7Tenapalikuwanataimwinginemkubwa,mwenye mbawakubwanamanyoyamengi;

8Ulikuwaumepandwakatikaudongomzurikandoyamaji mengi,upatekutoamatawi,nakuzaamatunda,uwe mzabibumzuri

9Sema,BwanaMUNGUasemahivi;Je,itafanikiwa? hatang'oamiziziyake,nakukatamatundayake,hata ukauke?utakaukakatikamajaniyoteyachemchemiyake, hatabilanguvunyingiauwatuwengikuung'oanamizizi yake

10Naam,tazama,ikipandwa,je!haitanyaukakabisa, upepowamasharikiutakapoigusa?itanyaukakatikamatuta ilipomea

11TenanenolaBwanalikanijia,kusema, 12Waambiesasanyumbailiyoasi,Je!Hamjuimaanaya mambohaya?waambie,Tazama,mfalmewaBabeli amekujaYerusalemu,nayeamemtwaamfalmewake,na wakuuwake,nakuwapelekapamojanayempakaBabeli; 13Ametwaabaadhiyawazaowamfalme,nakufanya aganonaye,nakumwapisha; 14iliufalmeuweduni,usipatekujiinua,baliusimamekwa kulishikaaganolake

15LakinialimwasikwakutumawajumbewakeMisriili wampefarasinawatuwengi.Je,atafanikiwa?Je!ataokoka afanyayemambokamahayo?auatalivunjaaganona kuokolewa?

16Kamamiminiishivyo,asemaBwanaMUNGU,hakika mahaliakaapomfalmealiyemfanyamfalme,ambaye alikidharaukiapochake,nakulivunjaaganolake,ndipo atakufapamojanayekatikatiyaBabeli.

17walaFaraopamojanajeshilakekuunakundikubwala watuhatamwendeavitani,kwakutengenezavilima,na kujengangome,ilikuwakatiliambaliwatuwengi; 18Kwakuwaamekidharaukiapokwakulivunjaagano,na tazama,ametoamkonowake,nakuyafanyahayayote, hataokoka

19BasiBwanaMUNGUasemahivi;Kamamiminiishivyo, hakikakiapochangualichokidharau,naaganolangu alilolivunja,nitampandishiakichwachakemwenyewe 20Naminitatandazawavuwangujuuyake,nayeatanaswa katikamtegowangu,naminitamletampakaBabeli,na hukonitatetemekanayekwaajiliyakosalakealiloniasi

21Nawakimbiajiwakewotepamojanavikosivyake vyotewataangukakwaupanga,nahaowatakaosalia watatawanywapandezotezapepo;

22BwanaMUNGUasemahivi;Naminitatwaabaadhiya tawilajuusanalamwerezi,nakulisimamisha;Nitakatwa katikakilelechamatawiyakemachanga,nakulipandajuu yamlimamrefunauliotukuka;

23KatikamlimawakilelechaIsraelinitakipanda,nacho kitatoamatawi,nakuzaamatunda,nakuwamwerezimzuri sana;nachiniyakewatakaandegewakilambawa;katika uvuliwamatawiyakewatakaa.

24Namitiyoteyashambaniitajuayakuwamimi,Bwana, nimeushushamtimrefu,nimeuinuamtimdogo,na kuukaushamtimbichi,nakustawishamtimkavu;

SURAYA18

1NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 2Maanayakenininihatamwatumiamithalihiikatikanchi yaIsraeli,mkisema,Babawamekulazabibumbichi,na menoyawatotoyakatiwaganzi?

3Kamamiminiishivyo,asemaBwanaMUNGU, hamtakuwanasababutenayakutumiamithalihiikatika Israeli

4Tazama,nafsizotenizangu;kamavilerohoyababani maliyangu,vivyohivyorohoyamwananiyangu;roho itendayodhambindiyoitakayokufa

5Lakinimtuakiwamwadilifu,nakutendayaliyohalalina haki,

6walahakulajuuyamilima,walahakuinuamachoyake kwavinyagovyanyumbayaIsraeli,walahakumtiaunajisi mkewajiraniyake,walahakumkaribiamwanamke mwenyehedhi;

7walahakumdhulumumtuyeyote,baliamemrudishia mdaiwarehaniyake,walahakumnyang’anyamtuyeyote kwanguvu,amewapawenyenjaachakulachake,na kuwafunikawaliouchinguo;

8Yeyeasiyetoakwariba,walahakupokeamaongeoyo yote,aliyeuzuiamkonowakenauovu,amefanyahukumu yakwelikatiyamwanadamunamwanadamu;

9Amekwendakatikasheriazangu,nakuzishikahukumu zangu,ilikutendakweli;yeyenimwenyehaki,hakika ataishi,asemaBwanaMUNGU

10Ikiwaamezaamwanaaliyemnyang'anyi,mmwagajiwa damu,naafanyayemambokamahayomojawapo; 11naasiyefanyamambohayoyoyote,ilaatakulajuuya milima,nakumtiaunajisimkewajiraniyake;

12Amewadhulumumaskininamaskini,ametekanyara kwajeuri,walahakurudisharehani,nakuinuamachoyake kwasanamu,ametendamachukizo;

13Ametoakwariba,nakuchukuamaongeo;je!hataishi; ametendamachukizohayayote;hakikaatakufa;damuyake itakuwajuuyake.

14Basi,tazama,akizaamwana,azionayedhambizoteza babayakealizozifanya,nakufikiria,asifanyekamahayo; 15ambayehakulajuuyamilima,walahakuinuamacho yakekwasanamuzanyumbayaIsraeli,walahakumtia unajisimkewajiraniyake;

16walahakudhulumumtuyeyote,walahakunyimarehani, walahakutekanyarakwajeuri,baliamewapawenyenjaa chakulachake,nakuwafunikawaliouchinguo;

17ambayeameuondoamkonowakekutokakwamaskini, ambayehakupokearibawalanyongeza,amezitekeleza hukumuzangu,nakuzifuatasheriazangu;hatakufakwa ajiliyauovuwababayake,hakikaataishi.

18Nababayake,kwasababualimdhulumukwaukali,na kumnyang'anyanduguyakekwajeuri,nakufanya yasiyofaakatiyawatuwake,tazama,atakufakatikauovu wake

19Lakinininyimwasema,Kwanini?Je!mtotohachukui maovuyababaye?Mwanaatakapofanyayaliyohalalina haki,nakuzishikaamrizanguzote,nakuzifanya,hakika ataishi

20Rohoitendayodhambindiyoitakayokufa.Mwana hatauchukuauovuwababayake,walababahatauchukua uovuwamwanawe;hakiyakemwenyehakiitakuwajuu yake,nauovuwakemwovuutakuwajuuyake.

21Lakinimtumwovuakighairi,nakuachadhambizake zotealizozifanya,nakuzishikaamrizanguzote,nakutenda yaliyohalalinahaki,hakikaataishi,hatakufa.

22Dhambizakezotealizozitendahazitakumbukwatena; katikahakiyakealiyoitendaataishi

23Je!ninafurahihatakidogohatamtumwovuafe?asema BwanaMUNGU;

24Lakinimwenyehakiatakapoghairi,nakuiachahaki yake,nakutendamaovu,nakufanyamachukizoyote anayofanyamtumwovu,je!Hakiyakeyotealiyoifanya haitakumbukwa;katikakosalakealilolikosa,nakatika dhambiyakealiyoikosa,atakufakatikamakosahayo

25Lakinininyihusema,NjiayaBwanasisawaSikieni sasa,enyinyumbayaIsraeli;Je,njiayangusisawa?njia zenusizisizosawa?

26Mwenyehakiatakapoghairi,nakuiachahakiyake,na kutendamaovu,nakufakatikahayo;kwaajiliyauovu wakealioufanyaatakufa

27Tenamtumwovuatakapoghairi,nakuuachauovuwake alioutenda,nakutendayaliyohalalinahaki,ataokoaroho yake

28Kwakuwaanatafakarinakughairimakosayakeyote aliyoyafanya,hakikaataishi,hatakufa.

29LakininyumbayaIsraelihusema,NjiayaBwanasi sawa.EnyinyumbayaIsraeli,je!njiazangusisawa?njia zenusizisizosawa?

30Kwahiyonitawahukumuninyi,nyumbayaIsraeli,kila mtukwakadiriyanjiazake,asemaBwanaMUNGU. Tubuni,mkaachemakosayenuyote;iliuovuusiwe uharibifukwako

31Tupilienimbalinanyimakosayenuyotemliyoyakosa; nakujifanyiziamoyompyanarohompya;kwamaana mbonamnatakakufa,enyinyumbayaIsraeli?

32Maanamimisikufurahiikufakwakeafaye,asema BwanaMUNGU;basigeukeni,mkaishi

SURAYA19

1TenauwafanyiemaombolezowakuuwaIsraeli, 2nakusema,Mamayakoninani?Mwana-simba,alilala katiyasimba,alilishawatotowakekatiyasimba

3Akamleammojawawatotowake,akawamwana-simba, akajifunzakukamatamawindo;iliwalawatu

4Mataifanayoyalisikiahabarizake;alikamatwakatika shimolao,wakamletakwaminyororompakanchiyaMisri.

5Basialipoonayakuwaamengoja,natumainilake limepotea,basiakamtwaamtotomwinginekatikawatoto wake,akamfanyamwana-simba.

6Nayeakaendahukonahukokatiyasimba,akawa mwana-simba,akajifunzakukamatamawindo,akalawatu 7Akayajuamajumbayaoyaukiwa,akaiharibumijiyao;na nchiikawaukiwa,navyotevilivyoijaza,kwasautiya kungurumakwake

8Ndipomataifawakawekawavuwaojuuyakepandezote zamajimbo,wakatandazawavuwaojuuyake;

9Wakamtiagerezanikatikaminyororo,wakampelekakwa mfalmewaBabeli,wakamtiakatikangome,ilisautiyake isisikiwetenajuuyamilimayaIsraeli

10Mamayakonikamamzabibukatikadamuyako, uliopandwakandoyamaji;

11Nayealikuwanafimbozenyenguvukwaajiliyafimbo zaenzizawatawala,nakimochakekiliinuliwakatiya matawimazito,alionekanakatikakimochakepamojana wingiwamatawiyake

12Lakinialing’olewakwaghadhabu,akatupwachini,na upepowamasharikiulikaushamatundayake;moto ukawateketeza

13Nasasaamepandwanyikani,katikanchikavunayenye kiu.

14Namotoumetokakatikafimboyamatawiyake, uliokulamatundayake,hatahanafimboyenyenguvuya kuwafimboyakutawalaHayonimaombolezo,nayo yatakuwamaombolezo

SURAYA20

1Ikawakatikamwakawasaba,mweziwatano,sikuya kumiyamwezi,baadhiyawazeewaIsraeliwalikujaili kuulizakwaBwana,wakaketimbeleyangu

2NdiponenolaBwanalikanijia,kusema, 3Mwanadamu,semanawazeewaIsraeli,uwaambie, BwanaMUNGUasemahivi;Mmekujakuniulizamimi? Kamamiminiishivyo,asemaBwanaMUNGU,sitaulizwa naninyi

Ezekieli

4Mwanadamu,utawahukumu,je!uwajulishemachukizo yababazao;

5Naweuwaambie,BwanaMUNGUasemahivi;Sikuile nilipowachaguaIsraeli,nakuinuamkonowangukwa wazaowanyumbayaYakobo,nakujitambulishakwao katikanchiyaMisri,nilipowainuliamkonowangu, nikisema,MimindimiBwana,Munguwenu;

6katikasikuilenilipowainuliamkonowangu,ilikuwatoa katikanchiyaMisrinakuwapelekakatikanchi niliyoipelelezakwaajiliyao,inayotiririkamaziwanaasali, ambayonifahariyanchizote;

7Ndiponikawaambia,Tupenikilamtumachukizoya machoyake,walamsijitieunajisikwasanamuzaMisri;

8Lakiniwaliniasi,walahawakunisikiliza;hawakutupilia mbalikilamtumachukizoyamachoyake,wala hawakuziachasanamuzaMisri;ndiponikasema, Nitamwagaghadhabuyangujuuyao,ilikuitimizahasira yangujuuyaokatikatiyanchiyaMisri

9Lakininilifanyakwaajiliyajinalangu,ililisitiweunajisi mbeleyamataifa,ambaowalikuwakatiyao,ambao machonipaonalijidhihirishakwao,kwakuwatoakatika nchiyaMisri.

10KwahiyonikawatoakatikanchiyaMisri,nikawaleta jangwani

11Naminikawapaamrizangu,nakuwaonyeshahukumu zangu,ambazomtuakizitendaataishikwazo

12Tenanaliwapasabatozangu,ziweisharakatiyamimi nawao,wapatekujuayakuwamimi,Bwana,ndimi niwatakasaye

13LakininyumbayaIsraeliwaliniasijangwani;nasabato zanguwalizitiaunajisisana;ndiponikasema,Nitamwaga ghadhabuyangujuuyaojangwani,ilikuwaangamiza

14Lakininilifanyakwaajiliyajinalangu,ililisitiwe unajisimbeleyamataifa,ambaonaliwatoambeleyamacho yao

15Tenanaliwainuliamkonowanguhukonyikani,ya kwambasitawaingizakatikanchiniliyowapa,inayotiririka maziwanaasali,ambayonifahariyanchizote;

16kwasababuwalizidharauhukumuzangu,wala hawakuenendakatikasheriazangu,baliwalizitiaunajisi sabatozangu;

17Walakinijicholanguliliwahurumianisiwaangamize, walasikuwamalizanyikani.

18Lakininiliwaambiawatotowaonyikani,Msiendekatika amrizababazenu,walamsishikehukumuzao,wala msijitieunajisikwavinyagovyao;

19MimindimiBwana,Munguwenu;endenikatikaamri zangu,nakuzishikahukumuzangu,nakuzitenda;

20Zitakasenisabatozangu;nazozitakuwaisharakatiya miminaninyi,mpatekujuayakuwamimindimiBwana, Munguwenu

21Lakinihaowatotowaliniasi;walizitiaunajisisabato zangu;ndiponikasema,Nitamwagaghadhabuyangujuu yao,ilikuitimizahasirayangujuuyaojangwani

22Walakininaliuzuiamkonowangu,nikatendakwaajili yajinalangu,lisitiweunajisimachonipamataifa,ambao naliwatoamachonipao.

23Tenanaliwainuliamkonowanguhukonyikani,kwamba nitawatawanyakatiyamataifa,nakuwatawanyakatika nchimbalimbali;

24kwasababuhawakuzitekelezahukumuzangu,bali walizidharausheriazangu,nakuzitiaunajisisabatozangu, namachoyaoyalizifuatasanamuzababazao

25Kwahiyonaliwapaamriambazohazikuwanzuri,na hukumuambazohawakupaswakuishikwazo; 26Naminikawatiaunajisikwamatoleoyaowenyewe,kwa kuwapitishamotoniwotewaliofunguatumbolauzazi,ili niwafanyeukiwa,wapatekujuayakuwamimindimi Bwana

27Basi,mwanadamu,semananyumbayaIsraeli, uwaambie,BwanaMUNGUasemahivi;Lakinibabazenu wamenitukanakwanjiahii,kwakunikosa

28Kwamaananilipokwishakuwaletakatikanchiambayo naliinuamkonowangukuwapa,wakaonakilakilimakirefu, namitimineneyote,wakatoadhabihuzaohuko,nahuko wakatoamachukizoyamatoleoyao;nahukowakafanya harufuyakupendeza,nakumiminahukosadakazaoza kinywaji

29Ndiponikawaambia,Mahalipalipoinukapanapokwenda niwapi?NajinalakelikaitwaBamahataleo

30BasiwaambienyumbayaIsraeli,BwanaMUNGU asemahivi;Je!mmetiwaunajisisawasawanadesturiza babazenu?namnafanyauasheratikwakufuatamachukizo yao?

31Kwamaanahapomtoaposadakazenu,hapo huwapitishawanawenumotoni,mnajitiaunajisinafsizenu kwavinyagovyenuvyotehatahivileo;je!Kamamimi niishivyo,asemaBwanaMUNGU,sitaulizwananinyi.

32Nahayoyaingiayomioyonimwenuhayatakuwahata kidogo,hatamnasema,Tutakuwakamamataifa,kama jamaazanchi,kutumikiamitinamawe.

33Kamamiminiishivyo,asemaBwanaMUNGU,hakika nitatawalajuuyenukwamkonowenyenguvu,nakwa mkonoulionyoshwa,nakwaghadhabuiliyomiminwa;

34Naminitawatoakatikamataifa,nakuwakusanyakutoka katikanchiambazommetawanywa,kwamkonowenye nguvu,nakwamkonoulionyoshwa,nakwaghadhabu iliyomiminwa

35Naminitawaletakatikanyikayawatu,nahukonitateta nanyiusokwauso.

36Kamavilenilivyotetanababazenukatikajangwala nchiyaMisri,ndivyonitakavyotetananyi,asemaBwana MUNGU.

37Naminitawapitishachiniyafimbo,naminitawaingiza katikakifungochaagano;

38Naminitawaondoakatiyenuwaasi,nahaowanaoniasi; nitawatoakatikanchiwanayokaa,walahawataingiakatika nchiyaIsraeli;nanyimtajuayakuwamimindimiBwana.

39Naninyi,nyumbayaIsraeli,BwanaMUNGUasema hivi;Enendenizenu,mkavitumikiekilamtusanamuzake, nabaadayepia,ikiwahamtakikunisikiliza;lakini msilichafuejinalangutakatifutenakwavipawavyenuna kwasanamuzenu

40Kwamaanakatikamlimawangumtakatifu,katika mlimawakilelechaIsraeli,asemaBwanaMUNGU,hapo watanitumikianyumbayoteyaIsraeli,wotepiakatikanchi; 41Naminitawakubalipamojanaharufuyenuya kupendeza,nitakapowatoakatikakabilazawatu,na kuwakusanyakatikanchimlizotawanyika;nami nitatakaswandaniyakombeleyamataifa.

Ezekieli

42NanyimtajuayakuwamimindimiBwana, nitakapowaletakatikanchiyaIsraeli,hatanchiniliyoinua mkonowangukuwapababazenu

43Nahukomtazikumbukanjiazenu,namatendoyenu yote,ambayokwayommetiwaunajisi;nanyimtajichukia nafsizenukwaajiliyamaovuyenuyotemliyoyatenda

44NanyimtajuayakuwamimindimiBwana, nitakapokuwanimetendapamojananyikwaajiliyajina langu,sisawasawananjiazenumbaya,walasisawasawa namatendoyenumaovu,enyinyumbayaIsraeli,asema BwanaMUNGU

45TenanenolaBwanalikanijia,kusema, 46Mwanadamu,uelekezeusowakoupandewakusini, ukadondoshenenolakokuelekeakusini,ukatabirijuuya msituwashambalakusini;

47Uuambiemsituwakusini,LisikienenolaBwana; BwanaMUNGUasemahivi;Tazama,nitawashamoto ndaniyako,naoutakulakilamtimbichindaniyako,nakila mtimkavu;

48Nawatuwotewenyemwiliwataonayakuwamimi, Bwana,nimeuwasha,hautazimika

49Ndiponikasema,EeBwanaMUNGU!wasemajuu yangu,Je!hasemimifano?

SURAYA21

1NenolaBwanalikanijia,kusema, 2Mwanadamu,uelekezeusowakokuelekeaYerusalemu, ukadondoshenenolakokuelekeamahalipatakatifu,na kutoaunabiijuuyanchiyaIsraeli; 3UiambienchiyaIsraeli,Bwanaasemahivi;Tazama, miminijuuyako,naminitauchomoaupangawangualani mwake,naminitamkatiliambaliwewemwenyehakina mwovu.

4Kwakuwanitakatiliambalikwakomwenyehakina mwovu,kwahiyoupangawanguutatokaalanimwakejuu yawotewenyemwili,tokakusinihatakaskazini; 5iliwotewenyemwiliwajueyakuwamimi,Bwana nimeutoaupangawangualanimwake;hautaruditena

6Basi,Eemwanadamu,uguakwakuvunjwaviuno;na kuuguakwauchungumbeleyamachoyao

7Tenaitakuwa,watakapokuambia,Mbonaunaugua? kwambautajibu,Kwaajiliyahabari;kwasababulinakuja; nakilamoyoutayeyuka,namikonoyoteitalegea,nakila rohoitazimia,namagotiyoteyatalegeakamamaji;tazama, yanakuja,nayoyatatendeka,asemaBwanaMUNGU.

8NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 9Mwanadamu,tabiri,useme,Bwanaasemahivi;Sema, Upanga,upangaumenolewa,tenaumesuguliwa; 10Umenoaupatekuchinjasana;umeng'aa,umeremeta;je! tufanyefuraha?inaidharaufimboyamwanangukamakila mti.

11Nayeameutoauweumeng'arishwa,upatekushikwa; 12Lianakupigayowe,mwanadamu;kwamaanaitakuwa juuyawatuwangu,itakuwajuuyawakuuwotewaIsraeli; vitishovitakuwajuuyawatuwangukwasababuyaupanga; 13Kwamaananimajaribio,navipiikiwaupanga unaidharauhatafimbo?halitakuwapotena,asemaBwana MUNGU

14Basiwewe,mwanadamu,toaunabii,upigemikono yako,naupangauongezekemarayatatu,upangawao waliouawa;

15Nimewekanchayaupangajuuyamalangoyaoyote,ili mioyoyaoizimie,namaangamiziyaoyawemengi; imefanywakuwaangavu,imefungwakwaajiliya kuchinjwa.

16Nendakwanjiamojaaunyingine,amamkonowa kuume,auwakushoto,popoteusowakoumeelekezwa 17Naminitapigamikonoyangu,naghadhabuyangu nitaituliza;mimi,Bwana,nimesemahaya.

18NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 19Nawewe,mwanadamu,jiwekeenjiambili,iliupanga wamfalmewaBabeliupatekuja,zotembilizitatokakatika nchimoja;

20Tengenezanjia,iliupangaujekwaRabayawanawa Amoni,naYudakatikaYerusalemuyenyengome

21KwamaanamfalmewaBabelialisimamapenyenjia panda,penyekichwachanjiahizombili,iliatumieuaguzi; 22Katikamkonowakewakuumekulikuwanauaguzikwa ajiliyaYerusalemu,kuwekamaakida,kufunguakinywa katikakuchinja,kupazasautikwakupigakelele,kuweka vyombovyakubomoleajuuyamalango,kuwekabomana kujengangome

23Naitakuwakwaokamauaguziwauongombeleya machoyao,kwaowalioapakwaviapo;lakini ataukumbushauovuhuo,iliwakamatwe

24BasiBwanaMUNGUasemahivi;Kwasababu mmeukumbushauovuwenu,kwakuwamakosayenu yamefunuliwa,hatadhambizenuzionekanekatika matendoyenuyote;kwasababu,nasema,kwamba mmekumbukwa,mtakamatwakwamkono

25Nawewe,mkuumwovuwaIsraeli,ambayesikuyake imekuja,wakatiuovuutakapokwisha; 26BwanaMUNGUasemahivi;livuekilemba,livuetaji; hilihalitakuwasawa;mtukuzenialiyechini,mkamshushe aliyejuu.

27Nitakipindua,nitakipindua,nitakipindua,nacho hakitakuwapotena,hataatakapokujayeyeambayenihaki yake;naminitampa.

28Nawewe,mwanadamu,tabiri,useme,BwanaMUNGU asemahivi,katikahabarizawanawaAmoni,nakatika habariyaaibuyao;hatauseme,Upanga,upangaumefutwa; 29hukuwakikuonaubatili,hukuwakikutabiriauongo,ili kukuletajuuyashingozaowaliouawa,wawaovu,ambao sikuyaoimekuja,wakatiuovuwaoutakapokwisha.

30Je!niurudishekatikaalayake?nitakuhukumumahali ulipoumbwa,katikanchiuliyozaliwa

31Naminitamwagaghadhabuyangujuuyako,nitapuliza juuyakokwamotowaghadhabuyangu,nakukutiakatika mikonoyawatuwakatili,hodariwakuangamiza.

32Utakuwakunizamoto;damuyakoitakuwakatikatiya nchi;hutakumbukwatena;kwamaanamimi,Bwana, nimesemahaya

SURAYA22

1TenanenolaBWANAlikanijia,kusema, 2Sasa,wewemwanadamu,je!utahukumu,je!naam, utamwonyeshamachukizoyakeyote.

3Naweuseme,BwanaMUNGUasemahivi,Mjihuu unamwagadamukatikatiyake,iliwakatiwakeufike,na kujifanyiasanamuzakujitiaunajisi.

Ezekieli

4Umekuwanahatiakatikadamuyakouliyoimwaga;nawe umejitiaunajisikwasanamuzakoulizozifanya;nawe umeziletasikuzakokaribu,naweumeifikiamiakayako; 5Waliokaribu,nawaliombalinawewatakudhihaki,uliye nasifambayanamwenyekufadhaikasana.

6Tazama,wakuuwaIsraeliwalikuwandaniyakokila mmojakwauwezowakeilikumwagadamu

7Ndaniyakowamedharaubabanamama,katikatiyako wamemdhulumumgeni,ndaniyakowamewatesayatima namjane

8Umevidharauvituvyanguvitakatifu,umezitiaunajisi sabatozangu

9Ndaniyakomnawatuwasingizioilikumwagadamu,na ndaniyakowanakulajuuyamilima,nakufanyauasherati katikatiyako

10Ndaniyakowameufunuauchiwababazao; 11Tenamtuamefanyachukizonamkewajiraniyake;na mwingineamemnajisimkwewekwauasherati;na mwinginendaniyakoamemdhalilishaumbulake,bintiya babayake

12Ndaniyakowamepokeazawadiilikumwagadamu; umetwaaribanafaida,naweumejipatiajiranizakokwa unyang'anyikwaunyang'anyi,naweumenisahaumimi, asemaBwanaMUNGU

13Basi,tazama,nimeupigamkonowangukwaajiliya faidayakoisiyoyahakiuliyopata,nakwasababuyadamu yakoiliyokuwakatiyako

14Je!Moyowakowawezakustahimili?Mimi,BWANA, nimelinena,naminitalitenda

15Naminitakutawanyakatiyamataifa,nakuwatawanya katikanchizote,nauchafuwakonitaukomeshandaniyako. 16Naweutajitwaliaurithiwakondaniyakomachonipa mataifa,naweutajuayakuwamimindimiBwana 17NenolaBwanalikanijia,kusema, 18Mwanadamu,nyumbayaIsraeliimekuwatakataka kwangu;wotenishaba,nabati,nachuma,narisasi, katikatiyatanuru;waonitakatakazafedha.

19BasiBwanaMUNGUasemahivi;Kwasababuninyi nyotemmekuwatakataka,basi,tazama,nitawakusanya ninyikatikatiyaYerusalemu.

20kamawakusanyavyofedha,nashaba,nachuma,na risasi,nabati,ndaniyatanuru,ilikupulizamotojuuyake, nakuviyeyusha;ndivyonitakavyowakusanyakatikahasira yangunaghadhabuyangu,naminitawaachahukona kuwayeyusha

21Naam,nitawakusanya,nakuwapuliziamotowa ghadhabuyangu,nanyimtayeyushwakatikatiyake

22Kamavilefedhainavyoyeyukakatikatiyatanuru, ndivyomtakavyoyeyushwandaniyake;nanyimtajuaya kuwamimi,Bwana,nimemwagaghadhabuyangujuuyenu

23NenolaBwanalikanijia,kusema,

24Mwanadamu,mwambie,Weweunchiisiyosafishwa, walakunyeshewamvuakatikasikuyaghadhabu

25Kunafitinayamanabiiwakekatikatiyake,kamasimba angurumayeakiraruamawindo;wamekulanafsi; wamechukuahazinanavituvyathamani;wameongeza wajanewakendaniyake.

26Makuhaniwakewameihalifusheriayangu,nakuvitia unajisivituvyanguvitakatifu;

27Wakuuwakekatikatiyakenikamambwa-mwitu wanaoraruamawindo,ilikumwagadamu,nakuharibu rohozawatu,ilikupatafaidayaudanganyifu

28Namanabiiwakewamewapakachokaa,wakionaubatili, nakuwatabiriauongo,wakisema,BwanaMUNGUasema hivi,wakatiBwanahakusema

29Watuwanchiwamedhulumu,wameiba,wamewaonea maskininamaskini;naam,wamemdhulumumgeniisivyo haki

30Naminikatafutamtumiongonimwao, atakayelitengenezaboma,nakusimamambelezangu mahalipalipobomoka,kwaajiliyanchi,nisijenikaiharibu, lakinisikuonamtu

31Kwahiyonimemwagaghadhabuyangujuuyao; Nimewateketezakwamotowaghadhabuyangu,nimeleta njiayaowenyewejuuyavichwavyao,asemaBwana MUNGU

SURAYA23

1NenolaBwanalikanijiatena,kusema,

2Mwanadamu,palikuwanawanawakewawili,bintiza mamammoja;

3WakafanyauzinzihukoMisri;walifanyauzinziwakati waujanawao;

4NamajinayaomkuualiitwaOhola,naumbulake Oholiba;wakawawangu,wakazaawananabintiHaya ndiyoyalikuwamajinayao;SamarianiOhola,na YerusalemuniOholiba

5NayeOholaakazinialipokuwawangu;akawatamani wapenziwake,Waashuri,jiranizake;

6waliokuwawamevaamavaziyabuluu,maakidana watawala,wotevijanawakutamanika,wapandafarasi waliopandafarasi.

7Basiakafanyauzinziwakepamojanao,watuwote waliochaguliwawaAshuru,nawotealiowatamanisana; akajitiaunajisikwavinyagovyaovyote.

8WalahakuachauzinziwakealioufanyakutokaMisri; 9Kwahiyonimemtiakatikamikonoyawapenziwake, katikamikonoyaWaashuri,aliowatamanisana.

10Haowaliufunuauchiwake,wakatwaawanawenabinti zake,wakamwuakwaupanga;kwamaanawalikuwa wametekelezahukumujuuyake.

11Naumbulake,Oholiba,alipoonahayo,alikuwa mpotovukatikamapenziyakekulikoyeye,nakatikauzinzi wakezaidiyaukahabawadadayake.

12AliwatamaniWaashuri,majiranizake,maakidana watawalawaliovaamavaziyakifahari,wapandafarasi wanaopandafarasi,wotevijanawakutamanika.

13Ndiponikaonayakuwaametiwaunajisi,wakashikanjia mojawotewawili;

14nayeakazidishauzinziwake;

15Wakiwawamevaamishipiviunonimwao,wamevaa mavaziyenyeranginyingijuuyavichwavyao,wote wakiwawakuuwakutegemewa,kwakufuatadesturiza WababiloniwaUkaldayo,nchiyakuzaliwakwao

16Maratualipowaonakwamachoyake,akawatamani,+ akatumawajumbekwaohukoUkaldayo 17Wakaldayowakamwendeakatikakitandachamapenzi, wakamtiaunajisikwauzinziwao;

18Basiakaufunuauzinziwake,nakuufunuauchiwake; ndiporohoyanguikafarakananaye,kamavilemoyo wanguulivyofarakananaumbulake.

19Lakinializidishauzinziwake,akikumbukasikuza ujanawake,alizofanyaukahabakatikanchiyaMisri

Ezekieli

20Kwamaanaalitamanisanawachumbawao,ambao nyamayaonikamanyamayapunda,nakutokwakwaoni kamadamuyafarasi

21Ndivyoulivyokumbukauasheratiwaujanawako, ulipochubuamatitiyakonaWamisri,kwaajiliyamatitiya ujanawako

22Basi,EeOholiba,BwanaMUNGUasemahivi;Tazama, nitawainuawapenziwakojuuyako,ambaomoyowako umefarakananao,naminitawaletajuuyakopandezote; 23Wakaldayo,naWakaldayowote,Pekodi,naShoa,na Koa,naWaashuriwotepamojanao;haowotenivijanawa kutamanika,maakidanawakuu,mabwanawakuunawatu mashuhuri,wotewakiwawamepandafarasi.

24Naowatakujajuuyakowakiwanamagariyavita,na magariyakukokotwa,namagurudumu,nakusanyikola watu,watakaowekajuuyakongao,nangao,nachapeozao pandezote;

25Naminitawekawivuwangujuuyako,nao watakutendeakwaghadhabu;watakuondoapuayakona masikioyako;namabakiyakowataangukakwaupanga; watawatwaawanawakonabintizako;namabakiyako yatateketezwakwamoto.

26Naowatakuvuanguozako,nakuchukuavyombovyako vyauzuri

27Hivyondivyonitakavyokomeshauasheratiwako,na uzinziwakoulioletwatokanchiyaMisri;

28MaanaBwanaMUNGUasemahivi;Tazama,nitakutia katikamikonoyaounaowachukia,katikamikonoyao ambaomoyowakoumefarakananao;

29Naowatakutendeakwachuki,nakuchukuakaziyako yote,nakukuachauchi,hunanguo;nauchiwauzinziwako utafunuliwa,uasheratiwakonauzinziwakopia

30Nitakutendeamambohaya,kwasababuumezinina mataifa,nakwasababuumetiwaunajisikwavinyagovyao.

31Umekwendakatikanjiayaumbulako;kwahiyonitatia kikombechakemkononimwako

32BwanaMUNGUasemahivi;Utakunywakikombecha umbulako,kikubwanakikubwa;inamengi

33Utajazwaulevinahuzuni,kikombechaajabunaukiwa, kikombechaumbulakoSamaria.

34Naweutakinywanakunyonya,naweutavunjaganda zake,nakung'oamatitiyakomwenyewe;maanamimi nimenenanenohili,asemaBwanaMUNGU.

35BasiBwanaMUNGUasemahivi;Kwasababu umenisahau,nakunitupanyumayako,basi,nawe uuchukueuasheratiwakonauzinziwako.

36Bwanaakaniambiatena;Mwanadamu,je! utawahukumuOholanaOholiba?ndio,uwatangazie machukizoyao;

37yakwambawamefanyauzinzi,nadamuimomikononi mwao,naowamefanyauzinzikwasanamuzao,na kuwapitishamotonikwaajiliyaowanawaowalionizalia, ilikuwala

38Tenawamenitendeahivi;wamepatiaunajisipatakatifu pangusikuiyohiyo,naowamezitiaunajisisabatozangu

39Kwamaanawalipokuwawamevichinjiavinyagovyao watotowao,ndipowalipoingiapatakatifupangusikuiyo hiyo,ilikupatiaunajisi;natazama,ndivyowalivyofanya katikatiyanyumbayangu

40Tena,mlitumawatukuwaitawatukutokambali,ambao kwaomjumbealitumwa;natazama,wakaja,ulijioshakwa ajiliyao,ukajipakamachoni,nakujipambakwamapambo;

41ukaketijuuyakitandachakifahari,nameza iliyotayarishwambeleyake,ambayojuuyakeuliweka uvumbawangunamafutayangu

42Nasautiyaumatiwawatuwaliostarehekailikuwa pamojanaye,napamojanawatuwajamiiyawatuwa kawaidawaliletwaWasabeakutokanyikani,ambao waliwekabangilimikononimwao,natajinzurijuuya vichwavyao.

43Ndiponikamwambiayulemzeewauzinzi,Je!sasa watafanyauzinzinaye,nayeyepamojanao?

44Lakiniwakaingiakwake,kamavilewaingiavyokwa mwanamkekahaba;

45Nawatuwenyehakiwatawahukumukwahukumuya wazinzi,nakwahukumuyawanawakewamwagaodamu; kwasababuniwazinzi,namikononimwaokunadamu

46MaanaBwanaMUNGUasemahivi;nitaletakundijuu yao,naminitawatoawaondolewenakutekwa

47Namkutanoutawapigakwamawe,nakuwapigakwa pangazao;watawauawanawaonabintizao,na kuziteketezanyumbazaokwamoto

48Hivyonitaukomeshauasheratikatikanchi,iliwanawake wotewafundishwewasifanyeuasheratiwenu.

49Naowatawarudishianinyiuasheratiwenu,nanyi mtachukuadhambizavinyagovyenu;nanyimtajuaya kuwamimindimiBwanaMUNGU.

SURAYA24

1Tena,mwakawakenda,mweziwakumi,sikuyakumi yamwezi,nenolaBWANAlilinijia,kusema, 2Mwanadamu,jiandikiejinalasiku,lasikuiyohiyo; mfalmewaBabeliamejipangajuuyaYerusalemusikuiyo hiyo

3Ukawaambienyumbailiyoasimithali,uwaambie,Bwana MUNGUasemahivi;Wekakwenyesufuria,iweke,napia miminamajindaniyake:

4Vikusanyevipandevyakendaniyake,kilakipandekizuri, pajanabega;ijazekwamifupailiyochaguliwa

5Litwaekundilililowateule,ukaichomemotomifupa chiniyake,kishauifanyeichemkevizuri,namifupayake ichemkendaniyake

6BasiBwanaMUNGUasemahivi;Olewakemjiwa damu,chunguambachotakatakayakeimondaniyake, ambayouchafuwakehaukutokahumo!toanjekipande kwakipande;kuraisiangukejuuyake

7Maanadamuyakeimondaniyake;akaiwekajuuya mwamba;hakuimwagachiniilikuifunikakwamavumbi; 8Ilikuletaghadhabuilikulipizakisasi;nimewekadamu yakejuuyamwamba,iliisifunike

9BasiBwanaMUNGUasemahivi;Olewakemjiwa damu!Nitafanyahatarundolamotokuwakubwa

10Pandakuni,washamoto,uteketezenyama,utieviungo vizuri,namifupaiteketezwe

11kishauitiejuuyamakaayaketupu,ilishabayakeipate motonakuwaka,nauchafuwakeuyeyushwendaniyake, nauchafuwakeuteketeze

12Amejichoshakwauongo,natakatakayakenyingi haikutokakwake;

13Katikauchafuwakomnauasherati;kwasababu nimekutakasa,nawehukutakaswa,hutatakaswatenana uchafuwako,hatanitakapoiwekaghadhabuyangujuu yako

14Mimi,Bwana,nimesemahaya;itakuwa,naminitafanya; sitarudinyuma,walasitaachilia,walasitatubu;kwakadiri yanjiazako,nakwakadiriyamatendoyako, watakuhukumuwewe,asemaBwanaMUNGU.

15TenanenolaBwanalikanijia,kusema, 16Mwanadamu,tazama,ninakuondoleakwapigohajaya machoyako;

17Achakulia,usifanyemaombolezokwaajiliyawafu; 18Basinikasemanawatuasubuhi,najionimkewangu akafa;naasubuhinilifanyakamanilivyoamriwa 19Watuwakaniambia,Je!

20Ndiponikawajibu,NenolaBwanalilinijia,kusema, 21NenananyumbayaIsraeli,BwanaMUNGUasemahivi; Tazama,nitapatiaunajisipatakatifupangu,fahariyanguvu zenu,natamaayamachoyenu,nayaleambayonafsizenu zaoneahuruma;nawanawenunabintizenumliowaacha wataangukakwaupanga

22Nanyimtafanyakamanilivyofanya;hamtafunika midomoyenu,walamsilechakulachawanadamu.

23Namatairiyenuyatakuwajuuyavichwavyenu,na viatuvyenumiguunimwenu;balimtafifiakwaajiliya maovuyenu,nakuombolezaninyikwaninyi.

24Ezekieliatakuwaisharakwenu;sawasawanayote aliyoyafanyamtafanya;

25Tena,wewemwanawabinadamu,je!

26yakwambaatakayeokokasikuhiyoatakujia,ili akusikilizekwamasikioyako?

27Sikuhiyokinywachakokitafumbuliwakwakeyeye aliyeokoka,naweutasema,walahutakuwabubutena;nawe utakuwaisharakwao;naowatajuayakuwamimindimi BWANA.

SURAYA25

1NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 2Mwanadamu,uelekezeusowakojuuyaWaamoni,na kutoaunabiijuuyao;

3UwaambieWaamoni,LisikieninenolaBwanaMUNGU; BwanaMUNGUasemahivi;Kwasababuulisema,Aha, juuyapatakatifupangu,palipotiwaunajisi;najuuyanchi yaIsraeli,ilipokuwaukiwa;najuuyanyumbayaYuda, walipokwendauhamishoni;

4basi,tazama,nitakutiamikononimwawatuwamashariki uwemilkiyao,naowatawekamajumbayaondaniyako,na kufanyamakaoyaondaniyako;watakulamatundayako, nakunywamaziwayako.

5NaminitaifanyaRabakuwazizilangamia,naWaamoni kuwamahalipakulazamakundi;nanyimtajuayakuwa mimindimiBwana

6MaanaBwanaMUNGUasemahivi;Kwasababu umepigamakofi,nakukanyagakwamiguu,nakufurahi moyonikwadharauyakoyotejuuyanchiyaIsraeli;

7Basi,tazama,nitanyoshamkonowangujuuyako,na kukutoauwematekayamataifa;naminitakukatiliambali nakabilazawatu,nakukuangamiza,usiwekatikanchihizi; naweutajuayakuwamimindimiBWANA

8BwanaMUNGUasemahivi;KwasababuMoabuna Seirihusema,Tazama,nyumbayaYudanikamamataifa yote;

9Kwahiyo,tazama,nitafunguakandoyaMoabukutoka katikamiji,kutokamijiyakeiliyompakanimwake,

utukufuwanchi,Beth-yeshimothi,naBaalmeoni,na Kiriathaimu;

10kwawatuwamasharikipamojanaWaamoni,nami nitawapamilkiyao,iliWaamoniwasikumbukwekatiya mataifa.

11NaminitafanyahukumujuuyaMoabu;naowatajuaya kuwamimindimiBWANA

12BwanaMUNGUasemahivi;kwasababuEdomu ametendajuuyanyumbayaYudakwakulipizakisasi, nayeamekosasana,nakujilipizakisasijuuyao; 13BasiBwanaMUNGUasemahivi;naminitaunyosha mkonowangujuuyaEdomu,naminitakatiliambalihumo mwanadamunamnyama;naminitaifanyakuwaukiwa kutokaTemani;nawatuwaDedaniwataangukakwa upanga

14NaminitalipizakisasichangujuuyaEdomukwa mkonowawatuwanguIsraeli;naowatafanyakatika Edomusawasawanahasirayangunaghadhabuyangu;nao watakijuakisasichangu,asemaBwanaMUNGU.

15BwanaMUNGUasemahivi;KwasababuWafilisti wametendakwakisasi,naowamejilipizakisasikwamoyo wajeuri,nakuiharibukwaajiliyailechukiyazamani; 16BasiBwanaMUNGUasemahivi;Tazama,nitaunyosha mkonowangujuuyaWafilisti,naminitakatiliambali Wakerethi,nakuwaangamizamabakiyapwaniyabahari. 17Naminitatoakisasikikubwajuuyaokwamaonyo makali;naowatajuayakuwamimindimiBWANA, nitakapowekakisasichangujuuyao.

SURAYA26

1Ikawakatikamwakawakuminammoja,sikuyakwanza yamwezi,nenolaBwanalikanijia,kusema,

2Mwanadamu,kwasababuTiroamesemajuuya Yerusalemu,Aha!

3BasiBwanaMUNGUasemahivi;Tazama,miminijuu yako,EeTiro,naminitaletamataifamengijuuyako,kama vilebahariinavyoinuamawimbiyake

4NaowataziharibukutazaTiro,nakuibomoaminarayake; naminitakwanguamavumbiyakekutokakwake,na kumfanyakamakilelechamwamba

5Itakuwamahalipakutandazanyavukatikatiyabahari; maanamiminimenenanenohili,asemaBwanaMUNGU, nalolitakuwanyarakwamataifa

6Nabintizakewaliomashambaniwatauawakwaupanga; naowatajuayakuwamimindimiBWANA.

7MaanaBwanaMUNGUasemahivi;Tazama,nitaletajuu yaTiroNebukadreza,mfalmewaBabeli,mfalmewa wafalmekutokakaskazini,mwenyefarasi,namagari,na wapandafarasi,namajeshi,nawatuwengi

8Atawauabintizakowalioshambanikwaupanga,naye atafanyangomejuuyako,nakupangabomajuuyako,na kuinuangaojuuyako

9Nayeatawekamitamboyavitajuuyakutazako,nakwa mashokayakeataibomoaminarayako

10Kwasababuyawingiwafarasizakemavumbiyao yatakufunika;kutazakozitatikisikakwasautiyawapanda farasi,nayamagurudumu,nayamagari,atakapoingia katikamalangoyako,kamawatuwaingiapokatikamji uliobomolewa.

11Kwakwatozafarasiwakeatazikanyaganjiazakozote; atawauawatuwakokwaupanga,nangomezakozenye nguvuzitashukachini

12naowatatekanyaramalizako,nakutekanyarabidhaa yako,naowatazibomoakutazako,nakuziharibunyumba zakozipendezazo;

13Naminitaikomeshakelelezanyimbozako;nasautiya vinubivyakohaitasikiwatena.

14Naminitakufanyakuwakamakilelechamwamba; utakuwamahalipakutandazanyavujuuyake;hutajengwa tena;kwamaanamimi,Bwana,nimenenanenohili,asema BwanaMUNGU

15BwanaMUNGUaiambiaTirohivi;Je!visiwa havitatikisikakwasautiyakuangukakwako,wakati waliojeruhiwawakilia,wakatimauajiyanapofanywa katikatiyako?

16Ndipowakuuwotewabahariwatashukakatikaviti vyaovyaenzi,nakuyavuamavaziyaoyaliyokuwa yamepambwakwataraza;watakaachini,nakutetemeka kilawakati,nakukushangaa

17Naowatakuimbiawimbowamaombolezo,na kukuambia,Jinsiulivyoangamizwa,weweuliyekaliwana wasafiriwabaharini,mjiwenyesifa,uliokuwananguvu baharini,yeyenawakaajiwake;

18Sasavisiwavitatetemekakatikasikuyakuanguka kwako;naam,visiwavilivyokatikabaharivitafadhaika kwakuondokakwako

19MaanaBwanaMUNGUasemahivi;nitakapokufanya kuwamjiukiwa,kamamijiisiyokaliwanawatu; nitakapoletavilindijuuyako,namajimengiyatakufunika;

20nitakapokushushapamojanahaowashukaoshimoni, pamojanawatuwakale,nakukuwekakatikapandeza chinizanchi,mahalipalipoukiwatanguzamani,pamoja nahaowashukaoshimoni,iliusikaliwenawatu;nami nitawekautukufukatikanchiyawaliohai; 21Nitakufanyakuwakitisho,walahutakuwapotena; ingawaukitafutwa,lakinihutaonekanatenamilele,asema BwanaMUNGU

SURAYA27

1NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 2Sasa,wewemwanadamu,fanyamaombolezokwaajiliya Tiro;

3UiambieTiro,Eweukaayepenyemaingilioyabahari, weweuliyemfanyabiasharakatiyawatuwavisiwavingi, BwanaMUNGUasemahivi;Umesema,EeTiro,mimini mkamilifu.

4Mipakayakoikokatikatiyabahari,wajenziwako wameukamilishauzuriwako

5WametengenezambaozakozotezamiberoshiyaSeniri; wametwaamiereziyaLebanoniilikukutengenezea mlingoti

6KwamialoniyaBashaniwametengenezamakasiayako; kundilaWaashuriwametengenezavitivyakovyapembe zandovu,vilivyoletwakutokavisiwavyaKitimu

7KitaninzuriyatarazayakutokaMisrindiyouliyotandaza iwetangayako;rangiyabuluunazambaraukutokavisiwa vyaElishandiyoiliyokufunika

8WakaaoSidoninaArvadiwalikuwamabahariawako; watuwakowenyehekima,EeTiro,waliokuwandaniyako, walikuwamarubaniwako

9WazeewaGebalinawatuwakewenyehekimawalikuwa ndaniyakowatayarishajiwako;merikebuzotezabaharini pamojanamabahariawaowalikuwandaniyakoilikufanya biasharayako.

10WatuwaUajemi,naLudi,naPuti,walikuwakatika jeshilako,watuwavita;walitundikangaonachapeondani yako;wanatangazauzuriwako

11WatuwaArvadipamojanajeshilakowalikuwajuuya kutazakopandezote,naGammadiwalikuwakatika minarayako;walitundikangaozaojuuyakutazakopande zote;wameufanyauzuriwakokuwamkamilifu

12Tarshishiilikuwamfanyabiasharawako,kwasababuya wingiwamalizakilanamna;kwafedha,nachuma,nabati, narisasi,walifanyabiasharayabidhaazako

13Yavani,TubalinaMeshekiwalikuwawachuuziwako, walibadilishanafsizawatunavyombovyashabakatika sokolako

14WatuwanyumbayaTogarmawalifanyabiasharaya bidhaazakonafarasi,nawapandafarasi,nanyumbu.

15WatuwaDedaniwalikuwawachuuziwako;visiwa vingivilikuwabiasharayamkonowako;

16Shamuilikuwabiasharayako,kwasababuyawingiwa bidhaazakoulizotengeneza;walichukuakatikavituvyako kwazumaridi,nazarangiyazambarau,nakaziyataraza, nakitanisafi,namarijani,naakiki.

17Yuda,nanchiyaIsraeli,walikuwawachuuziwako;

18Dameskiulikuwamfanyabiasharakwako,kwasababu yawingiwabidhaazakoulizozifanya,kwawingiwamali zote;katikamvinyoyaHelboni,nasufunyeupe

19DaninaYavaninaowalikuwawakiendahukunahuko walifanyabiasharayako;

20Dedanialikuwamfanyabiasharawakokwamavaziya thamaniyamagari

21Arabia,nawakuuwotewaKedari,walifanyabiashara nawekatikawana-kondoo,nakondoowaume,nambuzi; 22WafanyabiasharawaShebanaRaamawalikuwa wachuuziwako,walichukuabidhaazakokwamanukato mazuri,navitovyotevyathamani,nadhahabu

23Harani,naKane,naEdeni,wafanyabiasharawaSheba, naAshuru,naKilmadi,walikuwawachuuziwako.

24Haondiowaliokuwawachuuziwakokatikavituvya kilanamna,nguozabuluunakaziyataraza,namasanduku yanguozathamani,zilizofungwakamba,nakutengenezwa kwamierezi,katiyabidhaazako

25MelizaTarshishiziliimbahabarizakokatikasokolako; 26Wapigamakasiawakowamekuingizakatikamajimengi; upepowamasharikiumekuvunjamoyokatiyabahari

27Utajiriwako,nabidhaazako,nabidhaazako,na mabahariawako,namarubaniwako,nawasafishajiwako, nawafanyaobiasharayako,nawapiganajiwakowote waliondaniyako,najeshilakolotelililokatikatiyako, wataangukakatikatiyabaharisikuyauharibifuwako.

28Viungavyamalishovitatikisikakwasautiyakiliocha marubaniwako

29Nawotewashikaomakasia,mabaharia,namarubani wotewabaharini,watashukakatikamerikebuzao, watasimamajuuyanchikavu;

30naowatatoasautizaojuuyako,nakuliakwauchungu, nakumwagamavumbijuuyavichwavyao,nakugaa-gaa katikamajivu;

31Naowatajitiauparakwaajiliyako,nakujivikanguoza magunia,nakukuliliakwauchunguwamoyonakuliakwa uchungu

32Nakatikakuombolezakwaowatakufanyiawimbowa maombolezo,nakukuombolezea,wakisema,Nimjigani uliokamaTiro,kamawatuwalioangamizwakatikatiya bahari?

33Bidhaazakozilipotokabaharini,ulijazamataifamengi; uliwatajirishawafalmewaduniakwawingiwamaliyako nabiasharayako

34Wakatiutakapovunjwanabaharikatikavilindivyamaji biasharayakonakundilakolotelililokatikatiyako litaanguka.

35Wakaajiwotewavisiwawatakustaajabia,nawafalme waowataogopasana,nyusozaozitafadhaika

36Wafanyabiasharakatiyamataifawatakuzomea; utakuwajambolakutisha,walahalitakuwapotena

SURAYA28

1NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 2Mwanadamu,mwambiemkuuwaTiro,BwanaMUNGU asemahivi;Kwasababumoyowakoumeinuka,nawe umesema,MiminiMungu,nimeketikatikakitichaMungu, katikatiyabahari;lakiniweweumwanadamu,walasi Mungu,ijapokuwaumeuwekamoyowakokamamoyowa Mungu;

3Tazama,weweunahekimakulikoDanieli;hakunasiri wanayowezakukuficha

4Kwahekimayakonakwaufahamuwakoumejipatia utajiri,naweumepatadhahabunafedhakatikahazinazako; 5Kwahekimayakonyinginakwabiasharayako umeongezautajiriwako,namoyowakoumeinukakwa sababuyautajiriwako.

6BasiBwanaMUNGUasemahivi;Kwasababu umeuwekamoyowakokamamoyowaMungu;

7Basi,tazama,nitaletawagenijuuyako,watuwamataifa watishao;naowatachomoapangazaojuuyauzuriwa hekimayako,naowatautiaunajisimwangazawako

8Watakushushampakashimoni,naweutakufavifovyao waliouawakatikatiyabahari

9Je!Utasematenambeleyakeyeyeakuuaye,Mimini Mungu?lakiniutakuwamwanadamu,walasiMungu, mkononimwakeakuuaye

10Utakufakifochahaowasiotahiriwakwamikonoya wageni;maanamiminimenenanenohili,asemaBwana MUNGU

11TenanenolaBwanalikanijia,kusema, 12Mwanadamu,mfanyiemaombolezomfalmewaTiro, umwambie,BwanaMUNGUasemahivi;Wewewaitia muhurikipimo,umejaahekima,naukamilifuwauzuri

13UlikuwandaniyaEdeni,bustaniyaMungu;kilajiwela thamanililikuwakifunikochako,akikinyekundu,topazi, almasi,zabarajadi,shohamu,yaspi,yakutisamawi,na zumaridi,naakikinyekundu,nadhahabu; 14Wewendiwekerubimwenyekutiwamafutaafunikaye; naminikakuwekahivi;ukawajuuyamlimamtakatifuwa Mungu;umetembeahukunahukukatiyamaweyamoto 15Ulikuwamkamilifukatikanjiazakotangusikuile ulipoumbwa,hatauovuulipoonekanandaniyako. 16Kwawingiwabidhaazakowamejazajeurindaniyako, naweumetendadhambi;kwahiyonitakutupakamaunajisi,

utokekatikamlimawaMungu;naminitakuangamiza,Ee kerubiufunikaye,utokekatiyamaweyamoto. 17Moyowakouliinukakwasababuyauzuriwako, umeiharibuhekimayakokwasababuyamwangazawako; 18Umetiaunajisipatakatifupako,kwawingiwamaovu yako,nauovuwabiasharayako;kwahiyonitaletamoto kutokakatiyako,naoutakuteketeza,naminitakufanya kuwamajivujuuyanchi,machonipawotewakutazamao. 19Wotewakujuaokatikamataifawatakustaajabia; utakuwakituchakutisha,walahutakuwapotena 20NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 21Mwanadamu,uelekezeusowakojuuyaSidoni,na kutoaunabiijuuyake;

22useme,BwanaMUNGUasemahivi;Tazama,mimini juuyako,EeSidoni;naminitatukuzwakatikatiyako;nao watajuayakuwamimindimiBWANA,nitakapokuwa nimetekelezahukumundaniyake,nakutakaswandani yake

23Kwamaananitatumataunindaniyake,nadamukatika njiakuuzake;nawaliojeruhiwawatahukumiwakatiyake kwaupangajuuyakepandezote;naowatajuayakuwa mimindimiBWANA.

24Walahapatakuwanamchongomauchomaokwa nyumbayaIsraeli,walamwibauumizaokatiyawatuwote wanaowazunguka,waliowadharau;naowatajuayakuwa mimindimiBwanaMUNGU

25BwanaMUNGUasemahivi;Nitakapokuwa nimeikusanyanyumbayaIsraelikutokakwawatuambao wametawanyikakatiyao,nakutakaswakatiyaombeleya machoyamataifa,ndipowatakapokaakatikanchiyao niliyompamtumishiwanguYakobo.

26Naowatakaahumosalama,nakujenganyumba,na kupandamizabibu;naam,watakaakwaujasiri, nitakapokuwanimetekelezahukumujuuyawalewote wanaowadharaupandezote;naowatajuayakuwamimi ndimiBwana,Munguwao

SURAYA29

1Katikamwakawakumi,mweziwakumi,sikuyakumi nambiliyamwezi,nenolaBWANAlilinijia,kusema, 2Mwanadamu,uelekezeusowakojuuyaFarao,mfalme waMisri,ukatabirijuuyake,najuuyaMisriyote; 3Nena,useme,BwanaMUNGUasemahivi;Tazama, miminijuuyako,eeFarao,mfalmewaMisri,jokakubwa alalayekatiyamitoyake,ambayeasema,Mtowanguni wangumwenyewe,naminimeufanyakwaajiliyangu

4Lakininitatiakulabukatikatayazako,nasamakiwamito yakonitawashikamanishanamagambayako,nami nitakutoakatikatiyamitoyako,nasamakiwotewamito yakowatashikamananamagambayako

5Naminitakuacha,umetupwajangwani,wewenasamaki wotewamitoyako;hutakusanywa,walahutakusanywa; nimekupauwechakulachawanyamawamwituninacha ndegewaangani

6NawakaajiwotewaMisriwatajuayakuwamimindimi Bwana,kwasababuwamekuwafimboyamwanzikwa nyumbayaIsraeli

7Walipokushikakwamkonowako,ulivunjika,na kuwararuamabegayaoyote;

Ezekieli

8BasiBwanaMUNGUasemahivi;tazama,nitaleta upangajuuyako,nakuwakatiliambalimwanadamuna mnyama

9NanchiyaMisriitakuwaukiwanaukiwa;naowatajua yakuwamimindimiBWANA;kwasababuamesema,Mto huoniwangu,naminimeufanya

10Kwahiyotazama,miminijuuyako,najuuyamito yako,naminitaifanyanchiyaMisrikuwaukiwanaukiwa kabisa,tokaMnarawaSevenehatampakawaKushi 11Hautapitakatikatiyakemguuwamwanadamu,wala mguuwamnyamahautapitakatiyake,walahaitakaliwana watumiakaarobaini

12NaminitaifanyanchiyaMisrikuwaukiwa,katikatiya nchizilizoukiwa,namijiyakekatiyamijiiliyofanywa ukiwaitakuwaukiwamudawamiakaarobaini; 13LakiniBwanaMUNGUasemahivi;Mwishonimwa miakaarobaininitawakusanyaWamisrikutokakatika mataifaambayowametawanyika

14NaminitawarejezatenawafungwawaMisri,na kuwarudishakatikanchiyaPathrosi,hatanchiyakukaa kwao;naowatakuwahukoufalmeduni

15Utakuwadunikulikofalmezote;walahautajitukuza tenajuuyamataifa;kwamaananitawapunguza,hata hawatatawalatenajuuyamataifa

16NahalitakuwatenatumainilanyumbayaIsraeli, liletaloukumbushowauovuwao,watakapowaangalia; lakiniwatajuayakuwamimindimiBwanaMUNGU

17Ikawakatikamwakawaishirininasaba,mweziwa kwanza,sikuyakwanzayamwezi,nenolaBwanalikanijia, kusema, 18Mwanadamu,Nebukadreza,mfalmewaBabeli,alilitia jeshilakeutumishimkubwajuuyaTiro; 19BasiBwanaMUNGUasemahivi;Tazama,nitampa Nebukadreza,mfalmewaBabeli,nchiyaMisri;naye atatwaaumatiwake,nakutekanyarazake,nakuteka matekayake;nayoitakuwamalipoyajeshilake

20NimempanchiyaMisrikuwakaziyakealiyoitumikia juuyake,kwasababuwalinifanyiakazimimi,asema BwanaMUNGU

21Katikasikuhiyonitaichipuapembeyanyumbaya Israeli,naminitakupakufumbuakwakinywakatikatiyao; naowatajuayakuwamimindimiBWANA

SURAYA30

1NenolaBwanalikanijiatena,kusema, 2Mwanadamu,tabiri,useme,BwanaMUNGUasemahivi; Pigeniyowe,Olewasiku!

3Kwamaanasikuhiyoikaribu,sikuyaBwanaikaribu, sikuyamawingu;itakuwawakatiwamataifa

4NaupangautakujajuuyaMisri,namaumivumakubwa yatakuwakatikaKushi,wakatiwaliouawawatakapoanguka katikaMisri,naowataondoaumatiwake,namisingiyake itabomolewa

5Kushi,naLibia,naLidia,nawatuwote waliochanganyika,naKubu,nawatuwanchiiliyofanya agano,wataangukapamojanaokwaupanga.

6Bwanaasemahivi;NahaowaitegemezaoMisri wataanguka;nakiburichauwezowakekitashuka;toka mnarawaSienewataangukandaniyakekwaupanga, asemaBwanaMUNGU

7Naowatakuwaukiwakatiyanchizilizoukiwa,namiji yakeitakuwakatikatiyamijiiliyoharibiwa.

8NaowatajuayakuwamimindimiBwana,nitakapowasha motokatikaMisri,nawasaidiziwakewote watakapoangamizwa.

9Katikasikuhiyowajumbewatatokakwangukwa merikebuilikuwatiahofuWaethiopiawaliozembea,na uchungumwingiutawapata,kamakatikasikuyaMisri; 10BwanaMUNGUasemahivi;Naminitaukomeshawingi wawatuwaMisrikwamkonowaNebukadreza,mfalme waBabeli

11Yeyenawatuwakepamojanaye,watuwakutishawa mataifa,wataletwailikuiharibunchi;naowatachomoa pangazaojuuyaMisri,nakuijazanchiwatuwaliouawa 12Naminitaikaushamito,nakuiuzanchikatikamikonoya watuwaovu;naminitaifanyanchikuwaukiwa,navyote vilivyomo,kwamkonowawageni;

13BwanaMUNGUasemahivi;naminitaziharibusanamu, nasanamuzaonitazikomeshakatikaNofu;wala hapatakuwanamkuuwanchiyaMisri;naminitatiahofu katikanchiyaMisri

14NaminitaifanyaPathrosikuwaukiwa,naminitatia motokatikaSoani,nakutekelezahukumukatikaNo

15NaghadhabuyangunitamwagajuuyaSini,ngomeya Misri;naminitakatiliambaliumatiwaNo.

16NaminitatiamotokatikaMisri;Siniitakuwana maumivumakali,naNoitapasuliwa,naNofuitakuwana dhikikilasiku.

17VijanawaAveninaPibesethiwataangukakwaupanga, namijihiiitakwendautumwani

18HukoTehafnehesipiamchanautakuwagiza, nitakapozivunjakongwazaMisrihuko,nafahariyanguvu zakeitakomandaniyake;

19NdivyonitakavyofanyahukumukatikaMisri;nao watajuayakuwamimindimiBwana

20Ikawakatikamwakawakuminammoja,mweziwa kwanza,sikuyasabayamwezi,nenolaBwanalikanijia, kusema,

21Mwanadamu,nimeuvunjamkonowaFaraomfalmewa Misri;natazama,haitafungwailikuponywa,kutia gurudumulakuifunga,nakuifanyakuwananguvuya kushikaupanga

22BasiBwanaMUNGUasemahivi;Tazama,miminijuu yaFarao,mfalmewaMisri,naminitaivunjamikonoyake, iliyoimaranailiyovunjika;naminitauangushaupanga mkononimwake.

23NaminitawatawanyaWamisrikatiyamataifa,na kuwatawanyakatikanchimbalimbali.

24NaminitaitianguvumikonoyamfalmewaBabeli,na kutiaupangawangumkononimwake;

25LakininitaitianguvumikonoyamfalmewaBabeli,na mikonoyaFaraoitaanguka;naowatajuayakuwamimi ndimiBWANA,nitakapoutiaupangawangumkononimwa mfalmewaBabeli,nayeataunyoshajuuyanchiyaMisri 26NaminitawatawanyaWamisrikatiyamataifa,na kuwatapanyakatiyanchi;naowatajuayakuwamimi ndimiBWANA.

SURAYA31

1Ikawakatikamwakawakuminammoja,mweziwatatu, sikuyakwanzayamwezi,nenolaBwanalikanijia,kusema,

2Mwanadamu,semanaFarao,mfalmewaMisri,na mkutanowakemkuu;Umefanananananikatikaukuu wako?

3Tazama,MwashurialikuwamwerezikatikaLebanoni, wenyematawimazuri,nasandayenyekivuli,nakimo kirefu;nakilelechakekilikuwakatiyamatawimazito

4Majiyakamkuza,vilindivilimkuza,mitoyakeikapita pandezotezamimeayake,nakupelekamitoyakekwenye mitiyoteyakondeni

5Kwahiyokimochakekiliinuliwajuuyamitiyoteya shambani,namatawiyakeyakaongezeka,namatawiyake yakawamarefukwasababuyawingiwamaji,alipochipuka 6Ndegewotewaanganiwalifanyaviotavyaokatika matawiyake,nachiniyamatawiyakewanyamawotewa mwituwalizaawatotowao,nachiniyakivulichake mataifayotemakubwayalikaa.

7Hivyoalikuwamzurikatikaukuuwake,katikaurefuwa matawiyake;maanamiziziyakeilikuwakaribunamaji mengi.

8MierezikatikabustaniyaMunguhaikuwezakumsitiri; misonobarihaikuwakamamatawiyake,walamisonobari haikuwakamamatawiyake;walamtiwowotekatika bustaniyaMunguulikuwakamayeyekwauzuriwake

9Nimeufanyakuwamzurikwawingiwamatawiyake, hatamitiyoteyaEdeni,iliyokuwakatikabustaniya Mungu,ilimwoneawivu

10BasiBwanaMUNGUasemahivi;Kwasababu umejiinuakimo,akakiinuakilelechakekatiyamatawi mazito,namoyowakeukainukakwaurefuwake;

11Kwahiyonimemtiamkononimwashujaawamataifa; hakikaatamtenda;nimemfukuzakwauovuwake.

12Nawageni,watuwakutishawamataifa,wamemkatilia mbalinakumwacha;nawatuwotewaduniawameshuka kutokakatikakivulichake,nakumwacha.

13Ndegewotewaanganiwatakaajuuyauharibifuwake, nawanyamawotewamwituniwatakuwajuuyamatawi yake;

14ilimitiyoteiliyokaribunamajiisipatekujiinuakwa urefuwake,walakuchipuakilelechakekatiyamatawi manene,walamitiyakeisisimamekatikaurefuwake,wote wanywaomaji;

15BwanaMUNGUasemahivi;Sikuilealiposhuka kuzimunalisababishamaombolezo,nilivifunikavilindi kwaajiliyake,nikazuiamitoyake,majimengiyalizuiliwa; naminiliifanyaLebanonikuombolezakwaajiliyake,na mitiyoteyakondeniikazimiakwaajiliyake.

16Nalitetemeshamataifakwasautiyakuangukakwake, nilipomtupachinikuzimupamojanaowashukaoshimoni;

17Waopiawalishukakuzimupamojanayekwawale waliouawakwaupanga;nawalewaliokuwamkonowake, waliokaachiniyauvuliwakekatiyamataifa

18Weweumefanananananihivikatikautukufunaukuu katiyamitiyaEdeni?lakiniutashushwapamojanamitiya Edenihatapandezachinizanchi;utalalakatiyahao wasiotahiriwapamojanahaowaliouawakwaupanga HuyundiyeFaraonajamiiyakeyote,asemaBwana MUNGU.

SURAYA32

1Ikawakatikamwakawakuminambili,mweziwakumi nambili,sikuyakwanzayamwezi,nenolaBwana likanijia,kusema, 2Mwanadamu,mfanyieFaraomfalmewaMisri maombolezo,umwambie,Weweukamamwana-simbawa mataifa,naweukamanyangumikatikabahari; 3BwanaMUNGUasemahivi;kwahiyonitautandaza wavuwangujuuyakopamojanakundilawatuwengi;nao watakuletakatikawavuwangu

4ndiponitakuachajuuyanchi,naminitakutupanjeya uwanda,naminitawafanyandegewotewaanganikukaa juuyako,naminitawajazawanyamawaduniayotekwa wewe

5Naminitawekanyamayakojuuyamilima,nakuyajaza mabondeurefuwako

6Tenakwadamuyakonitainyweshanchihiyo unayoogelea,hatamilimani;namitoitajaawewe.

7Naminitakapokutoanje,nitazifunikambingu,na kuzifanyanyotazakekuwagiza;Nitalifunikajuakwa wingu,namwezihautatoamwangawake.

8Namiangayoteangavuyambinguninitaifanyagizajuu yako,nakuwekagizajuuyanchiyako,asemaBwana MUNGU.

9Naminitaifadhaishamioyoyawatuwengi,nitakapoleta uharibifuwakokatiyamataifa,katikanchiusizozijua

10Naam,nitawashangazawatuwengikwaajiliyako,na wafalmewaowataogopasanakwaajiliyako, nitakapoutikisaupangawangumbeleyao;nao watatetemekakiladakika,kilamtukwaajiliyanafsiyake, katikasikuyakuangukakwako

11MaanaBwanaMUNGUasemahivi;Upangawa mfalmewaBabeliutakujajuuyako.

12Kwapangazamashujaanitawaangushawatuwako wengi,watuwamataifawatishaowote;

13Tenanitawaharibuwanyamawakewotewaliokandoya majimakuu;walamguuwamwanadamuhautazitikisatena, walakwatozamnyamahazitazisumbua

14Ndiponitakapoyafanyamajiyaokuwachini,na kutiririshamitoyaokamamafuta,asemaBwanaMUNGU

15NitakapoifanyanchiyaMisrikuwaukiwa,nahiyonchi itakosakilekilichoijaza,nitakapowapigawotewakaao ndaniyake,ndipowatakapojuayakuwamimindimi Bwana

16Hayandiyomaombolezowatakayomwombolezea;binti zamataifawatamlilia;

17Ikawakatikamwakawakuminambili,sikuyakumina tanoyamwezi,nenolaBwanalikanijia,kusema,

18Mwanadamu,ombolezakwaajiliyaumatiwaMisri, uwatupechini,yeyenabintizamataifamashuhurihata pandezachinizadunia,pamojanaowashukaoshimoni.

19Unampitananikwauzuri?shukaulalepamojanawatu wasiotahiriwa

20Naowataangukakatiyahaowaliouawakwaupanga; ametolewakwaupanga;

21Waliohodarimiongonimwamashujaawatasemanaye kutokakatikatiyakuzimupamojanawalewanaomsaidia; 22Ashuruyukohukonakundilakelote;makaburiyake yamemzunguka;wotewameuawa,wameangukakwa upanga

Ezekieli

23ambaomakaburiyaoyamewekwakatikapandeza shimo,nakundilakelimezungukakaburilake;wote wameuawa,wameangukakwaupanga,walioletahofu katikanchiyawaliohai.

24Elamuyukohuko,naumatiwakewotewawatu wanaolizungukakaburilake,wotewameuawa, wameangukakwaupanga,ambaowameshukabila kutahiriwakatikasehemuzachinizanchi,ambao walisababishautishowaokatikanchiyawaliohai;lakini wameichukuaaibuyaopamojanahaowashukaoshimoni

25Wamemwekeakitandakatiyahaowaliouawa,pamoja naumatiwakewote;makaburiyakeyamemzungukapande zote;wotehawakutahiriwa,wameuawakwaupanga; ingawautishowaoumetokeakatikanchiyawaliohai, wameichukuaaibuyaopamojanahaowashukaoshimoni; amewekwakatiyaowaliouawa.

26Meshekiyukohuko,Tubali,naumatiwakewote; makaburiyakeyamemzungukapandezote;

27Naohawatalalapamojanamashujaawalioangukakati yahaowasiotahiriwa,walioshukakuzimuwakiwana silahazaozavita,naowamewekapangazaochiniya vichwavyao,lakinimaovuyaoyatakuwajuuyamifupa yao,ingawawalikuwakitishochamashujaakatikanchiya waliohai

28Ndio,utavunjwakatikatiyawasiotahiriwa,nautalala pamojanawalewaliouawakwaupanga

29Edomuyukohuko,wafalmewake,nawakuuwakewote, ambaopamojanauwezowaowamewekwapamojanahao waliouawakwaupanga;

30Wakuuwakaskaziniwakohuko,wotepia,naWasidoni wote,walioshukapamojanawaliouawa;kwautishowao wametahayarishwananguvuzao;naowamelalabila kutahiriwapamojanahaowaliouawakwaupanga,nao wamechukuaaibuyaopamojanahaowashukaoshimoni.

31Faraoatawaona,nakufarijiwajuuyaumatiwakewote, hataFaraonajeshilakelotewaliouawakwaupanga,asema BwanaMUNGU.

32Maananimeletautishowangukatikanchiyawaliohai, nayeatalazwakatiyahaowasiotahiriwa,pamojanahao waliouawakwaupanga,naam,Faraonaumatiwakewote, asemaBwanaMUNGU

SURAYA33

1NenolaBwanalikanijiatena,kusema,

2Mwanadamu,semanawanawawatuwako,uwaambie, Nitakapoletaupangajuuyanchi,watuwanchihiyo wakimtwaamtummojakatikamipakayao,nakumweka kuwamlinziwao;

3Nayeakiuonaupangaunakujajuuyanchi,atapiga tarumbeta,nakuwaonyawatu;

4Basikilaaisikiayesautiyatarumbeta,asionywe;upanga ukijanakumwondoa,damuyakeitakuwajuuyakichwa chakemwenyewe

5Aliisikiasautiyatarumbeta,walahakuonywa;damu yakeitakuwajuuyakeBaliyeyeapokeayemaonyo atajiokoanafsiyake.

6Lakinimlinziakiuonaupangaunakuja,asipigetarumbeta, walawatuhawakuonywa;upangaukija,nakumtwaamtu awayeyotekatiyao,huyoameondolewakatikauovuwake; lakinidamuyakenitaitakamkononimwamlinzi

7Basiwewe,mwanadamu,nimekuwekakuwamlinziwa nyumbayaIsraeli;kwahiyolisikienenohilokinywani mwangu,nakuwaonyakutokakwangu

8Nimwambiapomtumbaya,Eemtumbaya,hakika utakufa;kamahusemiilikumwonyamtumbayaaiachenjia yake,mtumbayahuyoatakufakatikauovuwake;lakini damuyakenitaitakamkononimwako

9Walakiniukimwonyamtumwovujuuyanjiayake,na kuiacha;asipoiachanjiayake,atakufakatikauovuwake; lakiniumejiokoanafsiyako

10Kwahivyo,Eemwanawabinadamu,semananyumba yaIsraeli;Mwasemahivi,nakusema,Makosayetuna dhambizetuzikiwajuuyetu,natumedhoofikakatika dhambihizo,basitutaishije?

11Waambie,Kamamiminiishivyo,asemaBwana MUNGU,sikufurahiikufakwakemtumwovu;baliaghairi mtumwovunakuiachanjiayakenakuishi;kwanimbona mnatakakufa,enyinyumbayaIsraeli?

12Kwahiyo,wewemwanadamu,waambiewanawawatu wako,Hakiyakemwenyehakihaitamwokoakatikasikuya kosalake;walamwenyehakihatawezakuishikwahaki yakesikuatakapofanyadhambi.

13Nitakapomwambiamwenyehaki,yakwambahakika ataishi;akiitumainiahakiyakemwenyewe,nakutenda maovu,hakizakezotehazitakumbukwa;lakinikwaajiliya uovuwakealioutendaatakufakwaajiliyake

14Tena,nimwambiapomtumbaya,Hakikautakufa; akighairi,nakuiachadhambiyake,nakutendayaliyohalali nahaki;

15Mtumwovuakirudisharehani,nakurudishakile alichoiba,nakuzienendakatikasheriazauzima,bila kutendauovu;hakikaataishi,hatakufa

16Dhambizakezotealizozifanyahazitakumbukwahata moja;ametendayaliyohalalinahaki;hakikaataishi.

17Lakiniwanawawatuwakohusema,NjiayaBwanasi sawa;lakiniwao,njiayaosisawa

18Mwenyehakiatakapoghairi,nakuiachahakiyake,na kutendamaovu,atakufakwahiyo

19Lakinimtumwovuakighairi,nakuuachauovuwake,na kufanyayaliyohalalinahaki,ataishikwahuo.

20Lakinininyihusema,NjiayaBwanasisawaEnyi nyumbayaIsraeli,nitawahukumuninyikilamtukwanjia zake.

21Ikawakatikamwakawakuminambiliwakuhamishwa kwetu,mweziwakumi,sikuyatanoyamwezi,mtummoja aliyeponyokakutokaYerusalemuakanijia,akisema,Mji umepigwa

22BasimkonowaBwanaulikuwajuuyanguwakatiwa jioni,kablahajajahuyoaliyeokoka;nayealikuwa amefunguakinywachangu,hataaliponijiaasubuhi;na kinywachangukikafunguliwa,walasikuwabubutena 23NdiponenolaBWANAlikanijia,kusema, 24Mwanadamu,haowakaaokatikazilejangwazanchiya Israelihunena,wakisema,Ibrahimualikuwammoja,naye akairithinchi;ardhitumepewasisikuwaurithi

25Basiwaambie,BwanaMUNGUasemahivi;Mnakula pamojanadamu,nakuinuamachoyenukuzitazama sanamuzenu,nakumwagadamu;nanyimtaimilikinchi?

26Mnasimamajuuyaupangawenu,mnafanyamachukizo, nakilamtuanamtiaunajisimkewajiraniyake;nanyi mtaimilikinchi?

Ezekieli

27Waambiehivi,BwanaMUNGUasemahivi;Kama miminiishivyo,hakikawalionyikaniwataangukakwa upanga,nayeyealiyekatikauwandanitampawanyamawa kuliwa,nawaliokatikangomenamapangoniwatakufa kwatauni.

28Kwamaananitaifanyanchikuwaukiwakabisa,na fahariyanguvuzakeitakoma;namilimayaIsraeliitakuwa ukiwa,hatahapanamtuatakayepitakatikatiyake.

29NdipowatajuayakuwamimindimiBwana, nitakapoifanyanchikuwaukiwamwingi,kwasababuya machukizoyaoyotewaliyoyafanya

30Nawewe,mwanadamu,wanawawatuwakobado wanasemezanajuuyakokaribunakutanakatikamilango yanyumba,nakusemakilamtunanduguyake,wakisema, Njoo,tafadhali,usikienenohililitokalokwaBwana

31Naowanakujakwakokamavilewatuwanavyokujia, naohuketimbeleyakokamawatuwangu,naohusikia manenoyako,lakinihawatayatenda;

32Natazama,weweumekuwakwaokamawimbomzuri sanawamtualiyenasautiipendezayo,awezayekupiga kinandavizuri;maanawanayasikiamanenoyako,lakini hawayafanyi.

33Nahayoyatakapotukia,(tazama,yatakuja),ndipo watakapojuayakuwanabiiamekuwakokatiyao

SURAYA34

1NenolaBwanalikanijia,kusema, 2Mwanadamu,toaunabiijuuyawachungajiwaIsraeli,toa unabii,uwaambie,BwanaMUNGUawaambiahivi wachungaji;OlewaowachungajiwaIsraeliwanaojilisha wenyewe!Je!wachungajihawapaswikulishakondoo?

3Mnakulamafuta,nakujivikasufu,mnawachinja walioshiba,lakinihamlishikundi.

4Wenyewagonjwahamkuwatianguvu,wala hamkuwaponyawaliokuwawagonjwa,wala hamkuwafungawaliovunjika,walahamkuwarudisha waliofukuzwa,walahamkuwatafutawaliopotea;lakini mmewatawalakwanguvunakwaukatili

5Naowakatawanyikakwasababuhapakuwanamchungaji, wakawachakulachawanyamawotewamwituni, walipotawanyika

6Kondoowanguwalitanga-tangakatikamilimayote,na juuyakilakilimakirefu;

7Kwahiyo,enyiwachungaji,lisikieninenolaBwana;

8Kamamiminiishivyo,asemaBwanaMUNGU,hakika kwasababukondoowanguwamekuwamateka,nakundi langulikawachakulachakilamnyamawamwituni,kwa sababuhapakuwanamchungaji,walawachungajiwangu hawakulitafutakundilangu,baliwachungajiwalijilisha wenyewe,walahawakulishakundilangu;

9Kwahiyo,enyiwachungaji,lisikieninenolaBwana;

10BwanaMUNGUasemahivi;Tazama,miminijuuya wachungaji;naminitalitakakundilangumikononimwao, nakuwakomeshakulishakundi;walawachungaji hawatajilishawenyewetena;kwamaananitawaokoakundi languvinywanimwao,wasiwechakulachao.

11MaanaBwanaMUNGUasemahivi;Tazama,mimi, naam,mimi,nitawatafutakondoowangunakuwatafuta

12Kamavilemchungajiatafutavyokundilakesiku anapokuwakatiyakondoowakewaliotawanyika;ndivyo nitakavyowatafutakondoowangu,nakuwaokoakutoka

mahalipotewalipotawanyikakatikasikuyamawinguna giza.

13Naminitawatoakatikamataifa,nakuwakusanyakutoka katikanchihizo,nakuwaletampakanchiyaowenyewe,na kuwalishajuuyamilimayaIsraeli,kandoyamito,na katikamahalipotepanchiinayokaliwa

14Nitawalishakatikamalishomazuri,najuuyamilima mirefuyaIsraelilitakuwazizilao;

15Miminitalishakundilangu,naminitawalalisha,asema BwanaMUNGU

16Nitakitafutakilichopotea,nakurudishakilichofukuzwa, naminitafungakilichovunjika,nakukitianguvukilicho dhaifu;nitawalishakwahukumu.

17Nanyi,enyikundilangu,BwanaMUNGUasemahivi; Tazama,nahukumukatiyang'ombenang'ombe,katiya kondoowaumenambuzi.

18Je!nakunywamajiyavilindi,lakininilazima kuyachafuamabakikwamiguuyenu?

19Nakwahabariyakundilangu,wanakula mliyoyakanyagakwamiguuyenu;nawanakunywa mliyoyachafuakwamiguuyenu

20BasiBwanaMUNGUawaambiahivi;Tazama,mimi, naam,mimi,nitahukumukatiyawanyamawaliononana katiyawanyamawaliokonda

21kwasababummesukumakwaubavunakwabega,na kuwasukumawagonjwawotekwapembezenu,hata mmekwishakuwatawanyanje;

22Kwahiyonitawaokoakundilangu,walahawatakuwa matekatena;naminitahukumukatiyawanyamana wanyama

23Naminitawekamchungajimmojajuuyao,naye atawalisha,naam,mtumishiwangu,Daudi;atawalisha, nayeatakuwamchungajiwao

24Namimi,Bwana,nitakuwaMunguwao,namtumishi wanguDaudiatakuwamkuukatiyao;Mimi,BWANA, nimesemahaya

25Naminitafanyanaoaganolaamani,nami nitawakomeshawanyamawabayakatikanchi;naowatakaa nyikanisalama,nakulalamsituni

26Naminitawafanyawaonamahalipalipouzunguka mlimawangukuwabaraka;naminitafanyamvuainyeshe kwawakatiwake;kutakuwanamanyunyuyabaraka

27Namtiwashambaniutazaamatundayake,naardhi itatoamazaoyake,naowatakuwasalamakatikanchiyao, naowatajuayakuwamimindimiBWANA, nitakapozivunjavifungovyanirazao,nakuwaokoana mikonoyawalewalioitumikianafsizao

28Hawatakuwatenamatekayamataifa,walamnyamawa nchihatawala;lakiniwatakaasalama,walahapana atakayewatiahofu

29Naminitawasimamishiammeawenyesifa,nao hawataangamizwatenananjaakatikanchi,wala hawatachukuatenaaibuyamataifa

30Hivyowatajuayakuwamimi,Bwana,Munguwao,ni pamojanao,nayakuwawao,naam,nyumbayaIsraeli,ni watuwangu,asemaBwanaMUNGU

31Naninyikundilangu,kondoowamalishoyangu,ni watu,namiminiMunguwenu,asemaBwanaMUNGU

SURAYA35

1TenanenolaBWANAlikanijia,kusema,

Ezekieli

2Mwanadamu,uelekezeusowakojuuyamlimaSeiri, ukatabirijuuyake; 3ukaiambie,BwanaMUNGUasemahivi;Tazama,Ee mlimaSeiri,miminijuuyako,naminitaunyoshamkono wangujuuyako,naminitakufanyakuwaukiwamwingi.

4Nitaifanyamijiyakokuwaukiwa,naweutakuwaukiwa; naweutajuayakuwamimindimiBwana 5kwasababuumekuwanachukiyamilele,nawe umemwagadamuyawanawaIsraelikwanguvuzaupanga, wakatiwamsibawao,wakatiuovuwaoulipokwisha; 6Kwahiyo,kamamiminiishivyo,asemaBwanaMUNGU, nitakuwekatayarikwadamu,nadamuitakufuatia;maana hukuchukiadamu,damuitakufuata.

7NdivyonitakavyoufanyamlimaSeirikuwaukiwa mwingi,nakuwakatiliambalimtuapitayenamtuarudiye 8Naminitaijazamilimayakewatuwakewaliouawa; katikavilimavyako,nakatikamabondeyako,nakatika mitoyakoyote,wataangukahaowaliouawakwaupanga 9Nitakufanyakuwaukiwawamilele,namijiyako haitarudi;nanyimtajuayakuwamimindimiBwana 10Kwasababuumesema,Mataifahayamawilinanchihizi mbilizitakuwazangu,nasitutazimiliki;kumbeBWANA alikuwakohuko

11Basi,kamamiminiishivyo,asemaBwanaMUNGU, nitafanyasawasawanahasirayako,nasawasawanawivu wakoulioufanyakwachukiyakojuuyao;nami nitajidhihirishakatiyao,nitakapokuwamwamuzi

12NaweutajuayakuwamimindimiBwana,nayakuwa nimesikiamakufuruyakoyoteuliyoyanenajuuyamilima yaIsraeli,ukisema,Imefanywakuwaukiwa,tumepewasisi tuwalaze.

13Kwavinywavyenummejisifujuuyangu,nakuzidisha manenoyenujuuyangu;nimeyasikia

14BwanaMUNGUasemahivi;Duniayoteinaposhangilia, nitakufanyakuwaukiwa

15KamavileulivyoufurahiaurithiwanyumbayaIsraeli, kwasababuilikuwaukiwa,ndivyonitakavyokutendea wewe;utakuwaukiwa,EeMlimaSeiri,naIdumeayote, nchiyote;

SURAYA36

1Tena,mwanadamu,itabiriemilimayaIsraeli,useme, EnyimilimayaIsraeli,lisikieninenolaBwana; 2BwanaMUNGUasemahivi;Kwasababuaduiamesema juuyenu,Aha!

3Basitabiri,useme,BwanaMUNGUasemahivi;kwa sababuwamewafanyaninyikuwaukiwa,nakuwameza pandezote,ilimpatekuwamilkiyamabakiyamataifa;

4Kwahiyo,enyimilimayaIsraeli,lisikieninenolaBwana MUNGU;BwanaMUNGUaiambiahivimilima,navilima, mito,namabonde,mahalipalipoukiwa,namijiiliyoachwa, ambayoimekuwamatekanadhihakakwamabakiya mataifayaliyozunguka;

5BasiBwanaMUNGUasemahivi;Hakikakatikamoto wawivuwangunimesemajuuyamabakiyamataifa,na juuyaIdumeayote,ambaowamewekanchiyangukuwa milkiyaokwafurahayamioyoyaoyote,kwaniambaya, ilikuitupanjeiwemawindo

6BasitoaunabiikatikahabarizanchiyaIsraeli,uiambie milima,navilima,namito,namabonde,BwanaMUNGU

asemahivi;Tazama,nimesemakatikawivuwanguna ghadhabuyangu,kwasababummeichukuaaibuyamataifa; 7BasiBwanaMUNGUasemahivi;Nimeinuamkono wangu,Hakikamataifawanaowazungukaninyi, wataichukuaaibuyao.

8Lakinininyi,enyimilimayaIsraeli,mtachipuzamatawi yenu,nakuwapawatuwanguwaIsraelimatundayenu; kwamaanawakokaribukuja.

9Kwamaanatazama,miminikoupandewenu,nami nitawageukianinyi,nanyimtalimwanakupandwambegu; 10Naminitaongezawatujuuyenu,nyumbayoteyaIsraeli, naam,yotepia;

11Naminitazidishajuuyenumwanadamunamnyama; naowataongezekanakuzaamatunda;naminitawakalisha ninyisawasawanahalizenuzakale,naminitawatendea memakulikomwanzowenu;nanyimtajuayakuwamimi ndimiBWANA

12Naam,nitawatembezawatujuuyenu,watuwangu Israeli;naowatakumiliki,naweutakuwaurithiwao,wala hutawafishawatutenatangusasa

13BwanaMUNGUasemahivi;Kwasababuwanakuambia, Wewenchiunakulawatu,naweumewanyang'anyamataifa yako;

14Kwahiyohutakulawatutena,walahutawanyang’anya mataifayakotena,asemaBwanaMUNGU.

15Walasitawasikizawatutenaaibuyamataifa,wala hutachukuamatukanoyawatutena,walahutayaangusha mataifayakotena,asemaBwanaMUNGU.

16TenanenolaBwanalikanijia,kusema, 17Mwanadamu,nyumbayaIsraeliwalipokaakatikanchi yaowenyewe,waliitiaunajisikwanjiazaowenyewena kwamatendoyao;

18Kwahiyonilimwagaghadhabuyangujuuyaokwaajili yadamuambayowalikuwawameimwagajuuyanchi,na kwaajiliyasanamuzaoambazowalikuwawameitia unajisikwahizo;

19Naminikawatawanyakatiyamataifa,wakatawanyika katikanchinyingi;

20Naowalipoingiakwamataifa,walikokwenda,walilitia unajisijinalangutakatifu,walipowaambia,Hawandio watuwaBwana,naowametokakatikanchiyake

21Lakininalihurumiajinalangutakatifu,ambalonyumba yaIsraeliwalikuwawamelitiaunajisikatiyamataifa walikokwenda

22BasiwaambienyumbayaIsraeli,BwanaMUNGU asemahivi;Sifanyihivikwaajiliyenu,enyinyumbaya Israeli,balikwaajiliyajinalangutakatifu,mlilolitia unajisikatiyamataifamlikokwenda.

23Naminitalitakasajinalangukuu,lililotiwaunajisikati yamataifa,mlilolitiaunajisikatiyao;naomataifawatajua yakuwamimindimiBwana,asemaBwanaMUNGU, nitakapotakaswakatiyenumbeleyamachoyao.

24Kwamaananitawatwaakutokakatiyamataifa,na kuwakusanyakutokakatikanchizote,nakuwaletakatika nchiyenuwenyewe

25ndiponitawanyunyiziamajisafi,nanyimtakuwasafi; nitawatakasanauchafuwenuwote,navinyagovyenu vyote

26Naminitawapaninyimoyompya,naminitatiaroho mpyandaniyenu,naminitauondoamoyowajiweuliomo ndaniyamwiliwenu,naminitawapamoyowanyama

Ezekieli

27Naminitatiarohoyangundaniyenu,nakuwaendesha katikasheriazangu,nanyimtazishikahukumuzangu,na kuzitenda

28Nanyimtakaakatikanchiniliyowapababazenu;nanyi mtakuwawatuwangu,naminitakuwaMunguwenu.

29Naminitawaokoanauchafuwenuwote,naminitaita nafaka,nakuiongeza,walasitawekanjaajuuyenu

30Naminitaongezamatundayamti,namazaoya shambani,ilikwambahamtapokeatenashutumayanjaa katiyamataifa

31Ndipomtazikumbukanjiazenuwenyewembaya,na matendoyenuyasiyokuwamema,nanyimtajichukianafsi zenukwamachoyenukwaajiliyamaovuyenunakwaajili yamachukizoyenu

32Sifanyihivikwaajiliyenu,asemaBwanaMUNGU, ijulikanekwenu;

33BwanaMUNGUasemahivi;Sikuilenitakapowatakasa namaovuyenuyotenitawakalishamijini,namahali palipoharibiwapatakapojengwa.

34Nahiyonchiyaukiwaitalimwa,ijapokuwailikuwa ukiwamachonipawotewaliopita

35Naowatasema,Nchihiiiliyokuwaukiwa,imekuwa kamabustaniyaEdeni;namijiiliyokuwaukiwa, iliyoachwa,iliyobomolewa,imewekwamaboma,nayo inakaliwa.

36Ndipomataifawaliosaliapandezotezenuwatajuaya kuwamimi,Bwana,ninajengamahalipalipoharibiwa,na kupandamahalipalipokuwaukiwa;

37BwanaMUNGUasemahivi;Tenakwaajiliyajambo hilinitaulizwananyumbayaIsraeli,iliniwafanyie; nitawaongezawanaumekamakundi.

38kamakunditakatifu,kamakundilaYerusalemukatika sikukuuzakezilizoamriwa;ndivyomijiiliyokuwaukiwa itajazwamakundiyawatu;naowatajuayakuwamimi ndimiBwana

SURAYA37

1MkonowaBwanaulikuwajuuyangu,nayeakanichukua njekatikarohoyaBwana,akaniwekachini,katikatiya bondelililokuwalimejaamifupa;

2akanipitishakaribunayopandezote;natazama,yalikuwa mengisanakatikalilebonde;natazama,yalikuwamakavu sana

3Akaniambia,Mwanadamu,je!Naminikajibu,EeBwana MUNGU,wewewajua.

4Akaniambiatena,Toaunabiijuuyamifupahii,na kuiambia,Enyimifupamikavu,lisikieninenolaBwana.

5BwanaMUNGUaiambiamifupahiihivi;Tazama,nitatia pumzindaniyenu,nanyimtaishi;

6Naminitatiamishipajuuyenu,naminitaletanyamajuu yenu,nakuwafunikangozi,nakutiapumzindaniyenu, nanyimtaishi;nanyimtajuayakuwamimindimiBWANA

7Basinikatabirikamanilivyoamriwa;nanilipokuwa nikitoaunabii,palikuwanakelele,natazama,mtikisiko,na mifupaikasogea,mfupakwamfupawake

8Naminilipotazama,tazama,ilemishipananyama ikatokeajuuyake,nangoziikafunikajuuyake,lakini hapakuwanapumzindaniyake

9Ndipoakaniambia,Utabirieupepo,mwanadamu, ukauambieupepo,BwanaMUNGUasemahivi;Njoo

kutokakwapeponne,Eepumzi,nauwapuliziehawa waliouawa,wapatekuishi.

10Basinikatabirikamaalivyoniamuru,nayopumzi ikawaingia,wakaishi,wakasimamakwamiguuyao,jeshi kubwasana.

11Ndipoakaniambia,Mwanadamu,mifupahiininyumba yoteyaIsraeli;tazama,waohusema,Mifupayetu imekauka,natumainiletulimepotea;

12Basitabiri,uwaambie,BwanaMUNGUasemahivi; Angalieni,enyiwatuwangu,nitafunguamakaburiyenu,na kuwapandishakutokakatikamakaburiyenu,nakuwaleta katikanchiyaIsraeli

13NanyimtajuayakuwamimindimiBwana, nitakapoyafunguamakaburiyenu,enyiwatuwangu,na kuwapandishakutokakatikamakaburiyenu;

14naminitatiarohoyangundaniyenu,nanyimtaishi,nami nitawawekakatikanchiyenu;

15NenolaBwanalikanijiatena,kusema,

16Tena,wewemwanadamu,jipatiekijitikimoja,uandike juuyake,KwaajiliyaYuda,nakwaajiliyawanawa Israeliwenzake;

17Nauziunganishehizokijitikimojanakingine;nazo zitakuwakitukimojamkononimwako

18Nawanawawatuwakowatakaposemanawe,wakisema, Je!

19Waambie,BwanaMUNGUasemahivi;Tazama, nitaitwaakijitichaYusufu,kilichomkononimwaEfraimu, nakabilazaIsraeliwenzake,nakuwawekapamojanaye, yaani,fimboyaYuda,nakuwafanyakuwakijitikimoja, naowatakuwammojamkononimwangu

20Nazilefimboulizoziandikazitakuwamkononimwako mbeleyamachoyao

21Naweuwaambie,BwanaMUNGUasemahivi;Tazama, nitawatwaawanawaIsraelikutokakatiyamataifa walikokwenda,naminitawakusanyapandezote,na kuwaletakatikanchiyaowenyewe;

22Naminitawafanyakuwataifamojakatikanchijuuya milimayaIsraeli;namfalmemmojaatakuwamfalmewao wote;walahawatakuwatenamataifamawili,wala hawatagawanyikatenakuwafalmembili;

23Walahawatajitiaunajisitenakwavinyagovyao,wala kwavituvyaovyakuchukiza,walakwamakosayaoyo yote;balinitawaokoanamakaoyaoyote,ambamo wamefanyadhambi,naminitawatakasa;

24NamtumishiwanguDaudiatakuwamfalmejuuyao; naowotewatakuwanamchungajimmoja;naowatakwenda katikahukumuzangu,nakuzishikaamrizangu,na kuzitenda.

25Naowatakaakatikanchiniliyompamtumishiwangu Yakobo,ambayobabazenuwalikaa;naowatakaahumo, wao,nawatotowao,nawanawawanawaomilele;na mtumishiwanguDaudiatakuwamkuuwaomilele.

26Tenanitafanyaaganolaamanipamojanao;litakuwa aganolamilelepamojanao;naminitawaweka,na kuwazidisha,naminitawekapatakatifupangukatiyaohata milele

27maskaniyangunayoitakuwapamojanao,naam, nitakuwaMunguwao,naowatakuwawatuwangu 28Namataifawatajuayakuwamimi,Bwana, niwatakasayeIsraeli,patakatifupangupatakapokuwakati yaomilele

1NenolaBwanalikanijia,kusema, 2Mwanadamu,uelekezeusowakojuuyaGogu,nchiya Magogu,mkuuwaMeshekinaTubali,ukatabirijuuyake; 3useme,BwanaMUNGUasemahivi;Tazama,mimini juuyako,EeGogu,mkuuwaMeshekinaTubali; 4Naminitakurudishanyuma,nakutiakulabukatikataya zako,naminitakutoawewenajeshilakolote,farasina wapandafarasi,wotewamevaasilahazakilanamna,naam, kundikubwalangaonangao,wotewakishikapanga; 5Uajemi,naKushi,naLibiapamojanao;wotewanangao nachapeo;

6Gomerinavikosivyakevyote;nyumbayaTogarma, pandezakaskazini,navikosivyakevyote;nawatuwengi pamojanawe.

7Uwetayari,ujiweketayari,wewenamkutanowakowote waliokusanyikakwako,naweuwemlinziwao

8Baadayasikunyingiutajiliwa;katikamiakayamwisho utaingiakatikanchiiliyorudishwakutokakwaupanga, iliyokusanywakutokakatikamataifamengi,juuyamilima yaIsraeli,ambayoimekuwaukiwasikuzote;lakini imetolewakatikamataifa,naowatakaasalamawote

9Naweutapandanakujakamatufani,utakuwakama wingukuifunikanchi,wewenavikosivyakovyote,na mataifamengipamojanawe

10BwanaMUNGUasemahivi;Tenaitakuwawakatihuo huomamboyataingiamoyonimwako,naweutawaza mawazomabaya;

11Naweutasema,Nitapandampakanchiyavijijivisivyo namaboma;nitawaendeahaowaliostarehe,wakaaosalama, wotewanakaabilakuta,hawanamakomeowalamalango; 12ilikutekanyaranakutekamateka;ilikuelekezamkono wakojuuyamahaliukiwapanapokaliwasasa,najuuya watuwaliokusanywakutokakatikamataifa,waliopata ng’ombenamali,wakaaokatiyanchi

13Sheba,naDedani,nawafanyabiasharawaTarshishi, pamojanawana-simbawakewote,watakuambia,Je! umekujakutekanyara?Je!umekusanyakundilakoili kutekamawindo?kuchukuafedhanadhahabu,na kuchukuang'ombenamali,nakutekanyaranyingi?

14Kwahiyo,mwanadamu,tabiri,umwambieGogu, BwanaMUNGUasemahivi;Sikuilewatuwanguwa Israeliwatakapokaasalama,je!

15Naweutakujakutokamahalipakokutokapandeza kaskazini,wewenamataifamengipamojanawe,wote wakiwawamepandafarasi,kundikubwanajeshikubwa; 16NaweutapandajuuyawatuwanguwaIsraeli,kama wingukuifunikanchi;itakuwakatikasikuzamwisho, naminitakuletajuuyanchiyangu,ilimataifawanijue, nitakapotakaswandaniyako,EeGogu,mbeleyamacho yao.

17BwanaMUNGUasemahivi;Wewendiyeniliyenena habarizakezamanizakale,kwawatumishiwangu, manabiiwaIsraeli,waliotabirisikuzilemiakamingiya kwambanitakuletajuuyao?

18Naitakuwawakatiuohuo,Goguatakapokujajuuya nchiyaIsraeli,asemaBwanaMUNGU,ghadhabuyangu itapandajuuyausowangu

19Kwamaanakatikawivuwangunakatikamotowa ghadhabuyangunimesema,Hakikakatikasikuhiyo kutakuwanatetemekokuukatikanchiyaIsraeli;

20hatasamakiwabaharini,nandegewaangani,na wanyamawamwituni,naviumbevyotevitambaavyojuu yanchi,nawanadamuwotewaliojuuyausowanchi, watatetemekambeleyausowangu,namilima itaporomoshwa,namahalipamiinukoitaanguka,nakila ukutautaangukachini

21Naminitaitaupangajuuyakekatikamilimayanguyote, asemaBwanaMUNGU;upangawakilamtuutakuwajuu yanduguyake

22Naminitashindananayekwatauninakwadamu;nami nitanyeshajuuyake,najuuyavikosivyake,najuuyawatu wengiwawatuwaliopamojanaye,mvuaifurikayo,na mawemakubwayamawe,namotonakiberiti.

23Ndivyonitakavyojitukuza,nakujitakasa;nami nitajulikanambeleyamachoyamataifamengi,nao watajuayakuwamimindimiBWANA.

SURAYA39

1Basi,wewemwanadamu,toaunabiijuuyaGogu,useme, BwanaMUNGUasemahivi;Tazama,miminijuuyako, EeGogu,mkuuwaMeshekinaTubali;

2Naminitakurudishanyuma,nakuondokatusehemuya sitayako,naminitakuletakutokapandezakaskazini,na kukuletajuuyamilimayaIsraeli;

3Naminitaupigaupindewakoutokekatikamkonowako wakushoto,namishaleyakonitaiangushakutokakatika mkonowakowakuume.

4UtaangukajuuyamilimayaIsraeli,wewe,navikosi vyakovyote,nakabilazawatuwaliopamojanawe;

5Utaangukauwandani;maanamiminimenenanenohili, asemaBwanaMUNGU

6NaminitapelekamotojuuyaMagogu,nakatiyahao wakaaokwausalamavisiwani;naowatajuayakuwamimi ndimiBwana

7Hivyonitalitangazajinalangutakatifukatiyawatu wanguIsraeli;walasitawaachawalinajisijinalangu takatifutena;namataifawatajuayakuwamimindimi Bwana,MtakatifuwaIsraeli

8Tazama,linakuja,nalolitatendeka,asemaBwana MUNGU;hiindiyosikuniliyonena

9NaowakaaokatikamijiyaIsraeliwatatoka,nakuwasha motonakuziteketezasilaha,nangao,nangao,napinde,na mishale,nanguzo,namikuki,naowataviteketezakwa motomudawamiakasaba;

10hatawasichukuekunimashambani,walahawatakata kunimsituni;maanawatateketezasilahakwamoto;nao watawatekanyarawalewaliowateka,nakuwatekanyara walewaliowaibia,asemaBwanaMUNGU

11Tenaitakuwakatikasikuhiyo,nitampaGogumahalipa makaburikatikaIsraeli,bondelaAbiriaupandewa masharikiwabahari;nalolitazibapuazawasafiri;nahuko watamzikaGogunamkutanowakewote;naowataliita, BondelaHamongogu

12NanyumbayaIsraeliitakuwakatikakuwazikakwa mudawamiezisaba,ilikuitakasanchi

13Naam,watuwotewanchiwatawazika;nayoitakuwa sifakwaosikuilenitakapotukuzwa,asemaBwana MUNGU

14Naowatawatengawatuwakaziyakudumu,wapitao katikanchiilikuzikapamojanawasafirihaowaliosaliajuu

Ezekieli

yausowanchi,ilikuitakasa;mwishowamiezisaba wataitafuta.

15Nawasafiriwatakaopitakatikatiyanchi,mtuyeyote akionapomfupawamtu,ndipoatawekaisharakaribunao, hatawazishiwatakapouzikakatikabondelaHamongogu.

16NapiajinalamjihuolitakuwaHamonaNdivyo watakavyoitakasanchi

17Nawewe,mwanadamu,BwanaMUNGUasemahivi; Semeninakilandegemwenyemanyoya,nakilamnyama wamwituni,Jikusanyeni,mje;jikusanyenipandezotekwa dhabihuyanguninayowatoleaninyi,dhabihukubwajuuya milimayaIsraeli,mpatekulanyamanakunywadamu

18Mtakulanyamayamashujaa,nakunywadamuya wakuuwadunia,yakondoowaume,nayawana-kondoo, nayambuzi,nayang'ombe,wotewanonowaBashani

19Nanyimtakulamafutahatamtakaposhiba,nakunywa damuhatamlewe,katikadhabihuyanguniliyotoakwaajili yenu

20Ndivyomtakavyoshibakatikamezayangufarasina magari,namashujaa,nawatuwotewavita,asemaBwana MUNGU

21Naminitauwekautukufuwangukatiyamataifa,na mataifayotewataonahukumuyanguniliyoifanya,na mkonowanguniliouwekajuuyao

22BasinyumbayaIsraeliwatajuayakuwamimindimi Bwana,Munguwao,tangusikuhiyonakuendelea

23NamataifawatajuayakuwanyumbayaIsraeli walichukuliwamatekakwasababuyauovuwao;

24Kwakadiriyauchafuwaonakwakadiriyamakosayao, ndivyonilivyowatenda,naminikawafichausowangu

25BasiBwanaMUNGUasemahivi;Sasanitawarejeza tenawatuwaYakobowaliohamishwa,nakuwarehemu nyumbayoteyaIsraeli,naminitakuwanawivukwaajili yajinalangutakatifu;

26Kishawatachukuaaibuyao,namakosayaoyote ambayokwayowameniasi,walipokaasalamakatikanchi yao,nahakunaaliyewatiahofu.

27Nitakapokwishakuwarudishakutokakatikakabilaza watu,nakuwakusanyakutokanchizaaduizao,nami nitakapotakaswandaniyaomachonipamataifamengi;

28NdipowatajuayakuwamimindimiBwana,Mungu wao,niliyewafanyawapelekweutumwanikatiyamataifa; 29Walasitawafichausowangutena,kwamaana nimemiminarohoyangujuuyanyumbayaIsraeli,asema BwanaMUNGU

SURAYA40

1Katikamwakawaishirininatanowakuhamishwakwetu, mwanzonimwamwaka,sikuyakumiyamwezi,mwaka wakuminannebaadayamjihuokupigwa,sikuiyohiyo mkonowaBwanaulikuwajuuyangu,akaniletahuko.

2KatikamaonoyaMunguakaniletampakanchiyaIsraeli, akaniwekajuuyamlimamrefusana,ambaojuuyake palikuwakamaukutawamjiupandewakusini

3Akaniletahuko,natazama,palikuwanamtu,ambaye surayakeilikuwakamakuonekanakwashaba,mwenyeuzi wakitanimkononimwake,namwanziwakupimia; akasimamalangoni

4Yulemtuakaniambia,Mwanadamu,tazamakwamacho yako,usikiekwamasikioyako,ukawekemoyonimwako juuyayotenitakayokuonyesha;maanaumeletwahapaili

nikuonyeshehayo;uwahubirienyumbayaIsraeliyote uyaonayo.

5Natazama,kulikuwanaukutanjeyanyumbapandezote, nakatikamkonowamtuhuyomwanziwakupimia,urefu wakedhiraasita,kwadhiraamojanaupanawamkono mmoja;naurefuwake,mwanzimmoja

6Kishaakalifikilialangolililoelekeamashariki,akapanda ngazizake,akapimakizingitichalango,upanawake mwanzimmoja;nakizingitichapilichalango,upanawake mwanzimmoja

7Nakilachumbakilikuwanaurefuwamwanzimmoja,na upanawakemwanzimmoja;nakatiyavyumbavilevya dhiraadhiraatano;nakizingitichalangokaribunaukumbi walangondanikilikuwamwanzimmoja

8Akaupimanaukumbiwalangondani,mwanzimmoja

9Kishaakapimaukumbiwalango,dhiraaminane;na miimoyake,dhiraambili;naukumbiwalangoulikuwawa ndani

10Navyumbavyavyumbavyalangolililoelekea masharikivilikuwavitatuupandehuu,navitatuupande huu;zotetatuzilikuwazakipimokimoja;namiimo ilikuwanakipimokimojaupandehuunaupandehuu.

11Kishaakaupimaupanawamaingilioyalango,dhiraa kumi;naurefuwalango,dhiraakuminatatu

12Nanafasiiliyombeleyavilevyumbailikuwadhiraa mojaupandehuu,nanafasiilikuwadhiraamojaupande huu;navyumbavilevyavyumbavilikuwadhiraasita upandehuu,nadhiraasitaupandehuu.

13Kishaakalipimalangotokapaalachumbakimojahata paalachumbakingine;upanawakedhiraaishirininatano, mlangokwamlango.

14Tenaakaifanyamiimoyadhiraasitini,hatanguzoyaua kulizungukalango

15Nakutokambeleyalangolakuingiliampakausowa ukumbiwalangolandanipalikuwanamikonohamsini

16Palikuwanamadirishamembambakatikavyumba hivyo,namiimoyakendaniyalangopandezote,navivyo hivyokwenyematao;namadirishayalikuwakopandezote ndani;najuuyakilanguzopalikuwanamitende

17Kishaakaniletampakauawanje,natazama,palikuwa navyumba,nasakafuyalamiiliyofanywakwaua kuuzungukapandezote;vyumbathelathinivilikuwajuuya sakafuhiyo.

18Nasakafuiliyokandoyamalango,sawasawanaurefu wamalango,ilikuwasakafuyachini

19Kishaakapimaupanakutokambeleyalangolachini mpakanjembeleyauawandani,dhiraamiaupandewa masharikinakaskazini.

20Nalangolauawanjelililoelekeakaskazini,akalipima urefuwakenaupanawake

21Navyumbavyakevilikuwavitatuupandehuu,navitatu upandehuu;namiimoyake,namataoyake,vilikuwa sawasawanakipimochalangolakwanza;urefuwake ulikuwadhiraahamsini,naupanawakedhiraaishirinina tano

22Namadirishayake,namataoyake,namitendeyake, vilikuwasawasawanakipimochalangolililoelekea mashariki;naowakakweakwamadarajasaba;namatao yakeyalikuwambeleyake

23Nalangolauawandanilililielekealangolililoelekea kaskazini,nakuelekeamashariki;akapimatokalangohata langodhiraamia

24Kishaakaniletakuelekeakusini,natazama,lango lililoelekeakusini;akaipimamiimoyakenamataoyake sawasawanavipimohivyo

25Tenapalikuwanamadirishandaniyake,nakatika mataoyakepandezote,kamamadirishahayo;urefuwake dhiraahamsini,naupanawakedhiraaishirininatano

26Kulikuwanamadarajasabayakupandia,namataoyake yalikuwambeleyake;nalolilikuwanamitende,mmoja upandehuunamwingineupandehuu,juuyanguzozake

27Nakatikauawandanipalikuwanalangolililoelekea kusini;akapimatokalangohatalangokuelekeakusini, dhiraamia

28Kishaakaniletampakauawandanikwalangolakusini, akalipimalangolakusinikwavipimohivyo;

29navyumbavyake,namiimoyake,namataoyake, sawasawanavipimohivyo;palikuwanamadirishandani yake,nakatikamataoyakepandezote;urefuwakedhiraa hamsini,naupanawakedhiraaishirininatano

30Namataokuzungukapandezoteyalikuwanaurefuwa dhiraaishirininatano,naupanawakedhiraatano

31Namataoyakeyaliuelekeauawanje;namitende ilikuwajuuyanguzozake;

32Kishaakaniletampakauawandanikuelekeamashariki, akalipimalangokwavipimohivyo

33Navyumbavyake,namiimoyake,namataoyake, vilikuwasawasawanavipimohivyo;tenapalikuwana madirishandaniyake,nakatikamataoyakepandezote; urefuwakedhiraahamsini,naupanawakedhiraaishirini natano

34Namataoyakeyaliuelekeauawanje;namitende ilikuwajuuyanguzozake,upandehuunaupandehuu;

35Kishaakaniletampakalangolakaskazini,akalipima kwavipimohivi;

36vyumbavyake,miimoyake,namataoyake,na madirishayakekulizungukapandezote;urefuwakedhiraa hamsini,naupanawakedhiraaishirininatano

37Namiimoyakeiliuelekeauawanje;namitendeilikuwa juuyanguzozake,upandehuunaupandehuu;

38Navyumbavyake,namaingilioyake,vilikuwakaribu namiimoyamalango,hapondipowalipooshasadakaya kuteketezwa

39Nakatikaukumbiwalangopalikuwanamezambili upandehuu,namezambiliupandehuu,zakuchinjiajuu yakesadakayakuteketezwa,nasadakayadhambi,na sadakayahatia

40Nakandoyanje,mahalipakukweapenyemaingilioya langolakaskazini,palikuwanamezambili;naupandewa pili,katikaukumbiwalango,palikuwanamezambili.

41Kulikuwanamezanneupandehuu,namezanne upandehuu,kandoyalango;mezanane,ambazojuuyake walichinjadhabihuzao

42Nazilemezannezilikuwazamaweyakuchongwakwa ajiliyasadakayakuteketezwa,urefuwakedhiraamojana nusu,naupanawakedhiraamojananusu,nakwendajuu dhiraamoja;

43Nakulabundaniyake,upanawakemkono,zilifungwa pandezote;najuuyahizomezakulikuwananyamaya matoleo

44Nanjeyalangolandanipalikuwanavyumbavya waimbaji,katikauawandani,uliokuwakandoyalangola kaskazini;naowalielekeakusini;mojaupandewalangola mashariki,likielekeakaskazini

45Kishaakaniambia,Chumbahiki,ambachokinaelekea kusini,nichamakuhani,watunzajiwaulinziwanyumba.

46Nachumbaambachokinaelekeaupandewakaskazinini chamakuhani,watunzaulinziwamadhabahu;haondio wanawaSadoki,miongonimwawanawaLawi, wamkaribiaoBwanailikumtumikia

47Basiakaupimaua,urefuwakedhiraamia,naupana wakedhiraamia,mraba;namadhabahuiliyokuwambele yanyumba

48Kishaakaniletampakaukumbiwanyumba,akapima kilamwimowaukumbi,dhiraatanoupandehuu,nadhiraa tanoupandehuu;naupanawalangoulikuwadhiraatatu upandehuu,nadhiraatatuupandehuu.

49Urefuwaukumbiulikuwadhiraaishirini,naupana wakedhiraakuminamoja;akaniletakwamadaraja waliyoiendea;napalikuwananguzokaribunamiimo, mojaupandehuu,nanyingineupandehuu

SURAYA41

1Kishaakaniletampakahekaluni,akaipimamiimo,upana wakedhiraasitaupandehuu,naupanawakedhiraasita upandehuu,ambaoulikuwaupanawamaskani

2Naupanawamlangoulikuwadhiraakumi;napandeza mlangozilikuwadhiraatanoupandehuu,nadhiraatano upandehuu;akaupimaurefuwake,dhiraaarobaini,na upanawakedhiraaishirini

3Kishaakaingiandani,akaupimamwimowamlango, dhiraambili;namlango,dhiraasita;naupanawamlango, dhiraasaba

4Akaupimaurefuwake,dhiraaishirini;naupana,dhiraa ishirini,mbeleyahekalu;akaniambia,Hapandipo patakatifupapatakatifu

5Kishaakaupimaukutawanyumba,dhiraasita;naupana wakilachumbachambavu,dhiraanne,kuizunguka nyumbapandezote

6Navyumbavyambavunivilikuwavitatu,kimojajuuya kingine,navyumbathelathinikwautaratibu;nazo zikaingiandaniyaukutauliokuwawanyumbakwa vyumbavyambavupandezote,ilivipatekushikana,lakini havikushikamananaukutawanyumba

7Kulikuwananafasiyakupanukanakujipindakuelekea juukuelekeavyumbavyambavuni;kwamaanamzunguko wakuizungukanyumbauliendeleakwendajuukuizunguka nyumba;

8Nikaonapiaurefuwanyumbapandezote;misingiya vyumbavyambavuniilikuwamwanzimzimawadhiraa sitakubwa.

9Unenewaukuta,ambaoulikuwawachumbachambavu, nje,ulikuwadhiraatano;

10Nakatiyavilevyumbapalikuwanaupanawadhiraa ishirinikuizungukanyumbapandezote.

11Namilangoyavyumbavyambavuniilielekeamahali palipobaki,mlangommojakuelekeakaskazini,namlango mwinginekuelekeakusini;naupanawamahali palipoachwaulikuwadhiraatanokuzungukapandezote 12Najengolililokuwambeleyamahalipalipotengwa, upandewamwishoupandewamagharibi,upanawake mikonosabini;naukutawajengoulikuwadhiraatano unenepandezote,naurefuwakedhiraatisini.

13Basiakaipimanyumba,urefuwakedhiraamia;na mahalipalipotengwa,nalilejengo,pamojanakutazake, urefuwakedhiraamia;

14Tenaupanawausowanyumba,nawamahali palipotengwaupandewamashariki,dhiraamia.

15Kishaakaupimaurefuwajengolililoelekeamahali palipotengwa,lililokuwanyumayake,nabarazazake upandehuunaupandemwingine,dhiraamia,pamojana hekalulandani,namataoyaua;

16Miimoyamilango,namadirishanyembamba,nabaraza kuuzungukapandezote,juuyaorofazaketatu,kuuelekea mlango,zilizoezekwakwambaopandezote,natokachini hatamadirishani,nazomadirishayalifunikwa;

17mpakajuuyamlango,hatanyumbayandani,nanje,na ukutawotepandezotendaninanje,kwakipimo

18Tenailitengenezwakwamakerubinamitende,na mtendeulikuwakatiyakerubinakerubi;nakilakerubi alikuwananyusombili;

19Basiusowamwanadamuulielekeamtendeupandehuu, nausowamwana-simbakuelekeamtendeupandewapili;

20Tokachinihatajuuyamlangopalikuwanamakerubina mitende,najuuyaukutawahekalu.

21Miimoyahekaluilikuwayamraba,nausowa patakatifu;kuonekanakwammojakamakuonekanakwa mwingine.

22Madhabahuyamtiilikuwamikonomitatukwendajuu, naurefuwakedhiraambili;napembezake,naurefuwake, nakutazake,zilikuwazamiti;akaniambia,Hiindiyomeza iliyombelezaBwana

23Hekalunapatakatifupalikuwanamilangomiwili

24Nailemilangoilikuwanambaombilikilammoja, mbaombilizinazogeuka;mbaombilikwamlangommoja, nambaombilikwamlangowapili

25Najuuyake,juuyamilangoyahekalu,palikuwana makerubinamitende,kamailivyofanyizwajuuyakuta;na palikuwanambaonenejuuyausowaukumbinje

26Tenapalikuwanamadirishamembambanamitende upandehuunaupandehuu,pandezaukumbi,najuuya vyumbavyambavunivyanyumba,nambaonene

SURAYA42

1Kishaakaniletanjempakauawanje,njiayakuelekea kaskazini;

2Mbeleyaurefuwadhiraamiapalikuwanamlangowa kaskazini,naupanawakedhiraahamsini.

3Kukabiliananaziledhiraaishirinizauawandani,na kuikabilisakafuyauayanje,palikuwanachumbacha kulalambeleyabaraza,katikaorofatatu

4Nambeleyavilevyumbapalikuwanamwendowa dhiraakumikwendandani,njiayadhiraamoja;namilango yakekuelekeakaskazini.

5Basivyumbavyajuuvilikuwavifupizaidi;kwamaana majumbayalikuwajuusanakulikohaya,kulikoyachini, nayakatikatiyajengohilo

6Kwamaanazilikuwakatikaorofatatu,lakinihazikuwa nanguzokamanguzozanyua;

7Naukutauliokuwanjekuvikabilivyumba,kuelekeaua wanje,mbeleyavilevyumba,urefuwakeulikuwadhiraa hamsini.

8Kwamaanaurefuwavyumbavilivyokuwakatikauawa njeulikuwadhiraahamsini,natazama,mbeleyahekalu dhiraamiamoja

9Nakutokachiniyavyumbahivyopalikuwanamaingilio yaupandewamashariki,mtuaingiapokutokauawanje.

10Vyumbahivyovilikuwakatikaunenewaukutawaua kuelekeamashariki,kuelekeamahalipalipotengwa,na kulielekeajengohilo.

11Nanjiailiyombeleyaoilikuwakamakuonekanakwa vyumbavilivyoelekeakaskazini,urefuwakewote,na upanawake;

12Nasawasawanamilangoyavyumbavilivyoelekea kusinipalikuwanamlangopenyemwanzowanjia,njiaya mojakwamojakuukabiliukutaulioelekeaupandewa mashariki,mtuaingiapondaniyake

13Kishaakaniambia,Vyumbavyavyumbavyakaskazini, navyumbavyakusini,vilivyombeleyamahali palipotengwa,nivyumbavitakatifu,ambamomakuhani wamkaribiaoBwanawatakulavilevituvilivyovitakatifu sana;kwamaanamahalipalenipatakatifu

14Makuhaniwatakapoingiandaniyake,hawatatokakatika patakatifunakuingiakatikauawanje,baliwataweka mavaziyaoambayowamevaakuhudumu;kwakuwawao niwatakatifu;nakuvaamavazimengine,nakuvikaribia vituvilivyokwaajiliyawatu.

15Basialipokwishakuipimanyumbayandani,akanileta njekuelekealangolililoelekeaupandewamashariki, akalipimapandezote.

16Akaupimaupandewamasharikikwamwanziwa kupimia,mianzimiatano,kwamwanziwakupimiapande zote.

17Akaupimaupandewakaskazini,mianzimiatano,kwa mwanziwakupimiapandezote

18Akaupimaupandewakusini,mianzimiatano,kwa mwanziwakupimia

19Kishaakazungukaupandewamagharibi,akapima mianzimiatanokwamwanziwakupimia.

20Akaupimapandezotenne;lilikuwanaukutapandezote, urefuwakemianzimiatano,naupanawakemiatano,ili kutenganishapatakatifunamahalipatakatifu.

SURAYA43

1Kishaakaniletampakalango,langolielekealoupandewa mashariki;

2Natazama,utukufuwaMunguwaIsraeliulikujakutoka njiayamashariki;nasautiyakeilikuwakamasautiyamaji mengi;

3Ilikuwanikamakuonekanakwamaononiliyoyaona, sawasawanamaononiliyoyaonanilipokujakuuharibumji; namaonohayoyalikuwakamamaononiliyoyaonakaribu namtoKebari;nikaangukakifudifudi.

4NautukufuwaBwanaukaingiandaniyanyumbakwa njiayalangolililoelekeamashariki

5Basirohoikaniinua,ikaniletakatikauawandani;na tazama,utukufuwaBwanaukaijazanyumba 6Nikamsikiaakisemanaminjeyanyumba;nayulemtu akasimamakaribunami

7Kishaakaniambia,Mwanadamu,mahalipakitichangu chaenzi,namahalipanyayozamiguuyangu,nitakapokaa katiyawanawaIsraelimilele,najinalangutakatifu, nyumbayaIsraelihawatatiaunajisitena,waonawafalme

Ezekieli wao,kwauzinziwao,walakwamizogayawafalmewao katikamahalipaopajuu.

8Katikakuwekakizingitichaokaribunavizingitivyangu, namiimoyaokaribunamiimoyangu,naukutakatiyangu nawao,wamelitiaunajisijinalangutakatifukwa machukizoyaowaliyoyafanya;kwahiyonimewaangamiza kwahasirayangu

9Sasanawaondoeuasheratiwao,namizogayawafalme wao,iwembalinami,naminitakaakatiyaomilele 10Eemwanadamu,waonyeshenyumbayaIsraelinyumba hii,wapatekutahayarikakwasababuyamaovuyao; 11Naikiwawataonaaibukwaajiliyamamboyote waliyoyafanya,waonyesheumbolanyumba,naumbolake, namahalipakepakutokea,najinsiinavyoingia,naumbo lakelote,nahukumuzakezote,nasurazakezote,nasheria zakezote;ukaandikembeleyamachoyao,wapatekushika haliyakeyote,namaagizoyakeyote

12Hiindiyosheriayanyumba;Juuyakilelechamlima mpakawakewotekuzungukautakuwatakatifusana. Tazama,hiindiyosheriayanyumba

13Navipimovyamadhabahukwadhiraanihivi;dhiraani dhiraamojanaupanawamkono;sehemuyachiniya sakafuitakuwadhiraamoja,naupanawakedhiraamoja,na mpakawakepenyeukingowakekuzungukapandezote utakuwashubirimoja;

14Natokachiniiliyojuuyanchihatadarajayachini itakuwadhiraambili,naupanawakedhiraamoja;natoka darajandogohatadarajakubwazaidiitakuwadhiraanne, naupanawakedhiraamoja

15Nahiyomadhabahuitakuwadhiraanne;nakuanzia madhabahunakwendajuuzitakuwanapembenne.

16Nahiyomadhabahuitakuwanaurefuwadhiraakumi nambili,naupanawakedhiraakuminambili,mraba katikamirabayakeminne.

17Nakitanzikitakuwadhiraakuminanneurefuwake,na upanawakedhiraakuminanne,katikamirabayakeminne; nampakawakeutakuwanusudhiraa;nasehemuyachini yakeitakuwadhiraamojapandezote;nangazizake zitatazamaupandewamashariki

18Akaniambia,Mwanadamu,BwanaMUNGUasemahivi; Hizindizoamrizamadhabahukatikasikuwatakapoifanya, ilikutoasadakazakuteketezwajuuyake,nakunyunyiza damujuuyake.

19NaweutawapamakuhaniWalawi,wauzaowaSadoki, wanaonikaribiailikunitumikia,asemaBwanaMUNGU, ng'ombemumemchangaawesadakayadhambi.

20Kishautatwaabaadhiyadamuyake,nakuitiajuuya pembezakenne,nakatikapembennezadaraja,najuuya ukingowapandezote;ndivyoutakavyoitakasana kuitakasa

21Kishautamtwaahuyong’ombedumewasadakaya dhambi,nayeatamteketezamahalipalipoamriwapa nyumba,njeyapatakatifu

22Nasikuyapiliutamsongezabeberumkamilifukuwa sadakayadhambi;naowataisafishamadhabahu,kama walivyoisafishakwayuleng'ombe

23Utakapokwishakuitakasa,utatoang'ombemume mchangamkamilifu,nakondoomumewakundini mkamilifu

24NaweutavisongezambelezaBwana,namakuhani watatupachumvijuuyake,naowatavisongezakuwa sadakayakuteketezwakwaBwana

25Sikusabautawekatayaribeberukuwasadakaya dhambikilasiku;

26Sikusabawataisafishamadhabahunakuitakasa;nao watajiwekawakfu.

27Nasikuhizozitakapokwisha,itakuwa,sikuyananena kuendelea,makuhaniwatatoasadakazenuzakuteketezwa juuyamadhabahu,nasadakazenuzaamani;nami nitawakubalininyi,asemaBwanaMUNGU.

SURAYA44

1Kishaakanirudishakwanjiayalangolapatakatifupanje, linaloelekeaupandewamashariki;nailikuwaimefungwa. 2NdipoBwanaakaniambia;Langohililitafungwa, halitafunguliwa,walahapanamtuatakayeingiakwa mlangohuo;kwasababuBwana,MunguwaIsraeli, ameingiakwanjiahiyo,kwahiyoitakuwaimefungwa

3Nikwaajiliyamkuu;mkuu,ataketindaniyakeale chakulambelezaBwana;ataingiakwanjiayaukumbiwa langohilo,nakutokakwanjiahiyohiyo

4Kishaakaniletakwanjiayalangolakaskazinimbeleya nyumba,naminikaona,natazama,utukufuwaBwana ukaijazanyumbayaBwana,nikaangukakifudifudi

5Bwanaakaniambia,Mwanadamu,angaliakwamacho yako,nausikiekwamasikioyakoyotenikuambiayo, katikahabariyahukumuzotezanyumbayaBwana,na sheriazakezote;naweuangaliesanamahalipakuingia ndaniyanyumba,pamojanakilamahalipatokapopa patakatifu

6Naweutawaambiawaasi,nyumbayaIsraeli,Bwana MUNGUasemahivi;EnyinyumbayaIsraeli,na yawatosheninyinamachukizoyenuyote;

7Kwakuwammewaletawagenindaniyapatakatifupangu, wasiotahiriwamoyoni,nawasiotahiriwakwamwili,ili wawekatikapatakatifupangu,ilikulitiaunajisi,naam, nyumbayangu,hapomtakapotoamkatewangu,mafutana damu,naowamelivunjaaganolangukwasababuya machukizoyenuyote

8Nanyihamkushikaulinziwavituvyanguvitakatifu, lakinimmewekawalinziwaulinziwangukatikapatakatifu pangukwaajiliyenu

9BwanaMUNGUasemahivi;Hakunamgeni, asiyetahiriwamoyoni,walaasiyetahiriwakatikamwili, atakayeingiakatikapatakatifupangu,miongonimwa mgenialiyekatiyawanawaIsraeli

10NahaoWalawiwalioniacha,hapoIsraeliwalipopotea, waliokengeukanakuzifuatavinyagovyao;watauchukua uovuwao.

11Lakiniwatakuwawahudumukatikapatakatifupangu, wakiwawasimamizikatikamalangoyanyumba,na wahudumuwanyumba;

12kwasababuwaliwatumikiambeleyavinyagovyao,na kuwaangushanyumbayaIsraelikatikauovu;kwahiyo nimeinuamkonowangujuuyao,asemaBwanaMUNGU, naowatauchukuauovuwao

13Naohawatanikaribiakunifanyiakaziyaukuhani,wala kukaribiamahalipatakatifupapatakatifupapatakatifupa patakatifu;

14Lakininitawawekakuwawalinziwaulinziwanyumba, kwautumishiwakewote,nakwayoteyatakayofanywa ndaniyake

Ezekieli

15LakinimakuhaniWalawi,wanawaSadoki,walioulinda ulinziwapatakatifupangu,hapowanawaIsraeli walipopoteakutokakwangu,haowatakaribiakwanguili kunitumikia,naowatasimamambelezanguilikunitolea mafutanadamu,asemaBwanaMUNGU; 16Naowataingiapatakatifupangu,naowatakaribiameza yangu,ilikunitumikia,naowatashikaulinziwangu 17Tenaitakuwa,watakapoingiakatikamalangoyauawa ndani,watakuwawamevaamavaziyakitani;walasufu haitawajilia,wahudumukatikamalangoyauawandani,na ndani

18Watakuwanakofiazakitanivichwanimwao,nasuruali zakitaniviunonimwao;wasijifungekituchochotekitoa jasho

19Nahapowatakapotokakwendakatikauawanje,hataua wanjekwawatu,watavuamavaziyaowaliyovaakatika huduma,nakuyawekakatikavyumbavitakatifu,nao watavaamavazimengine;walahawatawatakasawatukwa mavaziyao.

20Walawasinyoenywelezao,walawasiachenywelezao ziwendefu;watavinasuavichwavyaotu

21Walakuhaniyeyoteasinywedivai,waingiapokatikaua wandani

22Walahawatatwaamjanekuwawakezao,wala mwanamkealiyeachwanamumewe;

23Naowatawafundishawatuwangukupambanuakatiya vituvitakatifunavisivyonajisi,nakuwajulisha kupambanuavituvilivyonajisinavilivyosafi.

24Nakatikamabishanowatasimamakatikahukumu;nao watazihukumusawasawanahukumuzangu;nao watazishikasheriazangunaamrizangukatika makusanyikoyanguyote;naowatatakasasabatozangu

25Walawasingiekaribunamaitiilikujitiaunajisi; 26Nabaadayakutakaswa,watamhesabiasikusaba.

27Nasikuatakapoingiapatakatifu,katikauawandani,ili kuhudumukatikapatakatifu,atatoasadakayakeyadhambi, asemaBwanaMUNGU.

28Nahiyoitakuwaurithiwao;mimindimiurithiwao; walahamtawapamilkiyoyotekatikaIsraeli;mimindimi milkiyao.

29Watakulasadakayaunga,nasadakayadhambi,na sadakayahatia;nakilakitukilichowekwawakfukatika Israelikitakuwachao.

30Nakituchakwanzachamalimbukoyoteyavituvyote, nakilatoleolavituvyote,kilanamnayamatoleoyenu, litakuwalakuhani;

31Makuhaniwasilekituchochotekilichokufachenyewe, aukilichoraruliwa,ikiwanindegeaumnyama.

SURAYA45

1Tenahapomtakapoigawanyanchikuwaurithiwenu, mtamtoleaBwanamatoleo,sehemutakatifuyanchi;urefu wakeutakuwamwanziishirininatanoelfu,naupanawake utakuwaelfukumiHikikitakuwakitakatifukatikamipaka yakeyotekuizunguka

2Katikahiyoitakuwanaurefuwamiatanokwaajiliya mahalipatakatifu,naupanawakemiatano,mrabapande zote;nadhiraahamsinipandezotekwaajiliyamalisho yake.

3Nakwakipimohichoutapimaurefuwaishirininatano elfu,naupanawaelfukumi;

4Sehemutakatifuyanchiitakuwayamakuhani, wahudumuwapatakatifu,watakaokaribiailikumtumikia Bwana;nayoitakuwamahalikwanyumbazao,namahali patakatifukwapatakatifu.

5Naurefuwaelfuishirininatanoelfu,naupanawakeelfu kumi,watakuwanaoWalawi,wahudumuwanyumba, kuwamilkiyaokwavyumbaishirini

6Nanyimtaiwekamilkiyamjiupanawakeelfutano,na urefuwakeishirininatanoelfu,kandoyatoleolamahali patakatifu;itakuwayanyumbayoteyaIsraeli

7Nasehemuitakuwayamkuuupandehuunaupandewa piliwamatoleoyafungutakatifu,namilkiyamji,mbele yatoleolafungutakatifu,nambeleyamilkiyamji,kutoka upandewamagharibikuelekeamagharibi,nakutoka upandewamasharikikuelekeamashariki;

8KatikanchiitakuwamilkiyakekatikaIsraeli;nawakuu wanguhawatawaoneatenawatuwangu;nanchiiliyosalia watawapanyumbayaIsraelisawasawanakabilazao

9BwanaMUNGUasemahivi;Naiwatosheninyi,enyi wakuuwaIsraeli;ondoenijeurinanyara,fanyenihukumu nahaki;ondoeniutovuwenukatikawatuwangu,asema BwanaMUNGU.

10Mtakuwanamizaniyahaki,naefayahaki,nabathiya haki

11Efanabathizitakuwazakipimokimoja,ilibathi ichukuesehemuyakumiyahomeri,naefasehemuya kumiyahomeri;kipimochakekitakuwasawanahomeri 12Nayoshekeliitakuwageraishirini;shekeliishirini, shekeliishirininatano,nashekelikuminatano,zitakuwa maneyenu

13Sadakamtakayotoanihii;sehemuyasitayaefaya homeriyangano,nawemtatoasehemuyasitayaefaya homeriyashayiri;

14kwahabariyaagizolamafuta,bathiyamafuta,mtatoa sehemuyakumiyabathikatikakori,ambayonihomeriya bathikumi;kwamaanabathikuminihomerimoja; 15namwana-kondoommojakatikakundi,katikamia mbili,katikamalishoyaIsraeli;kwaajiliyasadakaya unga,nasadakayakuteketezwa,nasadakazaamani,ili kufanyaupatanishokwaajiliyao,asemaBwanaMUNGU. 16Watuwotewanchiwatatoatoleohilikwaajiliyamkuu waIsraeli

17Nalitakuwafungulamkuukutoasadakaza kuteketezwa,nasadakazaunga,nasadakazakinywaji, katikasikukuu,namwezimpya,nakatikasabato,katika sikukuuzotezanyumbayaIsraeli;atatayarishasadakaya dhambi,nasadakayaunga,nasadakayakuteketezwa,na sadakazaamani,ilikufanyaupatanishokwaajiliya nyumbayaIsraeli

18BwanaMUNGUasemahivi;Mweziwakwanza,siku yakwanzayamwezi,utatwaang'ombemumemchanga mkamilifu,nakutakasamahalipatakatifu;

19Kishakuhaniatatwaabaadhiyadamuyasadakaya dhambi,nakuitiajuuyamiimoyanyumba,nakatika pembennezadarajalamadhabahu,najuuyamiimoya langolauawandani

20Naweutafanyavivyohivyosikuyasabayamwezikwa ajiliyakilamtuakosaye,nakwaajiliyamtuasiyenaakili; ndivyomtaipatanishanyumba

21Mweziwakwanza,sikuyakuminanneyamwezi, mtakuwanapasaka,sikukuuyasikusaba;mkateusiotiwa chachuutaliwa

22Sikuhiyomkuuatatayarishang’ombedumekwaajili yakemwenyewenakwaajiliyawatuwotewanchi.

23NasikusabazasikukuuatamtengenezeaBwanasadaka yakuteketezwa,ng'ombewaumesaba,nakondoowaume saba,wakamilifu,kilasikukwasikusaba;nambuzimume kilasikukuwasadakayadhambi

24Nayeatatayarishasadakayaungakwaefamojakwa ng'ombemmoja,naefamojakwakondoomume,nahini yamafutakwaefamoja

25Mweziwasaba,sikuyakuminatanoyamwezi, atafanyakamavilekatikasikukuuyasikusaba,sawasawa nasadakayadhambi,sawasawanasadakayakuteketezwa, nasawasawanasadakayaunga,nasawasawanamafuta.

SURAYA46

1BwanaMUNGUasemahivi;Langolauawandani lielekealoupandewamasharikilitafungwasikusitazakazi; lakinisikuyasabatoitafunguliwa,nasikuyamwezimpya itafunguliwa

2Nayemkuuataingiakwanjiayaukumbiwalangolililo nje,nayeatasimamakaribunamwimowalango,na makuhaniwatatayarishasadakayakeyakuteketezwana sadakazakezaamani,nayeataabudupenyekizingiticha lango,kishaatatoka;lakinilangohalitafungwahatajioni.

3Vivyohivyowatuwanchiwataabudumlangonipalango hilimbelezaBWANA,sikuzasabatonamwezimpya

4Nasadakayakuteketezwaambayomkuuatamtolea Bwanasikuyasabatoitakuwawana-kondoosita wakamilifu,nakondoomumemkamilifu

5Nasadakayaungaitakuwaefamojakwakondoomume, nasadakayaungakwahaowana-kondoo,kamaawezavyo kutoa,nahiniyamafutakwaefamoja

6Nasikuyamwezimpyakutakuwanang'ombemume mchangamkamilifu,nawana-kondoosita,nakondoo mume;watakuwawakamilifu

7Nayeatatayarishasadakayaunga,efamojakwang'ombe mmoja,naefamojakwakondoomume,nakwahaowanakondookamamkonowakeutakavyoweza,nahiniya mafutakwaefamoja.

8Nayemkuuatakapoingia,ataingiakwanjiayaukumbi walangolile,nayeatatokakwanjiahiyo

9LakiniwatuwanchiwatakapokujambelezaBwana katikasikukuuzilizoamriwa,yeyeaingiayekwanjiaya langolakaskaziniilikuabudu,atatokakwanjiayalangola kusini;nayeyeaingiayekwanjiayalangolakusiniatatoka kwanjiayalangolakaskazini;hatarudikwanjiayalango aliloingia,baliatatokakulielekea.

10Namkuualiyekatikatiyao,watakapoingiaataingia;na zikitokazitatoka

11Nakatikasikukuunakatikasikukuu,sadakayaunga itakuwaefamojakwang'ombemmoja,naefamojakwa kondoomume,nakwawana-kondookamaawezavyo kutoa,nahiniyamafutakwaefamoja

12Basimkuuatakapotayarishasadakayakuteketezwakwa hiari,ausadakazaamani,kwahiariyake,kwaBWANA, ndipomtummojaatamfungulialangolielekealoupandewa mashariki,nayeatatayarishasadakayakeyakuteketezwa nasadakazakezaamani,kamaalivyofanyasikuyasabato; nabaadayakutokakwakemmojaatafungalango.

13NaweutamtengenezeaBwanasadakayakuteketezwa kilasikukatikamwana-kondoowamwakawakwanza asiyenadosari;

14Naweutaitayarishasadakayaungakwaajiliyakekila asubuhi,sehemuyasitayaefa,nasehemuyatatuyahini yamafuta,ilikukokotaungahuomzuri;nisadakayaunga kwaBWANAdaimakwaamriyamilele

15Ndivyowatakavyoandaamwana-kondoo,nasadakaya unga,namafuta,kilasikuasubuhi,kuwasadakaya kuteketezwayasikuzote

16BwanaMUNGUasemahivi;Mkuuakimpammojawa wanawezawadi,urithiwakeutakuwawawanawe;itakuwa milkiyaokwaurithi.

17Lakiniakimpammojawawatumishiwakezawadi katikaurithiwake,itakuwayakehatamwakawauhuru; baadayahayoitarudikwamkuu;lakiniurithiwake utakuwawawanawekwao

18Tenamkuuhatatwaakatikaurithiwawatukwa kuwaonea,ilikuwatoakatikamilkiyao;lakiniatawapa wanaweurithikutokakatikamilkiyakemwenyewe;ili watuwanguwasitawanywekilamtukutokakatikamilki yake.

19Kishaakaniletakupitialango,lililokandoyalango, mpakavyumbavitakatifuvyamakuhani,vilivyotazama upandewakaskazini;natazama,palikuwanamahalipande mbilizamagharibi

20Ndipoakaniambia,Hapandipomahaliambapo makuhaniwataipikiasadakayahatia,nasadakayadhambi, hapowataiokasadakayaunga;iliwasiwatoenjekatikaua wanje,ilikuwatakasawatu

21Kishaakaniletanjempakauawanje,akanipitisha kwenyepembennezaua;natazama,katikakilapembeya uahuopalikuwanaua

22Katikapembennezauahuopalikuwananyua zilizounganishwa,urefuwakedhiraaarobaininaupana wakethelathini;hizopembennezilikuwazakipimo kimoja.

23Napalikuwanasafundaniyakepandezote,kuzunguka pandezotenne,napalikuwanamahalipakuchemsha, chiniyasafupandezote.

24Kishaakaniambia,Hayandiyomahalipakuchemsha, ambapowahudumuwanyumbawatapikiadhabihuzawatu

SURAYA47

1Kishaakaniletatenampakamlangonipanyumba;na tazama,majiyalitokachiniyakizingitichanyumba kuelekeaupandewamashariki;

2Kishaakaniletanjeyanjiayalangolaupandewa kaskazini,akanizungushakwanjiayanjempakalangola nje,lililoelekeamashariki;natazama,majiyalitokaupande wakuume.

3Nahuyomtualiyekuwanauzimkononimwake, alipotokakuelekeamashariki,akapimadhiraaelfu, akanivushamajini;majiyalifikakwenyevifundovya miguu

4Akapimatenaelfu,akanivushamajini;majiyalifika magotiniAkapimatenaelfu,akanipitisha;majiyalifika kiunoni

5Kishaakapimaelfu;naulikuwamtonisiowezakuuvuka; maanamajiyalikuwayameinuka,majiyakuogelea,mto usiowezakuvuka

6Akaniambia,Mwanadamu,je!Kishaakanileta,na kunirudishaukingonimwamto.

7Basiniliporudi,tazama,kwenyeukingowaulemto kulikuwanamitimingisanaupandehuunaupandehuu.

8Ndipoakaniambia,Majihayayanatokakuelekeanchiya mashariki,nakushukachinihatajangwani,nakuingia katikabahari;

9Tenaitakuwa,kilakiumbechenyeuhai,kiendacho mahalipopoteitakapofikahiyomito,kitaishi;kutakuwako wingisanawasamaki,kwasababumajihayayatakuja huko;nakilakitukitaishiutakapofikamtohuo

10Naitakuwa,wavuviwatasimamajuuyaketokaEngedi mpakaEneglaimu;watakuwamahalipakutandazanyavu; samakiwaowatakuwawengisanakwajinsizao,kama samakiwabaharikuu

11Lakinimahalipakepaliponamatopenamabwawayake hayataponywa;watatiwachumvi 12Nakaribunamto,ukingonimwake,upandehuuna upandehuu,kutameamitiyoteyachakula,ambayojani lakehalitanyauka,walamatundayakehayataharibika; itazaamatundamapyakwakadiriyamieziyake,kwa sababumajiyakeyalitokakatikapatakatifu;namatunda yakeyatakuwachakula,namajaniyakeyatakuwadawa 13BwanaMUNGUasemahivi;Huundiompaka,ambao kwahuomtairithinchi,sawasawanakabilakuminambili zaIsraeli;Yusufuatakuwanamafungumawili

14Nanyimtairithi,mtunamwenzake;kwahabarihiyo naliinuamkonowangukuwapababazenu;

15Nahuundiompakawanchikuelekeaupandewa kaskazini,tokaBaharikuu,kwanjiayaHethloni,kwa kwendaSedadi;

16Hamathi,naBerotha,naSibraimu,uliokatiyampaka waDameskinampakawaHamathi;Hazarhattikoni,ulio karibunapwaniyaHaurani.

17NampakakutokabahariniutakuwaHas-enani,mpaka waDameski,naupandewakaskazinikuelekeakaskazini, nampakawaHamathi.Nahuuniupandewakaskazini.

18Nahuundioupandewamashariki

19Naupandewakusinikuelekeakusini,kutokaTamari mpakamajiyaMeribakatikaKadeshi,mtompakabahari kubwaNahuundioupandewakusinikuelekeakusini

20Upandewamagharibipiakutakuwanabaharikubwa kutokampakani,hatamtuatakapofikakuelekeaHamathi. Huuniupandewamagharibi

21Ndivyomtakavyowagawianchihiisawasawanakabila zaIsraeli.

22Tenaitakuwa,mtaigawanyakwakuraiweurithiwenu, nakwawageniwakaaokatiyenu,watakaozaawanakati yenu;watakuwanaurithipamojananyikatikakabilaza Israeli

23Naitakuwa,katikakabilaganiakaayemgeni,ndipo mtampaurithiwake,asemaBwanaMUNGU.

SURAYA48

1Sasahayandiyomajinayamakabilatokamwishowa kaskazinihataukingowanjiayaHethloni,hatakufikilia Hamathi,naHazarenani,mpakawaDamaskoupandewa kaskazini,hatampakawaHamathi;maanapandezakehizo nimasharikinamagharibi;sehemukwaDani.

2NampakanimwaDani,tokaupandewamasharikihata upandewamagharibi,Asheri,fungumoja

3NampakanimwaAsheri,tokaupandewamasharikihata upandewamagharibi,Naftali,fungumoja.

4NampakanimwaNaftali,tokaupandewamasharikihata upandewamagharibi;

5NampakanimwaManase,tokaupandewamashariki hataupandewamagharibi;Efraimu,fungumoja

6NampakanimwaEfraimu,tokaupandewamashariki hataupandewamagharibi;Reubeni,fungumoja.

7NampakanimwaReubeni,tokaupandewamashariki hataupandewamagharibi;

8NampakanimwaYuda,tokaupandewamasharikihata upandewamagharibi,kutakuwanamatoleomtakayotoa, upanawamianziishirininatanoelfu,naurefukamamoja yasehemunyingine,tokaupandewamasharikihata upandewamagharibi;napatakatifupatakuwakatikatiyake

9MatoleomtakayomtoleaBwanayatakuwaurefuwake ishirininatanoelfu,naupanawakeelfukumi

10Namatoleohayamatakatifuyatakuwakwaajiliyao, yaani,makuhani;upandewakaskaziniurefuishirinina tanoelfu,naupandewamagharibielfukumiupana,na upandewamasharikielfukuminaupana,naupandewa kusiniurefuishirininatanoelfu;napatakatifupaBwana patakuwakatikatiyake

11Itakuwayamakuhaniwaliotakaswamiongonimwa wanawaSadoki;ambaowameshikaulinziwangu,ambao hawakupoteawakatiwanawaIsraeliwalipopotea,kama vileWalawiwalivyopotea

12Namatoleohayayanchiitakayotolewayatakuwakwao kitukitakatifusanampakanimwaWalawi

13Nampakampakawamakuhani,Walawiwatakuwana urefuwaishirininatanoelfu,naupanawakeelfukumi; urefuwoteutakuwaishirininatanoelfu,naupanaelfu kumi

14Walahawataiuza,walahawataibadilisha,wala hawatatoamalimbukoyanchi;kwakuwanitakatifukwa Bwana

15Nahizoelfutanozilizosaliakatikaupana,kuikabilihiyo ishirininatanoelfu,zitakuwamahalinajisikwamji,kwa ajiliyamakao,nakwamalisho;nahuomjiutakuwa katikatiyake.

16Navipimovyakendivyovitakavyokuwa;upandewa kaskazinielfunnenamiatano,naupandewakusinielfu nnenamiatano,naupandewamasharikielfunnenamia tano,naupandewamagharibielfunnenamiatano

17Namalishoyamjiitakuwaupandewakaskazinimia mbilinahamsini,naupandewakusinimiambilina hamsini,nakuelekeamasharikimiambilihamsini,na kuelekeamagharibimiambilinahamsini.

18Namabakiyaurefuwakekukabilitoleolasehemu takatifuyatakuwaelfukumiupandewamashariki,naelfu kumiupandewamagharibi;namaongeoyakeyatakuwa chakulachawautumikiaomji.

19Nawalewanaotumikiajijiwataitumikiakutokakatika kabilazotezaIsraeli

20Matoleoyoteyatakuwaishirininatanoelfukwaishirini natanoelfu;mtatoamatoleomatakatifu,mraba,pamojana milkiyamji.

21Nahayomabakiyatakuwakwaajiliyamkuu,upande huunaupandewapiliwamatoleomatakatifu,nayamilki yamji,kukabiliziletoleolamatoleoyakuelekeampaka wamashariki,kuelekeampakawamashariki,naupande wamagharibi,kuelekeampakawamagharibi,kukabili

mafunguyamkuu;nayoitakuwanisadakatakatifu;na patakatifupanyumbapatakuwakatikatiyake.

22TenakutokakatikamilkiyaWalawi,nakutokakatika milkiyamji,iliyokatikatiyahiyoiliyoyamkuu,katiya mpakawaYudanampakawaBenyamini,itakuwaya mkuu

23Nakwahabarizamakabilayaliyosalia,tokaupandewa masharikihataupandewamagharibi,Benyaminiatakuwa nasehemumoja

24NampakanimwaBenyamini,tokaupandewa masharikihataupandewamagharibi,Simeoniatakuwana sehemumoja

25NampakanimwaSimeoni,tokaupandewamashariki hataupandewamagharibi,Isakari,fungumoja

26NampakanimwaIsakari,tokaupandewamashariki hataupandewamagharibi,Zabuloni,fungumoja.

27NampakanimwaZabuloni,tokaupandewamashariki hataupandewamagharibi,Gadi,fungumoja

28NampakanimwaGadi,upandewakusinikuelekea kusini,mpakautakuwakutokaTamarimpakamajiya MeribokatikaKadeshi,nampakahuoMtokuelekeabahari kubwa.

29HiindiyonchimtakayozigawiakabilazaIsraelikuwa urithiwao,nahizindizosehemuzao,asemaBwana MUNGU.

30Nahizindizomwishowamji,upandewakaskazini, elfunnenamiatanokwavipimo

31Namalangoyamjiyatakuwakwamajinayakabilaza Israeli;malangomatatuupandewakaskazini;langola Reubenimoja,langolaYudamoja,langolaLawimoja

32Naupandewamasharikielfunnenamiatano;na malangomatatu;nalangolaYusufumoja,langola Benyaminimoja,langolaDanimoja

33Upandewakusini,elfunnenamiatanokwavipimo;na malangomatatu;langolaSimeonimoja,langolaIsakari moja,langolaZabulonimoja

34Upandewamagharibielfunnenamiatano,pamojana malangoyakematatu;langolaGadimoja,langolaAsheri moja,langolaNaftalimoja

35Nikamavipimokuminananeelfukuzungukapande zote;najinalamjitangusikuhiyolitakuwa,Bwanayu hapo

Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.