waandishi ebook 1686898488.653821

Page 1

SIMULIZI: AMIGERY (I FALL FOR YOU)

MTUNZI: SIMULIZI ZA SUMMY

WHATSAPP: 0624853116

SEHEMU YA: 01-35

Sehemu ya 01

Msisahau mwandishi halali wa simulizi

hii ni Sumaiya Mwendo, Simulizi za

Summy . Epuka matapelii.

Utangulizi…..

Maisha halisi ya binadamu yanajengwa

na binadamu mwenyewe, Maisha mazuri

yanajengwa na uzuri wenyewe, nguvu

pamoja na mafanikio ya mtu Ni juhudi

zake mwenyewe. Dahh!! Sijui nawaza nini? Njaa hii’

Ok mmekuja hapa kwa ajiri ya kumfahamu mengi juu ya AMIGERY.

Kwa nini AMIGERY labda?. Yaani kirefu

cha AMIGERY nitawafahamisha mapema au baadae, na kwa nini aseme I fall for you? Ni juu yenu Sasa kua pamoja

nami. Ila acha nijitambulishe kwenza.

Kwa jina naitwa Amina, watu wengi

Sana wanapenda kuniita Ami yaani ndo

hivyo wanapenda kuniita Ami. Leo

nimeamua kuwaletea mkasa wangu wa

Maisha ambao najua kabisa

utawafurahisha. Utawahuzunisha na

kuwasisimua sanaaaa. Ila kubwa zaidi

utawafunza vya kutosha. Tena kwa

sababu kalamu namkabidhi rafiki yangu

mwenyewe, Chanda na kidole, ayaa!! Eti

Chanda na kidole? Ni chanda na Pete

#Simulizi za Sumaiya. Natumai Sana

mtainjoi. Sitawaambia Ni kitu gani

kimesababisha Hadi nimeamua kukaa

nae chini niwaeleze mkasa wangu. Ila tu

kila mmoja atege sikio na akili Yake

aielekeze kwangu msimuliaji, huku

umakini akimpatia MWANDISHI wake

#Simulizi za Sumaiya.

Anza……

Ni miaka kadhaa nyuma imepita, nilikua

kidato Cha sita, katika mkoa wa

morogoro. Nilikua nasoma shule ya

wasichana tupu. Siku moja Majira ya saa nne na nusu siku ya jumamosi

kengele ya kantini iligonga ishara

wanafunzi wote tujikusanye kwa ajiri ya

kupata chai. Siku hiyo haikua siku ya

chai uliandaliwa uji kwa ajiri yetu. Kwa

kweli maishani mwangu Mimi sipendi uji

kabisa yaani.

“ Twende Basi” rafiki yangu Miracle

aliniambia kwa msisitizo tukapate uji

huo ambao kwenye moyo wangu ulikua

chukizo kila nilipouwaza.

“ Mmh hapana, Mira, mi sipendi huko

unajua kabisa Mimi na uji mbalimbali”

nilimwambia akatamani anichambe

maana Mira kwa machambo hajambo.

Ila siku hiyo sijui roho ya kiungu

ilimshukia, aliweza tu kutikisa kichwa

kwa masikitiko makubwa Kisha

akaondoka zake.

Nilishukuru Mungu na kuendelea kukaa

kwenye gogo lililokua limeanguka muda

mrefu’. Punde baada ya wanafunzi wote

kuelekea kantini, nilijikuta pekee yangu

kwenye maeneo ya nje. Daahh!! “

Kruuol” mhh! Tumbo liliunguruma ishara

Ni kwamba Hali yangu ni tete na sio

mchezo. Nina hisia njaa. Nifanye nini

Sasa? Kwa kweli uji haupo akili.

Niliweza kukumbuka Jambo wakati huo

huo. Nilipokumbuka Mara moja na

haraka niliinuka kutoka chini Kisha

mapema Sana nikawahi kwenda nyuma ya madarasa yetu ambayo tulikua

tukisomea. Huko kulikua na uwazi

ambao wasichana wapenda disco na kulala nje ya shule walizoea kupita, mtoto wa kike na Mimi siku hiyo nikajitosa na kupita eneo Hilo nikiwa na wasiwasi hatari sijawahi kutoroka

mwenzenu Mimi! Na ilikua weekend, imagine watu hutoroka siku za shule na kurejea Ila Mimi natoroka mchana na sio siku ya shule Ila naogopa hatari.

Hatimae nikifanikiwa kuoenya kwenye

fensi ya wavu bila kukamatwa na mlinzi

yeyote. Taratiiibu nikawa natembea

kuelekea kutafuta chochote kitu ili Nile

Ami wenu. Huko nilikutana na watoto

Wana kula icecream nikawa

nawatamania tu. Mara nikaona watu

wanauza ndizi. Eee! Sio Nile ndizi

nipoze njaa’ nikawasimamiaha wakatua

beseni la ndizi mbele yangu. “Shing ngap? “ Niliwahoji wauzaji

“ Mia Mia tu” walipotaja hiyo Bei wee, mtoto wa watu na njaa yangu

nikachuiua ndizi mbili na kumenya Kisha

nikaanza kula. Daah Maisha haya

wakati wote huo najua kabisa nina pesa

kwenye mfuko wa sketi. Baada ya kula

Sasa nikashika mfukoni niwapatie pesa

Yao.

‘ la haula, Sina hela’ nilishtuka

mwenzenu, Sasa hapa ntafanya nini?

Nitawaambia nini Hawa wauza ndizi?

“ Dada Kama unalipia lipia tuendelee na biashara jua Kali” muuza ndizi ambae

nilichukua ndizi kwake akaniambia

nikabaki hoi! Sijui nifanye nini? Hata

sikumbuki pesa nilikua nimeweka wapi

mwenzenu?

“ Dada vipi?” Yule mwenzake pia

akauliza.

“ Usitake kusema huna hela, Maisha

yenyewe haya umetusimamisha hapa

muda mrefu’ Sana, alafu usitume pesa

na ndizi umekula kwa kweli

patachimbika” niliekula ndizi zake

akachachamaa. Ningefanya nini zaidi ya kuwatolea macho ya huruma.

“ We wa kusoma umewahi kupigwa wewe?” Haa Mambo ya kupigana Tena.

“ Jamani mnisamehe sio Kama sikua na hela nilikua nayo kabisa elfu moja, Ila nashangaa siioni humu, sijui nimeiweka wapi?” Nilianza kuhanya mtoto wa kike.

“ Usituigizie, yaani hapa hamna anae

kuelewa pesa utatoa tu” nikajikuta

tayari nimekamatwa Kora mwenzenu, nikaanza kuomba samahani, daah! Ni

bahati mbaya iliyoje ndo siku yangu ya

kwanza kutoroka na kutana na bahati

mbaya Mungu angesikia kilio changu

angemsaidia nisiumbuke Mimi?.

“ Jamani naombeni mnisamehe Ni

bahati mbaya Ila Kama hamtajari

naombeni muda niwaendelezee pesa yenu Kisha niwakute hapa hapa”

“ Ahaha, huyu dada ana wazimu, hivi upo form ngapi wewe?” Kwa Hilo swali

Ni kana kwamba walinidharau Sana.

Nilishindwa la kusema.

“ Jamani naombeni niwaletee”

“Unatuona sisi Ni wajinga Sana”

nilikosea la kusema.

“ Yaani utuache hapa tukae tusubiri

ukituchoresha eti utufatie pesa, ili

uende jumla, umechanganyikiwa wewe”

“ Jamani hamna mimi”

“ Paah!” Kofi lilitua kwenye uso wangu

nikajikuta nachanganyikiwa. Ile

wanajiandaa kunizaba Kofi jingine

niliinamisha uso wangu kwa huzuni mno, uso wenyewe huu mdogo masikini ya

Mungu. Nikiwa nimeinama ghafla

nikahisi kimya kimechukua nafasi Yake.

Nikashangaa na kufungua macho yangu

taratibu nijue nini tatizo mbona

nimenusurika.

“ Hamuoni aibu kumpiga msichana

mwenzenu, Tena mwanafunzi

barabarani, kwa sababu gani kubwa Hadi mfanye uonevu huu??” Sauti ya

kiume ulinifanya niinue uso wangu

kutazama Ni malaika gani huyo

alietumwa na Mungu kuja kuninusuru?

Maana nilikua kwenye hatua mbaya

Sana ya Maisha, kwa Hali ilivyokua

ilibaki kidogo tu nijichimbie kaburi

mwenyewe.

Nilipoinua uso wangu nikakutana na sura ya kijana ambae kamwe sikuwahi, Wala

sikua nimewahi kumuona popote pale

hapa ulimwengu, ilikua Mara yangu ya

kwanza kumuona huyo Kaka, alikua

amevaa suruali ya kitambaa ya rangi ya

kaki imemkaa vizuri Sana na Shati la mikono mirefu la dark blue, alionekana

Kama kijana anaejijari na kujitunza kwa

ujumla, usoni alivaa miwani. Kwa kweli

alionekana wa kuvutia kwa jinsi

alivyokua. Ana weupe flani hivi, yaani

sio mweupe Sanaa Ila Ni mweupe,

aliongea kwa hasira lakini Ni Kama

alikua akitabasamu. Nilimuwekea macho ya huruma akiwa kaniangalia Kisha

akarejesha macho Yake kwa wale wasichana.

“ Mmefanya nini? Hamuoni Kama nyie

Ni wakubwa Sana kushinda yeye, amewaomba awaletee pesa yenu Ila

mmefanya kumpa adhabu isiyostahili”

alifoka hapo nikapata mwanya wa

kuwaponyoka wale wasichana na kujificha nyuma Yake.

Sehemu ya 02

” Usijar” aligeuka pembeni kidogo

alipotamka hilo neno. Daah nilihisi raha

kuona angalau nimepata shahrukhan wa kibongo.” Kaka tafadhari huyu dada

katufanyia kitu ambacho sio, ndizi shing

Mia Mia Ila ameshindwa kutupa pesa yetu eti Hana.”

“ Kwani nyie mnamdai sh ngap?”

Wakataja pesa Yao huyo Kaka akazama

akatoka na noti ya 2000 wakakata

pesa yao Kisha wakarejesha chenchi.

Wale wadada wakaniangalia na Mimi

nikawakodolea macho Kisha

nikawazomea kisiri Siri. Ahaha mi

mkorofi nyie acheni tu. Wale wadada

wakaishia kuniangalia bila neno. Baada ya hao dada wawili kuondoka kijana wa

watu ndo anigeukie Sasa. Uwiii material

yote ambayo nimesoma asubuhi hiyo

yalinitoka nik akili yangu. Yaani ki ufupi

kijana alijua kunivutia kana kwamba

aliungwa na mimi! Aibu hii mniache mie, ndo akili imehama hivyo.” Upo sawa”

aliniuliza kwa upole huku akisogeza

miwani yake’ vizuri. Nilitabazamu na kumjibu. “ Ndio, nipo sawa” nikatoa

sauti ya madeko kana kwamba nilikua

karibu kudondoka. “ Usijari kila kitu

kitakua sawa, waweza enda shule”

aliniambia hivyo nikajikuta nakumbuka

sijakula hata, nikatia sura yangu ya

huruma. Na wakati huo huo tumbo

likakoroma akajikuta amecheka mwenyewe. Anacheka kivivu mwenyewe.

Mi hoi.. jamani wa kusoma mnisamehe

mapenzi hayana mwanafunzi. “ Twende

ukale, alafu usirudie kutoroka shule

sawa mtoto mzuri” alipotamka hiyo kauli

nilipagawa mwenzenu, kweli Mimi Ni

mtoto mzuri? Nilimfata bhana uroho huu, mtu simjui nimekutana nae njiani tu. “ Mi Ni mgeni hapa, sio mwenyeji Sanaa, unaweza niongoza njia sehemu ambayo utakula?” Aliniuliza nikajikuta nainamisha macho yangu chini huku nikitabasamu. “ Ndio, nifate Mimi”

utadhani yeye ndo alikua na shida.

Bhana alinifata taratiibu mwendo mdogomdogo tukazama mgahawani

kabisaa. Aliingia mgahawani akiwa Kama

hajisikii Uhuru, Ila Mimi nilikua na tabasamu, nikaanza na kuchangamka hapo hapo. “ Mimi natamani kula

chapati na chai niagize?” Nilimwangalia

na macho yangu makubwa na mazuri, akabaki ameganda aliniangalia mwisho

akatabasamu kwa uvivu sana nikapata

aibu, kiukweli akitabasamu kivivu mi ananiacha hoi, anafanya nijione Kajol. “

Usijari, we agiza kila unachotaka kula”

aliposema hivyo mwenzenu nika faall in love jamani, kwa neno niagize

nachotaka. Kwani maneno hayo

nimezoea kuyasikia kwenye movie. Za

wakorea jamani ‘Oppa’ aii nimesemaje

Mimi? Sina aibu kabisa “ Mbona Kama

unaongea Mambo mengi Sana kwenye

kichwa Chako?” Aliniuliza swali la ukweli

kana kwamba aliisoma akili yangu vilivyo

nilikua na serikali kubwa Sana kwenye

kichwa changu.’ Ahaha’” Agiza uwahi

kurudi shule, alafu usiwe unatoroka”

aliniambia hivyo nikaishiwa tabasamu

kabisaa, ningefanya nini zaidi ya kupata

aibu na kuagiza zangu chapati mbili na

kikombe Cha chai jumla Mia tano. Kwani chapati ziliuzwa moja Mia mbili, alafu chai kikombe Mia moja.

Nikaletewa mtoto wa kike kwa namna

nilikua na njaa nilikaa sawa sawa

kwanza kabla ya yote. Na hapo ndo

kuanza kula. “ We huagizi chochote?”

Nilimtumbulia macho akabaki kaniangalia

Tena. Sijui alijenga kitu gani kwenye

ufahamu wake, nikainamisha macho

yangu. Na kuendelea kula zangu mdogo

mdogo. Mpaka nikamaliza. “ Asante

Kaka mkubwa” nilipomuita hivyo

akaniangalia tu bila kujibu kitu kwa

muda.” Naitwa Gerald” aliponambia Hilo

jina nikatabasamu “ sawa Kaka Gerald”

mjinga Mimi hata sijui kujiongeza,

potelea mbali kwani yeye sio sawa na

Kaka yangu tu!. “ Niite Gery, itapendeza “ aliposema hivyo nikajikuta

nacheka kwa sauti, sikuweza kusubiri

kucheka. “Ahahaha”” Unacheka nini?” “

Hamna, najiuliza kwa nini imebidi

nikuite Gery, au nikuite Jery, napenda

Sana Ile katuni” alicheka pia Ila cheka

yake Sasa. Hapigi hata kelel yaani Ni

Kama amelazimishwa acheke. “Ahaa, aa…” Nilimuona wa ajabu. Labda

anacheka kitajiri. “ Usicheke bhana, naitwa hivyo hivyo, we niite unachotaka iwe Gery, iwe Jerry, Ni sawa Ila isiwe

Kaka Gerald “ hapo ndo nikaelewa

hakutaka nimuite Kaka. Hata hivyo

yeye sio Kaka yangu. “ Ok nitakuita,

Gery nikijisikia, na nitakuita Jery

nikitaka, ok”

nikamwambia hapo ndo

akaelewa Mimi Ni mtu asiejua kuficha tabia yake, yaani naongea mno. “ Sawa

wewe je? Nikuite Nani? Tom au mpenda chapati” “ Haa! Kumbe unajua kutania?”

Nilishangaa” Kwani naonekana sirias Sana?” “ Hapana nilihisi wewe ni mtu asie na maneno mengi “ nilipomwambia

hivyo aliinuka na kuhakikisha kalipia

Kisha nikafatana nae. “ Ni kweli upo sahihi, Ila Mimi naishi kulingana na mazingira, wewe ni mchangamfu Sana kwa nini na Mimi nisichangamke?”

Nilifurahi kusikia hivyo na hapo

nikakumbuka kumpa jibu juu ya jina langu. “ Naitwa Amina “ “ Amina?”

Alitabasamu kidogo Kisha akaongea.”

Ndo maana una akili za kuku” ‘chiii huyu

mwanaume ni nyau mkubwa, mi na akili

za kuku!’ niliuma meno yangu ye mwenye

akagundua Hilo na kucheka kwa uvivu

Tena. “ Haraka nenda shule, usije ukakutana na watu uliowadhulumu kwa

Mara nyingine, ukinimiss Sana juma

mosi ya wiki ijayo mida Kama hii, utanisubiri hapo kwenye huo mgahawa

sawa?” Aliniambia na kujiweka sawa

daah!! Kijana huyu? Nisiseme mengi, sema Ni mwembamba ahaha! Unahisi

nini kitafata hapo????Kikubwa zaidi

usiache ku like na kudondosha comment

yako hapo chini. Na ki share. #Simulizi

za Sumaiya#Summy stories# Simulizi

za Summy. Huku Ni kuinjoi tu. Usiache

ku download App yangu ya Simulizi za

Summy au Summy stories. Kuzidi

kuburudika zaidi.

Sehemu ya 03

Nilimuaga akaondoka zake taratiibu

nikiwa namuangalia kwa nyuma tu.

Taratibu na Mimi nikageuka na kuifata

njia ya kurejea shuleni, akili yangu

ilichangamka kwa kuukumbuka wakati

mfupi uliopita, Gery, alikua akiitwa

hivyo. Daahh ki ufupi nilivutiwa nae sio

tu jina lake la mvuto Ila hata yeye

mwenyewe kwa ukamilifu anaonekana

kua smart Sana. Hatimae nilifanikiwa

kuingia shuleni Tena.

“ Ulikua wapi? Nimekutafuta kila Kona ya hapa” Mira alinikaribisha na maneno ya uongo, najua hakufanya hivyo kabisa.

“ Kwani? Nimefanya nini hadi nitafutwe shule nzima?”

“ Ni Jambo la kuuliza, umefanya nini kweli? Ami, hujanywa uji, na pesa yako

niliitumia kununua vitafunio japo

sikukwambia, Ila ki ufupi umenikwaza mpaka nimegawa kila kitu”

“ Nini?” Niliweka mikono kichwani kwanza. “ Aaaaa haaaa, Mira naomba pesa yangu, ungejua nimekumbwa na

mangapi huko usingenikwapua hiyo hela mpuuzi wewe!! Nilimtukana hapo huku

machozi yakinilenga kwa nini alinifanyia hivyo mwenzie?

“ Amiii… We hukujiongeza nilipokuomba tukanywe uji hukuinuka nikakuacha tu, nilijua ungeshuku kumbe we kichwa Maji tu!” Duh leo hii yamenikuta. Nimetoka kuambiwa Nina akili za kuku muda si mrefu bado Kuna mtu anao ujasiri wa kuniita Mimi kichwa Maji?

Bora wa kuniita akili za kuku, maana

yeye hajaniweka matatizoni.

“ Miracle we mshenzi” nilimlaumu hapo

na kumfata nyuma haiwezekani jamani

pesa yangu yote ameitumia bila Shaka

tutakutana.

Majira ya usiku tukiwa tumelala, hatulali kitanda kimoja Ila vitanda

vyetu vimekaribiana Sana. Nikaanza

kumpa ubuyu kuhusu yaliyojiri siku ya leo. Miracle Ni shoga yangu, Siri yake’

Siri yangu.

“ Wee kwa hiyo leo Ami wangu kala

chapati na chai. Jamani sio poa mbona

hukunisanua juu yake” miracle kwa

uroho ahaa alitaka tufatane ili mi

nisipewe ofa. Siku nyingine kuachana na

rafiki yako ukaenda safari zako’ Kuna

fahida yake’ bhana we kuweza!

Niongozane nae ili nikose vitamu.

“ Aahh jamani, si ndo nimebahatisha leo, ningejuaje Sasa wakati sikuwahi

kuonana nae Leo ndo nimekutana nae?”

Nilimtania hapo akabaki kutikisa kichwa najua tu akilini mwake aliwaza namna

nilivyoinjoi kula chapati zangu mbili bila

kumletea chochote.

“ Mbona hukuniletea hata kidogo”

hatimae alitumbua jipu kifuani kwake.

“ Mmh Sasa ningeleta vipi Mimi, kikubwa nimeshiba, hata hivyo we

mwenyewe umetumia hela yangu fanya

unirejeshee”

Nilipomwambia hivyo akavuta na blanket kabisa. “ Mwanamke usiefaa wewe hebu

ulale huko, umuote huyo Deri wako sijui

Geri, potelea mbali kwanza mbaya”

aliongea kana kwamba alikua akimjua?.

Ahaha atakoma bhana.

Nkajifunika pia nikiwa naiwaza taswira

Yake hakika Gery alinivutia. Usiku

aliiteka akili yangu yote. Nilijikuta

nakumbuka namna alivyokua

akitabasamu, akili yangu ikanituma

labda hiyo midomo iliyokua ikitabasamu

ingeenda mbele zaidi na akainama

kunibusu. Aii kwa aibu nilificha macho yangu kwa mikono.

“ Jamani Ami lala pleeaaaaaass” da!

Ilibidi nijiombee kulala. Lakini taswira

Yake haikufutika. Bila Shaka kichwa yangu imeoza. Niliwazaa kumuona anavyotembea na kunikumbatia huku akinitania. .

“ Ami amka unywe chai na chapati”

ayaaa yalikua mawazo yangu bhana, yaani kitanda hakikulalika siku hiyo, mbona niliamka na kukaa tu.

Hatimae weekend iliisha tukaanza

masomo Tena. Nasoma huku nahesabu

siku ni lini zitaenda mbona zinachelewa

hivi jamani. Lengo juma mosi iwahi

kufika ili nikaonane na Gerald nyie nyie.

Mimi nachokitafuta hakika nitakipata.

Badala nitumie akili yangu kusoma na

kupambana nipo kumwaza Gerald tu.

Hatimae bhana hayawi hayawi mwisho

huwa Jumamosi ikafika. Hiyo siku

niliamka mapema Sana na kujiandaa

vizuri, na kujiweka fresh baada ya

kufua nguo zangu Kisha nikaweka

mazingira Safi nikisubiri muda usogee

sogee.

“ Tunaenda ama? Na Leo unaniacha? “

Mira nae sijui kwa nini hakunipa nafasi ya kupata Uhuru nikiwa na Gery wangu nilihisi kulia alikua Gery wangu toka lini hiyo ?

“ Sawa siendi hata hivyo Mimi na safari zangu, nataka tu tuvuke pamoja njia ya Siri Kisha utaenda kuonana na huyo mwenda wazimu wako”

“ Wee kaa kimya usimuite Gery mwenda

wazimu, mi ndo namjua” nilimkanya wakati nilimuona Gerald kwa masaa tu dah?!

“ Sawa bi kipotabo umeeleweka” baada ya mazungumzo ya muda kidogo hatimae

tulikubalina na mwisho tukaongozana

moja kwa moja mpaka kwenye njia yetu ya magendo na hatimae tukafanikiwa

kutoka nje ya fensi. Duh! Yaani sisi!

Baada ya kufika nje mwenzangu

akajipakia kwenye boda mi ndo

nikaongoza njia kuelekea mgahawahani.

Inashangaza niliwazaa labda nikifika

ntalizimika kumsubiri Gerald Ila

mwenzangu kumbe alifika zake mapema

kabla yangu. “ Hi Ami” alinisalimia

Mara baada ya kuniona. Nilitabasamu

Kisha nikamfata huko alipokua amekaa.

“ Gery umewahi kabla yangu”

nilitabasamu.

“ Hakika ilinilazimu kuwahi” aliponambia hivyo alijtengeneza vymea miwani yake’.

Siku hiyo pia alipendeza jamani, alivaa

Shati jeupe la mikono mirefu Ila alikua

ameikunja mikononi, na suruali ya

kijivu, ki ukweli alionekana Kama afisa

mikop. Alibaki kunitazama Mimi ambae

nilivaa vazi la siku Ile sema limefuliwa tu juzi juzi.

“ Tusikae hapa, sio sehemu nzuri kwa

Mimi kuonekana na mwanafunzi”

aliniambia nikapata uoga pia Ni kweli

haileti picha nzuri. Alichukua chapati

zangu mbili maana alihisi nitatumia

baadae nilitabasamu kwani alikua

akinijari. Kisha tukaondoka kuelekea

anakojua yeye.

Nyie nahisi Mimi Ni wazimu, hivi

umewahi kumuamini mtu kwa kumuona

siku moja tu? Ndo yalinikuta Mimi

Sasa, utadhani labda ndo nipo hivyo

lakini Wala. Ni Hali ambayo ilinitokea

ghafla baada ya kukutana na Gerald.

Nilimfata huyu kuelekea anakokwenda

mwenzenu hata sikua na hisia hasi juu

Yake hata kidogo.

Sehemu ya 04

Nilimfata Gerald ambae alisimamisha taxi ya kulipia tukaingia mi na yeye.

Hapo ndo nikakumbuka kumuuliza

tunaenda wapi? “ Gery, tnaelekea

wapi?.usije ikawa unaniteka mwenzako?”

“ Ndo.mpango huo Ami wangu, nakuteka

kimya kimya” alijibu hivyo nikabaki

kutabasamu mwenzenu, eti natekwa?

Ahaha! Hata hivyo Ni sawa tu.

“ We ni teke tu sio kwa ubaya lakini”

nilimwambia akacheka.

“ Umewahi kuona mtekaji anaeteka mtu

kwa uzuri Ami”

“ Nahisi ndo wewe utakua wa kwanza, Ni furaha yangu kukutana na mtekaji

wewe hapo”

“ Mimi je? Ninafuraha zaidi kukutana na mateka mwenye akili za kuku Kama

wewe Ami, hakika umejua

kuichangamsha akili yangu hivi karibuni, kila muda nakuwaza wewe tu”

aliniangalia machoni yaani tukawa

tunatizamana face to face. Mi nilihisi

aibu maana Gery aliongea kwa hisia

kubwa kwa wakati huo.

“ Usinionee aibu, napenda Sana

kutazama macho yako yenye mvuto”

nilijikuta nainama kabisa sitaweza

kusikia kila neno toka kwake.

Nilipojiinamia alipitisha mkono wake

nyuma yangu na kuangushia kiunoni kwa kusudi. Nilishtuka nyie baada ya kuhisi

msisimko. Yaani Ni Kama vile Moto

uliwaka kwenye mwili wangu mapigo ya moyo wangu yakaanza kwenda mbio.

Hivi? Nilikua na mtu wa aina gani

wakati huo? Ni mwanaume eti hakua

mwanamke mwenzangu, mbona

nimejisahau Sana? Niliwazaa hivyo Ila

shetani akanirejea Tena.

‘Gery hawezi fanya chochote’ nilijiwazia

hayo, hakika Mimi Ni wazimu kabisa

Nina uhakika gani wa kuamini kwamba

Very hanifanyi kitu. Ila Sasa daah!!

Anazo chapati zangu. Nilitulia kimya

baada ya kuwaza Hilo.

“ Tumefika” gari ilisimama baada ya Gerald kumwambia dereva hivyo. Na

huo ndo wakati ambao aliondoa mkono

wake kwenye kiuno changu nikapata

ujasiri wa kuinua uso wangu. Aligeuza

macho kuningalia nikashangaa

mwenzangu anatabasamu.

“ Kwa kwa nini unanicheka?” Nilimuuliza

maana Ni kama.kuna kitu kilitokea”

“ Uso wako umekua mwekundu, umetawaliwa na hisia” ayaa kwa nini

Sasa aliniambia hayo maneno sio

angenyamaza tu? Hakika Gerald Ni

mwanaume asie na tabia ya kunyamazia

Jambo nilihisi hivyo. Hatimae

tuliteremka kwenye gari akalipia Kisha

dereva taxi akaondoka zake.

Baada ya taxi kuondoka alinishika

mkono tuvuke barabara nikafatana nae,

nyie wakati huo nilikua na share zangu

za shule. Mbele yetu kulikua na nyumba

ambayo ilizingirwa na fensi alafu

pembeni.kuna nyumba nyingine za aina

Ile, Wala sikua na wakati wa kujiuliza

Sana isipokua tu nilimfata Gerald

anakokwenda. Alisogelea nyumba ya geti moja kubwa akafungua mlango

mdogo yeye akatangulia nikafata nyuma

Yake.

Tulipoingia ndani geti ikajilock. Kisha

nikatupa macho mbele kulikua na

nyumba moja ndogo tu. Akanikaribisha

mwenzenu nikaingia mpaka ndani.

Nilitupa macho mbele na kuona mkate

mkubwa huo kwenye meza ya chakula

blueband, cocoa butter. Asali sema

sikua pale jamani. Gerald aliniomba

nikae sebureni nikakaa nyie nyumba

nzuri Ila sijui Ni ya Nani hata. Ila

ndani kulikua na ukimya. Gerald

aliniacha sebureni nikibung’aa macho

kwa kutalii hiyo Sebure. Daah! Ni

kijana mdogo tu Sasa hapa Ni kwake

ama amepanga? Nikiwa nawaza hayo

Kuna mwanaume akatokea ghafla huku akiongea.

“ Gery mbona umechelewa kurejea wakati leo juma mosi?” Nilishtuka nikagandisha macho yangu mbele

kumwangalia. Uwiii.. alikua mwanaume.

Mrefu’ mweusi mnene kidogo, hakua

hata amevaa Shati na kwenye kifua

chake alichafuka na vinyweleo sijui ndo

wanaitaga garden love. Watajua wao

bhana. Aliponiona akabaki kutabasamu na kuanza kuniita shemu.

“ Ahaha Shem karibu sana, jisikie huru, jisikie umefika” wee nilipagawa

nakujihisi Mimi ndo mama la mama kuitwa shemu. Nilitabasamu na kujibu kwa upole.

“ Ahaha mi sio shemeji yako, mi na Gerald Ni marafiki tu.”

“ Ohoo, sikugundua Hilo, sema Gery

alisema atamleta Shem wangu Ila Cha

ajabu ameamua kua singo tu”

alitabasamu na kuondoka kimya.

“ Labda ataletwa Ila haitakua Mimi”

nilicheka yule bwana akapotelea.

Baadae nikiwa sebureni nilimuona huyo

mwanaume mweusi akiishia getini baada ya Mimi kumchungulia dirishani.

Nikiwa pale Gery akaja na vikombe viwili wakati huo, na vyote vilikua na chai TAMU aiyaaaa, alinifata Kisha

akanipatia kimoja. Na kunipa chapati zangu.

“ Your favorite” aliniambia hivyo lakini daah! Nilimuonea aibu wakati huo maana

kwanza alikua kavaa bukta ya karoti

alafu juu yupo kifua wazi nyie. Maksudi haya alikua nayo Gerald. Nilikua nakula

kwa wasiwasi hakuna kuongea kabisa.

Alisogea karibu yangu na kuchukua

laptop yake’ Kisha akawasha na kuweka movie ya kihindi.

“ Hupendi movie za wahindi?” Aliniuuliza kana kwamba alikua alikua akinitega.

“ Naachaje Sasa kupenda?” Nilimjibu na kuendelea kula chapati Kisha

akaniangalia. Nyie huyu Kaka

anamaksudi Sana. “Naomba nilishe

kidogo”. Aliniambia nikabaki hoi

mwenzenu aibu.

“ Naanzaje kukulisha Sasa? Nilijikataa kimya kimya.

“ Kwa mdomo” duhh. Ilibidi nigeuze

macho yangu ili kumtazama wewe!!

Nilijuta kwani wakati huo sijui

mwenzangu Ni saa ngapi alinishika kiuno

changu kwa nguvu na kuanza kunibusu

mdomo.wangu!. Sikua nafahamu lengo

lake wallahi Tena.

Sehemu ya 05

Nyie nyie, Mimi nilijuta mpaka hapo

nilihisi Kama kichwa changu

kimeelemewa yaani sikua najikumbuka

jamani, kwanza Ile it was my first kiss for sure. Japo na machachari yangu yote niliyonayo Mimi sikua kua na mahusiano. Kwa hiyo haya Mambo

bhana ndo Kama vileee nayaanza.

Gerald alinibusu hapo bila Mimi

kutarajia, kwa muda wote aliokua

akinibusu sikua najikumbuka hata kwani

nilishindwa kumfanya chochote, lakini

hatimae nilikumbuka kabisa sio sahihi

kuhusu kinachoendelea, haraka Sana

nilimsukuma kwa nguvu akawa kaniachia.

“ Samahani samahani Ami, sijui niseme nini? Ila kiufupi we unanivutia Sana, sio tu macho yako, nikikaa karibu yako,

kweli Tena nahisi kupagawa natamani nifanye chochote kwako”. Shenzi

kabisa’ huyu aliongea bila kutumia akili

hata kidogo kwamba mi sijui alikua na

tabia za kihuni nilijikuta nakosa cha

kusema nikabaki tu nimeshika midomo

yangu. Na sura yangu ikabadilika

kabisaa kuashiria kwamba sijapendaa

alichokifanya. Ila moyoni nilikua na

msisimko usio jidhihirisha, actually

nilifaa kulia lakini Ni Kama vile moyo

wangu ulikua ukishangiria juu ya

kilichotokea. It was an amazing feelings, kwani ilikuaje Hadi akanibusu nilitamani afanye hivyo Tena.

“ Sorry, Ami naomba unywe chai yako”

aliniambia hivyo Kisha aka consecrate na movie ilikua kwenye laptop. Alikua karibu yangu Sana kiasi kwamba

nilishindwa hata kutumia chapati zangu vizuri.

“ Ami “ aliniita

“ Abee” niliitika kwa upole na kwa aibu

Sana.

“ Please naomba ule, sitaki niwe

kikwazo kwenye hisia zako’ kwa hivi

sasa” nyie mkisikia mtu ana sauti

TAMU ndo huyu Kaka, alikua akitumia sauti flani hivi kana kwamba aliongea na mtoto wake. Hatimae nilijikuta namjibu

kijasiri ili asihofu kuhusu Mimi.

“ Usijari Gery, ki ufupi sio kosa, kua na hisia na mtu hakuna anae chagua”

nilimpa jibu kana kwamba nilikua na mtu

wa maana daah! Ningejua Mimi hata

nisingemwambia hayo maneno.

“Kweli?” Aliniuuliza akiwa kanitazama, kwa muda huu nilimuibia macho kidogo

sikutaka tuangaliane muda mrefu’, hatimae niliitikia kwa kichwa. Akawa

ametulia.

Muda kidogo ukasonga nikawa

nimemaliza kunywa chai yangu na yeye

kamaliza yake’, niliinuka na kumuacha

nikapeleka vyombo vichache tulivyotumia

jikoni. Nilipofika jikoni nikaona Karo ya

kuoshea vyombo nikaanza kuosha.

Karibu na karo kulikua na kioo ghafla

nikajiona kwenye kioo wee si nikaona

lips zangu. ‘aiii Mungu wangu alinibusu’

niliwazaa Hilo haraka Sana nikaziba

macho yangu na mikono siamini Hilo, yaani hiyo busu haikua ikinipa hata

sekunde tano za kupumua. Lazima

niikumbuke. Nikiwazaa hayo nilishtuka

kiuno changu kinasongwa na mikono ya

mtu mzima.

‘ mamaaa’ kumbuka Gery hakua amevaa nguo tofauti na Bukta. Nyie huo mwili

wake tu ulinipa usumbufu nilishindwa kumuelewa kwa nini yupo haraka Sana.

“ Gery unafanya nini?” Nilimjibu bila kusubiri.

“ Ami kiukweli mi nakupenda Sana”

neno nakupenda lilikua neno TAMU Sana

ambalo, nilitamani kusikia toka kwake

lakini sio haraka hivyo, nilitamani

nisikie Hilo neno hata baadae lakini

nimesikia wakati huo huo, ndo kwanza siku mbili tu.

“ Ami najua unaweza ukaniona mi muhuni au kicheche sitajari Ni vipi

utaniona Ila huo ndo ukweli uliopo, I fall for you” nilikaa kimya wakati huo

moyo wangu unadunda Sana hauwezi

hata kutulia yaani Gerald nyau huyu

alijua kuniweza. Kikubwa alichofanya

huyu mpuuzi alinigeuza taratiibu upande wake akaushika uso wangu mdogo usio

na hatia akabaki kunitazama nami

nikawa namwangalia. Kweli Gerald alikua na macho ya ushawishi kiasi kwamba

nilikua siwezi kumwangalia hata kwa

dakika moja. Sekunde Saba zilitosha

kumtazama huyo jamaa.

“ Please, nahitaji nafasi katika moyo wako, najua unasoma sitamani

kukuharibia Maisha yako Wala masomo

yako lakini moyo wangu umeshindwa

kudhibiti hisia zinazonijia bila kusubiri

tafadhari. Naomba usinikatae” ki ufupi

sikua na jibu la kumpatia lakini

alichoweza kufanya mjinga huyu Ni

kunibusu Mimi kwa Mara nyingine, hapo

mwanzo nilikua Kama namzuia zuia lakini

baadae daah! Nilitulia mwenyewe ogopa

Sana first love feelings, inatia kiwingu.

Sikua najiweza kwa lolote.

Kwa busu iliyochukua muda mrefu’ Kati

yetu ilimfanya Gerald asafiri kutoa

hatua moja ya mwili wangu kwenda

hatua nyingine, katika sekunde za

kufumba na kufumbua nilijikuta Sina

nguo Ami Mimi, nyie nilikua naogopa

nilikua na aibu nilikua natetemeka vyote

kwa pamoja. Sikua na utulivu maana Ni

Kama sijui nilikua naenda kutenda

dhambi gani nisiyoijua?

Gerald aliweza kunibeba nikiwa nimebaki

kwenye taiti tu, na Pichu ndani Yake.

Ki ufupi sikua kwenye fahamu zangu.

Hatimae tulifika kwenye mlango wa

chumba ambao aliufungua bila kusubiri

akanishusha na kuanza kunbusu upya

mtoto wa kike Mimi, siku hiyo naanzaje

kuisahau. Maisha yangu yaligeuka

ghafla kutoka kwenye utoto na kujiunga

na watu wazima kwenye ulimwengu wa mapenzi.

Sehemu ya 06

Baadae Sana nilijikuta nalia tu mwenyewe, nilijilaumu kwa kufanya

maamuzi bila kufikiria, yaani ilikua kana

kwamba akili yangu ilishikiliwa. Hivi

mimi ni wa kufanya mapenzi na mtu ambae sikua na mfahamu vyema.

Nilikua nimetulia zangu kitandani hapo

huku nalia. Gerald alikua pembeni yangu

akinibembeleza kwa maneno mazuri kua

nisijari.

“ Tafadhari Ami, najua nimekukosea

sikufaa kua na haraka hivi lakini

unanivutia Sana, na kingine mi sikujua

Kama wewe ni bikra, ningejuaje Sasa?”

“ Gerald sitaki uniongeleshe chochote, kwako Mimi naonekana Malaya ndo

maana umenifanyia hivi, sio makosa

yako lakini Mimi ni mjinga” nililia hapo

Gerald akahuzunika kidogo.

“ Hapana Ami, we sio mjinga, ki ufupi

Ni makosa yangu, sikufaa kufanya hivyo

kwako nilifaa kua mtulivu, angalau

ungenipa muda “

“ Nyamaza Gerald kwa hiki

ulichonifanyia, hakika naaoa

sitakusamehe, sitakusamehe mbwa

wewe” nilimsukuma hapo nikainuka na

shuka kwani sikua na nguo mle chumbani

hatimae nikaingia bafuni huku nalia,

haraka Sana nikaoga huku. Nawaza

Mambo mengi Sana.

‘ hivi ntamwambia nini mama yangu

Mimi?mama wa watu anahangaika

kuwahamasisha watoto wake wa kiume

waweze kunisomesha nihitimu vyema mi nimekuja kufanya ujinga, kwa kweli

sikufaa kufanya hivi, huu Ni usaliti

mkubwa Sana nimemfanyia mama yangu, sikufaa kumfanyia hivi jamani’ nililia

hapo mpaka macho ya kavimba. Baadae

hatimae nilisikia sauti ya Gerald akiwa

mlangoni ananigongea.

“ Ami please open the door Sina amani mwenzako” shenzi kabisa’ kwa nini

akose amani wakati tayari

kashanichukulia usichana wangu.

Sikumjibu kitu zaidi ya kuinuka na

kufungua mlango nikiwa na taulo,

nilimpita na kuelekea jikoni kuchukua

nguo zangu. Lakini wakati huo nilikua

naumia japo sio Sana kwani Gerald

hakutumia fosi kunitoa usichana wangu

alifanya taratiibu na Asante Mungu

sikua na maumivu makali. Japo

yalikuwepo kiasi chake. Nilivaa nguo

zangu na kutaka kuondoka Gerald akanizuia.

“ Hapana Ami, sitaki uondoke hivi”

alinizuia nikashindwa Cha kumfanya,

sijui nimmeze, ki ufupi nilimchukia ghafla yaani.

“ Gerald niachie” nilitoka hapo

akaniachia akiwa na macho ya huzuni

Kama mtoto alienyimwa pipi.

“ Hivi unajiona Nani labda? Unaweza

kusimamisha dunia nzima mikononi

mwako. Tena ikibidi usinizoee”

nilimwambia hivyo nikafungua na mlango.

Wakati huo tayari Ni saa Saba

inaelekea saa nane kabisa. Duhh Mimi

lakini?.

Hatimae nilifika nje na kuanza

kutembea taratibu nikielekea nishuleni

ghafla mkono wangu ukashikiliwa, daah!

Katika hii dunia Kuna watu ving’ang’anizi

nyie wa kwanza alikua Gerald

“ Ami huwezi kwenda hivi, angalia na Hali yako, ona unavyohangaika

kutembea mpaka ufike shuleni kwenu

kila mtu ataelewa wewe umetoka

kutolewa usichana wako, yaani itakua

aibu Tena Kuna uwezekano damu

ikaanza kutoka Tena” aliponambia hivyo

nilihisi kupagawa hivi hayo Ni ya kweli.

Nilitulia tuli, kwani pale kitandani

mbona hakukua na damu kama watu

wanavyosemaga Sasa yeye damu kaiona wapi?

“ Hiyo damu we una undugu nayo, hebu achana na Mimi, watu huwa wanasema

kua bikra ikitolewa basi mtu hutoa

damu nyingi mbona mi sikuona, itaanza vipi kuchuruzika wakati haijatoka”

.” Ami usijifanye mjuaji Sana, mi

mwenyewe Dr hapa najua nachokueleza, ambao husema wanatokwa damu nyingi

Ni kwa sababu huwa wanafanya mapenzi

kabla ya umri wao kuruhusu, au

wanaume wao hutumia nguvu kubwa

Sana wakati wa tendo lakini Mimi

sikufanya Hilo, sikutaka nikuumize ndo

sababu hukuona damu, la sivyo

ningejuaje Kama wewe ni bikra iwapo

nisingeona utandu wa damu kwenye

‘naniliu’ yangu, licha ya utandu tu,

nimekugundua mara punde nilipoanza

kuingiza naniliu yangu kwako kwa hiyo

kua muelewa. “ Niliusukuma mkono wake

Ila akanifata na kunishika kwa nguvu

Kisha akasimamisha taxi na hapo ndo

tuliweza kuingia ndani ya taxi kwa

lazima.

Bahati mbaya Sana taxi alietuleta ndo

taxi tuliepatana nae Mara ya pili.

“ Jomba tumekutana Tena, kwa kweli

riziki yangu ya Leo iliandikwa mikononi

mwako”

“ Yawezekana mzee baba” Gerald

alijibu hapo nikiwa nimenuna mwenzenu

sitaki hata kuongeleshana na mtu.

Hatimae tuliwasili sehemu ambayo

tulipanda tax mwanzo. Nikateremka na

kutembea kuelekea kwenye mlango wa

Siri bila hata kumuaga huyo nyau huyo.

Sikugeuka hata nyuma kumwangalia.

Niliweza kuingia shuleni kimya kimya

Kisha nikaelekea bwenini, nilikuta

wanafunzi wenzangu wapo wanakula,

kwa Hali niliyokua nayo sikutamani hata

kuutazama huo ugari mgumu wa dona na

maharage ya bila kuungwa. Nilimpita

moja kwa moja mpaka bwenini.

Nikajitupia kitandani, bahati nzuri nilikuta Mira karejea.

“ We Leo vipi? Mbona hoi?” Alinihoji nimakosa Cha kusema.

“ Em sogea huko kwanza nikupe ubuyu”

“ Aiiii” nilipiga kelel za maumivu maana alinisukuma ghafla alafu Sasa

nikajitonyesha, daah siku hiyo nilipata

kidonda Cha ghafla yaani bila kutarajia.

Kwa hiyo maumivu niliyokua nayo sio ya nchi hii. Mira aliniangalia kwa jicho

Fulani hivi la ‘ Hadi wewe?’.

Sehemu ya 07

“ Wewe! Ami! Ume umefanya?” Alinihoji

kana kwamba yalikua maajabu mapya ya

dunia, Ila ki ufupi ilikua Ni aibu kubwa

Sana iwapo nitamjibu kua ndio nilifanya

hivi nawezaje kumjibu kua nilifanya?

Naona aibu Sana Mimi.

“ Ami nieleze ukweli huna rafiki

mwingine hapa shuleni mi ndo ndugu

yako wa pekee na anaeweza kukusaidia”

aliniambia nikamkanusha haraka.

“ Hamna sikufanya unavyowaza sema

ilibaki kidogo tu yanitokee ya

kunitokea” nilimwambia akanikumbatia

haraka ki ukweli alipata hisia

mchanganyiko juu yangu, ki ufupi Mira

alihisi kabisa kunionea huruma ila angefanya nini Sasa.

“ Ami umekula?”

“ Miracle mwenzio sili maugali yenu, nimechafukwa”

“ Sawa hata Mimi siwezi kula ugali ilhali nilitoka nje ya shule leo.” Alifungua tranka moja ambalo tulishaligeuza

tranka la maakuli pamoja na vipodozi

yakiwemo mafuta ya kupakaa na sabuni za kuogea na kufulia. Alitoa mifuko

miwili iliyotuna. Wee harufu tamu nayo ipenda kupita kiasi ikasikika.

“ Mira hakia Mungu Tena nasikia njaa”

nilimwambia.

aliponambia hivyo nilijikuta natamani

kulia yaani mwenzake nililiwa siku hiyo

Tena kwa chapati za Mia nne na chai

ya Mia tu. Mi Sina aibu jamani.

“ Usipoteze sura yako nzuri kwa kuwaza

mabaya em kula kwanza “ nilitabasamu na kuanza kula hapo chips na kuku

alivyonipatia pamoja na peps big yangu

hapo, sijui niseme nini, Kuna watu

wanajua kuwapendelea wapenzi wao

nyie. ‘Lakini li Gerald limeweza tu

kunifanya na halijanipa hata Mia mbwa

yule.’ Nilimtukana Gerald kimoyomoyo.

Nikaendelea kula.

“ Shenzi kabisa’, najua Sana umekula vinono huko alafu hujaniletea”

“ Mira ki ufupi Ni kwamba wewe ni rafiki mkubwa tu na Mimi hapa siwezi

kukuficha Jambo, yaani ukweli Ni hivi, tumalize kula nikupe hadithi juu ya

yaliyojiri huko nakwambia sio mchezo”

nilidumkiza nyama ya kuku nakuitafuna

haraka huku nashushia peps taratiibu.

“ Ok natumai Ni salama” tulikula hapo

wenyewe, vilikua vingi Sana kiasi

kwamba tulishindwa kumaliza tukatunza

kwanza vilivyobaki tutakula na usiku, siku hiyo ilikua siku njema kwenye

upande wa misosi hatimae tulijitupia

kitandani nilimuomba Mira aje karibu

yangu sikutaka visokorokwinyo wasikie

hata kwa bahati mbaya juu ya

kilichonikuta.

“ Haya nambie ndugu yangu kipi

kimekutokea huko?”

“ Mira mwenzako sio bikra Tena”

nilianza kulia na kumhadithia kila kitu,

Mira akabaki kunionea huruma huku

akiiambia nisikhofu Ni bikra tu Kama

sikua nampenda Gerald Ni pole yangu

Ila Kama nilikua nampenda Basi nafaa

kujipongeza kwani sio kila mwanamke

hupata bahati ya kutolewa usichana na mtu anae mpenda.

“ Acha kuongea ujinga yule sio mume

wangu”

“ Vipi Kama akiwa hapo baadae, hata hivyo unaonekana kumuelewa Sana, hata

usimkasirikie juu Yake, kikubwa kwa

Sasa ni.kuangalia afya yako kabisa na kujitunza, kwanza huyo Gerald

anafanya kazi gani?”

“ Mi sijui” nilijibu hivyo Mira

akaniangalia wakati huo huo

nikakumbuka alisema yeye ni daktari, daah ningeonekana mjinga kupita kiasi.

“ Ni daktari mwaya” Mira alitabasamu angalau nimekutana na mtu anae jielewa kwani tayari alikua amesha Anza

majukumu yake ya kikazi.

Siku zilisogea bhana tukiwa shuleni

weekend iliyofata sikuweza kutoka nje

ya shule kabisa eti nikaonane na Gerald. Ki ufupi sikua tayari yanikute

Kama yaliyonikuta Mimi. Kwa Mara

nyingine.

Wiki nyingine Tena siku ya Jumamosi

ikafika Mira akanuliza iwapo natoka

nikamkatalia, yeye akatoka mwenzangu

mi sikuthubutu. Jumapili ya kesho Yake

tukiwa darsani mi na Mira

tunajisomea..nilitwa na matroni.

Nilishtuka kwani nilifanya nini? Mira

hakuweza kujizuia kunifata nyuma kwani

alipata mashaka dhidi yangu.

Tuliongozana Hadi kwenye ofisi ya

matroni tukiwa pamoja.

“ Ona Hawa nimeita mtu mmoja

wamekuja wawili, haya sawa Amina leo

kuna mgeni wako amekuja kukuona”

matron aliniambia nikabaki kumshangaa

‘mgeni? Ilisikika ki ajabu haikua hata

visiting day siku hiyo, licha ya visiting day sikuwahi kutembelewa na mtu

yeyote Mimi kwani ndugu zangu wapo

mbali Sana.

“ Mbona umeduwaa? Hutaki kuonana

nae?” Matron alinihoji.

“ Hapana bila Shaka ntaonana nae”

nilimjibu na hapo nikaongozana na Mira

kwenda kuonana na huyo mgeni aliekuja

kunitembelea.

.” Mmhh shost atakua Nani Tena

huyo?” Mira alinihoji nikabaki kimya

kwani hata Mimi hapa sikua najua

chochote. Ila ikabidi tufatane mpaka

kwenye jukwaa dogo la makutano.

“ Mambo Ami” aiiihh sauti hii Ni sauti

ambayo yaani ki ufupi niliifahamu.vyema

Sana japo sikua nimeishi.nayo kwa muda

mrefu Ila ndo hivyo tayari niliifahamu.

‘” Gerald umekuja kufanya nini hapa?”

Nilihoji akabaki kunichekea wakati huo

miracle ndo akaelewa kua huyo ndo

Gerald ki.ufupi alianza mkagua jinsi

alivyo na hatua alizokua akipiga

kutufata eneo tulilopo.

Sehemu ya 08

“ Mambo” hakuweza kunijibu kwanza alisalimiana na Mira ambae alitabasamu baada ya kumkagua vya kutosha.

“ Poa vipi?”

“ Safi tu, hamjambo hapa shule?”

Alituhoji kwa pamoja Ila aliejibu alikua Mira pekee Yake.

“ Hatujambo we ndo Gerald?” Mira alimpa mkono na hapo Gerald akaitikia salamu yake nikiwa nawaangalia tu.

“ Ndio Ami alikwambia?”

“ Ndio Mimi ni rafiki yake’ wa karibu, kwa hiyo atanieleza kila kizuri na kibaya dhidi Yake Mimi hufanya hivyo pia”

“ Waoo mna bond nzuri Sana, mpaka

nawaonea wivu” alitania hapo mi namzoom tu mpuuzi huyo sijui kaletwa nini hapo? Aahh Ni miguu Ila sababu

kuu ya yeye kuja kuniona sikua naijua.

“ Ami mbona huitikii salamu yangu?”

Alinihoji hapo kwa huzuni.

“ Kwa nini niitikie kwani Kuna ulazima?

Alafu kwa nini umemdanganya Matron

kua wewe ni mgeni wangu? Kwani we ndugu yangu?”

“ Ami tuliza mdomo utajaza watu, alafu kingine matron hajui Kama huyu Ni

mpenzi wako fikiria watu wakitambua

Hilo taarifa zikazagaa si utakua

umejidharirisha mwenyewe.” Nilikaa

kimya baada ya Mira kuniambia hivyo.

Gerald alisogea na kuushika mkono

wangu Kisha akanikalisha kwenye

benchi. “ Mpenzi nisamehe lakini ki

ufupi nimekumiss Sana, siwezi kutulia

bila maelewano na wewe, nakuahidi

kabisa sirudii kufanya nilichokufanyia sawa.”

“ Sawa nimekuelewa unaweza ukaenda”

sikutaka kukaa nae muda mrefu’ hata

hivyo.

“ Nawezaje kwenda Sasa. Unajua

nakupenda so ndio. Ndo maana nimekuja

tuongee mwenzako Mimi, wiki ijayo siku ya Alhamisi naondoka zangu.

Nimemaliza field yangu” aliponambia

hivyo ndo nikaelewa kumbe alikua bado anasoma.

“ Kwa hiyo nifanye nini?” Nilimjibu short and clear sikutaka kuongea Sana.

“ Ok, najua hutamani hata kunisikia

Wala kuniona, Ila sitamani kuondoka

bila kua na mawasiliano na wewe, tafadhari iwapo utapata nafasi naomba

unitafute please” alinikabidhi karatasi ya namba iliyokua juu ya bahasha

nikabaki kushika tu Kisha akainuka.

Ki ufupi nilijifanya mkavu Ila moyoni nilipata simanzi inamaana alikua

akiondoka, amirejea masomoni, alafu na Mimi nabaki bila kumuona kabisa niliwaza kidogo.

.” Nakuomba usiache nitafuta, nitaisubiri simu yako milele, nakuomba

Sana, usiache kunitafuta” alinisisitiza

kana kwamba angekufa iwapo asingetafuwa na Mimi.

“ Gerald” nilimuita kwa uzuri akasimama nami nikamfata. Nilipomfikia akabaki

amenitazma tu.

“ Unaenda masomoni sehemu gani? Na itachukua muda gani?” Nilihoji hapo

akaelewa kabisa hata Mimi nawaza juu

Yake.

“ Aahh, nasomea muhimbili, Ila nipo mwaka wa mwisho” aliniambia hivyo nikabaki mwenye huzuni kidogo.

“ Uwe na masomo mema sawa Ami, usome kabisa usiwahi kupata Gery

mwingine tena zaidi yangu sawa”

aliongea kwa umakini huku

nikibembelezwa daa!! Gery nyie

niachieni tu. Aliondoka nikabaki mwenye

huzuni hapo mwenyewe. Mira alikuja

akasimama kando yangu na kuichukua

Ile bahasha ambayo ilitangulia na karatasi la namba za simu yake.

Akafungua ndani kuangalia wee, alikutana na cheque ya hela.

“ Uuuuuuwwe Ami” alipiga kelele

akanishtua kutoka kwenye msongo wa

mawazo jamani niliogopa kelele zake?.

“ Pesa zote hizi, Ni za kweli ama?”

Ndo nami nikatupa jicho nakutana na

hiyo cheque, ohh my God laki tano yote

hiyo, na Mimi mwanafunzi ya nini ?

Macho yalinitoka ya pesa tamaa

ikaniangaza. Kwani tulikua karibu

kufunga shule. Niliwaza kufanya Mambo

mengi wakati huo huo..

“ Gerald Ni daktari wa Figo au moyo, pesa zote hizo akuachie” Mira aliongea

kana kwamba hakuwahi kuona pesa

inaitwa laki tano. Nilimtazama kwanza

Kisha nikamjibu. ..

“ Hajawa daktari kabisa bado. Alikua field tu” hapo ndo miracle akapagawa

Sasa Kama Ni field tu na tayari

nimepewa laki tano vipi kuhusu

akiajiriwa kabisa.

“ Ami ntakua mgeni wako kila Mara

pindi Gerald akikuoa” Mira shenzi

kabisa alinikumbatia kwa furaha

nikabaki kucheka kajuaje kama atanioa?

Siku zilisogea wakati huo hakuna Gerald

Wala nani zaidi yangu Mimi na Mira.

Tulikazana Sana kujisomea na kufanya

mazoezi kwa wingi. Siku zilikata

hatimae wiki, hatimae miezi tukafanya

mitihani yetu. Na Kisha tukafunga

shule.

Kwa likizo hiyo sikutaka kwenda

nyumbani kwani nilibakisha muhura

mmoja tu nimalize masomo yangu.

Tulitafuta chumba tukapanga mim na

miracle tukaanza Maisha mapya. Pesa

ilikuwepo jamani. Alafu tukanunua simu moja ambayo tuliitumia pamoja.

Niliweka namba za Gerald hiyo siku kwa kusita sita nikawa natamani kumpigia

Ila moyo unasita. “ Mpigie bhana mbona hivyo” Mira akinipa moyo Ila moyo.wangu ukawa unadunda.

“ Mira mi naogopa, dunia mwisho, hivi umewahi kuongea na mtu unaempenda kwa Mara ya kwanza kwenye simu”

“ Acha hizo Basi mpigie” Mira alishika simu na kupiga namba ambayo tayari

iliseviwa My Gery. Simu iliita haikuchukua muda ikapokelewa.

“ Hallo, Gerald yupo anaoga” weee moyo wangu ulisimama ghafla sauti

iliyotumika Kutamka neno anaoga, ilikua sauti ya kike, nilihisi kupagawa inamaana Gerald alikua na mwanamke mwingine wakati huo?.

Sehemu ya 09

Tulipigwa na butwaa kwa pamoja, yaani

Mimi na Mira tulijikuta tukiangaliana bila kumaliza yaani. Alikua mwanamke?

“ Uu wewe ni.

Nilimkatisha baada ya kumnyakua simu na kuikata. Sikutaka kuuliza mengi juu ya hiyo simu, ki ufupi Gerald Ni

kicheche hawezi kua kawaida huyo hata iweje.

“ Umefanya nini Sasa Ami? Tulifaa

kumjua kwa nini yeye mwanamke ndo

kapokea simu ya Gerald na Gerald ni mtu wako”

“ Aah! Em Mira achana nae, una hakika

gani Kama Gery Ni mtu wangu, mtu

mwenyewe huyo tulikutana tu bahati

mbaya sidhani Kama

chochote”

nalazimika kumhoji

.” Ami acha ujinga hili Ni penzi lako la kwanza pambania na ujivunie”

“ Nahisi kujuta kukubali kumvulia nguo

mwanaume Mimi katika Maisha yangu

sipo tayari kugombania mwanaume hata

siku moja, hata Kama nimepoteza

usichana wangu, bado sijapoteza utu

wangu acha nijifunze”

“ Ami wewe” Mira alinionea huruma ki

ufupi nilipata machungu kwani moyo

wangu ulisongwa na huzuni kubwa Sana

nikajikuta nalia, ki ukweli Tena tayari

nilimpenda Gerald nilimpenda Sana. Kwa

muda mfupi tu lakini napiga simu yake

usiku anapokea mwanamke tena

anaongea bila khofu kua Gerald yupo

bafuni. Nililia Sana mwenzenu.

“ Gerald kwa nini alinifanya nimpende, sikutarajia kuumizwa hivi, alisema mwenyewe nimpigie, alisema ataisubiri simu yangu milele lakini kaishia kuniliza

Mira nifanye nini Sasa”

Mira hakua na njia ya kunibembeleza

zaidi ya kuanza kulia na yeye tulikua

kana kwamba tulikua na msiba, kwa nini

Gerald katufanya tulie sisi wawili

hakika Mira alivunjika moyo kwani

tayari alikua kamuamini.

“ Sikujua Kama Gerald atakufanyia hivi

Ami, ametufanya sisi watoto wadogo

Sana, aaaaaaaaa” nyie hiyo siku siwezi kuisahau yaani Mimi na rafiki yangu

tulikua Kama machizi.

“ Kama ungejua hili mapema usingekubali kumpa bikra yako kwa chai ya Mia na chapati za Mia nne, ungehakikisha unaondoka na sikio lake” badala ya kulia tulijikuta tukicheka pia

japo inauma Sana.

“ Mira inaniuma Bora hata ningemtia

meno ingependeza zaidi, kinachosikitisha sikumuacha hata na

kovu mwenzako nimefeli Mimi, miraaaaa” nilizidisha kilio.

“ Amiiiii tumepoteza shilingi sisi, huenda sisi Ni wajinga kabisaaa” daah

Angepita mtu karibu bila Shaka

Angekufa kwa kicheko maana sio kwa kilio hicho tulichokua nacho wenzenu.

Siku hiyo ikapita bhana maana haikua

vyema kabisa. Wazo la kuipiga tena

namba ya Gerald likanijia asubuhi, wee

haraka Sana nilimlaani shetani, lisitokee Jambo Kama Hilo kwangu.

Tulifanya shughuri zetu za hapa na pale

Mira baadae akaniaga anaenda sokoni

kufanya manunuzi nami nikabaki

nyumbani, hiyo siku nilijisikia kuchora

nikawa nachora Ile nachora nikajikuta

nachora lips, ghafla nikakumbuka kiss

ya Gery, kwa nini Gery aitawale akili

yangu Mimi jamani? Hivi ana haki gani

kwenye Maisha yangu? Aaahh!

Nilikasirika.

Mara simu ikaita iliyokua pembeni. “ My Gery” nikasahau Kama nilikua na hasira

haraka sana na Gerald nikapoke na

kuongea kwa shahuku. “ Hallo” baada

ya kusikia sauti yake ndo nikakumbuka

kua usiku wa Jana alipokea mwanamke

simu Yake. Nikapoteza furaha nikajuta

kwa nini nilipokea simu yake wakati huo.

“ Wao Ami, kumbe Ni wewe kipenzi changu” alipoongea hivyo nilijikuta natoa msonyo mrefuuu usiostahili kabisa katika jamii.

“ Ami kwani nimefanya nini?”

“ Anyi nyinyi nyinyenyanya nyinyi.. nyoko wewe? Umefanya nini kwani

hujui? Jana usiku nakupigia simu

anapokea mwanamke wako, si ungesema tu kua una mwanamke wako nisikusmbue”

“ Ami yule sio mwanamke wangu, yaani ungejua kua unanitukana kwa ajiri ya

Nani hakika ungepiga magoti kuniomba

msamaha”

“ Gerald nadhani ushaniokota katika

watu wa kuokotwa sindio, hata Kama

Sina akili angalau nione kwa Ile kidogo

tu niliyojaaliwa na Mungu, hivi wewe

hapo kweli kabisa wa kuniongopea Mimi, usiku wa saa nne, Maji yanasikika

yakitiririka bafuni, alafu mwanamke

anapokea simu yako, Kuna haja ya

kuuliza kua wewe ni Nani yake Gerald “

“ Amina ulifaa kuuliza kabla, yule Mimi

Ni dada yangu huo ndo ukweli”

alipoongea hivyo sikutaka hata

kumsikiliza zaidi kikubwa nilichofanya

Mimi Ni kukata simu Yake kabisa.

Nilikaa kwa kutulia ghafla simu ikaita kwa Mara ya pili nikaimute, sikutaka

kusikia mikelele hata kidogo. Akapiga

Tena duuh! Sikua na njia nyingine zaidi ya kuipokea ikiwezekana nimtukane kabisa.

“ Ami najua huwezi nielewa Ila huo ndo

ukweli, naomba usikate simu nataka

kukwambia Jambo” niliguna ghafla na hapo ndo akaanza kuongea.

“ Ki ukweli Ami, Mimi Ni kijana ambae

huwezi nifikiria kwa mazuri kulingana na Hali niliyotengeneza kwako Ila ki

ukweli.kabisa elewa moja kwa moja

Mimi Ni wakwako na naempenda Ni

wewe tu, nimeangukia kwako”

Sehemu ya 10

“ Gerald nimechoshwa na mashairi yako ya uwongo, ulinikuta mtoto wa watu

Sina tabia za kihuni Ila tayari

umenifungulia UKURASA acha niiishi

Maisha yangu nayo ona Ni sawa”

nilimwambia akanifokea kana kwamba

amenioa.

“ Ami ole wako nikukute na mtu yeyote

Yule utanitambua, hivi una akili timamu

wewe? Unajisahau Sana, yaani

unajisahau kabisa Kama bado wewe ni

mwanafunzi. Hapo ulipo kaa ukijua wewe ni wa Gerald. “

Hee! Ananifokea? Ahaa! Bila Shaka ana wazimu, kwani mi sijui kua Ni

mwanafunzi? “ Baba unikome, hunijui

sikujui tumekutana bahati mbaya tu, kwa chai yako ya Mia tano usifanye

Kama wewe ndo mmiliki wangu, endelea na Maisha yako. Mi ligi ya mapenzi

siiwezi alafu kwanza___”

“ Ami usifanye nipande gari kuja huko

Sasa hivi unadhani sijui unapokaa, jichanganywa uwe na mtu yeyote utajua

Kama Gerald aliwahi kula Dona au la”

“ Ahaha! Unanitisha unadhani

nakuogopa, sikuogopi kwa lolote, na

usifatilie Maisha yangu, hata Kama

uweke walinzi kumi kunifatilia bado

ntabaki kufanya nachoamua kwani

muamuzi wa mwisho wa Maisha yangu Ni

Mimi mwenyewe umenielewa”

“ Ilikua hivyo zamani kabla hujakutana na Mimi, usifanye nivuruge mustakabari

mzima wa Maisha yako Amina, nimekupenda wewe imetosha nimechoka

kubembeleza Sasa hivi ntakuendesha vile unavyotaka nifanye”

“ Gerald we ni mshenzi mi bado binti

wa form six lakini ulisex na Mimi kwa

njama zako’ za kilagahai nakuchukia

kushinda dunia nzima” nilimwambia kwa

hasira nyie kwa namna tulitupiana maneno kwenye simu laiti Kama

tungekua karibu karibu hakika Kuna

mmoja angebaki bila jicho.

“ Nichukie usinichukie hiyo Ni juu yako

Ami, nitahakikisha unanipenda kuliko hata uhai wako labda Mimi sio Gerald.

Mwana wa Tantalila” aii shenzi huyu.

“ Nakuchukia, nakuchukia, nakuchukia na usipige Tena simu, nakulaani kabisa nisiwahi kutana na wewe Maisha yangu yote na leo hii lazima nipate mtu mpya”

“ Keleleee”” miracle alifika hata sikua najua.

“ Ami usinivuruge najua ni utoto tu bado unakusumbua Ila tambua wewe ni wa kwangu na Gerald anakupenda” alikata simu baada ya kusema hivyo, nilijikuta nakaa ghafla. “ Uuufff”

nilishusha pumzi ndefu haikua kazi rahisi kudeal na huyu mpuuzi Gery.

“ Daahh natokea kule, sijakaribia hata mlangoni nasikia sauti yako nikahisi mwenzangu kavamiwa kumbe upo kupigizana kelele na mpenzi wako”

“ Wewe acha hivi unajua Gerald Ni mshenzi, actually namchukia eti tayari

anajua tunakaa wapi? Aliemtuma anifatilie Ni Nani?”

“ Kwa kweli Gerald Kama anapajua hapa

bila shaka anakupenda Sana hataki

kuona ukiteseka kabisa.”

“ Mira una akili timamu, yaani Mimi

nifatiliwe eti hairuhusiwi

Mimi.kutongozwa, eti nusijichanganye akanikuta na mtu, aha! Kichaa’ kabisa

yeye ana mtu wake ana Maisha Yake

alafu niwe single daima anikome”

“ Najua unampenda, na huyo mtu

mwingine Nani wakati tangu nikujue mtu

pekee uliempaparikia Ni yeye tu, labda

dunia ipinduke ardhi ya juu’ iwe chini na ya chini iwe juu “

“ Mira achana na laana za Gery nahisi

njaa umenunua nini?” Nilivamia kapu

aliloleta kutoka sokoni nikaanza kukagua

yaliyomo sikuchelewa kuanza kupika

haraka Sana. Nikiwa jikoni najipikilisha

nilijikuta nacheka ghafla kwa

kuyakumbuka maneno ya Gerald ‘ahaha

we, eti mi Ni wake bila Shaka

anawazimu’ ahahaah’ nilicheka kwa sauti

kubwa Mira aliekua akichat aligeuka

kuniangalia.

“ Ami una wazimu hivi karibuni” alihisi

kuvurugwa na tabia zangu mpya.

“ Mwenzangu, najikuta nacheka kila

nikimkumbuka Gerald eti mi Ni wake, nisijichanganye nikawa na mtu mwingine

hakika yule Ni kichaa’ Tena sio kidogo.”

“ Khaaa hata wewe ni kichaa’”

aliendelea kuongea na simu mi nikabinua

midomo na kuendelea kupika hatimae

nilitenga mezani ugali na samaki mtamu

aina ya sato.toka mwanza. Tulikula kwa

kushangiria huku tukipiga story tulijadili

Mambo mengi Sana kuhusu graduation

yetu itakavyo kua. Yaani hata hivyo

bado muda mchache tu tumalize alafu

tulikua likizo ya mwisho kabisa wewe

Mambo yatakua fire.

“ Sijui tutavaa sare gani? Natamani

kila mtu aende na nguo zake Mambo ya

kufanana fanana Kama maparachichi

kwa kweli hainogi” Mira Ni wazimu Sasa

tusipovaa sare wanafunzi watakua kina

Nani na wageni waalikwa watakua kina

Nani?

“ Huna akili” nilimwambia

“ We ndo huna akili, ushaambiwa utulize kiuno ndani usionekane na mtu

Sasa ole wako”

“ Unampa Nani onyo? Hivi mi nikutane na hensam boy huko nje nishindwe

kumkubalia kisa yule binadamu

mwembamba kama skeleton… Ahaha sahau kabisa”

“ Alafu mwenzio sio mwembamba yule

usimdharirishe. Ana mwili mzuri tu ndo

maana hukuweza kumshinda”

“ Aa wapi?” Nilikunja midomo yangu

nikiwa sitaki sifa yoyote impate Gerald

nyie alinikera ilikua kila nikikumbuka

vipindi vizuri ambavyo tumeshare mi

na yeye lazima Kuna ka shetani

katanikumbusha kuhusu simu aliyopokea

mwanamke, Gerald my foot!! Kichwa

yangu muda wote ilimuwaza yeye tu.

Hakika nilitamani kulia.

Sio tu kutamani kwa jinsi moyo ambavyo

ulianza kuuma ghafla nilijikuta naanza

kulia Tena. “ Gerald shenzi kabisaa

nakuchukia wewe mwanaume kuliko

navyowachukia maadui zangu, umeniliza

mtoto wa mama yangu, nakuchukia Sana

Gery, kwa nini moyo ulimpenda mtu

Kama Gerald “ nililia Tena mwenzenu.

Daah huyu Gery huyu?

Sehemu ya 11

Mira alipata tabu kunibembeleza upya

maana anajua kifuatacho Ni kulia Tena, akaona Bora ampigie simu huyo Gerald

anaetunyima amani.

“ Ami hatimae umenitafuta mwenyewe”

maneno ya kwanza kutoka kwa Gery

hakujua hata anaeongea nae Ni Nani?.

“ Anaachaje kukutafuta kwa mfano, nilikuamini kupita kiasi na kujua labda

utamthaminisha kabisa rafiki yangu Ila

mwisho wa siku umefanya nini? Kila

muda analia tu, nahisi kukutukana sema

unanizidi umri natamani nikuheshimu Ila

umenivunja moyo nifanye nini Sasa?”

Mira alivurugwa yaani akajikuta

anaongea kila kilichotoka moyoni mwake.

“ Sikua Shem, yule mwanmke mlieongea nae Jana alikua dada yangu, najua ni vigumu kuamini, Ila Mimi wiki ijayo

ntakua free juma mosi nakuja huko, ntamchukua Ami namleta huku aje

kuonana nae! Siwezi kuhangaishwa na fikra zenu mbaya juu yangu” alimjibu

Mira ambae sikumpa nafasi ya kuongea tena.

“ Gery acha uongo vipi Kama ukimtafuta mtu mwingine na kumpanga, kwa kweli

mi nahisi kukuchukia nimefanya maamuzi

yangu mwenyewe na hata hivyo sijawahi

kukwambia Kama nakupenda”

nilimwambia kwa sauti huku nalia Mira

aliona Bora tu anipatie simu moja kwa

moja.kisha akatoka zake nje

“ Ami mama…” Dah sauti aliyotumia

kuniita uwiii ilininyamazisha kwa muda.

“ Usiniite hivyo”

“ Usikasirike mama angu mi nawezaje

kukufanyia hivyo, mi naempenda Ni

wewe tu”

“ Sikupendi Gerald hata hivyo sijawahi

Kiri Hilo kwako acha kujichosha nafsi

yako” nilizidi kulia Ila kimya kimya.

“ Ami Gery anakupenda Sana wewe, Hana mwingine kabisa niamini Mimi”

“ Gery nawezaje Sasa wakati alipokea simu yako mwanamke na kusema upo bafuni Maji yalikua yakitiririka

utamdanganya Nani? Gerald labda mtoto mdogo”.

“ Ami wewe sio mtoto mdogo we ni mwanamke wangu na ninakuheshimu Sana tafadhari “ niliguna.

“ Gery utafanya kitu gani kunifanya nikuamini”

“ Ami ntafanya chochote kile kuliweka salama Penzi letu”

“ Gery Ni kwamba unamaanisha?”

“ Kwani Ami we hunipendi?” Swali lake

lilinipa kimya.

“ Ami….” Aliniita nikaitikia kidogo.

“ Najua huna jibu kwangu ila mwenzako kweli Tena nakupenda Sana” nilikaa

kimya Tena na ye akawa kimya.

Tulibaki kusikiliza mapigo ya moyo ya kila mmoja wetu ahaha.

“ Ami… Mi nakata simu, Ila katika moyo na fikra zako’ kaaa ukijua na kuamini

hakuna mtu anaekupenda Sana hapa

duniani zaidi ya Gerald sawa”

“ Gery Mimi…. Ki ukweli sidhani Kama

nafaa kua kwenye mahusiano wakati

huu” nilimwambia hivyo Ila ukweli moyo

wangu ulikua tayari kua na mahusiano

Tena sio tu mahusiano kua kwenye

mahusiano na Gerald ki ufupi moyo

wangu upo tayari sema mdomo unakana

“ Ami Ni sawa, lakini mi nakupenda, actually I run all the world in love, but now I fall for you” aliponambia hivyo

nikasahau Kama tuligombana mchana

huo huo. Na machozi yangu yote kwisha

nikawa kimya nyie Kuna watu wanajua

kubembeleza ndo maana alinidanganya

nikawa mrahisi Hadi kuvua nguo zangu

aiii! Gery huyu.

“ Gerald mi kwa Sasa na kazi, tutaongea baadae bhana” nilimuaga Ila

bado nilitaka kumsikiliza

“ Sawa mrembo wangu, unaendesha

moyo wangu kwa usukani Sina njia

mbadala ya kuishi bila uwepo wako

kwenye haya Maisha , alafu imetokea

ghafla tu” nililainika kweli wasichana

tuna danganyika mapema Sana.

Haya bhana alinipa maneno matamu

hapo mwishowe nikajikuta nabadili kila

aina ya pozi kwa kumsikiliza yeye tu,

kila sifa aliyokua akinipa nilikua navimba

bichwa mtoto wa kike. Gerald ana laana

huyu hakuona mwanamke mwingine wa

kumzuzua zaidi yangu kweli. Hatimae alikata simu nikabaki natabasamu tu.

Mira alifika akakuta nacheka cheka wakati aliniacha na kilio Cha Hali ya juu’.

“ Kwa hiyo nyie wawili tayari? Tofauti zimeisha kabisa”

“ Ndio Mira hata sielewi kwa nini nipo

mdhaifu kushinda kila kitu”

“ Because your in love with him. Your Gery your own Gery.”

Baadae majira ya jioni kabisa tulitoka na kwenda kwenye mizunguko yetu ya

uzurulaji si unajua Tena mtu kukaa tu

nayo haivutii kabisa. Tulitembea tembea huku tunakula miguu ya kuku.

Na vikachori tulikua na ka pesa kiasi

Fulani kwenye mikono yetu.

Wakati tunarejea nyumbani Kuna kijana

ghafla majira ya saa moja akaziba njia yetu, Mira akanitazama Nami nikabaki

kumwangalia kwa sio mimi Wala yeye

tulimfahamu huyo kaka.

“ We Kaka vipi?” Nilihoj kaka

“ Samahani sister naomba tuongee”

aliniambia Mimi nikajisontea kidole

kuhakiki.iwapo Ni Mimi ama?”.

“ Ndio Ni wewe, hakika natamani Sana

kuzungumza Jambo na wewe sio kwa

ubaya lakini tafadhari Kama hutojari. “

Nilimwangalia Mira ambae alitingisha

kichwa chake kuashiria nikubali tu.

Hata hivyo Ni maongezi tu na sio kingine.

Tulisogea pembeni kidogo na Mira yule

kijana alionekana mrefu’ kiasi hakuweza

kumfikia hata Gery wangu.

“ Mambo naitwa Abel. Dada ujue hii ni siku ya tatu tangu nianze kukufatilia

sema wewe unapenda Sana kushinda

ndani?” haya Sasa Kuna kina Abel Tena

hapa ngoja nimsikie, nilitega sikio langu

kwa Makini.

Sehemu ya 12

“ Haya nakusikiliza” nilimwambia.

“ Najua unanisikiliza Ila naomba pia unielewe ki ufupi, nimevutiwa na wewe”

“Mmhh” nilitumbua macho nyie acheni tu.

“ Ni kweli sijui hata jina lako

unaitwa.nani lakini natamani

kufahamiana Zaid na wewe”

“ Hapana sipo tayari Nina Mambo mengi

Sana hivi Sasa, nao fahamiana nao

wananitosha” nilimjibu bila huruma

nikaanza kuondoka akaushika mkono

wangu.

“ Hapana dada yangu, siwezi ruhusu uende hivi hivi naomba hata namba yako

ya simu “ aliongea kinyooonge nikawa namkwepa.

“ Simu Mimi Sina unaweza kunipa nafasi

nijiondokee ndugu yangu”

“ Tafadhari” akaung’ang’ania mkono wangu, Mira akaona hapa tunaweza

maliza masaa matatu akaja

akauachanisha mkono wangu na huyo kijana Kisha akamwambia.

“ Usijari, nambaa hii hapa, utatutafuta” alimpa simu aandike namba

Yake kwenye simu yetu. Nilimtolea Mira

macho kuashiria sipo tayari kabisa

akanikonyeza nikatulia kwani sikuelewa maana yake.

“ Asante Sana dada yangu, sema rafiki

yako mkali hataki hata ukaribu na

Mimi” alijipigia na namba yetu ikaingia

kwenye simu Yake. Kisha akaondoka

huku anachekelea. Nilipagawa na

kumwangalia Mira baada ya yule Kaka

kuishia zake.

“ Usiniangalie hivyo Nina mpango wangu”

Mira alitabasamu nikamuacha

Baada ya siku mbili yule Kaka tayari

nilikua nawasiliana nae hakua

amenitongoza Kama nilivyofikiri hapo

mwanzo aliomba urafiki tu. Sikua na njia ya kumkataa kwani Mira aliniambia

mpango wake. Alitaka kuamini iwapo

kweli Gerald ananifatilia.

“ Kwa hiyo leo tunaenda mtoko wa Abel?”

“ Naanzaje kukosa ofa Kama hiyo, huyo

Gery atakoma nataka nione atafanya

nini si alinitisha kua atanitafuna nyama

iwapo akiniona na mtu Sasa tuone

atafanya nini?.”

Tulijiandaa na kutoka mtoko wa ghafla

siku hiyo. Tukiwa tumekaa kwenye baa

moja Mimi na Miracle tuliagiza vinywaji

laini pamoja na chips kuku. Jamani

tulijua kuitumia vibaya pesa niliyopewa

na Gery. Tulikua tukila tunavyotaka

wakati huo tunajua likizo ikiisha

tunarudi kwenye Dona letu Kama

kawaida.

“ Umelipia ?”

“ Awee, hebu kua na akili, naanzaje

kulipia wakati tupo na mwanaume hapa”

haa! Miracle mshenzi nikajua tuliitumia

pesa ya Gerald kumbe walaa. Ndo

kwanza tulimchuna Abel. Abel wakati huo alikua washroom kabla hajaturejea.

“ Huyu Kaka anajifanya Kama anataka

tu urafiki na wewe Ila ukweli

usiopingika Ni kwamba anakupenda

waziwazi” Mira aliniambia huku

akimwangalia Abel aliekua akirejea.

Nilitulia macho yangu kwake na kubaki nimemtazama.

“ Hata mi naona” nilijibu nikiwa bado

namwangalia. Kwa kweli alikua kijana mtanashati anaevutia alikua na

tabasamu Fulani la kipekee na weusi wa mfano, nikisema weusi wa mfano

nadhani naeleweka yaani ana weusi flani

hivi amazing waweza sema Ni brown

kala yaani ngozi yake inatreza. Alafu

alikua na lips za ‘M’

“ Mbona umeniangalia Sana” alinihoji

akitabasamu baada ya kufika upande

wangu.

“ Aahh labda anashangaa uzuri

ulioumbiwa, si unajua yeye kazoea

kujifungia ndani”

“ Mira acha utani, ningekua wa

kujifungia ndani angeniona vipi? Alafu

sikua nimekuuliza uliniona vip we Kaka?”

“ Nilikuona ulikua ukianika nguo”

“ Ooh! Safi Sana” nilimjibu na

kuendelea kula paja la kuku nikijiamini.

Baadae nikashika glass nimimine peps

yangu ninywe nikaweka glass mdomo

funda la kwanza. Nikatulia nakuendelea

kupiga story. Ile naweka mdomoni kwa

Mara ya pili nilijikuta natema soda bila kutarajia.

“ Vipi?” Miracle alinihoji nikabaki Sina hata nguvu za kuongea.

“ Amina upo sawa” Abel aliinuka kwenye kiti alichokua amekaa akaja kuanza

kunipiga piga mgongoni Kama ntakua na

tatizo labda nimepaliwa Basi nitulie.

Mwenzao sikua hata na hizo shida zote

isipokua tu daah! Niseme nini Sasa?

Nilishindwa Cha kuongea na kuishia kupata kwikwi za ghafla.

“ Ujue sikuelewi?” Miracle

alichanganyikiwa na Mimi akinitumbulia macho jamani nyie. Nilimpa ishara kwa

Macho yangu ya kungu ishara afatishe macho yangu yalipokodolea.

Alifanya hivyo weee!! Hee Miracle aligeuza shingo Yake na ghafla

akairejesha kuniangalia Mimi niliekua

nabembelezwa na Abel kua nitulie.

Maana aliamini nimepata mshtuko. Ni

kweli nilikua na mshtuko sikuweza

kupindisha macho yangu na yalipokua

yamegeukia.

Mbele yangu kulikua na meza ambayo alikaa mwanaume mrefu’ mwembamba

kiasi mweupe na alivaa miwani.

Alikumbatia kiti na kuangalia upande

ambao tulikaa sisi. Hakukwepesha

macho yake yaani muda wote

alinitazama Mimi. Wee nilihisi

kupagawa.

“ Abel Asante Asante naomba niende

washroom” ilinilazimu kuaga nisingeweza

kuangaliana na huyo jinamizi aliekua

mbele yangu masaa yote. Bora

nimkwepe tu. Nikainuka na kuondoka

zangu.

“ Kua Makini Amina “ aliniambia Abel

nikatamani kuzimia huo umakini nautoa

wapi Sasa? Nilifika washroom na

kuanza kuzunguka zunguka bila Cha

kufanya. “ Ukimaliza kuzunguka na

kuvuta harufu yote ya huku uje hapa

tuzungumze” sauti ya kiume ilisikika

kutokea mlangoni nikabaki hoi.

“ Gerald umekuja vipi hapa? Huoni

mlangoni pameandikwa ladies au hujui

kusoma kiingereza, Basi angalia mdoli

uliopo kwenye mchoro Ni jinsia ya kike”

nilimkumbusha huyo mpuuzi aliekua

akiniangalia. Aliweza tu kunijibu jibu

moja “ sawa” Kisha akaingia kabisa mle

ndani na kuushika mkono wangu

nimfate.

“ Gery niache, unanipeleka wapi?”

Sikutaka anipelekeshe.

“ Ukileta ubishi nakupiga makofi hapa

hapa huoni aibu kushikwa shikwa na wanaume baa!” Gery alinifokea nyie

nikahisi kupauka nikiwa nimeganda

nimeshikwa shikwa saa NGAPI Mimi?.

Aliweza tu kunivuta mkono wangu

nikajikuta namfata bila kutegemea.

Sehemu ya 13

Tulitembea mpaka nje ya baa kwa

kupitia mlango tofauti na aliokuepo

Mira. Wakati huo Ni majira ya saa

moja mwenzenu tayari nilimuogopa

Gerald Ila sikujizuia kumfata. Tulifika

parking Kuna gari moja ilisogea karibu

yetu, alikuwepo yule mwanaume ambae

nilimuona siku ya kwanza kabisa

nimeenda na Gerald kwenye nyumba

ambayo siwezi isahau Kisha akampatia

Gery funguo. Mlango wa gari

ulifunguliwa nikakalishwa kwenye siti

kwa nguvu jamani nilitamani kulia.

“ Gerald kwa nini unanifanyia hivi?

Unahisi unanipeleka wapi labda ntapiga

kelele unaniteka” nilimwambia huku

nikitoa sauti ya huzuni Wala hakunijari

huyo mtu mzima hovyo. Hata sielewi

Mimi amefika huku saa NGAPI? Si

alikua dar huyu? Au kwa kua dar na Moro sio mbali hiyo ndo sababu kuu.

Alifungua mlango wa gari akakaa

kwenye siti ya dereva akaanza

kuendesha, aliendesha gari pale

taratiibu kutoka hapo mpaka barabarani

nikawa na muwaza zangu Mira Sasa

atajua wapi nipo? Nikiwa namuwazia

simu ya Gerald ikaita. Sikujua Nani

kapiga ila nilitupiwa simu utadhani

alilazimishwa anipatie.

“ Mmh” niliishia kuguna bila kufanya

lolote.

“ Mwambie tumeondoka, na leo hurudi nyumbani”

“ Nini?” Nilishtuka sirudi nyumbani hiyo inamaana gani? Naenda kulala na yeye

au hapana kwa kweli sipo tayari

kufanya Hilo. Sura yangu ilibadirika nikatamani.kumla nyama mbichi.

“ Hutaki kupokea” alinifokea nikajikuta

naanza kulia. “ Gerald nakuchukia

unanichukulia Mimi Kama toy lako la kufanya uhasherati siwezi kulala na wewe Tena. Nimenyamaza kimya.muda

wote kwa sababu nilikumiss natamani

kupata muda wa kuongea na wewe pia

Ila wewe umekuja kwa Kasi ya ajabu

Sana na unanifanyia makusudi

yasiyostahili” nililia hapo simu iliyokua

ikiita ilikata na kuita Tena. Aliekua

akipiga alikua Mira. Gerald hakunijibu

kitu licha ya kilio changu aliokota simu na kuipokea.

“ Gerald upo na?”

“ Ndio nipo nae na harudi nyumbani

usiku wa leo unaweza kurudi pekee yako

usiku wa leo tafadhari” Gerald Gerald

Gerald nilijikuta namuita Mara tatu kwa

Nini anifanyie hivyo?. Nilianza kulia.

Mira akasikia.

“ Sasa kwa Nini analia?”

“ Amina yupo salama mi si mpenzi wake ama?”

“ Sawa lakini kulingana na Hali yake.

“ We jitahidi kuwahi kurudi nyumbani”

Gerald alikata simu hakutaka kuongea

zaidi na Miracle nilichukia na.kuzidi

kulia. Baadae hatimae gari iliwasili

kwenye nyumba ileile ambayo nilipoteza

usichana wangu siwezi sahau hiyo

kumbukumbu mbaya kabisa.

Alifungua mlango wa gari baada ya kuingiza gari ndani, Kisha akazunguka upande wangu kunifungulia mlango.

“ Shuka” aliniambia nikabaki nimekaa bila kumjari.

“ Shuka Ami” sikumjibu akaona suluhisho Ni kunishusha kwa nguvu.

Alinibeba kwa nguvu kunitoa humo nikawa napiga kelele.

“ Kwa Nini Gerald unifanyie hivi? Kwani

Mimi sio mke wako sio dada yako, sio

yeyote kwako lakini unanifanyia Mambo

ambayo hayatakiwi”

“ Wewe ni Ami wangu, Amina wa Gerald ukisema sio yeyote kwako hiyo ni juu yako kwa nini nikuone karibu na mwanaume mwingine alafu nikae kimya, sikukuzuia wewe kwamba sitaki kukuona na mtu lakini ukaenda kinyume”

“Haa! Hilo nalo kosa, hiyo inamaanisha

hata ndugu zangu wa kiume Sina ruksa ya kua nao karibu. Tena ukome

kunifatilia Maisha yangu, kwa Nini

ulitokea kwenye Maisha yangu we upepo wa kisurisuri.” Nilimlaani wakati huo

tayari tumefika ndani mwenzenu

nilitupwa kwenye sofa.

“Funga mdomo wako” aliniambia Kisha

akaniacha hapo na kulock milango vizuri

hakutaka nitoroke kabisa.

“ Gerald usiku huu kwa Nini umenileta

hapa?” Nilimfata nyuma nikiwa na hasira nae, Ni usiku Sana alafu nipo na mwanaume. Nilijikuta namkumbuka

mama yangu jamani.

Mimi Ni mtoto wa kike wa pekee kabisa

nyumbani kwetu waliobaki wote wa kiume japo ninae mdogo wangu wa kiume Ila mi nilikua Kama mtoto wa mwisho.

Kaka zangu walikua na familia zao Ila

walihangaika kunisomesha alafu litoto la mtu linafanya Kama limenioa nimekua

mke wake.. “ nakulaani Gery” nilipiga

kelele kwa Gerald aliekua jikoni anapika

Nikiwa nimesimama pembeni yake namwangalia kwa hasira.

“ Ni sawa Ami Ila Gery anakupenda

Sana kila siku nakwambia na ntabaki kukwambia kabisa uelewe Hilo.

Anaekupenda wewe ni Gery”

“ Funga mdomo wako, kwani wewe hukuona mwanamke mwingine zaidi

yangu katika hii dunia??” Nilipiga kelele sema hakukua na watu wengine mle ndani na Hilo lilinitishia amani kabisa.

“ Na wewe ulikosa mtu wa kumpa

usichana wako zaidi yangu Mimi? Sio

kosa langu kukufanya uwe bikra mpaka

nilipokuanza Mimi” aliongea kwa ujasiri

kana kwamba alikua kwenye haki

nilipata aibu jamani ? Kwa Nini Gerald

alizaliwa kwenye hii dunia. Uso wangu

uliwaka kwa hasira na maumivu wakati

mmoja. Nilianza kulia bila kujari uwepo wake.

Sehemu ya 14

Nilijikuta nakaa kwenye kiti kilichokua

karibu na alipo yeye huyo mpishi aliekua

anapika ndizi za kichaga. Alisogeza kiti

baada ya kunawa mikono yake na kukaa

mbele yangu nikiwa bado nalia. Aliishika

mikono yangu na kuiweka kifuani kwake.

Nilihisi kuyasikia mapigo ya moyo wake

nikajikuta nakaa kimya ili nijue shida yake.

“ Ami wangu. Ki ufupi Gery, anakupenda

Sana, unapokua karibu yangu moyo

wangu unasikika hivyo sio tu kukupenda

yaani Ni kwamba kwako nipo mzima.

Najua wewe ni mwanafunzi lakini siogopi

Sheria yoyote itakayonihukumu kwa

kukuchukua Kama mke kwa muda wa wiki moja nisamehe mama angu””

Nini?? Aahaa? Huyu Gery wenu bila

Shaka alikua akipata kichaa alipanga

kunifanya mke wake kwa muda wa wiki nzima. Hapana bila Shaka alikua

alitania sikua na Imani na Hilo kabisa

labda alitania jamani? Hakua serious mi sikua mtu wa aina hiyo! Wakati huo uso

wangu uliganda kumwangalia huyo

mwanaume asie na aibu kabisa.

nikiwa

nadondosha machozi mwenzenu nilikua

mgeni kabisa kwenye ulimwengu wa

mapenzi hebu angetokea mtu jamani

akaniambia kabisa. Ami mapenzi huwa

hayaendi hivyo mapenzi ni kukubaliana

na kueleweshana

“ I love you” aliniambia

“ Usiwaze Sana. Nenda chumbani

kaoge, Kuna baadhi ya nguo nilikuletea wakati nakuja”

“ Siingii kwenye chumba Cha mwanaume

nisie mfahamu” nilimjibu kwa jeuri na kuzidi kukaa. Aliniangalia kwa jicho la dhihaka akiwa na mfarakano moyoni

mwake, kwani aliwaza nini dhidi yangu

kwenye kichwa chake. “ Potelea mbali , sijari kabisa kuhusu sura yako

isiyoeleweka” nilimwambia hakuweza

kujibu chochote.

Hatimae alimaliza kupika na kuandaa

mezani akaniita nile. Sawa nilikua na

shida dhidi yake sikua na shida na

chakula hata hivyo mi Ni mpenda kula

japo huwa sinenepi Ila napenda vitamu

Sana ahaha! Hata Summy ananielewa

vyema. Aahh! Alafu sijawaambia

Summy Ni Nani? Summy Ni Sumaiya

rafiki yangu yaani rafiki yangu kabisa..

Kuanzia kidato tuko pamoja. Ule

urafiki wa kugombana na kununiana na

kusameheana tumeupitia wenzenu.

Pamoja na Miracle. Ila wakati huo yeye

hakua na sisi katika shule moja. Alikua

akisoma chuo huko Moshi. Na sisi

tulibahatika kwenda shule moja.

Tukiunganisha akili zetu Mimi na

Miracle tukijumlisha summy unaweza

pata mwendawazimu mmoja

alieshindikana. Kwa Sasa ukitaka

kumpata Sumaiya. Ingia Facebook

andika #Simulizi za Sumaiya utampata

huko utakutana na visa na Mikasa

motomoto kutoka kwenye kichwa Cha

huyo mtoto wa kike ambae Ni rafiki

yangu. Mimi na ndo mwandishi halali wa mkasa wangu. Acha niendelee kuwapa

story Sasa kuhusu Mimi na Gery.

Haya bhana baada ya kula sikujisumbua

kuinuka eti nitoe vyombo nikaoshe hee!

Nani kasema mi mtumishi wake kwani?

Alifanya mwenyewe nikiwa nimekaa bila

Cha kufanya hapo. Hatimae alinirejea

akasimama nyuma yangu. Nilitetemeka

kwa uwoga mwenzenu nikabaki Sina Cha

kufanya zaidi ya kupumua kwa nguvu.

“ Mmhhff” nilivyopumua hivyo akanihoji.

“Nakusisimua Sana?” Swali lake lilikua

rahisi iwapo ningekua na ujasiri wa

Kutamka neno ‘sana’ Ila Sasa ujasiri

wangu ulikua sifuri kumjibu vizuri. Ila

kwa kumsema navyojisikia sikua na uwoga kabisa. “ Unanitia kichefuchefu”

sikua namuona kwani alikua nyuma yangu

Ila najua Sana kua sura Yake

ilibadirika rangi maana nilihisi kifua

chake kikipanda na kushuka.

“ Ami “ nilishtuka maana sauti na pumzi

Yake vilisikika kwa ukaribu zaidi

masikioni mwangu. Ki ufupi nilihisi

kusisimkwa zaid kila nilipopata

kumbukumbu juu ya siku aliyonitoa

usichana wangu.

“ Toka hapa” niliinuka na kutaka

kusogea sebureni akaushika mkono

wangu na kunivuta kifuani kwake. Nyie

mwenzenu mwili uliwaka Kama

transfoma ya umeme. Ilikua hisia ya aina gani hii? “Nakupenda” aliongea

Hilo neno kila wakati kana kwamba

alizoea kuongea hivyo. Nilikua kimya

kwani ningesema Nini zaidi.

“ Kaoge, haraka Sana, nenda chumbani ukaoge” aliniambia baada ya kumuachia mwenzenu wakati huo nilihisi unyevu nyevu maeneo fulani.

“ Mwanzo nilikwambia kabisa siingii

kwenye chumba Cha mwanaume nisiemfahamu” nilisubiri jibu lake hata

kwa mwonekano. Alitabasamu na

kunisogelea. Alinishika vyema kiunoni na kuanza kunibusu. Kwa nguvu nikawa

nahangaika hapo aniachie kwa Nini

anifanyie haya nilianza kumsukuma kwa

nguvu.

“ Unafanya nini?” Niliongea baada ya kupata upenyo Ila hakuniacha muda

mrefu’ aliudaka Tena mdomo wangu na kuanza kunibusu.. alinibusu’ karibu nusu

saa nzima jamani mdomo wangu Ni

Kama vile ulichemshwa Maji ya Moto, ndipo akaniachia. Nilipumua kwa nguvu

kwani tayari nilikosa pumzi.

“ Kwa Nini upo Kama mzimu?”

Nilimwambia.

“ Nataka nikukumbushe kua unanifahamu Tena sio kidogo” aliniambia

sikuelewa maana yake. Najuta kwa Nini

nilizaliwa na umbile dogo kwani Gery

alinichukulia anavyotaka. Alinivuta na kuninyanyua mikononi mwake mpaka

chumbani. Kisha akanitupia kitandani

“ Gerald unataka kufanya nini? Sipo

tayari kwa Hilo” niliogopa Ila yeye

hakua ananijari, alianza kuvua nguo

zake nyepesi na kunisogelea nilipata

uwoga kadri alivyofanya Hilo jambo.

Kwa nini alikua mkatili Sana kwangu?

Nililia mwanzo Ila baada ya yeye

kuanza alichokidhamiria hatimae

nilijikuta napata uzoefu na kutamani

aendelee na asiache japo sura yangu

haikumuonyesha Hilo.

Sehemu ya 15

Daah asikwambie mtu nilitulia baada ya

Gery kufanya nizoee tukio Hilo kwa

muda japo nilipata maumivu kwani sikua

nimezoea, Ila alikua akitumia trick za

kufanya nitulie na sisikie maumivu

makali Sana.

Hatimae baadae tulimaliza tulichokianza

ukweli nilijifanya kununa japo

nilifurahia. Mwenzenu nilisahau Kama

nasoma nilisahau kabisa Kama Mimi Ni

mwanafunzi. Nilijikuta mke wa Gery

kwa wakati huo. Gery aliutazama uso

wangu ulioonekana kuvurugwa kwa

kilichotokea sikutaka aonyeshe unafiki

wake wa kujari kwa hiyo niliusukuma

mkono wake mbali na alipokua akitaka

kuuweka. Hatimae niliinuka na kwenda

bafuni kuoga. Baada ya kuoga nilivaa

nguo huko huko sikutaka Mambo ya

kuoneana hapa hata Kama ameninaniliuu

lakini hainamaana anichungulie

anavyotaka. Kisha nikatoka bafuni

nikiwa na vazi la kulalia la hariri hakika

lilinikaa vilivyo. Kisha nikaelekea

mlangoni nitoke nje wakati huo yeye

alikua bafuni. Sikutaka kumsemesha

hata yeye alijua Hilo.

Nilijaribu kufungua mlango ili nitoke nje ya hicho chumba. Aiyaa mlango

ulifungwa. “ Gery umefunga mlango

Mara hii”

“ Unapiga kelele kwa Nini?” Alinihoji.

Nilisogea Hadi kwenye mlango wa bafu na kuanza kuupiga kwa nguvu

ikiwezekana atoke nje kabisa kwa Nini

afunge mlango .

“ Ujue nilipo Sina nguo”

“ Kwa hiyo nikusaidie Nini? Naomba

funguo sitaki kuishi nyumba moja na

wewe hata kwa dakika sembuse chumba

kimoja.” Nililalamika. Gery akafungua

mlango jumla na kutoka nje ya bafu

akiwa Hana nguo kweli.

“ Gerald!!” MAPIGO ya moyo wangu

yaliruka Kasi kwa kumuona hatimae

nikaziba uso wangu kwa viganja vya

mikono yangu.

“ Usijari huu mwili Ni wako siku zote”

aliniambia nikahisi kulia hakua

mwanaume mwenye mshipa wa aibu hata

kidogo. Hatimae alinikumbatia akiwa

Ameloa Maji mwili mzima.

“ Gerald unafanya nini wewe? Sii tu Kama hukuvaa nguo wakati unatoka nje

lakini bado unaoujasiri wa kunikumbatia.

Nililalamika dhidi Yake.

.” Kwa sababu ulinimiss kwa dakika

kadhaa baada yaa.. kwa hiyo

sitaruhusu hilo Tena”

Hatimae nilijikuta bafuni Tena kwa

Gery. Nyie mapenzi haya Ni upofu

kabisa mtoto wa kike nilijisahau Mimi

na bado mwanafunzi nilikua Kama

kimdoli Cha Gery. Kisha tulilala kimya

baada ya Mambo mengi kufanyika usiku

huo.

Kesho yake kulipambazuka yule

mwanaume ambae sikujua Ni Nani yake

Gerald aliwasili nikiwa ndo nimemaliza

kufanya usafi. Ukweli Ni kwamba

nilimwambia Gerald siwezi kukaa nae

hata kwa dakika moja Ila ki ufupi

nilikaa kwa kuridhika.

“ Shem habari za asubuhi?” Alinisalimia

huyo mwanaume nikajikuta Sina njia

zaidi ya kuitikia tu.

“ Safi tu, karibu” nilitabasamu.

“ Usijari shemeji nimekaribia” alipita

moja kwa moja mpaka chumba Cha pili

ambacho kilifungwa na kwanzia nifike

hapo sikuwahi ingia. Alichukua baadhi

ya vitu Kisha akatoka akiwa anaongea na Gery wakati huo nimekaa nje kwenye bustani napungwa hewa.

“ Haya Shem mi naenda” aliniaga hapo

sikua na kinyongo kumuitikia.

“ Hapana huwezi ondoka wakati

sikuwahi kamilisha utambulisho kwa

pamoja” Gery aliongea na wakasogea

karibu yangu niliinuka bila kutaka na

kusalimiana na huyo mwanaume. Na siku

hiyo ndo nikajua jina lake aliitwa.

Brighton.

“ Ami yeye ni rafiki yangu na mmiliki wa hii nyumba, yaani sio tu Kama Ni

Kaka yangu, Mimi Bali ni rafiki yangu

ambae tumeamua kuutenga mbali undugu na kua marafiki wa kawaida”

“ Mmh nashukuru kukufahamu Brighton” nilimpa mkono wa Salam Kisha Gery

akanitambulisha kwake. Japo Brighton

alionekana kunifahamu tangu mwanzo.

Alitabasamu Kisha akaonyesha

uchangamfu kwa kufahamiana. Na hapo

aliweza tu kuondoka zake.

Siku zilisogea nikiishi na Gery ambae

alikua akimpigia simu Mira kila siku na kumpanga kua ntaenda kesho. Hatimae

wiki ilikata nikiwa kwake na mwisho

baada ya wiki kuisha ndo nikarejea

kwetu na Mira. Alinirejesha Gery

mwenyewe na kunipa onyo kadhaa kabla

sijashuka kwenye gari na kwenda ndani.

..” hakikisha haujichanganyi na mwanaume yeyote Yule bila uwepo wangu”.

“ Mmhh, nilijua tu huwezi badilika”

nilimwambia na kwenda zangu ndani

taratibu akaushika mkono wangu.

“ Ami namaanisha nachokwambia kwa

sababu hivi karibuni huenda tukapokea

taarifa za kushangaza kwa hiyo sitaki

unifikirie kwa ubaya, jiweke mbali na

wanaume wasiofaa. Jiweke chonjo na vishawishi ambavyo vitanitia mashaka”

baada ya yeye kuniambia hivyo sikua na haja ya kumsikiliza Tena kwani

niliezoea. Nilimsukumia huko na kuingia

zangu ndani baada ya kumuaga kwa

lugha nyepesi Sana.

“ Kwa heri, ashukuriwe Mungu

umeniacha huru” nilimwambia Hilo

akabaki kaniangalia mpaka naingia ndani.

“ Mwanampotevu hatimae umenikumbuka

rafiki yako , tayari nilikata tamaa juu

yako na ilibaki kidogo nimpigie simu

mama yako, sikua na imani Tena na

Gery. Na hapa nimemwambia jioni

ntampigia Kuna Jambo la msingi

namtaarifu.” Nilihisi kumwagiwa Maji

kichwani. Nini? Inamaana Mira aliwaza

Hadi Hilo Jambo.

Sehemu ya 16

“ Usishtuke bhana sijafanya kitu Kama

hicho na sikuwaza kufanya hivyo, Ila

nilipanga kuja hukohuko ulipo” aliniambia

nikashusha pumzi ndefu bila kutegemea.

“ Ami umekua mlaini Sana kana kwamba

ulikua ukioshwa maziwa na kupakwa

siagi kila siku” ki ufupi nilipata

mabadiliko kiasi mwilini mwangu kwani

kwa Gery nilikua Kama mwali.

“Mira we acha tu, nilikua kifungoni, Gery hakunipa hata nafasi ya kupumua

kwa amani, najua Ni ngumu kuelewa

hisia zangu, Ila ki ufupi nimepitia

wakati mgumu Sana kwa kukaa na

Gerald “ moyo wangu ulionyesha

kunisuta kwa nachokiongea Ni kweli

kabisa Kuna wakati alinikatisha tamaa

Ila ki ufupi atanielewa kua sikua na furaha.

“ Mmh! Sawa fanya Kama nimekuamini”

alipoongea hivyo nikaelewa kabisa Kama

kajua namdanganya. Huyo ndo Mimi na Mira mmoja akidanganya mwingine

anaelewa Bora kua muwazi tu.

“ Nikwambie vipi Sasa uniamini?”

Nilishuhsha sura yangu akabaki

ananiangalia kwa hatia.

“ Sawa Basi acha nikwambie tu” sikua na namna zaidi ya kumpa hadithi na mkasa wote ulionitokea juu yangu na

Gerald ki ufupi ilikua ya kuaibisha lakini

Sasa ningefanya Nini? Ndo hivyo siwezi

badili wakati nimejikuta nampenda Kama

kichaa’.

Ami usiniambie Kama umesahahu wewe ni Nani? Au wewe ni mwanafunzi bado?”

Alinipa onyo.

“ Mira nasahau vipi Sasa?”

Nilimwambia.

“ Mjinga Sana wewe umeishia kula

kuamka kushinda na kulala nyumba moja na mwanaume kwa wiki nzima alafu

bado unajiita binadamu wa kike ambae

Ni mwanafunzi kweli” alikasirika kiasi

kwamba alinitupia mto.

“ Mira ningefanya Nini sikua na njia nyingine tofauti na hiyo”

“ Kwa hiyo unataka kusema kulikua na ulazima wa kua mrahisi Sana kwake

ilhali alikuchukua kwa nguvu, ulifaa

kukataa na kukataa mpaka pale ambapo

nafsi zenu zingekubaliana moja kwa moja.”

“ Mira ki ufupi Mimi nampenda Sana

Gerald. Nimegundua hilo baada ya

kuishi nae kwa mudaa huu, japo mwanzo

nilimuona anakera ila kwa Sasa najikuta

sijari kuhusu matokeo yatakayonikuta”

Mira aliniangalia kwa huruma akabaki

kusikitika. “ Sio Kama nakuonea wivu

Ila nakuonea huruma Ami, Ni Mara

yako ya kwanza kuangukia kwa mtu

kimapenzi alafu umempa moyo wako

wote pamoja na mapenzi ndani ya muda

mfupi. Ki ukweli mtu kama huyo

akitokea kukuacha atakufanyia dharau

za hela yote. Ulifaa kua mgumu kwake”

Mira alikua sahihi kabisa kulingana na

maneno Yake alafu isitoshe aliwahi

kusalitiwa kabla lakini sikuamini Hilo

kuhusu Gerald. Niliamini hayupo Kama

wanaume wengine kabisa.

Siku zilisogea taratiibu huku nikizidi

kuonana na Abel huku nikiongea na

Gerald lakini sielewi kwa nini Gerald

alikua akigundua iwapo nimetoka na

Abel na alikua akinisema.

‘kwa Nini leo ulienda beach na

Fulani……nakwa nini ulivaa nguo fupi

Sana kwenda kwenye mkutano wa hadhara… Kwa Nini uliambatana na

Miracle kuzurura usiku…. Kwa Nini

ulienda sokoni ukiongozana na mwanaume…….’ Hakika hakuna chochote

ambacho nilifanya asijue ki ufupi alikua

akinifatilia Sana mpaka nikajikuta

namtukana kwa Nini aliamua kuniwekea

spy wa kunipeleleza kila wakati.

“ Umesikia wewe Kaka hebu fanya

ufate Maisha yako, kwa Sasa bado

tupo kama wapenzi tu hata mguu wako

kwetu hautambuliki Ila bado unataka

kuyaendesha Maisha yangu vile

utakavyo, nisahau na Mimi siwezi

kufikiria hata kidogo juu yako… Nina

mambo mengi Sana dah!” Nilimkatia

simu siku hiyo baada ya kumtolea uvivu.

Kwa kua nilizoea huwa anatabia ya

kunipigia simu hata nikipaniki tunaanza

kujibizana Basi siku hiyo ikapita.

Hatimae kulipambazuka bila kupokea

ujumbe Wala simu kutoka kwa Gerald.

Kesho Yake Tena. Siku tatu hatimae

wiki.

.duhh Ilibidi nimpigie Mimi alipokea

simu yangu na kunipa jibu ambalo

lilinikatisha tamaa ya kumpigia tena.

“ Nina kazi, Sina muda wa kuongea na binti mchafu Kama wewe” haaa! Nini?

Na baada ya hapo hakuongea Tena na Mimi alikata simu. Nilijikuta nakosa

nguvu mwili mzima. Nili nilikua Nini?

“ Eti Mimi nilikua mchafu?” Nilijikuta naongea. Nilikua mchafu, au Mira

alikua sahihi kua Penzi la kwanza sio la kuzamia mzima kwa sababu Lina umiza zaidi. Nilijikuta nalia bila kunyamaza.

Niliitwa mchafu na Gerald kwa sababu gani au kwa ajiri ipi labda mpaka

nikawa mchafu kwake? Kwani nilikosea.

Sehemu ya 17

Nilijiuliza Sana juu ya Hilo nikakosa

jibu. Kwa maana ipi labda Gery

kanambia hivyo au labda Nina kasoro?

Au Kuna kitu nimemkosea. Kwani

kumjibu kwa jeuri na kiburi siku Ile ndo

imekua sababu ya yeye kuniona Mimi

mchafu?

Sikua na jibu zaidi ya kupata maumivu

kimya kimya. Mara hii sikuthubutu kulia

hata kidogo Wala sikua na ujasiri wa

kumwambia Mira juu ya kilichotokea

kwangu. Sikua na furaha lakini

nililazimika kua na furaha japo kwa

kuigiza. Mira alikua akinipigisha story

na Mimi namjibu vile vyema zaidi ya alivyotaka lakini ukweli moyoni sikua

sawa hata kidogo. Ki ufupi nilikua

mrahisi Sana kwa Gerald ndo maana

kapata sababu ya kunitukana na kunisema kadri alivyojisikia. Hakika

niliweza kujidharau mwenyewe.

Siku zilienda Kasi hatimae tulifungua

shule tukarejea kumalizia masomo.

Daahh haikua kazi rahisi. Mwezi wa kwanza wa pili. Hatimae tulibakiza miezi michache zaidi.

Lakini wakati huo mwenzenu Kuna

mabadiliko ya ghafla Sana ambayo

yalinitokea Mimi. Yaani ki ufupi

nilinenepa kiasi. Nilibadirika Mimi Ni

mtu mwenye umbile dogo lakini ki ufupi

nilijihisi kabisa Nina ujauzito. Kwani

niliimaliza miezi kadhaa bila kuona siku

zangu, japo huwa inatokea lakini hii

Sasa ilikua too much.

‘ sitaki kuamini Kama Ni kweli ninao

ujauzito’ Ni hivyo yaani sikutaka

kuamini Hilo niliipinga nafsi yangu

isiwaze kua Nina ujauzito. Hata Kama

kwa dalili za nje iliniaminisha hivyo Ila

sikutaka kuamini Hilo.

“ Ami huonekani kua sawa. Kwa Sasa

umekua na makalio makubwa zaidi ya

mwanzo kifua chako kimejaa. Umbo

lako limejikata isivyoelezeka, uso wako

umekua na mng’ao Safi zaidi kupita

kawaida kana kwamba umeanza

kujichubua” Mira aliniambia nikabaki

kimya. Hayo yote yalikua kweli lakini

vipi ntasema kwamba najihisi mjamzito.

Bila Shaka Mira atang’ang’ana nipime na

Ni kitu ambacho siko tayari kabisa

kinihusishe.

“ Hata mimi najishangaa nahisi Ni kwa

sababu nimezoea mazingira ndo maana

nimekua na mwili wa kunenepa”

nilimwambia Mira aliebaki na Shaka

dhidi yangu Ila hakuthubutu kunihoji.

Ki ufupi nilijiweka bize Sana na masomo

sikutaka kufikiria juu ya Hali yangu

japo sirika ya kibinadamu haikunipa

nafasi, nilitamani Sana kuziona siku

zangu lakini haikuwezekana. Mwisho

mwezi wa tatu ukakata sijaona siku

zangu, wakati huo tunakaribia mitihani na hatimae nilipata mawazo zaidi

nilijaribu kusoma kwa bidii Ila ilikua

ngumu kwangu kusoma ki ufupi nilikua

kwenye wakati mgumu Sana nilio

sababishiwa na Gery.

Usiku mmoja AMBAO siwezi kuusahau

kabisa kwenye Maisha yangu nilikua

nimekaa kitandani namalizia kupanga

nguo niweze kulala. Alikuja Mira na

kukaa kando yangu aliniangalia kwa

Makini Sana nikajikuta nashindwa

kuuzuia mdomo wangu na kumhoji.

“ Kwa Nini unaniangalia hivyo Mira?”

“ Nimejikuta nakuonea huruma Sana

Ami. Najua huwezi kusema kwa sababu

unajitahidi kujiaminisha kua fikra zako

sio sahihi Ila wewe ndo upo sahihi lakini

unafanya makosa. Bora kuwahi kuliko

kuchelewa. Siwezi Kukuacha mwenyewe

katika hili ntaandamana na wewe kama

tulivyokua hapo mwanzo tukiwa O level.

Nakujua vyema unanijua vyema. Kwa

Nini nikutenge”

“ Sielewi maana yako bado” nilimtolea macho na kujiweka sawa kitandani.

Nilichukua blanket nijifunike akalitoa na kuliweka pembeni kabisa.

“ Miraaa… Nataka “ Sawa utalala, lakini sio kwa usiku huu” alinishika

mkono na Kisha akatoka nje na Mimi.

Nikajua labda alitaka tuongee mbali na wanafunzi wengine lakini haikua rahisi

hivyo. Kwa hiyo kitu alochokifanya Ni kunipeleka moja kwa moja mpaka chooni.

“ Kwani nilikwambia nataka kukojoa

mbona una kimuhemuhe wewe”

nilimsema.

“ Hukuniambia lakini ndo lengo langu mpenzi. Naomba mkojo wako hata Kama

hutaki”

“ Miraaa usiseme kua na wewe Ni sawa na wanafunzi wengine ya kwamba

unanishuku???.. nilipata hofu dhidi yake.

“ Sio Kama nakushuku Ami ninao

uhakika kabisa juu ya wanalosema watu.

Kweli wewe niii……, Ah sitaki kuongea

naomba tu mkojo wako hakuna mtu

huku” Mira alinifosi kwa kweli Mimi na yeye tulitoka mbali Sana tulichukuliana

zaidi ya ndugu yaani Ni marafiki

AMBAO tulishibana sana alikua kama

dada kwangu nilikua Kama dada kwake.

Hivyo niliweza tu kukojoa bila kujua

kusudio lake. Nilimpatia mkojo wangu

nikiwa na hofu kupindukia mwenzenu

Kisha akachukua kipimo Cha kwanza Cha

ujauzito nikabaki hoi…… “ inamaana

aliandaa” nilipata wasiwasi.

Alichomeka vipimo vitatu kwenye mkojo

kwa wakati mmoja. Mungu wangu!!!

Alivichukua baada ya kufanya upimaji

huo bila kunionyesha akavikagua

mwenyewe kwanza. Alipomaliza

kuvikagua akabaki amejishika shingo

yake Kisha akavitupa chooni na

kumwaga Maji kabisa.

“ Mira hiyo inamaana gani? Mimi ni ni mjamzito??? Nilimuuliza kwa shahuku ya kujua iwapo kweli ntakua mjamzito basi nizimie kabisa. Aliniangalia akiwa na khofu kidogo Kisha akanipa jibu moja kwa moja. “ Ami actually upo safe kabisaaaa.. kua na Amani, puuza juu ya

maneno Yao” aliniambia hivyo nikahisi

moyo wangu ukipasuka kwa furaha.. hivi kweli alimaanisha? Aisee siamini.

Huenda Ni kweli.

Sehemu ya 18

“ Kwa Sasa unafaa kutuliza akili yako na kujiweka moja kwa moja kwenye

masomo, hufai kuwaza kabisa juu ya

Maneno au mabadiliko uliyonayo hivi

Sasa, sahau KUHUSU Gery sahau

KUHUSU kidudu penzi kilichojitokeza

hivi karibuni, waza masomo Kisha

tusonge pamoja” aliniambia point

ambayo iliniingia akilini sio Siri.

Mira Ni rafiki yangu jamani rafiki wa kweli rafiki wa dhati, sijui niseme Nini?

Sio tu katika hadithi Bali Maisha halisi, Ni rafiki ambae hakuwahi kutuacha

nyuma rafiki zake, kwa kweli Mira

alijaaliwa upeo wa fikra na maneno

mazuri juu ya sisi, tunalingana ki umri

lakini utakuta tunamchukulia Kama dada

yetu, ki ufupi kila mkubwa anamkubwa

wake hata kwenye kundi la wadogo

wenzake. Nilijikuta namkumbatia bila

kutoa kauli kwani alinimaliza wasiwasi japo haikua Sana.

Nilijiweka bize na masomo.mwenzenu.

hatimae mitihiani iliwadia tukafanya

mitihani kwa pamoja kwa muda

uliopangwa. Nilijikita Sana katika

kufanya mitihani Ila afya yangu ilikua

isiyoeleweka hivyo ilinisumbua. Hatimae

ulibaki mtihani mmoja kabisa au tuseme

mtihani wa mwisho kabisa.

Siku hiyo nililala usingizi ambao kiufupi, sikua nimewahi kulala usingizi Kama ule

tangu niwepo shuleni. Tulikua na mtihani mchana, hiyo ndo ilikua bahati yangu.

Mira aliniamsha kadri alivyoweza, Ila niliweza tu kuitikia bila kuamka.

maswali kibao kwenye vichwa vya watu’

Mira alikua na khofu juu yangu Ila Mimi

niliishia kumsikia na kujaribu kujitahidi

kuinuka lakini ikashindikana sikua na jinsi zaidi ya kuchagua kulala zaidi.

Nyie acheni tu….

Nilikuja kuamka Bado nusu saa tuingie

kwenye mtihani, watu wote waliniangalia

“ Amii,, ulalaji wako wa Leo utaacha

Mimi na kubaki na sintofahamu kwenye

vichwa vyao. Nilishika mswaki na

kujifunga vyema khanga yangu kifuani, daah nikaiona nzito haraka Sana

nikaifunga kiunoni na kuacha kifua

kikiwa wazi, hata hivyo Ni hostel ya wasichana. Nikaanza kutembea

kuelekea bafuni nikapige mswaki nioge na kuoga. Nilipofika bafuni nikaingia

chumba moja wapo kwa ajiri ya kujipa

huduma, nikiwa bafuni nikaanza kusikia minong’ono ya watu.

“ Kabla hatujaanza mitihani, Jamila

aliwavizia Mira na Ami bafuni kujua

Nini kitaendelea lakini Ni Kama Ami

hakua na mimba ! Au Jamila alisikia

vibaya?” Sauti hiyo ilikua sauti ya mwanafunzi niliemfahamu kabisa.

“ Ni kweli hata Mimi nahisi Kuna Jambo halipo sawa,, ulalaji wa Ami, ukiachana na mabadiliko mwilini mwake huwezi

kuangalia hata chuchu zake, zimekua kubwa na nyeusiiii,,, sidhani Kama Hana

ujauzito yule dada”

“ Baahati iliyoje? Angalau anamaliza zake mtihani anaondoka na Kuondoka,

matamanio ningepata fursa Kama hiyo,”

“ Hivi we una akili wewe, huyo Ami

unadhani kwao wanachochote, hapo

alipo anategemea kusomeshwa na ndugu

zake, usichukulia life kua easy, najua atasota”

Mmhh waliendelea kunijadili vyema

kwelikweli, ikabidi kwanza nikague

chuchu zangu ambazo zilikua zikiwasha

na kuuma kwa wakati mmoja Hadi

khanga nilihisi Kama inanisumbua, alafu

zilikua nyeusiiiii… Ki ufupi nilihisi kupata

uhakika wa hisia zangu potovu, niliamni

kabla kua mimi sikua mjamzito kwa

sababu sikutaka kuupokea ukweli, lakini

katika dunia hakuna ukweli mbaya kama

mimba, Ni haijifichi nyie Ni tobo la

kuvuja.

“ Hapana hapana Mira alisema Sina na kweli Sina, Mira hawezi kua muongo”

nilijipa Imani Ile Ile Kisha nikajiweka

sawa baada ya kuoga. Kizuri Ni kwamba

tumbo langu halikua likichomoza. Baada ya kujiandaa na kuvaa kisawa sawa

hatimae tuliingia kwenye chumba Cha

mtihani na kufata utaratibu Kama

kawaida.

Nikiwa nafanya mtihani nilijikuta

nafikiria Mambo mengi Sana, niliwaza

iwapo kweli Mimi ni mjamzito?

Nitasema Nini nyumbani? Nitawaambia

Nini kaka zangu? Nitafanya nini kwa

mama yangu kwa aibu hii niliyomtia?

Nikizingatia wakati huo Gerald hataki

hata hata MAWASILIANO na Mimi?

Aliniita Mimi mchafu?? Daahh!!

Nilishindwa kuyazuia machozi ambayo

yalidondokea kwenye booklet niliyotumia

kufanya mtihani.

Lakini hatimae nilimaliza mtihani, ambao niliufanya kwa machungu mengi Sana.

Muda haukua umeisha nikalazimika

kuusubiri muda, mwenzenu nililia kwenye

chumba Cha mtihani nikiwa nasubiri

muda uishe, hatimae Kuna msimamizi

mmoja aliniona akaja nilipokua Mimi?.

“ Vipi mwanafunzi? Mbona unalia

kwenye chumba Cha mtihani ? Hujui

Kama unavunja Sheria?” Alinihoji huyo

msimamizi wa kike nikashindwa kumjibu zaidi ya kufuta machozi.

“ Nimekuuliza?” Alifoka

“ Samahani madam, ki ukweli sipo vizuri kiakili na na kichwani nawaza mengi

Sana haswa juu ya baba yangu

marehemu, ukizingatia siku kama ya Leo ndio siku alifariki mikononi mwangu”

nyie ilinilazimu kutumia uongo ili

kujisaidia kwa wakati huo. Masikini ya Mungu msimamizi wa watu aliguswa na kilio changu.

“ Jamani pole, umemaliza kufanya

mtihani wako au bado ?”

“ Nimemaliza madam”

Unaweza kwenda

mama alifaa kua mlezi wa watoto na sio mwalimu. Alinisindikiza mpaka nje

kabisaaa. Akaniacha huko.

Nilipofika nje akili yangu ilikua moja tu kipimo Cha mimba. Kwa kua pesa kiasi

nilikua nayo, sikuchelewa kuongoza njia

kwenda kununua sikutaka kumngoja

miracle Tena, kwani tayari nilihisi

kanidanganya. Atimae nilikipata

nikajipima mwenyewe. ‘uuwii! Nilikua

m ja m zi to’

nje, Ila kua Makini usijipe stress zaidi sawa” daah yule

Sehemu ya 19

Nilishtuka nyie na kuhisi huenda labda

kipimo kinaniongopea, nikalazimika

kutumia kipimo kingine kwani nilinunua

vitatu. Na Kama bahati nilikua pekee

yangu mle Dom, kwani wanafunzi wa

junior class walikua kwenye Madarasa

yao wakijisomea huku senior wakiwa

kwenye mtihani. Nilipima Tena

mwenzenu.

Ilikua positive nyie mistari miwili

nyekundu ilisoma Mimi Ni mjamzito, nilipagawa nilipagawa na kwenda

kuvidumkiza chooni vile vipimo.

Nilibakisha kimoja Cha kuja kumalizia

hasira yangu kwa miracle. Kwa Nini

anidanganye, nilianza kulia Sana nililia

Mimi.

“ Kwa Nini imekua hivi? Kwa Nini

Maisha yangu ya furaha na matamu

yameingia kisukari. Yote kwa sababu ya

Nini? Kwa sababu ya Gerald “ nilihisi

kumtapika huyo Gerald. Ila moyo wangu

uliuma kila nilipomkumbuka Gerald.

Gerald alikua mwanaume wa kwanza

kuingia moyoni mwangu, Ila mwisho wa siku amekuja Kasi na kuishia kunichezea tu. Ameniharibia Maisha yangu huyu.

Nililia bila mpozaji na mwisho nikaishia

kulala usingizi Tena nikiwa na majonzi

ilikua saa nane wakati nalala. Lakini

nilikuja kushtuka tayari jua linaenda kupotea mawinguni, it means ilikua saa

11, Mira alikua amekaa pembeni yangu tayari ashapakia kila kitu

kuashiria tupo mbioni kuondoka.

“ Mm Mira mbona__”

“ Huna haja ya kuongea! Najua una maswali mengi juu yangu Ila sio Sasa”

alinikatisha nyau huyu aliogopa kabisa ntamsema.

“ Mira wewe Ni rafiki wa aina gani??”

Nilisikitika jamani kua na rafiki Kama

yeye, kwa Nini aliniongopea.

“ Ami Mimi Ni huyo huyo, umesikia

sasa, gradu wiki ijayo Kama ilivyo

ratiba hivyo Basi kwa Sasa tunafaa

kuondoka na kwenda nyumbani kwetu

mpaka Gradu iishe ndio Turudi mkoani kwetu”

Mira hakua akichukulia uzito suhara la

Mimi kua mjamzito, niliweza kutoa

kipimo mkobani Ila akaona na kukikandamizia ndani! Sikuelewa kwa

Nini hayupo tayari kushuhudia?.

“ Ami ntakuzabua em kua mkubwa”

alipandisha macho Yake juu hapo ndo

nikaelewa kua kitanda Cha juu alilala

mtu, na alielala alikua Jamila, mdada

mmbea huyo nikashusha pumzi zangu.

“ Daah kwa hiyo tunaenda”

“ Mapema Sana hata hivyo tayari

nshaleta bajaji kuja kubeba mizigo

yetu, acha nianze kutoa, kanawe uso wako umejaa makunyanzi” nilipatwa

hasira nilikua na makunyanzi. Nilienda

kunawa uso kweli. Ila wakati naenda nje nikakutana na jovina.

“ Mmhh Ami siku hizi unalala wewe!

Hadi netball hukucheza leo” nilijua

kabisa ananidhihaki anatamani kujua

kuhusu Mimi.

“ Napumzisha akili hata hivyo sisi

vichwa Maji hutumia muda mwingi

kujisomea wakati wa mitihani” nilimjibu Kama alivyouliza.

“ Mmh hiyo ni sahihi, alafu huwa tunafeli”

“ Kabisaa, na yote hutokana na kufatilia Sana Maisha ya watu,, jovina mwenzio nahitaji kureport unaweza niacha” nilitabasamu kwa kejeri na kufinya macho yangu ndani.

“ Sawa kila la kheri Ami namuona dada

yako hataki mlale humu ndani Leo na

tayari kashatoa kila kitu nje”

alipindisha midomo Yake wadada Hawa khaa!

“ Ndo maana nakwambia, kufeli kwa

Maisha husababishwa na kujiweka bize

na Maisha ya watu kuliko ya kwako!!”

Nilimpa vyeke hapo Kisha huyo, nikachomoka zangu na kwenda bafuni.

Ki ufupi maneno ya watu nilihisi

kuyazoea kwa kipindi hicho, kwani mtu

pekee aliekua akizungumziwa siku hiyo

Ni Mimi na namna nilivyowahi kuondoka

kwenye chumba Cha mtihani. Watu

waliweka green mark ( tiki ya kijani

)kabisa kua Mimi ntakua mjamzito.

Anyway hata Kama ninao Sasa wao

inawahusu Nini?

Majira ya saa mbili za usiku Mimi na

Mira tulikua na mjadala mzito Sana

kwenye chumba chetu. Mira alinieleza

ukweli kabisa.

“ Ami Mimi niligundua mapema Sana kua

wewe ni mjamzito, nilipata mawazo

mengi Sana juu yako nilikua na khofu Ni

vipi utaukaburi ukweli huo na tayari

tunakaribia mitihani. Sikua na Budi

zaidi ya kukujenga ki saikolojia ili

ugundue ya kua wewe si mjamzito Kama

ulivyotamani, ili angalau urejee katika

ufahamu wako wa darasani uwaze juu

ya mtihani, kwani niliamini kabisa laiti

ungejua kabla kwa hakika hakuna kitu

kingefanyika.

“ Mira wewe! Unajua kabisa nilivyo Bora

ungenambia mapema nisingepata maumivu haya ya leo”

“ Imagine ndio ningekwambia bado

hatujafanya mtihani bila Shaka hata

huo mtihani usingeweza kuufanya, Ni

mwili wako na taarifa za madiliko

ulizipata Ila hukutaka kukubali, vipi mtu

angekuthibitishia kabisa kua wewe ni

mjamzito, bila Shaka ungezimia”

Daah! Maneno Yake yalikua na maana

hakika ningekufa kidogo na kurudi

baadae, sikua tayari mpaka muda huo

vipi kuhusu ningepewa hiyo taarifa

nikiwa kwenye mtihani wa kwanza, bila

Shaka ningepanic na kutamani kuharibu

kila kitu. Wakati huo tu akili haikua

yangu.

“ Kwa Sasa unawaza kufanya nini?”

Mira alinihoji swali Kama Hilo lakini

tayari nilikua na suluhu ambalo.kamwe

katika Maisha yangu sikuwahi

kumuwazia mtu kufanya. “ Mira Sina

jinsi lazima nitoe!!”

Sehemu ya 20

Mira alihisi Kama nimempiga shoti

kwenye masikio yake’, yaani Mimi ndo wa kumwambia hivyo kweli? Sijui lakini

sidhani Kama hata aliwahi kulala akaota

namwambia maneno Kama hayo, yaani

Mimi Ni wa kuwaza kutoa mimba hata

Kama imeingia bahati mbaya sikufaa

kuiwazia mabaya.

“ Ami umewaza kweli?” Alinihoji swali la kutatanisha lakini mwenzie tayari

nilichanganyikiwa. Nifanye nini Sasa?

Sina jinsi.

“ Miracle nifanye nini Mimi? Mama yangu anahangaika na Mimi kila siku!

Kaka zangu walijitoa kwa ajiri yangu, wanahangaika kudunduliza ada kidogo

kwa ajiri yangu alafu mtu mmoja aje

apoteze matumaini yangu ya miaka mingi? Ki ufupi Sina namna sikuwahi

kuwaza juu ya Hilo, hata hivyo Sina

ujanja Mimi na Gerald Ni Kama tushaachana”

“ Ami ni Sawa lakini vipi kuhusu yeye?

Anajua kuhusu ujauzito wako?”

“ Hapana Mira, hata Sina haja ya

kumwambia kuhusu hili, hujui Ni jinsi

gani nilihisi kufa nilipopata uhakika kua

Ni mjamzito Mimi, nitaitoa” nilishika

kichwa changu kwa kuchanganyikiwa zaidi.

“ Ami kumbuka tumetoka wapi? Just imagine Kuna watu wanatamani kupata

hata watoto wa kusingiziwa tu, Ila

hawapati kumbuka tumetoka kwenye familia gani? Bahati mbaya sisi sote

mama zetu walianza kwa kushika

ujauzito ndo wakapata vibali vya

kuolewa tukajikuta tumezaliwa katika

ndoa salama, kwa ajiri ya vibali vya

ujauzito, Sasa wewe unataka kutoa

Ami, una mawazo gani? Hata Kama

unawaogopa ndugu zako’, kumbuka

baadae utakua na Maisha yako bila

wao, kubali ku kabiriana na changamoto

zote utazokutana nazo, Ila usifanye

dhambi Kama hiyo”

Mira alikua sahihi lakini kwa kweli

siwezi Mimi? Siwezi kukaa nayo hii

mimba, labda anaongea tu kwa sababu

haijamkuta yeye.

“ Ami mwambie kwanza Gerald “ hapo

ndo alikua akinimaliza kabisaaa. Yaani

Gerald huyo mwanaharamu nimwambie

eehhee mtu mwenyewe simjui vyema

sema Basi tu nimeishia hivi kwa ajiri

Yake? Ila aliniita mchafu.

“ Hapana Mira sitamwambia, sitaki kua

mnyonge na mdhaifu mbele Yake, hata

ikitokea ujauzito wangu umekua acha

ukue wenyewe Ila sitamwambia Gerald kuhusu Hilo”

“ Haufanyi sawa, huwezi jua Gerald anakuwazia Nini? Unachojari Ni fikra mbaya tu juu Yake? Kwa Sasa hujui anapitia wakati gani bila kuwasiliana na wewe?”. Mira Ni Kama alikua na undugu na Gerald mbona anamtetea hivi?

“ Mira sitaki? Sipo tayari kujihusisha na Gerald hakiya Mungu, Gerald sio mwema kwangu”

“ Nisikilize kwa Mara ya mwisho, mtafute umwambie ukweli kuhusu wewe na ujauzito wako, iwapo ataukana na kukutolea nje, nakuahidi kipenzi changu, ntakua bega kwa bega na wewe katika

kila maamuzi” nyie huyu Mira nilipewa

pekee yangu Kama rafiki ama? Mbona

wengine hawana bahati.

“ Nahisi kabisa Gerald atanikataa Mira”

nilikua na mawazo Sana, ki ukweli

nilijiona Sina bahati Kama mwanamke, yaani ndo mpenzi wa kwanza maishani

mwangu lakini sijaweza kudumu nae

hata kwa nusu mwaka, bahati mbaya

iliyoje?

Hatimae usiku huo tulilala japo nilikua

na mawazo chungu nzima, nilikua

nawaza Hadi nikakumbuka kuhusu story

zangu na Gerald. Siku moja nikiwa

kwake alikua akifua huku Mimi

nikimsaidia. Alikua mvivu Sana wa kufua mjinga huyo.

“ Mi sipendi kufua kwa mikono inachosha akili na mwili” alilalamika.

“ Mwanaume gani unakua mvivu

kupindukia, nahisi umeachika kwa

wanawake kwa sababu hiyo” nilimwambia akanimwagia Maji ya mapovu.

“ Gery unanitafuta la rohoni?”

Nilimfokea bila kusita akanimwagia tena

Kama kutaniana. Nilihisi kuvurugwa

nilijikuta nabeba beseni Zima la mapovu ya sabuni na kummwagia akaloana kwa

mshtuko, nikaanzaa kumcheka. Gery

alinitazama kwa hasira nikaogopa na kuinuka haraka. “ Ami ume__” kabla

hajainuka anikamate nikaanzaa kukimbia mbio.

“ Simama hapo” tulianza kukimbizana hapo uani tulipoanika nguo Gery

hakuniacha mwenyewe, alinikimbiza

nikawa najificha kwenye mashuka yaliyoanikwa. Ghafla nikashtuka

nimenaswa kwenye mikono Yake ambayo

ilizunguka kwenye kiuno changu.

“ Ami wewe Ni wangu unawezaje

kunipotea” aliongea kwa sauti ya

mahaba kwenye masikio yangu nikawa

mtulivu, Ila tayari alinilowesha na Maji

kutokana na alivyokua kaloana.

“ Gerald mwenzio baridi huoni

umeloana” nilimwambia kimadeko.

“ Usijari kipenzi, upo kwa ajiri yangu, nipo kwa ajiri yako my love”

alinizungusha kwa nguvu mpaka nikahisi

wivu Kama aliwahi kua namtu mwingine inamaana alikua na Raha Kama hizi pia.

“Usiulize juu ya Mambo yaliyopita sio

muhimu, hudhorotesha afya ya mahusiano “ alinipa onyo nkatulia

sikumuuliza Tena. Alinibusu’ jamani na kumbukumbu yangu ikaishia hapo.

Hatimae nililala baada ya kumbukumbu

hiyo nzuri.

Asubuhi majira ya saa tatu ndo niliweza

kuamka, nilinawa uso na kupiga mswaki

bila kuoga. Kitu Cha kwanza ambacho

niliwaza Ni kumpigia Gerald.

Nilichukua simu nikiwa na hofu na

mashaka kibao. Ila niliweza kuipiga

namba iliyoseviwa My Gery. Simu iliita

muda mrefu’ kidogo mpaka nikahisi

itakatika yenyewe ndipo ikapokelewa.

“ Hallo” moyo wangu ulidunda hatari, moyo ulikua juujuu kwa sauti aliyoitoa

Gery, Ni sauti ileile niliyokua nimeizoea

wakati tupo wawili Mimi na yeye. Ni

sauti ileile iliyozoea kuupa moyo wangu

msisimko.

“ Mbona upo kimya?” Aliniuuliza baada ya kuona kimya nikaogopa kuongea Ila

nilijikuta natetemeka mwenzenu.

“ Sema unashida gani?” Nilihisi kulia

Gerald hata salamu hakuna kashaulizia

shida. Na Mimi nikahisi kua na jeuri

sikua tayari kujishusha nikaenda moja

kwa moja kwenye point. “ Gerald mi Ni mjamzito, ki ufupi Nina mimba yako”

nilimwambia.

“ Una uhakika hujakosea mtu wa

kumwambia maneno hayo” aii umewahi

kumwagiwa Maji ya ukoko ukijiandaa

kuhudhuria interview kwa suti ya kuazima. Ndo kilinikuta Mimi Sasa

jamani. “ Gerald wewe?? Ni Kama vile hunifahamu kabisa”

“ Hebu fanya utafiti sahihi wa kumtafuta huyo muhusika wa mimba ndo unitafute, useme kwa Nini unipakazie kesi isiyonihusu” daah! Kwa uwoga ambao niliupata sikuweza kusubiri akate simu niliikata mwenyeweeee.

Sehemu ya 21

Baada ya kukata simu nilijikuta

naidondosha bila kujua, yaani nilihisi

Kama natamani kufa kufa hivi kweli

alikua yeye? Alikua Gerald ambae

nilimchukulia Kama mpenzi wa Maisha

yangu? Vipi kuhusu Yale mapenzi na

wivu aliokua akinionyesha hapo mwanzo?

Yote Yale alikua akijifanya tu?

Sikuweza kuamini Hilo. Niliwaza Sana

nililia Sana kila nilipomkumbuka huyo

mwenda wazimu Gerald. Kila

nilipoukumbuka uwongo wake jamani

wanawake kwa Nini tuliumbiwa

kudanganywa. Nililia Sana Hadi macho

yangu yakawa mekundu. Wakati huo

Mira hakuwepo, alienda kufanya

manunuzi kwa ajiri ya graduation yetu,

Ila ki ukweli kwangu Mimi akili ya graduation haikuwepo hata kidogo.

Nililala Tena baadae ndo nikaja kuamka

na kujikuta nakumbuka mazungumzo

yangu na Gerald . Sijui ilikua saa

ngapi? Kwani hata simu ilipodondoka

ilizima moja kwa moja na Mimi sikujua

kuhusu Hilo hivyo sikuangalia saa.

Nilitamani kupata pesa na kwenda kutoa

huo ujauzito wakati huo huo? Akili

yangu haikuweza kusimama yenyewe

mwenzenu nilitembea taratiibu kuelekea

mpaka duka la dawa. Nilifika duka la

dawa bila kufikiria na kumkuta huyo

dada ambae sikua namazoea nae Sana nikamsalimia.

namna nilivyokua

nimechanganyikiwa alihisi kabisa naumwa

Sana kiasi Cha kumfia.

“ Dada shikamoo” kwa

“ Dada punguza presha ndo uongee, utapoteza direction” aliniambia hata

kumuelewa sikuweza. Yaani mawazo

yangu yote yalikua Gerald Gerald kwa

nini alinifanya hivi?

“ Una tatizo gani dada yangu?” Alinihoji

huku akinipatia kiti na Maji ya kunywa

kwanza. Maji yalikua nusu Lita lakini

niliyapiga yote.

“ Acha papara dada hii ndo dunia” yule

dada muuza dawa alikua mwema Sana, aliongea na Mimi kirafiki kana kwamba

alinijua, nyie Mira alikua sahihi

kunificha Jambo hili wakati wa mitihani

kwa Hali niliyokua nayo sidhani Kama

mtihani ningefanya. Hakika nilichanganyikiwa.

“ Samahani dada, unaweza kuniambia kidonge Cha kutoa mimba kinauzwa Bei gani?” Nilimpatia kikombe alichonipea

Maji ya kunywa. Alipokea akiwa na mshtuko mkubwa Sana kwenye uso wake akiniangalia.

“ Dada tafadhari naomba unielewe, unaweza nifikiria unavyotaka Ila baada ya kunijibu mwenzio nimeteleza kabisa”

nilimwambia akakaa kuniangalia tu.

“ Dada yangu nipo chini ya miguu yako”

nilishuka kwenye kiti na kupiga magoti

mbele Yake, kitu pekee alichoweza Ni kuniinua pale akiwa na uwoga wa kufa

mtu kwenye uso wake Kisha akaniingiza ndani ya duka lake.

“ Samahani hadithi yako sio ya kuongelea nje, hii Ni jinai kubwa Sana kutoa mimba ! watu wakigundulika huwa

wanafungwa kabisa, ni kosa kubwa

Sana” aliponambia hivyo nikaona daah!

Mjinga Sana Mimi mbona sikua najua.

“ Sawa unaweza kuniambia Ni shingapi?”

“ Ni kweli naweza Ila inabidi kwanza

nitambue ujauzito wako una muda gani?”

“ Dada yangu hata sijui, kiufupi Mimi

nimepima Mara kadhaa na kugundua

kabisa Mimi Ni mjamzito Ila sijui Ina muda gani nachotaka Mimi Ni kutoa”

nilimwambia bila kufikiri.

“ Unajua kuhusu madhara ya kutoa ujauzito dada yangu?”

“ Acha kuwaza juu ya Mimi? Waza tu kuhusu kunisaidia nikikaa nayo Ni madhara zaidi”

“ Ok sawa Ni elfu 50” mmhh Bei hiyo

ilinishinda kwani kwa wakati huo Mimi

sikua na pesa kabisa. Na tayari

nilitamani kutoa hiyo mimba sikua tayari

kua nayo kwa Nini niwe na mimba ya mtoto asie na baba?.

“ Dada yangu naomba unipe siku mbili tu tayari nakuja na pesa unipe hizo dawa” sijui hata nilikua naenda kutafutia wapi? Kikubwa niliamini kuipata.

“ Sawa Ila itabidi upime kwanza ujue huo ujauzito una muda gani?” Aliniambia nikaondoka zangu. Sikutaka risala zake

hata hivyo hakuonekana kua tayari na Hilo. Niliondoka zangu nikiwa sina raha zaidi na hiyo Hali.

“ Umeondoka Ami umeacha mlango wazi, simu umezima. Kila kitu kipo hovyohovyo kwa Nini unaniweka kwenye khofu” Mira

alinipokea na maneno chungu nzima kweli nilipoondoka sikua hata na wazo la kufunga mlango.

“ Mira naomba uniache kwanza, sipo

sawa kabisa” nilimwambia na kuingia ndani nikajitupia kwenye godoro letu la bila kitanda.

“ Ami Kuna nini kwani? Nimefika

nikawasha simu hapa, nimekutana na meseji za Gerald Kama sita na kasisitiza anataka kuongea na wewe?”

Aliponambia kuhusu Gerald sikutaka hata kumjibu niliweza kujilaza tu kitandani na kulia Sana.

“ Najua hutaki kuongea nae Wala

kuongea kuhusu yeye, Ila ukweli

kwanzia nimewasha simu mtu pekee

anaepiga simu hii Ni yeye Ami” Mira

alikua na matatizo gani? Kwa Nini

amegeuka kumtetea Gerald mimi ndo

napitia changamoto kubwa wakati huu

Kama rafiki yake’ alifaa kuungana na

Mimi kunisaidia Ila mdomoni kauli kubwa

Ni Gerald.

“ Nipe simu” nilimwambia kwa kumpa

mkono wangu hewani akanipatia.

Nilitafuta namba ya Gerald nikaipiga

kwani inasemekana yeye ndo amepiga

Sana. Simu iliita kidogo tu na

kupokelewa. “ Ami naomba unisamehe

nimeenda mbali” yalikua maneno ya kwanza kutoka kwa Gerald. Sikua na jibu zuri la kumpa zaidi ya. “ Nisaidie ikiwezekana nikopeshe shilingi elfu 50, nikatoe ujauzito huu”

Sehemu ya 22

Nilihisi ukimya kutoka upande wa pili wa simu, sijui alikua na reaction gani huko

alipokua Ila nahisi aliridhia kabisa

maana alinipa jibu ambalo nilitarajia.

“ Sawa nakutumia Leo hii” mmhh moyoni

niliumia na kuona Ni jinsi gani? Ni jinsi

gani mwanaume huyu hakufaa kua na Mimi kabisa.

“ Sawa sidhani Kama Kuna kingine

kimebakia” nilimwambia na kukata simu.

Nilimrejeshea simu miracle ambae

alibaki kwenye mshtuko akiwa haelewi

aanze na Nani Kati yangu na Gerald ki

ufupi tulimvuruga Sana. Akiwa

kasimama Kama mlingoti huku Mimi nalia

Sana na kujutia maamuzi yangu na

utoto wangu wa kipuuzi ulioniletea

madhara, simu kwenye mikono ya Mira iliita. Mira alinambia. “ Gerald amepiga

simu”

“ Mpokelee mwambie Kama hawezi

kutuma hiyo pesa aache ntatafuta kwa

mpango wangu mwenyewe” Mira alikosa

usemi alipokea simu na kutoka nje ya chumba kabisa. Sijui Ni kipi waliongea

Ila majira ya jioni Mira aliniamsha

maana nilikua mpenda kulala hovyo.

“ Vipi Sasa, mbona upo hivyo, Mimi ndo

mwenye tatizo “ nilimwambia.

“ Ami kweli wewe na Gerald hamkufaa

kuishia hivi, Gery katuma pesa” alitoa

kibunda Cha elfu sabini akanipatia.

“ Akipiga tena mwambie Amina anashukuru Sana, na hatokaa

amsumbue” nilikua na Majibu hayo kwa

Mira Kisha nikainuka na kuelekea kule

kule duka la dawa kwenda kuchukua

vidonge nitoe huo ujauzito.

“ Dada nimeona siku mbili zitakua

nyingi, nikaamua kudunduliza hatimae leo ndo siku yenyewe, naomba mzigo

wangu” nilimwambia baada ya

kusalimiana nae kabisa.

“ Sawa lakini mmhh!!” Dada wa watu

aliguna kwanza akanipatia vidonge, kiufupi sikua najua Ni vidonge vya aina

gani Ila niliamini kabisa vinatoa

ujauzito. Akaniambia Kuna vya kunywa na vingine vya kuweka chini… Na

maelekezo kamili akanipatia. Niliondoka

hapo kimya na kurejea nyumbani nikiwa

nimebakiwa na elfu ishirini tu.

“ Ami ki ufupi inaniuma, naogopa Kama

litakutokea tatizo bora usifanye hivyo”

alinisisitiza kabisa nikaona Mira

anaogopa labda nitamfia apate kesi.

Nikachukua kalamu na karatasi

nakuandika hapo ujumbe mrefu’, ili

ikitokea nimekufa Basi asipate tabu.

“ Ami sidhanii kufa kwako Ila nahofia

kukupoteza, kwa madhara

yatakayojitokeza” aliniambia sikuweza

kumjari, niliweka kidonge kimoja

mdomoni huku machozi yakinitoka, Kisha

nikanywa kabisa. Alafu nikaelekea

bafuni na kupachika kingine Kama

nilivyoelekezwa Kisha nikarejea

chumbani na kuandaa beseni nikisubiri

matokeo… Mira hakutaka kuondoka

karibu yangu kwani alikua na khofu.

“ Mira jiondokee zako’, utakoma iwapo nitakufa watakukamata”

“ Sijari kuhusu kukamatwa nachojari

Mimi Ni uzima wako tu, kwa nini Ami unalazimisha kufanya hivi?” Ki ufupi

Mira alihisi kukata tamaa na kuishia

kushika kichwa chake kwa majuto.

Mimi sikujari Hilo Bali nilisubiri tu matokeo ya mimba kutoka. Nilisubiri

karibu nusu saa nzima Ila sikusikia hata

dalili ya kijusi kushtuka.

“ Mira mbona sipati matokeo yoyote mwenzako?” Nilihoji.

“ Sijui labda muda bado” alinijibu Kama

hakua anafahamu’ kitu pia.

“ Mira ki ufupi sitaki hii mimba

inigomee kutoka nataka itoke nje, sipo tayari kua na mtoto wa Gerald kwenye tumbo langu” nilimwambia Mira kana

kwamba alikua na uwezo wa kuiamuru

hiyo mimba kutoka nje.

“ Tuendelee kungoja” Mira alijibu

utadhani hata yeye alikua tayari

kushiriki dhambi moja na Mimi.

Masaa mawili yakakatika wapi? Mmhh !

Nikapata khofu! Isiwe huyu muuza dawa

amenipiga na kitu kizito kichwani?

Nikazidi kungoja. Mpaka hiyo siku

ikapita bhana. Hadi kunapambazuka

mwenzenu sijatokewa na hata dalili za

kijusi kuvuruga Wala kuhisi kutapika

kwa kutoa mimba.

Asubuhi hiyo Gerald akapiga simu,

mbwa huyu kwa kua alihisi mimba

imetoka ndo maana kupiga simu. Mira

alipokea Kisha akanipatia simu.

“ Ami hujambo mama angu” mabadiliko

yake’ ya lugha yalinichoma nikajikuta

namtukana.

“ Unawezaje kujifanya hata katika umri

huu?, Gerald Mimi na wewe hatujuani

lakini maumivu uliyonipatia Ni kiboko,

unataka nikwambie sijambo wakati unajua sipo sawa ki afya, Ni Nani

alikuchagua uwe daktari mbwa wewe!”

Nilimtukana bhana.

“ Ami punguza ukali, natamani kuongea vizuri na wewe, ki ufupi Mimi sipo tayari kuachana na wewe, natamani kujua kuhusu afya yako, na kuhusu kile

ulichodhamiria kufanya umefanikiwa??”

Aliniuuliza akiwa na maana gani? Akiwa na shahuku ya kujua iwapo nimetoa

ujauzito? Ahaha! Kweli nilifeli Maisha

kua na Gerald Kama mpenzi wangu?

“ Gerald naomba nikuombe kitu, niongezee Elfu thelathini nikanunue

vidonge vingine kwani vya kwanza

havijasaidia, nahitaji kubadili mtu wa kuniuzia” nilimwambia.

“ Hivi Ami upo serious kabisa unataka kumuua mtoto wangu?” Gerald alifoka

kwa sauti hapo ndo nikashtuka kua

huenda hata hii ya mimba kugoma

kutoka Ni kwa ajiri Yake. Kwani nini

kilitokea? Niliyatua macho yangu kwa

Mira alieshindwa kunitazama kwa aibu.

Sehemu ya 23

Mira aliniangalia kwa macho ya khofu

Kisha akatoka nje baada ya kushindwa

kunikabiri, ki ufupi alinivunja moyo kwa

hiyo alishirikiana na Gerald kuzuia

mimba isitoke ?

“ Ami, najua nilikukosea ila nilikua

nakutest, nilikua nakujaribu uvumilivu

wako! Sikufaa kufanya hivyo kwako, lakini tafadhari naomba usimuue mtoto

wangu, ntakuja huko hivi karibuni”

aliniambia nikahisi hasira nikahisi

kumuua Gerald.

“ Gerald wewe unajisikia unachoongea

kweli? Hivi hujui Kama umeyavuruga

Maisha yangu kiujumla “ nilimwambia

nakuanza kulia upya.

“ Kwa Sasa sitaki chochote Gerald

nahitaji kutoa huu ujauzito sipo tayari

kua na wewe, sipo tayari kuzaa na

wewe sipo tayari kubaki na huyu mtoto

kwenye tumbo langu”

“ Ami nisamehe Mimi, Mimi ndo mwenye

makosa na sio mtoto wangu, tafadhari

Sana” aliniambia nikawa simuelewi nikamkatia simu. Kisha nikaandika

ujumbe mrefu’.

[ Nilikua muungwana Sana hata

kukufahamisha kua Nina ujauzito wako,

Ila unasema nitafute wa kumpakazia, Sasa Basi naenda kumtafuta na

ntahakikisha ananipatia pesa ya kutoa

ujauzito huu ili Maisha yaendelee]

nilibonyeza kitufe Cha kuruhusu ujumbe

nikawa nimeutuma kabisa. Haikupita

muda mrefu’ nikaona meseji kutoka kwa

Gerald.

[ Ami Ni kweli kabisa umedhamiria

kumuua mtoto wangu, sawa nimejaribu

kumuokoa Mara ya kwanza lakini

inaonekana wazi kabisa hayupo kwenye

hifadhi salama, Sina Budi kutumia pesa

nyingine ukatafute dawa kwa watu unao

waamini wakusaidie kumtoa huyo mtoto]

nilipomaliza tu kusoma ujumbe ambao

kiasi Fulani ulinigusa Ila sikutaka kujari

Sana. Meseji ya muhamara ilifika.

Ilikua laki moja kabisaaa.

Nilihisi kucheka na kumuona Gerald Ni

mnafiki Sana anajifanya anamlinda

mtoto asife alafu anatuma pesa za

kumuua, ili ionekane Mimi ndo mwenye

dhambi pekee yangu.

Siku hiyo ilipita, kesho Yake asubuhi

tulienda shuleni Mimi na Mira kwa ajiri

ya hili na lile maana graduation ilikua

mbioni, sikuweza kumwambia Mira Kama

Gerald alituma pesa Tena ili nikatoe

ujauzito, kwani nilijua anaweza

kuzunguka Tena na kumsaidia Gerald

yule mnafiki.

Wakati tukiwa shuleni nilienda kwa nesi

wa shule alikua rafiki yangu Sana,

nikajaribu kumshirikisha matatizo yangu na yeye akasema nisijari atanipatia

dawa kikubwa niwe na pesa. Kweli

bhana sikua na shida juu ya Hilo

nilimpatia pesa. Baada ya kumpa pesa

akanipa dawa.

aliniambia akitabasamu kwa hamu zote.

Nikatoka mpaka nje ya shule

nikawaacha wenzangu wanajimwaya

mwaya na graduation. Inayokuja hapo

mbele

Nilifika nyumbani na kuandaa vidonge

ambavyo vilikua na maelekezo sawa

sawa na Yale ya kwanza. Ki ufupi siwezi

“ Asante nesi”
“ Usijari Ami, mi ndo nakujua zaidi”

kua mnafiki, nilikua nafanya hayo yote huku moyo wangu unauma Sana.

Nilijiona shetani kwa muda mfupi?

Wakati huo Sasa dalili tayari zilikua

kubwa na nilikua naziona live. Hata

tumbo langu lilikua na msitari mweusi ambao ulijichora. Inamaana kweli nilikua na kiumbe kwenye tumbo langu. Kiumbe

ambae nililazimika kumtoa kwa sababu ya kujipenda mwenyewe. Mimi sifai

kuitwa mama katika huu ulimwengu.

Niliwaza hayo nikaanda Maji ili nimeze

kidonge. Wakati najiandaa kumeza simu

ikaita, nikasita kwanza na kuangalia

mpigaji. Mmhh’ alikua Gerald huyu

baba anamachare Sana. Nilimpokelea

nikiwa tayari nimedumkiza kidonge

mdomoni paomja na Maji.

“ Ami usiniambie umekunywa vidonge tayari??” Ndo yalikua maneno Yake ya kwanza baada ya Mimi kupokea simu.

“ Kwani we unatakaje?” Nilimwambia.

“ Nina uhakika kabisa ya kwamba wewe ni mwanamke mwenye moyo wa tofauti

Sana Ami, sidhani Kama utakua tayari

kumuua mtoto wako mwenyewe” aliniambia.

“ Gerald nimeamua, nahitaji kua salama

pia, hata hivyo siioni future nzuri

katika sisi, sitaki kua single mama hapo

baadae” nilikata simu baada ya kumwambia hivyo. Alinitumia ujumbe

mrefu’ Sana baada ya Mimi kumkatia simu.

[ Ami najua Sana Mimi Ni Kama tatizo

kwako, Ila nakuomba Sana Ami wangu

usifanye makosa ya kibinadamu kwa

kukubali kumuua mtoto wako mwenyewe,

jiwazie pia iwapo mama yako angekutoa

Nini kingetokea usingenijua Wala mimi

kukujua wewe, kubaliana na karaha

pamoja na dhiki utakazopitia kwa

kusemwa na kudhihakiwa na watu hata

iweje sitakuacha mwenyewe, nitakua

sambamba na wewe Ami wangu, naomba

unipe Imani yako hata punje au

theluthi, tafadhari Sana huyu Gerald

unaemuona Kama mlaghai, Ni kweli

yawezekana ikawa hivyo, Ila huyu Ni

Gerald ambae amengukia kwako Amina.

Ni kweli huwezi nipa moyo na Imani

yako Ila Imani yangu inaniambia kabisa

kua hakuna mwingine alieangukiwa na

Gerald zaidi yako wewe. Ami I really I

FALL FOR YOU, naomba unikubali na

umuache salama mtoto wetu ili tujenge

familia, japo haiwezi kua rahisi

kulingana na wakati huu Ila kubali ya

kwamba kesho yako ipo mikononi kwa

mwanaume mmoja tu ambae ni Gerald

Tantalila ]

Nilihisi Kama ananiambia upuuzi, kwani tayari ibilisi wa kumtoa huyo mtoto

tumboni mwangu alikua amenikamata vilivyo. Nilifata maelekezo Tena na tena.

Sehemu ya 24

Majira yalisogea nikajikuta napata usingizi mrefu’ Sana, sielewi Kama hiyo ndo ilikua dalili moja wapo ya ujauzito

kutoka Ila ndo hivyo yaani nilijikuta

nalala usingizi mrefu’ mpaka pale ambapo nilihisi midomo yangu ilikua na kitu.

Nilihangaika ili kutoa hicho kitu

nisichokielewa kwenye midomo yangu

lakini wapi? Ghafla nikahisi kama

napata Raha kwa msongamano huo, hivi

nilikua naota au? Ni kweli labda nilikua

naota? Nilihisi kama mtu ananibusu

Tena busu yake’ ilikua TAMU Sana na

tulivu nilijikuta namkumbatia mtu huyo

baada ya kufungua macho yangu na

kuona taswira ya Gerald.

Niliamini Ni ndoto kabisa.

Nilikandamiza midomo yangu kwake na

yeye akafanya hivyo baada ya

kunikumbatia kwa nguvu, shida ikaja

kwangu hivi hii ndoto ya aina gani ya

vitendo halisi. Nilijaribu kung’ata

midomo Yake iwapo ataumia nijue sipo

ndotoni. Ila hakushtuka. Nikaamini

kabisa ni ndoto, kwani naona Hadi damu

ikimtoka. Ghafla harufu ya damu

ikatawala kwenye pua zangu. Mmhh’

inamaana alikua Gerald kweli nilitumbua

macho kana kwamba Kuna mtu alisema

zinduka. Haraka Sana nikamsukuma

huko Kisha nikakaa.

“ Uu wewe?!” Nilifoka na kuanza

kutema mate yenye damu kwenye

beseni, ndo nikajiuliza beseni lile

liliandaliwa kwa ajiri gani? Nikakumbuka

kabisa nilikunywa dawa nyingine kwa

ajiri ya kutoa mimba. Na Gerald kafika

vipi hapa?

“ Gerald wewe??” Sikua hata na neno la kumwambia nikajikuta nafunua nguo

kujiangalia iwapo mimba imetoka au la.

Khaaa!! Haikua imetoka sikua na dalili yoyote Ile ya mimba kutoka.

“ Usijisumbue Ami, mtoto wangu hawezi kufa kirahisi anadamu ya baba yake’”

aliniambia hivyo nikapata hasira

inamaana nimechezewa mchezo Tena?.

Nilikunja uso wangu ukakunjamana

vilivyo. Kwa Nini niliishia kujuana na mtu huyu katika uzao mwingine ?

Nilikata tamaa.

“ Gery umethubutu vipi kunifanyia hivi?”

“ Mimi Ni baba nasimama kama baba na mume kwa ajiri ya mtoto na mke

wangu” nilisimama bila kupenda. ‘ehe!

Eti mke’ eti baba’ khaa!

“ Gerald kwa nini ulizaliwa katika hii

dunia. Tayari nilikua nimeridhika na Maisha yangu lakini haikua na tatizo

kunipa wewe Kama mleta shida maishani

mwangu” nililalamika Gerald akabaki

kuniangalia kwa huzuni.

“ Usinitumbulie macho yako ya kulegea, Bora uvae miwani siwezi kuivumilia sura yako unanitia kichefu chefu”

alitabasamu Kisha akainuka na kunikumbatia.

“ Inasemekana wanawake wakiwa

wajawazito huwa wakali na wachachu

Kama limao na pilipili” alipotamka hayo

maneno mwenzenu nilipata uchu muda

huo huo, nikahisi njaa, ghafla

nikatamani kula chips kavu za pilipili

nyingi pamoja na limao. Gerald

akajitupa kitandani na kuniacha

nimesimama.

“ Gerald nifanyie hisani nahisi njaa,

naomba unipikie chips kavu, japo Sina

hakika Kama wewe ni Gerald “ Gerald

alitabasamu Kisha akaniambia.

“ Nilimwambia rafiki yako kua nakuja

Leo hivyo awe Makini na wewe usije toa

mtoto wangu, Kisha nikamueleza ya kwamba nimekutumia pesa lazima

utatafuta mtu unaemuamini ili akusaidie

kutoa mimba, na kweli ulifanya hivyo, bahati nzuri Miracle alikuwahi aliongea na nesi wa shuleni kwenu kabla yako.

Ami acha kumsumbua mtoto wangu

kisaikolojia, ana miezi mitatu Sasa

anaelewa “ Nilichoka jamani! Kumbe

Mira yupo pamoja na Gerald

kuniteketeza kimya kimya, hajui tu Ni

changamoto gani ntapata mwenzie

nikirudi nyumbani na hii mimba!

Iliniumiza sana. Kisha nikakumbuka

Gerald katamka miezi mitatu! Hee!

Kumbe ilikua kubwa hivyo?

“ Gerald umesema Nini? Miezi mitatu?”

Nilihoji kwa kumpa sura ya sintofahamu.

Aliniinulia macho Yake yaliyolegea Kama

anataka kufa kwa hisia,, aa wee Bora

awe na miwani Maisha Yake yote! Hivi

alistahili kuniangalia hivyo! Bila miwani

mi siwezi. Midomo Yake ilisambaa kwa

tabasamu murua Kisha akanijibu “

mitatu, binti yangu atakua amekua

Sana “ aahh! Nilihisi kulia ndo kwanza

najua mtu aliekotumboni mwangu atakua

na miezi mitatu Kisha natajiwa jinsia

huyu karogwa Nini?

“ Gerald usinichanganye kwanza ondoka hapa, sitaki kukuona” nilimwambia kwa hasira nikakumbuka sio siku nyingi Sana aliniita Mimi mchafu.

“ Gerald wewe sio mwanaume anaestahili kua na Mimi, ki ufupi Mimi sio wa hadhi yako Mimi Ni binti wa hadhi ya chini Sana, Tena sio ya chini

mimi ni masikini Sana, mbali na umasiikini, Mimi ninae mama tu katika

hii dunia, alafu nalelewa na kusomeshwa na Kaka zangu, we unadhani mi nikirejea nyumbani na hii mimba

ntapokelewa na Nani? Naomba tu uniache mwenyewe na Maisha yangu”

nilimwambia akabaki kunitumbulia macho

alijikunja pale alipokua amelala

akauvuta mkono wangu nikadondokea kitandani.

“ Gerald sipo kwenye Hali ya kutaniana!” Niliweka sura ya huruma

akanikandamiza kitandani. “ Najua kwa

Sasa hauna Hali yoyote ya usawa, Ila

usijari Ami, hata iweje hata itokee

ndugu zako wakutenge, litakua suhara

la muda tu, naomba uvumilie, nakuahidi

ntakulinda, hata hivyo Sina hakika

Kama watakufanyia hivyo, kikubwa

amini na uelewe kua Gerald yupo upande

wako sawa” aliniambia akiwa amenishika

vyema sura yangu ndogo na kuibusu

midomo yangu kwa Mara nyingine.

Mimi ki ufupi nilikua nampenda Gerald.

Hivyo haikua rahisi kumuwekea kinyongo

rohoni. Haikua rahisi kabisa. Nilijikuta

namsamehe kila dakika. Hata busu

yake’ ilitumika Kama fimbo ya

kunituliza. Na kufuta kila kumbukumbu

mbaya dhidi Yake.

Sehemu ya 25

Baada ya kiss kunoga mtoto wa kike

nilitulia hapo na tukajikuta tunazama

kwenye ulimwengu mwingine kabisa,,,,

ulimwengu mpya wa mahaba, Kama

serikali ingeweza jamani ingeingilia Kati

hili swala. Mimi na Gery tulikua Kama

Wenda wazimu wawili tusio na aibu hata

kidogo. Nilisahau Kama nilikua najiliza

kutoa ujauzito, lakini akinitaka

simkatai. ‘aah mapenzi Ni konyo, nahisi

kuumia kila nikiyawaza’

Baadae kabisa mida ya usiku Gery

alikua kaondoka muda huo nilikua na

Mira nyumbani. Akiwa anaandaa mavazi ya gradu huku Mimi naongea na mama

yangu nikimueleza kua narejea nyumbani

siku gani? Mama alifurahi na kushukuru

Mungu akiamini nimemaliza shule

salama.

“ Mama kwani ulihisi siwezi kua

salama?” Nilihoji inamaana kwa Nini

alikua akiwaza kupita kiasi.

“ Sijamaanisha vibaya. Ila maana yangu

Ni kwamba, sio kila mtu katika hii

dunia anaebinti wa kujitambua Kama

binti yangu, hivi hujui Kama Eliza mtoto

wa mama yako mkubwa Ni mjamzito hivi

Sasa, si huyo hapo, form four pekee

imemshinda” daahh! Mama Kama

Angejua Bora asingemsema mtoto wa mama mkubwa.

“ Wee mama ! Eliza ana mimba, na

upole wake wote?” Nilishika midomo

yangu huku nikimwangalia miracle ambae

aligeuka kunitazama. Sina hakika Ila

najua Sana alinisema kimoyomoyo kua ‘

usimcheke mwenzako ikiwa hujui ya

kwako’.

“ Ndio binti yangu, watu Hawa

walinisema Sana, Sasa itabidi urejee

kwa Sasa najua umekonda nikupe vya

Moto unenepe, wajue ulikua kusoma, we

msomi bhana wasikufananishe “ mama

yangu alipenda Sana kuweka kifua

mbele linapokuja suhara langu, Ila

kiufupi nilimuonea huruma maana daah!

‘ nisamehe mama, nimeivunja Imani

yako, nilijitahidi Sana kujitunza ili

kukuheshimisha walinisema Sana

kutokana na uchangamfu wangu uliopita

kiasi, Ila kwa Sasa, nimegundua zaidi

uchangamfu wangu Ni udhaifu wangu, kwa Sasa Mimi Ni mjamzito’ nilishtuka

baada ya kuongea hayo kimoyo moyo, nilihisi kana kwamba labda mama

angenisikia sijui ingekuaje?

Usiku huo ulipita, hatimae siku ya graduation iliwadia na watu

wakasherehekea, Mimi pia nilisherekea na picha nikapiga, Wala sikua na tatizo lolote mbele ya alaiki. Hatimae Sasa

ilikua siku yangu kuondoka nirejee

nyumbani. Kabla sijaondoka, Gerald

akanipatia notebook moja hivi ambayo

sikuelewa maana yake.

“ Ya Nini hii?”

“ Ni kwa ajiri yako mpenzi, humo Kuna

namba zangu nyingi, uendako huko sijui

utakumbana na changamoto gani? Ila

kumbuka Gerald ndo kimbilio lako la mwisho hivi Sasa, sawa! “ Alinipandishia

nyusi akiashiria kusisitiza.

“ Gerald!” Nilimkumbatia hakika nilikua na bahati, japo Sina uhakika na niendako, lakini kwa hapa daah! Sio

rahisi mwanaume kukupa mimba

akakwambia usiitoe, japo kanipitisha

kwenye kipindi kigumu Cha mawazo Ila

daah! Alikua tofauti Sana.

“ Usiogope, Mimi kwa Sasa namalizia masomo yangu, Kisha niangalie

utaratibu mwingine umekaaje sawa , hakika Mimi nakuhitaji wewe tu kwenye

Maisha yangu, na ujio wa mtoto wetu, niliuandaa haikua bahati mbaya, nilitaka uwe wa kwangu, ndo maana

nilikuzunguka Ami” aliniambia hiyo kauli nikatamani kulia na kucheka kwa wakati

mmoja mwisho nikabaki na sura

isiyoeleweka. Inamaana alikua

alimtafuta mtoto kwangu ilhali alijua

nasoma.

Hatimae tuliagana, mimi na miracle

tulipanda Basi moja japo yeye alikua

akishukia Tabora, Mimi niliendelea na safari, kwani kwetu Ni Geita. Geita

mjini ndo nyumbani kwetu nilipozaliwa

Mimi, japo sio msukuma.

Nilifika stand majira ya saa nane usiku

kulingana na mlolongo mrefu’ wa safari

nilichoka Sana nikashindwa kwenda

nyumbani, kulingana na Hali niliyokua

nayo nilijikuta nahisi kuzimia kwa safari

ndefu, nilipata maumivu ya tumbo

ghafla hiyo ilitokana na safari kua

ndefu . Nilichukua chumba nikapumzika

kwanza. Hadi kukacha. Na hapo ndo

niliweza kuchukua pikipiki nikiwa na

mizigo yangu kwenda nyumbani.

Majira ya saa mbili niliwasili kwenye

nyumba yetu ambayo iliachwa na

marehemu baba yangu ndo jasho pekee

alilopigania baba yangu wakati wa uhai

wake. Mlio wa pikipiki ulimtoa

mwanamke mmoja mnene kidogo mweupe

mweupe, ukimuangalia tu Kisha

ukinitazama mimi unapata jibu moja kwa

moja kua Nina taswira halisi ya mama

yangu.

“ Jamani Amina wangu huyoo” mama

yangu alitamani kulia baada ya kuniona.

Mwenye pikipiki alimaliza kushusha

mizigo kwa kua nilimlipa pesa tayari, aliweza kuondoka zake.

“ Mamaaa” nilimkumbatia mama yangu

kwa shangwe aliekua na tabasamu la

kwenda kabisa yaani tabasamu ambalo lilimtoka moyoni.

“ Ami binti yangu wa pekee za masomo mama angu?” Aliniuuliza akidhihirisha

furaha Yake Kisha nikatoa mtandio

uliokua ukinizonga. Ili niingize mizigo ndani.

“ Mama masomo ndo hivyo, tumeyatamatisha” nilimjibu huku navuta begi kuliingiza ndani, ghafla nikashtuka

baada ya kusikia sauti Kali na nzito

ambayo sikuwahi kuisikia ilitoka kwenye

kinywa Cha mama yangu tangu nizaliwe.

“ Kama ulivyowasili hapa na mizigo

yako, yote yote, iwe hivyo hivyo, uondoke hapa kwangu, ukatulize maisha

yako kwa huyo uliemtegea kiuno mpaka

ukapata ujauzito” uuuuff! Nini? Nilihisi

kurukwa na akili kwani nilipauka kwa

maneno ya mama yangu mzazi.

Sehemu ya 26

“ Mmamaa… U naongea Nini?” Niliongea

kwa sauti ya chini kabisa na upole

usioeleweka nikimwangalia mama yangu.

“ Unathubutu kuniuuliza!!!! Mama alifoka

nikajikuta nakaa kimya Sana.

Mama alishika kichwa chake na mikono

miwili kana kwamba alihisi kua chizi,

Kisha akashusha mikono Yake na

kufunga kitenge vyema… Mama yangu

alipagawa kwa taarifa yangu ya ghafla.

“ Amina… Yaani Amina una mimba?”

Alinihoji kana kwamba Mimi ndo nilimpa hiyo habari.

“ Kwa Nini umekuja hapa na ujauzito, huyo mwenye huo ujauzito wako kwao wapi?” Mungu wangu swali la mama

yangu liliniacha hoi. Mimi na Gerald tulipata muda mzuri wa kufanya Mambo

yetu kwa wingi lakini hakuna ambae

aliweza kumuuliza mwenzie kuhusu

kwao, huo ulikua upendo wa aina gani?

“ Nakuuliza wewe mwanaharamu” kwa

maneno makali ya mama yangu ambayo

sikuwahi kuyaambulia nilianza kulia kwa

sauti na kwikwi huku nikiogopa

kufukuzwa nyumbani. Nikakumbuka siku

moja katika story za juu juu Gerald

alisema kwao Ni iringa.

“ Mama kwao kwao Ni iringa” nilimjibu

mama ambae hakuweza kuniacha zaidi ya kunishushia kibao Cha haswaaaa.

Nilishika shavu langu na kuzidi kulia. Ni makosa yangu hata hivyo.

“ Mama naomba unisamehe, nilipitiwa

mama yangu, Ila nahuakidi mama

matokeo yangu yatakuja yakiwa vizuri na ntasoma mama yangu”

“ Shenzi unadhani Kuna mtu wa kukusomesha Tena. Fanya haraka uondoke hapa sitaki kukuona Amina. “

Mama yangu aliongea Kama vile yupo serious

“ Mama Mimi Ni binti yako”

“ Ulivyokua unatega kiuno kupokea

mtoto mwingine ulinikumbuka mama yako? Uliwaza hata Mara moja kua

ntakua kwenye Hali gani nikipata

taarifa hii?” Mama yangu aliniwakia

kiasi kwamba nikashindwa kuvumilia.

Nilimbembeleza Sana anisamehe Ila

mwisho wa siku alinifukuza kabisa.

Sikua na sehemu ya kwenda wakati huo

hivyo nilivuta mizigo yangu mpaka kwa

jirani kabisa. Nilifika kwa jirani na

kuanza kumtafuta Gerald ili nimueleze

Ila sikuweza kumpata kwenye simu mwenzenu mimi niliumbiwa mikosi eti.

." Umempata?" Jirani aliniuliza nikakosa

jibu zaidi ya kulia tu.

“ Amina binti yangu, sio Kama

nakufukuza Ila tambua ya kwamba Mimi na mama yako Ni watu ambao

tumeshibana Sana na tumetokea mbali,

kwa kosa kubwa ambalo umefanya

kwake naomba usiwe sababu ya kunikosanisha nae’”

Kwa maneno hayo tu nilikua mtu mzima

tayari Sasa kwa Nini nisimuelewe Mimi.

Niliweza tu kuinuka na haraka Sana

nikachukua vitu vyangu na kufunga

safari mpaka kwa dada yangu ambae

alipatikana mjini hapo hapo Ila eneo

tofauti kabisa na nyumbani kwetu.

Majira ya saa 10 nilikua kwa dada yangu Da froza.

“ Ami mbona umekuja ghafla Sana alafu hata taarifa hukutoa mi natoka sokoni

napokelewa na Daniella ananieleza

mamdogo kaja vipi kwani?” Alinihoji.

Da froza Ni mtoto wa shangazi yangu,

Ni dada ambae tulitokea kushibana kabisa.

“ Dada wee acha tu mdogo wako Nina magumu hapa, sijui nifanye Nini Mimi?”

Nilimwambia kwa kuweka sura ya huruma nikiwa naongea nae simu Yake ikaita akaipokea na kuanza na neno “

hallo shangazi Tausi”

Wee! Huyo shangazi tausi Ni mama

yangu Mimi? Na hapo ndo nikajua

kabisa moja kwa moja Sina pa kukaa.

“ Wee aunt, kwa hiyo Ami ana ujauzito?” Da froza alifoka nikajikuta

nainamisha uso wangu mwenyewe.

“ Sawa aunt nimekuelewa, hakika

nitamtafuta kwa Hali na Mali niongee

nae, kwa Nini Amina ameishia kututia

aibu hivi?” Sidhani Kama mama yangu

alitambua hata Niko wapi? Kwa kweli

nisingerudi nyumbani kwa jinsi

alivyonifukuza sio Siri nilimuwekea

kinyongo moja kwa moja. Baada ya

muda kidogo da froza alikata simu Yake na kuniangalia kwa Makini.

“ Aminaaa!!!” Sauti yake’ ya msisitizo

ilimaanisha kabisa yaliyomo.

“ Da froza hakika mama kakwambia

ukweli, sio Siri Mimi Ni mjamzito, lakini haikua kusudi nili___”

“ Em kaa kimya” da froza hakutaka

hata kunisikiliza.

“ Amina, kwa Sasa Ni jioni na hivi Sasa

muda umekwenda Sana, hifadhi yako

hapa Ni moja tu, kulala usiku mmoja

kesho asubuhi urejee nyumbani kwenu, najua aunt Tausi atakupokea tu”

“ Dada ukweli siwezi kurudi nyumbani, mama anahasira na Mimi kiufupi wakina

Kaka wataniua naomba unisaidie “

“ Hivi wewe ni kichaa’, hao Kaka zako’

sio Kaka zangu Mimi? Inamaana hapa

huwa hawafiki si ndio?” Dada alinifokea

nikakaa kimya na kuanza kulia.

“ Sijali kuhusu kilio Chako Ila unafaa

ujiandae kwenda popote ambapo unajua

patakufaa sio hapa kwangu, usinigombanishe na ndugu zangu Amina “

sikuweza kusema kitu. Hata hivyo Ni

ujinga wangu Mimi. Nilijiachia Sana kwa

Gerald.

Majira ya usiku baada ya chakula

ambacho nilikula Basi tu kikubwa nisife

na njaa, Ila Radha yake haikuweza

kupenya hata kidogo kwenye kinywa

changu. Nilielekea chumbani kulala.

Bahati mbaya Sana simu ambayo nilikua

naitegemea ghafla sikuweza kuiona.

Niliitafuta Sana kwenye mizigo niliyokua

nayo Ila sikuipata kabisa. Ndipo

nikakumbuka wakati nashuka kwenye

Basi nilikua na hekaheka za kushusha

mizigo na Kuna mtu nilimkabidhi anishikie.

Wakati huo nilikua nikija kwa Da froza

“ Mungu wangu, Mungu wangu, nilipoteza simu kwa uzembe wangu

Mimi” nilianza kulia upya. Kwa kipindi

hicho Cha siku moja nilihisi Kama dunia ilikua na miguu. Na niliibeba kichwani

kwangu.

Sehemu ya 27

Nilichanganyikiwa baada ya kukosa

simu, nikajikuta najuta kwa Nini

sikuweza kutoa ujauzito ule. Yote yalikua makosa yangu Sasa kwa Nini

niliwasikiliza watu ambao hawakuelewa machungu niliyokua nayapitia Mimi wakati huo.

Usingizi haukuweza kupita kwa wakati

huo. Asubuhi na mapema majira ya saa kumi na mbili alfajiri dada alikuja

kuniamsha na wakati huo ndo nilikua nimelala.

“ Amina amka sasa hivi uende nyumbani

mdogo wangu, naimani mama yako

kashaisuuza nafsi Yake siwezi Kukuacha

hapa na Sasa nataka kuwahi kazini”

aliniambia nikahisi kupagawa dada alikua

akinifukuza. Kwa kweli niliinuka na nguo ambayo nilivaa nikaingia bafuni kuoga

nikamaliza kuoga na kuvaa. Kisha, nikachukua vitabu vichache Sana notebook aliyonipatia Gery, moyo wa kwenda nyumbani haukuwepo kabisa.

“ Fanya haraka” alinisisitiza nikajua kabisa hataki uwepo wangu pale nyumbani. Kitu pekee ambacho nilihitaji toka kwake ilikua msaada wa simu Yake tu.

“ Niazime simu yako dada” nilimwambia hakua na shida alinipatia simu, nikafungua notebook niliyokua nayo.

Nikaanzaa na namba moja baada ya nyingine, ki ufupi namba za Gerald

nilizokua nimezoea hazikupatikana

kabisaa. Nikaangalia kwenye notebook.

Nikakutana na namba iliandikwa (office)

hiyo ndo niliitumia kumpigia Gerald

namba Ile iliita kwa muda kidogo ikapokelewa.

“ Hallo “ sauti ambayo sikuifahamu

kabisa kwenye ngome ya masikio yangu ilisikika.

“ Samahani naweza kuongea na Gerald

Tantalila” nilipoongea hivyo, sikua na matumaini kabisa.

.” Dr Gerald yupo kwenye chumba Cha

upasuaji, subiri Kama masaa mawili

baadae Kisha umtafute kwenye simu

Yake ya kawaida” mmhh nilishtuka Sana

masaa mawili Tena?

“ Samahani Kaka yangu, nilikua nashida nae kubwa sijui naweza kumpata”

“ Dada samahani, yupo anapambana na uhai wa mtu, unaweza kungoja kidogo.

Masaa mawili sio marefu Kama

kupambana na roho inayoning’inia”

Majibu ya huyo Kaka yalimtoka kwa

upole Ila Ni Kama nilitupiwa mawe

kwenye masikio. Hatimae niliweza

kungoja. Baada ya kukata simu na kumpatia dada.

“ Unaenda Sasa?” Alinihoji.

“ Ndio dada naenda” nilimjibu bila shida.

“ Hakikisha unafika nyumbani na sio

kufanya Jambo la kipuuzi” aliniambia

hata hivyo alikua ndugu yangu khofu

lazima iwepo. Ukizingatia alikua

akinipenda Sana hapo awali japo kwa

hili hakua na msaada Ila Da Froza

siwezi msema vibaya.

Baada ya dada kuondoka nami

nilisimama nje ya nyumba Yake Kwani

alifunga mlango kabisa. Sikuchukua

chochote zaidi ya vitu vichache

vilivyotoshea kwenye mkoba wangu.

Majira ya saa tatu, tayari Yale masaa

mawili yalikua yamepita, hakika nilikua

tayari nilikua nimewaza kujifia iwapo

Gerald atakosekana, nilikumbuka kauli

yake kua yeye ndo kimbilio langu la

mwisho. Sikua na wa wa kumuamini zaidi yake.

Niliazima simu kwenye kibanda Cha

jirani yake dada aliekua akiuza matunda na mboga mboga (genge) aliniazima huyo

dada nikaweka namba ambayo ilinipa

muda wa kupiga. Nilipiga Ile simu

ikaita. Na haikuchukua muda

ikapokelewa.

." Halo" nilianza kuongea.

“ Naongea na Nani?” Sauti iliyoufanya

moyo wangu kusisimka nakujihisi kupona

baada ya mbio za muda mrefu’

niliisikia, mwenzenu nilianza na kilio kabisa.

“ Ami,,, tafadhari usilie” aliongea Gery kwa mshtuko niliokua nao nilihisi kabisa

amenielewa nipo kwenye Hali gani?.

“ Gerald kwa sasa suluhu langu Ni moja

tu, kufa” nilimwambia nikiwa

namaanisha yaani, niliamua kuchagua kifo baada ya yote.

“ Ami naomba utafute sehemu ya

utulivu ukae, nakupigia saa hii, kwenye

namba yangu ya kawaida sawa, sawa

mama angu, acha kulia kipenzi changu

nipo Gery wako.” Gerald alinijibu hivyo

na kunipa faraja kidogo angalau nilihisi

kupata pa kuegemea. Kisha simu

ilikatwa na Mimi nikafanya Kama

alivyosema, muda huo huo simu

niliyoshika iliita nikabaki kushtuka na

kushindwa kuipokea. Nilikaa sekunde

kadhaa mpaka simu ikakaribia kukata

ndio nikapokea.

“ Geryy,,, mmhhi hii” kilio changu ilikua neno la kwanza kwa Gery .

“ Ami tafadhari nisikilize kipenzi

changu, nakuomba usilie, mm sawa

mama, usilie na unisikie, si unakumbuka

nilikuahidi kua kimbilio lako la mwisho?”

“ Gery Sasa utawezaje wakati upo mbali, na bado upo mafunzoni? Sitaki

wote tuharibikiwe, kwa Sasa jipambanie”

“ Itakua na maana gani iwapo

nitapambana alafu akosekane wa kutumia kile nachopambania Ami

wangu,, mpenzi napambana kwa ajiri

yako na mtoto wetu, haya nisikie kwa

Makini si upo Geita?” Aliniambia na kunihoji kwa pamoja. Kwa ujinga nikaitikia kwa kichwa utadhani ananiona.

“ Ami nijibu tafadhari”

“ Gery nimekujibu ndio, naishi geita”

aah’ Gery alihisi nimechanganyikiwa kabisa.

“ Ok una shingapi hapo ?” Alinihoji nikabaki kujiuma Uma.

“ Nina elf thelethini na tano. “

Nilimjibu ukweli.

“ Hiyo Ni nyingi Sana Ami, Sasa sikia, nataka uende nyumbani kwetu, uende

nyumbani kwetu, wanapopatikana wazazi pamoja na familia iliyonileta ulimwenguni” mmhh nilishtuka. Inamaana nilikua naenda kwao Gerald.

“ Gerald kwenu sio iringa??” Nilihoji

kwani nilijua hivyo.

“ Nilikua nakutania hapo kabla kwani

sikua nayachukulia serious mahusiano yetu, wazazi wangu wapo chato origin yao Ni Kenya. Ila wanaishi chato.

Unafaa kwenda huko kwa utambulisho ninaokupatia sawa”

“ Sawa” sikua na Budi kumsikiliza

maelekezo yote aliyonipa.. Kuna wakati

nilipingana nae kutokana na mbinu

aliyonipatia Ila sikua na Budi kumsikiliza

kwani nilikua nashida zaidi.

Sehemu ya 28

Niliyasikia vyema maelezo ya Gery na kilichofata ilikua kutenda. Ki ufupi

ilikua mtihani Sana kwangu lakini sikua na namna, maana hakuna

kilichowezekana. Nilienda mpaka stand ya magari na kukata ticket tokea Geita

mjini kwenda Chato. Nauli haikua

kubwa Sana kwani Ni karibu tu.

Hatimae gari iliwashwa na dereva

akaiongoza kufatia barabara

inayoelekea huko Chato.

Majira ya saa Saba mchana gari

iliwasili katika mji mdogo na maarufu

zaidi Geita uitwao Chato. Madereva

boda boda Kama ilivyo kawaida Yao

iwapo Wataona gari ikiwasili stendi Basi

haraka wataiwahi ili kuwania abiria

waliopo ndani ya gari niliteremka kwa

uangalifu Sana nikiwa sitaki kusumbuana na watu pamoja na wapiga debe

wanaohitaji abiria kwenda sehemu nyingine mbalimbali.

“ Dada Mambo” Bodaboda mmoja

aliwahi kunisalimia. Nilimwangalia na kuelewa Nia yake hata hivyo.

“ Poa”nilimjibu kwa kumdadisi.

“ Twaweza enda usafiri upo, popote

ndani ya Chato Ni buku tu” aliongea

kibiashara zaidi.

“ Sawa nipeleke kwa mchungaji Tanta”

sikuweza kumalizia jina linaloendelea

Kwani sikua nimekalili.

“ Oohh’ sister hesabu umefika, we utakua mteja wa sita kumpelekea kwa

pastor Tantalila leo” aliniambia Kisha

akaanza kuongoza njia kuifata pikipiki

yake. Nilipanda pikipiki hiyo na

kupelekwa mahala nisipopajua . ‘ dah!

Huyu mchungaji Tanta ambae Ni baba

yake’ Gery atakua maarufu kiasi gani?

Yaani umtaje Mara moja tu mbele ya mabodaboda na tayari mtu apajue.’

Niliwaza tu na kukata kimya

TARATIBU.

Mdogo mdogo hatimae pikipiki iliwasili

nje ya ngome moja ambayo ilikua na geti jeusi lililofunguliwa na kuachwa wazi, kitendo Cha kuingiza pikipiki

ndani, nilishtuka KWANZA. Kulikua na watu karibu ukumbi mzima uliokua mbele yangu.

“ Sister, naona leo mnamaombi ya kanisa” yule dereva Bodaboda alitania sijui kwa Nini aliniambia hivyo

mwenzake, nilimrejeshea tabasamu na kumlipa pesa yake tu Kisha huyo akaondoka zake.

“ Unangoja Nini hapo? Beba ndoo ya Maji tukanawishe wanaume ndani” Kuna

mwanamama mmoja alikuja nilipokua

nimesimama Mimi Kisha akanikabidhi

ndoo la Maji mengi kiasi. Nikashangaa

khaa! Ilikua ajabu. Hata hivyo

nilipoangalia Hali ya hewa nikagundua

kabisa kutakua na ugeni hapo kwenye

hiyo nyumba. Japo nimewasili wasaa

huo huo, tayari nimeanza kufanyishwa

kazi.

Jamani simjui yeyote wakati huo, sio

Cha mchungaji Tanta mwenyewe Wala

Nani? Ila ndo kufika nafikia majukumu

makubwa. Nilimfata huyo mwanamke na

kuanza kunawisha wanaume Maji. Ki

ufupi wanaume waliokuwemo ndani ya

Sebure nzuri ya kupendeza iliyosheheni

mapambo na samani za gharama

walikua watu wazima.

Baada ya kunawisha nikaanza kugawiwa

sahani ambazo kwa mikono yangu mimi

nilisafirisha mpaka kwenye mikono ya

hao kina baba na kuhakikisha kila

mmoja amepata sahani yake na tayari

wapo wakila.

Baada ya hapo wanawake wengine

wadogowadogo ambao nililazimika

kujichanganya nao ili nipate kula kwani

tayari nilihisi njaa. Niliambatana nao

kwa ajiri ya chakula, hadithi zao zote

ilikua juu ya masuhara ya kanisani.

Mwenzao kwenye suhala la ibada nilikua

nyuma Sana, hata sikumbuki kabisa kua

Ni lini nilienda kanisani?.

Baada ya kula watu wote walikusanyika

katika ukumbi ulioandaliwa na kuanza

kupeana mahubiri. Mwanaume mmoja

nadhifu’ na alieonekana mrefu kiasi

Fulani na mwenye kitambi japo sio

Sana. Mweupe mweupe Kama Gery tu alikua msitari wa mbele kuhubiri. Yangu

yalikua macho tu na masikio nikisikiliza

neno la Mungu. Baada ya yeye kuongea

kwa muda mrefu alisimama mwanamke

mmoja aliejaa tabasamu Kama la Gery, wee bila kuambiwa nilijua kabisa huyo

Ni mama Yake Gery kwa Nini alikoswa

aibu na kuchukua sura ya mama Yake

alafu akawa na tabia za hovyo!, Daah!

Ningefanya Nini zaidi ya kutazama tu.

Hatimae majira ya saa 11:30 watu

walitoweka na kuacha mazingira yakiwa

Safi kabisa. Watu walipoondoka

tukabaki watu wachache Sana pale.

Wazazi wa Gery, kijana mmoja mdogo

mdogo tu, alionekana kua na umri wa miaka 21 hivi, binti mmoja mdodogo wa miaka 18 pamoja na Mimi.

Mwenzao sikua nimeondoka na Hilo

liliwashangaza watu pale. Yule kijana

alishindwa kuvumilia kuniona bila

kuondoka akaamua kunifata nilipokua nimekaa.

“ Dada samahani” alivuta kiti na kukaa

pembeni yangu nikiwa nimejiinamia tu.

“ Aah’ kwani we ni Nani? Mbona

hujaondoka?” Swali lake liliniacha hoi, daah! Nilifaa kuondoka kweli?.

“ Mi siondoki, ndo nimefika” nilijikuta

Nampa Hilo jibu bila aibu, akanitaza

kwa Makini.

“ Inamaana gani? Muda umeenda hivi

sasa Kama mtoto wa kike unafaa kuwahi

nyumbani kwenu” mmh! Eti nyumbani

kwetu, shenzi kabisa kwa ajiri ya Kaka

yako mama yangu alinifukuza nyumbani

utadhani labda hakunizaa, ndugu

wamenikataa alafu unasema maswala ya nyumbani kwetu?. Nilimkodolea macho nikiwa namtukana kimoyo moyo.

“ Mbona kimya?”

“ Ndio nipo kimya kwa sababu Mimi

siondoki. Nimekuja hapa kwa sababu Sina sehemu nyingine ya kwenda” Kaka

wa watu alivurugwa akajikuta

akitabasamu bila kuelewa maana yangu.

“ Kaka yangu, Mimi Ni mjamzito, na

muhusika wa ujauzito wangu sijui Kama

Ni Kaka yako Ila anaitwa Gerald”

nilipotamka Hilo jina kijana wa watu

alishtuka na kubaki kanitazama tu.

Nilijua tu nimemuacha na maswali mengi kwenye ubongo wake.

“ Wewe Gerald umekutana nae wapi?”

Aliniuliza kwa mshtuko nikabaki kumtazama.

“ Ningetamka vipi jina lake iwapo simjui, nimekutana nae morogoro, nilikua masomoni pia, kwa ajiri Yake

kila kitu kimevurugika, ki ufupi Nina ujauzito wake” nilimjibu kwa huzuni na kuanza kulia juu.

Sehemu ya 29

Kijana wa watu alibaki kutoa macho bila

kuamini Ila haikua sababu ya Mimi

kushindwa kuongea. Ni kweli kabisa

ulikua ujauzito wa Gerald.

“ Sister subiri kwanza, acha niwape hii

taarifa mjomba na shangazi watajua

namna ya kukupa sikio Lao” hapo ndo

nikajua kumbe alikua binamu.yake Gery.

Aliinuka kwenye kiti na kujikongoja

mdogomdogo Hadi alipokua kasimama

mwanaume na mwanamke wakiwa na

maongezi matamu kwani walionekana

kutabasamu kila wakati.

Nilikua mbali nao hivyo sikusikia

walichokiongea ki ujumla, Ila niliona

wakija taratibu mahali nilipokua Mimi.

Kwa pamoja walivuta viti vyao nikabaki

na aibu, bila kusita niliinuka taratiibu

na kuwasalimia upya. Wakati huo

tayari Ni majira ya saa 12:15

“ Usijari mama, amani ya bwana iwe

nawe” mwanaume yule alijibu nikaitikia.

Pamoja na mwanamke wa pembeni Yake.

“ Eti binti? Taarifa alizotupatia Gerson

Ni sahihi?” Nikabaki kimya bila kujibu

maana ilikua aibu, kwanza kabisa

nimepata ujauzito pili, nimejipeleka

mwenyewe nyumbani kwao mwanaume

wangu. Aibu hii! Niliinamisha uso wangu na kujikuta natoa machozi tu.

“ Ongea kipenzi, huu Ni wakati wa kua huru kimaongezi ili uhakika wa kusaidiwa upatikane” yule mama

aliongea kwa lugha laini nikashindwa kujizuia kuongea.

“ Nnndio, Ni sahihi” nilisita kwanza na kuinua uso wangu kwa aibu. “ Mimi Ni mjamzito, na ujauzito huu Ni wa

Gerald, nilikutana nae morogoro mjini

nikiwa masomoni, na yeye alikuja kwa ajiri ya field “ nilijibu hapo kwa

kutetemeka.

“ Una uhakika Ni Gerald Tantalila?”

Mchungaji alinihoji.

“ Baba samahani lakini Ni yeye, alikua akiishi na mwanaume mmoja aitwae

Brighton, nawezaje kumsingizia!”

Nilianza kulia hapo ili nisihojiwe zaidi.

Kwa Nini hawakuniamini moja kwa moja

mpaka wanihoji?

“ Usilie ngoja kwanza tumpigie simu

Gerald, kijana mshenzi huyu anathubutu vipi kunitia aibu,, ameenda kusoma au ameenda kuharibu Maisha ya watoto wa watu??” Mwanaume yule alivuta uso

wake ndita zikakunjamana huku akitoa

simu kwenye mfuko wa Shati lake.

Nilipata uoga Mimi ki ufupi mwili ulikua

pale lakini roho ilikua mbio maili 20

kabisa kuiacha nyumba hiyo.

Simu iliita muda mrefu’ mwisho ikakata

bila kupokelewa, hatimae mwanaume yule alipiga Tena.

“ Kwa hiyo ujauzito wako una miezi mingapi?” Mwanamama alinihoji huku

mume wake akihangaika na simu ya

Gery .

“ Mitatu” nilijibu kwa aibu.

“ Mmhh! Miezi mitatu Ni mingi Sana

masikini binti wa watu, kwa hiyo hata

masomo hukuweza kuhitimu. “ Kabla

sijampa jibu lake tayari Gerald alipokea simu.

“ Hallo mzee” simu iliwekwa sauti ya juu’ kila mtu asikie hivyo nilimsikia

kabisa. Walisalimiana hapo ki imani nikashangaa Gerald kumbe Ni mlokole mzuri tu, imekaa kushangaza.

“ Gerald unamfahamu binti aitwae

Amina Iddi” nilibaki kimya kwa kutajwa jina langu.

“ Samahani baba Amina ndo Nani?”

Duhh nilishtuka hatari, kwamba Gerald hakua akinijua?

“ Unafanya Kama humjui Amina si ndio, amekuja binti mmoja hapa, kasema

kwao Ni Geita mjini, alipo kwa Sasa

kwao amefukuzwa amekuja moja kwa

moja hapa nyumbani, na kibaya zaidi

Ni mjamzito, humfahamu.huyo binti?”

“ Mmhh baba hebu muulize vizuri, siku

hizi wanawake wengi Ni matapeli, nawezaje kumjua alafu nimkane mi simjui”

Aiiii nilihisi kunyeshewa na mvua ya

mawe, kweli Gerald wakuniona mi

tapeli, ajabu na aibu iliyoje mbele ya

wazazi wake. Nikabaki na mtazamo

usiyoeleweka shenzi kabisa Gerald,

wewe ni kuku wa kizungu, nakuchukia

wewe na mipango yako ya mchongo’

niliwaza kumtukana zaidi Ila

nikakumbuka nafaa kung’ang’ania point yangu. Nilishuka chini kwenye magoti ya

yule mzee na kuanza kulia kwa sauti ya

juu’

“ Gery usijifanye umenisahau, nadhani

unanikumbuka vyema kabisa, Mimi Ni

Amina, Amina Iddi ulikutana na Mimi

nikiwa likizo, hukumbuki vyema hata

Kama ilikua Mara mbili tu, lakini

ilitosha mimi kua mjamzito, naomba

usinikane ntaishi wapi Mimi?” Nililia

hapo kwa uchungu huku nikiwa na aibu

Sana kujidharirisha.

“ Gerald kweli katika masikio yako hiyo

sauti hukuwahi kuisikia, binti wa watu

anaonekana asie na hatia, kwa Nini

umeharibu Maisha Yake huku yako

yakisonga mbele, ntakuachisha

masomo.sasa hivi na dhamiri yako

isitimie shenzi wewe” angalau

alipatikana mtu wa kumtukana Gerald

mbwa huyu, ananikana?

“ Baba samahani Sana mzee wangu

najua ntakukwaza Ila sina Budi kusema ya kwamba, mwanamke huyo ni.kama

namfahamu vile, nilikutana nae Mara

mbili tu, sidhani Kama ilitosha kwake

kua mjamzito, hata hivyo hatukua na

uhusiano wa karibu ki hivyo mpaka awe na mimba.”

“ Nyamaza kimya, na bado unajiita daktari shenzi kabisa wewe!!” Baba

yake alikasirika kiasi Cha kwamba

Angekua karibu angempiga mangumi ya kutosha tu, kimoyo moyo nilihisi furaha.

“ Sawa baba, kwa kua mnahisi hivyo, na kwa vile anasema Ni ujauzito wangu, samahani niliteleza naomba unikubalie

ombi langu, naomba Sana akae hapo na kutunzwa kwa chochote kiasi

ntakachopata, ili.tuangalie pindi

akijifungua iwapo mtoto atakua wa kwangu?” Yaani Gerald alikomaa akikana

kama vile hakua mtoto wake. Wakati

alipigana nisimtoe.

“ Unaongea kana kwamba sisi hatuwezi

kumtunza mwanamke aliebeba mjukuu

wetu kwenye tumbo lake, potelea mbali

huna maana kabisa na haufai hata

kidogo” mama Yake Gerald aliwaka kwa

hasira juu Yake. Na baba yake’ Gerald

akawa amekata simu.

“ Mama karibu ndani! Mpaka hapo

tumekuamini japo kwa asilimia nusu, Ila

tuombe Radhi Sana kwa kuharibiwa

mustakabari wako na huyu kijana

tuliemzaa bila manufaa” wee nilihisi

kucheka kimya kimya, Gerald hakua na manufaa. Hatimae nilipokelewa kibabe.

Sehemu ya 30

Nilianza Maisha mapya nyumbani kwao

Gerald, nyie nilikua tu mjamzito lakini

niliishi Kama malkia. Ki ufupi mipango

ya Gerald kujifanya ananikana ilinikera

japo sikua na njia zaidi ya kukubari

kujidharirisha. Ila hata hivyo ilikua ya msaada Kati yangu na yeye. Baba yake

alionekana mtu mzuri katika

kuwahifadhi wengine Ila mkali Sana kwa watoto wake.

Kwa kua nilienda huko bila nguo, kesho

Yake yule binti pamoja na mama Yake

Gerald. Walienda kuninunulia nguo za

kutosha nikabaki kushangaa, kila aina

ya nguo kwa kua wakati huo mimba

ilikua changa nilikua naweza kuvaa nguo yoyote.

Niliangalia yale mavazi nikakutana Ni

viwalo vizuri vizuri nikabaki kushangaa

Hawa Ni walokole na wachungaji bila

Shaka ningefaa kuletewa nguo za

kichungaji lakini nimeletewa nguo za

kwenda na fashion. Amazing.

“ Usijari una mwili mzuri Sana, hufai

kuvaa manguo ya kukuzeesha mkwe

wangu” mama mkwe huyo jamani, bahati

iliyoje alinikubali moja kwa moja. Ki

ufupi nilimmiss Mira, nilitamani

kumhadithia majanga yote

yaliyonikumba Ila ningempata vipi Sasa?

Sikua na simu.

Majira ya jioni, baba mkwe alirejea

kutoka kwenye majukumu yake’

tulimpokea hapo, akiwa anaongea na

mke wake kwa wingi huku wakicheka ki

ufupi walijaaliwa kupendana Sana kwa

namna walikua wakitaniana. Baada ya

muda baba mkwe aliingia chumbani

kwake. Na mama mkwe akaniita.

“ Amina njoo” nilimfata bila kusita.

“ Shika hapa, Gerald amekutumia simu

na tayari kakusajilia laini, kua huru

kuongea nae wakati wowote” wee

nilishangaa, mwanzo nilikua natumia

kiswaswadu lakini hivi Sasa ilikua simu

janja Tena ya kisasa zaidi nilihisi

kuvurugwa mwenzenu, huyu Gerald Kuna

wakati anakaa Kama mtu jamani.

“ Mama asante, Asante Sana mama”

nilimshukuru Sana jamani.

“ Sii Mimi wa kushukuriwa, mshukuru

Sana mumeo, na uhakikishe unamtunza

vyema mjukuu wangu” mmh! Kila Mara

mama huyu angenikumbusha suhara la mjukuu wake. Nilifanya Kama alivyotaka

hata hivyo ilikua Raha Sana kununuliwa

kitu na mtu unaempenda hata Kama

unakila kitu, ila zawadi yake ndogo tu Ni tabasamu Tosha moyoni mwako.

Usiku baada ya chakula changu, maana

nilikua nikiandaliwa chakula special

kabisa na mama mkwe akidai Mimi Ni

mjamzito sifai kula kula kila kitu

haitakua afya kwa mtoto alietumboni

mwangu. Hivyo alikua akinipikia

mwenyewe. Niliingia chumbani kwangu

chumba ambacho kiliandaliwa maalumu

kwa ajiri yangu kilipambwa

inavyotakikana na kuhakikisha kinavutia

macho yangu, nilikaribishwa na Mwalu, alikua binti yule wa miaka 18 alikua

mfanyakazi katika nyumba hiyo.

“ Asante” nilimwambia kwani alijituma

Sana kuniandalia chumba hicho.

“ Mmhh sio lazima useme Asante wifi yangu, wewe ni mke wa Kaka Gerald. “ Alitabasamu na kutoka nje, nikabaki

mwenyewe na kufunga mlango kwanza, Kisha nikaoga na kujitupia kitandani na kushika simu yangu mpya iliyokua na

laini bando mpaka salio, nikajaza namba

za Miracle kwani nilikua nazo pamoja na namba za Gerald, na namba za

wanafunzi wenzangu sikuweka namba ya ndugu yangu hata mmoja.

Nilitaka nimpigie Gerald kwanza ili

nimshukuru Ila nikaona haina haja kwani

Gerald si yupo tu, mtu wa kwanza

kumpigia alikua Mira. Simu yake iliita sekunde kadhaa hatimae. Ikapokelewa.

“ Hallo” aliongea akiwa wa kwanza.

“ Patia unaongea na Nani bi mdogo!”

Sauti.yangu tu ilimtosha kuguna.

“ Kwamba nimekua kiziwi Hadi nisijue sauti yako, hujambo kwanza ? mbona

una namba mpya? Na kwa Nini simu

yako haipatikani ?”

“ Daahh ndo kupokea na maswaaali, anyway nilikutana na majanga kibao hivi

Sasa ndo nimetulia mwenzako, najuta

Sana kukutana na watu wawili katika

dunia ambae Ni wewe na Gerald”

“ Ami chunga bakuli lako” alinikanya.

“ Mira unajua nimepitia kipindi gani

mwenzako?” Nilijigeuza hapo kitandani na kuanza kumsimulia jinsi ilivyokua, alibaki kusikitika Ila mwishoni alifurahi

kusikia nimepokelwa vyema Sana.

Nikiwa naongea na Mira simu yangu

ikaita yaani ikaingiliwa na simu nyingine,

ikabidi niangalie mpigaji ni Nani? ‘

owner of my heart’ (mmiliki wa moyo wangu) haa!! Huyu Ni wazimu, niliweka tu namba Yake sikua nimeisevu kumbe aliisevu kwa jina baya Kama Hilo, bila

Shaka ana wazimu.

“ Ami mbona najiongolesha pekee yangu” Mira alinishtua upande wa pili nikawa Sina Budi kumuaga.

“ Mira samahani naomba ukate

ntakutafuta, acha kwanza niongee na Gerald” nilimwambia hivyo akanijibu haraka.

“ Haa;! Mimi Tena, linapokuja swala la AmiGery huwa Sina usemi” alikata

haraka nikabaki kucheka . AMIGERY

alimaanisha kuunganisha jina langu na Gerald kua pahala pamoja. Nilipokea simu ya Gerald nikiwa nawaza hayo.

“ Unawaza Nini? Kwa Nini nipige simu

yako iite muda mrefu’ bila kupokelewa?”

Lilikua swali lake la kwanza.

“ Nilikua naongea na Mira, hata hivyo

nilimmis na sikua na sehemu ya kuipeleka hadithi yangu ya majonzi zaidi ya kwake Gery”

“ Kwa hiyo Mira na Mimi. Mimi kwako

Ni wa mwisho si ndio? Anyway Ni vyema zaidi ikiwa hivyo” aliniambia

nikajua Sana ametumia lugha ya kunisimanga inamaana nilimkosea tayari.

Potelea mbali asinichanganye kwanza.

Sehemu ya 31

“ Gery na wewe huishi lawama, unaendeleaje kwanza?” Nilimuuliza

kwani kwanzia nipate misukosuko

hatujawahi hata kujuliana Hali.

“ Naendelea vizuri kipenzi changu, lakini nimekumiss Sana, nakutamani kila wakati, nawaza ungekua Moro Ni karibu

Sana bila Shaka ningewasili kuja

kuondoa missing zangu kwako”

aliniambia nikajua Sana uzinzi

unamsumbua mbwa huyu.

“ Ami ki ufupi nakupenda sana, yaani

Hadi moyo wangu huwa unaruka ruka

ukiliwaza jina lako tu “ aliniambia

“ Gery unaweza kuacha siasa, kwa Sasa

Mimi ni mtu mzima sio wa kudanganywa

danganywa”

“ Ami namaanisha, nadhani unanielewa zaidi ya kila mtu hapo ulipo,, naomba

Sana ujitahidi kumtunza binti yangu, natumai Sana mama yangu anakutunza vyema”

“ Gerald kwa kweli sijui niseme Nini?

Wazazi wako Ni watu wenye

moyo.mzuri na laini Sana Kama theluji, ki ufupi wanajari Sana najivunia

kukutana nao katika kipindi hiki kigumu, wananifanya nimkumbuke mama yangu”

“ Usijari, najua hakuna mzazi mwenye

hasira daima na mtoto wake, bila

Shaka Mimi nikija huko ntaenda na wewe nyumbani nikaombe na samahani, sio kwa makosa makubwa niliyotenda

kwa ndugu zako’, najua inaumiza Sana

wamehangaika kukusomesha alafu

msenge mmoja ambae Ni Mimi, nimevuruga samahani Sana Ami”

“ Gerald sio tu kosa lako Ni kosa langu pia, nilikua mwepesi Sana kwako Hadi

unaweza ukahisi Mimi Ni Malaya” nilihisi kulia baada ya kujisema vibaya.

“ Kwa Nini Ami ujiite hivyo?, Hizo Ni hisia tu, Ni ngumu Sana kuzuia

unapokutana na mtu unaempenda,

ulinipenda Mimi Mara moja tu baada ya

kuniona ndo maana hukua na shida

kuniamini moja kwa moja Kama mtoto alipotea njia”

“ Gerald” nilimuita kwa utamu

“ Nambie kipenzi changu”

“ Nakupenda Sana “ kwa Mara yangu ya kwanza Kutamka neno Hilo kwa Gerald ambae sikuweza kusikia sauti yake’ zaidi ya ukimya wa muda kidogo, ki

ufupi Mimi mwenyewe nilipata aibu na kufunika uso wangu. Nikiwa nasikilizia atasema Nini?

“ Ami…” Nilishtuka baada ya kuitwa moyo wangu ukawa unaenda mbio mbio.

“ Naomba uwe unamaanisha, umaanishe

kabisa ukitamka neno Hilo, na usiwahi

waza kunisaliti hata itokee vipi Kati

yetu sawa” aliniambia Kama

anamfundisha mtoto wa darasa la kwanza kuelewa utofauti wa ‘a’ na ‘ q’

“ Namaanisha Gery, Sina mwingine

kwenye moyo wangu. “

“ Nakuamini zaidi Ami wangu, nakupenda Sana, yaani sijui niseme

Nini? Ki ufupi nakupenda Sana .”

Maneno ya kupendana kwa dhati yalikua

mengi Sana, niliongea na Gerald muda

mrefu’ hatimae nikajikuta napata

usingizi kabisa na kuanza kusinzia simu

ikiwa sikioni, Gery alikua na sauti ya

kubembeleza mpaka nikasinzia

mwenzenu.

Majira ya saa tatu asubuhi nilikuja

kushtuka baada ya kuamshwa na mama

mkwe. “ Mama amka ukaoge kipenzi

changu unafaa kua msafi kwa ajiri ya

mjukuu wangu” daahh! Hatimae mama

mkwe anamjua mjukuu wake wa thamani

kwenye tumbo langu. Niliingia bafuni na

kukutana na Maji Safi laini na vugu

vugu, shampoo ilikua tayari imeandaliwa

yaani kila kitu kilikua bomba Sana.

Baada ya kuoga nilipewa nguo maalum na mama mkwe akaniingoza kuelekea

kliniki nikaenda kufungua kadi kwa ajiri ya mahudhurio na maendeleo ya afya

ya mtoto tumboni mwangu.

Maisha yakasonga, miezi ikasogea

nikilelewa Kama binti wa kifalme pale

ukweni, ki ukweli nilikua nammiss Sana

mama yangu wakati wote huo, Kuna

wakati nilikua Hadi naweka namba yake’

ili nimpigie lakini nasita kwa uwoga

ntamwambia Nini Sasa? Kwamba naishi

wapi na kwa Nani?.

Kadri siku zilivyozidi kwenda ndo tumbo

lilizidi kukua kubwa, Ila halikua kubwa

Sana. Nyie kulea ujauzito ilikua kazi

ngumu Sana. Ukizingatia nilipata

kwenye umri mdogo wa miaka 20 tu. Ila

nilikua na mama mkwe pembeni yangu wa kunifariji wakati wote, nilikua na

Gery kwenye simu yangu muda wote

angenipigia simu kunipa maneno mazuri ya faraja tele.

Nilipotimiza miezi nane walikuja dada

zake wawili na Gerald, mmoja aliitwa

Zena mwingine aliitwa Cynthia .

Walikua wadada warembo kupindukia, kiufupi walivutia Sana macho yangu, alafu kikubwa zaidi walikua

wachangamfu kupita kiasi. Kwa ujumla

Gerald alikua mtoto wa kiume wa pekee

kwa mchungaji Tanta, wengine wote

walikua wa kike. Majira ya jioni wifi

zangu wangenipeleka mazoezini na kudai

hawataki niwe mzembe.

“ Yaani wifi tunavyohangaika hivi, alafu

atokee mtoto sio wa kwetu, haki Tena

nakuroga, hujui tu Ni jinsi gani

nilifurahi nikiwa chuo baada ya mama

kuniambia Gerald anatarajia mtoto”

alikua wifi yangu Zena alienipa onyo

Kali akiwa na maana yake.

“ Huna haja ya kufanya mazoezi Sana

unafaa kula matunda ili mtoto azidi

kuhisi msisimko wa kukua mkubwa” nyie

Kuna watu tunazaliwa na bahati

kichwani, sijui ningemtoa huyu mtoto

tumboni mwangu hii care ningeipata wapi?.

‘ wanawake wenzangu, msiwe mnapaniki

mkiwa wajawazito bila kutarajia, Bora

uwe mvumilivu tu haijalishi Ni vipi? Au

wapi utapitia, lakini huwezi jua huyo

mtoto ameandaliwa aje awe tulizo

Tosha la moyo wako. Ki ufupi kila

mtoto huwa anakuja na rizki yake.’

Sehemu ya 32

Baada ya mazoezi walikua wakinirejesha

nyumbani, na asubuhi wangeamka kunipa

mazoezi ya kutosha. Maji ya kuoga

waliniandalia wao kwa wakati huo, chakula chochote ambacho

kingenichefua Basi waliacha kutumia ili wasimuudhi mtoto tumboni mwangu.

Nyie ilikua ya kuchekesha kiasi fulani.

Nilijikuta nahisi kupagawa nikiwaza

mfano hiyo mimba isingekua ya Gerald

ningepata aibu kubwa na laana juu.

Asante Mungu nilikua mtulivu na uhakika

kabisa ya kwamba huyu mtoto Ni wa

Gerald.

Maisha yalisogea. Na hatimae ilifika

miezi Tisa nikiwa pale. Siku ya kusubiri

kwa muda mrefu iliwadia nyie nyie

asikwambie mtu, sikua najua Kama ndo

uchungu ule. Siku hiyo nakumbuka

vyema yaani, alikuja wifi Cynthia

kuniamsha chumbani twende mazoezini

nikabaki kumwangalia. Kwanza sikua

nimelala usiku mzima.

“ Mke wetu, twende mazoezini

ukamchangamshe huyo dogo dogo, hatutaki awe mdhaifu” aliongea hivyo

nikabaki kumwangalia kwa macho ya

maumivu, kwani hawezi kuelewa Hali

yangu mpaka nimwambie?

“ Vipi unaumwa?” Alinihoji nikaitikia kwa

kichwa, sikua na sababu ya kumuelezea

kwa mdomo.

“ Jamani kipenzi pole, Basi lala tu ngoja nikuabdalie Maji ya kuoga na kiamsha kinywa sawa mamy wangu”

aliniambia kwa utamu lakini haikua na

maana kwani wakati huo sikua mtu wa shukrani Kama walivyonizoea.

Niliendelea kulala. Baada ya muda

alikuja wifi Zena, akaniamsha nikaoge, nilitamani kuamka ili kumridhisha lakini

kiburi Cha nafsi kilinizuia kabisa

nikabaki kulala, niliona kulala Ni Bora

zaidi kuliko kuamka. Nikageukia upande wa pili.

“ Ami, una uhakika upo sawa kabisa mdogo wangu” ilibidi anifanye mdogo

wake wakati huo wakati nilikua wifi Yake.

“ Nahisi maumivu kidogo tu, wifi sijisikii kuamka, unaweza kuniacha angalau nilale tu.” Nilimwambia kwa huruma na macho yangu yalilegea.

“ Mmhh sawa wifi we lala, lakini angalau ungepiga mswaki, ngoja nikuletee beseni hapa hapa upige mswaki sawa” afadhari alikua na akili, ananiletea hapa hapa Sina haja ya

kuingia bafuni.

Alifanya hivyo Hadi mswaki akaniandalia

akaniambia niinuke nikawa nahisi Kama

miguu yangu imekufa ganzi, nilipojaribu kuikanyagia iliniuma nikajikuta naguna

mwenzenu.

“ Mmh!’’ Zena alinitazama kwa Makini na kuhisi kabisa sipo sawa. “Wifi

samahani naomba nikupigishe mswaki

mwenyewe” kweli alikua na Nia Ila Mimi

sikua tayari kudeka kiasi hicho.

“ Hapana wifi, nitaifanya mwenyewe”

nilimkatalia na kujaribu kupiga mswaki, nikajikuta nimeweka mswaki mdomoni na

kuganda bila kufanya kitu, daahh!!

Maisha haya, anaemdharau mama Yake

kwa kweli! Mungu anamuona.

“ Mama unaumwa Nini?” Mama mkwe

aliingia ndani akiwa kaongozana na Cynthia sikuweza hata kumsalimia aliponiangalia tu nilisikia sauti yake’

kumuelekea Zena.

“ Unasubiri Nini? Mpigishe mswaki haraka” mama mkwe alitoa amri na Zena akamfatisha.

“ Cynthia kalete usafiri, fanya haraka

Sana” Cynthia aliondoka hapo chapu

chapu. Mama mkwe niliona anaanza

kuvuta vifaa vyote ambavyo vilihusika

mahususi kwa ajiri ya mtu kujifungua.

“ Mwalu andaa chai iwe na majani mengi kiasi” mama mkwe siku hiyo alikua na maagizo kibao. Baada ya wifi Zena kunipigisha mswaki. Mama alianza

kunivisha. Nyie nilikua sijiwezi kwa kila kitu.

“ Ami mama angu, jitahidi usimame usiwe mlegevu kiasi hicho, kule hautakua na sisi utakutana na manesi wa kila rangi sawa mpenzi” alinipa

maneno matamu nikajaribu kuinuka. Ki ufupi miguu yangu ilikufa ganzi tangu

usiku wa Jana Yake, ningewezaje

kuinuka.

“ Jitahidi hivyo hivyo mama angu” wee mama.mkwe aliamua nikajikuta siwezi

kuvumilia namna anavyonibembeleza

alafu nimfelishe nilijitahidi hatimae nikainuka.

“ Haya Zena haraka Toa vifaa nje

Cynthia amefika” Zena alifanya Kama

alivyoambiwa. Mama mkwe alinipeleka

bafuni kukojoa. Akaniambia. “ Kojoa

Mara ya mwisho kwenye choo, kwani

baada ya hapa hautatumia Tena choo

zaidi ya beseni mama yangu” kweli huyu

mwanamke alifaa kuheshimiwa na watu

wengi alijua kubembeleza.

Hatimae tuliingia kwenye gari na safari

ikaanza kuelekea hospitalini. Nilikua

naumia huku sitoi sauti kabisa kwani

mama mkwe aliniambia iwapo nitatoa

sauti kwa uzazi wa kwanza na kupiga

makelele, basi nitazaa hivyo kwa vizazi vyangu vyote. Niliogopa mwenzenu

nikajikaza nikataka kushika kichwa.

“ Mpenzi usishike kichwa Chako hiyo

inamaanisha kukata tamaa Kama

mwanamke, na ukikata tamaa baada ya kujifungua nywele zako’ zitakatika

katika. “ Daah! Huyu mama alikua

mtamu kila wakati lakini saa hii hakuna

kinachokua kizuri nikifanya. Nilijikuta

natamani kulia.

“ Usilie kabisa maana utakua mwanamke wa kushindwa, kitu pekee unafaa

kufanya nikupiga maombi Hadi

kieleweke, Tena sio kwa makelele piga

maombi kimya kimya, omba baraka za

wazazi wako wote sawa” aliniambia

huku naingizwa kwenye wodi ya wazazi.

Ilikua ngumu kujifungua maana hata

masaa yalisogea Sana, nilishikilia kauli

ya mama mkwe wangu kua nisipige

mikelele japo wengine walipiga nisilie

nafaa kujikaza, Kisha nisishike shike

nywele zangu. Nyie yalikua masharti

magumu Ila nilijitahidi kuyafata.

Masaa yalisogea wakati huo nafanya

mazoezi Kama Nini? Baada ya muda

kwenda mama mkwe aliingia ndani nikiwa

nimechanganyikiwa. “ Amina mama

angu, namba za mama yako mbona hakuna humu kwenye simu?” Alinihoji

Hilo swali nikajikuta namjibu vibaya masikini. Uchungu huu?

“ Mama tafadhari naomba uniache, huu sio wakati wa kuulizana maswali juu ya watu fulani, nyie tafuteni mtapata”

mama yangu? Mama mkwe aliishia tu kuniangalia na kutabasamu Kisha akatoka nje! Aah’ potelea mbali!

Mwenzenu niliwaza hivyo yaani sikuweza kumjari.

Sehemu ya 33

Sijui walifanya Nini mpaka wakaipata

namba ya mama yangu, nilishangaa

mama.mkwe anaingia ndani ya wodi

Tena nikiwa nimejikatia tamaa kwani

tayari ilikua saa Saba. Akanipatia simu.

“ Mpenzi salimiana na mama yako, amesema ana Jambo la kukwambia”

alipotamka neno mama ilibaki kidogo

nimwage machozi lakini nikajitahidi

kuyazuia kwani aliniambia nisilie lie.

“ Mama amepatikana ?” Nilihoji kwa

upole na kuweka simu sikioni.

“ Mama” nilijitahidi kumuita kwa maumivu.

“ Ami binti yangu, usife moyo sawa, unafaa kushukuru Mungu kwa kua

umekuza ujauzito wako salama, usiogope

sawa mwanangu” aliongea maneno Yake

nikahisi kufarijika kidogo. Nilijikuta

nasahau Kama vile alinifukuza.

“ Kua mwanamke na ujitahidi Sana

hakika utajifungua salama sawa binti

yangu, mama yako nilikua jasiri Sana

wakati nawazaa nyie” aliniambia kwa

maumivu Hadi nikahisi Kama alikua

akilia. Ni mama.yangu namjua vyema

nashindwa vipi kuelewa kua analia hata

akijifanya kua sawa.

“ Sawa mama hakika ntajitahidi na ntakua jasiri” nilimjibu hivyo na kurejesha simu kwa mama mkwe.

“ Usiogope sawa kipenzi changu, sisi Ni

wanawake wenye nguvu, kwa uwezo

wake Mungu, baba wa mbinguni Alie

hai, naamini na kua na hakika kabisa

binti mkwe wangu atajifungua salama

kabisa” aliniambia hivyo nikatabasamu.

Hatimae alitoka nje. Tabasamu langu

lilififia baada ya kuhisi maumivu yakija

kwa Kasi kuelekea chini. Nyie mama

yangu ndo alikua kanishika nisizae Nini?

Mbona uchungu umekuja kwa haraka

hivyo?

mleteni huku” nilisikia sauti ya nesi

mmoja akizuia nisijifungilie wodini.

Kitanda changu kilivutwa nikahamishiwa

kwenye kitanda Cha magurudumu huku

naaandaliwa kujifungua, Mara moja

nikapelekwa kwenye chumba Cha

{Deriverly Unit }. Haikuchukua masaa

hata kidogo nilijifungua mtoto ambae

sikujua Ni jinsia gani Ila nilisikia sauti

yake’ akilia kwa utamu, nilihisi kupumua

baada ya kushusha mzigo mzito tumboni

mwangu. Nilisafishwa vyema Sana na kubaki mwepesiii. ‘ jamani mwenzenu, hatimae nimekua mama’

“ Usijifungulie hapo haraka Sana

Sikupoteza fahamu Bali nilijikuta nalia

kwa furaha, mtoto huyu alikua Kama

zawadi iliyokuja ghafla kwenye Maisha

yangu, nilianza kumuomba samahani

wakati huo huo kwa kujaribu kumtoa

Mara kadhaa hapo mwanzo.

” Usilie dada, binti yako atalaumu kwa

Nini amekuudhi kwa kuzaliwa” nesi

alisema hivyo huku akimaliza kumvisha

vyema baada ya kumsafisha.

“ Hee! Kumbe kweli Ni wa kike?”

tabasamu langu lilienea zaidi kwa

sababu Gerald alitabiri Hilo mwanzoni

Sana.

“ Ndio Ni wa kike kwani ulikua ukijua?,,

Aa ulipiga picha kuangalia jinsia?” Nesi

alienisadia kujifungua alinihoji nikatikisa

kichwa kupinga.

“ Hapana Kaka, sikua Mimi alikua baba yake’, alitamani Sana kupata binti” nilitabasamu

“ Hakika una bahati Sana, na ninao

uhakika kua mume wako sio msukuma

hata kidogo, maana Ni wanaume

wachache Sana wa kisukuma

wanaopenda watoto wa kike, hujivunia

Sana wakipata watoto wa kiume”

“ Mmh Kaka yangu, kwa dunia hii” nyie

mzazi aliekua amechanganyikiwa na

uchungu nilijikuta naimiliki leba kwa

kuongea kupita kiasi. Nahisi Kama

nilikua mfungwa Sasa nimefunguliwa.

Yule kijana alisaidiana na wenzake

wakaniweka kwenye kitanda Cha

magurudumu Kisha nikapelekwa wodini.

Nilipewa chumba changu binafsi kutokana na maagizo ya mama mkwe

wangu. Walinipokea vyema huku akili

Yao ikiwa imemuelekea mtoto. Nilikua

nimechoka Sana kiasi kwamba sura

yangu ilishuka na kua ndogo zaidi.

Sikuweza kupiga story sana Ila

nilicheka baada ya kumsikia wifi Zena

akisema.

“ Daah mrembo, sio poa katika vyote

nilivyokua navyo vizuri ukaamua

kuchukua bichwa langu” kila mtu

aliangua kicheko hatari.

“ Acheni kumkagua mke mwenzangu, ana sura ya kutisha kwa sababu Ni mdogo, Ila kosa lake kubwa Ni kubeba macho

yaliyolegea Kama Abby na Gerald “

mmhh nilishangaa huyo Abby hata sikua

namjua. Zaidi ya yote yeye ndo alizuia

wasimkague Ila kusema macho

yaliyolegea Kama Abby hiyo

inamaanisha hata yeye anamkagua pia.

Nilicheka kwa Siri.

“ Mama kwa Nini hajafata hata shepu langu zuri??” Cynthia alitia aibu mtoto

hajakamilisha hata siku tayari alifaa

kua na shepu? Nyie Hawa watu.

Mara simu ikaita wakati huo sijamshika hata mtoto Mimi niliemzaa. “ Simu yako

inaita, baba mtoto anapiga kaeni kimya”

mama mkwe alipokea simu na kuweka laudspeaker.

yaani hata kabla watu hatujaongea kitu

tayari ameshalia kwa sauti. Tulijikuta

tunaangua kicheko kwa pamoja.

“ Ng’aaa” hee mtoto mbeya kupita kiasi

“ Mama yangu, kwa Nini mnamliza Gift wangu?” Lilikua swali la kwanza la Gerald.

“ Haa! We Gery wewe hatujatoka hata hospital tayari mtoto anajina?” Zena

alishindwa kuvumilia.

“ Niliandaa jina kabla hata sijampata

mama Yake” watu walibaki hoi Mimi pia, Gery alitamani Sana binti, hatimae kampata.

“ Ulisema tusubiri ajifungue ili tuhakiki

iwapo Ni wa kwako au sio wako

wanawake Ni matapeli, hakika Kaka

Gery, Gift sio binti yako kwani

hafanani na sisi hata kidogo.” Cynthia aliekua mdogo kwa Gery alimtania.

kwangu, hamjui tu namna gani

nilipambana kumpata huyo mtoto”

nilipata aibu kwani nilienda kwao kwa

mipango yake’ mwenyewe. Mama mkwe

alinikata jicho nikainama haraka Sana.

Akaishia kutabasamu.

Sehemu ya 34

“ Ahaa kumbe mlitufanya sisi watoto

wenzenu?” Mama mkwe alimfokea

Gerald.

“ Ahaha’ najua Sana kua Ni wa

“ Mama yaliyopita si ndwele, hapo ujue Sasa mwanao ndo kashaleta mkwe na mjukuu kwa wakati mmoja. Naombeni kuongea na mke wangu kwanza pamoja na binti yangu” aliongea kwa sauti wakakosa usemi.

“ Sawa baba mkwe tunatoka, Ami mama tupo hapa karibu, unafaa ule kwa Sana

usiongee Sana na Gerald sawa?” Mama mkwe aliongea huku Gery akisikia.

“ Mama acha kumfunza tabia mbaya, Ami wangu nimtiifu” hee ! Anajifanya kunisahau. Niliwaza kimoyo moyo.

Hatimae walitoka nje na mlango

ukafungwa nikapata hata nafasi ya

kumshika binti yangu, hakika nilitamani

kua wa kwanza kumshika Ila sikupata nafasi.

“ Ami, upo kwenye dimbwi zito la hisia kipenzi changu, nishukuru Mimi hatimae

umeitwa mama” alinitania nikajikuta

nacheka ningeweza ningemtukana lakini

nilikua kwenye hisia chanya ya kumiliki

mtoto wangu pia.

“ Gery nyamaza, kwanza nataka

kumfeel binti yangu, haikua kazi

rahisi, Gery Ni ngumu Sana kua mama, Ila kwa Sasa sikumbuki Kama niliumia

muda mchache uliopita” nilimwambia kwa

uchangamfu akajikuta anatabasamu kivivu.

“ Aha’ AAA” mmh ! Hilo tabasamu lake ndo lililo nizuzua hapo awali mpaka

kumpata huyu mtoto Sasa, kwa hiyo ndo kaanza mitego yake mapema tu.

“ Gerald acha kujichekesha usije niboa bure”

“ Najua, Ila kiufupi, nakushukuru Sana

Ami, hakika wewe ni bingwa, umeweza

kuniheshimisha katika hii dunia kwa kuniletea binti”

“ Gerald kwa Nini ulitamani Sana binti

ilhali kwenu wa kiume umezaliwa pekee

yako, inaonekana kushangaza!”

Nilimwambia, “ Kwa sababu hiyo ndo

maana nilitamani Sana binti, hakika

nimeishi vyema Sana na dada zangu,

wameumbwa na mioyo mizuri Kama

alivyo mama yangu, hivyo nikaamini

nikiwa na binti atakua sawa na wao. Ila

zaidi nilitamani kua na binti kwa sababu

inasemekana mtoto wa kike humpenda

Sana baba yake’. Maana Mimi Ni

kipenzi Cha mama Gerald na hiyo Ni

kweli na dada zangu wanapendelewa

Sana na baba yangu”

Sababu zake zote, sababu ya kwanza

ndo ilikua sababu ya maana. “ Potea

huna manufaa mama yako alisema”

nilimkumbusha.

“ Upo sahihi, kwa sababu nilikuvurugia

mipango yako, ndo maana mama Gerald

alichukia, Ila Ami nashukuru Sana kwa

kuniheshimisha, na Sasa Gerald anaitwa

baba Gift, acha nikutumie pesa

usherehekee kwani na Mimi Ni siku

yangu ya kusherekea kwa nguvu” sikua

karibu nae lakini hakika niligundua zaidi

kua anayofuraha isiyokua na mwisho.

“ Ami, nakupenda Sana, usinikatie tamaa” aliniambia hivyo nikawa tayari

nimemuelewa na wakati huo Gerald alikua tayari kaajiriwa. Na hakua Dar

Tena, Bali alikua mbeya.

“ Gery kwa Sasa acha kwanza nilee

mtoto wangu” nilimwambia mapema na

maongezi mengine machache yalifata ghafla mama akaingia ndani kwa nguvu baada kusikia maongezi yamekua marefu.

“ We kijana , hebu muache mtoto wa watu ale, mwenzio Ni mzazi huyu, hujui uchungu ulivyo na hutawahi kuujua”

alimwambia kwa sauti Gerald akacheka tu na kunikatia simu bila kuaga.

Nilitabasamu na kukabidhiwa bakuli la supu ya nyama ya ng’ombe nitumie.

Ndani Yake kulikua na ndizi Kama nne hivi. Mama mkwe alimchukus Gift na kumbeba, hakika alikua na furaha isiyokwisha kila alipomtazama.

Baada ya kula sana hatimae nilifaa

kupumzika, wakati huo mama mkwe

aliongea na mama yangu. Niliwasikia

wakipeana pongezi kana kwamba walikua

wakifahamiana. Nikakausha hata hivyo

nitaongea nae nikiwa sawa, Nina mengi ya kumuelezea nafaa kumuomba

msamaha pia. Nilimkosea Sana mama yangu.

Majira ya usiku alikuja Dr kuniangalia

akatoa maagizo kadhaa kwa mama Kisha

akaondoka zake. Mama alisogea kwangu na kunikazania Nile kwanza. Yaani

nilikua nakula huku nimesimamiwa na kuambiwa nimalize kila kitu, wakati huo

tumbo limefungwa kwa kukazwa nikiwa

sielewi. Ilibidi usiku huo niulize.

“ Mama Sasa kwa Nini unahimiza nile

wakati tumbo langu umelifunga, huoni

Kama naumizwa na chakula?”

Nilimwambia.

.” Hakuna kitu Kama hicho, huwezi

kuumia. Ikitokea nikafungua tumbo

lako, utahutaji kupakia kila kitu na

hautajihisi kushiba kabisaa, maana kwa

Sasa tumbo lako lipo wazi, yaani lipo

wazi kwa ukubwa zaidi, Ila kwa

kulifunga inasaidia kuzuia kutamani kila

kitu. Na nafasi zilizoachwa wazi

kujivuta zenyewe taratibu. “

“ Aahh! Sikua najua, kwa hiyo nisipolifunga baadae ntakua na tumbo

kubwa Sana”

“ Kama turbo, ahahaha!” Mama mkwe

wangu alikua na vituko. Hatimae nililala

baada ya kukandwa Maji ya Moto na mtoto kunyonya. Mwenzenu sikua

najiweza kwenye kulala. Kwanza nilikua

mlalafi, nalala vibaya nisipokua Makini

mtoto nilikua namuwekea miguu.

Afadhari mama mkwe alikua makini, hata mtoto alipolia usiku sikuweza

kumsikia eti niamke kumnyonyesha.

Hiyo kazi aliifanya mama mkwe kwa

ugumu Sana.

Amina amka mtoto analia unafaa

kumnyonyesha” yalikua majira ya saa

kumi alafu naamshwa kumnyonyesha

mtoto, nilijitahidi kuvuta chuchu

nimuwekee mdomoni Ila mwisho wa siku

usingizi ukawa na nguvu zaidi yangu,, wee mama mkwe aliniacha nilale akaja

akasaidia kukamua maziwa na kumsaidia

mtoto kunyonya, la sivyo kangekoma hako ka Gift.

Sehemu ya 35

Hatimae kesho Yake tulipewa ruhusa ya

kuondoka kurejea nyumbani. Baba mkwe

alinifata na gari Yake pamoja na maua ya zawadi akinipongeza kwa safari

ndefu ya kupata mtoto. Tena binti

alimpokea akimsemea maneno mazuri eti

mke wake. Kisha akampiga maombi hapo.

Daah! Gift alikuja na baraka tele.

Gerson alinikaribisha kwenye gari huku

akiwa kanishushia mwamvuli jamani

nilikua kama malkia anaependelewa

mwenzenu.

“ Kipenzi usihofu, wewe kwa Sasa Ni

Mrs Gerald Tantalila mkwe pekee wa

familia hii, Tena shukuru Sana mungu

Gerald kwa Sasa ameajiriwa tayari,

hapa Ni sisi tu kujiandaa na ndoa yenu”

nilitumbua macho hivi nilifaa kuolewa

hivi karibuni? Hapana hapana haikua

sawa? Kuzaa sio kuolewa? Sitaki

kumtumia binti yangu Kama kibali Cha

kupata ndoa? Nililaani hayo maamuzi ya watu wengine kabisa.

“ Mbona Kama hujafurahishwa na maneno yangu, samahani Kama nimeenda mbali” Cynthia alijishtukia.

“ Hapana wifi hujakosea, lakini nahitaji muda kuwazia Hilo” nilimpa tabasamu

hafifu akaelewa maana yangu, hata

hivyo wao walikua wakubwa kwangu japo

nimewahi kuzaa kabla Yao. Hata Zena

alinielewa ki ukweli walionekana

kuvunjika moyo kwa mawazo yangu.

“ Ki ufupi natamani Sana uwe mkwe

wangu, sitaki kijana wangu aruke ruke

na wanawake wengine wakati tayari

nimeshaonja utamu wa kua na wewe

Kama mkwe na mjukuu umeniletea,

naomba usiikwepe hii nafasi” mama

mkwe aliniambia nikapiga kimya.

Hatimae tuliwasili nyumbani nikaanza

kuhudumiwa Kama mzazi Sasa. Nilikua

natumikia kifungo changu Cha uzazi kwa

uangalizi wa Hali ya juu’, Kwa kua sikua

najiweza kumwangalia mtoto ilimlazimu

mama mkwe ahamie chumbani kwangu,

usiku kucha angetutunza Mimi pamoja na mtoto haswaa. Siku zilisogea

hatimae mwezi mmoja hukupatikana.

Mwezi wa pili nilianza kuzoea pia na

mwili wangu ukaanza kurejea katika

Hali Yake ya kawaida nikawa mzuri

zaidi ya mwanzo, hiyo ilitokana na

sababu ya kua chini ya uangalizi mzuri

kupindukia. Ki ufupi nilitunzwa vyema

Sana. Mama yangu alikuja kunitembelea

pale kwa machungu Sana akiniomba samahani.

“ Hapana mama, Mimi ndo wa kuomba

samahani kwako mpaka kufa kwangu

nilikuvunja moyo mama yangu”

nilimwambia.

“ Hapana mwanangu nilifeli pakubwa

Sana Kama mzazi, kwa Nini nilikufukuza

nilishindwa kutumia akili na kujiuliza

iwapo Mimi ningefukuzwa nyumbani ningeishije?”

“ Mamaaa.. mzazi hakosei, hakika

nilifanya makosa kwa kufata kiburi

changu, siku hiyo sikufaa kuondoka

nyumbani nilifaa kuelewa ya kwamba

hasira za mzazi huwa hazidumu”

“ Ni kweli binti yangu, jioni ya siku hiyo

nilienda kwa mama shera kukuulizia

akaniambia haupo, nilichanganyikiwa

kwani nilihisi labda umechukua maamuzi ya kwenda kujiua. Nikampigia Froza na kumuelezea wewe ni mjamzito angalau

akutafute popote muongee akasema

atakutafuta. Ila mwishowe kumbe hukupatikana hata kwake”

Niilikumbuka vyema hiyo siku kwani

dada aliongea mbele yangu nikiwa

namsikia. Hakika ilikua siku ambayo

dunia ilikua kichwani kwangu.

“ Mama tufanye yamepita, bahati nzuri

mwanaume alienipa ujauzito alikuwepo

kwa ajiri yangu, alikua msitari wa

kwanza kunisaidia we usijari binti yako nipo salama. “

“ Amina wangu, hongera Sana, kwanza unayo bahati huko mwenzako Eliza

kakataliwa kabisa”

“ Mama usiongee habari zao, hata hivyo, unakumbuka kabisa

wanavyotuchukulia hao watu” sikutaka

mama yangu ajari kuhusu watu

wasiotujali.

“ Usijari binti yangu, hata hivyo kwa

Sasa Ni muda wa kulea wajukuu”

alimbeba Gift na kumchezesha. Siku

hiyo tulishinda pamoja na mama yangu

mpaka jioni, nilitamani alale hata hivyo

Ila alikataa akasema sio sheria kwa

yeye kulala ukweni kwao na binti Yake.

Usiku wa siku hiyo Gery alinipigia simu

na kuniambia yupo mbioni kuja, sijui Ni

vipi lakini nilihisi Kama moyo wangu

ulipata ahueni, kweli alikua akija?

Maana tayari nilikata tamaa kumuona.

Kesho Yake asubuhi mama mkwe aliingia

chumbani kwangu kuchukua nguo za Gift

nilizombadili usiku pamoja na nguo zangu

chafu akafue. Aliniangalia baada ya

kusalimiana namna nilikua na furaha

akaanza kuniambia.

“ Nakuona ulivyo na furaha Mrs Gerald , Sasa wewe neng’eneka hapo umrudishe nyuma mtoto wako asikue kwa afya!”

Mmhh! Nilishtuka kwanza. Alikua na maana gani? “ Mama sijakuelewa kabisa, kwani Kuna kitu kibaya?”

Nilipata wasiwasi kidogo.

“ Hapana maana yangu Ni kwamba, huwajui vizuri wanaume, acha Sasa

nikwambie Gerald anakuja.. Gerald anafanya Nini?” Aliniangalia “Anakuja”

nilimjibu nikimwangalia.

“ Eeh! Unajua kumbe, Sasa Basi, sahau kuhusu huyo Gerald kitu muhimu

Ni kwamba unafaa kua Makini na binti

yako, amini usiamini wanaume

wanapenda Sana kufanya tendo la ndoa, Sasa wewe jichanganye umpe kila siku

we bado Ni mzazi na haujawa salama ki

afya, na kuhusu Gift bado anahitaji

hewa Safi, we unajuaje huko aliko kua

Gerald hakua na michepuko? Kua Makini na binti yako, nakuonya”

Aii! Nilipata aibu mama mkwe aliamua

kutomuamini kabisa Gerald, hata hivyo

alikua sahihi Gerald sio wa kuaminika

Kuna siku nilimpigia simu akapokea

mwanamke alafu yeye akiwa bafuni,

hiyo Ni ishara tosha anao wanawake wengine. nilipata wivu tayari na kutamani kulia.

Unahisi nini kitafuata hapo?

Tukutane sehemu ya 36

Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.