TUMAINI LANGU 01 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Majira ya saa10 jioni katika eneo la
makaburi,anaonekana mwanamke wa
makamo akiwa kwenye moja la kaburi
akilia kwa uchungu sana mkononi
kwake akiwa ameshikiria maua.
Machozi yalikua yanamtoka bila hata
kukoma ni wazi mtu aliezikwa kwenye
kaburi hilo alikua na uhusiano wa karibu
nae saña.
Naam ilisikika sauti yake ambayo ilikua
inatoka ikidhihirisha bado haamini
kilichotokea dhidi ya alielala kwenye
kaburi hilo.
"Elias mwanangu,bado siamini kama
ndo umeenda na sitakuona tena,baba
wewe ulikua furaha yangu kwenye haya
maisha yangu kwanini umeondoka ikiwa
bado nakuhitaji mwanangu,natamani
nisahau kila kitu kuhusu wewe lakini
nashindwa elias wangu,bado taswira
Yako ya furaha hua inanijia akilini
mwangu,sauti yako ya madeko pindi
ulipokua unaniita na kuniuliza baba
atarudi lini bado inapenya kwenye
ngoma zamaskio yangu elias wangu
nawezaje kusahau, nawezaje kukuacha
ukiwa umelala hapa mwenyewe na mimi
nilale nyumbani baba yangu,moyo
wangu unauma sana bado siamini kama
umekufa mwanangu naamini siku moja
utarudi tuje kufurahia pamoja sindio
mwanangu? Elias wewe sio wa kubaki
kimya pindi mama anaongea nijibu
mwanangu."
Mama huyo alikua anazungumza kwa
uchungu sana machozi yakiwa hayaachi
nafasi ya uso wake kuwa mkavu,alilia
kwa uchungu sana,alilaza kichwa chake
kwenye hilo kaburi kwa muda mrefu
sana hadi giza lilipoanza kuingia ndipo aliinua kichwa chake na kusema.
"Elias mwanangu siwezi kukuacha
mwenyewe hata siku moja nitahakikisha
nakuja kila siku hadi pale utapoamua
kurudi na mimi nyumbani kwetu, naamini kua itatokea hivyo, Nakupenda sana baba."
Mama huyo aliweka maua na kuondoka
kinyongee sana Huku akigeuka geuka
kuendelea kulitazama kaburi la mwanae.
Alirudi nyumbani kwao,na alipofungua
geti alikutana na mlinzi,mlinzi
alishangaa sana maana ni muda mrefu
alikua ametoka na muda aliorudi ni alibaki tu kushangaa na kumsikitikia,nae
hakumsemesha chochote mwanamke
hivyo alielekea mlangoni na kufungua
mlango wa kuingilia ndani akakutana na dada wa kazi akamuuliza.
mama huyo hakutaka kujibu chochote ni wazi kichwa chake kilikua hakipo
sawa,dada wakazi alimsikitikia
sana,lakini mama huyo wakati anataka
kupita pale varandani kuelekea
chumbani kwake,pale varandani kulikua
na mwanamke Mzee alikua amekaa
akisoma soma magazeti Mzee huyo
akazungumza.
"Inamaana sasa hivi umekua ukitoka na kuingia kama kwako hapa sindio?,sasa
subiri maana siku zako za kuishi hapa
zimesalia kidogo sana nitakuonesha kama mimi ni nani." Mwanamke huyo
"Mama unatoka wapi usiku huu?.."
mzee alizungumza lakini mama elias
hakujibu chochote na kuingia chumbani
kwake,bado hakua na amani kabisa
alihisi kuondoka kwake makaburini ni
kumkosea na kumuumiza sana
mwanae, usiku ulikua kama mchana
kwake,na mchana ndio kabisa yaani
alikua anapitia maumivu makali sana
moyoni mwake.
Asubuhi mapema sana upande wa pili
anaonekana msichana mwenye umri wa
miaka 15 akiwa anajiandaa kwaajiri ya
kwenda shule,alivaa sare zake vizuri
alivaa viatu na wakati anafunga tai yake
mlango wa chumba chake uligongwa na
aliposogea mlangoni na kuufungua
mlango huo sauti ya kiume nzito ilisikika.
"Waoo binti mfalme wangu tayari umeshajiandaa." "Ndio baba najaribu kufanya kila kitu mwenyewe sasa."
"Ndio ni vizurii kuwa mama yako alikufundisha vema,ona sasa nafurahia sana kuona binti yangu umekua sasa."
"Ndio baba nimekua na mama yangu atakua anajivunia sindio baba?."
"Alice binti yangu,mama yako anafurahia
kuona binti yake anafuraha anapokua na baba yake,anafuraha anapoona binti
yake anamkumbuka mara kwa
mara,lakini alice hupaswi kuwa na mawazo mabaya kuhusu mama sababu
unamuweka kwenye wakati mkugumu
ikiwa tunaomba apumzike kwa amani."
naona kama jana tu ndo imetokea, namkumbuka sana mama yangu."
Binti huyo alishindwa kujizuia na kuanza
kutoa machozi, baba yake alimkarisha
kitandani akamkumbatia huku
akimpooza kwa kumwambia.
"Najua unajiskia vibaya kiasi gani
mwanangu lakini unatakiwa kujua kua
sisi binadamu ni viumbe vya Mungu na
kila moja atarejea kwake kwa namna
anayotaka yeye tafadhaii alice wangu
ukiwa hivi nakosa raha nashindwa
kujizuia kabisa kwaajiri yako
"Baba bado sijasahau kilichotokea
mwanangu,hebu kwanza tuachane na haya,chukua hii pesa nunua mahitaji
Yako yote,ambayo unahitaji na pia
nitamwambia anko akupeleke shuleni
mimi nitakua na mizunguko kadhaa
kabla ya kwenda kazini hivyo leo utaenda na dereva."
"Mwanangu najua unatamani kuwa na baba yako kufurahia lakini tambua kua
baba Yako nipo pamoja na Wewe japo
mambo ya kazi yanafanya tusiwe
pamoja kwa muda mrefu ila nakuahidi
hivi Karibuni nitakua na likizo na
"Baba..!."
tutafurahia pamoja,ukiwa na tatizo mwambie dada au mama yako Sawa?."
"Baba...,lakini..."
"Alice mwanangu muda umeenda tutaongea baadae,mmmwaa bai."
Baba yake alimb'usu na kuondoka zake,lakini wakati anazungumza na
mwanae kuna mwanamke ambae alikua anachungulia hivyo baada ya baba yake kutoka chumbani kwake aliingia huyo
mwanamke na kumwambia.
"Naona baba yako,anakujali sana wewe
kuliko mimi mkewake ambae nipo ndani
na najaribu kumpa kila kitu kwaajiri ya kumuondoa mawazo ila wewe kila siku
unamfanya awe na wakati
mgumu sababu ya huyo mama Yako,hivi
hujui kwamba aliyekufa ndio kafa na harudi tena unajua hilo?."
Maneno ya mwanamke huyo
yalimuumiza sana alice akataka
kuondoka lakini mwanamke huyo
alimvuta alice na kumwambia.
"Lete hiyo hela unaondokaje kizembe hivyo."
"Lakini amenipa baba kwaajiri ya matumizi yangu tafadhali nakuomba niachie."
"Weee acha upuuzi hebu nipe hiyo
hela,una matumizi gani we mtoto mdogo mjinga wewe." Alice alitoa hela
kwenye begi na kumpatia mama yake
huyo mdogo,na kisha akamwambia.
"Kama kawaida ukisema kwa baba yako
unanijua vizuri sana utamkosa baba
Yako au baba yako atakukosa wewe
sawaa kama unataka uishi bila baba
Yako au baba Yako aishi bila wewe bàsi
mwambie kuhusu hili na mengine pia na kabla sijasahau utaenda shule kwa
mguu na sio kwa gari tena. "
"Lakini baba amesema..!"
"Amesema lakini na mimi nasema kuwa
hutoenda shule na gari mwanangu."
Mwanamke huyo alionekana wazi kua
hampendi alice, aliondoka na kumwacha
akilia,alitamani abaki hapo nyumbani na
asitishe safari yake ya kuelekea shuleni
lakini aliona hata akibaki hakuna
ambacho ataambulia zaidi ya maumivu,alibeba begi lake na kuondoka zake.
Alipotoka nje ya geti alitembea kwa
taratibu sana yaani nikama mtu ambae
hapendi shuleni, nyumba ya pili jirani yao
ambae alikua rafiki wa mama yake
alimuona na kumuita.
"Alice..!" Alice aliitikia na kusogea karibu
alimsalimia mama huyo na kwakua
alikua na kijana wake pia ambae alikua
anaenda shule pia alimsalimia,kisha
mama huyo akamuuliza.
"Mbona upo hivyo na mbona unatembea wakati hua unaenda na gari shuleni?."
"Hapana anti unajua sasahivi napenda kufanya mazoezi ya viungo,nataka nizidi kuzoea maisha tofauti kidogo baadae anti."
"Alice..!" Rafiki yake alimuita lakini alice
hakutaka anti yake ajue kile anachopitia
japo mkubwa hadanganywi maana
muonekano wake ulionekana
anatabasam la uongo na uso wake
ulionekana jinsi gani anapitia wakati
mgumu msichana huyo.
Safari yake iliishia makaburini asubuhi
hiyo,alisogea hadi kwenye kaburi la
mama yake na kukaa kando,alimlilia
sana na kumuomba Mungu amrudishe
mama yake,anayopita ni zaidi ya
maumivu moyoni mwake lakini mtu
aliyekufa hawezi kurudi kamwe alice
alilia hadi machozi yalimkauka na kuamua kulala juu ya kaburi la mama yake.
Akiwa ametulia akijaribu kukumbuka
tukio lilomsababishia ajali mama yake
ghafla alisikia sauti upande wa pili wa
pale makaburini ni sauti ya mtu ambae
alikua anaongea huku akilia pia alice
alibeba begi lake na kuelekea
inapotokea hiyo sauti.
Naam alikua mama wa Elias,alice
alisogea karibu yake,maneno ambayo
yalikua yakitoka kinywani mwa mama
huyo yalimgusa sana na kujikuta
akishindwa kujizuia na kumkumbatia
mama huyo kwa nyuma na kumwambia.
"Pole sana, maumivu Yako ni kama yanafanana na yangu japo sijui ya nani ni zaidi lakini nahisi wewe utakua faraja yangu,mama.."
Mama Elias alimgeukia alice na kumkumbatia pia na kumwambia.
"Asante kwa faraja binti yangu
mrembo,nimefarijika sana baada ya kuona kuna watoto wadogo ambao
wanakuja na faraja pindi wakubwa zao wanapohitaji faraja."
Alice alishindwa kujizuia kabisa alianza
kulia kwa uchungu maana
alivyokumbatiwa alihisi kama vile ndio
mama yake ambae amemkumbatia.
Walitoka hapo na kuelekea nje kabisa ya
makaburi hayo walizungumza kwa kirefu
zaidi na kujikuta wote wakipunguza
mawazo kwakufarijiana.
"Unaitwa nani binti mzuri?."
"Alice,naitwa alice."
"Wao jina zuri sana kama wewe
mwenyewe."
Mama Elias alifuta chozi kwa kutega Ili
asione alice kama alikua analia, akamuuliza kuhusu shule lakini
alichojibu hakikua cha kueleweka mama
huyo akamwambia anataka kumpeleka
"Asante sana ,lakini hata wewe pia ni mzuri sana mama."
shule,alice alikubali
lakini wakati
wanatembea kutoka eneo hilo kuna
mwanaume alishuka kwenye gari na kuita.
Mama elias aligeuka, aliachia kinywa
chake wazi kwa mshangao wa hali ya juu sana ni wazi alikua anamfahamu. Je ninani...
Je unadhani itakuaje usikose
itaendelea....
"Hellen..hellen....!?"
TUMAINI LANGU 02 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
"Denis...!" Mama elias alitaja jina hilo
niwazi walikua wanafahamiana, mama
elias ambae kwa jina lake la
kitambulisho cha uraia anafahamika
kama hellen, alimuacha alice na
kumsogelea denis, walikumbatiana,
denis alionekana kumkumbuka saña
hellen. Alice alipoona wamekumbatiana
kwa muda mrefu aliamua kuaga na
kutaka kuondoka maana hakutaka kuwa
kikwazo kwao lakin mr denis
akamwambia.
Hellen alitamani sana alice asiondoke
lakin hakuweza kumzuia sababu alitaka
awahi shuleni kwaajiri ya kuiandaa
Kesho yake, alice alipokua anapiga
hatua na kuzidi kuwaachia mbali zaidi
"Binti niwazi utakua unaelekea shuleni ingia kwenye gari nikupeleke." "Hapana usiijari nitafika,kwaheri mama hellen.."
miss hellen alimuita.
"Alice...!" Alice aligeuka mama yake na elias alimsogelea na na kumkumbatia kwanguvu sana kisha akamwambia.
"Natamani kama ningepata muda mwingi zaidi wa kukaa na wewe,nahisi tofauti sana uliponikumbatia na kuniita mama. Alice niahidi kama tutaonana tena.."
"Mama..!,ni miaka miwili sasa sijatamka
neno hili japo baba yangu ameoa lakini
sijawah kuita mama mwanamke
aliyemuoa najihisi kama mama yangu
anaumia hafurahishwi na mimi kumuita
mama mtu mwingine asiyestahili, samahani kwa kusema hili ila nakuahidi
kua tutaonana tena na tena."
"Basi Sawa binti mzuri,usijari Najua huu ndio mwanzo wetu wa kufahamiana na usisite kuniita mama popote
utakaponiona na ukihitaji kuniita mama milango iko wazi,nakupenda sana binti mfalme."
Alice alifurahi sana,miss hellen alimbusu
kwenye paji la uso kisha akamuacha
aende zake. Mr denis alimsogelea na kumuuliza.
"Hellen kwanini upo hapa asubuhi hii na huyu binti kwanini anakuita mama?."
"Sina majibu ya maswali yako na wewe kwanini umekuja?,."
"Aah hellen tunapaswa kupata muda wa kuzungumza tafadhali nakuomba."
"Kuzungumza unataka kuzungumza nini na mimi denis au mama yako
amekutuma uje kuniondoa nyumbani?."
wacha mambo yako
tunapaswa
alimshika hellen mkono na kumuingiza
kwenye gari kisha akaendesha gari hadi
nyumbani kwao, alimfungulia mlango
hellen na kwa pamoja kuingia ndani
hellen alipitiliza moja kwa moja
chumbani kwake mr denis alikaribishwa na dada wa kazi.
"Aah,hellen
kuongea." Mr denis
"Bosi karibu sana nyumbani."
"Usijari mdogo wangu,mama yupo wapi?."
"Yupo ndani amepumzika."
"Sawa, niandalie juisi nakuja."
Mr denis alielekea chumbani kwa mama yake ambae alimkuta ametulia
anasoma gazeti.
"Mama..!" Ujio wake hata mama yake alishtuka sana,na kumuuliza.
"Denis ndo umefika?."
"Ndio mama, shikamoo."
"Marhaba shujaa wangu,kwanini
ujanipigia simu kama unakuja
tungefanya maandalizi ya kukukaribisha nyumbani."
"Hapana mama usijari na sikutaka
kuwasumbua mama,unajua ni muda
mrefu sana mambo mengi yametokea
hapa kati na sikuwepo sikutaka kupiga
simu kuepuka hizo mambo ya ukaribisho sikutaka kumfanya hellen
ajiskie vibaya."
"Kujiskia vibaya kwanini yaani,inamaana
mtu usifanye mambo Yako kwaajiri yake
atajiskia vibaya kwani ye ndo wakwanza kupoteza mtoto?."
"Mama...!"
"Mama nini mbona mimi nimepoteza
watoto na umebaki wewe tu lakini sina
mawazo sababu Najua kila linalotokea
Mungu ndio anapanga sasa yeye
amekua akilia na kusema Mungu
anamuonea inamaana hao wengine wanaofariki.."
"Lakini mama Elias ni mtoto wangu,hata
mimi pia nimeumia mama unahisi
siumii?,mama nimeumia zaidi ya mara
moja,mwanangu alihitaji sana kuwa
karibu na baba yake lakini
sikuwepo,wakati ananihitaji,amepata
ajali hakuweza kufanya chochote
akahitaji ukaribu wangu lakini sikuwa
karibu nae mama hadi amefariki
sijamzika unahisi inaweza kusahaulika
kirahisi
mama kuwa na moyo wa huruma angalau mama."
Mr denis aliongea kwa hisia za maumivu
sana lakini mama yake alisimama na kumuuliza kwa sauti ya ukali.
"Inamaa mimi sina huruma sio?."
"Ndio mama hata mju..." Mr Denis
alishushiwa ambakati moja nzito kutoka
kwa mama yake hadi akili ikamkaa
sawa,mama yake akamwambia.
"Unaniambia sina huruma hivi kama
nisingekua na huruma ningebeba
mimba za watoto sita na na kuwalea
vizuri kama wanangu na kuwapa kila
kitu eeh na wote wamefariki kutokan na matatizo mbalimbali,baba yako
ulishuhudia pindi anaumwa pia
amefariki ukiwa unajitambua kabisa na ulishuhudia jinsi nilivyokua najitahid
kupambania uhai wao bàdo unahisi sina huruma?,toka nje denis."
Mr denis alitoka nje,lakini hakuwa Sawa
kabisa kwa maneno ya mama yake, alielekea chumbani kwa hellen
akamchukua na kuondoka nae pamoja.
Muda ulizidi kwenda na hatimae majira
ya saa kumi jioni,kuna mwalimu wa
darasa wa kidato cha pili aliingia
darasani kwaajiri ya kuita majina ya
wanafunzi waliohudhuria lakini baada ya
kuita majina hayo alishangaa sana
kuona alice hayupo darasani lakini
hakutaka kuwauliza wanafunzi kwakua
hata wao wangesema hawajui kuhusu
taarifa zake.
Alimaliza kuita majina kisha
akawaruhusu kuondoka. Mwalimu huyu
wa darasa amekua akimpenda sana
alice kutokana na uwezo wake mkubwa
wa kufanya vizuri kwenye masomo yote
darasani tangu alipoingia kidato cha
kwanza,na hata hayo matatizo
yamemkumba akiwa ameshaanza
kidato cha kwanza lakini bàdo
hakuonekana kuwa mdhaifu kwenye
masomo yake.
Performance yake na wanafunzi
wengine walinyanyua shule yao na kuwa
kwenye nafasi ya kwanza kimkoa. Ila
alipoanza kushuka kimasomo baadhi ya
walimu walianza kumuongelea vibaya
kua huenda ameanza mambo ya
mapenzi Ndio maana ameshuka lakini
walishasahau kuhusu kifo cha mama
yake jinsi kilivyotokea,lakini mwalimu
wake wa darasa bàdo aliendelea
kumpenda na kumpa nafasi zaidi kadiri
anavyozidi kukosea nae hamuachi mwenyewe.
Mwalimu huyo aliondoka shuleni na kuelekea nyumbani kwake maana muda
wa kazi ulishaisha kwa Siku hiyo.
Tayari ilikua majira ya saa kumi na moja
jioni, Mwalimu huyo aliamua kwenda
kwa kina alice Ili ajue kwanini hajaenda shuleni. alifika na alikaribishwa na mama yake wa kambo walisalimiana kisha akamwambia.
"Samahani kwa usumbufu ila nilikuja
kwa kutaka kujua kwanini alice hajaja shule na hakuna taarifa yoyote ile
ambayo imetolewa,nimekua na wasiwasi sana Ndio maana nikaamua kupitia hapa."
"Unasema alice hajaja shule?
Inawezekanaje kuwa hivyo wakati
ameondoka hapa akiwa amevalia sare
zake vizurii."
"Anha inamaana hujui, inaonekana wazi
kuwa huna malezi mazuri kwa mtoto
yaani mtoto anaondoka nyumbani lakini
huna muda wa kufatilia wala kujua
mwenendo wake,unawezaje kukaa tu na kutulia hivyo?."
"We mwanamke acha kufatilia maisha
yasiyokuhusu na kama umejia hilo bàsi
unaweza kwenda maana sipo tayari
kujibishana na mtu mjinga kama wewe."
Mwalimu huyo aliondoka zake maana
alijua wazi hapo akiendelea kuwepo
watazidi kujibishana mwisho kuishia pabaya.
Akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake, alishtuka sana kumuona alice akiwa
amekaa kwenye kituo cha daladala wala
hana wasiwasi kabisa, alishuka kwenye
gari na kumsogelea,alice nae
alipomuona mwalimu wake akataka
kukimbia lakini mwalimu huyo
akanyoosha mikono yake na kumwambia.
"Alice usinikimbie nimekufata wewe tafadhali." Alice alirudi kwa mwalimu
wake na kumkumbatia kwa nguvu
sana,hakutaka kuwapa watu faida
alimwambia aingie kwenye gari na kisha
wakaondoka pamoja hadi nyumbani kwake.
Mwalimu huyo kila alipokua
akimtazama alice aligundua ni wazi alikua ananjaa sana,aliweka mkoba
wake kwenye sofa na kuanza kuandaa
chakula na muda huo alice alionekana
kuchangamka sana. Walipika pamoja
hadi walipomaliza na wakati anaandaa
chakula mwalimu alionekana kua bize
sana na simu na muda mwingi alikua
akitazama kama kuna ujumbe wowote
umeingia niwazi alikua anasubiri ujumbe
kwenye simu yake.
Walikula pamoja kwa furaha na
Mwalimu hakumuuliza chochote alice
na baada ya kumaliza kula alimwambia
akaoge na alice alifanya hivyo,na
alipotoka bafuni,mwalimu wake
akajaribu tu kwa kumwambia.
nyumbani ukapumzike." "Madam, tafadhali naomba nilale hapa kwa leo."
"Alice..!"
"Tafadhali madam."
Mwalimu hakutaka kumfanya ajiskie
vibaya kwa kumlazimisha,ikiwa
wametoka kufurahi pamoja,alikaa
kwenye sofa kisha akamlaza kwenye
mapaja yake huku akimbembeleza
alale,na alice hakuchukua muda mrefu
akalala. Majira ya saa tatu usiku mlango
wa Mwalimu uligongwa kwa nguvu sana
mwalimu aliamka pale alipokua amekaa
na kumfunika vizuri alice kisha
akafungua mlango.
"Sasa wacha nikaoge nikupeleke
"Waooh ni ajabu naona umekuja sababu ya mtoto wako sio?."
"Aah!, Tafadhali Leticia sijaja kwaajiri yako, mwanangu yuko wapi,alic..."
"Shi..shsihsi,mtoto amelala kwanini unataka kupiga kelele?."
"Leticia unaweza kuniambia kwanini binti yangu amekuja hapa?."
"Mmh mr kelvin nafikiri kua umekosea
kuoa kwa mara yakwanza,maana yule
wa kwanza alikua mwanamke na nusu
ila huyu eh pole sana,yaani mwanamke
hana huruma hata kidogo,hivi
alikujulisha kwamba mtoto hayupo
nyumbani hadi muda huu au? Na vipi
amekuambia kua mtoto hajafika shuleni?."
"Leticia sipendi unapokosoa maamuzi yangu, tafadhali wacha kumzungumzia vibaya mke wangu wa sasa hata
aliyepita,hebu nipishe,na iwe mwisho na mwanzo kuwa karibu na mwanangu
kiasi hiki."
"Aah mr kelvin hivi umesahau kua mimi ni maji na umuhimu wa maji unaujua
usipo yanywa bàsi
utayaoga unajua hilo?."
"Leticia,mimi na wewe tulishamalizana pale tu ulipoamua kutoa mimba yangu sikupendi tena Leticia nakuchukia sana."
Hapo mwalimu aliamua kutulia ni wazi maneno ya mr kelvin yalimuumiza,mr kelvin hakujali akambeba binti yake na kuondoka zake. Lakini kichwani kwake
kuna mambo mengi alikua anajiuliza
sana,kwanini binti yake awe nyumbani
kwake hadi usiku ni maswali ambayo
alijiuliza sana.
Upande wa mr denis na miss
Hellen,baba na mama wa marehemu
Elias,walikua wakizungumza,mr denis
alionekana kuomba radhi kwa mama
mtoto wake lakini miss hellen hakutaka
kumuelewa kabisa ilikua hivi.
"Mama Elias najua nimefanya makosa
hata kama elias angekua hai
asingeweza kunisamehe lakini
nakuomba sana hellen kama
tukielewana mtoto atakua na amani."
"Amani?,amani ipi unayozungumzia denis,uliondoka na kutuacha na
mwanangu,muda mwingi alikua
mpweke,kila alipopiga simu yako ilikua bize,mtoto alihitaji sana uwepo wako
lakini hukuweza kumpa hata nafasi ya
kuwa nae karibu hata siku moja ukaona
bora mwanamke wako anakupa furaha
kuliko mtoto wako,alikata tamaa kuhusu
kuita baba lakini mara nyingi nilimpa
matuamini kua baba yake atarudi na
sikuwa na ujasiri wa kumwambia baba
yake ameoa mwanamke mwingine
sababu sikutaka mwanangu aumie
kama nilivyokua mama yake., Denis siku
ambayo amefariki mwanangu ndio siku
ambayo nimekutoa moyoni mwangu
mazima na kamwe sijapanga
kukusamehe kwa mateso uliyompa
mtoto wangu naweza sema wewe ndio
chanzo cha kifo cha Mwanangu hivyo
wewe ni adui yangu mkubwa sana."
"Hellen unasemaje maneno makali
namna hiyo? Unajua jinsi gani nilikua na upendo na mwanangu."
"Upendo???,amepata ajali baada ya
kuskia umemsaliti mama yake na yeye
pia na kwenda kuoa mwanamke
mwingine, alishindwa kuamini mawazo
yamempeleka kutembea bila uangalifu
na kujisababishia ajali alafu mbali na
ajali hukuja kumuona,nisawa ulikua bize
lakini hata kwenye kifo chake hujaja
wewe ni baba wa aina gani unae kaa na kujitapa hapa na kusema ulikua na
upendo na mwanao mjinga wewe."
Miss hellen alizidi kupandwa na hasira
na kuzidi kuzungumza maneno ambayo
alihisi akizungumza na mr denis itakua
na unafuu kwake,ila mr Denis nae
alionekana kuumia sana alisimama na
kutaka kumshika mkono hellen waweze
kuondoka lakini hellen alikua nahasira
sana na kumsukuma mr denis na
kwakua alikua amelewa alitua chini
kama zigo...
Je unadhani itakuaje usikose
itaendelea....
TUMAINI LANGU 03 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Baada ya mr denis kuanguka chini miss hellen bàdo alizidi kuzungumza.
"Denis wewe na mama yako ni matapeli
sana,na sasa ndio nagundua kuwa
wewe ulikuja kwangu kwaajiri ya pesa tu na sio mapenzi na ndiomaana ulivyoona
halingumu ukaamua kuondoka na kwenda kuoa mwanamke mwingine
mwenye pesa,hilo sijali ila kaa na mama
yako uzungumze nae naumwambie
ukweli kua ile nyumba si yako ni yangu
mwambie kuhusu ukweli wote maana
anachoendelea kukifanya kitamfikisha
sehemu mbaya sana."
Miss hellen aliondoka zake na kumwacha mr Denis kichwa
kinampasua kwa maneno ya Hellen.
Miss hellen alifika nyumbani kwao na moja kwa moja hadi chumbani
kwake,lakini alivyopita pale. Varandani
alimkuta mama wa denis yaani mkwe
wake na alikua na wasiwasi sana
kuhusu wao,maana alipomuona hellen
alijua watakua wamerudi wote maana
waliondoka pamoja kwa mujibu wa
taarifa ya dada wa kazi,mama huyo
akajaribu kumpigia kijana wake lakini
hakua akipokea simu,mama huyo
alichanganikiwa sana kuhusu mwanae.
Chini hapakaliki kutembea miguu
imekua na ganzi kifupi alikua
haelewi,mara simu yake ikaanza
kuita alijua ni mwanae lakini baada ya kuitazama alikua mke mwingine wa denis.
"Hallo mbona usiku mwanangu?."
"Mama denis nampigia simu hapokei."
"Ooh usijari mwanangu hata simu yangu pia hapokei ila usiijari itakua amekutana na marafiki zake huko mitaani ila atakupigia au akirudi nitakupa taarifa."
"Sawa mama lakini sitakua na amani hadi denis anipigie."
Simu ilikatwa na kumfanya mama huyo atabasam na kusema.
"Huyu ndio mkwe wangu ambae
anajitambua lakini sio huyu mpuuzi,na leo ataniambia mwanangu yupo wapi."
Mama huyo aliweka simu kwenye sofa
na kuelekea chumbani kwa miss hellen,
alifungua mlango akamkuta hellen
amelala lakini hakua amelala
usingizi,alikua na mawazo yake tu
kichwani kwake,mama huyo alipanda
"Usijari binti yangu."
kitandani na kumshika nywele zake na kuzivuta kwa nguvu huku akizingumza
kwa hasira na chuki kali sana kwa Hellen.
"Niambie wewe mjinga unapata wapi
ujasiri wa kulala usingizi ikiwa mwenye nyumba hayupo,niambie wewe mpuuzi niambie."
Mama huyo alitumia nguvu zote
kuzivuta nywele za miss Hellen lakini
hakutosheka akamshika shingoni
kwanguvu huku akitoa maneno.
"Yaani usiponiambia wapi mwanangu
alipo bàsi nakuua siwezi
kukuachia,siwezi kuacha uvute pumzi
ikiwa ujanambia mwanangu yupo wapi."
Bibi alikua na hasira na alikua anatumia
nguvu sana kumuadhibu miss hellen
lakini ghafla wakati anaendelea
kumkaba miss hellen mwanae Denis
aliingia akiwa amelewa sana alimtoa
mama yake kwanguvu na kumuweka
kando kisha kuanza kumwamsha
Hellen.
"Hellen,uwezi kuniacha hivyo hellen
amka tafadhali nakuomba.."
Simu ya dharula ilipigwa na gari ya
wagonjwa ilifika na kumchukua miss
hellen japo hawakua na uhakika kama
atakua hai,lakini kea kawaida gari ya
wagonjwa inakua na madaktari watoa
huduma ya jwanza hivyo alipatiwa
huduma lakini kwa hali aliyokua nayo
hellen ilikua hatua ya mwisho sana na kuomba dereva aongeze mwendo Ili
miss Hellen aweze kuokolewa.
Lakini wakati miss hellen akapelekwa
hospital, upande wa pili pia mr kelvin na
mwanae walifika nyumbani kwao,na mr
kelvin kama kawaida alimpeleka binti
yake chumbani na kumlaza,nae alilala
pembeni yake.
Asubuhi mapema sana mr kelvin
aliamka na kuondoka zake,lakini kama
kawaida alimuwekea pesa mezani
mwanae kwaajiri ya matumizi ya shuleni, alice alipoamka alijishangaa sana kuona
yupo nyumbani kwao akatamani hata
ampate mtu wa kumuuliza amefikaje
hapo nyumbani lakini akaona haina haja ya kuuliza huenda madam Leticia ndio
kampeleka,aliamka na kuanza kujianda
vizurii kisha akatoka varandani kwaajiri ya kutaka kupata kifungua kinywa Ili
aweze kwenda shuleni.
Alishika chupa ya chai na kumimina chai
kwenye kikombe akaweka sukari lakini
alipotaka kupeleka kikombe kinywani
akasikia sauti ya mama yake.
"Aaah! Hebu subiri kwanza, unaanzaje kunywa chai ikiwa mama mwenye nyumba hajatoa ruhusa?."
"Lakini...."
"Weeh usijifanye unajua kujibu,kwamza jana ulikua wapi?."
"Aah nili..aah.."
"Unaona sasa? Umeanza umalaya sio?."
"Hapana sina tabia hiyo."
"Watoto wakike nawajua vizuri sana mimi,huna tabia hiyo lakini kwanini hujaenda shule jana?,kwanza sina haha ya kusikia majibu Yako lete hela."
"Baba hajanipa pesa." Mama huyo alichukua begi la alice na kufungua na kumwaga madaftari ya alice chini na pesa pia ilianguka ilikua elfu 15 mama huyo aliokota pesa hiyo na kumsogelea alice na kumuuliza.
"Kama baba Yako hajakupa pesa hii umepata wapi?." "Lakini mimi si.."
Mwanamke huyo alishika kikombe cha
chai na kumwagia alice mkononi na
muda huo huo
mlango ulifunguliwa, mwanamke huyo
hakuwa na wasiwasi maana aliamini
mumewake hawezi kurudi muda huo
hivyo hakushtuka,hata kidogo alice
alikua analia kwa maumivu anayopitia
lakini huyo mwanamke alimshika
sehemu ambayo alikua amemwagia
chai ya moto na kupaminya kwa nguvu
sana alice alilia kwa uchungu na kwa
sauti ya juu sana hadi baba yake
alisogea na kumsukuma mwanamke huyo na kumchukua mwanae na kuondoka nae.
"Ametokea wapi muda huu.., nitamwambia nini Ili anielewe itakuaameniona au.." ni maswali ambayo alikua akijiuliza mama huyo.
Mr kelvin alifika hospital na binti yake
anampeleka kwa daktari Ili amuangalie
nae akatoka nje alishindwa kuyazuia
machozi yake kwa alichokishuhudia kwa
mtoto wake na kuamini kuwa madam
Leticia alikua sahihi kuwa amekosea
kuoa kwa mara ya kwanza.
"Inamaana mwanangu amekua akipitia
haya niliyoshuhudia leo? Lakini kwanini
hajawahi kuniambia chochote?,aah
Mungu nifanye mwenye subra mini aah."
Mr kelvin alikua haamini kilichotokea na
kukishuhudia kwa macho yake.
Muda mchache tu kuna nesi alipita eneo
hilo na kumkuta mr kelvin ameshika
magoti yake alimsalimia na kumwambia.
"Dr kelvin mbona upo hivyo kuna
mgonjwa ofsini kwako na pia dr
sospeter usiku wa jana alimuhudumia
mgonjwa ambae alikua na hali mbaya alinipa maagizo kuwa ukifika nikuambie ukamuangalie."
"Aah,Sawa wacha niende ila nimekuja na binti yangu hebu nakuomba alimalizana na daktari mlete ofsini kwangu."
"Sawa dr." Mr kelvin haraka alielekea ofsini na kuchukua vitendea kazi vyake
na kuelekea kumuona mgonjwa
aliyeachiwa. Alikua miss hellen aliingia
wodini na kumkuta miss hellen bado
amelala,alimfanyia vipimo lakini muda
huo hali yake ilikua nzuri akataka
kuondoka miss hellen alifumbua macho yake dr kelvin akazungumza.
"Sikutaka kukusumbua ila ni vema
umeamka kabla sijaondoka, unajiskiaje kwa sasa?."
"Asante sana kea huduma yako maana
mara ya mwisho nilikia na hisia za kifo
tu,lakini umenisaidia asante."
"Usijari,too kwaajiri ya kusaidia
wagonjwa japo mimi sie ambaye
nimekusaidia,ila sifa ni kwaajiri ya madaktari wote,kuna ndugu yoyote
ambae naweza kumpa taarifa zako?."
"Hapana sina ndugu yoyote kwa sasa
naomba nipumzike kidogo kisha nikiwa
tayari nitakuambia nataka kuondoka."
"Una uhakika?." "Ndio.."
Mr kelvin hakutaka kumchosha sana
alimuacha apumzike kisha akaondoka
zake kuendelea na majukumu yake
mengine,upande wa alice alimaliza
kupewa huduma na daktari kisha nesi
alimchukua na kutaka kumpeleka
kwenye ofsi ya mr kelvin ambae ni baba
yake,alimpa pole kwa jeraha alilokua
nalo maana sehemu aliyoungua ilikua
kubwa sana ngozi ilikua imetoka pia
hivyo huyo nesi alikua anamuonea
huruma sana. Alice akamwambia nesi.
"Nielekeze ofisini kwake baba ni wapi na wewe ukaendeleae na kazi zako."
"Sawa, endelea na hii korido kisha kona
kulia mlango wa kwanza wa pili ndio
ofisi yake."
"Asante sana." Nesi aliendelea na mambo yake na alice alikua akifata
kama alivyoelekezwa. Alipokua kwenye
kona ya kukunja kulia alikutana na dr sospeter rafiki wa baba yake alimsalimia
nae aliitikia na kumuuliza.
"Anko alice kwanini mkono wako umekuaje?."
"Nimeungua na moto anko."
"Ooh maskini pole sana, hebu njoo hapa upumzike."
"Anko naenda kwa baba."
"Anha Sawa ila msubiri kidogo baba anawagonjwa muda huu."
Dr sospeter aliondoka na kumuacha alice pale,alice alikaa kama dakika20
akasimama na kuelekea alipoelekezwa
na nesi lakini mara hii alifungua mlango
wa kwanza na hakusoma kama chumba
cha daktari au wodi aliingia moja kwa moja.
Lahaula alimkuta miss hellen akiwa
kwenye mawazo mazito sana, alice
alishtuka sana na kujikuta tu akiita.
"Mamaa...!" Miss hellen alishtuka na kutazama mlangoni ambapo alimuona
alice,alice alimsogelea miss hellen
kitandani,alice alitaka kumkumbatia
lakini miss hellen akamwambia.
"Hebu subiri kwanza,mkono wako umekuaje?."
"Mama nimeungua na moto."
"Ooh maskini pole sana Mwanangu."
Wakati alice na hellen wakizidi kuulizana
huku nje mr kelvin alikutana na mr sospeter na kuanza kuongea.
"Dr sospeter yule mgonjwa wako umegundua shida nini? Na vipi kuhusu
ndugu zake?."
"Yule mwanamke acha tu yani uwezi
amini ila kama unavyoona inaelekea
kuna mtu alimshambulia kwa kumvuta
shingoni na hata nywele zake pia,na
kuhusu ndugu zake walikuja pia usiku ila
mwanaume alikua amelelewa sana na
nilizungumza kuhusu polisi
hakuonekana anataka kusikia Habari hiyo."
"Na wewe umechukua hatua gani?."
"Hakuna sijachukua hatua yoyote."
"Napiga simu polisi kutoa taarifa juu ya hili,lakini naongea na mwenyewe kwanza."
"Dr. Kelvin, usifanye hivyo tafadhali.."
Lakini tayari dr kelvin alikua
ameshaingia wodini ambapo alimkuta alice akiwa kitandani na alionekana
mwenye furaha.
"Alice.. !" Aliita mr kelvin.
"Baba..!" Nae aliita,mr kelvin alisogea
karibu na kumuuliza.
"Unafanya nini hapa,ikiwa nilikuambia uwende ofisini alice?."
"Baba, nilisahau mlango wa ofisi yako nilipoongia Hapa nikakutana na rafiki yangu." Mr kelvin alimtazama mr sospeter na kumtazama miss hellen na kumuuliza binti yake.
"Rafiki??,ni urafiki wa aina gani huo?."
Alice alimb'usu miss hellen kisha
akamwambia kua atarudi tena nae
alimshika mkono baba yake na kutoka
nae nje kwaajiri ya kuzungumza na baba
yake. Je unadhani itakuaje usikose
itaendelea....
TUMAINI LANGU 04 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Baada ya alice kutoka na baba yake na
kumuacha miss hellen wodini mwenyew
miss hellen alijua anajiuliza maswali mengi saña kuhusu alice na baba yake.
Alice alikua ofsini kwa baba yake,na baba yake akamuuliza.
"Binti yangu ulisema yule dada ni rafiki yako lakini bàdo sijaelewa rafiki Yako kivipi,yaani imekuaje?."
"Baba ni mwanamke mzuri na mwenye
huruma kwani ni vibaya nikiwa karibu yake?." "Hapana ila nashangaa urafiki
wenu ulianzaje?."
"Baba nipo karibu na madam Leticia na baadhi ya walimu pia hujawahi niuliza ukaribu wao kwangu lakini kwanini unamashaka na huyu mwanamke?."
"Basi sawa binti yangu nisamehe kwa kutaka kujua lakini mkono wako unaendeleaje kwa sasa?."
"Baba ninapokua karibu na wewe nakua na furaha hata mkono wangu hauhisi maumivu tena." "Kweli mwanangu?"
"Ndio baba."
"Sawa ila mwanangu natamani ungerudi nyumbani ila hapana siwezi kufanya
hivyo natamani ingekua siku ya mapumziko ningekuwa na wewe Ili uweze kuniambia kila jitu alichokua anakufanyia yule mwanamke,lakini ni siku ya kazi nashindwa kufanya maamuzi."
"Baba usijari nitaenda kukaa na rafiki yangu."
"Alice unajua unanifanya nikose amani
kuhusu huyo rafiki yako? Sikia
tunaondoka na sitaki tena kusikia ukisema yule mwanamke ni rafiki yako.'
Mr kelvin alitoka nje ya ofisi yake akatoa
simu akaonekana kua anataka kuongea na simu ,na wakati yupo bize alice
alitoka ofsini kwa baba yake na kuelekea wodini bila ya baba yake kushtuka.
Alifika wodini ambapo alikua miss hellen akamwambia.
"Samahan mama nataka kuwa
nawasilian na wewe unaweza kunipa namba Yako?."
Miss hellen alitabasam na kuchukua
peni na karatasi ambayo alikuja nayo
alice akamuandikia namba ya Simu
yake,na baada ya kumaliza kuandika nae
akamkabidhi karatasi ya namba ambayo
atatumia kumtafuta. alice alifurahi sana
na kurudi ofisini kwa baba yake ila
alipoingia tu ofisini alimkuta baba yake
amesimama,na baada ya kufungua tu mlango baba yake akazungumza.
"Usitake kuniambia kuwa ulienda tena kwa huyo rafiki yako alice." "Hapana
baba nilienda chooni."
Baba yake aliishia kumtazama kisha
akamwambia.
"Tunaondoka sasa."
Alice hakupinga waliongozana pamoja
kuondoka hapo hospital.
Safari yao iliishia kwenye mgahawa
mmoja mzuri sana alice akiwa bàdo na sare za shule alimuuliza baba yake.
tungeongozana pamoja kwenda kwenye
kaburi la mama."
"Baba ningependa sana kama
"Usijari mwanangu hilo halina shida,nimekueletea hapa uweze kupata kifungua kinywa kisha tutaenda."
"Baba tafadhali twende muda huu."
Mr kelvin alikua anampenda sana binti yake na hakuwahi kumfanya ajiskie vibaya alikubali hivyo hawakuahiza chochote na kuamua kuondoka.
Walifika kwenye kaburi la mama yake na alice,alive alizungumza akiwa na furaha sana.
"Mama ona nipo na baba karibu yangu
na mara zote baba yangu anapopata
nafasi hunionesha jinsi gani ananipenda
na kunijari,mama nakumbuka Wakati
tulipokua na furaha pamoja tulicheza na kufurahia pamoja lakini leo haupo baba
yangu hana furaha kama aliyokua nayo zamani
mama."
Mr kelvin alijisikia vibaya sana kuona
binti yake anazungumza kea hisia za
maumivu alimkumbatia binti yake na kumtoa pale,walitembea umbali kadhaa
kisha wakageuka kutazama kaburi la mama alice,mr kelvin akamwambia mwanae.
"Alice mama amefariki,na hawezi kurudi
tena milele,hawezi kutufata ila sisi
tutamfata yeye hivyo nakuomba usiwe
unakuja mara kwa mara hapa,utamfanya
awe na wakati mgumu binti yangu
nakuomba,na kuanzia sasa nakuahidi
hutotoa machozi tena,utakua na furaha
siku zote binti yangu sababu baba Yako nipo
nakupigania."
"Aah subiri ni saplaiz,hebu twende najiskia njaa."
Waliongozana pamoja na mara hii
waliingia kwenye hotel nyingine na kuweza kuagiza chakula na kula huku
wakifurahia,mr kelvin alitoka na kumuacha alice akiwa anaendelea kula.
Alitoa simu yake mfukoni na kutafuta
namba ya Leticia kisha akampigia,simu ilipokelewa na Leticia.
"Hatimae umenitafuta sasa mr
kelvin,alafu sijamuona alice shuleni
"Unamaanisha nini baba ni yule...."
kuna nini?." "Leticia tunahitaji
kuzungumza, tafadhali ukitoka shule
naomba tuzungumze." "Sawa,nitatoka
mapema kwa aababu Yako."
"Sawa mamaa kwaheri."
Mr kelvin alikata simu na kurudi mezani
ambapo alimkuta alice amemaliza
kula,siku hii hakuacha alice ajiskie
mpweke alimpeleka sehemu
mbalimbali,alimnunulia zawadi tofauti
yaani ilikua siku ya furaha sana kwake na alice hakua na mawazo tena.
Upande wa hospital,dr sospeter aliamua
kumruhusu miss hellen, kutokana na
kuimarika kwa hali yake na kwakua
hellen hakutaka kubaki hapo aliamua
kuondoka zake.
Siku hii pia nae aliitumia akiwa
mwenyewe kwenye sehemu yenye
utulivu wa hali ya juu
sana,japo alionekana kuwa mtulivu
lakini alikuwa mbali sana kimawazo
alikua anawaza nyakati za furaha
alipokua na familia yake yaani mr denis
ambae ni mumewake na mtoto wao
elias,mawazo na kumbukumbu alizokua
nazo zilimfanya machozi kumtoka
kwenye macho yake.
Tayari yalikua majira ya saa nane
mchana, nyumbani kwao na miss
hellen,mr denis alikua anataka kutoka
lakini mama yake alikua anamzuia na hata dada wa kazi pia alikua anataka
kwenda kumuona miss hellen lakini bibi
huyo akamzuia pia na kuzungumza.
"Hivi mnafikiria mara mbili? Denis naogopa ukiondoka utakamatwa na polisi ni wazi hellen atakua amehojiwa nakuomba mwanangu usitoke."
"Mama wakati unamuumiza hukufikiria kama kuna Polisi? Sikia nina maamuzi yangu pia hivyo naomba usinizuie
sababu sijaja kukaa tu mimi hapa
nimekuja kwaajiri ya biashara hivyo nakuomba usinizuie tafadhali."
Mr denis aliamua kuondoka japo mama
yake alimzuia lakini hakutaka
kumsikiliza.
Mr denis alielekea hospital na baada ya
kufika alikutana na dr sospeter na
kuzungumza nae akampa taarifa kia
mkewake ameruhusiwa tangu saa nne
asubuhi mr denis hapo kichwa kikaanza
kuwaka moto atakua wapi ikiwa
amesharuhusiwa tena mapema sana.
Muda ulizidi kwenda na hatimae majira
ya saa kumi jioni mr kelvin na alice
walifika nyumbani kwao madam wake
Leticia na walipogonga mlango Leticia
alifungua, alimkumbatia alice kwa
furaha sana akataka kumshika mkono
lakini alishtuka sana baada kuona
mkono wa alice jinsi ulivyo, alimuuliza
kwa tahamaki sana.
"Mpenzi kuna nini,mr kelvin amepatwa na nini mtoto?."
"Leticia nafikri si muda sahihi wa kuzungumza haya,naomba baki na
Mwanangu kwa sasa nitarudi baadae kidogo."
"Sawa kwaheri."
Mr kelvin aliondoka zake na Leticia
akamsoge,a alice kwenye sofa na kuzidi
kumuhoji zaidi lakini alive pia hakutaka
kumwambia chochote madam wake
zaidi ya kumwambia tu chai ilimwagikia
kwenye mkono wake,madam wake
alimuhurumia sana lakini hakua na chakufanya zaidi ya kumnyenyekea kwa kila kitu.
Alice alikua bize kutazama television
huku madam Leticia akiwa bize kuandaa notsi zake za
shuleni hadi majira ya usiku
yalipofika,alianza kuandaa
chakula,walipomaliza kuandaa walikula
pamoja kisha alice alipumzika ila
madam Leticia alikua na shauku sana ya
kuzungumza na mr kelvin alichukua
simu yake kwaajiri ya kutaka kumpigia
lakini kea bahati mr kelvin nae ndio
alikua anaingia ndani, Leticia
alimsogelea na kumkumbatia kwa
nguvu sana na mabusu kama yote.
"Karibu sana kelvin."
"Asante, Leticia natamani walau
ningeoga mwili wangu umechoka sana."
"Sawa ila utatumia bafu la nje maana
alice amelala chumbani."
"Sawa,mr kelvin alioga maji kisha
akapata chakula na kisha wakaanza kuzungumza.
"Lety ulikua sahihi kua nimekosea kuoa
kwa mara ya kwanza,yule mwanamke
alikua anamtesa sana mwanangu japo alikua haongei lakini nimethibitisha hilo
leo baada ya kumwagia chai yamoto bila huruma."
"Ati nini?, kelvin nilijua tu kuwa yule
mwanamke hana huruma ni mwenye
kislani muda wote nilikua najiuliza sana
uliwezaje kumuoa."
"Bàsi tuachane na hayo,mimi na wewe
tulikua na mahusiano kabla ya mama
alice nikaoa nikawa na furaha kwenye
ndoa yangu lakini bàdo uliendelea
kuniheshim ukanipa ushauri mzuri sana nikaufata ila najiuliza kwanini huna mtu mpaka sasa?."
"Kelvin unajua sijawahi kuridhishwa na mwanaume yoyote zaidi Yako."
Mr kelvin alimtazama Leticia akiwa
anamtazama kwa macho fulani hivi ya
matamanio na kwakua alikua na muda
mrefu hajakutan nae kimwili akajikuta
ameshindwa kuvumilia alisogea karibu
yake
na kumpa denda leticia kabla
hajakaa Sawa akaanza kumpapasa
kwenye mwili wake maskini Leticia
alikua dhaifu kwa mr kelvin hivyo
wakajikuta wako kwenye chumba cha
wageni baada ya kufika safari yao.
Leticia bàdo aliendelea kumpigia saluti
mr kelvin.
"Mpenzi wangu,japo umri wako
unasogea ila hujawahi kupunguza moto
wako yaani ndio kwanza unazidi hadi
najihisi mwenye bahati sana kuliko kitu
chochote nachotamani kuwa nacho."
"Bàsi usijari kuhusu hilo ila sasa ni muda wa kurudi nyumbani,najua nitamsumbua
alice ila nataka afurahie saplaiz yangu
akiamka asubuhi,naomba nimalize siku ya kesho na binti yangu."
"Ohk Sawa nawezaje kukataa? Nitaandika ripoti kuwa alice anaumwa
hivyo usijari." Leticia alimb'usu mr kelvin kisha wakaagaana..
Mr kelvin amehamia kwa Leticia je
unadhan alice akijua kuwa baba yake
anatoka na madam wake itakuaje?
Usikose itaendelea....
TUMAINI LANGU 05
NASSRAH
ABDULLAH WSP 0725431019
Mr kelvin akiwa kwenye gari na binti
yake wakielekea nyumbani kwao majira
ya sa4 usiku mara simu yake ikaanza
kuita. Namba ilikua ngeni ila alipokea na kuzungumza.
"Hallo mambo mwanangu mkono wako unaendeleaje kipenzi changu." Mr kelvin
alikua ameshtuka sana na kujiuliza ni nani ambae amepiga hiyo simu maana
sauti ilikua imetulia sana, alimtazama
binti yake ambae alikua amelala fofofo.
"Hallo,alice binti yangu ni mimi mama
hellen.." alizungumza tena na mara hii
mr kelvin alishusha pumzi kisha akasema.
"Ni mimi baba yake nilikua najiuliza nani
amenipigia simu usiku huu,na sasa
nimegundua ni wewe,madam alice
amelala lakini kabla ya yote nataka
tuzungumze kwanza na wewe kama utakua tayari,ila ni lazima uwe tayari
sababu Ili suala linamuhusu binti yangu hivyo ni lazima."
"Ooh samahani sana,sikujua kama alinipa namba yako, nilihisi anasimu yake mwenyewe na nilikua nataka kumjulia hali yake tu."
"Usijari yupo salama kabisa."
Miss hellen alikata simu mr kelvin
alimtazama binti yake na kutikisa
kichwa chake,na walifanikiwa kufika
nyumbani kwao salama alimbeba binti
yake na kumuingiza ndani.
Usiku huu mr kelvin hakuweza kupata
usingizi kabisa alikua anawaza kwanini
miss hellen anamuita alice binti yake.
Alikua sebleni akinywa pombe na
kutamani kuzungumza na binti yake,
aliingia chumbani kwa mwanae na kila
akitaka kumwamsha Ili amuulize akahisi
kua atamsumbua alimuacha aendelee
kupumzika,nae akapitiwa na usingizi
hapo hapo chumbani kwa binti yake.
Asubuhi mapema wakwanza kuamka
alikua alice alifumbua macho yake huku
akipiga mihayo,na kujinyoosha nyoosha, alikanyaga mguu kwenye sakafu ya
chumba chake kilikua chenye baridi
sana na hata mazingira ya chumba hiko
yalikua tofauti,vitu vingi vilikua vipya na vya kisasa rangi ya chumba na kila kitu
kilikua kizuri sana,alice alipiga hatua
kuelekea varandani,na huko pia alikuta
mambo yamebadirika sana,alizidi
kushangaa maana imekua ghafla sana.
Alirudi chumbani haraka na kumwamsha baba yake.
"Baba..! Babaaa! Kwanini yaani imewezekanaje?."
Mr kelvin alijinyoosha kisha
akamwambia mwanae. "Mwanangu nilitaka iwe saplaiz kwako haya sasa umefurahi?." "Baba nimefurahi sana,asante kwa kila kitu baba."
"Asante mwanangu hatimae nimeona furaha uliyokua nayo baada ya miaka miwili ambayo sikuwahi kuiona."
Alice alizidi kutaka kuingia kwenye bafu
za nje na stoo baba yake akamwambia.
"Binti yangu huko bado sababu nilitaka
kumaliza kwamza sehemu hizi za wazi
ili ufurahie na kwakua umeonesha
kuzipenda basi mafundi leo watakuja
kumalizia na baada ya muda mchache tu kengele ya mlangoni ilisikika na mr
kelvin alifungua mlango walikua
mafundi. Aliwakaribisha ndani kwaajiri ya kuendelea na kazi yao alice
alimpongeza sana baba yake kwa kuwa baba bora kwake.
Waliandaa kifungua kinywa pamoja
huku baba yake akimuomba sana binti
yake awe makini asijiumize na baada ya
kumaliza waliwaita mafundi kwaajiri ya
kupata chai pamoja.
Walikaa mezani na mafundi wawili na
wao pia fundi mmoja akasema.
"Mr kelvin nakuonea wivu sana umekuza
binti ambae anaupendo sana na
wewe,na pia anafuraha sana natamani
pia binti yangu kama angekua haraka huenda na mimi ningekua napata muda
kama hivi na mwanangu."
Alice alitabasam na baba yake akamwambia.
"Ni kweli kabisa japo kuna changamoto nyingi sana kwenye maisha ila fundi usijaribu kumuacha mama wa mtoto wako mwenyewe labda mtenganishwe na muumba wetu."
"Nakuelewa sana kaka, nampenda sana mkewangu na sitaweza kumuacha."
Walicheka na kuendelea kula huku wakili
story zingine na muda alice alisema kua
ameshiba akamuomba simu baba yake
na kwakua baba yake muda huo hakua
na mawazo yoyote kuhusu mwanae, alichukua simu yake na kumkabidhi alice.
Alice aliingia chumbani kwake na kuandika namba ya miss hellen lakini
ajabu akaona imeseviwa miss hellen
wakati hakumpigia,aliamua kumpigia Ili amuulize, simu iliita sana bila ya
kupokelewa lakini muda huo alice
alikuwa amelala tena hotelini. Simu iliita
mara ya kwanza hakupokea ikaita tena
mara ya pili ndipo alishtuka na kuipokea.
"Hallo...!"
"Mama...!"
"Alice..?".
"Ndio, samahan nimekuta namba Yako
imeseviwa kwenye simu ya baba yangu."
"Ooh usijari sababu jana usiku nilipiga
akaipokea yeye na sikujua kama namba
ilikua ya baba yako, nisamehe sana."
"Usijiskie vibaya kabisa,hata mimi nilifanya makosa kea kukupa namba ya baba bila kukwambia."
"Usijari mwanangu unaendeleaje mkono wako?."
"Nipo sawa kabisa,na wewe unajiskiaje kichwa hakiumi tena?."
"Aah kidogo najihisi mwenye kuimarika,
nimekukumbuka sana binti yangu."
"Hata mimi mama."
Walizidi kuzungumza mambo mengi
sana kiasi kwamba alice alijisahau
kabisa kama anatumia simu ya baba
yake,maana hata baba yake aliingia
chumbani lakini hakua na habari yaani
alizidi kuzungumza na simu tena kwa
furaha sana.
"Alice...!" Baba yake alimshtua,nae
alikata simu na kuweka kitandani
kwake. "Baba..!" Mr kelvin alisogea na kukaa kitandani kwake na kumuuliza.
"Unaongea nini muda wote huo? Na
unaongea na nani?."
"Baba... Naongea na rafiki yangu."
"Bàsi sawa, tunaweza kutoka mara moja." "Baba nilitaka kukaa nyumbani leo."
"Aah kwakua kuna mafundi hapa bàsi twende nikakuache kwa mama harson mara moja kisha nikirudi nitakufata."
"Sawa baba."
Mr kelvin na mwanae waliwaaga
mafundi na kutoka pamoja,alimuacha
alice kwa jirani yao ambae alikua rafiki wa karibu sana na mama yake
alice,kisha akaondoka zake.
Safari yake iliishia kwenye hotel ambapo
alimuelekeza miss hellen ambapo
atakuwepo, mr kelvin alifika na kukutana na miss Hellen walisalimiana kisha mr
kelvin akamuuliza.
"Unaendeleaje?."
"Niko Sawa kwa sasa."
"Ohk Sawa, samahan madam ila nilihitaji
kujua umekutana vipi na binti yangu bàsi
mmekua marafiki tena anakua na furaha
sana kama akiongea na wewe,sijui unaweza kuniambia?."
"Ndio
kabla ya yote nikupe hongera sana kwa kupata
mtoto jasiri sana na
hakuna shida,kwanza
mwenye huruma na upendo. Alice ni binti mwenye tabia njema sana,na mara
ya kwanza nimekutana nae makaburini.."
"Nini? Ilikuaje yaani huko yaani mlionana
vipi maana umenitisha."
"Ooh inafurahisha naona kama umeshtuka sana ila ni kawaida tu,maana
mimi sio mzimu,nilikua kwenye kaburi la
kijana wangu pia ambae umri wake ni Sawa na alice,nilikua naongea na
mwanangu kana kwamba ananiskia
lakini ghafla nae alikuja na kunikumbatia
kwa nyuma akaniita mama. Alivyoniita
hivyo moyo wangu ulienda mbio sana
nikamgeukia na kumkumbatia pia
nilijiskia faraja na nikahisi nimepata
amani ya moyo. Alinipa nafasi ya kuniskiliza na mimi nikamsikiliza pia
nilijikuta navutiwa nae na kumpenda
sana kwa siku ile alinifanya nijiskie
tofauti na siku zote ambazo nimeishi
nikiwa na mawazo ya kumuwaza kijana
wangu,nilijiskia faraja zaidi aliponiomba
aniite mama,na mimi nilimpa ruhusa ya
kuniita vyote atakavyo maana
nilimuahidi kua nitaitikia."
Miss hellen alikua anazungumza kwa
hisia zilizo ndani kabisa ya moyo wake
hadi mr kelvin akamuhurumia na kumpa
kitambaa kwaajiri ya kufuta machozi
yake na kwa jinsi miss
hellen
alivyojieleza vizuri mr kelvin alionekana
kuelewa sana kuhusu binti yake kuwa wa tofauti na siku zote. Alikaa Sawa
kisha akazungumza.
"Naelewa sana kwa jinsi unavyojiskia,pole sana nayajua
maumivu ya kumpoteza mtu ambae
ulikua unampenda, nisamehe kea
kukufikiria kuwa wewe ni mtu
m'baya,sasa namuelewa mwanangu pia."
Walikaa karibia dakika tatu bila
kuzungumza chochote kile mr kelvin
akamwambia.
"Miss hellen nisamehe kwa
kukukumbusha maumivu yaliyopita,sina hata swali lingine nashukuru kwa kukubali kuniskiliza,pole sana."
Miss hellen hakusema chochote kile
zaidi ya kubaki kimyya mr kelvin aliamua
kumuaga na kuondoka zake,miss hellen
hakuonekana kuwa Sawa,na hata mr
kelvin alitembea na kufika mbali lakini
alipotazama nyuma alimuona miss
hellen na aligundua kua hayupo sawa,alirudi tena na kumwambia.
"Madam naweza kukupeleka nyumbani ukapumzike?." "Hapana nitakua sawa usijari."
Miss hellen alisimama na kuelekea
ndani ya hotel wakati huo mr kelvin
akiwa ameganda pale akimtazama miss
hellen akizama ndani ya jengo hilo la hotel. Hakutaka kuacha lipite alisogea hadi mapokezi na kuulizia jina la hellen
akaambiwa hakuna mtu anae itwa
hellen hapo mr kelvin alimuelezea dada wa mapokezi ndipo alimuelewa na
kumwambia kua ni mteja wao wa
kudumu na mwanzo alikua akija na
kijana wake hapo mara kwa mara hivyo
hapendi kuandika jina lake anatumia jina
la kijana wake kuandika hapo mapokezi.
Mr kelvin alizidi kujiskia vibaya sana
maana alihisi huenda yeye Ndio
amemuongezea huzuni baada ya
kumuhisi vibaya.
Je unadhani itakuaje usikose
itaendelea....
TUMAINI LANGU 06 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Mr kelvin baada ya kupata taarifa
chache kuhusu miss hellen aliamua
kuondoka zake kuelekea hospital
ambapo alikutana na sospeter
kumuuliza kuhusu miss hellen kama
alihojiwa lakini mr sospeter hakua na
jibu maalum mwisho akamwambia mr kelvin.
"Dr kelvin haya mambo yashapita kwanini unataka kuyakuza? Mumewake aliniambia mjamzito hataki mke wake alee mtoto mwenyewe na alisema amefanya hivyo sababu ya pombe tu kwanini unataka kufanya mambo yawe mengi?."
"Ooh kumbe ni mjamzito alafu anampiga hivi huoni bila kukanywa huyo mtu
hatoweza kuacha kumpiga?,na je
akimsababishia kifo au akimpoteza
mtoto wake sababu ya kifo itakuaje?."
"Aah we dr kelvin sijui upoje yani,mi
nimechoka na mambo yako bwama hebu niache."
Mr sospeter aliondoka na kumuacha dr
kelvin akiwa anamtazama huku alitikisa
kichwa chake nae akaamua kuondoka
zake pia.
Upande wa nyumbani kwa miss
hellen,mr Denis alikua hana amani
maana ni siku ya pili hellen hajarejea
nyumbani,alikua na wasiwasi sana min
haikai mbili haikai akachukua simu yake na kujaribu kupiga lakini haikua
ikipatikana mr denis alikwazika sana
mama yake akamuuliza.
"Mwanangu inamaana hizo hasira zote ni kwaajiri ya kutorudi kwa hellen tu hapa ndani? Wakati unatakiwa kufurahia kuwa ameamua kuondoka kwa ridhaa yake mwenyewe?."
"Mamaa..! Maneno yako yananikwaza
sana na sipendi kuyaskia yakitoka kinywani mwako."
Mr denis aliamua kutoka nje na
kumuacha mama yake akiendelea
kuzungumza mambo ya kuzidi kumkejeli
mama Elias ( miss hellen),japo mr denis
hakupenda.
Alipokua nje maneno ambayo
alimwambia hellen yalikua yanajirudia
kichwani kwake, na kumfanya yawe
kama moto moyoni mwake,alijiambia
mwenyewe.
"Hellen ni mwanamke mzuri sana na wakipekee ambae nikimpoteza kamwe
sitampata mwanamke kama yeye
lazima nimtafute na nimuombe
msamaha Ili tuweze kuwa
pamoja,siwezi kumuacha awe na maumivu zaidi ya yale aliyopitia."
Mr denis alizungumza hivyo mwenyewe
na alipotaka kupiga hatua kwaajiri ya
kuondoka mara simu yake ikaanza kuita
alipotazama jina lilisomeka wife
hakupokea aliweka mfukoni na na
kuondoka zake.
Alice alikua na harson nyumbani kwao
mama wa rafiki yake walikua wanasoma
pamoja,harson akamuuliza alice.
"Unaonekana mwenye furaha tofauti na ile juzi kuna nini?."
"Baba yangu,ameahidi kunipenda na hatoniacha tena,atahakikisha furaha
yangu siipotezi tena." "Alice na vipi kuhusu mama yako...?."
"Aaah! Harson ni maswali gani ya kumuuliza rafiki yako?, alice mwanangu
wala usijari kuhusu hili litapita na kila
kitu kitakua sawa ila yule mwanamke hakuwahi kuwa mzuri kwako ulikua
umekonda sana lakini kaondoka jana tu lakini tayari naiona furaha iliyopo usoni kwako na tabasamu lako ambalo ulikua
nalo siku za nyuma."
"Ni kweli mamdogo nashukuru sana kwa upendo wako." "Usijari ila kuwa makini na kidonda chako mwanangu." "Asante
kwa kunijari nitakua makini muda wote mama."
"Sawa alice ila utaishi na baba yako pekee?." Alice alimtazama mama yake
mdogo na kujikuta akikosa majibu, mama huyo alimchukua alice na kuingia nae chumbani kwake kisha akamkarisha
kitandani na kumwambia.
"Alice wewe ni binti mkubwa sasa na ni wazi bàdo hujakua msichana kamili bila
shaka hujavunja ungo.."
"Ndio mama."
"Sasa bàsi lazima uwe na mtu ambae
atakua karibu yako akifatilia mwenendo wako na hilo litategemea na wewe."
"Mama unamaanisha nini kusema litategemea na mimi?."
"Alice usimpe nafasi baba yako aoe mwanamke anaempenda yeye, hakikisha kua kuna mwanamke
wakaribu yako ambae anakupenda sana na anaweza kukusaidia pindi
utakapokua na tatizo la aina yoyote
ile,nakushauri hilo sababu mwanamke
ambae ataoa tena baba yako hatoweza
kukujali wewe ila ukipata wa kukujali
wewe hata baba Yako atafurahia na kuona ni mtu sahihi na kuvutiwa nae kumuoa."
Alice alipoambiwa hivyo rafiki wa mama
yake moja kwa moja akamfikilia miss
hellen lakini alipokumbuka kua siku
ambayo alikutana na miss hellen kuna
mwanaume ambae alimtambulisha
kama ndio baba wa mwanae hii
ilimfanya ajiulize sana maswali mengi
kuhusu mwanamke ambae atamjari na kumpenda yeye atampata wapi muda
huo hata madam wake Leticia
hakumfikiria kabisa sababu aliamini kua
madam Leticia na baba yake ni marafiki
tu hakuwahi kumuweka kama atakua
mama yake.
Mwanangu,yule ni mwanaume,alisema
hivyo Ili asijiskie vibaya,na mara nyingi
mtu akiwa mpweke kuna mambo mengi
yatamfanya ajiskie vibaya na ajiskie
"Lakini baba alisema hatooa tena."
tofauti sana hivyo unapaswa kufata ushauri
Alice alikubali na kumwambia kua atalifanyia kazi.
Baada ya kukubaliana na hilo walirudi
varandani na kumkuta harson na baba yake alice,alice alifurahi sana kumuona
baba yake alimsalimia,kisha mr kelvin akazungumza.
"Asante sana mama harson kea
kushinda na mwanangu kwa muda wote huo nakushukuru sana."
wangu."
"Usijari kaka mimi mama yake pia alice siwezi kumtenga kwa chochote."
"Nashukuru sana kwa upendo wako kwa
binti yangu haya we kajamaa wacha
bàsi nikuage kwa namna hii."
Mr kelvin alimuaga harson kwa kupeana
tano kisha wakaondoka zao,lakini baada
ya mr kelvin na alice kuondoka mama
yake harson alionekan kuwa na tabasamu sana alikua ameganda
alipokua amesimama na harson
alipobamiza mlango alimuona mama
yake jinsi alivyoshtuka na kumuuliza.
"Vipi mama mbona unaonekana umefurahi sana?."
"Ndio nimefurahi sana kuona alice amekua na furaha,hajawahi kuwa na furaha tangu mama yake alipofariki nimejiskia faraja kwaajiri yake."
"Bàsi Sawa mama mimi naenda kucheza mpira."
"Harson sana 11 hii jaman."
"Mama kwani kila siku naenda muda
gani usiwe na wasiwasi kila kitu kitakua Sawa."
Harson alimb'usu mama yake na kubeba nguo zake na mazoezi na kuondoka zake na baskeli yake.
"Lazima nitahakikisha naolewa na kelvin,na nitamshawishi sana alice hadi aniombe ushauri hapo ndipo
nitajichagua mimi na najua hawezi kukataa sababu anajua mimi ni mtu
ambae nitampenda yeye pamoja na baba yake pia."
Yalikua maneno ya mama harson alikua
akiyazungumza akiwa na tabasamu usoni kwake.
Mr kelvin na mwanae waliporudi nyumbani kwao alice alikuta kuna
mahitaji mengi saña amenunua baba yake, akamuuliza.
"Baba kwanini umenunua vyote hivi?."
"Nahitaji unifundishe kupika nataka niandae kitu kwaajiri ya saplaizi nadhani utaipenda sindio?."
"Baba saplaiz tena?,nini hiko?."
"Sasa alice nishasema saplaiz kwanini unataka nisema si nitaharaibu jamani?."
"Sawa baba." Alice alihisi huenda maneno ya mama yake harson ndio
yanaanza kutimia hivyo alijibu tu hakua amefurahia.
Alimsaidia baba yake kuandaa chakula
cha pamoja,walihangaika sana kuandaa
hiko chakula maana hakuna ambae
alikua mtaalam wa kupika Kati yao. Ila
wajitahidi kadri ya uwezo wao hadi
wakafanikisha japo walitumia muda
mrefu sana kupika.
Majira ya saa moja usiku kengele ya
mlangoni ililia alice alikimbilia mlangoni
kufungua mlango akiwa na shauku sana
ya kutaka kumuona mtu huyo ila baba
yake hakua na wasiwasi wowote
alichukua simu yake na kuingia
chumbani kwake.
Alice alipofungua mlango alikutana na harson.
"Mambo harson.."
"Poa vipi uko Sawa?."
"Aanh ndio nipo sawa ila unaweza kuungana na sisi kwa chakula cha usiku?."
"Aah usijari alice tutakula siku nyingine
maana mimi natoka na marafiki zangu
leo." "Rafiki zako?,mnaenda wapi?."
"Tumepata ofa kutoka kwa coach wetu
kwahiyo hapa naenda kujiandaa
tu,tufanye siku nyingine bai." Harson
alimuaga alice kwa busu la shavu kisha
akakimbikia zake. Alice alishangaa sana
kuona harson amem'busu na hakuwahi
kufanya hivyo kabla.
Alirudi ndani lakini kichwani kwake
akiwa na mawazo sana, aliingia
chumbani kwake na kukaa kitandani
kwake. Alikaa kama nusu saa akatoka
varandani na kumkuta baba yake
amelala kwenye sofa akamwamsha.
"Baba..!,babaaa..!"
"Alice vipi ni muda gani huu?."
"Saa nne hii baba,njaa inauma sana."
Mr kelvin alitazama saa kupitia simu
yake akaona ujumbe akausoma
ulimfanya ajiskie vibaya sana akaamka
kutoka kwenye sofa na kumwambia
binti yake wakale lakini wakati
wanasogea mezani mara kengele ya
mlangoni ikasikika,alice alisogea
mlangoni kwaajiri ya kutakaa kufungua
mlango,halo bado alikua anajiuliza
maswali mengi sana atakua ni nani, lakin hakua na majibu
yoyote,alipofungua mlango alishtuka
sana maana hakutegemea kuona saplaiz ya aina hiyo...
Je unadhani itakuaje usikose itaendelea....
TUMAINI LANGU 07 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Alice alipofungua mlango alishtuka sana
maana hakutegemea kuona alichokiona.
Alikua miss hellen na alishindwa kuzuia
hisia zake kabisa maana alifurahi sana
ujio wake japo hakutegemea na alijiuliza maswali mengi sana.
"Mama karibu sana."
"Alice asante sana binti yangu mrembo,ila usiniite hivyo sitaki baba
yako ajiskie vibaya kwa kuniita hivyo
Sawa kipenzi?."
Alice alimtazama baba yake,na kwao
muda huo mr kelvin nae alikua
amesogea karibu na aliposimama miss
hellen akiwa anatabasam akamkaribisha.
"Karibu sana madam,japo sikutarajia
kama utakuja kutokana na ulivyojibu
kuwa hutowahi." "Asante sana."
Baada ya ukaribisho huo walisogea
mezani mara hii alice akiwa kipaumbele
sana kwenye kuzima taa na kuwaacha
mishumaa ili kupata chakula kama
alivyoandaa baba yake.
Walianza kula chakula,vilikua vyakula
aina mbalimbali,tambi chipsi kidogo wali
nyama,chapati na zagazaga
nyingine,miss hellen alijaribu kula wali na mboga za majani aise wali ulikua
kama mchele wa kuloekwa Yaani ulikua
unatafunia na kwenye mboga sasa
ulikua na viungo vingi vya chumvi miss
hellen alishindwa kujizuia kabisa na
kutakaa kwenda washroom kwaajiri ya
kuutema. Alice alimpeleka kisha akarudi
mezani.
"Mwanangu tutaomba tu msamaha
wala hatukutarajia hili." "Atakua amekasirika sana jamani."
Alice alizungumza hivyo na kuinamia
chini kwa aibu. Miss hellen wakati
anatoka washroom akatazama jikoni
alishtuka kuona vyombo vimechafuka
tena vingi mno Hata huko jikoni pia
palikua pachafu sana alitabasamu na
lakini kurudiudi sehemu ya kulia chakula
kabla hajakaa kwenye kiti alice na baba
yake walizungumza kwa pamoja.
"Baba tumeaibika unajua..?"
"Unasjikia vibaya?."
"Hapana wala msiwe na wasiwasi,nipo
sawaa ila sema tu jino linanisumbua
kama nikila chakula kea pupa mniwie
radhi kwa kilichotokea lakini chakula
kitamu sana.
Alice na baba yake waligongeana
mikono na kuendelea kula vyakula vyao
Huku kila mmoja akianza kula chakula anachokipenda.
"Nimefurahi sana kukuona nyumbani
kwetu rafiki yangu,nilitamani sana
tukutane kama hivi tena nikiwa na baba
yangu na nikutambulishe lakini haikua
hivyo,na baada yake tulikutana sehemu
nyingine tofauti tena nikiwa
mwenyewe,na alipogundua
nafahamiana nawewe akatilia shaka
urafiki wetu japo nilijiskia vibaya."
"Alice kipenzi usijiakie vibaya, wapenzi
wetu kutilia shaka kwa wapendwa wao
ni jambo jema sababu hapendi kuona
umepatwa na jambo baya,na anafanya
hivyo Ili kukurinda,au unachukia baba
yako kukurinda?."
"Hapana mama." "Alice..! ndio baba"
"Nisamehe sana ila niliamua kufanya
hivi Ili kuhakikisha naitumia nafasi ya
kukufanya uwe kwenye furaha binti
yangu. Japo urafiki wenu ulinitia
mashaka na jinsi ulivyokua unamuita ila
nilimtafuta na kuzungumza nae ukweli
maelezo yake yalinifanya niumie sana
na kuona jina nafasi ya kufanya jambo Ili
wote muwe na furaha sikutaka kuzidi
kuwaumiza ikiwa ninaweza kufanya
muwe na furaha. Na ndio nikaamua
kumuarika nyumbani kwetu bila shaka
madam hellen amefurahi na wewe umefurahi sindio?."
"Ndio baba na sikutegemea kama ungenifanya usiku huu uwe wa kipekee kwangu,rafiki yangu, nakupenda sana."
Alice alishika mkono wa miss hellen na kuubusu kwa furaha.
Jinsi miss Hellen alivyokua
anamtazama alice na kutabasam
alijikuta anaingia kwenye dimbwi zito la mawazo kwa kumbukumbu zilizopita na
kuhisi yupo na kijana wake elias anazungumza.
"Siku zote shujaa wa mzuri hupigania
kile anachokipenda na kamwe hawezi
kukataa tamaa na nimeona jinsi gani
huwezi kukata tamaa kwaajiri yangu
mwanangu, nakupenda sana eli..."
Kabla hajamaliza kuzungumza akataka
kumtaja elias ila hakuweza kumalizia
machozi yakadondoka lakini bado akiwa
anamtazama alice akiwa ameshika
mashavu yake,alisimama na
kumkumbatia alice kwa nguvu sana. Mr
kelvin alikua akimtazama miss hellen na kumhurumia sana na kuhisi anapitia
wakati mgumu sana ndiomaana amekua na kilio muda wote.
Alice alimuuliza.
"Mama kwanini unalia ikiwa
tulikubaliana kuwa hatuhitaji kuona
machozi ya wapendwa wetu
yakidondoka mbele yetu,unahisi ni vizurii kudondosha machozi Yako mbele yangu?."
Miss hellen alishtuka na kutoka kwenye
mawazo na kujikuta amemkumbatia alice, alimb'usu alice na kufuta machozi yake kisha akachukua pochi yake na kutaka kuondoka zake lakini mr kelvin
akamzuia kwa kuzungumza.
"Madam hutakiwi kuondoka kama
hivyo,sababu bado sijasema
kilichofanya nikuite tafadhali nakuomba usiende."
Alice alifurahi na kuyakumbuka maneno
ya mama harson kuwa anahitaji kupata
mama ambae atakua upande wake na
alihisi miss hellen anampenda sana
hivyo atakua upande wake.
Miss hellen alikua amesimama na mr
kelvin alimsogelea na kumwambia.
Mr kelvin alimsogeza kwenye sofa lakini
moyo wake ulikua unaenda mbio sana
sio kawaida mara tu ya kumshika miss
"Tafadhali naomba upumzike hapa."
hellen,kisha alisogea mezani akamimina
maji kwenye glass na kumpelekea miss
hellen, nae alipokea na kuyanywa kisha
akamshukuru mr kelvin na kumkabidhi
glass mr kelvin alirudisha glass na
kumuonesha mwanae ishara ya
kumkazia macho aende kulala,alice
alitabasam na kusimama akamfata
miss hellen alimkumbatia na kum'busu
kisha akaenda kulala.
Mr kelvin alisogea kwenye sofa na
kukaa,alikaa mbali nae kidogo maana
angekua karibu yake angehisi kua na
uoga na huenda asingeweza kuwa na
ujasiri wa kuzungumza nae.
"Madam nisamehe sana kama
nimekuumiza,nilitamani pia tukutane
kwa namna nyingine lakini matatizo yetu
na mwanangu ndio yamefanya ukutane
nae nae na kisha baba yake. Mwanzo
skuelewa ila sasa naelewa,hellen nilihisi
hutokuja baada ya kuona ujumbe wako
ila ujio wako
umenifanya nijiskie vizuri sana japo haikua
nzuri kwako."
"Usijari nimefurahi sana kupata mlo na alice na wewe pia,na matatizo yangu
yote ila mmeamua kuwa upande wangu
nashukuru sana kwa kila kitu,na pia samahani tu kwa kujibu vile maana
nilihisi kua sitawahi baada ya ratiba
zangu ila nimekuja japo kwa kuchelewa."
"Pia
tunashukuru,ila kama utakubali ningependa nikuombe kitu madam hellen."
Alice alikua kwenye mlango wa
chumbani kwake alikua hajalala alikua
anasikiliza maongezi ya baba yake na miss hellen,na baada ya kusikia baba
yake anaomba kitu akatamani kusikia
baba yake kua anampenda hivyo alikua na shauku sana ya kuskia hivyo.
"Miss hellen najua imekua mapema
sana ila ningependa sana kama
ungekua rafiki yangu pia kama ulivyokua
marafiki na binti yangu. Je utakua tayari kuwa marafiki na mimi?."
Alice alishangaa sana kwanini baba
yake asingemwaga madini tu na kufanya
mambo yawe mengi japo alipenda
maana alihisi wakiwa marafiki
wanauwezo wa kuwa pamoja kama
wapenzi maana watakua na mawasilian ya karibu sana. Miss hellen alitabasam na kusema.
"Mnataka niwe rafiki yenu? Ninawezaje
kukataa ila sitaki kuwaumiza kwa
namna yoyote ile kutokana na hali yangu nayopitia."
"Madam usijari hata sisi tumepitia
mambo mengi sana na tunahitaji
kubadirisha taswira iliyopo akilini mwetu
tafadhali nakuomba ukubali."
Miss hellen alikubali japo hakua na uhakika na jibu lake,ila aliamua kukubali hakutaka kumkatisha tamaa,mr kelvin alifurahi sana kisha akamwambia.
"Kwa kudhirisha umekubali tunaweza kunywa pamoja?."
"Hapana mr.. sababu situmii kilevi,naona muda umeenda sana,nafikiri muda huu natakiwa kuondoka na niwaache mpumzike."
"Madam lakini ni usiku sana sasa
kwanini usilale hapa?, tafadhali
nakuomba alice akiamka na
asipokukuta atajiskia vibaya na
kunilaumu kwanini nimearuhusu
umeondoka usiku sana,atakua na wasiwasi sana."
Miss hellen alitabasam baada ya kuitwa
mkuu,kisha mr kelvin alimuonesha
chumba cha hellen. Alipoingia alivutiwa
nacho sana maana kilikua kinavutia
kuliko kawaida,alisogea kwenye kitanda
cha alice na kum'busu huku akihisi alice
amelala kumbe hakua hata amelala.
Alipom'busu na kugusa nywele zake
alice alishika mkono wa miss hellen na
kuukumbatia,mias hellen nae akalala
"Ooh Sawa ila ni leo tu kwaajiri ya alice."
"Ndio mkuu ni leo tu."
pembeni yake akiwa amemkumbatia pia.
Mr kelvin alikua sebleni ametulia huku
akinywa wine,mawazo yake yalimfanya
amkumbuke sana mke wake muda
huo,hadi alipitiwa na usingizi akiwa hapo sebleni.
Alishtuka majira ya saa nane usiku
akaamka na kutaka kuelekea chumbani
kwake lakini kabla ya kuingia chumbani
kwake alifungua mlango wa chumba
cha alice na kuwachungulia,walikua
wamekumbatiana kwa nguvu sana. Mr
kelvin alifurahi na kufunga mlango.
Aliingia chumbani kwake,akiwa
anatabasam kwaajiri ya binti yake,akasema.
"Binti yangu anaonekana mwenye furaha
sasa sitaki kumfanya awe mwenye
huzuni tena nitafanya kila kitu kwaajiri yake na hellen pia Ili wawe na furaha, nitahakikisha hakuna kitachowafanya wakose furaha wote."
Mr kelvin alilala kitandani kwake huku
akiwaza zaidi cha kufanya kwaajiri ya alice na Hellen. Je unawaza kama alice
kua Hellen atakua mama wa alice? Tulia
hapo itaendelea....
TUMAINI LANGU 08 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715432019
Asubuhi mapema miss hellen aliamka
na kufanya usafi wa ndani kote,aliishia
vyombo vyote walivyochafua baba na
mwana usiku uliopita kisha akaandaa
chai. Hii ni kawaida ya mwanamke
yoyote ambae anajitambua hawezi
kusubiri kukabidhiwa jiko ni yeye
mwenyewe hujiongeza.
Baada ya kumaliza kuandaa chai
akarudi chumban na kum'busu alice
kwenye paji la uso alice alitabasam na kufumbua macho yake.
"Mama shikamoo."
"Marhaba mwanangu, umeamkaje."
"Vizuri mama unaendeleaje kichwa?."
"Nipo sawa hebu nioni mkono wako."
Alice alionesha mkono wake miss
hellen akamwambia. "Pole sana
mwanangu utakua Sawa."
"Nikiwa na wewe pamoja naamini kila kitu kitakua." "Haya amka basi ukaoge."
Alice aliamka na kwenda bafuni miss
hellen alikua anawasiliana na dada wao wa kazi kwa siri bila mr denis kujua wala
mama yake denis pia hivyo alichukua
simu yake na kumtumia ujumbe mfupi.
Na ilikua kama bahati kwake maana
alijibiwa muda huo huo.
"Madam uko wapi mr denis amekutafuta
sana kila sehemu hajakuona ameulizia
marafiki zako lakini hakuna aliyesema
amekuona au kuwasilian na wewe,madam kama unafurahia tafadhali nakuomba usijitokeze."
"Asante sana kwa taari aisha mdogo wangu,baadae." "Sawa boss."
Miss hellen aliweka simu kwenye pochi
na muda mchache tu alice alitoka
bafuni,miss hellen alimsaidia kumfuta
maji kisha akamtafutia nguo ya kuvaa
na kutoka chumbani pamoja.
"Habari ya asubuhi."
Sauti ya mr kelvin ilisikika baada ya kufungua mlango wa chumba.
"Mzuri sana natumai umeamka vizurii
pia."
"Ndio,ila nimeona nyumba yote ni safi."
"Ndio wala usijiulize ni kawaida yangu
kuamka mapema na kufanya hivyo."
"Miss hellen tunashukuru sana kwa
moyo wako na kujitoa kwako kwetu."
"Msijari ila kama mngeni ruhusu ningependa kuondoka sasa." "Mama...;"
"Alice sitaki majirani zenu wahisi vibaya kuhusu mimi tafadhali nakuomba, kipenzi nitakuja siku nyingine,alafu mr .. "
"Kelvin."
"Naomba usiruhusu alice autumie
mkono wake kufanya kazi ngumu."
"Nashukuru sana kwa hilo."
"Kwaherini."
Miss hellen alichukua pochi yake na
kutaka kuondoka,alice alimtazama baba
yake nae alimpa ishara kwa kumkazia
macho asimuache aende mwenyewe,mr
kelvin akatabasam na kumwambia miss hellen.
"Samahan haitakua vibaya kama
nikikupa lifti ikiwa na mimi natoka
kidogo." "Lakini hujajiandaa."
"Usijari mbona hapa nipo full kabisa."
Miss hellen hakupinga alikubali,mr
kelvin alichukua funguo za gari na simu
yake kisha wakaongozana hadi nje na
kupanda kwenye gari. Safari yao iliishia
hotelini na wakati miss hellen anataka
kushuka kwenye gari mr kelvin
alimshika mkono. Mwili wake
ulisisimkwa na moyo ukimuenda mbio
sana japo alijitahidi sana kujizuia lakini
alishindwa na kumuachia kwa
haraka sana. Miss hellen alimshangaa
me kelvin na muda mchache simu yake
ikaanza kuita ambapo ilimfanya ashtuke
na kuacha kumuangalia hellen.
Hellen alishuka kwenye gari na kuondoka zake,na kumwacha mr kelvin
pale akiwa ameduwaa kumtazama miss
hellen akielekea ndani ya geti la hoteli hiyo.
Mr kelvin alijiuliza.
"Dr sospeter anasema hellen
anaujauzito mbona hakuna dalili yoyote ambayo naihisi kwake?, na kwanini anaishi hotelini? Ila nilitakiwa kumuuliza
lakini kwanini baada ya kuondoka ndio
napata maswali mengi hivi,aah hellen
unapitia nini hadi uishi hapa hotelini?."
Mr kelvin aliamua kuondoka zake, upande wa nyumbani kwa mr kelvin
mara tu baada ya kuondoka harson
alikuja kugonga mlango na kwakua
alikua alice mwenyewe alifungua mlango na harson aliingia ndani.
"Mambo alice."
"Poa harson,ulifurahia mlo wenu na coach wenu?."
"Ndio tulienda kwenye hotel kubwa
sana na coach amesema tukijituma zaidi tutafurahia sana." "Basi kama
umeamua kukabidhi maisha yako
kwenye mpira fanya kweli."
"Asante lakini alice unajua bila ya wewe siwezi Kutimiza ndoto zangu.."
"Kwanini unasema bila mimi kwani mimi nimefanya nini?."
"Alice wewe ni rafiki yangu wa pekee sana,kwa sasa kama utakubali na utakua na imani na ndoto zangu naomba uje kwenye mechi jumatatu jioni shuleni tutacheza na kidato cha tatu na pia mechi yetu kwenye academy yetu na academy nyingine coach wetu aliletewa barua ya maombi,je utafika?."
"Lakini mimi sio mwanafunzi wa shule yenu."
"Wala usijari kuhusu hilo wanakuja
wanafunzi wengi sana kushangilia
wapenzi wao,aah namaanisha marafiki zao."
"Aanh Sawa nitakuja kushangilia kwaajiri Yako."
Harson alimkumbatia alice,huku
akimshukuru sana kwa kumuahidi kua
atafika. Huyu Harson ni kijana flani hivi wa hovyo,ni mdogo sana kiumri lakini
mambo yake ni mazito sana. Maana
tangu amebarehe na kuwa nasauti nzito
amekua na tabia ya kutongoza sana
wasichana. Na uhandsome wake ndio
unawafanya wasichana wakiambiwa
wananapendwa wanashindwa
kumkataria hivyo harson ametembea na
wanafunzi wenzake wa darasani kwake
na madarasa mengine na hata walimu
wake wakike ambao walionesha
dhamira ya kumtaka kimapenzi lakini
hao wote hakua na malengo nao sababu
yeye aliyekua anampenda kwa dhati ni alice pekee sababu ni msichana ambae
wamecheza pamoja tangu wakiwa
watoto japo alice ana miaka 15 na yeye
anamiaka 17 ila walicheza pamoja na ukaribu wao ulikua mzuri sana kutokana na urafiki wa wazazi wao.
Bàsi Baada ya kukubaliana hayo ikabidi
harson take kuondoka lakini alice
akamwambia. "Wewe unaweza kucheza game?."
"Game? Hakuna game ambalo linanishinda."
"Haya njoo nione."
Walisogea varandani na kuwasha tv
kisha alice aliweka game la mpira,alice
alikua hawezi kucheza lakini alikua
anamuongelesha harson kwa kusudi na kwakua harson alikua hana hali kwa
alice alijikuta anakosa nafasi ya
kushinda na alice kujishindia magoli
mengi dhidi yake. Harson akamuuliza.
"Nani amekufundisha game la mpira?"
"Baba yangu,baba yangu hakuwahi
kuniacha mpweke kabisa tena wakati
mama yangu pia akiwepo alikua
akitufundisha pia."
"Dah.. kea mtindo huu si hata tukisema
tucheze mechi mimi na wewe
utanishinda pia." "Hahaha kwa miguu ipo sasa hebu wacha utani sasa,."
Walipiga story nyingi sana pamoja
harson alijiskia faraja sana kuona alice
anazidi kuingia kwenye moyo wake,na
alikumbuka busu la jana na alihisi
angeweza kumuuliza lakini alice wala
hakukumbuka chochote,harson
akamwambia alice.
"Mama aliniagiza bàsi wacha niende."
"Haa harson mama Yako atakupiga
kumbe alikuagiza na wewe umekuja kukaa?."
"Usijari hata kwaheri."
Kama kawaida harson hakuwacha
kumpa wakati mgumu alice,mara hii
alimuonesha alice atazame kitu juu
akatumia mwanya huo kum'busu
kwenye lipsi zake,alice alishtuka sana na
alipomtazama harson alikua tayari
ameshafunga mlango ameondoka zake.
Alice alikua n wakati mgumu sana
kutafsiri anayoyafanya harson.
Harson alikua anatembea akiwa na tabasamu sana huku akisema.
"Nitahakikisha nakupenda sana alice tena kwa moyo wangu wote na wala
sitakuchezea sitaki kwenda kinyume na ndoto zangu kabisa."
Alikua akizungumza mwenyewe huku
akitembea kuelekea nyumbani kwao.
"Oya we mshikaji.." sauti ilisikika kutoka
kwenye gari alipotazama alimuona anko
wake baba yake na alice alisogea na kumsalimia kisha akamuuliza.
"Unaongea mwenyewe kijana una tatizo?."
"Hapana anko nawaza tu jinsi gani
tunaweza kuchomoka kwenye mechi
yetu dhidi ya badboyz fc."
"Wale vibonde tu wala wasiwape
wasiwasi alafu unajua nini? Nitakuwepo kwenye hiyo mechi kukusaport anko wangu."
"Nitafurahi sana anko."
"Bàsi Sawa nenda nyumbani."
Harson aliendelea na safari yake na mr kelvin pia alirudi nyumbani kwao na
kumkuta alice amekaa kwenye sofa akamuuliza.
"Umeboeka kipenzi."
"Ndio baba natamani kama..."
"Umemkumbuka hellen?."
"Baba hilo si swali la kuniuliza unajua jinsi gani nampenda."
"Sawa nimekuelewa mwanangu tumpe muda hellen kisha tutamuomba aje aishi na sisi." "Baba..! Kweli?."
"Ndio,kama atakubali tu."
"Sawa baba nitamshawishi sana."
"Sawa basi natoka naenda kwa mama harson kuongea nae kidogo." "Sawa baba."
Mr kelvin alielekea nyumbani kwao
harson alipofika alimkuta mama harson
kajiachia sana yaani kavaa kimtego
lakini mr kelvin wala hakua na hisia nae
kabisa sababu alimchukulia kama
ndugu wa mkewake hivyo wala
asingeweza kutembea nae.
Aliongea nae kuhusu kumshawishi kwa
mechi ya mwanae akaonekana
kumsikiliza kwa makini na kukubaliana
nae akajua siku hiyo itakua siku ambayo atamwambia ukweli."
Mr kelvin aliondoka zake baada ya
kumaliza mazungumzo lakini alikua
anamfikiria sana mama harson maana
hakuwahi kuamini kama angekuja
kumtega kwa mavazi hayo.
Je unahisi atafanikiwa kutegeka mr
kelvin usikose itaendelea.....
TUMAINI LANGU 09 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Siku iliyofata kulipambazuka kukiwa na
shamra shamra sana hasa pande zote
za team shiriki kwenye mechi hiyo ya
kishule.
Harson alikua amekaa na marafiki zake
ambao wengi wao walikua sio wachezaji aliwaambia.
"Nyie unajua kwa mara ya kwanza
nataka niwatambulishe shemeji yenu
kwenye mechi ya leo?." "Aah sony
mnyama kama kawaida yako hunaga
show mbovu,Haya huyo tena pisi wawapi?."
"Sikia Sam huyo ni mwanamke wa màisha yangu na nipo tayari kufa kwaajiri yake,maana ni mwanamke ambae nampenda sana na yeye ni kila kitu kwangu."
"Mmh unaonekana umekamatika sana na huyo mtoto haya sie tunataka tuone atawapiku akina Sara au ndo mbwembwe tu."
"Allii acha upuuzi yaani katika wanawake ambao nimewahi kuwa nao hakuna wakumfikia kwa urembo,upole na tabia njema pia."
Harson aliwaacha marafiki zake na
kwenda kuungana na wenzake kwenye mazoezi ya viungo.
Huku nyumbani kwao alice alikua
anajiandaa,kila nguo aliyokua akivaa aliona hajapendeza akamwaga nguo
zilizo kwenye kabati zote lakin bàdo
hakuona nguo ya kuvaa,akaona ampigie simu miss hellen simu haikuita kwa
"Duh ila unajua harson mtoto lilian amekuelewa sana." "Hebu wacha ujinga badae washikaji."
muda mrefu ikapokelewa na kuanza kuzungumza nae.
"Mama haupo nyumbani,kila nguo nayotaka kuvaa sioni kama napendeza
kama ungekuwepo ungenisaidia kutafuta nguo nzuri."
"Mpenzi unataka kuvaa nguo nzuri unaenda wapi?."
"Mama rafiki yangu ameaniarika kwenye
mechi yao shuleni ameomba niwe
upande wake katika kumshangiria."
tafuta skin yako nyeusi,baa na tisheti ya blue au pink vaa na nyeusi au nyeupee,na kama pink utaona tofauti
hata bluu au nyeupe zote unapendeza ukivaa."
"Ooh safi sana,ila ngoja nikuambie kitu,unajua kwa urembo ulikua nao
"Ohk baby am wait for it." Alice alikata
simu na kutafuta taiti yake nyeusi
akaivaa kisha akachukua na raba nyeusi
pia akavaa alitaja kuvaa tisheti nyeupe
akaona imewaka sana akaamka kuvaa
nyeusi,na weupe wake na nywele zake
ndefu aliwaka sana aise.
Akaenda chumbani kwa baba yake
akachukua kofia akavaa kisha
akampigia video call miss hellen
alifurahi sana kuona amevaa black
maana ni rangi yake pendwa sana.
"Mama nakupigia video call Baada ya kumaliza."
Alimsifia na alice akaona sasa ni muda wa kuelekea shuleni kwao harson. Muda ulizidi kwenda na Hatimae muda wa mechi ukawadia.
Alice alikaa sehemu ya kificho sana
alitaka kumfanya harson asihisi kama
yupo hapo. Mechi ilienda hadi kipindi cha mapumziko mambo yalienda kombo kwa maana walitoka droo.
Na Baada ya kurudi tena uwanjani
harson alicheza rafu sana kutokana na hasira ya kutowepo kwa alice coach
alimuita na kumwambia kama
ataendelea na kucheza rafu atatilewa
harson aliamua kuwa mpole na kuahidii
kua hatocheza rafu tena.
Baada ya kuendelea mechi ilianza kuwa
na presha na muda huo sasa alice
alianza kushangilia kwa kumuita harson
huku akimuonesha ishara acheze kwa
kujiamini,harson alitabasam sana Baada
ya kumuona alice na alianza kurudi
mchezoni na kuweka umakini wa hali ya
juu sana.
Marafiki wa harson walikua wanajiuliza
ni nani ambae amekua akimshangilia
harson na kumuita mara kwa mara
walisukuti lakin hawakua na majibu.
Mchezo ulitamatika kwa magori mawili
kwa moja na mfungaji wa magori hayo
alikua harson. Huwezi amini Baada ya
kupulizwa kwa firimbi tu harson alifika
kiunzi na kumsogelea alice bila haya
alimkumbatia na kumnyonya denda bila
kuhofia chochote kitu ambacho kilikua
cha kushtukiza kwa alice. Alimsukuma
kwa nguvu sana na kuondoka zake,
harson alikua na furaha kiasi cha
kushindwa kujizuia Kabisa.
Wakati amesimama akimtazama alice
akitokomea kwenye geti la kutokea
kwenye uwanja huo sam alifika na kumwambia.
"Mzee yule mtoto ni chombo yaani
alivyokua anakushangiria nikasema mh
kuna kanamna ila duh,ulichofanya
umemzalilisha mfate na umuombe msamaha."
"Kweli kaka?."
"Sony hilo sio la kuuliza we unamuachaje mtoto mzuri vile."
Harson alimkimbilia alice lakini tayari
alikua amechelewa alijiskia vibaya sana
lakini alihisi lazima atamfata."
Alirudi uwanjani napo coach wake
alimpa adhabu kwa kuvunja sheria za
shule mbele ya hadhira harson wala
hakujali alichukua begi lake na kuondoka zake.
Tukiachana na kwa hawa watoto wa
hovyo,siku hii pia miss hellen aliamua
kurejea nyumbani akiwa na bahasha ya khaki. Aligonga mlango na aliyefungua
alikua dada wa kazi (aisha) alifurahi
sana kumuona kana kwamba hakuwahi
kuonana nae kwa muda mrefu.
"Madam umerudi nyumbani."
"Usijari aysha nimerudi ondoa shaka."
Aysha alienda kwenye friji na kuchukua
maji na kumpa huku akionesha
tabasamu kwa boss wake. Hellen
alipokea akanywa yale maji na kumshukuru.
Muda mchache mr denis alitoka
chumbani alionekana kuwa tofauti sana
maana alikua amekonda
sana,alipomuona hellen alimsogelea na kumkumbatia,hellen alitikisa kichwa
kisha akamwambia.
"Pole sana denis lakini sijarudi hapa
kwaajiri ya hayo mambo tafadhali."
"Enhee we mwanamke mchawi umerudi
kufanya nini hapa?."
Hellen hakunmjibu chochote mama
denis alimkabidhi mr denis ile bahasha
kisha akamwambia.
"Ni nyaraka za taraka tafadhali una siku
tatu za kusaini hizo nyaraka bila shurruti na usipofanya hivyo bàsi utashurutishwa."
"Mkewangu unaongea nini lakini?."
"Denis mimi sio mkeo tayari ulikua
umeniacha muda mrefu sana,nataka
kuendelea na maisha
yangu sasa, tafadhali nakuomba."
"Hellen usiondoke tafadhali mimi ni mkosefu naomba usinifanyie hivyo hebu mfikilie mwanao angalau."
"Mwanangu?,mr denis nilishakuambia elias kijana wangu amenifanya nikuchukie sana na kamwe sitakuja
kukuona wewe ni mtu mwema sahau
kwenye maisha Yako."
Miss hellen aligeuka na kuondoka
zake,denis aliumia sana,na kumlilia
hellen pia mama yake alishangaa kuona
kijana wake amebadirika sana na hajui
nini kimemfanya abadirike hajui
kwamba nafsi yake inamsuta kwa
mambo aliyoyafanya.
Wakati miss hellen yupo kwenye gari
akielekea hotelini simu yake ilianza kuita
alikua alice tena alikua analia kwa
kwikwi hakuweza kumuelewa kile
ambacho alikua anazungumza
akamuuliza atakua wapi muda huo alice
alikata simu na kumtumia ujumbe na kumwambia kua yupo nyumbani kwao.
Miss hellen ilibidi apitilize kuelekea
nyumbani kwao alice moja kwa moja.
Alifika na alipogonga mlango alice alifungua na kumkumbatia kwa nguvu
sana.
"Mmamy una shida gani na ulikua na furaha sana uliponipigia?."
"Mama harson,harson amenibusu mbele ya watu, naogopa sana kama baba yangu atajua ameniaibisha sana."
"Ooh ni huyo rafiki Yako?." "Ndio mama."
"Ooh pole sana ila nataka kuongea na wewe tafadhali,na tutaongea ukiwa umetulia Sawa mpenzi?."
"Sawa mama."
Walikaa kea muda kidogo kisha miss
hellen alizungumza na alice kwa upendo sana.
alichokifanya sababu hukua unajua
kwanini amefanya hivyo nadhani
hukufikiria chochote kama anaweza
kufanya hivyo. Ila ni hisia zake ndio zimemtuma afanye hivyo."
"Alice najua umeumia sana kuhusu
"Lakini sisi bàdo watoto anawezaje kufanya hivyo?."
"Aah sasa jaribu kuongea nae ujue kwanini amefanya hivyo."
"Mama siwezi kumuangalia usoni
kabisa harson na sitaki kabisa kumuona." "Alice...!"
"Ndio mama."
"Ohk Sawa bàsi inatosha."
Miss hellen alimtuliza alice kisha
akamwambia kama anaondoka lakini
alice hakutaka aondoke alimuomba
sana alale hapo usiku huo,miss hellen
hakuona shida sababu alijaribu
kumpigia baba yake lakini hakupokea
simu ikamlazimu alale.
Lakini wakiwa wanaingia chumbani
mara mlango uligongwa kwanguvu
sana,miss hellen alikwenda kufungua
akamkuta harson mlangoni akataka
kuingia ndani miss hellen akamzuia na kumuuliza.
"Bila shaka ni rafiki wa alice,lakini
kwanini umekuja usiku?."
"Madam tafadhali naomba kuzungumza
na alice nataka kumuomba msamaha
kwa kilichotokea."
"Nimefurahi sana kwa kutambua kosa
lako,ila kama utanisikiliza itakusaidia
sana,alice analia tu huko ndani anasem umemdhalilisha hivyo sidhani kama
atakusikiliza."
Harson hakujali akataka kuingia ndani
alice alitoka chumbani na kisu miss
hellen alishtuka sana na kumzuia alice
asifanye hivyo na harson aliamua
kuondoka zake lakini wakiwa wanataka
kwenda kulala alice alitaka kwenda
kufungua lakini miss hellen alifungua
mlango.
"Hivi kwanini...."
Alishtuka sana maana nikitu ambacho
hakutegemea kukutana nacho....
Usikose itaendelea....
TUMAINI LANGU 10 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Baada ya miss hellen kufungua mlango
alishtuka sana maana hakutegemea
kukutana na kitu kama hiko.
Mr kelvin alikua amelewa sana,miss
hellen alimuita alice waweze kumvuta
ndani. Walifanya hivyo,alice alikua analia
mara mbili maana baba yake hakuwahi
kunywa pombe hata siku moja.
"Baba kwanini umefanya hivi ikiwa
hujawi kufanya maamuzi kama haya
kwanini baba."
"Binti yangu,mimi furaha yangu nikuona
mwanangu unafurahia maisha,sitaki
kukuona una huzuni mwanangu, sitaki tena kukosea kuchagua sitaki."
"Baba umelewa sana mama atakua amechukia sana."
"Nisamehe mwanangu ila kuna mambo yanaumiza kichwa changu nahisi kuchanganikiwa sana."
Miss hellen alimuomba alice amuache baba yake apumzike wazungumze kesho yake.
Usiku alice alianza kulia kwa maumivu sana,miss hellen akamuuliza kwa nini
analia,alive alishika tumbo lake na
kumwambia anaumia sana,miss hellen
aliamka na kufungua droo ya alice
hakukua na dawa akatoka sebleni
ambapo alikutana na sanduku la
huduma ya kwanza alifungua na kukuta
dawa za kupunguza maumivu alichukua na aliporudi chumbani alimkuta alice
ameshuka kitandani na shuka zilikua
zimechafuka damu,miss hellen
alimsogelea alice na kumpa zile dawa
na maji alimeza kisha akatafuta namna ya kumsaidia.
Alitoa mashuka yaliyokua yamechafuka
na kutandika masafi kisha
akamkumbatia alice kwa pamoja alice
tumbo lake lilipotulia alipitiwa na
usingizi lakini miss hellen hakupata
usingizi kabisa alikua anazungumza
mwenyewe.
"Binti amekua na hajui chochote na huyu
kijana ameanza baraa sijui nitawezaje
kumsaidia mr kelvin,na sijui nitaanzaje kumwambia, kuhusu binti yake. Elias
nafikiri alikua bàdo maana
sikuona halo yoyote ya utofauti
kwake,sijui nitafanya nini kumsaidia alice."
Miss hellen alikua anawaza sana hadi
kunapambazuka hakupata usingizi
kabisa,siku hii hakutaka kuamka
mapema. Ila alishtuliwa na mr kelvin baada ya pombe kumuisha.
"Alice...! ,Alice mwanangu."
Miss hellen alifungua mlango mr kelvin
alishtuka maana hakua anakumbuka
kama waliagana aje.
"Ooh
"Nimelala hapa mr kelvin,aah samahani hivi tunaweza kuongea?." "Aah.. ahh aku
hakuna shida tunaweza tu."
Miss hellen na mr kelvin walitoka nje
kwaajiri ya mazungumzo.
"Mr kelvin,sijui nianzie wapi kuzungumza
na wewe ila nataka kukwambia kua alice
tayari amekua mtu mzima usiku wa
kuamkia leo,sijui kama ulikua unajua
hilo au lah maana mtoto wa kike
ningumu kuwa muwazi kwa mzazi wake
wa kiume,ila nakujuza tayar ni binti
anatakiwa uangalizi wa hali ya juu sana
kwa sasa maana usipokua mwangalifu
umekuja sangapi?."
nadhani
unajua kinachofata
maana hizi hali huja na mihemko tofauti."
"Nimeshtuka kuskia hivyo ila nafurahi
kuona binti yangu amekua,ila nitawezaje
kuwa muangalifu kwake ikiwa nipo
mwenyewe,muda mwingi nakuwa kazini."
"Ooh najua lakini hata mimi niko bize
kidogo kwa sasa kuna mambo yangu
ambayo nayafatilia hivyo siwezi kuahidii
chochote ila kama nikifanikiwa kumaliza
mapema kuanzia hapo naweza kusema chochote."
"Tafadhali nakuomba hellen nisaidie
Mr kelvin alizungumza hivyo huku akiwa
ameshika mikono ya hellen,miss hellen
alimtazama mr kelvin na kushusha
kuondoa mikono yake na kumwambia.
pekeangu siwezi mimi."
"Aah natakiwa kuondoka sasa,alice kama atajiskia vibaya utampa dawa za maumivu atakua sawa nitarudi baadae kumuona."
"Sawa hellen lakini nakuomba nifikilie na mimi pia kwenye hili." Miss hellen hakuonekana kukubali wa kukataa.
Hatimae wiki nzima iliisha mr kelvin na
miss hellen wakiwa vizuri sana. Lakini
mr denis alikua anazunguka tu na
karatasi za taraka hakuwa amesaini
kabisa na siku moja akapigiwa simu na
mwanasheria wa miss hellen na
kumwambia anahitaji karatasi za taraka.
Mr denis alijibu kuwa bàdo hajasaini
hivyo asimpelekeshe na kukata simu.
Mr kelvin na miss hellen na alice
waliamua kutoka siku ya weekend
kwaajiri ya kufarahia pamoja,mr kelvin
akamuomba miss hellen wazungumze
waliamuacha alice anaogelea kisha
wakasogea kando na kuanza
kuzungumza.
"Hellen sijui utanichukuliaje ila nimekaa
nimefikiria sana nimeona wewe ndio
mwanamke sahihi kwenye maisha
yangu,na binti yangu pia,kama utakubali
ningependa tufunge ndoa Ili alice
afurahi kutuona pamoja."
"Mr kelvin...."
"Nakuomba hellen,sijui kama una
mahusian au huna maana sijawahi
kukuuliza kuhusu hilo na hujawahi
niambie ila nimeshindwa kujizuia kabisa, nakupenda sana."
Miss hellen aliona upendo kwenye
macho ya mr kelvin lakini hakutaka
kuwa mrahisi akamwambia.
"Ni Sawa nimekuelewa lakini katika
mapenzi kuna machaguzi matatu, kukubaliwa,kukataliwa au kusema ukweli kama upo kwenye mahusian au lah,ila niseme tu kuwa nipo kwenye mahusian kwa sasa."
"Hellen,ndio mr kelvin hivyo hatuwezi
kupeana tubaki kuwa marafiki."
Mr kelvin alijisikia vibaya sana lakini
hakutaka kumchosha zaidi miss hellen.
Mr kelvin alirudi kwenye gari maana
alihisi kama amechanganikiwa na jibu la
hellen maana anauwamini sana moyo
wake kuliko chochote na aliamini kuwa
hellen hayupo kwenye mahusian Ndio
maana akaamua kumwaga madini.
Miss hellen alimfata alice na kucheza
pamoja,na alipotazama saa yake
akaona ni muda wa kuondoka sasa
wakarudi kwenye gari kwaajiri ya kurudi
nyumbani,mr kelvin hakuonekana kuwa
sawaa kabisa uso wake ulikua wenye
huzuni sana kuliko kawaida.
"Baba una tatizo gani mbona hunafuraha?."
"Alice unaweza kunyamaza tafadhali?."
"Babaaa..!"
"Hebu kaa kimya usiongee chochote hadi tufike nyumbani."
Miss hellen alimkumbatia alice na kumwambia akae kimya na alice
alikubaliana na miss hellen.
Yalikua majira ya saa moja usiku,baada ya kufika nyumbani kwa mr kelvin alice na hellen walishuka kwenye gari kwaajiri
ya kutaka kufungua geti lakini ghafla
miss hellen alishikwa na mwanaume,na
kwakua taa zilikua hazijawasha
hakuweza kutambulika huyo
mwanaume ni nani,mr kelvin hakutaka
kuacha lipite alisogea na kumtwanga
ngumi huyo mwanaume alipomuachia
hellen akamuona na kumuingiza ndani
pia.
Alice aliwasha taa na mara hii alikua
anaonekana kutokana na mwanga,miss
hellen alishtuka sana alice na baba yake
walikua wamesimama wakijiuliza kama
hellen anamjua au lah....
Usikose itaendelea....
TUMAINI LANGU 11 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Miss hellen alimuomba amfate nje,mr
kelvin akazungumza. "Hellen itakuaje akikudhuru?."
Mias hellen alitoka nje na huyo
mwanaume alimfata miss hellen alimuuliza.
"Umefata nini hapa denis?,kila kitu nimeshakueleza kwanini unanifatilia?."
"Hellen hivi ujui jinsi gani naumia kwaajiri yako eenh?, nimekosea mkewangu nisamehe mimi."
"Denis umeoa na uliniacha kuhusu
msamaha kama elias wangu angesema
amesamehe bàsi ningekusamehe ila
alisema anakuchukia sana na kamwe
"Usijari kuhusu hilo nendeni ndani niachieni hili nitalimaliza."
hawezi kukusamehs hivyo nasimama na maamuzi ya Mwanangu nakuchukia sana denis."
"Hellen yule ni mtoto tu lakini hebu nifikilie na mimi walau."
"Sikia acha kufatilia maisha yangu na ukiendelea naweza kufunga,saini taraka
kisha mpe mwanasheria wangu haraka iwezekanavo."
Wakati hellen anazungumza mr kelvin
alisikia kila kitu na kujihakikishia kwa
asilimia zote kuwa hellen anaweza kuwa
wake na hawezi kuacha kizembe namna
hiyo ikiwa yeye anadai taraka.
Mr denis aliamua kuondoka na
kumuacha hellen japo moyo wake
uliumia sana maana ni wazi alikua tunda
lake linaliwa na mtu mwingine hivyo alikua anaumia sana.
Miss hellen alirudi ndani na kuzungumza.
"Nisameheni sana kwa kuwafanya
muwe na hofu,na nafikiri
nisingewaongezea matatizo zaidi,ni
vizuri kama nikiwaacha na maisha yenu
kabla mambo hayajawa mabaya zaidi."
"Hellen tafadhali usiseme hivyo
nakuomba,haya ni maisha tu na hakuna
maisha yanayokua rahisi na
changamoto hazikimbiwi kwa namna
yoyote tafadhali usituache sababu ya hili
mimi na binti yangu yupo tayari kufanya
chochote au kupitia chochote kwaajiri yako."
Alice alifurahi sana kuona baba yake
sasa anafunguka sana kuhusu hellen.
Siku hiyo ilipita na siku iliyofata alice
aliamka mapema saña akaadaa
kifungua kinywa na
kuweka mezani wakishirikiana na baba
yake kisha akaenda kumwamsha hellen
alionekana kuwa mchovu sana lakini
alice hakutaka ampuuze.
Baada ya kuoga wakatoka kwaajiri ya kupata mlo, walifurahia mlo wao wa pamoja kisha miss hellen alitazama saa yake na kusema.
"Ooh maskini nimeshachelewa jamani naondoka sasa."
"Mama...!"
"Alice wangu nakupenda bai.."
Hellen alikua na haraka sana na alipokua anafungua mlango aweze
kutoka nje mr kelvin alimshika mkono
wake,hellen hakutaka kuonekan mjinga
alitabasam na kumwambia.
"Kwaheri mr kelvin." "Hellen..., nakupenda sana."
Hellen hakujibu chochote na kuamua
kuondoka zake. Mr kelvin alirudi ndani
hakuonekana kuwa Mwenye furaha
sana,alice akataka kumsemesha lakini
baba yake alimzuia na kumwambia.
"Natoka hakikisha huwendi popote hadi narudi hapa." "Sawa baba."
Mr kelvin aliondoka zake na kumuacha
alice mwenyewe.
Alice alikaa kea muda mrefu sana,na
kujiona mpweke aliamua kwenda kwa
mama yake mdogo ambae ni mama
harson,lakini kabla hajagonga mlango, ulifunguliwa, alikua harson nae baada tu ya kumuona alice alitabasam sana na kumwambia.
"Alice nisamehe sana,ile siku nilikua na furaha sana, nikashindwa kuzuia hisia
zangu kwako,ona nilijisababishia
matatizo pia,nimesimamishwa shule aababu ya nilichokifanya,alice unanipa
wakati mgumu nawewe unaponikasirikia."
Alice alimsogeza pembeni na kuingia ndani ambapo alimkuta mama yake mdogo amekaa, alimsalimia na kumwambia.
"Mama ulichokisema nimefanikiwa kwa baadhi ya mambo, nimefanikiwa kumpata mwanamke
ambae amekua Karibu sana na mimi na mpaka muda huu baba ameshindwa kujizuia na kumwambia ukweli japo yeye hajajibu chochote."
"Unahisi atakubali kua na mtoto wa kambo?"
"Alice usikate tamaa pigania
anapopenda baba yako mshawishi uwezavyo ili uwe na furaha."
Aliongea harson,japo alice alijua atakua
amechukia na kuondoka zake ila kumbe hakua ameondoka.
Alifurahi kuona amesapotiwa na harson
kisha aliamua kuaga na kuondoka zake
lakini mara tu baada ya kuondoka alice
Harson aliwakiwa na mama yake.
"Hivi wewe mjinga unadhani nimefurahi kuona unamsapoti?."
"Mama kwani unadhani ningefurahia
kuona unaolewa na anko kelvin?,mama sababu nampenda alice..."
"Nini?, unampenda alice..?"
kumuita alice dada na anko kumuita
baba yangu wa kambo?,mama anko
kelvin atakudharau sana naomba
unipambanie niwe mume wa alice na sio
hiki unachotaka mama."
Mama Harson hapo ndipo alianza
kumuelewa kijana wake kwanini amekua
akimtaja alice hadi ndotoni, alitabasam na kumwambia.
"Sikujua kama ulikua unampenda alice
Mwanangu na vipi kuhusu yule
msichana wako lilian?."
"Ndio mama unadhani naweza kuvumilia
"Mama lilian ni rafiki yangu tu kama wakina sam sio Mpenzi wangu."
"Sawa mwanangu nitahakikisha tunafanikisha hili."
"Asante mama utakua umefanya jambo kubwa sana kwenye maisha yangu, nakupenda sana mama."
"Usijari mwanangu haya nenda kwenye mazoezi yako."
Harson aliondoka na kumuacha mama yake akipanga mbinu sasa za kumnasa
alice kuwa mkwe wake.
Harson alipofungua tu mlango alikutana na lilian,lilian baada ya kumuona Harson alifurahi sana
na kumkumbatia kwa nguvu lakini
wakati hayo yanaendelea alice alikua
amesimama getini kwao alikua anataka
kumpelekea zawadi harson lakini
aliposhuhudia harson amemkumbatia
mwanamke mwingine alijiskia vibaya
sana na kutaka kurudi ndani lakini
kumbe harson alimuona akamuacha
lilian na kumuita alice huku alimkimbilia
kwa kasi sana,alice alikua ameshafunga
geti lakini harson alizidi kuita huku
akiomba amsikilize lakini alice hakutaka
kumsikiliza.
Lilian alimfata na kumuuliza.
"Harson huyu msichana hakupendi kwanini unaendalea kumfata, kumbuka akikudhalilisha mbele ya marafiki zako baada ya kuondoka kabla ya kukabidhiwa zawadi."
"Lilian kaa kimya hujui chochote kuhusu alice naomba uniache na maisha yangu
" "Sony na vipi kuhusu moyo wangu?."
"Moyo wako? Sikia usiniambie upuuzi wako tena na iwe mwisho na mwanzo kukuona kwetu tena."
"Lakini mama Yako ananipenda tayari."
"Wewe mpuuzi..." Harson alimshika lilian na kumtoa pale maana alihisi anazidi
kumuharibia kwa alice.
Alice nae alianza kuhisi kua anampenda
harson lakini alikua anashindwa aanzie
wapi ikiwa Mara ya mwisho
alivyom'busu aliondoka kwa
hasira.mwiki wake ulikua na mihemko
kupindukia.
Maisha yao Kati ya mr kelvin na hellen
yaliendelea bàdo hellen alikua
hajamkubalia mr kelvin,siku moja kama
utani alice alikua anajiskia homa akawa
amelala mapema sana mr kelvin alikua
anazungumza na hellen story za
kawaida lakini kadiri maongezi yao
yalivyozidi mr kelvin alizidi kujisongeza
karibu na Hellen na mwisho alijikuta
anam'busu,hellen alisisimka sana na kutaka kwenda chumbani lakini mr
kelvin siku hiyo alikua ameipania sana,
alimshika mkono wake na kutoa pete
mfukoni mwake na kupiga goti mbele ya hellen na kumwambia.
"Hellen naomba ukubali nikuoe tafadhali
mwenzio naumia kwaajiri Yako,mimi sio
mtoto ila ndoto za kihisia zinanifanya niwe...."
Hellen alimzuia na kumwambia. 'inatosha me kelvin,je kama nilikataa?."
"Hellen usifanye hivyo nakuomba nahisi
nitashindwa kuishi kama nitalikosa penzi lako."
"Lakini bàdo sijaelewa taraka."
"Hellen kama yeye alioa akiwa bàdo hajaachana na wewe bàsi tayari alishaivunja ndoa Yako tafadhali nakuomba usiniangushe."
"Sawa nimekubali kuolewa nawewe ila kwaajiri ya furaha ya alice pekee." "Aah hellen unajua...."
"Kelvin,na wewe pia ni kwaajiri ya wote."
Mr kelvin alifurahi sana alimkumbatia
Hellen kwa hisia za hali ya juu sana
kuliko kawaida, hellen aliyaskia vema
mapigo ya moyo wa mr kelvin
alitabasam na kumwambia.
Hellen alioijitoa kwenye kumbato na
kutaka kuingia chumbani mr kelvin
alimshika mkono hellen alipogeuka na
kumtazama, mr kelvin alimuonesha
ishara atazame suruali yake,hellen
alishindwa kujizuia na kicheko na
kukimbilia chumbani kea aibu...
Usikose itaendelea.....
TUMAINI LANGU 12 NASSRAH
ABDALLAH
"Haya sasa kapumzike usiku mwema."
Baada ya miss hellen kukimbilia
chumbani mr kelvin alitabasam kisha
akasema.
WSP 0715431019
"Mambo gani sasa Haya tunabaniana kama watoto..,lakini sawa nitasubiri hadi pale utakapokua tayari hellen wangu."
Alielekea chumbani kwake pia lakini
usiku huu ulikua mrefu saña kwa mr
kelvin alikua anamuwaza sana
hellen,maana alikua anamuona kama
bàdo msichana m'bichi yani. Hali hii
haikua kwake tu maana hadi kwa hellen
pia alikua amelala chali akiwa anawaza
mambo mengi juu ya maisha yake
Yaliyopita pindi alipokua na denis,denis
ni mwanaume wake wa kwanza
kumpenda lakini alimsaliti. Hakutaka
tena mapenzi kuyapa nafasi aababu
alihofia kuumizwa tena lakini baada ya
kukutana na mr kelvin anajikuta
anashindwa kufanya maamuzi kabisa.
Akisema akatae atampoteza na alice na akisema amkubali anahofia atatumia
tena,miss hellen alikua mwenye
mawazo sana usiku huu,hapo tayari
alimwambia kua amekubali kwaajir ya
furaha ya alice lakini hakutaka kuvaa
pete ambayo alishika mr kelvin. Na
kwakua alimkabidhi tayari hellen
alipoingia chumbani aliweka mezani hiyo pete.
Alikua akiitazama sana lakini bàdo moto
wake ulikua na wasiwasi kabisa,mara
simu yake ikaingia ujumbe, aliivuta simu
kutokea mezani kisha akausoma
ujumbe uliotumwa.
"Hellen nakosa usingizi mwenzio
natamani sana tuzungumze zaidi
mwenzio sina hali kila napokuona
tufunge ndoa haraka Nakupenda
sana,tuowana tulale pamoja jamani."
Miss hellen alitabasam baada ya
kuusoma ujumbe huo lakini hakutaka
kuujibu kabla ya dakika moja kupita
uliingia ujumbe mwingine ambapo
aliufungua na kuusoma.
"Hellen hisia zangu zinaniambia hujalala na unasoma ujumbe wangu ukiwa
unatabasam nijibu basi Mpenzi wangu nijisikie amani moyoni Mwangu."
Mara hii hellen aliamua kumjibu mr kelvin.
"Mr kelvin unatakiwa upumzike sababu
Kesho unatakiwa kuwahi kazini please!
Mimi nimekuelewa ondoa mawazo, nakupenda."
Aliutuma ujumbe huu kisha akarudisha
simu mezani na kumkumbatia
alice,ujumbe ulirudi kwake lakini alibaki
kutabasam tu hakutaka kuufungua.
Hatimae kuripambazuka na siku hii miss
Hellen alimuamsha alice mapema,alice
alijiandaa na alivyotoka sebleni
alikutana na baba yake amekaa mezani
na hellen wakinywa chai pamoja,
aliwasalimia kwa furaha kisha akajiunga
nao, miss hellen akasema .
"Na mimi nitatoka ila nitawahi kurudi
kuandaa chakula,mr kelvin utakula
chakula canteen au nikueletee chakula cha mchana huko?."
Mr kelvin alishtuka sana baada ya
kuulizwa hivyo alimtazama alice,alice
alimpa ishara baba yake kua akubali
kwa kumkonyeza. Mr kelvin alishuha
pumzi na kumwambia.
"Tutaongea baadae usijari nitakupa jibu.
Haya wewe mtoto hebu tangulia kwenye
gari nakukuta."
"Baba lakini sijamaliza chai jamani."
"Nenda alice tafadhali."
Alice alichukua begi lake na kumuaga miss hellen kwa busu na kumbato kisha
akaondoka zake. Mr kelvin alimtazama miss hellen na kushika mkono wa hellen na kumwambia.
"Mwanamke mwenye upendo yupo
tayari kufanya chochote kwaajiri ya
Mpenzi wake,hellen moyo wangu
ulienda mbio sana uliponiuliza
nikashindwa kujibu kwa wakati ila
nawezaje kukataa chakula chako
kitamu,chakula chako hakiishi hamu
natamani sana kuendelea kula ila tumbo
nalo linakikomo chake,hellen kuanzia
sasa nitakua nakula chakula chako
pekee wala hata usiwe na wasiwasi
Sawa?."
"Sawa nimekuelewa Haya alice
anakusubiria sasa muwahishe."
"Aah kabla sijasahau ukitoka tumia gari
yangu ola nitakutafutia gari Yako pia."
"Shiiip..!
Mr kelvin alimb'usu miss hellen kwenye shavu na kuondoka zake. Miss hellen
alibaki kutabasam huku akimtazama mr kelvin ambae alikua anaelekea mlangoni.
"Kelvin....!"
Tulia ni baina yetu sisi wawili."
"Lazima nifanye maamuzi yangu
sasa,siwezi kumpoteza alice tena ikiwa
ananifanya nijiskie vizuri na kujaribu
kusahau yaliyopita japo ni ngumu ila
nikiwa nae najihisi wa tofauti
sana,nakua na amani kupitiliza."
Miss hellen alizungumza hivyo kisha
akaondoa vyombo mezani kisha
akachukua funguo za gari na kuondoka zake pia.
Alice alipokua na baba yake wakielekea
shuleni alizungumza. "Baba nakuona
sahivi unafurahia sana unaweza niambie
kwanini?.
"Alice unajua kuna mambo huja kama
bahati,wewe mwenyewe unaona miss hellen amekuja kwetu kama
malaika,amekua na huruma kwetu,
anakupenda sana wewe binti yangu, ananifanya nijiskie vizuri pia nikiona
anakujali binti yangu,natamani
kumwambia nampenda lakini nashindwa."
"Baba mama hellen anakupenda pia uso
wake, tabasamu lake mbona lipo wazi?
Inamaana unaona aibu kumwambia kua
unampenda baba?,Sawa usimwambie
ila wenzio wakimchukua sitaki uniletee
mama mwingine ambae atanitesa na kuniumiza kama aliyetoka."
"Bàsi binti yangu wala usiwe na wasiwasi,nimemwambia tayari ila bàdo hajanipa jibu la kueleweka nimemuomba kumuoa pia ila bàdo hajasema chochote."
Alice alionekana kama kuna kitu anawaza,baba yake akamuuliza. "Vipi binti mbona hivyo ghafla?."
"Ile siku niliyokutana nae kuna
mwanaume alikuja pia na kumuita
mkewake,baba mama hellen ana mume inamaana hatoweza kuolewa na wewe."
"Ooh Sawa nitajua nafanyaje ila nakuomba sana uzingatie masomo yako
mwanangu achana na haya mambo."
"Sawa baba nimekuelewa."
Walifika shuleni alice alimuaga baba
yake. Na wakati mr kelvin anataka
kugeuza gari aweze kuondoka akasikia
honi kwa nyuma yake, alishuka kwenye
gari yake,alikua mwalimu Leticia mr
kelvin akamwambia.
"Leticia natamani tungepata muda zaidi
wa kuzungumza mimi na wewe lakini
sasahivi niko bize sana na sasa
nimechelewa kazini ila sio mbaya kama
nikisema tu kua nataka kuoa tena na
tayari nimepata wa kumuoa. Nitafurahi
sana kama ukija kwenye harusi yangu
kumuona mkewangu."
"Kelvin...!" Mr kelvin hakutaka hata
kugeuka nyuma aliingia kwenye gari na
kuondoka zake,mwalimu Leticia nikama
alipatwa na mshtuko sana kuhusu
taarifa ile, moyo wake ulimuuma sana
maana hakutegemea kama Kelvin wake
angeoa tena mwanamke mwingine
ikiwa yeye yupo.
Aliingia ofisini kwake lakini hakua Sawa
kabisa kichwa chake kilikua kinamuuma
sana kutokana na maneno ya kelvin.
Tukiachana na huyu madam
Leticia,huku miss hellen alipoondoka
moja kwa moja hadi ofsini kwa
mwanasheria wake ambapo ni wazi
alikua amemuita. Na alipoingia alishtuka
kumuona mr denis pia hapo, miss hellen
akamuuliza mwanasheria wake.
"Mr yassin kwanini unanikutanisha na huyu mjinga hapa, nilikuambia kua fanya
maamuzi ambayo yatamfanya
akamlishe taraka lakini wewe
umenikutanisha nae kwanini lakini?."
"Tafadhali miss hellen hebu punguza
hasira na ujaribu kumsikiliza mr denis
walau kidogo." Miss hellen alimtazama
mr denis,mr denis alipiga magoti na kumwambia.
"Hellen nimekukosea sana lakini huwezi
kufanya maamuzi magumu hivyo,najua
nimekuumiza lakini unajua jinsi gani
nakupenda,yassin tafadhali ongea na hellen, anisamehe nitakua mgeni wa nani
mimi."
Miss hellen alisimama na kumtazama
mr yassin kisha akamwambia.
"Mr yassin,usinipigie tena kama huyu
mjinga hana jipya na kama ukinipigia
bàsi nipate taarifa kuwa huyu amesaini taraka na kila kitu amerudisha."
Miss hellen alimaliza kuzungumza hivyo
kisha akageuka kwaajiri ya kutaka
kuondoka zake.
"Unadhani itakua rahisi tu mimi na wewe
kuachana sio?, hellen nitasaini taraka ila
wino ambao nitatumia kusaini taraka
hizo hautakuweka huru kwenye maisha
yako wewe na yule mjinga,nitakupitisha
kwenye nyakati ngumu ambazo
hutoweza kuamini." Aliongea mr denis
kwa hasira sana.
Miss hellen alitabasam na kumsogelea
kisha akazungumza.
"Unanitisha? Hivi unadhani nitaogopa
vitisho vyako eenh?,sikia denis wakati
mgumu ulinipa ulipoamua kuniumiza
kwa kuoa mwanamke mwingine angali
hatujaachana na mtoto wako akiwa hoi
kitandani,hadi alipofariki lakini kwakua
nimepitia nyakati hizo ngumu hakuna
nyakati zingine ambazo zitakua ngumu
kuzidi hizo kwako labda kwa Mungu
ndio ataweza ila kwa wewe wala
sikuwazii kabisa,nakuona ni mwanaume
mjinga,mpumbavu ambae hujielewi.
Yaani nimekushusha viwango kabisa
yaani. Mr yassin hakikisha anafanya
nilivyokuambia."
Miss hellen alizungumza kwa kujiamini
na kuondoka zake,mr denis alijiskia
vibaya sana, alihisi huwenda akiongea
vile hellen ataogopa ola mara hii
alimuwekea mkazo hata hakuweza
kuamini.
"Mr yassin akamwambia."
"Mr denis nimerekodi sauti zako za vitisho kwa mteja wangu kwahiyo lolote baya litakalo tokea utashikiliwa."
Mr denis alizidi kuchanganikiwa na kumuona mr yassin ana mambo ya kike.
"Yaani we mwanangu leo unakaa upande wa mwanamke na kuniona mimi rafiki yako si chochote umesahau bila mimi usingetoboa."
"Hebu acha
Yako bwana wakati wa Mungu ulifika tu ndio nikapata kazi
kupitia wewe ola hujafanya chochote ni elimu yangu na ufanisi wangu ndio umenifanya niwe hapa."
maneno
"Na wewe sikama mwanamke tu,kwenda zako bwana."
Mr denis aliondoka akiwa na hasira na maneno ya hivyo
. Unahisi itakuaje usikose itaendelea....
TUMAINI LANGU 13 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0725431019
Miss hellen baada ya kutoka ofsini kwa
mwanasheria wake alielekea sokoni, alinunua mahitaji ambayo aliona
atahitaji kuyatumia kisha akarudi
nyumbani kwa mr kelvin maana ndipo
ambapo alikua anaishi japo kule hotelini
hakuchukua nguo zake zote.
��
Alianza kuandaa chakula kwa utulivu
sana,kama mnavojua mwanamke
akitulia kwenye maandalizi ya chakula
basi utatamani kila siku irudiwe .
Upande wa shule alice alikua akipiga story na rafiki zake kuhusu rafiki yake
harson alichomfanyia mara kuna
mwanafunzi aliingia na kumwambia
anaitwa na madam Leticia. Alice
alielekea ofisini kwa mwalimu wake, alipofika alimsalimia.
"Shikamoo mwalimu."
"Marhaba unaendeleaje kipenzi."
��
"Nipo sawa kabisa,na wewe."
"Niko poa,ila alice kuna jambo unanificha?."
"Kukuficha?,madam unajua siwezi
kukuficha chochote kile wewe."
Madam Leticia akajua kua huenda alice hajui chochote ila mr kelvin hawezi
kupanga kuoa bila
kumwambia mwanae, Leticia akazungumza.
"Baba yako anataka kuoa tena je hutaki kuniarika?."
"Ooh madam nilihisi kuhusu mambo ya shule kumbe kuhusu ndoa ya baba?,kama ni hivyo nikweli baba
anataka kuoa tena,huyo mama mwingine tunampenda sana nae anatupenda ni mzuri pia."
"Kweli eeh!!?."
"Ndio madam na ikiwa tayari nitakuambia." "Sawa rudi darasani."
Alice alirudi darasani,lakini madam
Leticia hizo taarifa zilizidi kumfanya
azidi kuumia moyo wake na kujiuliza
kwanini mr kelvin anafanya hivyo ikiwa
amekua nae kwenye mahusian kwa
muda mrefu lakini hamuoi. Hiyo ilikua
inamuumiza sana, alichukua simu yake
kwa hasira na kujaribu kumpigia mr
kelvin lakini wala hata haikupokelewa
alijiskia vibaya sana.
Siku hii hakuweza kuingia darasani
kabisa,alikua ofisini kwake kwa muda
mrefu sana alivyoona muda unaenda na moyo wake unazidi kuumia karibia
unataka kuripuka alichukua mkoba wake
mkononi akiwa ameshika barua ya kuomba mapumziko ya muda
kadhaa,alikabidhi kwa naibu mkuu wa shule kisha akaondoka zake.
Yalikua majira ya saa nane mchana
ambapo madam Leticia alihisi muda
huo utakua mzuri kwake kuzungumza
na mr kelvin maana atakua canteen.
Alifungua safari hadi hospital, alishuka
kwenye gari na kuelekea canteen lakini
hakumkuta akajaribu kumpigia simu
lakini haikupokelewa pia,alisogea mapokezi na kuulizia jina la dr kelvin secretary wa mr kelvin akamwambia.
"Mr kelvin anamgeni wake je una mihadi nae?."
Leticia wala hakutaka kumsikiliza akapita moja kwa moja huyo secretary
alijaribu kumzuia lakini Leticia wala hakujali lakini alipofungua mlango alishtuka sana kukutana na jambo ambalo hakua akitegemea kukutana nalo.
Aliwakuta mr kelvin akiwa na
mwanamke tena zaidi ya mwanamke
maana ni mrembo alafu mweupe,tena
wakiwa wanapeana denda, secretary
aliomba radhi kwa mr kelvin mr kelvin
akamruhusu akaendelee na kazi na
alipoondoka mr kelvin alimuuliza
madam Leticia kanakwamba hana
mazoea
nae."
"Madam kuna tatizo?,mbona haraka binti yangu amepatwa na tatizo?."
Leticia aliumia sana na kumwambia.
"Hapana ila kuna mambo ambayo
nilitakiwa kukwambia kuhusu alice ila samahan kwa usumbufu tutazungumza baadae kwaherini."
Madam Leticia aliumia sana,na kwakua
alithibitisha kwa kuona kwa macho yake, alitoka akiwa analia alikimbilia kwenye
gari na kuondoka zake,huku mr kelvin na miss hellen walikua wameduwaa,miss
hellen akasema.
"Kelvin twende shuleni huendà alice amepatwa na tatizo twende."
"Hellen mpenzi usiwe na wasiwasi,alice atakua sawa,nitaulizia kuhusu yeye nina namba ya mwalimu mkuu hapa,najua huyu ni mwalimu wa darasa itakua tu amepaniki ila najua atakua Sawa."
"Kelvin.." kabla hellen hajazungumza
chochote mr kelvin alimkumbatia Ili kumuondoa hofu."
Miss hellen alisema.
"Sawa naamini utashughulikia ila sitaki apatwe na kitu kibaya alice unajua."
kapumzike nyumbani,nitakuja muda si mrefu."
Miss hellen aliondoka zake na
kumuacha mr kelvin akiwa na hasira na madam Leticia..
"Aaah! Kwanini umekuja kuniharibia
huna langu Leticia kwanini aaah..!"
Mr kelvin alichukua simu yake na kutaka
kumpigia simu madam Leticia lakini
kuna ujumbe ukaingia kwenye simu yake
ambao ulimfanya ashtuke sana, alijaribu
kumpigia simu Leticia
"Naelewa kipenzi changu,nenda
lakini hakupokea Simu na mwisho ikawa haipatikani kabisa.
Siku hii ilianza vizuri kwake lakini iliisha
vibaya sana, alitoka ofsini na
kumwambia secretary wake ampangie
ratiba nyingine na ya siku hiyo aivunje
kisha akaondoka zake.
Aliamua kurudi nyumbani kwake na alipofika,miss hellen alimkumbatia,na kumuuliza. "Upo Sawa?,alice..."
"Hellen, usiijari alice yupo Sawa
nimewasiliana na mwalimu pia atarudi na gari ya shule." "Lakini kwanini umerudi mapema kazini?."
"Hellen sikutaka uwe mpweke nilijua lazima utakua na wasiwasi sana ndiomaana nimekuja kwaajiri yako,jitulize Sawa."
"Kelvin nakupenda sitaki upatwe na jambo baya wewe na alice pia." Mr kelvin
alimkumbatia Hellen na kumwambia.
mimi nipo kwaajiri yako na wala
sitakuacha mwenyewe kamwe."
Walifarijiana lakini kila mmoja mawazo
yake yalikua mbali kwa muda huo
maana miss hellen alihisi huenda mr
denis amemdhuru alice,lakini hana
uhakika na mr kelvin pia alikua anawaza
Leticia anataka kumwambia nini mpaka
amtumie ujumbe wa aina ile.
Wakiwa wamekaa kila mmoja akiwa na
mawazo yake mara alice alifungua
mlango na kuwakuta wamekaa lakini
"Naelewa wala usijiskie vibaya sababu
hawakuonekana wenye furaha japo miss
hellen alifurahi baada ya kumuona lakini
mr kelvin wala hakua na furaha,alisimama na kusema.
"Wacha nirudi kazini alice hakikisha
mama yako hakosi furaha." "Baba..! Umegombana na mama?."
"Hapana kwanini uulize hivyo?."
"Baba alice nenda kazini ila hakikisha
unarudi ukiwa na furaha,badae."
Mr kelvin aliondoka na kuwaacha alice alimuuliza miss hellen.
"Mama baba amekasirika sana na hata wewe huonekani upo Sawa."
"Kweli mwanangu ila, nilipokua hospital na baba yako mara alifika mwanamke akionekana mwenye wasiwasi,baba yako akauliza kuhusu wewe hapo ndio
nikajua baada ya mazungumzo yao
alikua mwalimu wako wa darasa. Lakini
hakusema chochote akaamua kuondoka
zake ila tangu hapo baba yako hakuwa
Sawa hata na mimi pia."
"Lakini mimi nipo sawaa sijapatwa na jambo lolote,mama." "Nimefurahi kusikia
hilo lakini tulikua na wasiwasi na wewe."
"Waoo mnanipenda sana. haya naenda
kubadirisha nguo kwanza." "Sawa nenda
alafu uje kula."
Alice aliingia chumbani kwake
kubadirisha nguo kisha akarudi mezani
kwaajiri ya kukaa chakula lakini alikua
anawaza sana kwanini mwalimu wake
amfate baba yake hospital,na kwanini
mwalimu alionekana kuwa na shauku ya
kutaka kujua kuhusu harusi ya baba
yake ukweli alice alikua anajiuliza sana
kuhusu mwalimu wake na baba yake
kuna nini kinachoendelea.
Mr kelvin hakuenda kazini kama
alichosema kuwa anarudi kazini,alienda nyumbani kwao madam wake alice.
Aliingia ndani na kumkuta Leticia
amekaa kama vile mwendawazimu
yaani alikua amepowa vibaya sana.
Mr kelvin alisogea na kukaa karibu yake.
"Leticia kwan....!"
"Unataka kuowa tena ikiwa bàdo nipo
hai na unajua juu ya hisia zangu kwako
Kelvin?."
"Leticia lakini unajua siwezi kukuoa,binti yangu anakuchukulia kama mwalimu
wake,ni Sawa anakupenda lakini hawezi
kukuita mama,na huwezi kuwa mke wa baba yake."
"Hawezi kuniita mama?,una uthibitisho gani kama hawezi kelvin?, nimefanya mangapi kwaajiri
yako? Kelvin nimeanza mahusian na wewe zamani sana tangu tunasoma
lakini tuliposoma vyuo tofauti ukaamua
kuanza mahusian mengine lakini
niliamini kuwa wewe utakua wangu.
Ukaoa lakini bàdo niliamua kuvumilia na kuishi mchepuko wako. Mkewako
nilimpenda na kumuheshimu kama mke
wa mpenzi wangu sikuwahi kumdharau
hadi alipofariki, lakini hukunigeukia
ukaoa mwanamke mwingine ambae
alimuuliza mwanangu. Namaanisha
alimuumiza alice wako ambae mimi
nilikua chanzo cha kupatikana
kwake,umemuacha lakini bado unataka
kuoa mwingine wakati mimi nipo tu majaribu kukusubiri wewe kelvin unahisi nitakubali?."
"Leticia,najua unaumia sana lakini sijasahau juu ya msaada wako kwangu
lakini naomba nipe nafasi ya kuoa tena
Leticia tafadhali."
"Hapana kelvin hivi wewe uliwahi
kujiuliza kama mimi ndo ungekua wewe ungeweza?."
"Leticia usitake kukuza mambo,najua
unanipenda lakini unajua hatuwezi kuwa
pamoja sababu ya binti yangu."
"Kelvin lakini tambua ya kwamba huwezi
kubadirisha ukweli kuwa uongo,sasa
ukitaka kumuoa huyu mwanamke bàsi
nitamwambia ukweli wote alice, ukweli
ambao utamuumiza na kumfanya
asikuamini kabisa."
"Ukweli gani ambao unazungumza
Leticia?."
Leticia hakujibu chochote akaingia
chumbani na kujifungia mlango,mr
kelvin alimuomba afungue waweze
kuzungumza Ili wafikie muafaka lakini
leticia hakutaka kufungua mlango
kabisa.....
Je unahisi kuna nini kipo nyuma ya
pazia?,ni siri gani ipo Kati yao baada ya
hii kuwa kwenye mahusian ya muda
mrefu wakiwa wanasoma? Usikose
itaendelea......
TUMAINI LANGU 14 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Mr kelvin aliamua kuondoka zake,lakini
alikua na mawazo sana kuhusu maneno ya Leticia.
Hakutaka kurudi nyumbani kwao
mapema alipitia bar kwaajiri ya kunywa
pombe maana alihisi hana njia yoyote ya
kupunguza mawazo yake zaidi ya
kunywa pombe.
Muda ulizidi kwenda mr kelvin alikua
hajarudi nyumbani,alice na miss hellen
walikua wameshakula tayari na alice
alikua amelala kea muda huo ila miss
hellen alikua na mawazo sana maana
kila alipokua anampigia simu mr kelvin
lakini haikua ikipokelewa. Moyo wake
ulikua na wasiwasi sana kuhusu mr
kelvin.
Alishindwa kupata usingizi alikua
amekaa kwenye sofa akiwa anamsubiri mr kelvin. Lakini muda huo wote macho
yake yalikua yakitazama saa ya ukutani.
Majira ya saa 5 usiku bado mr kelvin
alikua hajarejea nyumbani. Miss hellen
uvumilivu ulimshinda na kutamani hata kuwapigia polisi. Naam wazo lake aliona
lipo sahihi alisimama na kutaka kuingia
chumbani kwaajiri ya kuchukua simu lakini alishtuliwa baada ya kitasa cha mlangoni kucheza.
Moyo wa matumaini ulimrejea na kusogea mlangoni akafungua mlango, alikua mr kelvin tena akiwa amelewa sana.
"Kelvin nini hiki Jamani."
"Nakupenda sana hellen nashindwa kujizuia kabisa kwaajiri yako, naomba unifikirie walau hellen wangu."
"Umelewa sana kelvin unapaswa kupumzika ila kesho tutaongea vizuri."
Miss hellen alimpeleka chumbani kwake na kumlaza kitandani kwake, alipotaka
kuondoka mr kelvin alimuomba
asiondoke,abaki nae. Miss hellen alihisi ana umuhimu wa kufanya hivyo alibaki
chumbani kwa mr kelvin, lakini hakua na
usingizi kabisa maana alihisi lazima
kutakua kuna kitu kinachomfanya mr
kelvin awe hivyo.
Asubuhi mapema alice aliamka na
hakumuona miss hellen chumbani
kwake,moja kwa moja akajua yupo
chumbani kwa baba yake, alijiandaa na
kutoka sebleni siku hiyo ilikua ya tofauti
kwake maana hakukua na chochote
kilichoandaliwa na muda huo akiwa
amesimama mezani miss hellen nae
alitoka chumbani kwa baba yake, alice
alitabasam sana na kwenda
kumkumbatia, alimsalimia kisha
akamwambia.
"Mama umeamkaje?."
"Vizuri mwanangu ila nisamehe
sana,maana nimechelewa kuandaa chakula kwaajiri yako." "Usijari mama
nitakula shule,na hata hivyo
usimsumbue baba pia nitapanda gari ya shule." "Sawa mwanangu masomo mema."
"Asante mama Nakupenda sana."
Waliagana kwa upendo sana,miss hellen
akaandaa kifungua kinywa kwaajiri ya
mr kelvin. Aliamuandalia supu yenye pilipili na limao ya kutosha kisha akaenda kumwamsha.
"Kelvin...!,amka muda wa kwenda kazini sasa." Miss hellen alimwamsha mara moja na kutaka kuondoka zake mr kelvin alimuita.
"Hellen...!" Hellen aligeuka na kumtazama mr kelvin,mr kelvin aliamka kutoka kitandani na kumsogelea hellen alipokua amesimama akamwambia.
"Siendi kazini leo kwaajiri yako hellen, nashindwa kufanya chochote kila napokukumbuka."
"Kelvin.. unaweza kuniambia kwanini jana umelewa ikiwa ulisema hutorudia tena, unaweza kunipa sababu maalumu?."
"Hellen mpenzi wangu nisamehe sana
Nakupenda sana lakini naona kama pombe ndio kipoozo changu japo hainisaidii ila..."
"Anha inamaana hutoacha sababu
inakupooza sindio? Inamaana wewe
unavyomshauri
mgonjwa asitumie kilevi ikiwa wewe
unatumia hua unajiskiaje?."
"Hellen please...!"
"Sipendi mwanaume mlevi kelvin
nachukia sana wanaume wa aina hiyo."
Mr kelvin alimtazama miss hellen na
kugundua amekasirika sana, alimshika
mkono na kumwambia.
"Nakuahidi Mpenzi wangu sitarudia tena
kunywa pombe,na kama nikirudia bàsi
unaweza kunifanya chochote
unachotaka lakini leo naomba niwe..
niwe..."
Muda huo mr kelvin alikua tayari
ameshamsogelea miss hellen karibu na
kuanza kuzungumza mikono yake
kwenye mwili wa hellen,na alikua
akiyaskia vema mapigo ya mwili wa
hellen,mwanzo hellen alionekana kuwa
na ushirikiano sana hadi mr kelvin
akamsogeza mrembo kitandani lakini
alipoanza kutaka kumuondoa nguo
ambayo alikua amevaa ghafla miss
hellen alisema kwa sauti.
"Hapana,siwezi siwezi kufanya hivyo
Hapana."
Alimsukuma mr kelvin na kukimbilia
chumbani kwa Alice na kujifungia
mlango. Mr kelvin alipitia changamoto
ngumu sana muda huo maana
alitegemea hellen anaweza kumfanya
afarijike na kumsahaulisha yaliyotokea
jana lakini haikua hivyo aliumia sana.
Alibaki chumbani kwake kwaa muda
kama nusu saa ndipo alitoka chumbani na kwenda kugonga mlango.
"Hellen nakuomba tuzungumze kidogo
tafadhaii,wala usijiskie vibaya kabisa
mimi nipo sawaa na nitakua sawa pia,
nakupenda sana na sipo tayari kwaajiri ya kuharibu maisha yako maana
nakupenda sana na nipo tayari kusubiri
hadi pale utakapokua tayari hellen
wangu nitakusubiri naamini kwenye hilo,lakini naomba tuzungumze."
Mr kelvin alizungumza kinyonge sana hadi hellen alipokua anamsikiliza
alijisikia vibaya sana lakini hakua na chakufanya sababu imeshatokea.
Mr kelvin alikua amekaa seblen akiwa
mnyonge sana na miss hellen alitoka
chumbani na kumkuta mr kelvin
sebleni,alikua amebeba begi lake dogo
na mkoba wake pia,mr kelvin
alipomuona akamuuliza.
"Unaenda wapi hellen?."
"Kelvin najua mwili wangu upo tayari
kuwa na wewe lakini bàdo moyo wangu
unakua mgumu kuamini hili nahitaji
kuwa mbali kwa muda Ili nitafakari hili
kama ni sahihi kwangu."
Miss hellen aliondoka ila alimuhurumia
sana mr kelvin,na hakua na cha kufanya
kwa muda huo maana alishamkosea na
hakuweza hata kumtazama usoni alihisi aibu kabisa yani.
Mr Kelvin alibaki mpweke mwenyewe
siku nzima,hakutaka kuwa na mawazo
kabisa aliamua kuwasha tv na kuangalia
japo hakua akitazama kutokana na
mawazo kumzonga zaidi akilini mwake.
"Sawa kama unahisi itakua sahihi kwako na bora hakuna shida hellen nenda."
Miss hellen alifika hotelini ambapo
alikua anakaa lakini hakua na amani
kabisa,muda wote alikua anashika simu
yake akitamani kumpigia mr kelvin lakini
nafsi yake ilikua inamsuta kufanya hivyo
na kwakua alice alikua anatumia simu
hivyo akamtumia ujumbe mfupi akirudi
aukute kisha akatulia lakini baada ya
muda mfupi tu simu ikaanza kuita
alipotazama jina lilitokea my angel
alipokea kwa furaha sana na kuzungumza.
"Hello my angel, umerudi mapema sana
leo baba anaendeleaje?." "Kama
ulivyoniacha tu hellen hakuna
mabadiriko yoyote.."
Miss hellen alishtuka sana akatamani kutaka simu maana aliamini kua alice atakua amerudi kumbe bàdo na huyo alikua mr kelvin.
"Nashukuru sana kuona unajari sana kuhusu alice na mimi pia asante,ola tutakua Sawa na tutazoea na ninaamini kua tutalivuka hili na maisha mengine yataendelea."
"Kelvin kwanini unaongea hivyo lakini."
"Najua kwa sasa hauwezi kunielewa ila utanielewa tu hellen."
Simu ilikatwa na kumfanya miss hellen
awe kwenye fumbo zito kuhusu maneno ya mr kelvin. Mara Simu yake ikaingia
ujumbe ambapo aliufungua kwa haraka na kuusoma.
"Hellen nilichogundua kwako unampenda mwanangu ila huna hisia za mapenzi na mimi,hivyo siwezi
kukulazimisha ikiwa unaweza Kufanya
maamuzi yako mwenyewe. Nakutakia
maisha mema sana hellen,ila kuanzia
sasa naomba utuache tu mama maisha
yetu. Sitaki kukuona tena tafadhali."
Miss alipomaliza kuusoma ujumbe huo
moyo wake uliripukwa kwa mshtuko
sana, alishindwa kujizuia kabisa alianza
kulia sana na kujilaumu sana kwanini
ameuumiza mr kelvin na kwanini alimpa
matuamini na amekata tamaa haraka
kiasi hiko. Alilia sana lakini hakua na
chakufanya muda huo alibaki kuumia
sana kila mara alikua akiutazama
ujumbe huo na kutoacha kutoa machozi.
Je unadhani itakuaje usikose
itaendelea....
TUMAINI LANGU 15 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Muda ulizidi kwenda na hatimae alice
alirudi nyumbani alipokua anashuka
kwenye gari ya shule harson alikua
akimtazama kutokea kwenye geti lao la kuingilia na baada ya gari kuondoka
harson alimuita.
"Alice..!" Alice aligeuka na alipomuona
harson alisogea karibu yake na kumuuliza.
"Kwanini umeniita,unataka kusemaje?."
"Alice najua umechukia kwaajiri ya yule
mdada aliyekuja hapa nyumbani sikuile
ila nataka ujue kwamba yule mimi sina
mahusian nae yoyote ni vile tu anapenda
kunisumbua lakini tukiachana na hayo
wewe ni rafiki yangu ambae tumekua
pamoja tangu utotoni hivyo urafiki wetu
hauwezi kufa kirahisi alice." ( Sony
chukua hii nimekuzawadia kwaajiri ya yule mtoto anaonekana mtoto wa kishua
hawezi kukataa zawadi za aina hii nenda
kampe utaona kama hatochukua)
harson alikumbuka kua rafiki yake sam
alimpa zawadi Ili akampe alice hivyo
aliingiza mkono kwenye mfuko wake wa suruali na kutoa kacha.
"Alice unaweza kunyoosha mkono wako tafadhali,kuna zawadi nataka kukupa."
Alice alinyoosha mkono wake na harson
alimvalisha ile kacha ambayo iliandikwa
nisamehe alice. Alice aliipenda sana na kumwambia harson.
"Waoo ni mzuri sana,umeinunua wapi?
Maana ni nzuri na nimeipenda."
"Aah..! Kuna rafiki yangu ambae huwa
anatengeneza ndio nikamuomba anitengezee kwaajiri yako."
"Waao ni nzuri sana asante lakini
kwakua umeonesha kama unahitaji
msamaha wangu bàsi wacha namimi
nikupe kitu."
Alice alifungua beki lake na kutoa kitabu kisha akampatia harson na kumwambia.
"Ni kitabu kizuri,kama huwezi kusoma kitabu chenye kurasa nyingi lakini angalau ukikiona ukumbuke kama mimi ndio nimekupatia."
"Kwani mnahama alice?."
"Hapana lakini kesho yetu ni fumbo siwezi jua kama nitaamka kesho."
"Mmh..! Unamaneno mabaya sana ila naomba tuwe zaidi ya marafiki wa zamani." "Usijari harson karibu."
Alice alimpa mkono harson nae alimpa
pia wakajikuta wanakumbatian na kurudisha urafiki wao kama zamani.
Baada ya alice kuingia ndani mr kelvin
nae akatoka na kumwambia kua
atarejea muda mfupi kwakua alice
alishaona amepatana na harson
hakutaka kuwa mpweke alikuka chakula
kisha akachukua vitabu vyake na kuelekea kwakina harson.
Mr kelvin alipoondoka nyumbani kwake
na kuelekea hotelini ambapo anaishi
hellen ,alitamani kuingia ndani lakini
moyo wake haukua na maamuzi yoyote
aliamua kuondoka zake na safari yake
iliishia kwa madam Leticia. Alifika na
kufungua mlango akamkuta madam
Leticia ameshika begi lake mr kelvin
akamwambia.
"Hivi unadhani ungeweza kunikimbia?,
Leticia huwezi kuondoka bila kuniambia
maneno Yako ya jana yanamaana
gani,bila kuzungushana naomba
niambie kwa uwazi kwanini ulisema
vile,na hukutaka kufanya?."
"Kelvin unataka kujua ni kwanini
nimesema vile?,bàsi nakujibu ni kwasababu nakupenda na nahitaji kuwa na wewe milele,kwanini uowe
mwanamke mwingine wa tatu ikiwa
mimi nakusubiria miaka yote hiyo
kelvin,unataka niolewe nanani ikiwa sijui
hata radha ya mwanaume mwingine
yoyote sababu nahisi kama nasaliti
kiapo chetu lakini wewe umefanya nini
ila sijali nachojua nakupenda na hata
iweje siwezi kubadirisha chochote."
"Leticia usijaribu kubadirisha mada hebu
nenda kwenye point,na sitaki useme
kama unanipenda na kunikumbusha
mambo yaliyopita,ongea lety..."
Leticia alikua anamjua vizurii tu mr
kelvin akikasirika hua anakua na hasira
sana hivyo na hua anahasira mbaya
sana Leticia akasema.
"Unataka kujua kuhusu nilichosema ni kwamba namtaka mtoto wangu sasahivi."
"Mtoto wako? Umechanganikiwa wewe
au? Ni mtoto gani ambae unamuongelea
Leticia?."
"Alice,alice ni mwanangu kelvin na wewe ndio baba wa huyu mtoto. Najua
uliniambia nitoe mimba yako sababu
hukutaka niwe kikwazo kwa mkewako
ila sikuweza kudhurumu nafsi ya
kiumbe ambacho hakina hatia nililea
mimba mwenyewe hadi nilipojifingua.
Kama unakumbuka nilipotea machoni
mwako kwa zaidi ya mwaka na nusu
sababu ilikua ni hiyo. Na baada ya kunitafuta na kuniomba nikusaidie
kupata mtoto kwenye kituo cha yatima
nikaona sio mbaya kama ukilea damu
yako,na namshukuru Mungu sana
umemzoea sana na umekua ukimpenda
kwa dhati nae pia amekua akikupenda
sana lakini jiulize kama nikimwambia
mimi ni mama yake na nikimwambia
kuwa ulitaka mimba yake nitoe je atakupenda tena?."
Mr kelvin alikua hajamuelewa kabisa
Leticia kwa alivyozungumza na muda
huo alihisi miguu yake imeshika ganzi
kabisa,alikaa sakafuni kama mtoto
ambae anajifunza kusimama na ameanguka kutokana na kukosa balance.
"Hapana haiwezekani,lety sijakuelewa umesemaje?."
"Alice ni mtoto wangu ambae ulisema
mimba tuitoe, sikuweza kutoa,na usichokijua ni kwamba muda huu kuna
watu ambao nimewatuma
wakamchukue alice wangu tuweze kuondoka hapa nchini."
Mr kelvin alishtuka sana,lakini muda huo
huo alipata nguvu za ghafla akasimama
na kutoka nje kqa haraka na kupanda
kwenye gari haraka huku akipiga namba
ya alice,lakini ilikua haipokelewi,mr
kelvin alizidi kuchanganikiwa kabisa
maana alihisi labda tayari alice
ameshachukuliwa.
Mr kelvin alipanda kwenye gari na
kuendesha gari kwa kasi sana kiasi
kwamba hakujari kuhusu uhai tena kwa
muda huo alichojari ni kumchukua binti
yake na kuendelea kuishi nae kama
alivyozoea kuishi nae.
Mr kelvin alikua anaendesha gari kama amechanganikiwa.
Akiwa kwenye round about hakua
mtulivu kutazama gari inayokuja kutoka
kwenye barabara zingine aliendelea na
mwendo wake ule ule wa haraka na
ghafla alijikuta amerushwa na semi
mtaroni.
Walioshuhudia ajali hiyo walikua
wanazungumza mengine tu maana jinsi
ilivyorushwa hiyo gari wala hakuna
aliejua kama kutakua na mzima.
Lakini mara baada ya polisi kupata
taarifa,gari ya wagonjwa na polisi
walifika kwenye tukio nao walifanya kazi
yao iliyowaleta walijaribu kutafuta simu
ambayo wanaweza kutoa taarifa kwa
baadhi ya ndugu zake lakini simu ilikua
imepasuka na walioojaribu kutoa laini
na kuweka kwenye simu nyingine ukisoma.
Mr kelvin alifikishwa hospital na kuanza
kupatiwa huduma japo hata madaktari
wala hawakuweza kugundua kama mtu
huyo ni mzima au laah! Maana hakukua
na dalili yoyote ambayo alikua
akionesha.
Alice alikua kwakina harson alisoma
hadi saa tatu usiku lakini hakuna
aliyekuja kumfata hapo harson
alimwambia ampeleke nyumbani kwao
alice alikubali waliongozana hadi
nyumbani kwao,simu aliacha kwenye
sofa na alipoitazama alikuta missed
calls nyingi sana za baba yake. Na
ujumbe ambao ulimfanya ashtuke sana
na kujaribu kumpigia baba yake.
Simu iliita lakini ilivyopokelewa na maelezo aliyopata yalizidi
kumchanganya Alice. Alishindwa
kujizuia na kuanza kulia. Harson alimuuliza.
"Alice mbona unalia kuna nini?."
"Baba yangu... Baba yangu.. atakufa
kama mama yangu, inamaana nitabaki yatima,sitakua na wazazi hapana,
Hapana haiwezekani kabisa hapanaa."
Harson alikua hamuelewi kwanini
anasema hivyo lakini muda huo alice
alikua ameshanganikiwa pia maana
taarifa alizopata zilimfanya
achanganikiwe sana.
Alifika kituo cha polisi na kufanya
mahojiano kadhaa na Polisi lakini
hakuna lolote alilojua,polisi mmoja
aliwachukua na kuwapeleka kwenye
hospital ambayo alikua amelazwa baba yake.
Upande wa miss hellen pia alikua
anajiskia tofauti kabisa,akaamua
kuelekea nyumbani kwa mr kelvin na alivyofika aliingia ndani lakini hakukua
na dalili yoyote ya kuwa na mtu hapo,
alitafuta namba ya alice na kumpigia
simu na alichokisikia hakua akitegemea
nae alivyotoka nje akakutana na mama harson akamuuliza.
"Dada mwanangu alitoka na alice nyumbani wakaja huku sasa nashangaa ni muda mrefu sana umepita hajarudi
kuna tatizo?."
Miss hellen alimjibu kifupi na kuelekea
kwenye tax ambapo hata mama Harson
nae aliingia pia bila maagano
Dereva aliwafikisha hospital husika na
alice alipomuona miss hellen aliamka na
kwenda kumkumbatia kwa nguvu sana.
"Mama inamanaa nitakua yatima tena.
Baba yangu baba yangu ataniacha kama
alivyoniacha mama yangu,mama
naumia sana sitaki baba aniache."
"Mr kelv..in amepata ajali..."
. ��
"Mwanangu usiseme hivyo baba Yako ni jasiri hawezi kumuacha binti yake ukiwa na huzuni tafadhali mwanangu usiseme hivyo tena baba ataamka tu Sawa mwanangu."
Miss hellen alimkumbatia alice
kwanguvu sana, huku akilia pia,maana
hata yeye alikua hajui hali ya mr kelvin
ipoje na hakua akijua pia kama atapona au lah.
Mama harson na kijana wake walikua
wanajaribu kuwafariji japo nao walikua
wakimhurumia sana alice maana mtu
pekee ambae alikua anamtegemea
kumpa furaha ni baba yake,lakini kama
akifa ataumia sana na hajui kama
anaweza kuwa Sawa au kuvumilia kwa
hali hiyo ambayo atapitia.
Madaktari walikua wanabadirishana
shifti lakini hata mmoja ambae alitoka
na kutoa majibu kuhusu mr kelvin. Kila
mmoja alikua akisema tu mr kelvin
anamtegemea dua zao maana kama
ujuzi wao ndio wanautumia hivyo wawe
wapole na wawe na uvumilivu pia...
Je unadhani itakuaje usikose
itaendelea....
TUMAINI LANGU 16
NASSRAH ABDULLAH WSP
0715431019
Waliendelea kusubiri hadi
kulipambazuka. Miss hellen akiwa na
alice na mama harson akiwa na mwanae pia.
Alice alikua wakwanza kuamka na
aliwaamsha na wengine na kusogea
kwenye chumba cha dharula. Muda
mfupi tu daktari alitoka ofsini kwake na kuelekea wodini,ambapo kwenye korido
ya chumba cha dharula walikuwepo
alice na wengine waliopo hapo kwaajiri
ya mr kelvin, daktari alisogea na kuwasalimia. Wote walimdaka daktari
kwa shauku ya kutaka taarifa za mr
kelvin. Daktari aliwaambia.
"Poleni sana kwa kilichomtokea mr kelvin,na sisi kama madaktari
tumejitahidi kadri ya uwezo wetu na tulipofikia ndivyo mnatakiwa mkubali kua hivyo."
"Daktari baba yangu amekufa??." Alice aliuliza hivyo miss hellen alimzuia na kumvuta kwake lakin alice wala hakua
mtulivu maana alijua kama baba yake
akifa basi hatakua na wa kumwangalia tena.
Daktari aliwaambia.
"Mgonjwa yupo hai na Hapa
tulimwamisha usiku mara tu Baada ga
kumaliza kumpatia huduma hebu nifateni."
Wote walimfata daktari hadi kwenye
mlango wa chumba ambacho alikua amekaa mr kelvin, daktari akawaambia
"Subiri nikampime kwanza kisha nitawaruhusu muingie."
Walikubali Baada ya daktari
kuzungumza lakini alipofungua tu
mlango alice aliingia pia na wengine
wote walimfata, daktari hakua na
kufanya zaidi ya kuwaacha wamuone ili
waridhike.
Mr kelvin alikua amefungwa bandeji
kichwani na miguu yake yote miwili
ilikua ina hogo na sehemu zingine za
mwili wake,ajari ilikua mbaya sana yaani
mwili wake ulijawa na bandeji tu.
Alice alishindwa kujizuia na hata miss
hellen pia walianza kumlilia maana ye
ndio alikua faraja kwao. Miss hellen
alihisi yeye ndio chanzo cha ajari hivyo
alijilaani sana na kumuomba Mungu
amuadhibu kwa kumuumiza kihisia mr
kelvin na hata kusababisha ajari yake
pia.
Baada ya dakika kumi daktari aliingia na kuwaambia.
"Mnapaswa muacha apumzike,na hata
mimi sijamfanyia vipimo pia kwahiyo
naomba mnipishe kwa sasa."
Alice alikua hataka kuachia mkono wa
baba yake hellen alikua anaumia pia
kuona alice hataki kumuacha baba yake.
"Baba sitaenda popote bila wewe
,uliniaminisha kuwa unaweza kila kitu
baba nakuomba sema usiondoke binti
yangu mfalme,sema chochote baba, babaaa..! Babaaa...!"
Miss hellen alishindwa kujizuia
kabisa,alitoka nje akiwa analia kwa
maumivu ya hali ya juu sana Huku nae
akisema.
"Huwezi kufa sasa hivi kelvin lazima tutimize tulichokianza, kelvin nitajua
wako sitakusumbua tena,siwezi kukupoteza,siwezi kukuumiza tena aababu mimi ni wako."
Huruma iliyoje kwa vipenzi ya Kelvin. Walikua wanapitia maumivu na wakati
mgumu sana, walikua hawaamini kabisa
kile ambacho wanakiona.
Baada ya kama nusu saa madam Leticia
alifika hospital na kuwakuta miss Hellen na alice wamekaa kinyonge
sana,aliwasogelea na kuwauliza kana
kwamba sio yeye chanzo cha ajali hiyo, alimsogelea alice na kumuuliza.
"Mpenzi uko salama? Baba yako yupo wapi kipenzi?."
Alice alimuomesha chumba ambacho yupo baba yake madam Leticia aliingia chumba hiko na kumkuta mr kelvin akiwa hajitambui kabisa.
"Mr kelvin pole sana sikutegemea kama
ingekua hivi nisameheni sana lakini
mara hii sitafanya makosa tena,siwezi
kumuacha binti yangu kwenye mikono
yako tena, ni lazima uwe na chaguo
moja kati ya mawili,kumuoa huyu
mwanamke na kukosa mtoto wako,au
kubaki na mtoto na mama yake najua
unaniskia vizurii sana. Wewe ni shujaa
sana kwaajiri ya binti Yako hivyo lazima
ufanye chaguo zuri kwaajiri yake,mara
hii sitoacha ucheke kwa furaha Kelvin
nitahakikisha unapitia maumivu makali
Madam Leticia aliongea akiwa serious
bila Hata huruma,mr kelvin alichezesha
vidole vyake vya mkono,ni wazi fahamu
zake zilikua zinamrudia mwalimu Leticia
haraka alitoka wodini na kumfata
daktari.
Alivyotoka wodini akiwa anakimbia alice na hellen walishtuka sana maana
walihisi amefanya jambo baya. Alice na
hellen waliingia wodini na kumkuta mr
kelvin akiita.
sana kama niliyokua napitia kwaajiri yako,ni wakati wangu sasa."
"Alice wangu, alice.. mwanangu mwanangu..."
Alice alianza kulia maana alihisi baba
yake anakufa maana alikua anajinyonga
nyonga kama mtu anaekata rohoe
"Baba nipo hapa,baba niambie kama unanipenda baba niambie,nipo hapa,mama hebu mwambie baba upo Hapa pia."
"Daktari alikua amefika pamoja na nesi.
Nesi aliwatoa nje ili wamuhudumie mr
kelvin. Na baada ya kumchoma sindano ya usingizi daktari akasema.
"Dah atapitia wakati mgumu sana
namuonea huruma sana maana hii halo itakua inamuumiza kwa muda mrefu sana hadi atakapokua Sawa itachukua muda mrefu."
"Inaonekana ni mtu ambae amekua akiteswa na mawazo kwa muda mrefu sana,na tukiwa tunamchoma sindano za usingizi daktari atazoea na mwili wake utajenga sugu kabisa. Itabidi ukae na yule mkewake umueleze ukweli juu ya hili."
Nesi aliondoka kisha daktari aliwaita
wodini alice na hellen kisha
akawaambia.
"Ni Kweli kabisa itabidi iwe hivyo,Sawa we nenda kaendelee na kazi alafu nitaongea nae."
"Nataka kuwaambia mambo ya
kuzingatia kuhusu mgonjwa lakini kabla
ya yote binti nataka kukuagiza,shuka hii
karatasi nenda pale mapokezi kampe
nesi rey,ulizia nesi rey hakikisha humpi
mtu yoyote zaidi ya hiyo rey."
"Sawa daktari."
Alice aliondoka kwa haraka sana kisha
daktari akaanza kuzungumza na Miss hellen.
"Mrs unajua sikuweza kusema hili mbele
ya binti, ila nimemtoa kwa kusudi tu ili
tuzungumze. Kama unavyoona hali ya
mgonjwa wako, itachukua muda mrefu
sana kuwa Sawa hivyo uvumilivu ndio unahitajika. Na tumeshauriana na nesi
hapa na kuamua kukwambia hii hali
ambayo mmeiona itakua endelevu na tunashauri kua asiwe anatumia sindano
mara kwa mara sababu itamletea madhara hapo baadae. Tutamruhusu ila
hakikisha akiwa na hii hali uwe nae
karibu kwaajiri ya kumtuliza."
"Nimekuelewa daktari lakini ni hicho tu ambacho ulitaka kuniambia?."
"Hapana,ila sijui utalichukuliaje ila ni kwamba mumewako kuanzia kwenye
vidole vyake vya miguu hadi kwenye
kiuno hakuna mawasiliano yoyote na ubongo kifupi hahisi chochote."
"Daktari inamaana... Aaah..."
"Ndio hana uwezo wa kufanya chochote kwa Sawa."
Miss hellen alizidi kujilaani alijisikia
vibaya sana, aliumia sana,alipozidi
kumtazama mr kelvin alizidi
kumuhurumia. Daktari akamwambia.
"Usimpe taarifa yoyote huyu binti
nitaongea nae kawaida na wewe uwe
kawaida asijue chochote kile."
"Lakini ni baba yake na mimi , kelvin wangu nakupenda sana, nakuahidi
sitaweza kwenda mbali na wewe tena nitakua karibu yako hadi nife mikononi mwako kelvin wangu nakupenda sana."
Daktari aliamua kutoka na kumuacha miss hellen lakini wakati tu anatoka akakutana alice, akamwambia.
"Alice usiwe na wasiwasi kuhusu baba yako atapona na atakua Sawa japo
hatatembea kwa sasa kutokana na miguu yake kukosa nguvu ila atakua Sawa."
"Asante daktari nimekuelewa ninaimani na baba yangu,ni shujaa wangu siku zote."
Wakiwa wanaongea alice na daktari
mara harson na mama yake walifika na
kumsalimia kisha daktari aliondoka na
kuwaacha wenyewe.
"Alice sijaenda shule sababu yako sikutaka uwe na huzuni peke Yako."
"Ni kweli aligoma kabisa kwenda shuleni."
Alice alimkumbatia harson na kumwambia.
"Harson asante sana wewe ni rafiki yangu bora kuwahi kutokea kwenye maisha yangu. Nakupenda sana."
Harson alimtazama mama yake na
kukonyezana kutokana na kuzidi
kumvuta alice karibu yao.
Waliweza kupata ruhusa ya kurudi
nyumbani kwao na mgonjwa wao.
Mr kelvin alikua anataka kumuona
mwanae muda wote hakutaka kukaa
nae mbali kabisa. Na hata ile hali
ambayo ilikua inamtokea mara kwa
mara ilianza kupungua.
Upande wa mr denis alikua hataki
kusikia kuhusu suala la kurudi kwa
mkewake huko alipomuacha,mama yake
alimsihi sana lakini mr denis hakutaka
kuondoka kabisa.
Ilianza siku,wiki,mwezi na hatimae
mwaka ukapita. Mr kelvin alianza
kufanya mazoezi ambayo alikua
anasimamiwa dereva ambae mr kelvin
alimtafuta kwaajiri ya binti yake maana
hakua akimwamini tena madam Leticia.
Japo hakuweza kumtenga nae darasani
lakini tayari alikua amempa onyo kuwa
asimkaribie Leticia kwa jambo lolote
yaani mr kelvin kila anaporudi binti yake
hua anazidi kumpa chuki binti yake dhidi
ya mama yake na alice alianza
kumchukia Leticia lol siku zilivyozidi
kwenda.
Ukaribu wa mr kelvin na hellen ulizidi
kuwa mkubwa sana maana walikua
wanalala pamoja huku akiamini kua
kelvin hawezi kufanya chochote
sababua ya kutokua na hisia ambayo imetokana na ajali.
Siku moja bwana usiku wakiwa
wamelala,miss hellen alikua na kigauni
chake chepesi na kifupi,na kelvin alikua
anavaa kaptura laini pia na tangu
amepata ajali mavazi yake yalikua ni kaptura laini tu.
Bàsi bwana mr kelvin usiku huo
alimsogelea hellen na kumkumbatia,hellen alishtuka baada ya
kuhisi joto na alipofumbua macho
alitabasam maana ni kawaida kelvin hua
anamkumbatia lakini siku hiyo ilikua ya
tofauti sana maana alikua anatumia
mkono wake kumpapasa hellen,hellen
alimgeukia kelvin na kuzungumza nae.
"Hakuna hellen, kwani ni tatizo kama
nikifanya hivi kwako?." "Hapana lakini unajua.... Sawa endelea."
Hellen alikumbuka siku ambayo
alimuacha kelvin akitamani kuwa nae
faragha ndio siku ambayo alipata ajali.
Alihisi kama Kelvin analia kisasi kwa
kuripiza alichomfanyia aliamua kutulia
kusikilizia msisimko ambao alikua
anaupata kutokana kauchokozi ka kelvin. Hellen alizidiwa na kujikuta
akimkumbatia kwa nguvu sana mr
kelvin,nae alifarijika na kuamua kuingia mchezoni.
"Kelvin mpenzi una tatizo gani."
Walipeana ushirikiano kwenye faragha
yao ya kwanza na baada ya kufika safari
yao hellen alimshukuru sana mr kelvin na kumwambia.
"Asante sana kelvin sasa umepona
mpenzi wangu,nilikua naogopa sana kuwa itachukua muda mrefu sana
kupona lakini sio kama nilivyotarajia, nakupenda sana mumewangu."
Kelvin alitabasam na kumwambia.
"Kila jambo linatokea kwa sababu
mkewangu,labda nisingepata ajali
nisingekuona tena,nisingefurahia penzi lako kama hivi."
"Usiseme hivyo kelvin unaongea nini jamani,nafsi yangu ilikua inaumia sana
ila sitaki kukumbuka matukio ya nyuma kwa sasa tupange maisha yetu yajayo."
Mr kelvin alimb'usu miss hellen kisha
wakakumbatiana na kulala pamoja.
Itaendelea....
TUMAINI LANGU 17 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Kuanzia hapo mr kelvin na hellen
walianza kuishi kwa furaha sana,japo
kwenye suala la kupona lilikua siri baina ya hellen na kelvin.
Upande wa alice nae alikua amebadirika
sana yaani huku shuleni alikua
msichana ambae hapendi kukaa na
wasichana wenzie na baadhi ya walimu
wakike pia yaani alikua hawapendi
kabisa ila akiwaona wanaume ndio huchanganikiwa kabisa.
Siku moja dereva alipomfata wakiwa
kwenye gari alimuuliza. "Hivi anko leon maana ya mapenzi nini?."
"Mapenzi,mapenzi bwana ni hisia zilizo
wazi baina ya mwanamke na mwanaume,yaani ukimuona mtu ambae
unampenda kuna hali flani ambayo
unahisi na ni pale tu unapomuona au anapokuona, Na mengine mengi vipi
anko una Mpenzi?."
Alice alitabasam baada ya kuambiwa machache kuhusu mahusiano. Walifika
nyumbani kwao baada ya kushuka
kwenye gari kabla hata hajaingia ndani
alielekea nyumbani kwao
harson,aligonga geti na aliyefungua
alikua harson,tena alikua hajafunga
vifungo vya shati alice alimkumbatia kea
nguvu sana na kumwambia.
"Harson leo nataka tuongee kama utakua tayari nina jambo nataka kukwambia." Harson alitazama upande
"Hapana nimeuliza tu."
wa ndani kisha akamuuliza.
"Baadae nitakuambia ila kwa sasa shika hii."
Alimpatia zawadi harson kisha
akaondoka zake,kama mjuavyo bwana
mapenzi ya watoto, vizawadi zawadi
vingi. Harson alifurahi sana maana
"Jambo gani tena alice?."
lilikua ua zuri sana alifunga geti na kuingia ndani ambapo mama yake
alimuuliza mara tu baada ya kuingia.
"Enhe nani alikua anagonga mlango?."
"Alikua alice mama aliniletea ua."
"Hee unaona sasa mwanangu hatimae zile zawadi zimemfanya akuamini na
sasa anazidi kuwa karibu na wewe,ila
harson mwanangu alice ni kama
mwanangu pia usimuumize tafadhali."
"Mama nampenda sana alice na ndoto
zangu kwake ni kuwa mume bora na
mwaminifu kwake." "Kama ni hivyo Sawa
ila ukimuumiza nakunyofoa macho Yako."
Walikua wanafurahia pamoja juu ya kushinda kombe ( alice).
Alice aliingia ndani na kumkuta miss
Hellen alimsalimia na kuingia chumbani kwake. Siku hii alikua tofauti sana na siku zote,miss hellen alimfata na kumuuliza.
"Vipi mwanangu umechoka sana sio?."
"Ndio mama lakini sio sana,baba anaendeleaje?."
"Yupo vizuri na amesema leo tuende
gym mimi na wewe tukamfate." "Mama kweli?."
"Ndio au unaonaje?."
"Mama lakini leo nina kazi nyingi za kufanya."
"Ooh bàsi usijari, chakula kipo mezani mimi naenda kisha tutarudi pamoja."
"Sawa mama mwambie baba nampenda sana."
"Sawa binti yangu."
Miss hellen alichukua pochi yake na kuelekea nje kwaajiri ya kwenda Gym
kumfata mr kelvin
lakini ghafla simu yake ikaanza kuita
alipotazama mpigaji alikua mr yassin
alipokea simu. "Hallo mr yassin kuna
jambo gani ten?."
"Madam hadi kufikia leo sijapata
nyaraka yoyote ile ambayo imetoka kwa
mr denis na sijajua kwanini maana
nimejaribu sana kumfatilia lakini
haonekani kuwa msikivu."
Miss hellen alikata simu na kuelekea
gym alipofika gym alishangaa sana
maana palikua tofauti na siku ambazo
amewahi kufika, palikua pamepambwa
sana kuliko kawaida na ukiachana na
gym kulikua na kila aina ya michezo
humo ndani,wakati miss hellen
anajiuliza aanzie wapi kuna mdada
alimsogelea akamsalimia na kumwambia.
"Sawa mr yassin endelea na mambo
Yako huyo achana nae nitajua nashughulika nae vipi."
"madam karibu sana unaitwa, niliambiwa utakua na msichana lakini upo mwenyewe." "Ndio yeye nimemuacha alisema ana kazi zake za shule."
"Anha Sawa bàsi nifate."
Miss hellen alikua haelewi kabisa
kwanini imekua hivyo,alimfata na baada ya kufika sehemu husika alikuta wadada watatu ambao walikua wameshikiria mashera matatu,hellen akauliza.
"Kwanini mmenileta hapa?."
"Mr kelvin ametuambia tukulete hapa
uchague shera ambalo utalitumia
kwenye siku yenu ya muhimu leo."
"Ya muhimu mbona hajanambia chochote?."
"Madam sisi tumeagizwa tu lakini.."
Miss hellen alitoka nje na alipotoa simu
kwenye pochi kwaajiri ya kutaka
kumpigia kelvin simu yake iliita na kelvin
ndio alikua anampigia, alipokea na kabla
hajazungumza chochote mr kelvin
akazungumza.
kuzungumza,ikiwemo na kunilaumu
lakini sitaki lawama tena,nilitaka iwe
saplaiz na ya kipekee sana kwetu na
tayari nmemtumia ujumbe alice kwakua
hajafika ila nataka ujue kuwa najaribu
kufanya kitu cha kipekee kwaajiri yetu
nakupenda sana."
"Najua una mambo mengi ya
Miss hellen alitaka kuzungumza lakini
tayari simu ilikua imekatwa na mdada
mmoja akamfata na kumwambia.
"Madam tumeambiwa zimebaki dakika
15 tu Ili harusi ianze tafadhali tunaomba
ukubali lipite hili."
Miss hellen hakua na chaguo kwakua mr
kelvin alishamueleza kila kitu.
Alivaa shera na kupelekwa kwenye
ukumbi maarum ambapo alimkuta mr
kelvin akiwa nae amependeza kuliko
kawaida,miss hellen alitamani kutoa
machozi ya furaha maana alimuona mr
kelvin amesimama kwa miguu yake
mwenye bila kiti cha magurudumu
tena,miss hellen alimkumbatia mr kelvin
huku akilia kwa furaha Kelvin
akamwambia.
"Hellen usijiskie vibaya, nilitaka nizidi kushangazwa zaidi,japo uliamini kua
nimepona kihisia tu ila miguu ndio
ilianza kupona baada ya kufanya
mazoezi ya kutembea. Ila sitaki kusema
kea nilichokua napitia hadi kufanikisha
hili ila nimeona hapa nilipokua na
unafuu tufunge ndoa na tuishi kwa
furaha mkewangu."
Hellen alimkumbatia kwanguvu sana mr
kelvin maana hakuwahi kumwambia kua
alishapona miguu na kurejea kwa hisia
zake lilikua ni suala la muda kidogo.
Bàsi bwana vigelegele na shangwe
vilishamiri kwenye kumbi hiyo na hatimae mr kelvin na miss hellen
wakawa mke na mume.
Baada ya hapo walirudi nyumbani
ambapo yalikua majira ya saa moja
usiku tena wakiwa kwenye mavazi yao
ya harusi. Walifungua mlango
wakitegemea kua watamkuta alice
nyumbani lakini alice hakuwepo nyumbani.
Mr kelvin alianza kupagawa maana
moja kwa alijua Leticia amemchukua
mwanae. Wakati miss hellen akiendelea
kuita na kumtazama katika kila chumba
lakini bila kujua mtoto wao alikua na
harson muda huo tena wakiwa katika
mazungumzo ya kimahaba kwenye bustani.
"Alice...! Alice....!" Alice alisikia Sauti ya mama yake na kumwambia harson."
"Mama atakua amerudi na baba nenda harson tafadhali."
Harson alimkumbatia alice na kum'busu
kisha akaondoka zake na alice ndipo
aliamua kuelekea ndani ambapo alisikia akiitwa.
"Mamaa...!" Alishangaa baada ya
kumuona mama yake akiwa kwenye
gauni la harusi,alice alimkumbatia
mama yake na kumwambia.
"Hatimae mama,lakini..."
"Alice ulikua wapi? Unajua umenipa wasiwasi sana?." "Baba...! Unatembea..?".
Yaani ilikua zaidi ya saplaizi
kwake,alimuacha mama yake na kwenda kumkumbatia baba yake kisha
akaigusa miguu yake maana hakuwa
aliamini baba yake angeweza
kutembea,baba yake akamwambia.
"Ulikua wapi binti?."
"Baba nilikua nasoma bustanini."
"Hadi muda huu?."
"Ndio baba nilikua harson pia,nayeye ameondoka muda si mrefu."
"Anhaa sawa,ila sijapenda kutohudhuria harusi yangu ila nilikuomba sana uje."
"Ni kweli baba mama aliniambia lakini nilikua na kazi za shule na sikua najua
kama kutakua na harusi."
Alice alimshika mkono baba yake na mkono wa hellen kisha
akawashikanisha na kuwaambia.
"Baba na mama yangu mmekua kitu
kimoja sasa,najua mmepitia mengi na mmeweza kuyashinda majaribu yote na sasa mko pamoja,hatimae furaha yangu
imekamilika sasa kwaajiri yenu."
"Ndio hata yeye hakua anajua kama tutafunga ndoa hivyo ilikua saplaiz kwa wote."
"Nafuraha kwaajiri ya mtoto wangu pia
ninafutaha kwaajiri ya mkewangu pia,nyie ndio mlikua sababu kubwa sana ya mimi kuishi na kwakua nipo vizuri
sasa nimeomba uwamisho kazini na shuleni kwako pia alice tunaenda kuishi nje kwa muda ili tufurahie maisha yetu."
"Baba nje tena?."
"Ndio binti yangu nilipanga hivyo,na hii ndoto ambayo nilikua nayo kwa muda mrefu na sasa ni wakati sahihi wa kufanya hivyo mwanangu."
Alice aliingia chumbani kwake na kuwaacha baba na mama mpyayake wakiwa kwenye mshangao...
Usikose itaendelea....
TUMAINI LANGU 18 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Baada ya alice kuelekea chumbani na kuwaacha wazazi wake kwenye
mshangao mama yake akataka kumfata
kwaajiri ya kuzungumza nae lakini mr
kelvin akamzuia na kumwambia.
"Asikusumbue,labda ameshtuka tu ila atakua dawa tu wala usijari." Miss hellen
alimuelezea mumewake na kuingia
ndani pamoja.
Alice alimtumia ujumbe harson kuwa
anataka kusafiri harson alimuomba
sana alice asiondoke maana akiondoka
hatokua na furaha lakini tayari baba
yake alishaamua na hata true mara
nyingi hapendi kumkwaza baba yake
hivyo harson hakuweza kumzuia alice kutoondoka.
Siku mbili zilipita na alice alikua hana
furaha madam Leticia alimuita na
kuzungumza nae,alice akafunguka kuwa
baba yake ameswma kua wanataka
kwenda nje ya nchi madam Leticia
alishtuka sana maana ni mambo mageni kwake. Alice akijiuliza kwanini
madam wake ameshtuka sana lakini
hakutaka kumuuliza na kwakua tayari alishamruhusu aende.
Madam Leticia alitoka ofsini kwake
kuelekea kwenye ofisi ya mwalimu mkuu
kuulizia kama kuna taarifa yoyote
kuhusu alice kuamishwa mwalimu mkuu
akamwambia kua tayari alice
ameshamaliza kufanikiwa suala la uwamisho. Madam Leticia alizidi kuwa
na mshangao maana imekua ghafla
sana.
Alimuita alice tena na kuanza kuongea
nae kirafiki,alimbembeleza sana kutaka
namba ya alice ili hata atakapofika huko
kama atabadirisha namba bàsi owe
rahisi kumpata. Alice alimpa namba
yake madam wake kisha akarudi darasani.
Siku hiyo madam Leticia akiwa na mawazo sana.
Alipokua nyumbani kwake alitamani
sana kuzungumza na mr kelvin lakini
hakua na namba yake tangu pale
alipopata ajali akasajiri laini nyingine
lakini hakumpa namba yake madam
Leticia,hata eye mr kelvin hakua
anahitaji mawasilian na madam Leticia
maana aliona kama adui yake.
Siku ya safari iliwadia ambalo siku
iliyopita alice aliwaaga marafiki zake
kuwa anaondoka siku ya Kesho na madam Leticia pia alimuaga hivyo siku
husika ya wap kuondoka Leticia alifika
nyumbani kwake muda muafaka kabisa
maan Ndio alikuta wanapaki mabegi yao
kwenye gari kwaajiri ya safari.
Madam Leticia alijiskia vibaya sana
maana mr kelvin alionesha mapenzi ya
wazi kwa miss hellen. Mara
watekenyane mara wabusiane yaani full
burudani na penzi lao bila kujua kua
kuna mtu ambae alikua anaumia kuona
wao wanafurahia.
Harson pia siku hii hakua ameenda
shule alikua akimsaidia alice kitoa
mabegi ndani na kuleta
nje na Baada ya kurudi tena ndani
harson alimvuta alice mkono na kumkandamiza ukutani Huku akimwambia.
"Alice inamaana ulishindwa kabisa
kuniskiliza na umeamua kuondoka hivi umejifikiria kuwa tunaweza vipi kuishi mbali hivi si wawili?."
"Harson najua hindi gaji unajiskia, hata mimi natamani tungekua pamoja lakini
siwezi,sababu bàdo nipo chini ya baba hivyo siwezi kupinga anachoamua tafadhali harson."
"Nakuelewa ila nitakua mpweke sana
kwaajiri yako,nitakumbuka vituko vyako
vyote pindi muda wa kulala nitachelewa kulala kwaajiri ya kutazama picha zako
ambazo ulinipatia."
"Usijari alafu harson naomba uniahidi kua utalinda Penzi letu hutochakachua..?"
Harson alitabasam na kumwambia.
"Kamwe siwezi kuchakachua
nakusubiria wewe tu,ila hata wewe usije
nisaliti maana huko kuna vijizungu
vinajifanya vina real love sana tafadhali usiwakubalie."
Alice nae alitabasam,na kukumbatiana
kwaajiri ya kuagana kisha wakatoka nje
na kukuta mr kelvin na miss hellen
wanamsubiri alice na Baada ya kufikia
yeye waliingia kwenye gari na kuondoka
zao.
Wakati gari inaondoka kuna tax ilifika
hapo muda huo huo,na aliyeshuka
kwenye hiyo tax alikua mr denis
alipomtazama mazingira kwa mbali
alimuona mwanamke ambae alionekan
amekaa kwa kujitenga niwazi hakutaka
kuonekan na pia harson na mama yake
ndio walikua wanaingia ndani kwao, mr
Denis alipiga hatua kuelekea kwa hiyo mwanamke ambae alikua amejitenga.
Naam alikua madam Leticia tena alikua
analia kwa uchungu sana,mr Denis akamuuliza. "Vipi dada unaumwa?."
"Hapana siumwi."
"Mr denis akajua huwenda kuna jambo
linamsumbua akamwambia bàsi atulie
waweze kuzungumza vizuri. Waliondoka
pamoja hadi kwenye sehemu yenye
utulivu na mr denis akaanza akumuhoji.
"Nimekuta unalia,nimeuliza kama
unaumwa unasema hapana,shida nini kama hauumwi dada?."
"Mtoto wangu,mtoto wangu ameondoka bila kujua kama mama yake yupo hai
naumia sana kila nikifikiria hili."
"Mmh labda ungenielezea kwa kina nikapata kukuelewa unamaanisha nini kusema hivyo?."
Madam Leticia alimsimulia mr denis kila
kitu mr denis alimpa pole na kumwambia.
"Sikujua kama na wewe yamekufika
kama yangu,maana hiyo unaesema ni mpenzi wako amemuoa mwanamke wangu hellen."
"Nini..? Inamaana na wewe alikua ha
akaenda kuolewa na Kelvin wangu?,hivi
wanajiskiaje kuharibu mahusian yao na ya wenzao kwanini lakini?."
"Hata mimi sijui ila kuna jambo nimelipanga kufanya najua wataachana tu."
Madam Leticia alimkazia macho mr denis na kumwambia.
"Kama ni jambo la kumdhuru mtoto wangu na kelvin wangu hakika sitakuacha salama."
"Hapana nachokipanga sio kwaajir ya kuumiza mtu yoyote ni kwaajiri ya
kutaka hellen wangu tu arudi
kwangu,kama na wewe unataka kelvin
arudi kwako bàsi tuungane kwaajiri ya
kutimiza lengo letu pamoja kwaajiri ya kuwaridisja wapenzi wetu kwetu."
Mr denis alinyoosha mkono kwaajir ya
mapatano,madam Leticia nae alimpa
mkono na kuanzia hapo wakaanza
kupanga mipango kwaajiri ya
kuwaridisha watu wanaowapenda
kwenye maisha yao tena.
Muda ulizidi kwenda mr kelvin na
mkewake na alice walikua wanafurahia
maisha yao huku Tanzania bàdo mr
denis na Leticia waliendelea na mikakati
yao mahususi kwaajiri ya wapenzi wao.
Mr denis siku moja alikua nyumbani
kwao,mara simu yake ikaanza kuita
alipotazama mpigaji alikua mkewake
akimuuliza atarudi lini Maana tayari
mwaka umepita lakini harudi mr denis
alichojibu ni kua hana ratiba yoyote
kuhusu kurudi. Kwa hasira alizonazo
mkewake alikata simu,mama yake mr
Denis alikua amesikia mazungumzo ya kijana wake akamuuliza.
"Mwanangu inamaana umemsahau mkewako kwaajiri ya hellen,lakini mbona
yeye hakujali kabisa? Si anajua wewe una mke kwanini wewe kila siku umekua wa kumuota sana hellen?."
"Mama hujui tu yani,yaani katika maisha
yangu sijawahi ona mwanamke mzuri na mwenye upendo kwangu kama hellen
mama, hellen sikukosea kumuoa mama
najuta saña kwanini nilimsaliti."
"Unamaanisha nini kusema hivyo?."
"Hellen ananipenda sana mpaka sasa
naomba niipiganie nafasi yangu kwake mama, tafadhali."
"Denis...!"
"Mama hujui kwa hellen napata nini mama."
Mama yake mr Denis alimtazama kwa
mshangao saña na kumsikitikia kijana
wake maana hakujua atafanya nini
kwaajiri ya kumbadirisha mawazo kijana
wake.
Upande wa huku marekani, familia ilikua
inafurahia maisha na hellen
hakuchelewa kubeba mimba na hata
mawazo yalikua yamemuisha mapema
sana kutokana na mapenzi ambayo
alikua anayapata kwa mr kelvin yaani
ilikua kama dozi kwake. Alice nae shule
ambayo alikua anasoma ilikua inasifika
kutoa vipaji vingi vya wanamitindo bora
duniani nae alipoanza kusoma hapo
alianza kuvutiwa na mambo ya mitindo na mwishowe alijiingiza mazima kwenye
suala la mitindo.
Baada ya kusoma kwa miezi sita ya
muhula wa mwisho mara tu baada ya
kufanya mitihani yao ya kumaliza
muhula walifanya hafla ndogo kwaajiri
ya kupata wanamitindo bora kwaajiri ya
kwenda kushiriki kwenye mashindano
makubwa kwenye kipindi chote
ambacho watakua kwenye mapumziko ya likizo.
Hafla hiyo ndogo ilifanikiwa kufanyika na alice alikua mmoja kati ya wanamitindo 20 wanaoshiriki kwenye hicho kinyang'nyilo.
Kati ya hao 20 walikua wanachujwa kila baada ya siku tatu na hatimae walibaki watu watano Kati yao na alice akiwemo.
Ilikua ni siku ambayo ikisubiriwa kwa
hamu sana maana wengi huonesha vipaji vyao mbele za majaji maarufu duniani pamoja na wazazi wao pia.
Mr kelvin na miss hellen walifika kwenye
ukumbi husika na kumbi ilifurika sana
kwa kujaza watu wengi sana.
Baada ya burudani za hapa na pale
kwaajiri ya kuchangamsha waarikwa na wazazi pamoja na wanafunzi
waliohudhuria,bàdo jukwaa lilionekana
kupooza ndipo alipandishwa
mwanamziki wakike ambae hupendwa na huvutiwa na watu wengi sana pia
alikua maarufu nchini hapo na hata
duniani kote.( Beyonce) performance
yake uliwafanya wawe na furaha sana
na kuwachangamsha wote.
Na Baada ya beyonce kushuka jukwaani
sasa hafla yenyewe iliyokua ikisubiriwa
kwa hamu ikaanza.
Walimbwende watano walionelewa na
baadhi ya wanamitindo wa shule husika
na hata wastaafu pia walianza kupanda
jukwaani mmoja baada ya wengine,
shangwe zilizidi kushamili kila
wanavyozidi kupanda na wa mwisho
alikua alice na yeye pekee ndio alice
mwafrica na ndio alikua wa mwisho.
Dizaina wake alikua amempatia sana,
kutokana na jinsi alivyo na rangi yake pia
yaani shangwe zilikua nyingi sana.
Majaji waliona wote wanastahili kwenda
lakini walihitaji watu wawili tu,hivyo
Ilikua inawaumiza
sana vichwa vyao kuchagua nani aende
nani abaki...
Unadhani alice atachaguliwa au
ataishia hapo?.usikose itaendelea...
TUMAINI LANGU 19 NASSRAH
ABDULLAH WSP 0715431019
Majaji walikua wanawake wawili na
wanaume wawili,kikao mmoja
akimsukumia mwenzake aamue
mwisho waliwaachia wanaume ndo
wachague na wao waliinamisha vichwa
vyao chini ya meza na hao majaji
wakiume hawakua na mbambamba
waka kufikiria sana walimchagua alice
na msichana mwingine ambae
alifahamika kwa jina la cellin.
Mr kelvin na miss hellen walifurahia
sana kuona binti yao akiwa na furaha
kwa kupata nafasi hiyo. Na Baada ya
hapo walisogea meza ya majaji kwaajiri
ya kupongezwa kisha wakapewa form
ya kujaza na majina yao pia
yakaandikwa kwaajiri ya kuyawakikisha
kwenye uongozi wa juu.
Mara baada ya kutoka nje ya ukumbi
huo alice akiwa anataka kuingia kwenye
gari yao kwaajiri ya kwenda nyumbani
kwao,alikua maarufu kwa wanafunzi
wenzake maana wengi
walimpongeza,sana alice nae alifurahi
pia na baada ya hapo aliingia kwenye
gari na kuondoka zao.
Walifika nyumbani kwao mr kelvin akazungumza.
"Unaona sasa, hatimae unataka kukutana na wanamitindo bora duniani na maarufu na vipi kama ungebaki nchini haya ungeyafikia binti yangu?."
"Sijui baba ila nashukuru sana kwa kila kitu,mama yangu haujawahi kunikatisha
tamaa juu ya ndoto zangu nakupenda sana."
"Usijari kipenzi changu, nitahakikisha
nakupigania hadi dakika yangu ya mwisho binti yangu." "Mmh na mimi je
sistahili kudhukuriwa jamani maana
hata mama yako amepata kombe hapo."
Mr kelvin alizungumza miss hellen
akamuuliza. "Kombe lipi sasa?."
"Si mimba hiyo unadhani ni rahisi sana
eeh? Sikia hivi karibuni mdogo wake
alice anakuja tutakua na furaha sana
kwenye familia yetu."
"Baba Ndio useme mama yangu kapata kombe( hahahaha) haya nahitaji
kupumzika sass nmechoka sana."
"Sawa pumzika mwanangu."
Alice aliingia chumbani kwake
kupumzika,ola Siku yake ilikua nzuri na yenye furaha sana,hivyo alilala akiwa na tabasamu usoni kwake.
Miss hellen alienda kumchungulia
akamkuta amelala,alimfunika shuka
vizuri na kum'busu kusha akataka
kuondoka lakini alice aliushika mkono
wake kwanguvu na kuugemea akiwa
bàdo mwenye tabasam sana.
Sometimes, unapata mama wa kambo
hadi unatamani kama angekua mzazi
maana anakujali na kukupa upendo wa kila rangi hadi basi yaani.
Usiku huo ulipita na hatimae siku
nyingine pia walianza vizuri maana
walipigiwa simu nyingi sana kumsifia
alice kuwa anaweza sana alice nae
alikua anawashukuru sana na kuomba
wawe pamoja nae hadi tamati ya
mashindano hayo makubwa.
Alijaza form aliyokabidhiwa kwa
kusoma kwa umakini wa hali ya juu sana
na siku ya kukabidhi
form hiyo na sehemu ilikua umetelezwa
kwenye form hivyo ilirudishwa kwa
muda muafaka kabisa.
Na Baada ya wiki moja alice alipigiwa
simu kuwa anatakiwa kujiandaa muda
wowote anaweza kuhitajika kwaajiri ya
mahojiano kadhaa kutoka kwenye
vyombo mbali mbali vya habari. Alice
alikua na furaha sana na hakuacha
kuzungumza na rafiki yake harson mara
kwa nae hakuacha kumsaport kwa kila
kitu.
Siku ya mashindano hayo yalikua tayari
yametimia na kumbi iliandaliwa tayari
kwa viingilio tofauti.
Walianza wanamitindo ambao walikua
wazoefu kisha ikafika zamu ya
wanamitindo chipukizi ambao wanataka
kuwakabidhi kijiti kwaajiri ya kuendeleza
tasnia hiyo duniani kote.
Kama kawaida washindani walikua
wengi sana maana walitoka maeneo
mbali hapo marekani na hata nje ya
marekani,aise kulikua na wamitindo
nguli na waliobea sana.
Zamu ya alice ilipofika alice alionekana
kupoteza uwaminifu kabisa yaani kifupi
hakua mwenye kujiamini kabisa siku hii
japo mashabiki ambao waliahidi kuwa
upande wake walikua wamemfurahia
sana maana mavazi yake yalikua ya
kuiwakilisha africa na mara nyingi
wazungu hupenda tamaduni zetu hivyo
walimpa saport sana.
Baada ya muda mfupi kula la maoni
zilianza kupigwa na alice alifanikiwa
kuingia kwenye top five ambapo Kati ya
hao wanahitajika watatu kwaajiri ya
kuiwakilisha nchi na dunia kujumla.
Hii ndio ilikua nafasi ya pili kwa alice
maana ndio ilikua nafasi pekee ya
kuiwakilisha nchi ya Tanzania na africa
kiujumla maana yeye pekee ndio
alitambulika kama mwafrika kwenye
mashindano hayo.
Baada ya mizunguko huo kuanza alice
pia bàdo hali yake uoga iliongezeka hofu
pia ilimuandama na hatimae
akashindwa kuingia kwenye top three na hata ukiachilia mbali kuto kujiamini
kwake kulimpotezea point moja tu kuweza kupata nafasi hiyo.
Alipatiwa zawadi na mwenzake ambae
waliondolewa kwenye mashindano hayo
na kushuka jukwaani lakini mbali na kushindwa kwake kuna watu ambao
bado walikua wanamkubali sana.
Hatimae mashindano yakaisha na
walivyorudi nyumbani alice
hakuonekana kuwa Sawa alikua mtu
mwenye mawazo sana kwenye kipindi
hiko lakini wazazi wake walikua faraja
kwake na hata mara fiki zake ambao
walikua karibu yake.
Baada ya mieizi mitatu miss hellen
Alijifungua mtoto wa kiume na
mwenyew alipendekeza jina la elias
kwaajiri ya kumuenzi kijana wake me
kelvin hakukataa sababu alifanya vile
ambavyo mkewake anataka. Na shule
pia zilikua zimefunguliwa hivyo alice
alikua amerudi shule tayari.
Hatimae alimaliza shule na kuchaguliwa
kwenye chuo kikubwa nchini marekani
na mr kelvin akamwambia alice kuwa
kabla ya kwenda chuo lazima warudi
kwanza nchini maana tayari wamepanisi
alice hakuona kuna tatizo hivyo safari
ilipangwa na hatimae wakarejea
Tanzania.
Harson alifurahi sana kumuona alice
wake maana lila mmoja alimuona
mwenzake amekua mkubwa hivyo muda
mwingi walikuwa wote kwenye
matembezi katika sehemu mbalimbali nzuri.
Mr kelvin alienda hospital kwaajiri ya
kuwasabahi marafiki zake nao walikua
wamemkumbuka pia. Hivyo wakapanga
sherehe kwaajiri ya rafiki yao na
kumpongeza kwa kupata mtoto pia mr
kelvin hakuona shida bila kujua kua hata
mr denis na Leticia nao walipata taarifa
na kupanga uvamizi kwenye hiyo sherehe.
Siku ambayo ilipangwa kwaajiri ya
sherehe ilikua siku ya wikiendi sherehe
hii alice hakutaka kuhudhuria kutokana
na muda mwingi alikua na harson.
Bàsi bwana sherehe ilinoga na mr kelvin
alishika kipaza sauti kw akuwashukuru
wafanyakazi wenzake kwa kumjali na
kuendelea kumpenda. Alitoa shukran
zake za dhati kwa hellen mkewake
alimsifia sana kiasi kwamba hadi Leticia
alikua anaumia kuendelea kusikia sifa
hizo kisha mziki wa taratibu ulikua
unaendelea. Mama Elias alimpa mtoto
mr kelvin kisha akadai kuwa anaenda
uwani kidogo mr kelvin alimruhusu na
mara tu baada ya kwenda huko mr Denis
alimfata na mara tu baada ya kutoka
uwani mr denis alitumia kitambaa
ambacho kilikua na madawa ya kulevya
kumziba pua yake hellen alivyopoteza
fahamu mr denis alimchukua na kuondoka nae.
Mr kelvin baada ya kuona mke wake
hajarudi akamkabidhi mtoto Elias kwa
mtu ambae hakumtazama usoni kisha
akaelekea uwnai ambapo alipofika
alikuta kiatu kimoja cha mkewake aliita.
"Hellen...! mkewangu...! Mama alice...!
Mama Elias..." Alitumia kila majina
kumuita mkewake lakini aliambulia
patupu alimtuma mtu kwenda
kumtazama chooni lakini walileta
majibu kuwa hayupo chooni mr kelvin
alianza kuchanganikiwa.
Na huku ukumbini mtoto alimkabidhi
kwa Leticia ambae hakua amemtazama
usoni sababu alikua amevaa miwani na
alikua amejitanda mtandio na alipoamini
kama ni mtu mzuri lakini haikua
hivyo,huku napk akapata taarifa kuwa
mtoto Elias pia amepotea,mr kelvin
alichanganikiwa kwa muda mfupi sana.
Alianza kutetemeka kwa hasira jinsi
alivyokua anaonekana kama vile zombi
maana hasira ambazo alikua nazo na jinsi alivyokua anaonekana aise alikua
anatisha sana. Rafiki yake sospeter alimchukua na kumpeleka nyumbani
kwake na kumchoma sindano ya usingizi maana hakuonekana kuwa Sawa kabisa.
Mr denis na alimpeleka miss hellen
kwenye nyumba ya madam Leticia na hata Leticia pia alifika hapo na mtoto
eliasi pia. Mr denis akamwambia.
"Lazima tuwatenganishe mama mtoto sitaki kumuona huyo mtoto kabisa."
"Sikiliza we denis huwezi mtenganisha mama na mtoto kamwe alafu kumbuka
huyu mtoto kula yake ni ziwala mama yake unawezaje kumtenga na mama yake?."
"Sijali chochote kile kuhusu huyo mtoto ninavyomtazama nazidi kuwa hasira kabisa, nitamuua." Madam Leticia
alimshangaa mr denis maana
alionekana kua ni katili sana tofaut na
alivyomzoea.
Baadae sana miss hellen aliamka
alijihisi mchovu sana akatazama saa
yake ya mkononi ikionesha ni saa saba
usiku na humo ndani alipo hakukua na
chochote kile alisimama na kusogea
mlangoni na kuanza kuita.
"Alice...,alice.. Kelvin...," Hakukua na mtu
yoyote ambae aliitikia,miss hellen alikua
anajiuliza mwenyewe kuwa yupo wapi
lakini hakuwa akipata majibu maalum.
Mara ghafla mlango ulifunguliwa na aliyeingia mr denis.
"Saplaiz...!, ( Hahaha) hukutegemea kuniona hapa si ndio?."
"Denis...,kwanini upo hapa?."
"Hellen.. hellen...hellen .. nilikuambia kuwa huwezi kunikimbia kabisa hebu ona leo upo kwenye mikono yangu, unajiskiaje?."
"Denis Mwanangu yuko wapi?."
"Nasikitika sana sababu mwanao
kadogo dogo tayari nimekaua,maskini
mtoto, Mungu ampokee kwa moyo
mmoja huko aendako..."
Kabla hata hajamaliza kuzungumza
alipokea kibao cha moto kutoka kwa
miss hellen na kumwambia.
"Wewe mpuuzi usiniambie ujinga
wowote kuanzia sasa naomba nipe
mwanangu na kama umemuuwa wallahi
nakuapia huwezi kutoka hapa ukiwa
mzima,yaani ama zako ama zangu nakuambia."
Mr denis alitoka chumbani humo bila
kusema chochote kile huku mkono wake
ukiwa imeshika shavu lake...
Unadhani itakuaje usikose itaendelea....
TUMAINI LANGU 20
NASSRAH ABDULLAH WSP
0715431019
Asubuhi mapema sauti ya mtoto Elias
Ndio ilimshtua sana miss hellen na
kusogea mlangoni hukua akiomba
mtoto wake apelekewe. Miss hellen
alishindwa kujizuia kabisa kusikia Sauti
ya mtoto wake.
"Nawaomba sana nileteeni Mwanangu
nakama mkitaka kumdhuru mtoto
wangu bàsi anzeni na mimi siwezi kuishi
bila yeye tafadhaii nawaomba sana.
Elias wangu,kuwa mvumilivu elias
mama yako nipo hapa baba yako
atakuja kutuokoa mwanangu kuwa jasiri
kama baba yako mwanangu siwezi
kukuacha kwenye mikono ya watu
wabaya mwanangu."
Miss hellen alikua anazungumza kwa uchungu sana,na mr denis alikua
anamsikiliza nae alijisikia vibaya sana
baada ya kuona miss hellen kampa
mtoto wake kwa jina la kijana wao wa
zamani,aliona anamkosea sana. Alijihisi
Mwenye hatia sana kumpitisha tena
kwenye machungu ambayo aliyapitia
pindi amempoteza mtoto wao.
Mr denis alimfata madam Leticia na kumwambia.
"Leticia siwezi nimeshindwa kuvumilia
hili kabisa,hellen alipitia wakati mgumu
sana alipompoteza mtoto wake wa
kwanza na mimi ndio chanzo,sitaki
apitie tena wakati huo nikiwa nina
uwezo wa kufanya jambo kwaajiri
yake,sitahitaji chochote kutoka kwake
kuanzia sasa nitamuacha aishi maisha
yake na sio vile navyotaka mimi,sababu
naamini kua yeye anahaki ya kuishi
maisha anayotaka mwenyewe."
"Nampeleka mtoto kwake na nitamuacha aende sitamsumbua tena."
Mr denis alimchukua mtoto na
kumrudisha kwa mama yake miss hellen kisha akamwambia.
"Nisamehe sana hellen najua
nimekuumiza sana na nilitaka kumfanya
mwanaume wako aumie kwa kukuteka
lakini nahisi nakuumjza tu wewe,hellen
nimejiskia vibaya sana,sikujua kama
bàdo
"Nini wewe kwahiyo unataka kusemaje yaani?."
unampenda na kumuenzi mtoto wetu
mpaka leo hellen nisamehe sana
sikuwahi kuwa mumebora kwako wala
baba bora kwa mwanangu nisamehe sana."
Miss hellen hakujali alichokua
anakisema mr denis alimchukua
mwanae na chakwanza alimpa mtoto
chakula chake,mr denis alitoka na baada
ya dakika kadhaa alileta chakula miss
hellen hakula chakula kile maana hakua
akimwamini mr denis. Mr denis
mwenyewe aliamini kuwa kile chakula
kilikua salama akamwambia hellen.
"Umelala ukiwa hujala chochote la unahisi numeweka sumu bàsi nakula
mwenyewe Ili uwamini kama chakula hakina tatizo"
miss hellen alikua anamtazama tu mr
Denis,na mr denis alikua kile chakula
hadi mwisho na alipoahidi kuwa
anaenda mchukulia chakula kingine
ghafla alishika tumbo lake huku
akiugulia maumivu na hakuchukua
muda mwingi simu ilianza kumtoka
maskioni na piano pia,miss hellen
alishtuka sana na kumsogelea huku akiita.
"Denis.. Denis kwanini umejiua
inamaana... Denis denis..."
"Leticia.. Leticia.. n..ni mtu m'baya sana ki..mbi.a hellen
at..ataku..uua,kwa..aaji..ya ke..lvviin na..alice..."
Mr denis alikua akizungumza kwa taabu
sana japo hellen alielewa na hata hivyo
jina la Leticia halikua geni kwake..
aliingia mkono kwenye mfuko wa mr
denis wakati huo mtoto analia sana kwa
hofu ya kile kilichotokea.
Miss hellen alimpigia simu mume wake
haikupokelewa akatumia ujumbe mfupi
kituo cha polisi pia kwaajiri ya tahadhali
nakuombea msaada pia.
Madam Leticia aliposikia mtoto analia
kwa Sauti kali akaamini kuwa mr denis
na hellen wameshafariki hivyo alifungua
mlango na kutaka kumbeba mtoto na
mkononi alikua amebeba kisu ni wazi
alikua anataka kumuua mtoto huyo.
Miss hellen kumbe alikua anamuona
japo alijifanya kama amekufa na madam
Leticia alipotaka kumchoma kisu mtoto
aliwahi kumshika na kumuwasha kofi
kisu kilianguka chini na alipotaka
kukiokota miss hellen alikiwahi na
kumbeba mtoto wake pia akasema.
"Unashirikiana na mwanaume kumteka mke na mtoto, kwaajiri ya mwanaume ambae hajawahi kukupa heshima
,sikuwahi kuona wala kuskia japo kuna
sifa nyingi za kuhusu michepuko ila mchepuko wewe umepanda daraja nikupe hongera sana."
"Kelvin sio mchepuko wangu kelvin ni mpenzi wangu wa muda mrefu sana na usichokijua ni kwamba alice ni binti yangu mimi na kelvin pia..."
Madam Leticia alikua anamsogelea hellen na kutaka kumpiga lakini hellen
alikua vizuri sana hakutaka
kubabaishwa na Leticia mara nyingi alikua anamkwepa na baada ya polisi
kupata ujumbe ule,waliitraki simu hiyo na kuanza kuifatilia..
Upande wa mr kelvin pia alikuja kupata
fahamu majira ya saa nne ambapo aliita
sana lakini hapakua na mtu yoyote
alitoa simu yake mfukoni na kukuta
"Sina hakika na hilo lakini hongera sana.."
ujumbe ambao ulimfanya amkumbuke
sana mkewake.
Muda huo huo mr kelvin alifungua
mlango kwaajiri ya kutoka nje alikutana
na mr sospeter alikua anamzuia lakini
mr kelvin hakutaka kukubali kabisa
alimsukuma pembeni na kuchukua gari
na kuelekea nyumbani kwao Leticia
sababu alikua anapafahamu vizuri.
Alipofika alikua damu zikiwa
zimetapakaa kwenye chumba ambacho
hakikua na kitu mr kelvin alilia sana na
"Hellen,na mwanangu.."
kuhisi Leticia amewauwa vipenzi vyake
lakini simu yake iliita na kuskia sauti ya mkewake kidogo alipata nguvu ya kusimama na kuelekea hospital ambapo
alimkuta mkewake hellen na wanawe
okay yaani alice na elias na hata harson alikua hapo pia tena chini ya uwangalizi wa polisi.
"Mkewangu hujadhurika sindio mama
"Ndio mumewangu niko Sawa hata mtoto pia yupo Sawa."
Elias?."
"Aah asnate Mungu,niliogopa sana,baada ya kuona ujumbe wako,na zile damu za nini kule ndani?."
"Mr Denis aliyekua mumewangu aliniletea chakula ambacho aliandaa Mpenzi wako Leticia,akaweka sumu nae hakujua hilo kwa kujihakikishia alikula ndipo damu zikaanza akumtoka.."
Alice alishtuka baada ya kuskia kua
Leticia alikua Mpenzi na baba yake
akamuuliza. "Baba madam Leticia alikua mwanamke wako?."
"Alice usiwe na wasiwasi mwanangu
nitakuambia kila kitu ambacho hujui kuhusu yeye usiwe na wasiwasi."
Alice alikua ni mtu mwenye maswali
mengi sana maana hakuwahi kufikiria
japo alikua anahisi kutokana na maswali
mengi ambayo alikua akimuuliza
madam wake lakini alihisi ni ukaribu
wao tu kama mzazi wa mwanafunzi
wake na sio kama hivyo alivyosikia.
Bàsi baada ya siku kadhaa kesi
ikapelekwa mahakamani na Leticia
alikili kila kitu kuwa ni kweli na kusema
hata ajali ya mr kelvin alimsababishia
yeye kutokana na kumpa taarifa ambazo
zilimfanya awe na wasiwasi sana lakini
mbali na hayo aliyosema madam Leticia
aliomba mahakama impunguzie adhabu
aweze kumchukua alice na kuishi nae
kama mwanae maana hakuwahi kuishi
kama mtoto wake.
Mahakama ikataka kujua chanzo cha
yeye kuishi mbali ma mtoto wake ndipo
alisema.
"Nilikua na mahusian mimi na kelvin
kwa muda mrefu sana pindi
tunasoma,na baada ya kuchaguliwa
kwenye chuo tofauti ndipo kelvin
alibadirika na wmsiho akaniambia
anataka kuoa lakini wakati huo
nilimwambia kua nina mimba ila
akasema nitoe sababu anataka kuoa
ukweli niliumia sana sikutaka kuitoa
nililea na ilipofika miezi mitatu ndipo
nikasikia kua kelvin ameoa tayari
niliumia sana na kwakua aliniambia
kama nisipotoa mimba nisimtafute
nikawa sijamtafuta kwa kutaka
chochote kwake, hadi nilipojifingua
nikaenda kumuweka mtoto kwenye
kituo mtoto wangu akiwa na
miezi mwili
tu nilitamani kumlea lakini niliona kwa
muda huo ni
elimu yangu ambayo natakiwa kuipa
kipaumbele hivyo nikarudi tena chuo
kumaliza kozi yangu,lakini baada ya wiki
moja kupita mr kelvin alinitafuta kwa
simu na kuniambia kua mkewake hana
uwezo wa kupata mtoto anaomba
nimsaidie kama naweza kumpata mtoto
hata kutoka kituo cha kulelewa
watoto,nilimwambia Sawa ila sikua
nataka mazoea nae ila ile kunisumbua
hadi mkewake akaingilia Kati na kuniomba sana nikaamua kwenda
kwenye kituo
na kumchukua mtoto wangu na nilimpa
jina la mama yangu alice na niliwaomba
aendelee kutumia jina hilo
nikiwaaminisha kuwa mama wa mtoto
hakutaka mwanae abadirishwe jina lake.
Na wao walikubali kuendelea kumuita
alice walimpenda sana kusema kweli
hadi nikatamani kama ningekua mimi
yule mwanamke lakini haikuwa,kelvin
alianza kurudi kwangu taratibu na
mwisho kuniomba msamaha na kwakua
nilikua nampenda nikamsamehe na
kurudisha Penzi letu mkewake bila
kujua.
Nikamdanganya kua nina mimba yake
na mara hii akaomba nisitoe akidai
kuwa mwanzo alikosea ila mtoto ni baraka nilihisi kama ananijaribu maana
sikua namuamini kabisa. Bàsi aliendelea
kunihurumia vizuri sana na alipotaka
tuende kuanza clinick nikamwambia kua
mimba nimetoa, aliniambia kua
ananichukia sana na tangu hapo
akakata mawasilian na mimi na
hakutaka tena mawasiliano na mimi, ukweli nilikua naumia sana.
Mkewake alipata ajari baada ya kutaka
kumuokoa mtoto mwingine ambae
alikua anataka kuvuka barabara ila kwa
bahati mbaya walifariki wote na mr
kelvin baada ya mwaka mmoja akaona
tena,ila ndoa yake haikua nafuraha
maana mtoto alikua ananyanyaswa
sana na baada ya kumpata mr kelvin na
kuzungumza nae akiniamini na
kumuacha nikahisi atanioa ila haikua
hivyo akamuoa miss hellen ambae
wamebahatika kupata mtoto.
Muheshimiwa hakimu naomba
nisamehewe kwa kila kitu ila nimepitia
mengi magumu ambayo yamenifanya niwe na chuki kwaajiri ya binti yangu."
Hapo Alice ndipo alielewa kila kitu
kuhusu mahusiano yao Kati ya mwalimu wake na baba yake. Alice alitoka nnje ya
mahakama alikua anaumia sana maana
amefichwa mambo mengi sana.
Na miss hellen pia alipokua anawaza na
kukumbuka jinsi ajali ilivyotokea
alikumbuka kua alipata taarifa kua kuna
mwanamke ambae alijaribu kumuokoa
Elias lakini nae alifariki miss hellen
alimfata alice na kumkumbatia kwa nguvu sana kisha akamwambia.
"Muunganiko wetu ni wenye nguvu sana sababu watu wetu tuliokua
tunawapenda walifariki pamoja kwenye ajali moja."
"Mama unamaanisha nini."
"Mama yako alipata ajali akiwa anamuokoa kijana wangu hivyo walifariki pamoja."
Alice nae alijisikia faraja sana na kumkumbatia miss hellen na kumwambia.
"Upendo wetu ni wenye nguvu sana
mama,na wewe ndio ulistahili kuwa mama yangu, nakupenda sana mama."
"Usiijari mwanangu,nitaendelea
kukupenda siku zote ila Leticia atabaki kuwa mama mzazi kwao."
Baada ya maamuzi ya hakimu mr kelvin
alitoka nje kuikumbatia familia yake na kuwaambia.
"Leticia amehukumiwa kifungo cha
miaka 20 jela lakini bàdo una nafasi ya kuja kumuona mama yako pale unapotaka alice,japo nilikuficha ila nisamehe sana."
Alice alimkumbatia baba yake na kumwambia.
"Nimekusamehe baba japo bila huruma ya mama yangu nisingekua hai kwa
sababu yako ila hata mama yangu pia
nimemsamehe sababu wote mlifanya
makosa ila nakupenda sana baba na
mama yangu hellen na hata mama
yangu Leticia nitaendelea kumpenda
kama nilivyokua nampenda pia."
Walikumbatiana kwa furaha kisha
Leticia alipitishwa na askari akielekea
kwenye gari kwaajiri ya kupelekwa
gerezani,alice alimfata mama yake na kumkumbatia na kumwambia.
"Umekua na mwisho m'baya mama ila
bàdo nitakupenda na kukuheshimu
mama yangu." "Usijari mwanangu bàdo
tuna muda mrefu wa kuzidi kuonana mimi na wewe."
Polisi walimshika alice na kumuingiza ndani ya gari Leticia na kuondoka zao.
Alice alilia kwa kumhurumia mama yake.
Lakini baada ya mr kelvin kufatilia suala
la dhamana alifanikisha na Leticia's alitumikia kifungo cha nje maana
aligundulika mjamzito pia na mimba
ilikua ya mr denis hivyo hakukua na sababu ya yeye kufungwa.
Harson na alice walifunga ndoa kwa
baraka za wazazi wao na alice
alimshawishi harson pamoja kuelekea
marekani kwaajiri ya kuendelea na masomo yake ya chuo na huku nchini
akiacha mr kelvin na Leticia sio maadui
tena,walikua wanaishi kama ndugu
kabisa,hadi Leticia nae alipojifungua
mtoto wa kiume pia na hiyo Ndio ikawa
zawadi kwake maana mama wa denis
alifariki kwa mshtuko baada ya kupata
taarifa kua Denis amefariki...
Na huo ndio mwisho wa simulizi hii...
....MWISHO...
Kwa maoni, ushauri unakaribishwa
@Nassrah Juma
Whtsap 0715431019 karibu...