waandishi ebook 1688305166.7268727

Page 1

TUMAINI LANGU 01 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Majira ya saa10 jioni katika eneo la

makaburi,anaonekana mwanamke wa

makamo akiwa kwenye moja la kaburi

akilia kwa uchungu sana mkononi

kwake akiwa ameshikiria maua.

Machozi yalikua yanamtoka bila hata

kukoma ni wazi mtu aliezikwa kwenye

kaburi hilo alikua na uhusiano wa karibu

nae saña.

Naam ilisikika sauti yake ambayo ilikua

inatoka ikidhihirisha bado haamini

kilichotokea dhidi ya alielala kwenye

kaburi hilo.

"Elias mwanangu,bado siamini kama

ndo umeenda na sitakuona tena,baba

wewe ulikua furaha yangu kwenye haya

maisha yangu kwanini umeondoka ikiwa

bado nakuhitaji mwanangu,natamani

nisahau kila kitu kuhusu wewe lakini

nashindwa elias wangu,bado taswira

Yako ya furaha hua inanijia akilini

mwangu,sauti yako ya madeko pindi

ulipokua unaniita na kuniuliza baba

atarudi lini bado inapenya kwenye

ngoma zamaskio yangu elias wangu

nawezaje kusahau, nawezaje kukuacha

ukiwa umelala hapa mwenyewe na mimi

nilale nyumbani baba yangu,moyo

wangu unauma sana bado siamini kama

umekufa mwanangu naamini siku moja

utarudi tuje kufurahia pamoja sindio

mwanangu? Elias wewe sio wa kubaki

kimya pindi mama anaongea nijibu

mwanangu."

Mama huyo alikua anazungumza kwa

uchungu sana machozi yakiwa hayaachi

nafasi ya uso wake kuwa mkavu,alilia

kwa uchungu sana,alilaza kichwa chake

kwenye hilo kaburi kwa muda mrefu

sana hadi giza lilipoanza kuingia ndipo aliinua kichwa chake na kusema.

"Elias mwanangu siwezi kukuacha

mwenyewe hata siku moja nitahakikisha

nakuja kila siku hadi pale utapoamua

kurudi na mimi nyumbani kwetu, naamini kua itatokea hivyo, Nakupenda sana baba."

Mama huyo aliweka maua na kuondoka

kinyongee sana Huku akigeuka geuka

kuendelea kulitazama kaburi la mwanae.

Alirudi nyumbani kwao,na alipofungua

geti alikutana na mlinzi,mlinzi

alishangaa sana maana ni muda mrefu

alikua ametoka na muda aliorudi ni alibaki tu kushangaa na kumsikitikia,nae

hakumsemesha chochote mwanamke

hivyo alielekea mlangoni na kufungua

mlango wa kuingilia ndani akakutana na dada wa kazi akamuuliza.

mama huyo hakutaka kujibu chochote ni wazi kichwa chake kilikua hakipo

sawa,dada wakazi alimsikitikia

sana,lakini mama huyo wakati anataka

kupita pale varandani kuelekea

chumbani kwake,pale varandani kulikua

na mwanamke Mzee alikua amekaa

akisoma soma magazeti Mzee huyo

akazungumza.

"Inamaana sasa hivi umekua ukitoka na kuingia kama kwako hapa sindio?,sasa

subiri maana siku zako za kuishi hapa

zimesalia kidogo sana nitakuonesha kama mimi ni nani." Mwanamke huyo

"Mama unatoka wapi usiku huu?.."

mzee alizungumza lakini mama elias

hakujibu chochote na kuingia chumbani

kwake,bado hakua na amani kabisa

alihisi kuondoka kwake makaburini ni

kumkosea na kumuumiza sana

mwanae, usiku ulikua kama mchana

kwake,na mchana ndio kabisa yaani

alikua anapitia maumivu makali sana

moyoni mwake.

Asubuhi mapema sana upande wa pili

anaonekana msichana mwenye umri wa

miaka 15 akiwa anajiandaa kwaajiri ya

kwenda shule,alivaa sare zake vizuri

alivaa viatu na wakati anafunga tai yake

mlango wa chumba chake uligongwa na

aliposogea mlangoni na kuufungua

mlango huo sauti ya kiume nzito ilisikika.

"Waoo binti mfalme wangu tayari umeshajiandaa." "Ndio baba najaribu kufanya kila kitu mwenyewe sasa."

"Ndio ni vizurii kuwa mama yako alikufundisha vema,ona sasa nafurahia sana kuona binti yangu umekua sasa."

"Ndio baba nimekua na mama yangu atakua anajivunia sindio baba?."

"Alice binti yangu,mama yako anafurahia

kuona binti yake anafuraha anapokua na baba yake,anafuraha anapoona binti

yake anamkumbuka mara kwa

mara,lakini alice hupaswi kuwa na mawazo mabaya kuhusu mama sababu

unamuweka kwenye wakati mkugumu

ikiwa tunaomba apumzike kwa amani."

naona kama jana tu ndo imetokea, namkumbuka sana mama yangu."

Binti huyo alishindwa kujizuia na kuanza

kutoa machozi, baba yake alimkarisha

kitandani akamkumbatia huku

akimpooza kwa kumwambia.

"Najua unajiskia vibaya kiasi gani

mwanangu lakini unatakiwa kujua kua

sisi binadamu ni viumbe vya Mungu na

kila moja atarejea kwake kwa namna

anayotaka yeye tafadhaii alice wangu

ukiwa hivi nakosa raha nashindwa

kujizuia kabisa kwaajiri yako

"Baba bado sijasahau kilichotokea

mwanangu,hebu kwanza tuachane na haya,chukua hii pesa nunua mahitaji

Yako yote,ambayo unahitaji na pia

nitamwambia anko akupeleke shuleni

mimi nitakua na mizunguko kadhaa

kabla ya kwenda kazini hivyo leo utaenda na dereva."

"Mwanangu najua unatamani kuwa na baba yako kufurahia lakini tambua kua

baba Yako nipo pamoja na Wewe japo

mambo ya kazi yanafanya tusiwe

pamoja kwa muda mrefu ila nakuahidi

hivi Karibuni nitakua na likizo na

"Baba..!."

tutafurahia pamoja,ukiwa na tatizo mwambie dada au mama yako Sawa?."

"Baba...,lakini..."

"Alice mwanangu muda umeenda tutaongea baadae,mmmwaa bai."

Baba yake alimb'usu na kuondoka zake,lakini wakati anazungumza na

mwanae kuna mwanamke ambae alikua anachungulia hivyo baada ya baba yake kutoka chumbani kwake aliingia huyo

mwanamke na kumwambia.

"Naona baba yako,anakujali sana wewe

kuliko mimi mkewake ambae nipo ndani

na najaribu kumpa kila kitu kwaajiri ya kumuondoa mawazo ila wewe kila siku

unamfanya awe na wakati

mgumu sababu ya huyo mama Yako,hivi

hujui kwamba aliyekufa ndio kafa na harudi tena unajua hilo?."

Maneno ya mwanamke huyo

yalimuumiza sana alice akataka

kuondoka lakini mwanamke huyo

alimvuta alice na kumwambia.

"Lete hiyo hela unaondokaje kizembe hivyo."

"Lakini amenipa baba kwaajiri ya matumizi yangu tafadhali nakuomba niachie."

"Weee acha upuuzi hebu nipe hiyo

hela,una matumizi gani we mtoto mdogo mjinga wewe." Alice alitoa hela

kwenye begi na kumpatia mama yake

huyo mdogo,na kisha akamwambia.

"Kama kawaida ukisema kwa baba yako

unanijua vizuri sana utamkosa baba

Yako au baba yako atakukosa wewe

sawaa kama unataka uishi bila baba

Yako au baba Yako aishi bila wewe bàsi

mwambie kuhusu hili na mengine pia na kabla sijasahau utaenda shule kwa

mguu na sio kwa gari tena. "

"Lakini baba amesema..!"

"Amesema lakini na mimi nasema kuwa

hutoenda shule na gari mwanangu."

Mwanamke huyo alionekana wazi kua

hampendi alice, aliondoka na kumwacha

akilia,alitamani abaki hapo nyumbani na

asitishe safari yake ya kuelekea shuleni

lakini aliona hata akibaki hakuna

ambacho ataambulia zaidi ya maumivu,alibeba begi lake na kuondoka zake.

Alipotoka nje ya geti alitembea kwa

taratibu sana yaani nikama mtu ambae

hapendi shuleni, nyumba ya pili jirani yao

ambae alikua rafiki wa mama yake

alimuona na kumuita.

"Alice..!" Alice aliitikia na kusogea karibu

alimsalimia mama huyo na kwakua

alikua na kijana wake pia ambae alikua

anaenda shule pia alimsalimia,kisha

mama huyo akamuuliza.

"Mbona upo hivyo na mbona unatembea wakati hua unaenda na gari shuleni?."

"Hapana anti unajua sasahivi napenda kufanya mazoezi ya viungo,nataka nizidi kuzoea maisha tofauti kidogo baadae anti."

"Alice..!" Rafiki yake alimuita lakini alice

hakutaka anti yake ajue kile anachopitia

japo mkubwa hadanganywi maana

muonekano wake ulionekana

anatabasam la uongo na uso wake

ulionekana jinsi gani anapitia wakati

mgumu msichana huyo.

Safari yake iliishia makaburini asubuhi

hiyo,alisogea hadi kwenye kaburi la

mama yake na kukaa kando,alimlilia

sana na kumuomba Mungu amrudishe

mama yake,anayopita ni zaidi ya

maumivu moyoni mwake lakini mtu

aliyekufa hawezi kurudi kamwe alice

alilia hadi machozi yalimkauka na kuamua kulala juu ya kaburi la mama yake.

Akiwa ametulia akijaribu kukumbuka

tukio lilomsababishia ajali mama yake

ghafla alisikia sauti upande wa pili wa

pale makaburini ni sauti ya mtu ambae

alikua anaongea huku akilia pia alice

alibeba begi lake na kuelekea

inapotokea hiyo sauti.

Naam alikua mama wa Elias,alice

alisogea karibu yake,maneno ambayo

yalikua yakitoka kinywani mwa mama

huyo yalimgusa sana na kujikuta

akishindwa kujizuia na kumkumbatia

mama huyo kwa nyuma na kumwambia.

"Pole sana, maumivu Yako ni kama yanafanana na yangu japo sijui ya nani ni zaidi lakini nahisi wewe utakua faraja yangu,mama.."

Mama Elias alimgeukia alice na kumkumbatia pia na kumwambia.

"Asante kwa faraja binti yangu

mrembo,nimefarijika sana baada ya kuona kuna watoto wadogo ambao

wanakuja na faraja pindi wakubwa zao wanapohitaji faraja."

Alice alishindwa kujizuia kabisa alianza

kulia kwa uchungu maana

alivyokumbatiwa alihisi kama vile ndio

mama yake ambae amemkumbatia.

Walitoka hapo na kuelekea nje kabisa ya

makaburi hayo walizungumza kwa kirefu

zaidi na kujikuta wote wakipunguza

mawazo kwakufarijiana.

"Unaitwa nani binti mzuri?."

"Alice,naitwa alice."

"Wao jina zuri sana kama wewe

mwenyewe."

Mama Elias alifuta chozi kwa kutega Ili

asione alice kama alikua analia, akamuuliza kuhusu shule lakini

alichojibu hakikua cha kueleweka mama

huyo akamwambia anataka kumpeleka

"Asante sana ,lakini hata wewe pia ni mzuri sana mama."

shule,alice alikubali

lakini wakati

wanatembea kutoka eneo hilo kuna

mwanaume alishuka kwenye gari na kuita.

Mama elias aligeuka, aliachia kinywa

chake wazi kwa mshangao wa hali ya juu sana ni wazi alikua anamfahamu. Je ninani...

Je unadhani itakuaje usikose

itaendelea....

"Hellen..hellen....!?"

TUMAINI LANGU 02 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

"Denis...!" Mama elias alitaja jina hilo

niwazi walikua wanafahamiana, mama

elias ambae kwa jina lake la

kitambulisho cha uraia anafahamika

kama hellen, alimuacha alice na

kumsogelea denis, walikumbatiana,

denis alionekana kumkumbuka saña

hellen. Alice alipoona wamekumbatiana

kwa muda mrefu aliamua kuaga na

kutaka kuondoka maana hakutaka kuwa

kikwazo kwao lakin mr denis

akamwambia.

Hellen alitamani sana alice asiondoke

lakin hakuweza kumzuia sababu alitaka

awahi shuleni kwaajiri ya kuiandaa

Kesho yake, alice alipokua anapiga

hatua na kuzidi kuwaachia mbali zaidi

"Binti niwazi utakua unaelekea shuleni ingia kwenye gari nikupeleke." "Hapana usiijari nitafika,kwaheri mama hellen.."

miss hellen alimuita.

"Alice...!" Alice aligeuka mama yake na elias alimsogelea na na kumkumbatia kwanguvu sana kisha akamwambia.

"Natamani kama ningepata muda mwingi zaidi wa kukaa na wewe,nahisi tofauti sana uliponikumbatia na kuniita mama. Alice niahidi kama tutaonana tena.."

"Mama..!,ni miaka miwili sasa sijatamka

neno hili japo baba yangu ameoa lakini

sijawah kuita mama mwanamke

aliyemuoa najihisi kama mama yangu

anaumia hafurahishwi na mimi kumuita

mama mtu mwingine asiyestahili, samahani kwa kusema hili ila nakuahidi

kua tutaonana tena na tena."

"Basi Sawa binti mzuri,usijari Najua huu ndio mwanzo wetu wa kufahamiana na usisite kuniita mama popote

utakaponiona na ukihitaji kuniita mama milango iko wazi,nakupenda sana binti mfalme."

Alice alifurahi sana,miss hellen alimbusu

kwenye paji la uso kisha akamuacha

aende zake. Mr denis alimsogelea na kumuuliza.

"Hellen kwanini upo hapa asubuhi hii na huyu binti kwanini anakuita mama?."

"Sina majibu ya maswali yako na wewe kwanini umekuja?,."

"Aah hellen tunapaswa kupata muda wa kuzungumza tafadhali nakuomba."

"Kuzungumza unataka kuzungumza nini na mimi denis au mama yako

amekutuma uje kuniondoa nyumbani?."

wacha mambo yako

tunapaswa

alimshika hellen mkono na kumuingiza

kwenye gari kisha akaendesha gari hadi

nyumbani kwao, alimfungulia mlango

hellen na kwa pamoja kuingia ndani

hellen alipitiliza moja kwa moja

chumbani kwake mr denis alikaribishwa na dada wa kazi.

"Aah,hellen
kuongea." Mr denis

"Bosi karibu sana nyumbani."

"Usijari mdogo wangu,mama yupo wapi?."

"Yupo ndani amepumzika."

"Sawa, niandalie juisi nakuja."

Mr denis alielekea chumbani kwa mama yake ambae alimkuta ametulia

anasoma gazeti.

"Mama..!" Ujio wake hata mama yake alishtuka sana,na kumuuliza.

"Denis ndo umefika?."

"Ndio mama, shikamoo."

"Marhaba shujaa wangu,kwanini

ujanipigia simu kama unakuja

tungefanya maandalizi ya kukukaribisha nyumbani."

"Hapana mama usijari na sikutaka

kuwasumbua mama,unajua ni muda

mrefu sana mambo mengi yametokea

hapa kati na sikuwepo sikutaka kupiga

simu kuepuka hizo mambo ya ukaribisho sikutaka kumfanya hellen

ajiskie vibaya."

"Kujiskia vibaya kwanini yaani,inamaana

mtu usifanye mambo Yako kwaajiri yake

atajiskia vibaya kwani ye ndo wakwanza kupoteza mtoto?."

"Mama...!"

"Mama nini mbona mimi nimepoteza

watoto na umebaki wewe tu lakini sina

mawazo sababu Najua kila linalotokea

Mungu ndio anapanga sasa yeye

amekua akilia na kusema Mungu

anamuonea inamaana hao wengine wanaofariki.."

"Lakini mama Elias ni mtoto wangu,hata

mimi pia nimeumia mama unahisi

siumii?,mama nimeumia zaidi ya mara

moja,mwanangu alihitaji sana kuwa

karibu na baba yake lakini

sikuwepo,wakati ananihitaji,amepata

ajali hakuweza kufanya chochote

akahitaji ukaribu wangu lakini sikuwa

karibu nae mama hadi amefariki

sijamzika unahisi inaweza kusahaulika

kirahisi

mama kuwa na moyo wa huruma angalau mama."

Mr denis aliongea kwa hisia za maumivu

sana lakini mama yake alisimama na kumuuliza kwa sauti ya ukali.

"Inamaa mimi sina huruma sio?."

"Ndio mama hata mju..." Mr Denis

alishushiwa ambakati moja nzito kutoka

kwa mama yake hadi akili ikamkaa

sawa,mama yake akamwambia.

"Unaniambia sina huruma hivi kama

nisingekua na huruma ningebeba

mimba za watoto sita na na kuwalea

vizuri kama wanangu na kuwapa kila

kitu eeh na wote wamefariki kutokan na matatizo mbalimbali,baba yako

ulishuhudia pindi anaumwa pia

amefariki ukiwa unajitambua kabisa na ulishuhudia jinsi nilivyokua najitahid

kupambania uhai wao bàdo unahisi sina huruma?,toka nje denis."

Mr denis alitoka nje,lakini hakuwa Sawa

kabisa kwa maneno ya mama yake, alielekea chumbani kwa hellen

akamchukua na kuondoka nae pamoja.

Muda ulizidi kwenda na hatimae majira

ya saa kumi jioni,kuna mwalimu wa

darasa wa kidato cha pili aliingia

darasani kwaajiri ya kuita majina ya

wanafunzi waliohudhuria lakini baada ya

kuita majina hayo alishangaa sana

kuona alice hayupo darasani lakini

hakutaka kuwauliza wanafunzi kwakua

hata wao wangesema hawajui kuhusu

taarifa zake.

Alimaliza kuita majina kisha

akawaruhusu kuondoka. Mwalimu huyu

wa darasa amekua akimpenda sana

alice kutokana na uwezo wake mkubwa

wa kufanya vizuri kwenye masomo yote

darasani tangu alipoingia kidato cha

kwanza,na hata hayo matatizo

yamemkumba akiwa ameshaanza

kidato cha kwanza lakini bàdo

hakuonekana kuwa mdhaifu kwenye

masomo yake.

Performance yake na wanafunzi

wengine walinyanyua shule yao na kuwa

kwenye nafasi ya kwanza kimkoa. Ila

alipoanza kushuka kimasomo baadhi ya

walimu walianza kumuongelea vibaya

kua huenda ameanza mambo ya

mapenzi Ndio maana ameshuka lakini

walishasahau kuhusu kifo cha mama

yake jinsi kilivyotokea,lakini mwalimu

wake wa darasa bàdo aliendelea

kumpenda na kumpa nafasi zaidi kadiri

anavyozidi kukosea nae hamuachi mwenyewe.

Mwalimu huyo aliondoka shuleni na kuelekea nyumbani kwake maana muda

wa kazi ulishaisha kwa Siku hiyo.

Tayari ilikua majira ya saa kumi na moja

jioni, Mwalimu huyo aliamua kwenda

kwa kina alice Ili ajue kwanini hajaenda shuleni. alifika na alikaribishwa na mama yake wa kambo walisalimiana kisha akamwambia.

"Samahani kwa usumbufu ila nilikuja

kwa kutaka kujua kwanini alice hajaja shule na hakuna taarifa yoyote ile

ambayo imetolewa,nimekua na wasiwasi sana Ndio maana nikaamua kupitia hapa."

"Unasema alice hajaja shule?

Inawezekanaje kuwa hivyo wakati

ameondoka hapa akiwa amevalia sare

zake vizurii."

"Anha inamaana hujui, inaonekana wazi

kuwa huna malezi mazuri kwa mtoto

yaani mtoto anaondoka nyumbani lakini

huna muda wa kufatilia wala kujua

mwenendo wake,unawezaje kukaa tu na kutulia hivyo?."

"We mwanamke acha kufatilia maisha

yasiyokuhusu na kama umejia hilo bàsi

unaweza kwenda maana sipo tayari

kujibishana na mtu mjinga kama wewe."

Mwalimu huyo aliondoka zake maana

alijua wazi hapo akiendelea kuwepo

watazidi kujibishana mwisho kuishia pabaya.

Akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake, alishtuka sana kumuona alice akiwa

amekaa kwenye kituo cha daladala wala

hana wasiwasi kabisa, alishuka kwenye

gari na kumsogelea,alice nae

alipomuona mwalimu wake akataka

kukimbia lakini mwalimu huyo

akanyoosha mikono yake na kumwambia.

"Alice usinikimbie nimekufata wewe tafadhali." Alice alirudi kwa mwalimu

wake na kumkumbatia kwa nguvu

sana,hakutaka kuwapa watu faida

alimwambia aingie kwenye gari na kisha

wakaondoka pamoja hadi nyumbani kwake.

Mwalimu huyo kila alipokua

akimtazama alice aligundua ni wazi alikua ananjaa sana,aliweka mkoba

wake kwenye sofa na kuanza kuandaa

chakula na muda huo alice alionekana

kuchangamka sana. Walipika pamoja

hadi walipomaliza na wakati anaandaa

chakula mwalimu alionekana kua bize

sana na simu na muda mwingi alikua

akitazama kama kuna ujumbe wowote

umeingia niwazi alikua anasubiri ujumbe

kwenye simu yake.

Walikula pamoja kwa furaha na

Mwalimu hakumuuliza chochote alice

na baada ya kumaliza kula alimwambia

akaoge na alice alifanya hivyo,na

alipotoka bafuni,mwalimu wake

akajaribu tu kwa kumwambia.

nyumbani ukapumzike." "Madam, tafadhali naomba nilale hapa kwa leo."

"Alice..!"

"Tafadhali madam."

Mwalimu hakutaka kumfanya ajiskie

vibaya kwa kumlazimisha,ikiwa

wametoka kufurahi pamoja,alikaa

kwenye sofa kisha akamlaza kwenye

mapaja yake huku akimbembeleza

alale,na alice hakuchukua muda mrefu

akalala. Majira ya saa tatu usiku mlango

wa Mwalimu uligongwa kwa nguvu sana

mwalimu aliamka pale alipokua amekaa

na kumfunika vizuri alice kisha

akafungua mlango.

"Sasa wacha nikaoge nikupeleke

"Waooh ni ajabu naona umekuja sababu ya mtoto wako sio?."

"Aah!, Tafadhali Leticia sijaja kwaajiri yako, mwanangu yuko wapi,alic..."

"Shi..shsihsi,mtoto amelala kwanini unataka kupiga kelele?."

"Leticia unaweza kuniambia kwanini binti yangu amekuja hapa?."

"Mmh mr kelvin nafikiri kua umekosea

kuoa kwa mara yakwanza,maana yule

wa kwanza alikua mwanamke na nusu

ila huyu eh pole sana,yaani mwanamke

hana huruma hata kidogo,hivi

alikujulisha kwamba mtoto hayupo

nyumbani hadi muda huu au? Na vipi

amekuambia kua mtoto hajafika shuleni?."

"Leticia sipendi unapokosoa maamuzi yangu, tafadhali wacha kumzungumzia vibaya mke wangu wa sasa hata

aliyepita,hebu nipishe,na iwe mwisho na mwanzo kuwa karibu na mwanangu

kiasi hiki."

"Aah mr kelvin hivi umesahau kua mimi ni maji na umuhimu wa maji unaujua

usipo yanywa bàsi

utayaoga unajua hilo?."

"Leticia,mimi na wewe tulishamalizana pale tu ulipoamua kutoa mimba yangu sikupendi tena Leticia nakuchukia sana."

Hapo mwalimu aliamua kutulia ni wazi maneno ya mr kelvin yalimuumiza,mr kelvin hakujali akambeba binti yake na kuondoka zake. Lakini kichwani kwake

kuna mambo mengi alikua anajiuliza

sana,kwanini binti yake awe nyumbani

kwake hadi usiku ni maswali ambayo

alijiuliza sana.

Upande wa mr denis na miss

Hellen,baba na mama wa marehemu

Elias,walikua wakizungumza,mr denis

alionekana kuomba radhi kwa mama

mtoto wake lakini miss hellen hakutaka

kumuelewa kabisa ilikua hivi.

"Mama Elias najua nimefanya makosa

hata kama elias angekua hai

asingeweza kunisamehe lakini

nakuomba sana hellen kama

tukielewana mtoto atakua na amani."

"Amani?,amani ipi unayozungumzia denis,uliondoka na kutuacha na

mwanangu,muda mwingi alikua

mpweke,kila alipopiga simu yako ilikua bize,mtoto alihitaji sana uwepo wako

lakini hukuweza kumpa hata nafasi ya

kuwa nae karibu hata siku moja ukaona

bora mwanamke wako anakupa furaha

kuliko mtoto wako,alikata tamaa kuhusu

kuita baba lakini mara nyingi nilimpa

matuamini kua baba yake atarudi na

sikuwa na ujasiri wa kumwambia baba

yake ameoa mwanamke mwingine

sababu sikutaka mwanangu aumie

kama nilivyokua mama yake., Denis siku

ambayo amefariki mwanangu ndio siku

ambayo nimekutoa moyoni mwangu

mazima na kamwe sijapanga

kukusamehe kwa mateso uliyompa

mtoto wangu naweza sema wewe ndio

chanzo cha kifo cha Mwanangu hivyo

wewe ni adui yangu mkubwa sana."

"Hellen unasemaje maneno makali

namna hiyo? Unajua jinsi gani nilikua na upendo na mwanangu."

"Upendo???,amepata ajali baada ya

kuskia umemsaliti mama yake na yeye

pia na kwenda kuoa mwanamke

mwingine, alishindwa kuamini mawazo

yamempeleka kutembea bila uangalifu

na kujisababishia ajali alafu mbali na

ajali hukuja kumuona,nisawa ulikua bize

lakini hata kwenye kifo chake hujaja

wewe ni baba wa aina gani unae kaa na kujitapa hapa na kusema ulikua na

upendo na mwanao mjinga wewe."

Miss hellen alizidi kupandwa na hasira

na kuzidi kuzungumza maneno ambayo

alihisi akizungumza na mr denis itakua

na unafuu kwake,ila mr Denis nae

alionekana kuumia sana alisimama na

kutaka kumshika mkono hellen waweze

kuondoka lakini hellen alikua nahasira

sana na kumsukuma mr denis na

kwakua alikua amelewa alitua chini

kama zigo...

Je unadhani itakuaje usikose

itaendelea....

TUMAINI LANGU 03 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Baada ya mr denis kuanguka chini miss hellen bàdo alizidi kuzungumza.

"Denis wewe na mama yako ni matapeli

sana,na sasa ndio nagundua kuwa

wewe ulikuja kwangu kwaajiri ya pesa tu na sio mapenzi na ndiomaana ulivyoona

halingumu ukaamua kuondoka na kwenda kuoa mwanamke mwingine

mwenye pesa,hilo sijali ila kaa na mama

yako uzungumze nae naumwambie

ukweli kua ile nyumba si yako ni yangu

mwambie kuhusu ukweli wote maana

anachoendelea kukifanya kitamfikisha

sehemu mbaya sana."

Miss hellen aliondoka zake na kumwacha mr Denis kichwa

kinampasua kwa maneno ya Hellen.

Miss hellen alifika nyumbani kwao na moja kwa moja hadi chumbani

kwake,lakini alivyopita pale. Varandani

alimkuta mama wa denis yaani mkwe

wake na alikua na wasiwasi sana

kuhusu wao,maana alipomuona hellen

alijua watakua wamerudi wote maana

waliondoka pamoja kwa mujibu wa

taarifa ya dada wa kazi,mama huyo

akajaribu kumpigia kijana wake lakini

hakua akipokea simu,mama huyo

alichanganikiwa sana kuhusu mwanae.

Chini hapakaliki kutembea miguu

imekua na ganzi kifupi alikua

haelewi,mara simu yake ikaanza

kuita alijua ni mwanae lakini baada ya kuitazama alikua mke mwingine wa denis.

"Hallo mbona usiku mwanangu?."

"Mama denis nampigia simu hapokei."

"Ooh usijari mwanangu hata simu yangu pia hapokei ila usiijari itakua amekutana na marafiki zake huko mitaani ila atakupigia au akirudi nitakupa taarifa."

"Sawa mama lakini sitakua na amani hadi denis anipigie."

Simu ilikatwa na kumfanya mama huyo atabasam na kusema.

"Huyu ndio mkwe wangu ambae

anajitambua lakini sio huyu mpuuzi,na leo ataniambia mwanangu yupo wapi."

Mama huyo aliweka simu kwenye sofa

na kuelekea chumbani kwa miss hellen,

alifungua mlango akamkuta hellen

amelala lakini hakua amelala

usingizi,alikua na mawazo yake tu

kichwani kwake,mama huyo alipanda

"Usijari binti yangu."

kitandani na kumshika nywele zake na kuzivuta kwa nguvu huku akizingumza

kwa hasira na chuki kali sana kwa Hellen.

"Niambie wewe mjinga unapata wapi

ujasiri wa kulala usingizi ikiwa mwenye nyumba hayupo,niambie wewe mpuuzi niambie."

Mama huyo alitumia nguvu zote

kuzivuta nywele za miss Hellen lakini

hakutosheka akamshika shingoni

kwanguvu huku akitoa maneno.

"Yaani usiponiambia wapi mwanangu

alipo bàsi nakuua siwezi

kukuachia,siwezi kuacha uvute pumzi

ikiwa ujanambia mwanangu yupo wapi."

Bibi alikua na hasira na alikua anatumia

nguvu sana kumuadhibu miss hellen

lakini ghafla wakati anaendelea

kumkaba miss hellen mwanae Denis

aliingia akiwa amelewa sana alimtoa

mama yake kwanguvu na kumuweka

kando kisha kuanza kumwamsha

Hellen.

"Hellen,uwezi kuniacha hivyo hellen

amka tafadhali nakuomba.."

Simu ya dharula ilipigwa na gari ya

wagonjwa ilifika na kumchukua miss

hellen japo hawakua na uhakika kama

atakua hai,lakini kea kawaida gari ya

wagonjwa inakua na madaktari watoa

huduma ya jwanza hivyo alipatiwa

huduma lakini kwa hali aliyokua nayo

hellen ilikua hatua ya mwisho sana na kuomba dereva aongeze mwendo Ili

miss Hellen aweze kuokolewa.

Lakini wakati miss hellen akapelekwa

hospital, upande wa pili pia mr kelvin na

mwanae walifika nyumbani kwao,na mr

kelvin kama kawaida alimpeleka binti

yake chumbani na kumlaza,nae alilala

pembeni yake.

Asubuhi mapema sana mr kelvin

aliamka na kuondoka zake,lakini kama

kawaida alimuwekea pesa mezani

mwanae kwaajiri ya matumizi ya shuleni, alice alipoamka alijishangaa sana kuona

yupo nyumbani kwao akatamani hata

ampate mtu wa kumuuliza amefikaje

hapo nyumbani lakini akaona haina haja ya kuuliza huenda madam Leticia ndio

kampeleka,aliamka na kuanza kujianda

vizurii kisha akatoka varandani kwaajiri ya kutaka kupata kifungua kinywa Ili

aweze kwenda shuleni.

Alishika chupa ya chai na kumimina chai

kwenye kikombe akaweka sukari lakini

alipotaka kupeleka kikombe kinywani

akasikia sauti ya mama yake.

"Aaah! Hebu subiri kwanza, unaanzaje kunywa chai ikiwa mama mwenye nyumba hajatoa ruhusa?."

"Lakini...."

"Weeh usijifanye unajua kujibu,kwamza jana ulikua wapi?."

"Aah nili..aah.."

"Unaona sasa? Umeanza umalaya sio?."

"Hapana sina tabia hiyo."

"Watoto wakike nawajua vizuri sana mimi,huna tabia hiyo lakini kwanini hujaenda shule jana?,kwanza sina haha ya kusikia majibu Yako lete hela."

"Baba hajanipa pesa." Mama huyo alichukua begi la alice na kufungua na kumwaga madaftari ya alice chini na pesa pia ilianguka ilikua elfu 15 mama huyo aliokota pesa hiyo na kumsogelea alice na kumuuliza.

"Kama baba Yako hajakupa pesa hii umepata wapi?." "Lakini mimi si.."

Mwanamke huyo alishika kikombe cha

chai na kumwagia alice mkononi na

muda huo huo

mlango ulifunguliwa, mwanamke huyo

hakuwa na wasiwasi maana aliamini

mumewake hawezi kurudi muda huo

hivyo hakushtuka,hata kidogo alice

alikua analia kwa maumivu anayopitia

lakini huyo mwanamke alimshika

sehemu ambayo alikua amemwagia

chai ya moto na kupaminya kwa nguvu

sana alice alilia kwa uchungu na kwa

sauti ya juu sana hadi baba yake

alisogea na kumsukuma mwanamke huyo na kumchukua mwanae na kuondoka nae.

"Ametokea wapi muda huu.., nitamwambia nini Ili anielewe itakuaameniona au.." ni maswali ambayo alikua akijiuliza mama huyo.

Mr kelvin alifika hospital na binti yake

anampeleka kwa daktari Ili amuangalie

nae akatoka nje alishindwa kuyazuia

machozi yake kwa alichokishuhudia kwa

mtoto wake na kuamini kuwa madam

Leticia alikua sahihi kuwa amekosea

kuoa kwa mara ya kwanza.

"Inamaana mwanangu amekua akipitia

haya niliyoshuhudia leo? Lakini kwanini

hajawahi kuniambia chochote?,aah

Mungu nifanye mwenye subra mini aah."

Mr kelvin alikua haamini kilichotokea na

kukishuhudia kwa macho yake.

Muda mchache tu kuna nesi alipita eneo

hilo na kumkuta mr kelvin ameshika

magoti yake alimsalimia na kumwambia.

"Dr kelvin mbona upo hivyo kuna

mgonjwa ofsini kwako na pia dr

sospeter usiku wa jana alimuhudumia

mgonjwa ambae alikua na hali mbaya alinipa maagizo kuwa ukifika nikuambie ukamuangalie."

"Aah,Sawa wacha niende ila nimekuja na binti yangu hebu nakuomba alimalizana na daktari mlete ofsini kwangu."

"Sawa dr." Mr kelvin haraka alielekea ofsini na kuchukua vitendea kazi vyake

na kuelekea kumuona mgonjwa

aliyeachiwa. Alikua miss hellen aliingia

wodini na kumkuta miss hellen bado

amelala,alimfanyia vipimo lakini muda

huo hali yake ilikua nzuri akataka

kuondoka miss hellen alifumbua macho yake dr kelvin akazungumza.

"Sikutaka kukusumbua ila ni vema

umeamka kabla sijaondoka, unajiskiaje kwa sasa?."

"Asante sana kea huduma yako maana

mara ya mwisho nilikia na hisia za kifo

tu,lakini umenisaidia asante."

"Usijari,too kwaajiri ya kusaidia

wagonjwa japo mimi sie ambaye

nimekusaidia,ila sifa ni kwaajiri ya madaktari wote,kuna ndugu yoyote

ambae naweza kumpa taarifa zako?."

"Hapana sina ndugu yoyote kwa sasa

naomba nipumzike kidogo kisha nikiwa

tayari nitakuambia nataka kuondoka."

"Una uhakika?." "Ndio.."

Mr kelvin hakutaka kumchosha sana

alimuacha apumzike kisha akaondoka

zake kuendelea na majukumu yake

mengine,upande wa alice alimaliza

kupewa huduma na daktari kisha nesi

alimchukua na kutaka kumpeleka

kwenye ofsi ya mr kelvin ambae ni baba

yake,alimpa pole kwa jeraha alilokua

nalo maana sehemu aliyoungua ilikua

kubwa sana ngozi ilikua imetoka pia

hivyo huyo nesi alikua anamuonea

huruma sana. Alice akamwambia nesi.

"Nielekeze ofisini kwake baba ni wapi na wewe ukaendeleae na kazi zako."

"Sawa, endelea na hii korido kisha kona

kulia mlango wa kwanza wa pili ndio

ofisi yake."

"Asante sana." Nesi aliendelea na mambo yake na alice alikua akifata

kama alivyoelekezwa. Alipokua kwenye

kona ya kukunja kulia alikutana na dr sospeter rafiki wa baba yake alimsalimia

nae aliitikia na kumuuliza.

"Anko alice kwanini mkono wako umekuaje?."

"Nimeungua na moto anko."

"Ooh maskini pole sana, hebu njoo hapa upumzike."

"Anko naenda kwa baba."

"Anha Sawa ila msubiri kidogo baba anawagonjwa muda huu."

Dr sospeter aliondoka na kumuacha alice pale,alice alikaa kama dakika20

akasimama na kuelekea alipoelekezwa

na nesi lakini mara hii alifungua mlango

wa kwanza na hakusoma kama chumba

cha daktari au wodi aliingia moja kwa moja.

Lahaula alimkuta miss hellen akiwa

kwenye mawazo mazito sana, alice

alishtuka sana na kujikuta tu akiita.

"Mamaa...!" Miss hellen alishtuka na kutazama mlangoni ambapo alimuona

alice,alice alimsogelea miss hellen

kitandani,alice alitaka kumkumbatia

lakini miss hellen akamwambia.

"Hebu subiri kwanza,mkono wako umekuaje?."

"Mama nimeungua na moto."

"Ooh maskini pole sana Mwanangu."

Wakati alice na hellen wakizidi kuulizana

huku nje mr kelvin alikutana na mr sospeter na kuanza kuongea.

"Dr sospeter yule mgonjwa wako umegundua shida nini? Na vipi kuhusu

ndugu zake?."

"Yule mwanamke acha tu yani uwezi

amini ila kama unavyoona inaelekea

kuna mtu alimshambulia kwa kumvuta

shingoni na hata nywele zake pia,na

kuhusu ndugu zake walikuja pia usiku ila

mwanaume alikua amelelewa sana na

nilizungumza kuhusu polisi

hakuonekana anataka kusikia Habari hiyo."

"Na wewe umechukua hatua gani?."

"Hakuna sijachukua hatua yoyote."

"Napiga simu polisi kutoa taarifa juu ya hili,lakini naongea na mwenyewe kwanza."

"Dr. Kelvin, usifanye hivyo tafadhali.."

Lakini tayari dr kelvin alikua

ameshaingia wodini ambapo alimkuta alice akiwa kitandani na alionekana

mwenye furaha.

"Alice.. !" Aliita mr kelvin.

"Baba..!" Nae aliita,mr kelvin alisogea

karibu na kumuuliza.

"Unafanya nini hapa,ikiwa nilikuambia uwende ofisini alice?."

"Baba, nilisahau mlango wa ofisi yako nilipoongia Hapa nikakutana na rafiki yangu." Mr kelvin alimtazama mr sospeter na kumtazama miss hellen na kumuuliza binti yake.

"Rafiki??,ni urafiki wa aina gani huo?."

Alice alimb'usu miss hellen kisha

akamwambia kua atarudi tena nae

alimshika mkono baba yake na kutoka

nae nje kwaajiri ya kuzungumza na baba

yake. Je unadhani itakuaje usikose

itaendelea....

TUMAINI LANGU 04 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Baada ya alice kutoka na baba yake na

kumuacha miss hellen wodini mwenyew

miss hellen alijua anajiuliza maswali mengi saña kuhusu alice na baba yake.

Alice alikua ofsini kwa baba yake,na baba yake akamuuliza.

"Binti yangu ulisema yule dada ni rafiki yako lakini bàdo sijaelewa rafiki Yako kivipi,yaani imekuaje?."

"Baba ni mwanamke mzuri na mwenye

huruma kwani ni vibaya nikiwa karibu yake?." "Hapana ila nashangaa urafiki

wenu ulianzaje?."

"Baba nipo karibu na madam Leticia na baadhi ya walimu pia hujawahi niuliza ukaribu wao kwangu lakini kwanini unamashaka na huyu mwanamke?."

"Basi sawa binti yangu nisamehe kwa kutaka kujua lakini mkono wako unaendeleaje kwa sasa?."

"Baba ninapokua karibu na wewe nakua na furaha hata mkono wangu hauhisi maumivu tena." "Kweli mwanangu?"

"Ndio baba."

"Sawa ila mwanangu natamani ungerudi nyumbani ila hapana siwezi kufanya

hivyo natamani ingekua siku ya mapumziko ningekuwa na wewe Ili uweze kuniambia kila jitu alichokua anakufanyia yule mwanamke,lakini ni siku ya kazi nashindwa kufanya maamuzi."

"Baba usijari nitaenda kukaa na rafiki yangu."

"Alice unajua unanifanya nikose amani

kuhusu huyo rafiki yako? Sikia

tunaondoka na sitaki tena kusikia ukisema yule mwanamke ni rafiki yako.'

Mr kelvin alitoka nje ya ofisi yake akatoa

simu akaonekana kua anataka kuongea na simu ,na wakati yupo bize alice

alitoka ofsini kwa baba yake na kuelekea wodini bila ya baba yake kushtuka.

Alifika wodini ambapo alikua miss hellen akamwambia.

"Samahan mama nataka kuwa

nawasilian na wewe unaweza kunipa namba Yako?."

Miss hellen alitabasam na kuchukua

peni na karatasi ambayo alikuja nayo

alice akamuandikia namba ya Simu

yake,na baada ya kumaliza kuandika nae

akamkabidhi karatasi ya namba ambayo

atatumia kumtafuta. alice alifurahi sana

na kurudi ofisini kwa baba yake ila

alipoingia tu ofisini alimkuta baba yake

amesimama,na baada ya kufungua tu mlango baba yake akazungumza.

"Usitake kuniambia kuwa ulienda tena kwa huyo rafiki yako alice." "Hapana

baba nilienda chooni."

Baba yake aliishia kumtazama kisha

akamwambia.

"Tunaondoka sasa."

Alice hakupinga waliongozana pamoja

kuondoka hapo hospital.

Safari yao iliishia kwenye mgahawa

mmoja mzuri sana alice akiwa bàdo na sare za shule alimuuliza baba yake.

tungeongozana pamoja kwenda kwenye

kaburi la mama."

"Baba ningependa sana kama

"Usijari mwanangu hilo halina shida,nimekueletea hapa uweze kupata kifungua kinywa kisha tutaenda."

"Baba tafadhali twende muda huu."

Mr kelvin alikua anampenda sana binti yake na hakuwahi kumfanya ajiskie vibaya alikubali hivyo hawakuahiza chochote na kuamua kuondoka.

Walifika kwenye kaburi la mama yake na alice,alive alizungumza akiwa na furaha sana.

"Mama ona nipo na baba karibu yangu

na mara zote baba yangu anapopata

nafasi hunionesha jinsi gani ananipenda

na kunijari,mama nakumbuka Wakati

tulipokua na furaha pamoja tulicheza na kufurahia pamoja lakini leo haupo baba

yangu hana furaha kama aliyokua nayo zamani

mama."

Mr kelvin alijisikia vibaya sana kuona

binti yake anazungumza kea hisia za

maumivu alimkumbatia binti yake na kumtoa pale,walitembea umbali kadhaa

kisha wakageuka kutazama kaburi la mama alice,mr kelvin akamwambia mwanae.

"Alice mama amefariki,na hawezi kurudi

tena milele,hawezi kutufata ila sisi

tutamfata yeye hivyo nakuomba usiwe

unakuja mara kwa mara hapa,utamfanya

awe na wakati mgumu binti yangu

nakuomba,na kuanzia sasa nakuahidi

hutotoa machozi tena,utakua na furaha

siku zote binti yangu sababu baba Yako nipo

nakupigania."

"Aah subiri ni saplaiz,hebu twende najiskia njaa."

Waliongozana pamoja na mara hii

waliingia kwenye hotel nyingine na kuweza kuagiza chakula na kula huku

wakifurahia,mr kelvin alitoka na kumuacha alice akiwa anaendelea kula.

Alitoa simu yake mfukoni na kutafuta

namba ya Leticia kisha akampigia,simu ilipokelewa na Leticia.

"Hatimae umenitafuta sasa mr

kelvin,alafu sijamuona alice shuleni

"Unamaanisha nini baba ni yule...."

kuna nini?." "Leticia tunahitaji

kuzungumza, tafadhali ukitoka shule

naomba tuzungumze." "Sawa,nitatoka

mapema kwa aababu Yako."

"Sawa mamaa kwaheri."

Mr kelvin alikata simu na kurudi mezani

ambapo alimkuta alice amemaliza

kula,siku hii hakuacha alice ajiskie

mpweke alimpeleka sehemu

mbalimbali,alimnunulia zawadi tofauti

yaani ilikua siku ya furaha sana kwake na alice hakua na mawazo tena.

Upande wa hospital,dr sospeter aliamua

kumruhusu miss hellen, kutokana na

kuimarika kwa hali yake na kwakua

hellen hakutaka kubaki hapo aliamua

kuondoka zake.

Siku hii pia nae aliitumia akiwa

mwenyewe kwenye sehemu yenye

utulivu wa hali ya juu

sana,japo alionekana kuwa mtulivu

lakini alikuwa mbali sana kimawazo

alikua anawaza nyakati za furaha

alipokua na familia yake yaani mr denis

ambae ni mumewake na mtoto wao

elias,mawazo na kumbukumbu alizokua

nazo zilimfanya machozi kumtoka

kwenye macho yake.

Tayari yalikua majira ya saa nane

mchana, nyumbani kwao na miss

hellen,mr denis alikua anataka kutoka

lakini mama yake alikua anamzuia na hata dada wa kazi pia alikua anataka

kwenda kumuona miss hellen lakini bibi

huyo akamzuia pia na kuzungumza.

"Hivi mnafikiria mara mbili? Denis naogopa ukiondoka utakamatwa na polisi ni wazi hellen atakua amehojiwa nakuomba mwanangu usitoke."

"Mama wakati unamuumiza hukufikiria kama kuna Polisi? Sikia nina maamuzi yangu pia hivyo naomba usinizuie

sababu sijaja kukaa tu mimi hapa

nimekuja kwaajiri ya biashara hivyo nakuomba usinizuie tafadhali."

Mr denis aliamua kuondoka japo mama

yake alimzuia lakini hakutaka

kumsikiliza.

Mr denis alielekea hospital na baada ya

kufika alikutana na dr sospeter na

kuzungumza nae akampa taarifa kia

mkewake ameruhusiwa tangu saa nne

asubuhi mr denis hapo kichwa kikaanza

kuwaka moto atakua wapi ikiwa

amesharuhusiwa tena mapema sana.

Muda ulizidi kwenda na hatimae majira

ya saa kumi jioni mr kelvin na alice

walifika nyumbani kwao madam wake

Leticia na walipogonga mlango Leticia

alifungua, alimkumbatia alice kwa

furaha sana akataka kumshika mkono

lakini alishtuka sana baada kuona

mkono wa alice jinsi ulivyo, alimuuliza

kwa tahamaki sana.

"Mpenzi kuna nini,mr kelvin amepatwa na nini mtoto?."

"Leticia nafikri si muda sahihi wa kuzungumza haya,naomba baki na

Mwanangu kwa sasa nitarudi baadae kidogo."

"Sawa kwaheri."

Mr kelvin aliondoka zake na Leticia

akamsoge,a alice kwenye sofa na kuzidi

kumuhoji zaidi lakini alive pia hakutaka

kumwambia chochote madam wake

zaidi ya kumwambia tu chai ilimwagikia

kwenye mkono wake,madam wake

alimuhurumia sana lakini hakua na chakufanya zaidi ya kumnyenyekea kwa kila kitu.

Alice alikua bize kutazama television

huku madam Leticia akiwa bize kuandaa notsi zake za

shuleni hadi majira ya usiku

yalipofika,alianza kuandaa

chakula,walipomaliza kuandaa walikula

pamoja kisha alice alipumzika ila

madam Leticia alikua na shauku sana ya

kuzungumza na mr kelvin alichukua

simu yake kwaajiri ya kutaka kumpigia

lakini kea bahati mr kelvin nae ndio

alikua anaingia ndani, Leticia

alimsogelea na kumkumbatia kwa

nguvu sana na mabusu kama yote.

"Karibu sana kelvin."

"Asante, Leticia natamani walau

ningeoga mwili wangu umechoka sana."

"Sawa ila utatumia bafu la nje maana

alice amelala chumbani."

"Sawa,mr kelvin alioga maji kisha

akapata chakula na kisha wakaanza kuzungumza.

"Lety ulikua sahihi kua nimekosea kuoa

kwa mara ya kwanza,yule mwanamke

alikua anamtesa sana mwanangu japo alikua haongei lakini nimethibitisha hilo

leo baada ya kumwagia chai yamoto bila huruma."

"Ati nini?, kelvin nilijua tu kuwa yule

mwanamke hana huruma ni mwenye

kislani muda wote nilikua najiuliza sana

uliwezaje kumuoa."

"Bàsi tuachane na hayo,mimi na wewe

tulikua na mahusiano kabla ya mama

alice nikaoa nikawa na furaha kwenye

ndoa yangu lakini bàdo uliendelea

kuniheshim ukanipa ushauri mzuri sana nikaufata ila najiuliza kwanini huna mtu mpaka sasa?."

"Kelvin unajua sijawahi kuridhishwa na mwanaume yoyote zaidi Yako."

Mr kelvin alimtazama Leticia akiwa

anamtazama kwa macho fulani hivi ya

matamanio na kwakua alikua na muda

mrefu hajakutan nae kimwili akajikuta

ameshindwa kuvumilia alisogea karibu

yake

na kumpa denda leticia kabla

hajakaa Sawa akaanza kumpapasa

kwenye mwili wake maskini Leticia

alikua dhaifu kwa mr kelvin hivyo

wakajikuta wako kwenye chumba cha

wageni baada ya kufika safari yao.

Leticia bàdo aliendelea kumpigia saluti

mr kelvin.

"Mpenzi wangu,japo umri wako

unasogea ila hujawahi kupunguza moto

wako yaani ndio kwanza unazidi hadi

najihisi mwenye bahati sana kuliko kitu

chochote nachotamani kuwa nacho."

"Bàsi usijari kuhusu hilo ila sasa ni muda wa kurudi nyumbani,najua nitamsumbua

alice ila nataka afurahie saplaiz yangu

akiamka asubuhi,naomba nimalize siku ya kesho na binti yangu."

"Ohk Sawa nawezaje kukataa? Nitaandika ripoti kuwa alice anaumwa

hivyo usijari." Leticia alimb'usu mr kelvin kisha wakaagaana..

Mr kelvin amehamia kwa Leticia je

unadhan alice akijua kuwa baba yake

anatoka na madam wake itakuaje?

Usikose itaendelea....

TUMAINI LANGU 05

NASSRAH

ABDULLAH WSP 0725431019

Mr kelvin akiwa kwenye gari na binti

yake wakielekea nyumbani kwao majira

ya sa4 usiku mara simu yake ikaanza

kuita. Namba ilikua ngeni ila alipokea na kuzungumza.

"Hallo mambo mwanangu mkono wako unaendeleaje kipenzi changu." Mr kelvin

alikua ameshtuka sana na kujiuliza ni nani ambae amepiga hiyo simu maana

sauti ilikua imetulia sana, alimtazama

binti yake ambae alikua amelala fofofo.

"Hallo,alice binti yangu ni mimi mama

hellen.." alizungumza tena na mara hii

mr kelvin alishusha pumzi kisha akasema.

"Ni mimi baba yake nilikua najiuliza nani

amenipigia simu usiku huu,na sasa

nimegundua ni wewe,madam alice

amelala lakini kabla ya yote nataka

tuzungumze kwanza na wewe kama utakua tayari,ila ni lazima uwe tayari

sababu Ili suala linamuhusu binti yangu hivyo ni lazima."

"Ooh samahani sana,sikujua kama alinipa namba yako, nilihisi anasimu yake mwenyewe na nilikua nataka kumjulia hali yake tu."

"Usijari yupo salama kabisa."

Miss hellen alikata simu mr kelvin

alimtazama binti yake na kutikisa

kichwa chake,na walifanikiwa kufika

nyumbani kwao salama alimbeba binti

yake na kumuingiza ndani.

Usiku huu mr kelvin hakuweza kupata

usingizi kabisa alikua anawaza kwanini

miss hellen anamuita alice binti yake.

Alikua sebleni akinywa pombe na

kutamani kuzungumza na binti yake,

aliingia chumbani kwa mwanae na kila

akitaka kumwamsha Ili amuulize akahisi

kua atamsumbua alimuacha aendelee

kupumzika,nae akapitiwa na usingizi

hapo hapo chumbani kwa binti yake.

Asubuhi mapema wakwanza kuamka

alikua alice alifumbua macho yake huku

akipiga mihayo,na kujinyoosha nyoosha, alikanyaga mguu kwenye sakafu ya

chumba chake kilikua chenye baridi

sana na hata mazingira ya chumba hiko

yalikua tofauti,vitu vingi vilikua vipya na vya kisasa rangi ya chumba na kila kitu

kilikua kizuri sana,alice alipiga hatua

kuelekea varandani,na huko pia alikuta

mambo yamebadirika sana,alizidi

kushangaa maana imekua ghafla sana.

Alirudi chumbani haraka na kumwamsha baba yake.

"Baba..! Babaaa! Kwanini yaani imewezekanaje?."

Mr kelvin alijinyoosha kisha

akamwambia mwanae. "Mwanangu nilitaka iwe saplaiz kwako haya sasa umefurahi?." "Baba nimefurahi sana,asante kwa kila kitu baba."

"Asante mwanangu hatimae nimeona furaha uliyokua nayo baada ya miaka miwili ambayo sikuwahi kuiona."

Alice alizidi kutaka kuingia kwenye bafu

za nje na stoo baba yake akamwambia.

"Binti yangu huko bado sababu nilitaka

kumaliza kwamza sehemu hizi za wazi

ili ufurahie na kwakua umeonesha

kuzipenda basi mafundi leo watakuja

kumalizia na baada ya muda mchache tu kengele ya mlangoni ilisikika na mr

kelvin alifungua mlango walikua

mafundi. Aliwakaribisha ndani kwaajiri ya kuendelea na kazi yao alice

alimpongeza sana baba yake kwa kuwa baba bora kwake.

Waliandaa kifungua kinywa pamoja

huku baba yake akimuomba sana binti

yake awe makini asijiumize na baada ya

kumaliza waliwaita mafundi kwaajiri ya

kupata chai pamoja.

Walikaa mezani na mafundi wawili na

wao pia fundi mmoja akasema.

"Mr kelvin nakuonea wivu sana umekuza

binti ambae anaupendo sana na

wewe,na pia anafuraha sana natamani

pia binti yangu kama angekua haraka huenda na mimi ningekua napata muda

kama hivi na mwanangu."

Alice alitabasam na baba yake akamwambia.

"Ni kweli kabisa japo kuna changamoto nyingi sana kwenye maisha ila fundi usijaribu kumuacha mama wa mtoto wako mwenyewe labda mtenganishwe na muumba wetu."

"Nakuelewa sana kaka, nampenda sana mkewangu na sitaweza kumuacha."

Walicheka na kuendelea kula huku wakili

story zingine na muda alice alisema kua

ameshiba akamuomba simu baba yake

na kwakua baba yake muda huo hakua

na mawazo yoyote kuhusu mwanae, alichukua simu yake na kumkabidhi alice.

Alice aliingia chumbani kwake na kuandika namba ya miss hellen lakini

ajabu akaona imeseviwa miss hellen

wakati hakumpigia,aliamua kumpigia Ili amuulize, simu iliita sana bila ya

kupokelewa lakini muda huo alice

alikuwa amelala tena hotelini. Simu iliita

mara ya kwanza hakupokea ikaita tena

mara ya pili ndipo alishtuka na kuipokea.

"Hallo...!"

"Mama...!"

"Alice..?".

"Ndio, samahan nimekuta namba Yako

imeseviwa kwenye simu ya baba yangu."

"Ooh usijari sababu jana usiku nilipiga

akaipokea yeye na sikujua kama namba

ilikua ya baba yako, nisamehe sana."

"Usijiskie vibaya kabisa,hata mimi nilifanya makosa kea kukupa namba ya baba bila kukwambia."

"Usijari mwanangu unaendeleaje mkono wako?."

"Nipo sawa kabisa,na wewe unajiskiaje kichwa hakiumi tena?."

"Aah kidogo najihisi mwenye kuimarika,

nimekukumbuka sana binti yangu."

"Hata mimi mama."

Walizidi kuzungumza mambo mengi

sana kiasi kwamba alice alijisahau

kabisa kama anatumia simu ya baba

yake,maana hata baba yake aliingia

chumbani lakini hakua na habari yaani

alizidi kuzungumza na simu tena kwa

furaha sana.

"Alice...!" Baba yake alimshtua,nae

alikata simu na kuweka kitandani

kwake. "Baba..!" Mr kelvin alisogea na kukaa kitandani kwake na kumuuliza.

"Unaongea nini muda wote huo? Na

unaongea na nani?."

"Baba... Naongea na rafiki yangu."

"Bàsi sawa, tunaweza kutoka mara moja." "Baba nilitaka kukaa nyumbani leo."

"Aah kwakua kuna mafundi hapa bàsi twende nikakuache kwa mama harson mara moja kisha nikirudi nitakufata."

"Sawa baba."

Mr kelvin na mwanae waliwaaga

mafundi na kutoka pamoja,alimuacha

alice kwa jirani yao ambae alikua rafiki wa karibu sana na mama yake

alice,kisha akaondoka zake.

Safari yake iliishia kwenye hotel ambapo

alimuelekeza miss hellen ambapo

atakuwepo, mr kelvin alifika na kukutana na miss Hellen walisalimiana kisha mr

kelvin akamuuliza.

"Unaendeleaje?."

"Niko Sawa kwa sasa."

"Ohk Sawa, samahan madam ila nilihitaji

kujua umekutana vipi na binti yangu bàsi

mmekua marafiki tena anakua na furaha

sana kama akiongea na wewe,sijui unaweza kuniambia?."

"Ndio

kabla ya yote nikupe hongera sana kwa kupata

mtoto jasiri sana na

hakuna shida,kwanza

mwenye huruma na upendo. Alice ni binti mwenye tabia njema sana,na mara

ya kwanza nimekutana nae makaburini.."

"Nini? Ilikuaje yaani huko yaani mlionana

vipi maana umenitisha."

"Ooh inafurahisha naona kama umeshtuka sana ila ni kawaida tu,maana

mimi sio mzimu,nilikua kwenye kaburi la

kijana wangu pia ambae umri wake ni Sawa na alice,nilikua naongea na

mwanangu kana kwamba ananiskia

lakini ghafla nae alikuja na kunikumbatia

kwa nyuma akaniita mama. Alivyoniita

hivyo moyo wangu ulienda mbio sana

nikamgeukia na kumkumbatia pia

nilijiskia faraja na nikahisi nimepata

amani ya moyo. Alinipa nafasi ya kuniskiliza na mimi nikamsikiliza pia

nilijikuta navutiwa nae na kumpenda

sana kwa siku ile alinifanya nijiskie

tofauti na siku zote ambazo nimeishi

nikiwa na mawazo ya kumuwaza kijana

wangu,nilijiskia faraja zaidi aliponiomba

aniite mama,na mimi nilimpa ruhusa ya

kuniita vyote atakavyo maana

nilimuahidi kua nitaitikia."

Miss hellen alikua anazungumza kwa

hisia zilizo ndani kabisa ya moyo wake

hadi mr kelvin akamuhurumia na kumpa

kitambaa kwaajiri ya kufuta machozi

yake na kwa jinsi miss

hellen

alivyojieleza vizuri mr kelvin alionekana

kuelewa sana kuhusu binti yake kuwa wa tofauti na siku zote. Alikaa Sawa

kisha akazungumza.

"Naelewa sana kwa jinsi unavyojiskia,pole sana nayajua

maumivu ya kumpoteza mtu ambae

ulikua unampenda, nisamehe kea

kukufikiria kuwa wewe ni mtu

m'baya,sasa namuelewa mwanangu pia."

Walikaa karibia dakika tatu bila

kuzungumza chochote kile mr kelvin

akamwambia.

"Miss hellen nisamehe kwa

kukukumbusha maumivu yaliyopita,sina hata swali lingine nashukuru kwa kukubali kuniskiliza,pole sana."

Miss hellen hakusema chochote kile

zaidi ya kubaki kimyya mr kelvin aliamua

kumuaga na kuondoka zake,miss hellen

hakuonekana kuwa Sawa,na hata mr

kelvin alitembea na kufika mbali lakini

alipotazama nyuma alimuona miss

hellen na aligundua kua hayupo sawa,alirudi tena na kumwambia.

"Madam naweza kukupeleka nyumbani ukapumzike?." "Hapana nitakua sawa usijari."

Miss hellen alisimama na kuelekea

ndani ya hotel wakati huo mr kelvin

akiwa ameganda pale akimtazama miss

hellen akizama ndani ya jengo hilo la hotel. Hakutaka kuacha lipite alisogea hadi mapokezi na kuulizia jina la hellen

akaambiwa hakuna mtu anae itwa

hellen hapo mr kelvin alimuelezea dada wa mapokezi ndipo alimuelewa na

kumwambia kua ni mteja wao wa

kudumu na mwanzo alikua akija na

kijana wake hapo mara kwa mara hivyo

hapendi kuandika jina lake anatumia jina

la kijana wake kuandika hapo mapokezi.

Mr kelvin alizidi kujiskia vibaya sana

maana alihisi huenda yeye Ndio

amemuongezea huzuni baada ya

kumuhisi vibaya.

Je unadhani itakuaje usikose

itaendelea....

TUMAINI LANGU 06 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Mr kelvin baada ya kupata taarifa

chache kuhusu miss hellen aliamua

kuondoka zake kuelekea hospital

ambapo alikutana na sospeter

kumuuliza kuhusu miss hellen kama

alihojiwa lakini mr sospeter hakua na

jibu maalum mwisho akamwambia mr kelvin.

"Dr kelvin haya mambo yashapita kwanini unataka kuyakuza? Mumewake aliniambia mjamzito hataki mke wake alee mtoto mwenyewe na alisema amefanya hivyo sababu ya pombe tu kwanini unataka kufanya mambo yawe mengi?."

"Ooh kumbe ni mjamzito alafu anampiga hivi huoni bila kukanywa huyo mtu

hatoweza kuacha kumpiga?,na je

akimsababishia kifo au akimpoteza

mtoto wake sababu ya kifo itakuaje?."

"Aah we dr kelvin sijui upoje yani,mi

nimechoka na mambo yako bwama hebu niache."

Mr sospeter aliondoka na kumuacha dr

kelvin akiwa anamtazama huku alitikisa

kichwa chake nae akaamua kuondoka

zake pia.

Upande wa nyumbani kwa miss

hellen,mr Denis alikua hana amani

maana ni siku ya pili hellen hajarejea

nyumbani,alikua na wasiwasi sana min

haikai mbili haikai akachukua simu yake na kujaribu kupiga lakini haikua

ikipatikana mr denis alikwazika sana

mama yake akamuuliza.

"Mwanangu inamaana hizo hasira zote ni kwaajiri ya kutorudi kwa hellen tu hapa ndani? Wakati unatakiwa kufurahia kuwa ameamua kuondoka kwa ridhaa yake mwenyewe?."

"Mamaa..! Maneno yako yananikwaza

sana na sipendi kuyaskia yakitoka kinywani mwako."

Mr denis aliamua kutoka nje na

kumuacha mama yake akiendelea

kuzungumza mambo ya kuzidi kumkejeli

mama Elias ( miss hellen),japo mr denis

hakupenda.

Alipokua nje maneno ambayo

alimwambia hellen yalikua yanajirudia

kichwani kwake, na kumfanya yawe

kama moto moyoni mwake,alijiambia

mwenyewe.

"Hellen ni mwanamke mzuri sana na wakipekee ambae nikimpoteza kamwe

sitampata mwanamke kama yeye

lazima nimtafute na nimuombe

msamaha Ili tuweze kuwa

pamoja,siwezi kumuacha awe na maumivu zaidi ya yale aliyopitia."

Mr denis alizungumza hivyo mwenyewe

na alipotaka kupiga hatua kwaajiri ya

kuondoka mara simu yake ikaanza kuita

alipotazama jina lilisomeka wife

hakupokea aliweka mfukoni na na

kuondoka zake.

Alice alikua na harson nyumbani kwao

mama wa rafiki yake walikua wanasoma

pamoja,harson akamuuliza alice.

"Unaonekana mwenye furaha tofauti na ile juzi kuna nini?."

"Baba yangu,ameahidi kunipenda na hatoniacha tena,atahakikisha furaha

yangu siipotezi tena." "Alice na vipi kuhusu mama yako...?."

"Aaah! Harson ni maswali gani ya kumuuliza rafiki yako?, alice mwanangu

wala usijari kuhusu hili litapita na kila

kitu kitakua sawa ila yule mwanamke hakuwahi kuwa mzuri kwako ulikua

umekonda sana lakini kaondoka jana tu lakini tayari naiona furaha iliyopo usoni kwako na tabasamu lako ambalo ulikua

nalo siku za nyuma."

"Ni kweli mamdogo nashukuru sana kwa upendo wako." "Usijari ila kuwa makini na kidonda chako mwanangu." "Asante

kwa kunijari nitakua makini muda wote mama."

"Sawa alice ila utaishi na baba yako pekee?." Alice alimtazama mama yake

mdogo na kujikuta akikosa majibu, mama huyo alimchukua alice na kuingia nae chumbani kwake kisha akamkarisha

kitandani na kumwambia.

"Alice wewe ni binti mkubwa sasa na ni wazi bàdo hujakua msichana kamili bila

shaka hujavunja ungo.."

"Ndio mama."

"Sasa bàsi lazima uwe na mtu ambae

atakua karibu yako akifatilia mwenendo wako na hilo litategemea na wewe."

"Mama unamaanisha nini kusema litategemea na mimi?."

"Alice usimpe nafasi baba yako aoe mwanamke anaempenda yeye, hakikisha kua kuna mwanamke

wakaribu yako ambae anakupenda sana na anaweza kukusaidia pindi

utakapokua na tatizo la aina yoyote

ile,nakushauri hilo sababu mwanamke

ambae ataoa tena baba yako hatoweza

kukujali wewe ila ukipata wa kukujali

wewe hata baba Yako atafurahia na kuona ni mtu sahihi na kuvutiwa nae kumuoa."

Alice alipoambiwa hivyo rafiki wa mama

yake moja kwa moja akamfikilia miss

hellen lakini alipokumbuka kua siku

ambayo alikutana na miss hellen kuna

mwanaume ambae alimtambulisha

kama ndio baba wa mwanae hii

ilimfanya ajiulize sana maswali mengi

kuhusu mwanamke ambae atamjari na kumpenda yeye atampata wapi muda

huo hata madam wake Leticia

hakumfikiria kabisa sababu aliamini kua

madam Leticia na baba yake ni marafiki

tu hakuwahi kumuweka kama atakua

mama yake.

Mwanangu,yule ni mwanaume,alisema

hivyo Ili asijiskie vibaya,na mara nyingi

mtu akiwa mpweke kuna mambo mengi

yatamfanya ajiskie vibaya na ajiskie

"Lakini baba alisema hatooa tena."

tofauti sana hivyo unapaswa kufata ushauri

Alice alikubali na kumwambia kua atalifanyia kazi.

Baada ya kukubaliana na hilo walirudi

varandani na kumkuta harson na baba yake alice,alice alifurahi sana kumuona

baba yake alimsalimia,kisha mr kelvin akazungumza.

"Asante sana mama harson kea

kushinda na mwanangu kwa muda wote huo nakushukuru sana."

wangu."

"Usijari kaka mimi mama yake pia alice siwezi kumtenga kwa chochote."

"Nashukuru sana kwa upendo wako kwa

binti yangu haya we kajamaa wacha

bàsi nikuage kwa namna hii."

Mr kelvin alimuaga harson kwa kupeana

tano kisha wakaondoka zao,lakini baada

ya mr kelvin na alice kuondoka mama

yake harson alionekan kuwa na tabasamu sana alikua ameganda

alipokua amesimama na harson

alipobamiza mlango alimuona mama

yake jinsi alivyoshtuka na kumuuliza.

"Vipi mama mbona unaonekana umefurahi sana?."

"Ndio nimefurahi sana kuona alice amekua na furaha,hajawahi kuwa na furaha tangu mama yake alipofariki nimejiskia faraja kwaajiri yake."

"Bàsi Sawa mama mimi naenda kucheza mpira."

"Harson sana 11 hii jaman."

"Mama kwani kila siku naenda muda

gani usiwe na wasiwasi kila kitu kitakua Sawa."

Harson alimb'usu mama yake na kubeba nguo zake na mazoezi na kuondoka zake na baskeli yake.

"Lazima nitahakikisha naolewa na kelvin,na nitamshawishi sana alice hadi aniombe ushauri hapo ndipo

nitajichagua mimi na najua hawezi kukataa sababu anajua mimi ni mtu

ambae nitampenda yeye pamoja na baba yake pia."

Yalikua maneno ya mama harson alikua

akiyazungumza akiwa na tabasamu usoni kwake.

Mr kelvin na mwanae waliporudi nyumbani kwao alice alikuta kuna

mahitaji mengi saña amenunua baba yake, akamuuliza.

"Baba kwanini umenunua vyote hivi?."

"Nahitaji unifundishe kupika nataka niandae kitu kwaajiri ya saplaizi nadhani utaipenda sindio?."

"Baba saplaiz tena?,nini hiko?."

"Sasa alice nishasema saplaiz kwanini unataka nisema si nitaharaibu jamani?."

"Sawa baba." Alice alihisi huenda maneno ya mama yake harson ndio

yanaanza kutimia hivyo alijibu tu hakua amefurahia.

Alimsaidia baba yake kuandaa chakula

cha pamoja,walihangaika sana kuandaa

hiko chakula maana hakuna ambae

alikua mtaalam wa kupika Kati yao. Ila

wajitahidi kadri ya uwezo wao hadi

wakafanikisha japo walitumia muda

mrefu sana kupika.

Majira ya saa moja usiku kengele ya

mlangoni ililia alice alikimbilia mlangoni

kufungua mlango akiwa na shauku sana

ya kutaka kumuona mtu huyo ila baba

yake hakua na wasiwasi wowote

alichukua simu yake na kuingia

chumbani kwake.

Alice alipofungua mlango alikutana na harson.

"Mambo harson.."

"Poa vipi uko Sawa?."

"Aanh ndio nipo sawa ila unaweza kuungana na sisi kwa chakula cha usiku?."

"Aah usijari alice tutakula siku nyingine

maana mimi natoka na marafiki zangu

leo." "Rafiki zako?,mnaenda wapi?."

"Tumepata ofa kutoka kwa coach wetu

kwahiyo hapa naenda kujiandaa

tu,tufanye siku nyingine bai." Harson

alimuaga alice kwa busu la shavu kisha

akakimbikia zake. Alice alishangaa sana

kuona harson amem'busu na hakuwahi

kufanya hivyo kabla.

Alirudi ndani lakini kichwani kwake

akiwa na mawazo sana, aliingia

chumbani kwake na kukaa kitandani

kwake. Alikaa kama nusu saa akatoka

varandani na kumkuta baba yake

amelala kwenye sofa akamwamsha.

"Baba..!,babaaa..!"

"Alice vipi ni muda gani huu?."

"Saa nne hii baba,njaa inauma sana."

Mr kelvin alitazama saa kupitia simu

yake akaona ujumbe akausoma

ulimfanya ajiskie vibaya sana akaamka

kutoka kwenye sofa na kumwambia

binti yake wakale lakini wakati

wanasogea mezani mara kengele ya

mlangoni ikasikika,alice alisogea

mlangoni kwaajiri ya kutakaa kufungua

mlango,halo bado alikua anajiuliza

maswali mengi sana atakua ni nani, lakin hakua na majibu

yoyote,alipofungua mlango alishtuka

sana maana hakutegemea kuona saplaiz ya aina hiyo...

Je unadhani itakuaje usikose itaendelea....

TUMAINI LANGU 07 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Alice alipofungua mlango alishtuka sana

maana hakutegemea kuona alichokiona.

Alikua miss hellen na alishindwa kuzuia

hisia zake kabisa maana alifurahi sana

ujio wake japo hakutegemea na alijiuliza maswali mengi sana.

"Mama karibu sana."

"Alice asante sana binti yangu mrembo,ila usiniite hivyo sitaki baba

yako ajiskie vibaya kwa kuniita hivyo

Sawa kipenzi?."

Alice alimtazama baba yake,na kwao

muda huo mr kelvin nae alikua

amesogea karibu na aliposimama miss

hellen akiwa anatabasam akamkaribisha.

"Karibu sana madam,japo sikutarajia

kama utakuja kutokana na ulivyojibu

kuwa hutowahi." "Asante sana."

Baada ya ukaribisho huo walisogea

mezani mara hii alice akiwa kipaumbele

sana kwenye kuzima taa na kuwaacha

mishumaa ili kupata chakula kama

alivyoandaa baba yake.

Walianza kula chakula,vilikua vyakula

aina mbalimbali,tambi chipsi kidogo wali

nyama,chapati na zagazaga

nyingine,miss hellen alijaribu kula wali na mboga za majani aise wali ulikua

kama mchele wa kuloekwa Yaani ulikua

unatafunia na kwenye mboga sasa

ulikua na viungo vingi vya chumvi miss

hellen alishindwa kujizuia kabisa na

kutakaa kwenda washroom kwaajiri ya

kuutema. Alice alimpeleka kisha akarudi

mezani.

"Mwanangu tutaomba tu msamaha

wala hatukutarajia hili." "Atakua amekasirika sana jamani."

Alice alizungumza hivyo na kuinamia

chini kwa aibu. Miss hellen wakati

anatoka washroom akatazama jikoni

alishtuka kuona vyombo vimechafuka

tena vingi mno Hata huko jikoni pia

palikua pachafu sana alitabasamu na

lakini kurudiudi sehemu ya kulia chakula

kabla hajakaa kwenye kiti alice na baba

yake walizungumza kwa pamoja.

"Baba tumeaibika unajua..?"
"Unasjikia vibaya?."

"Hapana wala msiwe na wasiwasi,nipo

sawaa ila sema tu jino linanisumbua

kama nikila chakula kea pupa mniwie

radhi kwa kilichotokea lakini chakula

kitamu sana.

Alice na baba yake waligongeana

mikono na kuendelea kula vyakula vyao

Huku kila mmoja akianza kula chakula anachokipenda.

"Nimefurahi sana kukuona nyumbani

kwetu rafiki yangu,nilitamani sana

tukutane kama hivi tena nikiwa na baba

yangu na nikutambulishe lakini haikua

hivyo,na baada yake tulikutana sehemu

nyingine tofauti tena nikiwa

mwenyewe,na alipogundua

nafahamiana nawewe akatilia shaka

urafiki wetu japo nilijiskia vibaya."

"Alice kipenzi usijiakie vibaya, wapenzi

wetu kutilia shaka kwa wapendwa wao

ni jambo jema sababu hapendi kuona

umepatwa na jambo baya,na anafanya

hivyo Ili kukurinda,au unachukia baba

yako kukurinda?."

"Hapana mama." "Alice..! ndio baba"

"Nisamehe sana ila niliamua kufanya

hivi Ili kuhakikisha naitumia nafasi ya

kukufanya uwe kwenye furaha binti

yangu. Japo urafiki wenu ulinitia

mashaka na jinsi ulivyokua unamuita ila

nilimtafuta na kuzungumza nae ukweli

maelezo yake yalinifanya niumie sana

na kuona jina nafasi ya kufanya jambo Ili

wote muwe na furaha sikutaka kuzidi

kuwaumiza ikiwa ninaweza kufanya

muwe na furaha. Na ndio nikaamua

kumuarika nyumbani kwetu bila shaka

madam hellen amefurahi na wewe umefurahi sindio?."

"Ndio baba na sikutegemea kama ungenifanya usiku huu uwe wa kipekee kwangu,rafiki yangu, nakupenda sana."

Alice alishika mkono wa miss hellen na kuubusu kwa furaha.

Jinsi miss Hellen alivyokua

anamtazama alice na kutabasam

alijikuta anaingia kwenye dimbwi zito la mawazo kwa kumbukumbu zilizopita na

kuhisi yupo na kijana wake elias anazungumza.

"Siku zote shujaa wa mzuri hupigania

kile anachokipenda na kamwe hawezi

kukataa tamaa na nimeona jinsi gani

huwezi kukata tamaa kwaajiri yangu

mwanangu, nakupenda sana eli..."

Kabla hajamaliza kuzungumza akataka

kumtaja elias ila hakuweza kumalizia

machozi yakadondoka lakini bado akiwa

anamtazama alice akiwa ameshika

mashavu yake,alisimama na

kumkumbatia alice kwa nguvu sana. Mr

kelvin alikua akimtazama miss hellen na kumhurumia sana na kuhisi anapitia

wakati mgumu sana ndiomaana amekua na kilio muda wote.

Alice alimuuliza.

"Mama kwanini unalia ikiwa

tulikubaliana kuwa hatuhitaji kuona

machozi ya wapendwa wetu

yakidondoka mbele yetu,unahisi ni vizurii kudondosha machozi Yako mbele yangu?."

Miss hellen alishtuka na kutoka kwenye

mawazo na kujikuta amemkumbatia alice, alimb'usu alice na kufuta machozi yake kisha akachukua pochi yake na kutaka kuondoka zake lakini mr kelvin

akamzuia kwa kuzungumza.

"Madam hutakiwi kuondoka kama

hivyo,sababu bado sijasema

kilichofanya nikuite tafadhali nakuomba usiende."

Alice alifurahi na kuyakumbuka maneno

ya mama harson kuwa anahitaji kupata

mama ambae atakua upande wake na

alihisi miss hellen anampenda sana

hivyo atakua upande wake.

Miss hellen alikua amesimama na mr

kelvin alimsogelea na kumwambia.

Mr kelvin alimsogeza kwenye sofa lakini

moyo wake ulikua unaenda mbio sana

sio kawaida mara tu ya kumshika miss

"Tafadhali naomba upumzike hapa."

hellen,kisha alisogea mezani akamimina

maji kwenye glass na kumpelekea miss

hellen, nae alipokea na kuyanywa kisha

akamshukuru mr kelvin na kumkabidhi

glass mr kelvin alirudisha glass na

kumuonesha mwanae ishara ya

kumkazia macho aende kulala,alice

alitabasam na kusimama akamfata

miss hellen alimkumbatia na kum'busu

kisha akaenda kulala.

Mr kelvin alisogea kwenye sofa na

kukaa,alikaa mbali nae kidogo maana

angekua karibu yake angehisi kua na

uoga na huenda asingeweza kuwa na

ujasiri wa kuzungumza nae.

"Madam nisamehe sana kama

nimekuumiza,nilitamani pia tukutane

kwa namna nyingine lakini matatizo yetu

na mwanangu ndio yamefanya ukutane

nae nae na kisha baba yake. Mwanzo

skuelewa ila sasa naelewa,hellen nilihisi

hutokuja baada ya kuona ujumbe wako

ila ujio wako

umenifanya nijiskie vizuri sana japo haikua

nzuri kwako."

"Usijari nimefurahi sana kupata mlo na alice na wewe pia,na matatizo yangu

yote ila mmeamua kuwa upande wangu

nashukuru sana kwa kila kitu,na pia samahani tu kwa kujibu vile maana

nilihisi kua sitawahi baada ya ratiba

zangu ila nimekuja japo kwa kuchelewa."

"Pia

tunashukuru,ila kama utakubali ningependa nikuombe kitu madam hellen."

Alice alikua kwenye mlango wa

chumbani kwake alikua hajalala alikua

anasikiliza maongezi ya baba yake na miss hellen,na baada ya kusikia baba

yake anaomba kitu akatamani kusikia

baba yake kua anampenda hivyo alikua na shauku sana ya kuskia hivyo.

"Miss hellen najua imekua mapema

sana ila ningependa sana kama

ungekua rafiki yangu pia kama ulivyokua

marafiki na binti yangu. Je utakua tayari kuwa marafiki na mimi?."

Alice alishangaa sana kwanini baba

yake asingemwaga madini tu na kufanya

mambo yawe mengi japo alipenda

maana alihisi wakiwa marafiki

wanauwezo wa kuwa pamoja kama

wapenzi maana watakua na mawasilian ya karibu sana. Miss hellen alitabasam na kusema.

"Mnataka niwe rafiki yenu? Ninawezaje

kukataa ila sitaki kuwaumiza kwa

namna yoyote ile kutokana na hali yangu nayopitia."

"Madam usijari hata sisi tumepitia

mambo mengi sana na tunahitaji

kubadirisha taswira iliyopo akilini mwetu

tafadhali nakuomba ukubali."

Miss hellen alikubali japo hakua na uhakika na jibu lake,ila aliamua kukubali hakutaka kumkatisha tamaa,mr kelvin alifurahi sana kisha akamwambia.

"Kwa kudhirisha umekubali tunaweza kunywa pamoja?."

"Hapana mr.. sababu situmii kilevi,naona muda umeenda sana,nafikiri muda huu natakiwa kuondoka na niwaache mpumzike."

"Madam lakini ni usiku sana sasa

kwanini usilale hapa?, tafadhali

nakuomba alice akiamka na

asipokukuta atajiskia vibaya na

kunilaumu kwanini nimearuhusu

umeondoka usiku sana,atakua na wasiwasi sana."

Miss hellen alitabasam baada ya kuitwa

mkuu,kisha mr kelvin alimuonesha

chumba cha hellen. Alipoingia alivutiwa

nacho sana maana kilikua kinavutia

kuliko kawaida,alisogea kwenye kitanda

cha alice na kum'busu huku akihisi alice

amelala kumbe hakua hata amelala.

Alipom'busu na kugusa nywele zake

alice alishika mkono wa miss hellen na

kuukumbatia,mias hellen nae akalala

"Ooh Sawa ila ni leo tu kwaajiri ya alice."
"Ndio mkuu ni leo tu."

pembeni yake akiwa amemkumbatia pia.

Mr kelvin alikua sebleni ametulia huku

akinywa wine,mawazo yake yalimfanya

amkumbuke sana mke wake muda

huo,hadi alipitiwa na usingizi akiwa hapo sebleni.

Alishtuka majira ya saa nane usiku

akaamka na kutaka kuelekea chumbani

kwake lakini kabla ya kuingia chumbani

kwake alifungua mlango wa chumba

cha alice na kuwachungulia,walikua

wamekumbatiana kwa nguvu sana. Mr

kelvin alifurahi na kufunga mlango.

Aliingia chumbani kwake,akiwa

anatabasam kwaajiri ya binti yake,akasema.

"Binti yangu anaonekana mwenye furaha

sasa sitaki kumfanya awe mwenye

huzuni tena nitafanya kila kitu kwaajiri yake na hellen pia Ili wawe na furaha, nitahakikisha hakuna kitachowafanya wakose furaha wote."

Mr kelvin alilala kitandani kwake huku

akiwaza zaidi cha kufanya kwaajiri ya alice na Hellen. Je unawaza kama alice

kua Hellen atakua mama wa alice? Tulia

hapo itaendelea....

TUMAINI LANGU 08 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715432019

Asubuhi mapema miss hellen aliamka

na kufanya usafi wa ndani kote,aliishia

vyombo vyote walivyochafua baba na

mwana usiku uliopita kisha akaandaa

chai. Hii ni kawaida ya mwanamke

yoyote ambae anajitambua hawezi

kusubiri kukabidhiwa jiko ni yeye

mwenyewe hujiongeza.

Baada ya kumaliza kuandaa chai

akarudi chumban na kum'busu alice

kwenye paji la uso alice alitabasam na kufumbua macho yake.

"Mama shikamoo."

"Marhaba mwanangu, umeamkaje."

"Vizuri mama unaendeleaje kichwa?."

"Nipo sawa hebu nioni mkono wako."

Alice alionesha mkono wake miss

hellen akamwambia. "Pole sana

mwanangu utakua Sawa."

"Nikiwa na wewe pamoja naamini kila kitu kitakua." "Haya amka basi ukaoge."

Alice aliamka na kwenda bafuni miss

hellen alikua anawasiliana na dada wao wa kazi kwa siri bila mr denis kujua wala

mama yake denis pia hivyo alichukua

simu yake na kumtumia ujumbe mfupi.

Na ilikua kama bahati kwake maana

alijibiwa muda huo huo.

"Madam uko wapi mr denis amekutafuta

sana kila sehemu hajakuona ameulizia

marafiki zako lakini hakuna aliyesema

amekuona au kuwasilian na wewe,madam kama unafurahia tafadhali nakuomba usijitokeze."

"Asante sana kwa taari aisha mdogo wangu,baadae." "Sawa boss."

Miss hellen aliweka simu kwenye pochi

na muda mchache tu alice alitoka

bafuni,miss hellen alimsaidia kumfuta

maji kisha akamtafutia nguo ya kuvaa

na kutoka chumbani pamoja.

"Habari ya asubuhi."

Sauti ya mr kelvin ilisikika baada ya kufungua mlango wa chumba.

"Mzuri sana natumai umeamka vizurii

pia."

"Ndio,ila nimeona nyumba yote ni safi."

"Ndio wala usijiulize ni kawaida yangu

kuamka mapema na kufanya hivyo."

"Miss hellen tunashukuru sana kwa

moyo wako na kujitoa kwako kwetu."

"Msijari ila kama mngeni ruhusu ningependa kuondoka sasa." "Mama...;"

"Alice sitaki majirani zenu wahisi vibaya kuhusu mimi tafadhali nakuomba, kipenzi nitakuja siku nyingine,alafu mr .. "

"Kelvin."

"Naomba usiruhusu alice autumie

mkono wake kufanya kazi ngumu."

"Nashukuru sana kwa hilo."

"Kwaherini."

Miss hellen alichukua pochi yake na

kutaka kuondoka,alice alimtazama baba

yake nae alimpa ishara kwa kumkazia

macho asimuache aende mwenyewe,mr

kelvin akatabasam na kumwambia miss hellen.

"Samahan haitakua vibaya kama

nikikupa lifti ikiwa na mimi natoka

kidogo." "Lakini hujajiandaa."

"Usijari mbona hapa nipo full kabisa."

Miss hellen hakupinga alikubali,mr

kelvin alichukua funguo za gari na simu

yake kisha wakaongozana hadi nje na

kupanda kwenye gari. Safari yao iliishia

hotelini na wakati miss hellen anataka

kushuka kwenye gari mr kelvin

alimshika mkono. Mwili wake

ulisisimkwa na moyo ukimuenda mbio

sana japo alijitahidi sana kujizuia lakini

alishindwa na kumuachia kwa

haraka sana. Miss hellen alimshangaa

me kelvin na muda mchache simu yake

ikaanza kuita ambapo ilimfanya ashtuke

na kuacha kumuangalia hellen.

Hellen alishuka kwenye gari na kuondoka zake,na kumwacha mr kelvin

pale akiwa ameduwaa kumtazama miss

hellen akielekea ndani ya geti la hoteli hiyo.

Mr kelvin alijiuliza.

"Dr sospeter anasema hellen

anaujauzito mbona hakuna dalili yoyote ambayo naihisi kwake?, na kwanini anaishi hotelini? Ila nilitakiwa kumuuliza

lakini kwanini baada ya kuondoka ndio

napata maswali mengi hivi,aah hellen

unapitia nini hadi uishi hapa hotelini?."

Mr kelvin aliamua kuondoka zake, upande wa nyumbani kwa mr kelvin

mara tu baada ya kuondoka harson

alikuja kugonga mlango na kwakua

alikua alice mwenyewe alifungua mlango na harson aliingia ndani.

"Mambo alice."

"Poa harson,ulifurahia mlo wenu na coach wenu?."

"Ndio tulienda kwenye hotel kubwa

sana na coach amesema tukijituma zaidi tutafurahia sana." "Basi kama

umeamua kukabidhi maisha yako

kwenye mpira fanya kweli."

"Asante lakini alice unajua bila ya wewe siwezi Kutimiza ndoto zangu.."

"Kwanini unasema bila mimi kwani mimi nimefanya nini?."

"Alice wewe ni rafiki yangu wa pekee sana,kwa sasa kama utakubali na utakua na imani na ndoto zangu naomba uje kwenye mechi jumatatu jioni shuleni tutacheza na kidato cha tatu na pia mechi yetu kwenye academy yetu na academy nyingine coach wetu aliletewa barua ya maombi,je utafika?."

"Lakini mimi sio mwanafunzi wa shule yenu."

"Wala usijari kuhusu hilo wanakuja

wanafunzi wengi sana kushangilia

wapenzi wao,aah namaanisha marafiki zao."

"Aanh Sawa nitakuja kushangilia kwaajiri Yako."

Harson alimkumbatia alice,huku

akimshukuru sana kwa kumuahidi kua

atafika. Huyu Harson ni kijana flani hivi wa hovyo,ni mdogo sana kiumri lakini

mambo yake ni mazito sana. Maana

tangu amebarehe na kuwa nasauti nzito

amekua na tabia ya kutongoza sana

wasichana. Na uhandsome wake ndio

unawafanya wasichana wakiambiwa

wananapendwa wanashindwa

kumkataria hivyo harson ametembea na

wanafunzi wenzake wa darasani kwake

na madarasa mengine na hata walimu

wake wakike ambao walionesha

dhamira ya kumtaka kimapenzi lakini

hao wote hakua na malengo nao sababu

yeye aliyekua anampenda kwa dhati ni alice pekee sababu ni msichana ambae

wamecheza pamoja tangu wakiwa

watoto japo alice ana miaka 15 na yeye

anamiaka 17 ila walicheza pamoja na ukaribu wao ulikua mzuri sana kutokana na urafiki wa wazazi wao.

Bàsi Baada ya kukubaliana hayo ikabidi

harson take kuondoka lakini alice

akamwambia. "Wewe unaweza kucheza game?."

"Game? Hakuna game ambalo linanishinda."

"Haya njoo nione."

Walisogea varandani na kuwasha tv

kisha alice aliweka game la mpira,alice

alikua hawezi kucheza lakini alikua

anamuongelesha harson kwa kusudi na kwakua harson alikua hana hali kwa

alice alijikuta anakosa nafasi ya

kushinda na alice kujishindia magoli

mengi dhidi yake. Harson akamuuliza.

"Nani amekufundisha game la mpira?"

"Baba yangu,baba yangu hakuwahi

kuniacha mpweke kabisa tena wakati

mama yangu pia akiwepo alikua

akitufundisha pia."

"Dah.. kea mtindo huu si hata tukisema

tucheze mechi mimi na wewe

utanishinda pia." "Hahaha kwa miguu ipo sasa hebu wacha utani sasa,."

Walipiga story nyingi sana pamoja

harson alijiskia faraja sana kuona alice

anazidi kuingia kwenye moyo wake,na

alikumbuka busu la jana na alihisi

angeweza kumuuliza lakini alice wala

hakukumbuka chochote,harson

akamwambia alice.

"Mama aliniagiza bàsi wacha niende."

"Haa harson mama Yako atakupiga

kumbe alikuagiza na wewe umekuja kukaa?."

"Usijari hata kwaheri."

Kama kawaida harson hakuwacha

kumpa wakati mgumu alice,mara hii

alimuonesha alice atazame kitu juu

akatumia mwanya huo kum'busu

kwenye lipsi zake,alice alishtuka sana na

alipomtazama harson alikua tayari

ameshafunga mlango ameondoka zake.

Alice alikua n wakati mgumu sana

kutafsiri anayoyafanya harson.

Harson alikua anatembea akiwa na tabasamu sana huku akisema.

"Nitahakikisha nakupenda sana alice tena kwa moyo wangu wote na wala

sitakuchezea sitaki kwenda kinyume na ndoto zangu kabisa."

Alikua akizungumza mwenyewe huku

akitembea kuelekea nyumbani kwao.

"Oya we mshikaji.." sauti ilisikika kutoka

kwenye gari alipotazama alimuona anko

wake baba yake na alice alisogea na kumsalimia kisha akamuuliza.

"Unaongea mwenyewe kijana una tatizo?."

"Hapana anko nawaza tu jinsi gani

tunaweza kuchomoka kwenye mechi

yetu dhidi ya badboyz fc."

"Wale vibonde tu wala wasiwape

wasiwasi alafu unajua nini? Nitakuwepo kwenye hiyo mechi kukusaport anko wangu."

"Nitafurahi sana anko."

"Bàsi Sawa nenda nyumbani."

Harson aliendelea na safari yake na mr kelvin pia alirudi nyumbani kwao na

kumkuta alice amekaa kwenye sofa akamuuliza.

"Umeboeka kipenzi."

"Ndio baba natamani kama..."

"Umemkumbuka hellen?."

"Baba hilo si swali la kuniuliza unajua jinsi gani nampenda."

"Sawa nimekuelewa mwanangu tumpe muda hellen kisha tutamuomba aje aishi na sisi." "Baba..! Kweli?."

"Ndio,kama atakubali tu."

"Sawa baba nitamshawishi sana."

"Sawa basi natoka naenda kwa mama harson kuongea nae kidogo." "Sawa baba."

Mr kelvin alielekea nyumbani kwao

harson alipofika alimkuta mama harson

kajiachia sana yaani kavaa kimtego

lakini mr kelvin wala hakua na hisia nae

kabisa sababu alimchukulia kama

ndugu wa mkewake hivyo wala

asingeweza kutembea nae.

Aliongea nae kuhusu kumshawishi kwa

mechi ya mwanae akaonekana

kumsikiliza kwa makini na kukubaliana

nae akajua siku hiyo itakua siku ambayo atamwambia ukweli."

Mr kelvin aliondoka zake baada ya

kumaliza mazungumzo lakini alikua

anamfikiria sana mama harson maana

hakuwahi kuamini kama angekuja

kumtega kwa mavazi hayo.

Je unahisi atafanikiwa kutegeka mr

kelvin usikose itaendelea.....

TUMAINI LANGU 09 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Siku iliyofata kulipambazuka kukiwa na

shamra shamra sana hasa pande zote

za team shiriki kwenye mechi hiyo ya

kishule.

Harson alikua amekaa na marafiki zake

ambao wengi wao walikua sio wachezaji aliwaambia.

"Nyie unajua kwa mara ya kwanza

nataka niwatambulishe shemeji yenu

kwenye mechi ya leo?." "Aah sony

mnyama kama kawaida yako hunaga

show mbovu,Haya huyo tena pisi wawapi?."

"Sikia Sam huyo ni mwanamke wa màisha yangu na nipo tayari kufa kwaajiri yake,maana ni mwanamke ambae nampenda sana na yeye ni kila kitu kwangu."

"Mmh unaonekana umekamatika sana na huyo mtoto haya sie tunataka tuone atawapiku akina Sara au ndo mbwembwe tu."

"Allii acha upuuzi yaani katika wanawake ambao nimewahi kuwa nao hakuna wakumfikia kwa urembo,upole na tabia njema pia."

Harson aliwaacha marafiki zake na

kwenda kuungana na wenzake kwenye mazoezi ya viungo.

Huku nyumbani kwao alice alikua

anajiandaa,kila nguo aliyokua akivaa aliona hajapendeza akamwaga nguo

zilizo kwenye kabati zote lakin bàdo

hakuona nguo ya kuvaa,akaona ampigie simu miss hellen simu haikuita kwa

"Duh ila unajua harson mtoto lilian amekuelewa sana." "Hebu wacha ujinga badae washikaji."

muda mrefu ikapokelewa na kuanza kuzungumza nae.

"Mama haupo nyumbani,kila nguo nayotaka kuvaa sioni kama napendeza

kama ungekuwepo ungenisaidia kutafuta nguo nzuri."

"Mpenzi unataka kuvaa nguo nzuri unaenda wapi?."

"Mama rafiki yangu ameaniarika kwenye

mechi yao shuleni ameomba niwe

upande wake katika kumshangiria."

tafuta skin yako nyeusi,baa na tisheti ya blue au pink vaa na nyeusi au nyeupee,na kama pink utaona tofauti

hata bluu au nyeupe zote unapendeza ukivaa."

"Ooh safi sana,ila ngoja nikuambie kitu,unajua kwa urembo ulikua nao

"Ohk baby am wait for it." Alice alikata

simu na kutafuta taiti yake nyeusi

akaivaa kisha akachukua na raba nyeusi

pia akavaa alitaja kuvaa tisheti nyeupe

akaona imewaka sana akaamka kuvaa

nyeusi,na weupe wake na nywele zake

ndefu aliwaka sana aise.

Akaenda chumbani kwa baba yake

akachukua kofia akavaa kisha

akampigia video call miss hellen

alifurahi sana kuona amevaa black

maana ni rangi yake pendwa sana.

"Mama nakupigia video call Baada ya kumaliza."

Alimsifia na alice akaona sasa ni muda wa kuelekea shuleni kwao harson. Muda ulizidi kwenda na Hatimae muda wa mechi ukawadia.

Alice alikaa sehemu ya kificho sana

alitaka kumfanya harson asihisi kama

yupo hapo. Mechi ilienda hadi kipindi cha mapumziko mambo yalienda kombo kwa maana walitoka droo.

Na Baada ya kurudi tena uwanjani

harson alicheza rafu sana kutokana na hasira ya kutowepo kwa alice coach

alimuita na kumwambia kama

ataendelea na kucheza rafu atatilewa

harson aliamua kuwa mpole na kuahidii

kua hatocheza rafu tena.

Baada ya kuendelea mechi ilianza kuwa

na presha na muda huo sasa alice

alianza kushangilia kwa kumuita harson

huku akimuonesha ishara acheze kwa

kujiamini,harson alitabasam sana Baada

ya kumuona alice na alianza kurudi

mchezoni na kuweka umakini wa hali ya

juu sana.

Marafiki wa harson walikua wanajiuliza

ni nani ambae amekua akimshangilia

harson na kumuita mara kwa mara

walisukuti lakin hawakua na majibu.

Mchezo ulitamatika kwa magori mawili

kwa moja na mfungaji wa magori hayo

alikua harson. Huwezi amini Baada ya

kupulizwa kwa firimbi tu harson alifika

kiunzi na kumsogelea alice bila haya

alimkumbatia na kumnyonya denda bila

kuhofia chochote kitu ambacho kilikua

cha kushtukiza kwa alice. Alimsukuma

kwa nguvu sana na kuondoka zake,

harson alikua na furaha kiasi cha

kushindwa kujizuia Kabisa.

Wakati amesimama akimtazama alice

akitokomea kwenye geti la kutokea

kwenye uwanja huo sam alifika na kumwambia.

"Mzee yule mtoto ni chombo yaani

alivyokua anakushangiria nikasema mh

kuna kanamna ila duh,ulichofanya

umemzalilisha mfate na umuombe msamaha."

"Kweli kaka?."

"Sony hilo sio la kuuliza we unamuachaje mtoto mzuri vile."

Harson alimkimbilia alice lakini tayari

alikua amechelewa alijiskia vibaya sana

lakini alihisi lazima atamfata."

Alirudi uwanjani napo coach wake

alimpa adhabu kwa kuvunja sheria za

shule mbele ya hadhira harson wala

hakujali alichukua begi lake na kuondoka zake.

Tukiachana na kwa hawa watoto wa

hovyo,siku hii pia miss hellen aliamua

kurejea nyumbani akiwa na bahasha ya khaki. Aligonga mlango na aliyefungua

alikua dada wa kazi (aisha) alifurahi

sana kumuona kana kwamba hakuwahi

kuonana nae kwa muda mrefu.

"Madam umerudi nyumbani."

"Usijari aysha nimerudi ondoa shaka."

Aysha alienda kwenye friji na kuchukua

maji na kumpa huku akionesha

tabasamu kwa boss wake. Hellen

alipokea akanywa yale maji na kumshukuru.

Muda mchache mr denis alitoka

chumbani alionekana kuwa tofauti sana

maana alikua amekonda

sana,alipomuona hellen alimsogelea na kumkumbatia,hellen alitikisa kichwa

kisha akamwambia.

"Pole sana denis lakini sijarudi hapa

kwaajiri ya hayo mambo tafadhali."

"Enhee we mwanamke mchawi umerudi

kufanya nini hapa?."

Hellen hakunmjibu chochote mama

denis alimkabidhi mr denis ile bahasha

kisha akamwambia.

"Ni nyaraka za taraka tafadhali una siku

tatu za kusaini hizo nyaraka bila shurruti na usipofanya hivyo bàsi utashurutishwa."

"Mkewangu unaongea nini lakini?."

"Denis mimi sio mkeo tayari ulikua

umeniacha muda mrefu sana,nataka

kuendelea na maisha

yangu sasa, tafadhali nakuomba."

"Hellen usiondoke tafadhali mimi ni mkosefu naomba usinifanyie hivyo hebu mfikilie mwanao angalau."

"Mwanangu?,mr denis nilishakuambia elias kijana wangu amenifanya nikuchukie sana na kamwe sitakuja

kukuona wewe ni mtu mwema sahau

kwenye maisha Yako."

Miss hellen aligeuka na kuondoka

zake,denis aliumia sana,na kumlilia

hellen pia mama yake alishangaa kuona

kijana wake amebadirika sana na hajui

nini kimemfanya abadirike hajui

kwamba nafsi yake inamsuta kwa

mambo aliyoyafanya.

Wakati miss hellen yupo kwenye gari

akielekea hotelini simu yake ilianza kuita

alikua alice tena alikua analia kwa

kwikwi hakuweza kumuelewa kile

ambacho alikua anazungumza

akamuuliza atakua wapi muda huo alice

alikata simu na kumtumia ujumbe na kumwambia kua yupo nyumbani kwao.

Miss hellen ilibidi apitilize kuelekea

nyumbani kwao alice moja kwa moja.

Alifika na alipogonga mlango alice alifungua na kumkumbatia kwa nguvu

sana.

"Mmamy una shida gani na ulikua na furaha sana uliponipigia?."

"Mama harson,harson amenibusu mbele ya watu, naogopa sana kama baba yangu atajua ameniaibisha sana."

"Ooh ni huyo rafiki Yako?." "Ndio mama."

"Ooh pole sana ila nataka kuongea na wewe tafadhali,na tutaongea ukiwa umetulia Sawa mpenzi?."

"Sawa mama."

Walikaa kea muda kidogo kisha miss

hellen alizungumza na alice kwa upendo sana.

alichokifanya sababu hukua unajua

kwanini amefanya hivyo nadhani

hukufikiria chochote kama anaweza

kufanya hivyo. Ila ni hisia zake ndio zimemtuma afanye hivyo."

"Alice najua umeumia sana kuhusu

"Lakini sisi bàdo watoto anawezaje kufanya hivyo?."

"Aah sasa jaribu kuongea nae ujue kwanini amefanya hivyo."

"Mama siwezi kumuangalia usoni

kabisa harson na sitaki kabisa kumuona." "Alice...!"

"Ndio mama."

"Ohk Sawa bàsi inatosha."

Miss hellen alimtuliza alice kisha

akamwambia kama anaondoka lakini

alice hakutaka aondoke alimuomba

sana alale hapo usiku huo,miss hellen

hakuona shida sababu alijaribu

kumpigia baba yake lakini hakupokea

simu ikamlazimu alale.

Lakini wakiwa wanaingia chumbani

mara mlango uligongwa kwanguvu

sana,miss hellen alikwenda kufungua

akamkuta harson mlangoni akataka

kuingia ndani miss hellen akamzuia na kumuuliza.

"Bila shaka ni rafiki wa alice,lakini

kwanini umekuja usiku?."

"Madam tafadhali naomba kuzungumza

na alice nataka kumuomba msamaha

kwa kilichotokea."

"Nimefurahi sana kwa kutambua kosa

lako,ila kama utanisikiliza itakusaidia

sana,alice analia tu huko ndani anasem umemdhalilisha hivyo sidhani kama

atakusikiliza."

Harson hakujali akataka kuingia ndani

alice alitoka chumbani na kisu miss

hellen alishtuka sana na kumzuia alice

asifanye hivyo na harson aliamua

kuondoka zake lakini wakiwa wanataka

kwenda kulala alice alitaka kwenda

kufungua lakini miss hellen alifungua

mlango.

"Hivi kwanini...."

Alishtuka sana maana nikitu ambacho

hakutegemea kukutana nacho....

Usikose itaendelea....

TUMAINI LANGU 10 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Baada ya miss hellen kufungua mlango

alishtuka sana maana hakutegemea

kukutana na kitu kama hiko.

Mr kelvin alikua amelewa sana,miss

hellen alimuita alice waweze kumvuta

ndani. Walifanya hivyo,alice alikua analia

mara mbili maana baba yake hakuwahi

kunywa pombe hata siku moja.

"Baba kwanini umefanya hivi ikiwa

hujawi kufanya maamuzi kama haya

kwanini baba."

"Binti yangu,mimi furaha yangu nikuona

mwanangu unafurahia maisha,sitaki

kukuona una huzuni mwanangu, sitaki tena kukosea kuchagua sitaki."

"Baba umelewa sana mama atakua amechukia sana."

"Nisamehe mwanangu ila kuna mambo yanaumiza kichwa changu nahisi kuchanganikiwa sana."

Miss hellen alimuomba alice amuache baba yake apumzike wazungumze kesho yake.

Usiku alice alianza kulia kwa maumivu sana,miss hellen akamuuliza kwa nini

analia,alive alishika tumbo lake na

kumwambia anaumia sana,miss hellen

aliamka na kufungua droo ya alice

hakukua na dawa akatoka sebleni

ambapo alikutana na sanduku la

huduma ya kwanza alifungua na kukuta

dawa za kupunguza maumivu alichukua na aliporudi chumbani alimkuta alice

ameshuka kitandani na shuka zilikua

zimechafuka damu,miss hellen

alimsogelea alice na kumpa zile dawa

na maji alimeza kisha akatafuta namna ya kumsaidia.

Alitoa mashuka yaliyokua yamechafuka

na kutandika masafi kisha

akamkumbatia alice kwa pamoja alice

tumbo lake lilipotulia alipitiwa na

usingizi lakini miss hellen hakupata

usingizi kabisa alikua anazungumza

mwenyewe.

"Binti amekua na hajui chochote na huyu

kijana ameanza baraa sijui nitawezaje

kumsaidia mr kelvin,na sijui nitaanzaje kumwambia, kuhusu binti yake. Elias

nafikiri alikua bàdo maana

sikuona halo yoyote ya utofauti

kwake,sijui nitafanya nini kumsaidia alice."

Miss hellen alikua anawaza sana hadi

kunapambazuka hakupata usingizi

kabisa,siku hii hakutaka kuamka

mapema. Ila alishtuliwa na mr kelvin baada ya pombe kumuisha.

"Alice...! ,Alice mwanangu."

Miss hellen alifungua mlango mr kelvin

alishtuka maana hakua anakumbuka

kama waliagana aje.

"Ooh

"Nimelala hapa mr kelvin,aah samahani hivi tunaweza kuongea?." "Aah.. ahh aku

hakuna shida tunaweza tu."

Miss hellen na mr kelvin walitoka nje

kwaajiri ya mazungumzo.

"Mr kelvin,sijui nianzie wapi kuzungumza

na wewe ila nataka kukwambia kua alice

tayari amekua mtu mzima usiku wa

kuamkia leo,sijui kama ulikua unajua

hilo au lah maana mtoto wa kike

ningumu kuwa muwazi kwa mzazi wake

wa kiume,ila nakujuza tayar ni binti

anatakiwa uangalizi wa hali ya juu sana

kwa sasa maana usipokua mwangalifu

umekuja sangapi?."

nadhani

unajua kinachofata

maana hizi hali huja na mihemko tofauti."

"Nimeshtuka kuskia hivyo ila nafurahi

kuona binti yangu amekua,ila nitawezaje

kuwa muangalifu kwake ikiwa nipo

mwenyewe,muda mwingi nakuwa kazini."

"Ooh najua lakini hata mimi niko bize

kidogo kwa sasa kuna mambo yangu

ambayo nayafatilia hivyo siwezi kuahidii

chochote ila kama nikifanikiwa kumaliza

mapema kuanzia hapo naweza kusema chochote."

"Tafadhali nakuomba hellen nisaidie

Mr kelvin alizungumza hivyo huku akiwa

ameshika mikono ya hellen,miss hellen

alimtazama mr kelvin na kushusha

kuondoa mikono yake na kumwambia.

pekeangu siwezi mimi."

"Aah natakiwa kuondoka sasa,alice kama atajiskia vibaya utampa dawa za maumivu atakua sawa nitarudi baadae kumuona."

"Sawa hellen lakini nakuomba nifikilie na mimi pia kwenye hili." Miss hellen hakuonekana kukubali wa kukataa.

Hatimae wiki nzima iliisha mr kelvin na

miss hellen wakiwa vizuri sana. Lakini

mr denis alikua anazunguka tu na

karatasi za taraka hakuwa amesaini

kabisa na siku moja akapigiwa simu na

mwanasheria wa miss hellen na

kumwambia anahitaji karatasi za taraka.

Mr denis alijibu kuwa bàdo hajasaini

hivyo asimpelekeshe na kukata simu.

Mr kelvin na miss hellen na alice

waliamua kutoka siku ya weekend

kwaajiri ya kufarahia pamoja,mr kelvin

akamuomba miss hellen wazungumze

waliamuacha alice anaogelea kisha

wakasogea kando na kuanza

kuzungumza.

"Hellen sijui utanichukuliaje ila nimekaa

nimefikiria sana nimeona wewe ndio

mwanamke sahihi kwenye maisha

yangu,na binti yangu pia,kama utakubali

ningependa tufunge ndoa Ili alice

afurahi kutuona pamoja."

"Mr kelvin...."

"Nakuomba hellen,sijui kama una

mahusian au huna maana sijawahi

kukuuliza kuhusu hilo na hujawahi

niambie ila nimeshindwa kujizuia kabisa, nakupenda sana."

Miss hellen aliona upendo kwenye

macho ya mr kelvin lakini hakutaka

kuwa mrahisi akamwambia.

"Ni Sawa nimekuelewa lakini katika

mapenzi kuna machaguzi matatu, kukubaliwa,kukataliwa au kusema ukweli kama upo kwenye mahusian au lah,ila niseme tu kuwa nipo kwenye mahusian kwa sasa."

"Hellen,ndio mr kelvin hivyo hatuwezi

kupeana tubaki kuwa marafiki."

Mr kelvin alijisikia vibaya sana lakini

hakutaka kumchosha zaidi miss hellen.

Mr kelvin alirudi kwenye gari maana

alihisi kama amechanganikiwa na jibu la

hellen maana anauwamini sana moyo

wake kuliko chochote na aliamini kuwa

hellen hayupo kwenye mahusian Ndio

maana akaamua kumwaga madini.

Miss hellen alimfata alice na kucheza

pamoja,na alipotazama saa yake

akaona ni muda wa kuondoka sasa

wakarudi kwenye gari kwaajiri ya kurudi

nyumbani,mr kelvin hakuonekana kuwa

sawaa kabisa uso wake ulikua wenye

huzuni sana kuliko kawaida.

"Baba una tatizo gani mbona hunafuraha?."

"Alice unaweza kunyamaza tafadhali?."

"Babaaa..!"

"Hebu kaa kimya usiongee chochote hadi tufike nyumbani."

Miss hellen alimkumbatia alice na kumwambia akae kimya na alice

alikubaliana na miss hellen.

Yalikua majira ya saa moja usiku,baada ya kufika nyumbani kwa mr kelvin alice na hellen walishuka kwenye gari kwaajiri

ya kutaka kufungua geti lakini ghafla

miss hellen alishikwa na mwanaume,na

kwakua taa zilikua hazijawasha

hakuweza kutambulika huyo

mwanaume ni nani,mr kelvin hakutaka

kuacha lipite alisogea na kumtwanga

ngumi huyo mwanaume alipomuachia

hellen akamuona na kumuingiza ndani

pia.

Alice aliwasha taa na mara hii alikua

anaonekana kutokana na mwanga,miss

hellen alishtuka sana alice na baba yake

walikua wamesimama wakijiuliza kama

hellen anamjua au lah....

Usikose itaendelea....

TUMAINI LANGU 11 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Miss hellen alimuomba amfate nje,mr

kelvin akazungumza. "Hellen itakuaje akikudhuru?."

Mias hellen alitoka nje na huyo

mwanaume alimfata miss hellen alimuuliza.

"Umefata nini hapa denis?,kila kitu nimeshakueleza kwanini unanifatilia?."

"Hellen hivi ujui jinsi gani naumia kwaajiri yako eenh?, nimekosea mkewangu nisamehe mimi."

"Denis umeoa na uliniacha kuhusu

msamaha kama elias wangu angesema

amesamehe bàsi ningekusamehe ila

alisema anakuchukia sana na kamwe

"Usijari kuhusu hilo nendeni ndani niachieni hili nitalimaliza."

hawezi kukusamehs hivyo nasimama na maamuzi ya Mwanangu nakuchukia sana denis."

"Hellen yule ni mtoto tu lakini hebu nifikilie na mimi walau."

"Sikia acha kufatilia maisha yangu na ukiendelea naweza kufunga,saini taraka

kisha mpe mwanasheria wangu haraka iwezekanavo."

Wakati hellen anazungumza mr kelvin

alisikia kila kitu na kujihakikishia kwa

asilimia zote kuwa hellen anaweza kuwa

wake na hawezi kuacha kizembe namna

hiyo ikiwa yeye anadai taraka.

Mr denis aliamua kuondoka na

kumuacha hellen japo moyo wake

uliumia sana maana ni wazi alikua tunda

lake linaliwa na mtu mwingine hivyo alikua anaumia sana.

Miss hellen alirudi ndani na kuzungumza.

"Nisameheni sana kwa kuwafanya

muwe na hofu,na nafikiri

nisingewaongezea matatizo zaidi,ni

vizuri kama nikiwaacha na maisha yenu

kabla mambo hayajawa mabaya zaidi."

"Hellen tafadhali usiseme hivyo

nakuomba,haya ni maisha tu na hakuna

maisha yanayokua rahisi na

changamoto hazikimbiwi kwa namna

yoyote tafadhali usituache sababu ya hili

mimi na binti yangu yupo tayari kufanya

chochote au kupitia chochote kwaajiri yako."

Alice alifurahi sana kuona baba yake

sasa anafunguka sana kuhusu hellen.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata alice

aliamka mapema saña akaadaa

kifungua kinywa na

kuweka mezani wakishirikiana na baba

yake kisha akaenda kumwamsha hellen

alionekana kuwa mchovu sana lakini

alice hakutaka ampuuze.

Baada ya kuoga wakatoka kwaajiri ya kupata mlo, walifurahia mlo wao wa pamoja kisha miss hellen alitazama saa yake na kusema.

"Ooh maskini nimeshachelewa jamani naondoka sasa."

"Mama...!"

"Alice wangu nakupenda bai.."

Hellen alikua na haraka sana na alipokua anafungua mlango aweze

kutoka nje mr kelvin alimshika mkono

wake,hellen hakutaka kuonekan mjinga

alitabasam na kumwambia.

"Kwaheri mr kelvin." "Hellen..., nakupenda sana."

Hellen hakujibu chochote na kuamua

kuondoka zake. Mr kelvin alirudi ndani

hakuonekana kuwa Mwenye furaha

sana,alice akataka kumsemesha lakini

baba yake alimzuia na kumwambia.

"Natoka hakikisha huwendi popote hadi narudi hapa." "Sawa baba."

Mr kelvin aliondoka zake na kumuacha

alice mwenyewe.

Alice alikaa kea muda mrefu sana,na

kujiona mpweke aliamua kwenda kwa

mama yake mdogo ambae ni mama

harson,lakini kabla hajagonga mlango, ulifunguliwa, alikua harson nae baada tu ya kumuona alice alitabasam sana na kumwambia.

"Alice nisamehe sana,ile siku nilikua na furaha sana, nikashindwa kuzuia hisia

zangu kwako,ona nilijisababishia

matatizo pia,nimesimamishwa shule aababu ya nilichokifanya,alice unanipa

wakati mgumu nawewe unaponikasirikia."

Alice alimsogeza pembeni na kuingia ndani ambapo alimkuta mama yake mdogo amekaa, alimsalimia na kumwambia.

"Mama ulichokisema nimefanikiwa kwa baadhi ya mambo, nimefanikiwa kumpata mwanamke

ambae amekua Karibu sana na mimi na mpaka muda huu baba ameshindwa kujizuia na kumwambia ukweli japo yeye hajajibu chochote."

"Unahisi atakubali kua na mtoto wa kambo?"

"Alice usikate tamaa pigania

anapopenda baba yako mshawishi uwezavyo ili uwe na furaha."

Aliongea harson,japo alice alijua atakua

amechukia na kuondoka zake ila kumbe hakua ameondoka.

Alifurahi kuona amesapotiwa na harson

kisha aliamua kuaga na kuondoka zake

lakini mara tu baada ya kuondoka alice

Harson aliwakiwa na mama yake.

"Hivi wewe mjinga unadhani nimefurahi kuona unamsapoti?."

"Mama kwani unadhani ningefurahia

kuona unaolewa na anko kelvin?,mama sababu nampenda alice..."

"Nini?, unampenda alice..?"

kumuita alice dada na anko kumuita

baba yangu wa kambo?,mama anko

kelvin atakudharau sana naomba

unipambanie niwe mume wa alice na sio

hiki unachotaka mama."

Mama Harson hapo ndipo alianza

kumuelewa kijana wake kwanini amekua

akimtaja alice hadi ndotoni, alitabasam na kumwambia.

"Sikujua kama ulikua unampenda alice

Mwanangu na vipi kuhusu yule

msichana wako lilian?."

"Ndio mama unadhani naweza kuvumilia

"Mama lilian ni rafiki yangu tu kama wakina sam sio Mpenzi wangu."

"Sawa mwanangu nitahakikisha tunafanikisha hili."

"Asante mama utakua umefanya jambo kubwa sana kwenye maisha yangu, nakupenda sana mama."

"Usijari mwanangu haya nenda kwenye mazoezi yako."

Harson aliondoka na kumuacha mama yake akipanga mbinu sasa za kumnasa

alice kuwa mkwe wake.

Harson alipofungua tu mlango alikutana na lilian,lilian baada ya kumuona Harson alifurahi sana

na kumkumbatia kwa nguvu lakini

wakati hayo yanaendelea alice alikua

amesimama getini kwao alikua anataka

kumpelekea zawadi harson lakini

aliposhuhudia harson amemkumbatia

mwanamke mwingine alijiskia vibaya

sana na kutaka kurudi ndani lakini

kumbe harson alimuona akamuacha

lilian na kumuita alice huku alimkimbilia

kwa kasi sana,alice alikua ameshafunga

geti lakini harson alizidi kuita huku

akiomba amsikilize lakini alice hakutaka

kumsikiliza.

Lilian alimfata na kumuuliza.

"Harson huyu msichana hakupendi kwanini unaendalea kumfata, kumbuka akikudhalilisha mbele ya marafiki zako baada ya kuondoka kabla ya kukabidhiwa zawadi."

"Lilian kaa kimya hujui chochote kuhusu alice naomba uniache na maisha yangu

" "Sony na vipi kuhusu moyo wangu?."

"Moyo wako? Sikia usiniambie upuuzi wako tena na iwe mwisho na mwanzo kukuona kwetu tena."

"Lakini mama Yako ananipenda tayari."

"Wewe mpuuzi..." Harson alimshika lilian na kumtoa pale maana alihisi anazidi

kumuharibia kwa alice.

Alice nae alianza kuhisi kua anampenda

harson lakini alikua anashindwa aanzie

wapi ikiwa Mara ya mwisho

alivyom'busu aliondoka kwa

hasira.mwiki wake ulikua na mihemko

kupindukia.

Maisha yao Kati ya mr kelvin na hellen

yaliendelea bàdo hellen alikua

hajamkubalia mr kelvin,siku moja kama

utani alice alikua anajiskia homa akawa

amelala mapema sana mr kelvin alikua

anazungumza na hellen story za

kawaida lakini kadiri maongezi yao

yalivyozidi mr kelvin alizidi kujisongeza

karibu na Hellen na mwisho alijikuta

anam'busu,hellen alisisimka sana na kutaka kwenda chumbani lakini mr

kelvin siku hiyo alikua ameipania sana,

alimshika mkono wake na kutoa pete

mfukoni mwake na kupiga goti mbele ya hellen na kumwambia.

"Hellen naomba ukubali nikuoe tafadhali

mwenzio naumia kwaajiri Yako,mimi sio

mtoto ila ndoto za kihisia zinanifanya niwe...."

Hellen alimzuia na kumwambia. 'inatosha me kelvin,je kama nilikataa?."

"Hellen usifanye hivyo nakuomba nahisi

nitashindwa kuishi kama nitalikosa penzi lako."

"Lakini bàdo sijaelewa taraka."

"Hellen kama yeye alioa akiwa bàdo hajaachana na wewe bàsi tayari alishaivunja ndoa Yako tafadhali nakuomba usiniangushe."

"Sawa nimekubali kuolewa nawewe ila kwaajiri ya furaha ya alice pekee." "Aah hellen unajua...."

"Kelvin,na wewe pia ni kwaajiri ya wote."

Mr kelvin alifurahi sana alimkumbatia

Hellen kwa hisia za hali ya juu sana

kuliko kawaida, hellen aliyaskia vema

mapigo ya moyo wa mr kelvin

alitabasam na kumwambia.

Hellen alioijitoa kwenye kumbato na

kutaka kuingia chumbani mr kelvin

alimshika mkono hellen alipogeuka na

kumtazama, mr kelvin alimuonesha

ishara atazame suruali yake,hellen

alishindwa kujizuia na kicheko na

kukimbilia chumbani kea aibu...

Usikose itaendelea.....

TUMAINI LANGU 12 NASSRAH

ABDALLAH

"Haya sasa kapumzike usiku mwema."

Baada ya miss hellen kukimbilia

chumbani mr kelvin alitabasam kisha

akasema.

WSP 0715431019

"Mambo gani sasa Haya tunabaniana kama watoto..,lakini sawa nitasubiri hadi pale utakapokua tayari hellen wangu."

Alielekea chumbani kwake pia lakini

usiku huu ulikua mrefu saña kwa mr

kelvin alikua anamuwaza sana

hellen,maana alikua anamuona kama

bàdo msichana m'bichi yani. Hali hii

haikua kwake tu maana hadi kwa hellen

pia alikua amelala chali akiwa anawaza

mambo mengi juu ya maisha yake

Yaliyopita pindi alipokua na denis,denis

ni mwanaume wake wa kwanza

kumpenda lakini alimsaliti. Hakutaka

tena mapenzi kuyapa nafasi aababu

alihofia kuumizwa tena lakini baada ya

kukutana na mr kelvin anajikuta

anashindwa kufanya maamuzi kabisa.

Akisema akatae atampoteza na alice na akisema amkubali anahofia atatumia

tena,miss hellen alikua mwenye

mawazo sana usiku huu,hapo tayari

alimwambia kua amekubali kwaajir ya

furaha ya alice lakini hakutaka kuvaa

pete ambayo alishika mr kelvin. Na

kwakua alimkabidhi tayari hellen

alipoingia chumbani aliweka mezani hiyo pete.

Alikua akiitazama sana lakini bàdo moto

wake ulikua na wasiwasi kabisa,mara

simu yake ikaingia ujumbe, aliivuta simu

kutokea mezani kisha akausoma

ujumbe uliotumwa.

"Hellen nakosa usingizi mwenzio

natamani sana tuzungumze zaidi

mwenzio sina hali kila napokuona

tufunge ndoa haraka Nakupenda

sana,tuowana tulale pamoja jamani."

Miss hellen alitabasam baada ya

kuusoma ujumbe huo lakini hakutaka

kuujibu kabla ya dakika moja kupita

uliingia ujumbe mwingine ambapo

aliufungua na kuusoma.

"Hellen hisia zangu zinaniambia hujalala na unasoma ujumbe wangu ukiwa

unatabasam nijibu basi Mpenzi wangu nijisikie amani moyoni Mwangu."

Mara hii hellen aliamua kumjibu mr kelvin.

"Mr kelvin unatakiwa upumzike sababu

Kesho unatakiwa kuwahi kazini please!

Mimi nimekuelewa ondoa mawazo, nakupenda."

Aliutuma ujumbe huu kisha akarudisha

simu mezani na kumkumbatia

alice,ujumbe ulirudi kwake lakini alibaki

kutabasam tu hakutaka kuufungua.

Hatimae kuripambazuka na siku hii miss

Hellen alimuamsha alice mapema,alice

alijiandaa na alivyotoka sebleni

alikutana na baba yake amekaa mezani

na hellen wakinywa chai pamoja,

aliwasalimia kwa furaha kisha akajiunga

nao, miss hellen akasema .

"Na mimi nitatoka ila nitawahi kurudi

kuandaa chakula,mr kelvin utakula

chakula canteen au nikueletee chakula cha mchana huko?."

Mr kelvin alishtuka sana baada ya

kuulizwa hivyo alimtazama alice,alice

alimpa ishara baba yake kua akubali

kwa kumkonyeza. Mr kelvin alishuha

pumzi na kumwambia.

"Tutaongea baadae usijari nitakupa jibu.

Haya wewe mtoto hebu tangulia kwenye

gari nakukuta."

"Baba lakini sijamaliza chai jamani."

"Nenda alice tafadhali."

Alice alichukua begi lake na kumuaga miss hellen kwa busu na kumbato kisha

akaondoka zake. Mr kelvin alimtazama miss hellen na kushika mkono wa hellen na kumwambia.

"Mwanamke mwenye upendo yupo

tayari kufanya chochote kwaajiri ya

Mpenzi wake,hellen moyo wangu

ulienda mbio sana uliponiuliza

nikashindwa kujibu kwa wakati ila

nawezaje kukataa chakula chako

kitamu,chakula chako hakiishi hamu

natamani sana kuendelea kula ila tumbo

nalo linakikomo chake,hellen kuanzia

sasa nitakua nakula chakula chako

pekee wala hata usiwe na wasiwasi

Sawa?."

"Sawa nimekuelewa Haya alice

anakusubiria sasa muwahishe."

"Aah kabla sijasahau ukitoka tumia gari

yangu ola nitakutafutia gari Yako pia."

"Shiiip..!

Mr kelvin alimb'usu miss hellen kwenye shavu na kuondoka zake. Miss hellen

alibaki kutabasam huku akimtazama mr kelvin ambae alikua anaelekea mlangoni.

"Kelvin....!"
Tulia ni baina yetu sisi wawili."

"Lazima nifanye maamuzi yangu

sasa,siwezi kumpoteza alice tena ikiwa

ananifanya nijiskie vizuri na kujaribu

kusahau yaliyopita japo ni ngumu ila

nikiwa nae najihisi wa tofauti

sana,nakua na amani kupitiliza."

Miss hellen alizungumza hivyo kisha

akaondoa vyombo mezani kisha

akachukua funguo za gari na kuondoka zake pia.

Alice alipokua na baba yake wakielekea

shuleni alizungumza. "Baba nakuona

sahivi unafurahia sana unaweza niambie

kwanini?.

"Alice unajua kuna mambo huja kama

bahati,wewe mwenyewe unaona miss hellen amekuja kwetu kama

malaika,amekua na huruma kwetu,

anakupenda sana wewe binti yangu, ananifanya nijiskie vizuri pia nikiona

anakujali binti yangu,natamani

kumwambia nampenda lakini nashindwa."

"Baba mama hellen anakupenda pia uso

wake, tabasamu lake mbona lipo wazi?

Inamaana unaona aibu kumwambia kua

unampenda baba?,Sawa usimwambie

ila wenzio wakimchukua sitaki uniletee

mama mwingine ambae atanitesa na kuniumiza kama aliyetoka."

"Bàsi binti yangu wala usiwe na wasiwasi,nimemwambia tayari ila bàdo hajanipa jibu la kueleweka nimemuomba kumuoa pia ila bàdo hajasema chochote."

Alice alionekana kama kuna kitu anawaza,baba yake akamuuliza. "Vipi binti mbona hivyo ghafla?."

"Ile siku niliyokutana nae kuna

mwanaume alikuja pia na kumuita

mkewake,baba mama hellen ana mume inamaana hatoweza kuolewa na wewe."

"Ooh Sawa nitajua nafanyaje ila nakuomba sana uzingatie masomo yako

mwanangu achana na haya mambo."

"Sawa baba nimekuelewa."

Walifika shuleni alice alimuaga baba

yake. Na wakati mr kelvin anataka

kugeuza gari aweze kuondoka akasikia

honi kwa nyuma yake, alishuka kwenye

gari yake,alikua mwalimu Leticia mr

kelvin akamwambia.

"Leticia natamani tungepata muda zaidi

wa kuzungumza mimi na wewe lakini

sasahivi niko bize sana na sasa

nimechelewa kazini ila sio mbaya kama

nikisema tu kua nataka kuoa tena na

tayari nimepata wa kumuoa. Nitafurahi

sana kama ukija kwenye harusi yangu

kumuona mkewangu."

"Kelvin...!" Mr kelvin hakutaka hata

kugeuka nyuma aliingia kwenye gari na

kuondoka zake,mwalimu Leticia nikama

alipatwa na mshtuko sana kuhusu

taarifa ile, moyo wake ulimuuma sana

maana hakutegemea kama Kelvin wake

angeoa tena mwanamke mwingine

ikiwa yeye yupo.

Aliingia ofisini kwake lakini hakua Sawa

kabisa kichwa chake kilikua kinamuuma

sana kutokana na maneno ya kelvin.

Tukiachana na huyu madam

Leticia,huku miss hellen alipoondoka

moja kwa moja hadi ofsini kwa

mwanasheria wake ambapo ni wazi

alikua amemuita. Na alipoingia alishtuka

kumuona mr denis pia hapo, miss hellen

akamuuliza mwanasheria wake.

"Mr yassin kwanini unanikutanisha na huyu mjinga hapa, nilikuambia kua fanya

maamuzi ambayo yatamfanya

akamlishe taraka lakini wewe

umenikutanisha nae kwanini lakini?."

"Tafadhali miss hellen hebu punguza

hasira na ujaribu kumsikiliza mr denis

walau kidogo." Miss hellen alimtazama

mr denis,mr denis alipiga magoti na kumwambia.

"Hellen nimekukosea sana lakini huwezi

kufanya maamuzi magumu hivyo,najua

nimekuumiza lakini unajua jinsi gani

nakupenda,yassin tafadhali ongea na hellen, anisamehe nitakua mgeni wa nani

mimi."

Miss hellen alisimama na kumtazama

mr yassin kisha akamwambia.

"Mr yassin,usinipigie tena kama huyu

mjinga hana jipya na kama ukinipigia

bàsi nipate taarifa kuwa huyu amesaini taraka na kila kitu amerudisha."

Miss hellen alimaliza kuzungumza hivyo

kisha akageuka kwaajiri ya kutaka

kuondoka zake.

"Unadhani itakua rahisi tu mimi na wewe

kuachana sio?, hellen nitasaini taraka ila

wino ambao nitatumia kusaini taraka

hizo hautakuweka huru kwenye maisha

yako wewe na yule mjinga,nitakupitisha

kwenye nyakati ngumu ambazo

hutoweza kuamini." Aliongea mr denis

kwa hasira sana.

Miss hellen alitabasam na kumsogelea

kisha akazungumza.

"Unanitisha? Hivi unadhani nitaogopa

vitisho vyako eenh?,sikia denis wakati

mgumu ulinipa ulipoamua kuniumiza

kwa kuoa mwanamke mwingine angali

hatujaachana na mtoto wako akiwa hoi

kitandani,hadi alipofariki lakini kwakua

nimepitia nyakati hizo ngumu hakuna

nyakati zingine ambazo zitakua ngumu

kuzidi hizo kwako labda kwa Mungu

ndio ataweza ila kwa wewe wala

sikuwazii kabisa,nakuona ni mwanaume

mjinga,mpumbavu ambae hujielewi.

Yaani nimekushusha viwango kabisa

yaani. Mr yassin hakikisha anafanya

nilivyokuambia."

Miss hellen alizungumza kwa kujiamini

na kuondoka zake,mr denis alijiskia

vibaya sana, alihisi huwenda akiongea

vile hellen ataogopa ola mara hii

alimuwekea mkazo hata hakuweza

kuamini.

"Mr yassin akamwambia."

"Mr denis nimerekodi sauti zako za vitisho kwa mteja wangu kwahiyo lolote baya litakalo tokea utashikiliwa."

Mr denis alizidi kuchanganikiwa na kumuona mr yassin ana mambo ya kike.

"Yaani we mwanangu leo unakaa upande wa mwanamke na kuniona mimi rafiki yako si chochote umesahau bila mimi usingetoboa."

"Hebu acha

Yako bwana wakati wa Mungu ulifika tu ndio nikapata kazi

kupitia wewe ola hujafanya chochote ni elimu yangu na ufanisi wangu ndio umenifanya niwe hapa."

maneno
"Na wewe sikama mwanamke tu,kwenda zako bwana."

Mr denis aliondoka akiwa na hasira na maneno ya hivyo

. Unahisi itakuaje usikose itaendelea....

TUMAINI LANGU 13 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0725431019

Miss hellen baada ya kutoka ofsini kwa

mwanasheria wake alielekea sokoni, alinunua mahitaji ambayo aliona

atahitaji kuyatumia kisha akarudi

nyumbani kwa mr kelvin maana ndipo

ambapo alikua anaishi japo kule hotelini

hakuchukua nguo zake zote.

��

Alianza kuandaa chakula kwa utulivu

sana,kama mnavojua mwanamke

akitulia kwenye maandalizi ya chakula

basi utatamani kila siku irudiwe .

Upande wa shule alice alikua akipiga story na rafiki zake kuhusu rafiki yake

harson alichomfanyia mara kuna

mwanafunzi aliingia na kumwambia

anaitwa na madam Leticia. Alice

alielekea ofisini kwa mwalimu wake, alipofika alimsalimia.

"Shikamoo mwalimu."

"Marhaba unaendeleaje kipenzi."

��

"Nipo sawa kabisa,na wewe."

"Niko poa,ila alice kuna jambo unanificha?."

"Kukuficha?,madam unajua siwezi

kukuficha chochote kile wewe."

Madam Leticia akajua kua huenda alice hajui chochote ila mr kelvin hawezi

kupanga kuoa bila

kumwambia mwanae, Leticia akazungumza.

"Baba yako anataka kuoa tena je hutaki kuniarika?."

"Ooh madam nilihisi kuhusu mambo ya shule kumbe kuhusu ndoa ya baba?,kama ni hivyo nikweli baba

anataka kuoa tena,huyo mama mwingine tunampenda sana nae anatupenda ni mzuri pia."

"Kweli eeh!!?."

"Ndio madam na ikiwa tayari nitakuambia." "Sawa rudi darasani."

Alice alirudi darasani,lakini madam

Leticia hizo taarifa zilizidi kumfanya

azidi kuumia moyo wake na kujiuliza

kwanini mr kelvin anafanya hivyo ikiwa

amekua nae kwenye mahusian kwa

muda mrefu lakini hamuoi. Hiyo ilikua

inamuumiza sana, alichukua simu yake

kwa hasira na kujaribu kumpigia mr

kelvin lakini wala hata haikupokelewa

alijiskia vibaya sana.

Siku hii hakuweza kuingia darasani

kabisa,alikua ofisini kwake kwa muda

mrefu sana alivyoona muda unaenda na moyo wake unazidi kuumia karibia

unataka kuripuka alichukua mkoba wake

mkononi akiwa ameshika barua ya kuomba mapumziko ya muda

kadhaa,alikabidhi kwa naibu mkuu wa shule kisha akaondoka zake.

Yalikua majira ya saa nane mchana

ambapo madam Leticia alihisi muda

huo utakua mzuri kwake kuzungumza

na mr kelvin maana atakua canteen.

Alifungua safari hadi hospital, alishuka

kwenye gari na kuelekea canteen lakini

hakumkuta akajaribu kumpigia simu

lakini haikupokelewa pia,alisogea mapokezi na kuulizia jina la dr kelvin secretary wa mr kelvin akamwambia.

"Mr kelvin anamgeni wake je una mihadi nae?."

Leticia wala hakutaka kumsikiliza akapita moja kwa moja huyo secretary

alijaribu kumzuia lakini Leticia wala hakujali lakini alipofungua mlango alishtuka sana kukutana na jambo ambalo hakua akitegemea kukutana nalo.

Aliwakuta mr kelvin akiwa na

mwanamke tena zaidi ya mwanamke

maana ni mrembo alafu mweupe,tena

wakiwa wanapeana denda, secretary

aliomba radhi kwa mr kelvin mr kelvin

akamruhusu akaendelee na kazi na

alipoondoka mr kelvin alimuuliza

madam Leticia kanakwamba hana

mazoea

nae."

"Madam kuna tatizo?,mbona haraka binti yangu amepatwa na tatizo?."

Leticia aliumia sana na kumwambia.

"Hapana ila kuna mambo ambayo

nilitakiwa kukwambia kuhusu alice ila samahan kwa usumbufu tutazungumza baadae kwaherini."

Madam Leticia aliumia sana,na kwakua

alithibitisha kwa kuona kwa macho yake, alitoka akiwa analia alikimbilia kwenye

gari na kuondoka zake,huku mr kelvin na miss hellen walikua wameduwaa,miss

hellen akasema.

"Kelvin twende shuleni huendà alice amepatwa na tatizo twende."

"Hellen mpenzi usiwe na wasiwasi,alice atakua sawa,nitaulizia kuhusu yeye nina namba ya mwalimu mkuu hapa,najua huyu ni mwalimu wa darasa itakua tu amepaniki ila najua atakua Sawa."

"Kelvin.." kabla hellen hajazungumza

chochote mr kelvin alimkumbatia Ili kumuondoa hofu."

Miss hellen alisema.

"Sawa naamini utashughulikia ila sitaki apatwe na kitu kibaya alice unajua."

kapumzike nyumbani,nitakuja muda si mrefu."

Miss hellen aliondoka zake na

kumuacha mr kelvin akiwa na hasira na madam Leticia..

"Aaah! Kwanini umekuja kuniharibia

huna langu Leticia kwanini aaah..!"

Mr kelvin alichukua simu yake na kutaka

kumpigia simu madam Leticia lakini

kuna ujumbe ukaingia kwenye simu yake

ambao ulimfanya ashtuke sana, alijaribu

kumpigia simu Leticia

"Naelewa kipenzi changu,nenda

lakini hakupokea Simu na mwisho ikawa haipatikani kabisa.

Siku hii ilianza vizuri kwake lakini iliisha

vibaya sana, alitoka ofsini na

kumwambia secretary wake ampangie

ratiba nyingine na ya siku hiyo aivunje

kisha akaondoka zake.

Aliamua kurudi nyumbani kwake na alipofika,miss hellen alimkumbatia,na kumuuliza. "Upo Sawa?,alice..."

"Hellen, usiijari alice yupo Sawa

nimewasiliana na mwalimu pia atarudi na gari ya shule." "Lakini kwanini umerudi mapema kazini?."

"Hellen sikutaka uwe mpweke nilijua lazima utakua na wasiwasi sana ndiomaana nimekuja kwaajiri yako,jitulize Sawa."

"Kelvin nakupenda sitaki upatwe na jambo baya wewe na alice pia." Mr kelvin

alimkumbatia Hellen na kumwambia.

mimi nipo kwaajiri yako na wala

sitakuacha mwenyewe kamwe."

Walifarijiana lakini kila mmoja mawazo

yake yalikua mbali kwa muda huo

maana miss hellen alihisi huenda mr

denis amemdhuru alice,lakini hana

uhakika na mr kelvin pia alikua anawaza

Leticia anataka kumwambia nini mpaka

amtumie ujumbe wa aina ile.

Wakiwa wamekaa kila mmoja akiwa na

mawazo yake mara alice alifungua

mlango na kuwakuta wamekaa lakini

"Naelewa wala usijiskie vibaya sababu

hawakuonekana wenye furaha japo miss

hellen alifurahi baada ya kumuona lakini

mr kelvin wala hakua na furaha,alisimama na kusema.

"Wacha nirudi kazini alice hakikisha

mama yako hakosi furaha." "Baba..! Umegombana na mama?."

"Hapana kwanini uulize hivyo?."

"Baba alice nenda kazini ila hakikisha

unarudi ukiwa na furaha,badae."

Mr kelvin aliondoka na kuwaacha alice alimuuliza miss hellen.

"Mama baba amekasirika sana na hata wewe huonekani upo Sawa."

"Kweli mwanangu ila, nilipokua hospital na baba yako mara alifika mwanamke akionekana mwenye wasiwasi,baba yako akauliza kuhusu wewe hapo ndio

nikajua baada ya mazungumzo yao

alikua mwalimu wako wa darasa. Lakini

hakusema chochote akaamua kuondoka

zake ila tangu hapo baba yako hakuwa

Sawa hata na mimi pia."

"Lakini mimi nipo sawaa sijapatwa na jambo lolote,mama." "Nimefurahi kusikia

hilo lakini tulikua na wasiwasi na wewe."

"Waoo mnanipenda sana. haya naenda

kubadirisha nguo kwanza." "Sawa nenda

alafu uje kula."

Alice aliingia chumbani kwake

kubadirisha nguo kisha akarudi mezani

kwaajiri ya kukaa chakula lakini alikua

anawaza sana kwanini mwalimu wake

amfate baba yake hospital,na kwanini

mwalimu alionekana kuwa na shauku ya

kutaka kujua kuhusu harusi ya baba

yake ukweli alice alikua anajiuliza sana

kuhusu mwalimu wake na baba yake

kuna nini kinachoendelea.

Mr kelvin hakuenda kazini kama

alichosema kuwa anarudi kazini,alienda nyumbani kwao madam wake alice.

Aliingia ndani na kumkuta Leticia

amekaa kama vile mwendawazimu

yaani alikua amepowa vibaya sana.

Mr kelvin alisogea na kukaa karibu yake.

"Leticia kwan....!"

"Unataka kuowa tena ikiwa bàdo nipo

hai na unajua juu ya hisia zangu kwako

Kelvin?."

"Leticia lakini unajua siwezi kukuoa,binti yangu anakuchukulia kama mwalimu

wake,ni Sawa anakupenda lakini hawezi

kukuita mama,na huwezi kuwa mke wa baba yake."

"Hawezi kuniita mama?,una uthibitisho gani kama hawezi kelvin?, nimefanya mangapi kwaajiri

yako? Kelvin nimeanza mahusian na wewe zamani sana tangu tunasoma

lakini tuliposoma vyuo tofauti ukaamua

kuanza mahusian mengine lakini

niliamini kuwa wewe utakua wangu.

Ukaoa lakini bàdo niliamua kuvumilia na kuishi mchepuko wako. Mkewako

nilimpenda na kumuheshimu kama mke

wa mpenzi wangu sikuwahi kumdharau

hadi alipofariki, lakini hukunigeukia

ukaoa mwanamke mwingine ambae

alimuuliza mwanangu. Namaanisha

alimuumiza alice wako ambae mimi

nilikua chanzo cha kupatikana

kwake,umemuacha lakini bado unataka

kuoa mwingine wakati mimi nipo tu majaribu kukusubiri wewe kelvin unahisi nitakubali?."

"Leticia,najua unaumia sana lakini sijasahau juu ya msaada wako kwangu

lakini naomba nipe nafasi ya kuoa tena

Leticia tafadhali."

"Hapana kelvin hivi wewe uliwahi

kujiuliza kama mimi ndo ungekua wewe ungeweza?."

"Leticia usitake kukuza mambo,najua

unanipenda lakini unajua hatuwezi kuwa

pamoja sababu ya binti yangu."

"Kelvin lakini tambua ya kwamba huwezi

kubadirisha ukweli kuwa uongo,sasa

ukitaka kumuoa huyu mwanamke bàsi

nitamwambia ukweli wote alice, ukweli

ambao utamuumiza na kumfanya

asikuamini kabisa."

"Ukweli gani ambao unazungumza

Leticia?."

Leticia hakujibu chochote akaingia

chumbani na kujifungia mlango,mr

kelvin alimuomba afungue waweze

kuzungumza Ili wafikie muafaka lakini

leticia hakutaka kufungua mlango

kabisa.....

Je unahisi kuna nini kipo nyuma ya

pazia?,ni siri gani ipo Kati yao baada ya

hii kuwa kwenye mahusian ya muda

mrefu wakiwa wanasoma? Usikose

itaendelea......

TUMAINI LANGU 14 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Mr kelvin aliamua kuondoka zake,lakini

alikua na mawazo sana kuhusu maneno ya Leticia.

Hakutaka kurudi nyumbani kwao

mapema alipitia bar kwaajiri ya kunywa

pombe maana alihisi hana njia yoyote ya

kupunguza mawazo yake zaidi ya

kunywa pombe.

Muda ulizidi kwenda mr kelvin alikua

hajarudi nyumbani,alice na miss hellen

walikua wameshakula tayari na alice

alikua amelala kea muda huo ila miss

hellen alikua na mawazo sana maana

kila alipokua anampigia simu mr kelvin

lakini haikua ikipokelewa. Moyo wake

ulikua na wasiwasi sana kuhusu mr

kelvin.

Alishindwa kupata usingizi alikua

amekaa kwenye sofa akiwa anamsubiri mr kelvin. Lakini muda huo wote macho

yake yalikua yakitazama saa ya ukutani.

Majira ya saa 5 usiku bado mr kelvin

alikua hajarejea nyumbani. Miss hellen

uvumilivu ulimshinda na kutamani hata kuwapigia polisi. Naam wazo lake aliona

lipo sahihi alisimama na kutaka kuingia

chumbani kwaajiri ya kuchukua simu lakini alishtuliwa baada ya kitasa cha mlangoni kucheza.

Moyo wa matumaini ulimrejea na kusogea mlangoni akafungua mlango, alikua mr kelvin tena akiwa amelewa sana.

"Kelvin nini hiki Jamani."

"Nakupenda sana hellen nashindwa kujizuia kabisa kwaajiri yako, naomba unifikirie walau hellen wangu."

"Umelewa sana kelvin unapaswa kupumzika ila kesho tutaongea vizuri."

Miss hellen alimpeleka chumbani kwake na kumlaza kitandani kwake, alipotaka

kuondoka mr kelvin alimuomba

asiondoke,abaki nae. Miss hellen alihisi ana umuhimu wa kufanya hivyo alibaki

chumbani kwa mr kelvin, lakini hakua na

usingizi kabisa maana alihisi lazima

kutakua kuna kitu kinachomfanya mr

kelvin awe hivyo.

Asubuhi mapema alice aliamka na

hakumuona miss hellen chumbani

kwake,moja kwa moja akajua yupo

chumbani kwa baba yake, alijiandaa na

kutoka sebleni siku hiyo ilikua ya tofauti

kwake maana hakukua na chochote

kilichoandaliwa na muda huo akiwa

amesimama mezani miss hellen nae

alitoka chumbani kwa baba yake, alice

alitabasam sana na kwenda

kumkumbatia, alimsalimia kisha

akamwambia.

"Mama umeamkaje?."

"Vizuri mwanangu ila nisamehe

sana,maana nimechelewa kuandaa chakula kwaajiri yako." "Usijari mama

nitakula shule,na hata hivyo

usimsumbue baba pia nitapanda gari ya shule." "Sawa mwanangu masomo mema."

"Asante mama Nakupenda sana."

Waliagana kwa upendo sana,miss hellen

akaandaa kifungua kinywa kwaajiri ya

mr kelvin. Aliamuandalia supu yenye pilipili na limao ya kutosha kisha akaenda kumwamsha.

"Kelvin...!,amka muda wa kwenda kazini sasa." Miss hellen alimwamsha mara moja na kutaka kuondoka zake mr kelvin alimuita.

"Hellen...!" Hellen aligeuka na kumtazama mr kelvin,mr kelvin aliamka kutoka kitandani na kumsogelea hellen alipokua amesimama akamwambia.

"Siendi kazini leo kwaajiri yako hellen, nashindwa kufanya chochote kila napokukumbuka."

"Kelvin.. unaweza kuniambia kwanini jana umelewa ikiwa ulisema hutorudia tena, unaweza kunipa sababu maalumu?."

"Hellen mpenzi wangu nisamehe sana

Nakupenda sana lakini naona kama pombe ndio kipoozo changu japo hainisaidii ila..."

"Anha inamaana hutoacha sababu

inakupooza sindio? Inamaana wewe

unavyomshauri

mgonjwa asitumie kilevi ikiwa wewe

unatumia hua unajiskiaje?."

"Hellen please...!"

"Sipendi mwanaume mlevi kelvin

nachukia sana wanaume wa aina hiyo."

Mr kelvin alimtazama miss hellen na

kugundua amekasirika sana, alimshika

mkono na kumwambia.

"Nakuahidi Mpenzi wangu sitarudia tena

kunywa pombe,na kama nikirudia bàsi

unaweza kunifanya chochote

unachotaka lakini leo naomba niwe..

niwe..."

Muda huo mr kelvin alikua tayari

ameshamsogelea miss hellen karibu na

kuanza kuzungumza mikono yake

kwenye mwili wa hellen,na alikua

akiyaskia vema mapigo ya mwili wa

hellen,mwanzo hellen alionekana kuwa

na ushirikiano sana hadi mr kelvin

akamsogeza mrembo kitandani lakini

alipoanza kutaka kumuondoa nguo

ambayo alikua amevaa ghafla miss

hellen alisema kwa sauti.

"Hapana,siwezi siwezi kufanya hivyo

Hapana."

Alimsukuma mr kelvin na kukimbilia

chumbani kwa Alice na kujifungia

mlango. Mr kelvin alipitia changamoto

ngumu sana muda huo maana

alitegemea hellen anaweza kumfanya

afarijike na kumsahaulisha yaliyotokea

jana lakini haikua hivyo aliumia sana.

Alibaki chumbani kwake kwaa muda

kama nusu saa ndipo alitoka chumbani na kwenda kugonga mlango.

"Hellen nakuomba tuzungumze kidogo

tafadhaii,wala usijiskie vibaya kabisa

mimi nipo sawaa na nitakua sawa pia,

nakupenda sana na sipo tayari kwaajiri ya kuharibu maisha yako maana

nakupenda sana na nipo tayari kusubiri

hadi pale utakapokua tayari hellen

wangu nitakusubiri naamini kwenye hilo,lakini naomba tuzungumze."

Mr kelvin alizungumza kinyonge sana hadi hellen alipokua anamsikiliza

alijisikia vibaya sana lakini hakua na chakufanya sababu imeshatokea.

Mr kelvin alikua amekaa seblen akiwa

mnyonge sana na miss hellen alitoka

chumbani na kumkuta mr kelvin

sebleni,alikua amebeba begi lake dogo

na mkoba wake pia,mr kelvin

alipomuona akamuuliza.

"Unaenda wapi hellen?."

"Kelvin najua mwili wangu upo tayari

kuwa na wewe lakini bàdo moyo wangu

unakua mgumu kuamini hili nahitaji

kuwa mbali kwa muda Ili nitafakari hili

kama ni sahihi kwangu."

Miss hellen aliondoka ila alimuhurumia

sana mr kelvin,na hakua na cha kufanya

kwa muda huo maana alishamkosea na

hakuweza hata kumtazama usoni alihisi aibu kabisa yani.

Mr Kelvin alibaki mpweke mwenyewe

siku nzima,hakutaka kuwa na mawazo

kabisa aliamua kuwasha tv na kuangalia

japo hakua akitazama kutokana na

mawazo kumzonga zaidi akilini mwake.

"Sawa kama unahisi itakua sahihi kwako na bora hakuna shida hellen nenda."

Miss hellen alifika hotelini ambapo

alikua anakaa lakini hakua na amani

kabisa,muda wote alikua anashika simu

yake akitamani kumpigia mr kelvin lakini

nafsi yake ilikua inamsuta kufanya hivyo

na kwakua alice alikua anatumia simu

hivyo akamtumia ujumbe mfupi akirudi

aukute kisha akatulia lakini baada ya

muda mfupi tu simu ikaanza kuita

alipotazama jina lilitokea my angel

alipokea kwa furaha sana na kuzungumza.

"Hello my angel, umerudi mapema sana

leo baba anaendeleaje?." "Kama

ulivyoniacha tu hellen hakuna

mabadiriko yoyote.."

Miss hellen alishtuka sana akatamani kutaka simu maana aliamini kua alice atakua amerudi kumbe bàdo na huyo alikua mr kelvin.

"Nashukuru sana kuona unajari sana kuhusu alice na mimi pia asante,ola tutakua Sawa na tutazoea na ninaamini kua tutalivuka hili na maisha mengine yataendelea."

"Kelvin kwanini unaongea hivyo lakini."

"Najua kwa sasa hauwezi kunielewa ila utanielewa tu hellen."

Simu ilikatwa na kumfanya miss hellen

awe kwenye fumbo zito kuhusu maneno ya mr kelvin. Mara Simu yake ikaingia

ujumbe ambapo aliufungua kwa haraka na kuusoma.

"Hellen nilichogundua kwako unampenda mwanangu ila huna hisia za mapenzi na mimi,hivyo siwezi

kukulazimisha ikiwa unaweza Kufanya

maamuzi yako mwenyewe. Nakutakia

maisha mema sana hellen,ila kuanzia

sasa naomba utuache tu mama maisha

yetu. Sitaki kukuona tena tafadhali."

Miss alipomaliza kuusoma ujumbe huo

moyo wake uliripukwa kwa mshtuko

sana, alishindwa kujizuia kabisa alianza

kulia sana na kujilaumu sana kwanini

ameuumiza mr kelvin na kwanini alimpa

matuamini na amekata tamaa haraka

kiasi hiko. Alilia sana lakini hakua na

chakufanya muda huo alibaki kuumia

sana kila mara alikua akiutazama

ujumbe huo na kutoacha kutoa machozi.

Je unadhani itakuaje usikose

itaendelea....

TUMAINI LANGU 15 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Muda ulizidi kwenda na hatimae alice

alirudi nyumbani alipokua anashuka

kwenye gari ya shule harson alikua

akimtazama kutokea kwenye geti lao la kuingilia na baada ya gari kuondoka

harson alimuita.

"Alice..!" Alice aligeuka na alipomuona

harson alisogea karibu yake na kumuuliza.

"Kwanini umeniita,unataka kusemaje?."

"Alice najua umechukia kwaajiri ya yule

mdada aliyekuja hapa nyumbani sikuile

ila nataka ujue kwamba yule mimi sina

mahusian nae yoyote ni vile tu anapenda

kunisumbua lakini tukiachana na hayo

wewe ni rafiki yangu ambae tumekua

pamoja tangu utotoni hivyo urafiki wetu

hauwezi kufa kirahisi alice." ( Sony

chukua hii nimekuzawadia kwaajiri ya yule mtoto anaonekana mtoto wa kishua

hawezi kukataa zawadi za aina hii nenda

kampe utaona kama hatochukua)

harson alikumbuka kua rafiki yake sam

alimpa zawadi Ili akampe alice hivyo

aliingiza mkono kwenye mfuko wake wa suruali na kutoa kacha.

"Alice unaweza kunyoosha mkono wako tafadhali,kuna zawadi nataka kukupa."

Alice alinyoosha mkono wake na harson

alimvalisha ile kacha ambayo iliandikwa

nisamehe alice. Alice aliipenda sana na kumwambia harson.

"Waoo ni mzuri sana,umeinunua wapi?

Maana ni nzuri na nimeipenda."

"Aah..! Kuna rafiki yangu ambae huwa

anatengeneza ndio nikamuomba anitengezee kwaajiri yako."

"Waao ni nzuri sana asante lakini

kwakua umeonesha kama unahitaji

msamaha wangu bàsi wacha namimi

nikupe kitu."

Alice alifungua beki lake na kutoa kitabu kisha akampatia harson na kumwambia.

"Ni kitabu kizuri,kama huwezi kusoma kitabu chenye kurasa nyingi lakini angalau ukikiona ukumbuke kama mimi ndio nimekupatia."

"Kwani mnahama alice?."

"Hapana lakini kesho yetu ni fumbo siwezi jua kama nitaamka kesho."

"Mmh..! Unamaneno mabaya sana ila naomba tuwe zaidi ya marafiki wa zamani." "Usijari harson karibu."

Alice alimpa mkono harson nae alimpa

pia wakajikuta wanakumbatian na kurudisha urafiki wao kama zamani.

Baada ya alice kuingia ndani mr kelvin

nae akatoka na kumwambia kua

atarejea muda mfupi kwakua alice

alishaona amepatana na harson

hakutaka kuwa mpweke alikuka chakula

kisha akachukua vitabu vyake na kuelekea kwakina harson.

Mr kelvin alipoondoka nyumbani kwake

na kuelekea hotelini ambapo anaishi

hellen ,alitamani kuingia ndani lakini

moyo wake haukua na maamuzi yoyote

aliamua kuondoka zake na safari yake

iliishia kwa madam Leticia. Alifika na

kufungua mlango akamkuta madam

Leticia ameshika begi lake mr kelvin

akamwambia.

"Hivi unadhani ungeweza kunikimbia?,

Leticia huwezi kuondoka bila kuniambia

maneno Yako ya jana yanamaana

gani,bila kuzungushana naomba

niambie kwa uwazi kwanini ulisema

vile,na hukutaka kufanya?."

"Kelvin unataka kujua ni kwanini

nimesema vile?,bàsi nakujibu ni kwasababu nakupenda na nahitaji kuwa na wewe milele,kwanini uowe

mwanamke mwingine wa tatu ikiwa

mimi nakusubiria miaka yote hiyo

kelvin,unataka niolewe nanani ikiwa sijui

hata radha ya mwanaume mwingine

yoyote sababu nahisi kama nasaliti

kiapo chetu lakini wewe umefanya nini

ila sijali nachojua nakupenda na hata

iweje siwezi kubadirisha chochote."

"Leticia usijaribu kubadirisha mada hebu

nenda kwenye point,na sitaki useme

kama unanipenda na kunikumbusha

mambo yaliyopita,ongea lety..."

Leticia alikua anamjua vizurii tu mr

kelvin akikasirika hua anakua na hasira

sana hivyo na hua anahasira mbaya

sana Leticia akasema.

"Unataka kujua kuhusu nilichosema ni kwamba namtaka mtoto wangu sasahivi."

"Mtoto wako? Umechanganikiwa wewe

au? Ni mtoto gani ambae unamuongelea

Leticia?."

"Alice,alice ni mwanangu kelvin na wewe ndio baba wa huyu mtoto. Najua

uliniambia nitoe mimba yako sababu

hukutaka niwe kikwazo kwa mkewako

ila sikuweza kudhurumu nafsi ya

kiumbe ambacho hakina hatia nililea

mimba mwenyewe hadi nilipojifingua.

Kama unakumbuka nilipotea machoni

mwako kwa zaidi ya mwaka na nusu

sababu ilikua ni hiyo. Na baada ya kunitafuta na kuniomba nikusaidie

kupata mtoto kwenye kituo cha yatima

nikaona sio mbaya kama ukilea damu

yako,na namshukuru Mungu sana

umemzoea sana na umekua ukimpenda

kwa dhati nae pia amekua akikupenda

sana lakini jiulize kama nikimwambia

mimi ni mama yake na nikimwambia

kuwa ulitaka mimba yake nitoe je atakupenda tena?."

Mr kelvin alikua hajamuelewa kabisa

Leticia kwa alivyozungumza na muda

huo alihisi miguu yake imeshika ganzi

kabisa,alikaa sakafuni kama mtoto

ambae anajifunza kusimama na ameanguka kutokana na kukosa balance.

"Hapana haiwezekani,lety sijakuelewa umesemaje?."

"Alice ni mtoto wangu ambae ulisema

mimba tuitoe, sikuweza kutoa,na usichokijua ni kwamba muda huu kuna

watu ambao nimewatuma

wakamchukue alice wangu tuweze kuondoka hapa nchini."

Mr kelvin alishtuka sana,lakini muda huo

huo alipata nguvu za ghafla akasimama

na kutoka nje kqa haraka na kupanda

kwenye gari haraka huku akipiga namba

ya alice,lakini ilikua haipokelewi,mr

kelvin alizidi kuchanganikiwa kabisa

maana alihisi labda tayari alice

ameshachukuliwa.

Mr kelvin alipanda kwenye gari na

kuendesha gari kwa kasi sana kiasi

kwamba hakujari kuhusu uhai tena kwa

muda huo alichojari ni kumchukua binti

yake na kuendelea kuishi nae kama

alivyozoea kuishi nae.

Mr kelvin alikua anaendesha gari kama amechanganikiwa.

Akiwa kwenye round about hakua

mtulivu kutazama gari inayokuja kutoka

kwenye barabara zingine aliendelea na

mwendo wake ule ule wa haraka na

ghafla alijikuta amerushwa na semi

mtaroni.

Walioshuhudia ajali hiyo walikua

wanazungumza mengine tu maana jinsi

ilivyorushwa hiyo gari wala hakuna

aliejua kama kutakua na mzima.

Lakini mara baada ya polisi kupata

taarifa,gari ya wagonjwa na polisi

walifika kwenye tukio nao walifanya kazi

yao iliyowaleta walijaribu kutafuta simu

ambayo wanaweza kutoa taarifa kwa

baadhi ya ndugu zake lakini simu ilikua

imepasuka na walioojaribu kutoa laini

na kuweka kwenye simu nyingine ukisoma.

Mr kelvin alifikishwa hospital na kuanza

kupatiwa huduma japo hata madaktari

wala hawakuweza kugundua kama mtu

huyo ni mzima au laah! Maana hakukua

na dalili yoyote ambayo alikua

akionesha.

Alice alikua kwakina harson alisoma

hadi saa tatu usiku lakini hakuna

aliyekuja kumfata hapo harson

alimwambia ampeleke nyumbani kwao

alice alikubali waliongozana hadi

nyumbani kwao,simu aliacha kwenye

sofa na alipoitazama alikuta missed

calls nyingi sana za baba yake. Na

ujumbe ambao ulimfanya ashtuke sana

na kujaribu kumpigia baba yake.

Simu iliita lakini ilivyopokelewa na maelezo aliyopata yalizidi

kumchanganya Alice. Alishindwa

kujizuia na kuanza kulia. Harson alimuuliza.

"Alice mbona unalia kuna nini?."

"Baba yangu... Baba yangu.. atakufa

kama mama yangu, inamaana nitabaki yatima,sitakua na wazazi hapana,

Hapana haiwezekani kabisa hapanaa."

Harson alikua hamuelewi kwanini

anasema hivyo lakini muda huo alice

alikua ameshanganikiwa pia maana

taarifa alizopata zilimfanya

achanganikiwe sana.

Alifika kituo cha polisi na kufanya

mahojiano kadhaa na Polisi lakini

hakuna lolote alilojua,polisi mmoja

aliwachukua na kuwapeleka kwenye

hospital ambayo alikua amelazwa baba yake.

Upande wa miss hellen pia alikua

anajiskia tofauti kabisa,akaamua

kuelekea nyumbani kwa mr kelvin na alivyofika aliingia ndani lakini hakukua

na dalili yoyote ya kuwa na mtu hapo,

alitafuta namba ya alice na kumpigia

simu na alichokisikia hakua akitegemea

nae alivyotoka nje akakutana na mama harson akamuuliza.

"Dada mwanangu alitoka na alice nyumbani wakaja huku sasa nashangaa ni muda mrefu sana umepita hajarudi

kuna tatizo?."

Miss hellen alimjibu kifupi na kuelekea

kwenye tax ambapo hata mama Harson

nae aliingia pia bila maagano

Dereva aliwafikisha hospital husika na

alice alipomuona miss hellen aliamka na

kwenda kumkumbatia kwa nguvu sana.

"Mama inamanaa nitakua yatima tena.

Baba yangu baba yangu ataniacha kama

alivyoniacha mama yangu,mama

naumia sana sitaki baba aniache."

"Mr kelv..in amepata ajali..."
. ��

"Mwanangu usiseme hivyo baba Yako ni jasiri hawezi kumuacha binti yake ukiwa na huzuni tafadhali mwanangu usiseme hivyo tena baba ataamka tu Sawa mwanangu."

Miss hellen alimkumbatia alice

kwanguvu sana, huku akilia pia,maana

hata yeye alikua hajui hali ya mr kelvin

ipoje na hakua akijua pia kama atapona au lah.

Mama harson na kijana wake walikua

wanajaribu kuwafariji japo nao walikua

wakimhurumia sana alice maana mtu

pekee ambae alikua anamtegemea

kumpa furaha ni baba yake,lakini kama

akifa ataumia sana na hajui kama

anaweza kuwa Sawa au kuvumilia kwa

hali hiyo ambayo atapitia.

Madaktari walikua wanabadirishana

shifti lakini hata mmoja ambae alitoka

na kutoa majibu kuhusu mr kelvin. Kila

mmoja alikua akisema tu mr kelvin

anamtegemea dua zao maana kama

ujuzi wao ndio wanautumia hivyo wawe

wapole na wawe na uvumilivu pia...

Je unadhani itakuaje usikose

itaendelea....

TUMAINI LANGU 16

NASSRAH ABDULLAH WSP

0715431019

Waliendelea kusubiri hadi

kulipambazuka. Miss hellen akiwa na

alice na mama harson akiwa na mwanae pia.

Alice alikua wakwanza kuamka na

aliwaamsha na wengine na kusogea

kwenye chumba cha dharula. Muda

mfupi tu daktari alitoka ofsini kwake na kuelekea wodini,ambapo kwenye korido

ya chumba cha dharula walikuwepo

alice na wengine waliopo hapo kwaajiri

ya mr kelvin, daktari alisogea na kuwasalimia. Wote walimdaka daktari

kwa shauku ya kutaka taarifa za mr

kelvin. Daktari aliwaambia.

"Poleni sana kwa kilichomtokea mr kelvin,na sisi kama madaktari

tumejitahidi kadri ya uwezo wetu na tulipofikia ndivyo mnatakiwa mkubali kua hivyo."

"Daktari baba yangu amekufa??." Alice aliuliza hivyo miss hellen alimzuia na kumvuta kwake lakin alice wala hakua

mtulivu maana alijua kama baba yake

akifa basi hatakua na wa kumwangalia tena.

Daktari aliwaambia.

"Mgonjwa yupo hai na Hapa

tulimwamisha usiku mara tu Baada ga

kumaliza kumpatia huduma hebu nifateni."

Wote walimfata daktari hadi kwenye

mlango wa chumba ambacho alikua amekaa mr kelvin, daktari akawaambia

"Subiri nikampime kwanza kisha nitawaruhusu muingie."

Walikubali Baada ya daktari

kuzungumza lakini alipofungua tu

mlango alice aliingia pia na wengine

wote walimfata, daktari hakua na

kufanya zaidi ya kuwaacha wamuone ili

waridhike.

Mr kelvin alikua amefungwa bandeji

kichwani na miguu yake yote miwili

ilikua ina hogo na sehemu zingine za

mwili wake,ajari ilikua mbaya sana yaani

mwili wake ulijawa na bandeji tu.

Alice alishindwa kujizuia na hata miss

hellen pia walianza kumlilia maana ye

ndio alikua faraja kwao. Miss hellen

alihisi yeye ndio chanzo cha ajari hivyo

alijilaani sana na kumuomba Mungu

amuadhibu kwa kumuumiza kihisia mr

kelvin na hata kusababisha ajari yake

pia.

Baada ya dakika kumi daktari aliingia na kuwaambia.

"Mnapaswa muacha apumzike,na hata

mimi sijamfanyia vipimo pia kwahiyo

naomba mnipishe kwa sasa."

Alice alikua hataka kuachia mkono wa

baba yake hellen alikua anaumia pia

kuona alice hataki kumuacha baba yake.

"Baba sitaenda popote bila wewe

,uliniaminisha kuwa unaweza kila kitu

baba nakuomba sema usiondoke binti

yangu mfalme,sema chochote baba, babaaa..! Babaaa...!"

Miss hellen alishindwa kujizuia

kabisa,alitoka nje akiwa analia kwa

maumivu ya hali ya juu sana Huku nae

akisema.

"Huwezi kufa sasa hivi kelvin lazima tutimize tulichokianza, kelvin nitajua

wako sitakusumbua tena,siwezi kukupoteza,siwezi kukuumiza tena aababu mimi ni wako."

Huruma iliyoje kwa vipenzi ya Kelvin. Walikua wanapitia maumivu na wakati

mgumu sana, walikua hawaamini kabisa

kile ambacho wanakiona.

Baada ya kama nusu saa madam Leticia

alifika hospital na kuwakuta miss Hellen na alice wamekaa kinyonge

sana,aliwasogelea na kuwauliza kana

kwamba sio yeye chanzo cha ajali hiyo, alimsogelea alice na kumuuliza.

"Mpenzi uko salama? Baba yako yupo wapi kipenzi?."

Alice alimuomesha chumba ambacho yupo baba yake madam Leticia aliingia chumba hiko na kumkuta mr kelvin akiwa hajitambui kabisa.

"Mr kelvin pole sana sikutegemea kama

ingekua hivi nisameheni sana lakini

mara hii sitafanya makosa tena,siwezi

kumuacha binti yangu kwenye mikono

yako tena, ni lazima uwe na chaguo

moja kati ya mawili,kumuoa huyu

mwanamke na kukosa mtoto wako,au

kubaki na mtoto na mama yake najua

unaniskia vizurii sana. Wewe ni shujaa

sana kwaajiri ya binti Yako hivyo lazima

ufanye chaguo zuri kwaajiri yake,mara

hii sitoacha ucheke kwa furaha Kelvin

nitahakikisha unapitia maumivu makali

Madam Leticia aliongea akiwa serious

bila Hata huruma,mr kelvin alichezesha

vidole vyake vya mkono,ni wazi fahamu

zake zilikua zinamrudia mwalimu Leticia

haraka alitoka wodini na kumfata

daktari.

Alivyotoka wodini akiwa anakimbia alice na hellen walishtuka sana maana

walihisi amefanya jambo baya. Alice na

hellen waliingia wodini na kumkuta mr

kelvin akiita.

sana kama niliyokua napitia kwaajiri yako,ni wakati wangu sasa."

"Alice wangu, alice.. mwanangu mwanangu..."

Alice alianza kulia maana alihisi baba

yake anakufa maana alikua anajinyonga

nyonga kama mtu anaekata rohoe

"Baba nipo hapa,baba niambie kama unanipenda baba niambie,nipo hapa,mama hebu mwambie baba upo Hapa pia."

"Daktari alikua amefika pamoja na nesi.

Nesi aliwatoa nje ili wamuhudumie mr

kelvin. Na baada ya kumchoma sindano ya usingizi daktari akasema.

"Dah atapitia wakati mgumu sana

namuonea huruma sana maana hii halo itakua inamuumiza kwa muda mrefu sana hadi atakapokua Sawa itachukua muda mrefu."

"Inaonekana ni mtu ambae amekua akiteswa na mawazo kwa muda mrefu sana,na tukiwa tunamchoma sindano za usingizi daktari atazoea na mwili wake utajenga sugu kabisa. Itabidi ukae na yule mkewake umueleze ukweli juu ya hili."

Nesi aliondoka kisha daktari aliwaita

wodini alice na hellen kisha

akawaambia.

"Ni Kweli kabisa itabidi iwe hivyo,Sawa we nenda kaendelee na kazi alafu nitaongea nae."

"Nataka kuwaambia mambo ya

kuzingatia kuhusu mgonjwa lakini kabla

ya yote binti nataka kukuagiza,shuka hii

karatasi nenda pale mapokezi kampe

nesi rey,ulizia nesi rey hakikisha humpi

mtu yoyote zaidi ya hiyo rey."

"Sawa daktari."

Alice aliondoka kwa haraka sana kisha

daktari akaanza kuzungumza na Miss hellen.

"Mrs unajua sikuweza kusema hili mbele

ya binti, ila nimemtoa kwa kusudi tu ili

tuzungumze. Kama unavyoona hali ya

mgonjwa wako, itachukua muda mrefu

sana kuwa Sawa hivyo uvumilivu ndio unahitajika. Na tumeshauriana na nesi

hapa na kuamua kukwambia hii hali

ambayo mmeiona itakua endelevu na tunashauri kua asiwe anatumia sindano

mara kwa mara sababu itamletea madhara hapo baadae. Tutamruhusu ila

hakikisha akiwa na hii hali uwe nae

karibu kwaajiri ya kumtuliza."

"Nimekuelewa daktari lakini ni hicho tu ambacho ulitaka kuniambia?."

"Hapana,ila sijui utalichukuliaje ila ni kwamba mumewako kuanzia kwenye

vidole vyake vya miguu hadi kwenye

kiuno hakuna mawasiliano yoyote na ubongo kifupi hahisi chochote."

"Daktari inamaana... Aaah..."

"Ndio hana uwezo wa kufanya chochote kwa Sawa."

Miss hellen alizidi kujilaani alijisikia

vibaya sana, aliumia sana,alipozidi

kumtazama mr kelvin alizidi

kumuhurumia. Daktari akamwambia.

"Usimpe taarifa yoyote huyu binti

nitaongea nae kawaida na wewe uwe

kawaida asijue chochote kile."

"Lakini ni baba yake na mimi , kelvin wangu nakupenda sana, nakuahidi

sitaweza kwenda mbali na wewe tena nitakua karibu yako hadi nife mikononi mwako kelvin wangu nakupenda sana."

Daktari aliamua kutoka na kumuacha miss hellen lakini wakati tu anatoka akakutana alice, akamwambia.

"Alice usiwe na wasiwasi kuhusu baba yako atapona na atakua Sawa japo

hatatembea kwa sasa kutokana na miguu yake kukosa nguvu ila atakua Sawa."

"Asante daktari nimekuelewa ninaimani na baba yangu,ni shujaa wangu siku zote."

Wakiwa wanaongea alice na daktari

mara harson na mama yake walifika na

kumsalimia kisha daktari aliondoka na

kuwaacha wenyewe.

"Alice sijaenda shule sababu yako sikutaka uwe na huzuni peke Yako."

"Ni kweli aligoma kabisa kwenda shuleni."

Alice alimkumbatia harson na kumwambia.

"Harson asante sana wewe ni rafiki yangu bora kuwahi kutokea kwenye maisha yangu. Nakupenda sana."

Harson alimtazama mama yake na

kukonyezana kutokana na kuzidi

kumvuta alice karibu yao.

Waliweza kupata ruhusa ya kurudi

nyumbani kwao na mgonjwa wao.

Mr kelvin alikua anataka kumuona

mwanae muda wote hakutaka kukaa

nae mbali kabisa. Na hata ile hali

ambayo ilikua inamtokea mara kwa

mara ilianza kupungua.

Upande wa mr denis alikua hataki

kusikia kuhusu suala la kurudi kwa

mkewake huko alipomuacha,mama yake

alimsihi sana lakini mr denis hakutaka

kuondoka kabisa.

Ilianza siku,wiki,mwezi na hatimae

mwaka ukapita. Mr kelvin alianza

kufanya mazoezi ambayo alikua

anasimamiwa dereva ambae mr kelvin

alimtafuta kwaajiri ya binti yake maana

hakua akimwamini tena madam Leticia.

Japo hakuweza kumtenga nae darasani

lakini tayari alikua amempa onyo kuwa

asimkaribie Leticia kwa jambo lolote

yaani mr kelvin kila anaporudi binti yake

hua anazidi kumpa chuki binti yake dhidi

ya mama yake na alice alianza

kumchukia Leticia lol siku zilivyozidi

kwenda.

Ukaribu wa mr kelvin na hellen ulizidi

kuwa mkubwa sana maana walikua

wanalala pamoja huku akiamini kua

kelvin hawezi kufanya chochote

sababua ya kutokua na hisia ambayo imetokana na ajali.

Siku moja bwana usiku wakiwa

wamelala,miss hellen alikua na kigauni

chake chepesi na kifupi,na kelvin alikua

anavaa kaptura laini pia na tangu

amepata ajali mavazi yake yalikua ni kaptura laini tu.

Bàsi bwana mr kelvin usiku huo

alimsogelea hellen na kumkumbatia,hellen alishtuka baada ya

kuhisi joto na alipofumbua macho

alitabasam maana ni kawaida kelvin hua

anamkumbatia lakini siku hiyo ilikua ya

tofauti sana maana alikua anatumia

mkono wake kumpapasa hellen,hellen

alimgeukia kelvin na kuzungumza nae.

"Hakuna hellen, kwani ni tatizo kama

nikifanya hivi kwako?." "Hapana lakini unajua.... Sawa endelea."

Hellen alikumbuka siku ambayo

alimuacha kelvin akitamani kuwa nae

faragha ndio siku ambayo alipata ajali.

Alihisi kama Kelvin analia kisasi kwa

kuripiza alichomfanyia aliamua kutulia

kusikilizia msisimko ambao alikua

anaupata kutokana kauchokozi ka kelvin. Hellen alizidiwa na kujikuta

akimkumbatia kwa nguvu sana mr

kelvin,nae alifarijika na kuamua kuingia mchezoni.

"Kelvin mpenzi una tatizo gani."

Walipeana ushirikiano kwenye faragha

yao ya kwanza na baada ya kufika safari

yao hellen alimshukuru sana mr kelvin na kumwambia.

"Asante sana kelvin sasa umepona

mpenzi wangu,nilikua naogopa sana kuwa itachukua muda mrefu sana

kupona lakini sio kama nilivyotarajia, nakupenda sana mumewangu."

Kelvin alitabasam na kumwambia.

"Kila jambo linatokea kwa sababu

mkewangu,labda nisingepata ajali

nisingekuona tena,nisingefurahia penzi lako kama hivi."

"Usiseme hivyo kelvin unaongea nini jamani,nafsi yangu ilikua inaumia sana

ila sitaki kukumbuka matukio ya nyuma kwa sasa tupange maisha yetu yajayo."

Mr kelvin alimb'usu miss hellen kisha

wakakumbatiana na kulala pamoja.

Itaendelea....

TUMAINI LANGU 17 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Kuanzia hapo mr kelvin na hellen

walianza kuishi kwa furaha sana,japo

kwenye suala la kupona lilikua siri baina ya hellen na kelvin.

Upande wa alice nae alikua amebadirika

sana yaani huku shuleni alikua

msichana ambae hapendi kukaa na

wasichana wenzie na baadhi ya walimu

wakike pia yaani alikua hawapendi

kabisa ila akiwaona wanaume ndio huchanganikiwa kabisa.

Siku moja dereva alipomfata wakiwa

kwenye gari alimuuliza. "Hivi anko leon maana ya mapenzi nini?."

"Mapenzi,mapenzi bwana ni hisia zilizo

wazi baina ya mwanamke na mwanaume,yaani ukimuona mtu ambae

unampenda kuna hali flani ambayo

unahisi na ni pale tu unapomuona au anapokuona, Na mengine mengi vipi

anko una Mpenzi?."

Alice alitabasam baada ya kuambiwa machache kuhusu mahusiano. Walifika

nyumbani kwao baada ya kushuka

kwenye gari kabla hata hajaingia ndani

alielekea nyumbani kwao

harson,aligonga geti na aliyefungua

alikua harson,tena alikua hajafunga

vifungo vya shati alice alimkumbatia kea

nguvu sana na kumwambia.

"Harson leo nataka tuongee kama utakua tayari nina jambo nataka kukwambia." Harson alitazama upande

"Hapana nimeuliza tu."

wa ndani kisha akamuuliza.

"Baadae nitakuambia ila kwa sasa shika hii."

Alimpatia zawadi harson kisha

akaondoka zake,kama mjuavyo bwana

mapenzi ya watoto, vizawadi zawadi

vingi. Harson alifurahi sana maana

"Jambo gani tena alice?."

lilikua ua zuri sana alifunga geti na kuingia ndani ambapo mama yake

alimuuliza mara tu baada ya kuingia.

"Enhe nani alikua anagonga mlango?."

"Alikua alice mama aliniletea ua."

"Hee unaona sasa mwanangu hatimae zile zawadi zimemfanya akuamini na

sasa anazidi kuwa karibu na wewe,ila

harson mwanangu alice ni kama

mwanangu pia usimuumize tafadhali."

"Mama nampenda sana alice na ndoto

zangu kwake ni kuwa mume bora na

mwaminifu kwake." "Kama ni hivyo Sawa

ila ukimuumiza nakunyofoa macho Yako."

Walikua wanafurahia pamoja juu ya kushinda kombe ( alice).

Alice aliingia ndani na kumkuta miss

Hellen alimsalimia na kuingia chumbani kwake. Siku hii alikua tofauti sana na siku zote,miss hellen alimfata na kumuuliza.

"Vipi mwanangu umechoka sana sio?."

"Ndio mama lakini sio sana,baba anaendeleaje?."

"Yupo vizuri na amesema leo tuende

gym mimi na wewe tukamfate." "Mama kweli?."

"Ndio au unaonaje?."

"Mama lakini leo nina kazi nyingi za kufanya."

"Ooh bàsi usijari, chakula kipo mezani mimi naenda kisha tutarudi pamoja."

"Sawa mama mwambie baba nampenda sana."

"Sawa binti yangu."

Miss hellen alichukua pochi yake na kuelekea nje kwaajiri ya kwenda Gym

kumfata mr kelvin

lakini ghafla simu yake ikaanza kuita

alipotazama mpigaji alikua mr yassin

alipokea simu. "Hallo mr yassin kuna

jambo gani ten?."

"Madam hadi kufikia leo sijapata

nyaraka yoyote ile ambayo imetoka kwa

mr denis na sijajua kwanini maana

nimejaribu sana kumfatilia lakini

haonekani kuwa msikivu."

Miss hellen alikata simu na kuelekea

gym alipofika gym alishangaa sana

maana palikua tofauti na siku ambazo

amewahi kufika, palikua pamepambwa

sana kuliko kawaida na ukiachana na

gym kulikua na kila aina ya michezo

humo ndani,wakati miss hellen

anajiuliza aanzie wapi kuna mdada

alimsogelea akamsalimia na kumwambia.

"Sawa mr yassin endelea na mambo
Yako huyo achana nae nitajua nashughulika nae vipi."

"madam karibu sana unaitwa, niliambiwa utakua na msichana lakini upo mwenyewe." "Ndio yeye nimemuacha alisema ana kazi zake za shule."

"Anha Sawa bàsi nifate."

Miss hellen alikua haelewi kabisa

kwanini imekua hivyo,alimfata na baada ya kufika sehemu husika alikuta wadada watatu ambao walikua wameshikiria mashera matatu,hellen akauliza.

"Kwanini mmenileta hapa?."

"Mr kelvin ametuambia tukulete hapa

uchague shera ambalo utalitumia

kwenye siku yenu ya muhimu leo."

"Ya muhimu mbona hajanambia chochote?."

"Madam sisi tumeagizwa tu lakini.."

Miss hellen alitoka nje na alipotoa simu

kwenye pochi kwaajiri ya kutaka

kumpigia kelvin simu yake iliita na kelvin

ndio alikua anampigia, alipokea na kabla

hajazungumza chochote mr kelvin

akazungumza.

kuzungumza,ikiwemo na kunilaumu

lakini sitaki lawama tena,nilitaka iwe

saplaiz na ya kipekee sana kwetu na

tayari nmemtumia ujumbe alice kwakua

hajafika ila nataka ujue kuwa najaribu

kufanya kitu cha kipekee kwaajiri yetu

nakupenda sana."

"Najua una mambo mengi ya

Miss hellen alitaka kuzungumza lakini

tayari simu ilikua imekatwa na mdada

mmoja akamfata na kumwambia.

"Madam tumeambiwa zimebaki dakika

15 tu Ili harusi ianze tafadhali tunaomba

ukubali lipite hili."

Miss hellen hakua na chaguo kwakua mr

kelvin alishamueleza kila kitu.

Alivaa shera na kupelekwa kwenye

ukumbi maarum ambapo alimkuta mr

kelvin akiwa nae amependeza kuliko

kawaida,miss hellen alitamani kutoa

machozi ya furaha maana alimuona mr

kelvin amesimama kwa miguu yake

mwenye bila kiti cha magurudumu

tena,miss hellen alimkumbatia mr kelvin

huku akilia kwa furaha Kelvin

akamwambia.

"Hellen usijiskie vibaya, nilitaka nizidi kushangazwa zaidi,japo uliamini kua

nimepona kihisia tu ila miguu ndio

ilianza kupona baada ya kufanya

mazoezi ya kutembea. Ila sitaki kusema

kea nilichokua napitia hadi kufanikisha

hili ila nimeona hapa nilipokua na

unafuu tufunge ndoa na tuishi kwa

furaha mkewangu."

Hellen alimkumbatia kwanguvu sana mr

kelvin maana hakuwahi kumwambia kua

alishapona miguu na kurejea kwa hisia

zake lilikua ni suala la muda kidogo.

Bàsi bwana vigelegele na shangwe

vilishamiri kwenye kumbi hiyo na hatimae mr kelvin na miss hellen

wakawa mke na mume.

Baada ya hapo walirudi nyumbani

ambapo yalikua majira ya saa moja

usiku tena wakiwa kwenye mavazi yao

ya harusi. Walifungua mlango

wakitegemea kua watamkuta alice

nyumbani lakini alice hakuwepo nyumbani.

Mr kelvin alianza kupagawa maana

moja kwa alijua Leticia amemchukua

mwanae. Wakati miss hellen akiendelea

kuita na kumtazama katika kila chumba

lakini bila kujua mtoto wao alikua na

harson muda huo tena wakiwa katika

mazungumzo ya kimahaba kwenye bustani.

"Alice...! Alice....!" Alice alisikia Sauti ya mama yake na kumwambia harson."

"Mama atakua amerudi na baba nenda harson tafadhali."

Harson alimkumbatia alice na kum'busu

kisha akaondoka zake na alice ndipo

aliamua kuelekea ndani ambapo alisikia akiitwa.

"Mamaa...!" Alishangaa baada ya

kumuona mama yake akiwa kwenye

gauni la harusi,alice alimkumbatia

mama yake na kumwambia.

"Hatimae mama,lakini..."

"Alice ulikua wapi? Unajua umenipa wasiwasi sana?." "Baba...! Unatembea..?".

Yaani ilikua zaidi ya saplaizi

kwake,alimuacha mama yake na kwenda kumkumbatia baba yake kisha

akaigusa miguu yake maana hakuwa

aliamini baba yake angeweza

kutembea,baba yake akamwambia.

"Ulikua wapi binti?."

"Baba nilikua nasoma bustanini."

"Hadi muda huu?."

"Ndio baba nilikua harson pia,nayeye ameondoka muda si mrefu."

"Anhaa sawa,ila sijapenda kutohudhuria harusi yangu ila nilikuomba sana uje."

"Ni kweli baba mama aliniambia lakini nilikua na kazi za shule na sikua najua

kama kutakua na harusi."

Alice alimshika mkono baba yake na mkono wa hellen kisha

akawashikanisha na kuwaambia.

"Baba na mama yangu mmekua kitu

kimoja sasa,najua mmepitia mengi na mmeweza kuyashinda majaribu yote na sasa mko pamoja,hatimae furaha yangu

imekamilika sasa kwaajiri yenu."

"Ndio hata yeye hakua anajua kama tutafunga ndoa hivyo ilikua saplaiz kwa wote."

"Nafuraha kwaajiri ya mtoto wangu pia

ninafutaha kwaajiri ya mkewangu pia,nyie ndio mlikua sababu kubwa sana ya mimi kuishi na kwakua nipo vizuri

sasa nimeomba uwamisho kazini na shuleni kwako pia alice tunaenda kuishi nje kwa muda ili tufurahie maisha yetu."

"Baba nje tena?."

"Ndio binti yangu nilipanga hivyo,na hii ndoto ambayo nilikua nayo kwa muda mrefu na sasa ni wakati sahihi wa kufanya hivyo mwanangu."

Alice aliingia chumbani kwake na kuwaacha baba na mama mpyayake wakiwa kwenye mshangao...

Usikose itaendelea....

TUMAINI LANGU 18 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Baada ya alice kuelekea chumbani na kuwaacha wazazi wake kwenye

mshangao mama yake akataka kumfata

kwaajiri ya kuzungumza nae lakini mr

kelvin akamzuia na kumwambia.

"Asikusumbue,labda ameshtuka tu ila atakua dawa tu wala usijari." Miss hellen

alimuelezea mumewake na kuingia

ndani pamoja.

Alice alimtumia ujumbe harson kuwa

anataka kusafiri harson alimuomba

sana alice asiondoke maana akiondoka

hatokua na furaha lakini tayari baba

yake alishaamua na hata true mara

nyingi hapendi kumkwaza baba yake

hivyo harson hakuweza kumzuia alice kutoondoka.

Siku mbili zilipita na alice alikua hana

furaha madam Leticia alimuita na

kuzungumza nae,alice akafunguka kuwa

baba yake ameswma kua wanataka

kwenda nje ya nchi madam Leticia

alishtuka sana maana ni mambo mageni kwake. Alice akijiuliza kwanini

madam wake ameshtuka sana lakini

hakutaka kumuuliza na kwakua tayari alishamruhusu aende.

Madam Leticia alitoka ofsini kwake

kuelekea kwenye ofisi ya mwalimu mkuu

kuulizia kama kuna taarifa yoyote

kuhusu alice kuamishwa mwalimu mkuu

akamwambia kua tayari alice

ameshamaliza kufanikiwa suala la uwamisho. Madam Leticia alizidi kuwa

na mshangao maana imekua ghafla

sana.

Alimuita alice tena na kuanza kuongea

nae kirafiki,alimbembeleza sana kutaka

namba ya alice ili hata atakapofika huko

kama atabadirisha namba bàsi owe

rahisi kumpata. Alice alimpa namba

yake madam wake kisha akarudi darasani.

Siku hiyo madam Leticia akiwa na mawazo sana.

Alipokua nyumbani kwake alitamani

sana kuzungumza na mr kelvin lakini

hakua na namba yake tangu pale

alipopata ajali akasajiri laini nyingine

lakini hakumpa namba yake madam

Leticia,hata eye mr kelvin hakua

anahitaji mawasilian na madam Leticia

maana aliona kama adui yake.

Siku ya safari iliwadia ambalo siku

iliyopita alice aliwaaga marafiki zake

kuwa anaondoka siku ya Kesho na madam Leticia pia alimuaga hivyo siku

husika ya wap kuondoka Leticia alifika

nyumbani kwake muda muafaka kabisa

maan Ndio alikuta wanapaki mabegi yao

kwenye gari kwaajiri ya safari.

Madam Leticia alijiskia vibaya sana

maana mr kelvin alionesha mapenzi ya

wazi kwa miss hellen. Mara

watekenyane mara wabusiane yaani full

burudani na penzi lao bila kujua kua

kuna mtu ambae alikua anaumia kuona

wao wanafurahia.

Harson pia siku hii hakua ameenda

shule alikua akimsaidia alice kitoa

mabegi ndani na kuleta

nje na Baada ya kurudi tena ndani

harson alimvuta alice mkono na kumkandamiza ukutani Huku akimwambia.

"Alice inamaana ulishindwa kabisa

kuniskiliza na umeamua kuondoka hivi umejifikiria kuwa tunaweza vipi kuishi mbali hivi si wawili?."

"Harson najua hindi gaji unajiskia, hata mimi natamani tungekua pamoja lakini

siwezi,sababu bàdo nipo chini ya baba hivyo siwezi kupinga anachoamua tafadhali harson."

"Nakuelewa ila nitakua mpweke sana

kwaajiri yako,nitakumbuka vituko vyako

vyote pindi muda wa kulala nitachelewa kulala kwaajiri ya kutazama picha zako

ambazo ulinipatia."

"Usijari alafu harson naomba uniahidi kua utalinda Penzi letu hutochakachua..?"

Harson alitabasam na kumwambia.

"Kamwe siwezi kuchakachua

nakusubiria wewe tu,ila hata wewe usije

nisaliti maana huko kuna vijizungu

vinajifanya vina real love sana tafadhali usiwakubalie."

Alice nae alitabasam,na kukumbatiana

kwaajiri ya kuagana kisha wakatoka nje

na kukuta mr kelvin na miss hellen

wanamsubiri alice na Baada ya kufikia

yeye waliingia kwenye gari na kuondoka

zao.

Wakati gari inaondoka kuna tax ilifika

hapo muda huo huo,na aliyeshuka

kwenye hiyo tax alikua mr denis

alipomtazama mazingira kwa mbali

alimuona mwanamke ambae alionekan

amekaa kwa kujitenga niwazi hakutaka

kuonekan na pia harson na mama yake

ndio walikua wanaingia ndani kwao, mr

Denis alipiga hatua kuelekea kwa hiyo mwanamke ambae alikua amejitenga.

Naam alikua madam Leticia tena alikua

analia kwa uchungu sana,mr Denis akamuuliza. "Vipi dada unaumwa?."

"Hapana siumwi."

"Mr denis akajua huwenda kuna jambo

linamsumbua akamwambia bàsi atulie

waweze kuzungumza vizuri. Waliondoka

pamoja hadi kwenye sehemu yenye

utulivu na mr denis akaanza akumuhoji.

"Nimekuta unalia,nimeuliza kama

unaumwa unasema hapana,shida nini kama hauumwi dada?."

"Mtoto wangu,mtoto wangu ameondoka bila kujua kama mama yake yupo hai

naumia sana kila nikifikiria hili."

"Mmh labda ungenielezea kwa kina nikapata kukuelewa unamaanisha nini kusema hivyo?."

Madam Leticia alimsimulia mr denis kila

kitu mr denis alimpa pole na kumwambia.

"Sikujua kama na wewe yamekufika

kama yangu,maana hiyo unaesema ni mpenzi wako amemuoa mwanamke wangu hellen."

"Nini..? Inamaana na wewe alikua ha

akaenda kuolewa na Kelvin wangu?,hivi

wanajiskiaje kuharibu mahusian yao na ya wenzao kwanini lakini?."

"Hata mimi sijui ila kuna jambo nimelipanga kufanya najua wataachana tu."

Madam Leticia alimkazia macho mr denis na kumwambia.

"Kama ni jambo la kumdhuru mtoto wangu na kelvin wangu hakika sitakuacha salama."

"Hapana nachokipanga sio kwaajir ya kuumiza mtu yoyote ni kwaajiri ya

kutaka hellen wangu tu arudi

kwangu,kama na wewe unataka kelvin

arudi kwako bàsi tuungane kwaajiri ya

kutimiza lengo letu pamoja kwaajiri ya kuwaridisja wapenzi wetu kwetu."

Mr denis alinyoosha mkono kwaajir ya

mapatano,madam Leticia nae alimpa

mkono na kuanzia hapo wakaanza

kupanga mipango kwaajiri ya

kuwaridisha watu wanaowapenda

kwenye maisha yao tena.

Muda ulizidi kwenda mr kelvin na

mkewake na alice walikua wanafurahia

maisha yao huku Tanzania bàdo mr

denis na Leticia waliendelea na mikakati

yao mahususi kwaajiri ya wapenzi wao.

Mr denis siku moja alikua nyumbani

kwao,mara simu yake ikaanza kuita

alipotazama mpigaji alikua mkewake

akimuuliza atarudi lini Maana tayari

mwaka umepita lakini harudi mr denis

alichojibu ni kua hana ratiba yoyote

kuhusu kurudi. Kwa hasira alizonazo

mkewake alikata simu,mama yake mr

Denis alikua amesikia mazungumzo ya kijana wake akamuuliza.

"Mwanangu inamaana umemsahau mkewako kwaajiri ya hellen,lakini mbona

yeye hakujali kabisa? Si anajua wewe una mke kwanini wewe kila siku umekua wa kumuota sana hellen?."

"Mama hujui tu yani,yaani katika maisha

yangu sijawahi ona mwanamke mzuri na mwenye upendo kwangu kama hellen

mama, hellen sikukosea kumuoa mama

najuta saña kwanini nilimsaliti."

"Unamaanisha nini kusema hivyo?."

"Hellen ananipenda sana mpaka sasa

naomba niipiganie nafasi yangu kwake mama, tafadhali."

"Denis...!"

"Mama hujui kwa hellen napata nini mama."

Mama yake mr Denis alimtazama kwa

mshangao saña na kumsikitikia kijana

wake maana hakujua atafanya nini

kwaajiri ya kumbadirisha mawazo kijana

wake.

Upande wa huku marekani, familia ilikua

inafurahia maisha na hellen

hakuchelewa kubeba mimba na hata

mawazo yalikua yamemuisha mapema

sana kutokana na mapenzi ambayo

alikua anayapata kwa mr kelvin yaani

ilikua kama dozi kwake. Alice nae shule

ambayo alikua anasoma ilikua inasifika

kutoa vipaji vingi vya wanamitindo bora

duniani nae alipoanza kusoma hapo

alianza kuvutiwa na mambo ya mitindo na mwishowe alijiingiza mazima kwenye

suala la mitindo.

Baada ya kusoma kwa miezi sita ya

muhula wa mwisho mara tu baada ya

kufanya mitihani yao ya kumaliza

muhula walifanya hafla ndogo kwaajiri

ya kupata wanamitindo bora kwaajiri ya

kwenda kushiriki kwenye mashindano

makubwa kwenye kipindi chote

ambacho watakua kwenye mapumziko ya likizo.

Hafla hiyo ndogo ilifanikiwa kufanyika na alice alikua mmoja kati ya wanamitindo 20 wanaoshiriki kwenye hicho kinyang'nyilo.

Kati ya hao 20 walikua wanachujwa kila baada ya siku tatu na hatimae walibaki watu watano Kati yao na alice akiwemo.

Ilikua ni siku ambayo ikisubiriwa kwa

hamu sana maana wengi huonesha vipaji vyao mbele za majaji maarufu duniani pamoja na wazazi wao pia.

Mr kelvin na miss hellen walifika kwenye

ukumbi husika na kumbi ilifurika sana

kwa kujaza watu wengi sana.

Baada ya burudani za hapa na pale

kwaajiri ya kuchangamsha waarikwa na wazazi pamoja na wanafunzi

waliohudhuria,bàdo jukwaa lilionekana

kupooza ndipo alipandishwa

mwanamziki wakike ambae hupendwa na huvutiwa na watu wengi sana pia

alikua maarufu nchini hapo na hata

duniani kote.( Beyonce) performance

yake uliwafanya wawe na furaha sana

na kuwachangamsha wote.

Na Baada ya beyonce kushuka jukwaani

sasa hafla yenyewe iliyokua ikisubiriwa

kwa hamu ikaanza.

Walimbwende watano walionelewa na

baadhi ya wanamitindo wa shule husika

na hata wastaafu pia walianza kupanda

jukwaani mmoja baada ya wengine,

shangwe zilizidi kushamili kila

wanavyozidi kupanda na wa mwisho

alikua alice na yeye pekee ndio alice

mwafrica na ndio alikua wa mwisho.

Dizaina wake alikua amempatia sana,

kutokana na jinsi alivyo na rangi yake pia

yaani shangwe zilikua nyingi sana.

Majaji waliona wote wanastahili kwenda

lakini walihitaji watu wawili tu,hivyo

Ilikua inawaumiza

sana vichwa vyao kuchagua nani aende

nani abaki...

Unadhani alice atachaguliwa au

ataishia hapo?.usikose itaendelea...

TUMAINI LANGU 19 NASSRAH

ABDULLAH WSP 0715431019

Majaji walikua wanawake wawili na

wanaume wawili,kikao mmoja

akimsukumia mwenzake aamue

mwisho waliwaachia wanaume ndo

wachague na wao waliinamisha vichwa

vyao chini ya meza na hao majaji

wakiume hawakua na mbambamba

waka kufikiria sana walimchagua alice

na msichana mwingine ambae

alifahamika kwa jina la cellin.

Mr kelvin na miss hellen walifurahia

sana kuona binti yao akiwa na furaha

kwa kupata nafasi hiyo. Na Baada ya

hapo walisogea meza ya majaji kwaajiri

ya kupongezwa kisha wakapewa form

ya kujaza na majina yao pia

yakaandikwa kwaajiri ya kuyawakikisha

kwenye uongozi wa juu.

Mara baada ya kutoka nje ya ukumbi

huo alice akiwa anataka kuingia kwenye

gari yao kwaajiri ya kwenda nyumbani

kwao,alikua maarufu kwa wanafunzi

wenzake maana wengi

walimpongeza,sana alice nae alifurahi

pia na baada ya hapo aliingia kwenye

gari na kuondoka zao.

Walifika nyumbani kwao mr kelvin akazungumza.

"Unaona sasa, hatimae unataka kukutana na wanamitindo bora duniani na maarufu na vipi kama ungebaki nchini haya ungeyafikia binti yangu?."

"Sijui baba ila nashukuru sana kwa kila kitu,mama yangu haujawahi kunikatisha

tamaa juu ya ndoto zangu nakupenda sana."

"Usijari kipenzi changu, nitahakikisha

nakupigania hadi dakika yangu ya mwisho binti yangu." "Mmh na mimi je

sistahili kudhukuriwa jamani maana

hata mama yako amepata kombe hapo."

Mr kelvin alizungumza miss hellen

akamuuliza. "Kombe lipi sasa?."

"Si mimba hiyo unadhani ni rahisi sana

eeh? Sikia hivi karibuni mdogo wake

alice anakuja tutakua na furaha sana

kwenye familia yetu."

"Baba Ndio useme mama yangu kapata kombe( hahahaha) haya nahitaji

kupumzika sass nmechoka sana."

"Sawa pumzika mwanangu."

Alice aliingia chumbani kwake

kupumzika,ola Siku yake ilikua nzuri na yenye furaha sana,hivyo alilala akiwa na tabasamu usoni kwake.

Miss hellen alienda kumchungulia

akamkuta amelala,alimfunika shuka

vizuri na kum'busu kusha akataka

kuondoka lakini alice aliushika mkono

wake kwanguvu na kuugemea akiwa

bàdo mwenye tabasam sana.

Sometimes, unapata mama wa kambo

hadi unatamani kama angekua mzazi

maana anakujali na kukupa upendo wa kila rangi hadi basi yaani.

Usiku huo ulipita na hatimae siku

nyingine pia walianza vizuri maana

walipigiwa simu nyingi sana kumsifia

alice kuwa anaweza sana alice nae

alikua anawashukuru sana na kuomba

wawe pamoja nae hadi tamati ya

mashindano hayo makubwa.

Alijaza form aliyokabidhiwa kwa

kusoma kwa umakini wa hali ya juu sana

na siku ya kukabidhi

form hiyo na sehemu ilikua umetelezwa

kwenye form hivyo ilirudishwa kwa

muda muafaka kabisa.

Na Baada ya wiki moja alice alipigiwa

simu kuwa anatakiwa kujiandaa muda

wowote anaweza kuhitajika kwaajiri ya

mahojiano kadhaa kutoka kwenye

vyombo mbali mbali vya habari. Alice

alikua na furaha sana na hakuacha

kuzungumza na rafiki yake harson mara

kwa nae hakuacha kumsaport kwa kila

kitu.

Siku ya mashindano hayo yalikua tayari

yametimia na kumbi iliandaliwa tayari

kwa viingilio tofauti.

Walianza wanamitindo ambao walikua

wazoefu kisha ikafika zamu ya

wanamitindo chipukizi ambao wanataka

kuwakabidhi kijiti kwaajiri ya kuendeleza

tasnia hiyo duniani kote.

Kama kawaida washindani walikua

wengi sana maana walitoka maeneo

mbali hapo marekani na hata nje ya

marekani,aise kulikua na wamitindo

nguli na waliobea sana.

Zamu ya alice ilipofika alice alionekana

kupoteza uwaminifu kabisa yaani kifupi

hakua mwenye kujiamini kabisa siku hii

japo mashabiki ambao waliahidi kuwa

upande wake walikua wamemfurahia

sana maana mavazi yake yalikua ya

kuiwakilisha africa na mara nyingi

wazungu hupenda tamaduni zetu hivyo

walimpa saport sana.

Baada ya muda mfupi kula la maoni

zilianza kupigwa na alice alifanikiwa

kuingia kwenye top five ambapo Kati ya

hao wanahitajika watatu kwaajiri ya

kuiwakilisha nchi na dunia kujumla.

Hii ndio ilikua nafasi ya pili kwa alice

maana ndio ilikua nafasi pekee ya

kuiwakilisha nchi ya Tanzania na africa

kiujumla maana yeye pekee ndio

alitambulika kama mwafrika kwenye

mashindano hayo.

Baada ya mizunguko huo kuanza alice

pia bàdo hali yake uoga iliongezeka hofu

pia ilimuandama na hatimae

akashindwa kuingia kwenye top three na hata ukiachilia mbali kuto kujiamini

kwake kulimpotezea point moja tu kuweza kupata nafasi hiyo.

Alipatiwa zawadi na mwenzake ambae

waliondolewa kwenye mashindano hayo

na kushuka jukwaani lakini mbali na kushindwa kwake kuna watu ambao

bado walikua wanamkubali sana.

Hatimae mashindano yakaisha na

walivyorudi nyumbani alice

hakuonekana kuwa Sawa alikua mtu

mwenye mawazo sana kwenye kipindi

hiko lakini wazazi wake walikua faraja

kwake na hata mara fiki zake ambao

walikua karibu yake.

Baada ya mieizi mitatu miss hellen

Alijifungua mtoto wa kiume na

mwenyew alipendekeza jina la elias

kwaajiri ya kumuenzi kijana wake me

kelvin hakukataa sababu alifanya vile

ambavyo mkewake anataka. Na shule

pia zilikua zimefunguliwa hivyo alice

alikua amerudi shule tayari.

Hatimae alimaliza shule na kuchaguliwa

kwenye chuo kikubwa nchini marekani

na mr kelvin akamwambia alice kuwa

kabla ya kwenda chuo lazima warudi

kwanza nchini maana tayari wamepanisi

alice hakuona kuna tatizo hivyo safari

ilipangwa na hatimae wakarejea

Tanzania.

Harson alifurahi sana kumuona alice

wake maana lila mmoja alimuona

mwenzake amekua mkubwa hivyo muda

mwingi walikuwa wote kwenye

matembezi katika sehemu mbalimbali nzuri.

Mr kelvin alienda hospital kwaajiri ya

kuwasabahi marafiki zake nao walikua

wamemkumbuka pia. Hivyo wakapanga

sherehe kwaajiri ya rafiki yao na

kumpongeza kwa kupata mtoto pia mr

kelvin hakuona shida bila kujua kua hata

mr denis na Leticia nao walipata taarifa

na kupanga uvamizi kwenye hiyo sherehe.

Siku ambayo ilipangwa kwaajiri ya

sherehe ilikua siku ya wikiendi sherehe

hii alice hakutaka kuhudhuria kutokana

na muda mwingi alikua na harson.

Bàsi bwana sherehe ilinoga na mr kelvin

alishika kipaza sauti kw akuwashukuru

wafanyakazi wenzake kwa kumjali na

kuendelea kumpenda. Alitoa shukran

zake za dhati kwa hellen mkewake

alimsifia sana kiasi kwamba hadi Leticia

alikua anaumia kuendelea kusikia sifa

hizo kisha mziki wa taratibu ulikua

unaendelea. Mama Elias alimpa mtoto

mr kelvin kisha akadai kuwa anaenda

uwani kidogo mr kelvin alimruhusu na

mara tu baada ya kwenda huko mr Denis

alimfata na mara tu baada ya kutoka

uwani mr denis alitumia kitambaa

ambacho kilikua na madawa ya kulevya

kumziba pua yake hellen alivyopoteza

fahamu mr denis alimchukua na kuondoka nae.

Mr kelvin baada ya kuona mke wake

hajarudi akamkabidhi mtoto Elias kwa

mtu ambae hakumtazama usoni kisha

akaelekea uwnai ambapo alipofika

alikuta kiatu kimoja cha mkewake aliita.

"Hellen...! mkewangu...! Mama alice...!

Mama Elias..." Alitumia kila majina

kumuita mkewake lakini aliambulia

patupu alimtuma mtu kwenda

kumtazama chooni lakini walileta

majibu kuwa hayupo chooni mr kelvin

alianza kuchanganikiwa.

Na huku ukumbini mtoto alimkabidhi

kwa Leticia ambae hakua amemtazama

usoni sababu alikua amevaa miwani na

alikua amejitanda mtandio na alipoamini

kama ni mtu mzuri lakini haikua

hivyo,huku napk akapata taarifa kuwa

mtoto Elias pia amepotea,mr kelvin

alichanganikiwa kwa muda mfupi sana.

Alianza kutetemeka kwa hasira jinsi

alivyokua anaonekana kama vile zombi

maana hasira ambazo alikua nazo na jinsi alivyokua anaonekana aise alikua

anatisha sana. Rafiki yake sospeter alimchukua na kumpeleka nyumbani

kwake na kumchoma sindano ya usingizi maana hakuonekana kuwa Sawa kabisa.

Mr denis na alimpeleka miss hellen

kwenye nyumba ya madam Leticia na hata Leticia pia alifika hapo na mtoto

eliasi pia. Mr denis akamwambia.

"Lazima tuwatenganishe mama mtoto sitaki kumuona huyo mtoto kabisa."

"Sikiliza we denis huwezi mtenganisha mama na mtoto kamwe alafu kumbuka

huyu mtoto kula yake ni ziwala mama yake unawezaje kumtenga na mama yake?."

"Sijali chochote kile kuhusu huyo mtoto ninavyomtazama nazidi kuwa hasira kabisa, nitamuua." Madam Leticia

alimshangaa mr denis maana

alionekana kua ni katili sana tofaut na

alivyomzoea.

Baadae sana miss hellen aliamka

alijihisi mchovu sana akatazama saa

yake ya mkononi ikionesha ni saa saba

usiku na humo ndani alipo hakukua na

chochote kile alisimama na kusogea

mlangoni na kuanza kuita.

"Alice...,alice.. Kelvin...," Hakukua na mtu

yoyote ambae aliitikia,miss hellen alikua

anajiuliza mwenyewe kuwa yupo wapi

lakini hakuwa akipata majibu maalum.

Mara ghafla mlango ulifunguliwa na aliyeingia mr denis.

"Saplaiz...!, ( Hahaha) hukutegemea kuniona hapa si ndio?."

"Denis...,kwanini upo hapa?."

"Hellen.. hellen...hellen .. nilikuambia kuwa huwezi kunikimbia kabisa hebu ona leo upo kwenye mikono yangu, unajiskiaje?."

"Denis Mwanangu yuko wapi?."

"Nasikitika sana sababu mwanao

kadogo dogo tayari nimekaua,maskini

mtoto, Mungu ampokee kwa moyo

mmoja huko aendako..."

Kabla hata hajamaliza kuzungumza

alipokea kibao cha moto kutoka kwa

miss hellen na kumwambia.

"Wewe mpuuzi usiniambie ujinga

wowote kuanzia sasa naomba nipe

mwanangu na kama umemuuwa wallahi

nakuapia huwezi kutoka hapa ukiwa

mzima,yaani ama zako ama zangu nakuambia."

Mr denis alitoka chumbani humo bila

kusema chochote kile huku mkono wake

ukiwa imeshika shavu lake...

Unadhani itakuaje usikose itaendelea....

TUMAINI LANGU 20

NASSRAH ABDULLAH WSP

0715431019

Asubuhi mapema sauti ya mtoto Elias

Ndio ilimshtua sana miss hellen na

kusogea mlangoni hukua akiomba

mtoto wake apelekewe. Miss hellen

alishindwa kujizuia kabisa kusikia Sauti

ya mtoto wake.

"Nawaomba sana nileteeni Mwanangu

nakama mkitaka kumdhuru mtoto

wangu bàsi anzeni na mimi siwezi kuishi

bila yeye tafadhaii nawaomba sana.

Elias wangu,kuwa mvumilivu elias

mama yako nipo hapa baba yako

atakuja kutuokoa mwanangu kuwa jasiri

kama baba yako mwanangu siwezi

kukuacha kwenye mikono ya watu

wabaya mwanangu."

Miss hellen alikua anazungumza kwa uchungu sana,na mr denis alikua

anamsikiliza nae alijisikia vibaya sana

baada ya kuona miss hellen kampa

mtoto wake kwa jina la kijana wao wa

zamani,aliona anamkosea sana. Alijihisi

Mwenye hatia sana kumpitisha tena

kwenye machungu ambayo aliyapitia

pindi amempoteza mtoto wao.

Mr denis alimfata madam Leticia na kumwambia.

"Leticia siwezi nimeshindwa kuvumilia

hili kabisa,hellen alipitia wakati mgumu

sana alipompoteza mtoto wake wa

kwanza na mimi ndio chanzo,sitaki

apitie tena wakati huo nikiwa nina

uwezo wa kufanya jambo kwaajiri

yake,sitahitaji chochote kutoka kwake

kuanzia sasa nitamuacha aishi maisha

yake na sio vile navyotaka mimi,sababu

naamini kua yeye anahaki ya kuishi

maisha anayotaka mwenyewe."

"Nampeleka mtoto kwake na nitamuacha aende sitamsumbua tena."

Mr denis alimchukua mtoto na

kumrudisha kwa mama yake miss hellen kisha akamwambia.

"Nisamehe sana hellen najua

nimekuumiza sana na nilitaka kumfanya

mwanaume wako aumie kwa kukuteka

lakini nahisi nakuumjza tu wewe,hellen

nimejiskia vibaya sana,sikujua kama

bàdo

"Nini wewe kwahiyo unataka kusemaje yaani?."

unampenda na kumuenzi mtoto wetu

mpaka leo hellen nisamehe sana

sikuwahi kuwa mumebora kwako wala

baba bora kwa mwanangu nisamehe sana."

Miss hellen hakujali alichokua

anakisema mr denis alimchukua

mwanae na chakwanza alimpa mtoto

chakula chake,mr denis alitoka na baada

ya dakika kadhaa alileta chakula miss

hellen hakula chakula kile maana hakua

akimwamini mr denis. Mr denis

mwenyewe aliamini kuwa kile chakula

kilikua salama akamwambia hellen.

"Umelala ukiwa hujala chochote la unahisi numeweka sumu bàsi nakula

mwenyewe Ili uwamini kama chakula hakina tatizo"

miss hellen alikua anamtazama tu mr

Denis,na mr denis alikua kile chakula

hadi mwisho na alipoahidi kuwa

anaenda mchukulia chakula kingine

ghafla alishika tumbo lake huku

akiugulia maumivu na hakuchukua

muda mwingi simu ilianza kumtoka

maskioni na piano pia,miss hellen

alishtuka sana na kumsogelea huku akiita.

"Denis.. Denis kwanini umejiua

inamaana... Denis denis..."

"Leticia.. Leticia.. n..ni mtu m'baya sana ki..mbi.a hellen

at..ataku..uua,kwa..aaji..ya ke..lvviin na..alice..."

Mr denis alikua akizungumza kwa taabu

sana japo hellen alielewa na hata hivyo

jina la Leticia halikua geni kwake..

aliingia mkono kwenye mfuko wa mr

denis wakati huo mtoto analia sana kwa

hofu ya kile kilichotokea.

Miss hellen alimpigia simu mume wake

haikupokelewa akatumia ujumbe mfupi

kituo cha polisi pia kwaajiri ya tahadhali

nakuombea msaada pia.

Madam Leticia aliposikia mtoto analia

kwa Sauti kali akaamini kuwa mr denis

na hellen wameshafariki hivyo alifungua

mlango na kutaka kumbeba mtoto na

mkononi alikua amebeba kisu ni wazi

alikua anataka kumuua mtoto huyo.

Miss hellen kumbe alikua anamuona

japo alijifanya kama amekufa na madam

Leticia alipotaka kumchoma kisu mtoto

aliwahi kumshika na kumuwasha kofi

kisu kilianguka chini na alipotaka

kukiokota miss hellen alikiwahi na

kumbeba mtoto wake pia akasema.

"Unashirikiana na mwanaume kumteka mke na mtoto, kwaajiri ya mwanaume ambae hajawahi kukupa heshima

,sikuwahi kuona wala kuskia japo kuna

sifa nyingi za kuhusu michepuko ila mchepuko wewe umepanda daraja nikupe hongera sana."

"Kelvin sio mchepuko wangu kelvin ni mpenzi wangu wa muda mrefu sana na usichokijua ni kwamba alice ni binti yangu mimi na kelvin pia..."

Madam Leticia alikua anamsogelea hellen na kutaka kumpiga lakini hellen

alikua vizuri sana hakutaka

kubabaishwa na Leticia mara nyingi alikua anamkwepa na baada ya polisi

kupata ujumbe ule,waliitraki simu hiyo na kuanza kuifatilia..

Upande wa mr kelvin pia alikuja kupata

fahamu majira ya saa nne ambapo aliita

sana lakini hapakua na mtu yoyote

alitoa simu yake mfukoni na kukuta

"Sina hakika na hilo lakini hongera sana.."

ujumbe ambao ulimfanya amkumbuke

sana mkewake.

Muda huo huo mr kelvin alifungua

mlango kwaajiri ya kutoka nje alikutana

na mr sospeter alikua anamzuia lakini

mr kelvin hakutaka kukubali kabisa

alimsukuma pembeni na kuchukua gari

na kuelekea nyumbani kwao Leticia

sababu alikua anapafahamu vizuri.

Alipofika alikua damu zikiwa

zimetapakaa kwenye chumba ambacho

hakikua na kitu mr kelvin alilia sana na

"Hellen,na mwanangu.."

kuhisi Leticia amewauwa vipenzi vyake

lakini simu yake iliita na kuskia sauti ya mkewake kidogo alipata nguvu ya kusimama na kuelekea hospital ambapo

alimkuta mkewake hellen na wanawe

okay yaani alice na elias na hata harson alikua hapo pia tena chini ya uwangalizi wa polisi.

"Mkewangu hujadhurika sindio mama

"Ndio mumewangu niko Sawa hata mtoto pia yupo Sawa."

Elias?."

"Aah asnate Mungu,niliogopa sana,baada ya kuona ujumbe wako,na zile damu za nini kule ndani?."

"Mr Denis aliyekua mumewangu aliniletea chakula ambacho aliandaa Mpenzi wako Leticia,akaweka sumu nae hakujua hilo kwa kujihakikishia alikula ndipo damu zikaanza akumtoka.."

Alice alishtuka baada ya kuskia kua

Leticia alikua Mpenzi na baba yake

akamuuliza. "Baba madam Leticia alikua mwanamke wako?."

"Alice usiwe na wasiwasi mwanangu

nitakuambia kila kitu ambacho hujui kuhusu yeye usiwe na wasiwasi."

Alice alikua ni mtu mwenye maswali

mengi sana maana hakuwahi kufikiria

japo alikua anahisi kutokana na maswali

mengi ambayo alikua akimuuliza

madam wake lakini alihisi ni ukaribu

wao tu kama mzazi wa mwanafunzi

wake na sio kama hivyo alivyosikia.

Bàsi baada ya siku kadhaa kesi

ikapelekwa mahakamani na Leticia

alikili kila kitu kuwa ni kweli na kusema

hata ajali ya mr kelvin alimsababishia

yeye kutokana na kumpa taarifa ambazo

zilimfanya awe na wasiwasi sana lakini

mbali na hayo aliyosema madam Leticia

aliomba mahakama impunguzie adhabu

aweze kumchukua alice na kuishi nae

kama mwanae maana hakuwahi kuishi

kama mtoto wake.

Mahakama ikataka kujua chanzo cha

yeye kuishi mbali ma mtoto wake ndipo

alisema.

"Nilikua na mahusian mimi na kelvin

kwa muda mrefu sana pindi

tunasoma,na baada ya kuchaguliwa

kwenye chuo tofauti ndipo kelvin

alibadirika na wmsiho akaniambia

anataka kuoa lakini wakati huo

nilimwambia kua nina mimba ila

akasema nitoe sababu anataka kuoa

ukweli niliumia sana sikutaka kuitoa

nililea na ilipofika miezi mitatu ndipo

nikasikia kua kelvin ameoa tayari

niliumia sana na kwakua aliniambia

kama nisipotoa mimba nisimtafute

nikawa sijamtafuta kwa kutaka

chochote kwake, hadi nilipojifingua

nikaenda kumuweka mtoto kwenye

kituo mtoto wangu akiwa na

miezi mwili

tu nilitamani kumlea lakini niliona kwa

muda huo ni

elimu yangu ambayo natakiwa kuipa

kipaumbele hivyo nikarudi tena chuo

kumaliza kozi yangu,lakini baada ya wiki

moja kupita mr kelvin alinitafuta kwa

simu na kuniambia kua mkewake hana

uwezo wa kupata mtoto anaomba

nimsaidie kama naweza kumpata mtoto

hata kutoka kituo cha kulelewa

watoto,nilimwambia Sawa ila sikua

nataka mazoea nae ila ile kunisumbua

hadi mkewake akaingilia Kati na kuniomba sana nikaamua kwenda

kwenye kituo

na kumchukua mtoto wangu na nilimpa

jina la mama yangu alice na niliwaomba

aendelee kutumia jina hilo

nikiwaaminisha kuwa mama wa mtoto

hakutaka mwanae abadirishwe jina lake.

Na wao walikubali kuendelea kumuita

alice walimpenda sana kusema kweli

hadi nikatamani kama ningekua mimi

yule mwanamke lakini haikuwa,kelvin

alianza kurudi kwangu taratibu na

mwisho kuniomba msamaha na kwakua

nilikua nampenda nikamsamehe na

kurudisha Penzi letu mkewake bila

kujua.

Nikamdanganya kua nina mimba yake

na mara hii akaomba nisitoe akidai

kuwa mwanzo alikosea ila mtoto ni baraka nilihisi kama ananijaribu maana

sikua namuamini kabisa. Bàsi aliendelea

kunihurumia vizuri sana na alipotaka

tuende kuanza clinick nikamwambia kua

mimba nimetoa, aliniambia kua

ananichukia sana na tangu hapo

akakata mawasilian na mimi na

hakutaka tena mawasiliano na mimi, ukweli nilikua naumia sana.

Mkewake alipata ajari baada ya kutaka

kumuokoa mtoto mwingine ambae

alikua anataka kuvuka barabara ila kwa

bahati mbaya walifariki wote na mr

kelvin baada ya mwaka mmoja akaona

tena,ila ndoa yake haikua nafuraha

maana mtoto alikua ananyanyaswa

sana na baada ya kumpata mr kelvin na

kuzungumza nae akiniamini na

kumuacha nikahisi atanioa ila haikua

hivyo akamuoa miss hellen ambae

wamebahatika kupata mtoto.

Muheshimiwa hakimu naomba

nisamehewe kwa kila kitu ila nimepitia

mengi magumu ambayo yamenifanya niwe na chuki kwaajiri ya binti yangu."

Hapo Alice ndipo alielewa kila kitu

kuhusu mahusiano yao Kati ya mwalimu wake na baba yake. Alice alitoka nnje ya

mahakama alikua anaumia sana maana

amefichwa mambo mengi sana.

Na miss hellen pia alipokua anawaza na

kukumbuka jinsi ajali ilivyotokea

alikumbuka kua alipata taarifa kua kuna

mwanamke ambae alijaribu kumuokoa

Elias lakini nae alifariki miss hellen

alimfata alice na kumkumbatia kwa nguvu sana kisha akamwambia.

"Muunganiko wetu ni wenye nguvu sana sababu watu wetu tuliokua

tunawapenda walifariki pamoja kwenye ajali moja."

"Mama unamaanisha nini."

"Mama yako alipata ajali akiwa anamuokoa kijana wangu hivyo walifariki pamoja."

Alice nae alijisikia faraja sana na kumkumbatia miss hellen na kumwambia.

"Upendo wetu ni wenye nguvu sana

mama,na wewe ndio ulistahili kuwa mama yangu, nakupenda sana mama."

"Usiijari mwanangu,nitaendelea

kukupenda siku zote ila Leticia atabaki kuwa mama mzazi kwao."

Baada ya maamuzi ya hakimu mr kelvin

alitoka nje kuikumbatia familia yake na kuwaambia.

"Leticia amehukumiwa kifungo cha

miaka 20 jela lakini bàdo una nafasi ya kuja kumuona mama yako pale unapotaka alice,japo nilikuficha ila nisamehe sana."

Alice alimkumbatia baba yake na kumwambia.

"Nimekusamehe baba japo bila huruma ya mama yangu nisingekua hai kwa

sababu yako ila hata mama yangu pia

nimemsamehe sababu wote mlifanya

makosa ila nakupenda sana baba na

mama yangu hellen na hata mama

yangu Leticia nitaendelea kumpenda

kama nilivyokua nampenda pia."

Walikumbatiana kwa furaha kisha

Leticia alipitishwa na askari akielekea

kwenye gari kwaajiri ya kupelekwa

gerezani,alice alimfata mama yake na kumkumbatia na kumwambia.

"Umekua na mwisho m'baya mama ila

bàdo nitakupenda na kukuheshimu

mama yangu." "Usijari mwanangu bàdo

tuna muda mrefu wa kuzidi kuonana mimi na wewe."

Polisi walimshika alice na kumuingiza ndani ya gari Leticia na kuondoka zao.

Alice alilia kwa kumhurumia mama yake.

Lakini baada ya mr kelvin kufatilia suala

la dhamana alifanikisha na Leticia's alitumikia kifungo cha nje maana

aligundulika mjamzito pia na mimba

ilikua ya mr denis hivyo hakukua na sababu ya yeye kufungwa.

Harson na alice walifunga ndoa kwa

baraka za wazazi wao na alice

alimshawishi harson pamoja kuelekea

marekani kwaajiri ya kuendelea na masomo yake ya chuo na huku nchini

akiacha mr kelvin na Leticia sio maadui

tena,walikua wanaishi kama ndugu

kabisa,hadi Leticia nae alipojifungua

mtoto wa kiume pia na hiyo Ndio ikawa

zawadi kwake maana mama wa denis

alifariki kwa mshtuko baada ya kupata

taarifa kua Denis amefariki...

Na huo ndio mwisho wa simulizi hii...

....MWISHO...

Kwa maoni, ushauri unakaribishwa

@Nassrah Juma

Whtsap 0715431019 karibu...

Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.