waandishi ebook 1686474974.4812834

Page 1

SIMULIZI: SAIDA

MTUNZI: SIMULIZI ZA SUMMY

WHATSAPP: 0624853116

SEHEMU YA: 151 HADI 175

Sehemu ya 151

Dr khairat alilia kwa huruma aliamini

amefanya makosa makubwa Sana. Hivi

kwa Nini alienda kupigana na Saida asubuhi ya siku hiyo?.

" Mustafa naamini hautafata

wanachotaka ndugu zako' sio?" Dr

khairat aliweka macho ya huruma mbele ya Mustafa akitamani Mustafa

abadilishe mawazo Yake..

Mustafa alimwangalia Kisha akamjibu

bila kujari. " Hapana, lazima niisikilize

familia yangu, hata hivyo sikuwahi

kukupenda, nilikuoa wewe kwa sababu

tu ya kujisaidia, lakini wewe umefanya

Nini? Umenigeuka ghafla na Kisha

kutafuta Vita ya nguvu na familia yangu". Mustafa alimkazia macho

khairat aliemuogopa ghafla.

" Mustafa naomba unisamehe, sikutaka

Vita nao, nilitaka uwe upande wangu"

Dr khairat alikua bado kapiga magoti

akimbembeleza Mustafa.

" Ooh! Yawezekana, lakini nadhani kwa

Sasa Sina maana kwani sipo upande wako, nilionekana kutokua upande wako

kwa kua nilienda kulala kwa mke wangu, mwanamke ambae unatambua kabisa kua

yeye ndo safari ya mapenzi katika uhai

wangu" hapo Dr khairat alihisi kufa.

" Mustafa nilikupenda kabla Yake, nilikupenda kabla hata hujamuoa mama

Shayma, nilikupenda kabla hata

sijaolewa na kumpata Adil. Nawezaje

kukubali kushindwa upendo wako?" Dr khairat alifungua moja kwa moja

Mustafa akabaki amemshangaa.

" Ina maana ni kweli Saida alikua sawa, hukuwahi nichukulia kama rafiki yako, Bali ulihitaji kua mwanamke wangu? "

Mustafa aliinuka alipokua

amechuchumaa na kusimama Kisha

akaendelea. " Ukweli ni kwamba, siwezi

kua na mwanamke muongo na mnafiki

hata kwa sekunde moja, khairat we

umefanya Mambo mengi Sana kwa ajiri

ya kua na Mimi, hata siwezi kufikiri

Kutamka Ni jinsi gani uliamua kujifanya

kichaa'" Lo! Dr khairat alipigwa na

vumbi ya butwaa. Inamaana Mustafa alifahamu kua alijifanya?

" Mustafa hapana, najua wewe unaniamini ee! So ndio?" Aliinuka pia na kujaribu kuushika mkono wa Mustafa ili apate umakini wake lakini Mustafa alimsukuma mbali.

" Usithubutu kunisogelea kwa machozi ya kinafki wewe mwanamke" macho

makubwa ya Mustafa yaligeuka madogo

ghafla na kujifinya kwenye ngozi yake kana kwamba yalifichama humo.

" Hakuja ambacho sikua nafahamu wewe hapo Dr khairat, nilifahamu kila kitu

dhidi yako, nilijua Jambo Hilo mapema, niliamua kunyamaza nikiamini kabisa

unafanya hayo kwa ajiri ya mtoto

wako. Lakini bado ulitamani kumuua

Hizaan. Sidhani Kama unafaa kua

binadamu" Mustafa aliwaka kwa chuki

dhidi Yake Dr khairat akaogopa zaidi.

" Mustafa hapana ! Haikua akili yangu?

Naapa Mustafa nakupenda Sana, yote ni kwa ajiri yako wewe" Dr khairat

alisimama mbele na kujaribu

kumbembeleza kwa kumshika mabega

Yake. Mustafa hakuacha kumfukuza

kwa kumsukuma mbali kwa Mara

nyingine...

" Isingekua tatizo iwapo ungenipenda tu khairat, huenda ningekuona hata mke wa pili, lakini mwisho wa siku nafaa

kuona zaidi ya rundo la takataka. Kweli

ulithubutu kuchangia kifo Cha mama

Shayma?" Dr khairat aliganda Kama

sanamu badala ya kulia maneno hayo

kutoka kwa Mustafa yalimshtua. Ilikua

kana kwamba akiwa ndani ya katakana

la Moto na kuunguzwa. Inamaana

Mustafa anafahamu' Jambo Hilo pia?

Kwani Kuna mtu alifahamu juu ya Hilo zaidi yake na bwasha. Bila Shaka

hapana? Em subiri? Bwasha Ni mtu wa Azraj huenda alimwambia Azraj?. Ila

ndo Azraj amwambie Mustafa? Bila

Shaka Jambo Hilo haliwezekani.

" Mustafa hapana, inaonekana

umenichanganya na mtu mwingine?" Dr khairat licha ya kua wazi kwa kila

Jambo bado alizidi kumkana Mustafa.

Ni jinsi gani mwanamke huyu alikosa

haya? Alikua bado akikana makosa Yake

mwenyewe?.

" Yawezekana upo sahihi, nilikufananiaha na mtu ambae, sikufaa

kufananisha nae" Mustafa alijibu na kutaka kuondoka. ..

Dr khairat bila kujizuia aliuliza moja

kwa moja, ndani ya moyo wake Mustafa

alitabasamu kwa Ni swali ambalo alikua

akilingoja kwa muda mrefu Sana. Na

kwa akili ya khairat iliyopaniki bila

Shaka angempa ukweli kamili. " Aah'

nasikitika kukwambia ya kwamba, watu wa Badru Ni wamoja, hata Kama

tukigombana nje, kwa ndani Ni watu

ambao tutazidi kushikamana na kufanya

vitu pamoja, Kuna muda lazima

tumuaminishe adui kua sisi tunamsaida afikie lengo lake. Kisha

tumsambaratishe Mara moja" kwa kweli

Dr khairat alitafakari maneno hayo na

kumuelewa moja kwa moja Mustafa.

Alimaanisha wao wanaweza kugombana upande mmoja lakini upande wa pili

" Mustafa Nani kakwambia haya yote?"

wanashirikiana, hiyo inamaanisha mtu

kutoka kwa familia ya Badru

anaemsaidia ndo kamuuza yeye??.

" Hapana haiwezekani" hakutaka

kukubali kua Azraj Badru alimzunguka.

" Huwezi kusema ni...." Dr khairat

alipigwa na baridi usoni..

" Ni sahihi unachowaza, Mimi na Azraj

sio maadui Kama unavyodhani?*

Mustafa alifungua mlango wa gari Kama

atadondoka Ila moyoni hakumaanisha.

." Hapana Mustafa huo sio ukweli,

Azraj hawezi kua mzuri kwako kwani

kila kitu kikienda kwa amri Yake" Dr

khairat bila Shaka alichanganyikiwa na

kutaka kuweka kila kitu wazi. Hta hivyo

Azraj kamuuza. Na yeye alikua mjinga

kiasi gani? Alimuamini huyo mtu ?

" Kaa kimya!!" Mustafa alionekana

kukasirikia na kugeuka kumpiga Kofi bila

kusubiri Dr khairat akaficha uso wake huku akiongea.

" Hapana Mustafa nasema ukweli, Azraj sio mtu mzuri kwako, hata kifo

Cha mama Shayma alihusika yeye, ana

kambi kubwa ya magaidi ambayo

ananitumia kukuangamiza wewe, hata

mama Shayma alikua amelengwa kwako, na mwisho aliishia kufa baada ya

kwenda kinyume nae, sidhani Kama

unafaa kumuamini, hata hivyo

aliniaminisha kua hakupendi na anakuaibisha kua anakusaidia Hilo

haliwezekani, Sasa au baadae Azraj

anaweza kuudhibiti familia nzima ya

Badru na kuiweka chini yake." Mustafa

alipigwa na butwaa akamtegea sikio Dr khairat.

" Hivi karibuni atafanya nyie wote mumsujudie,. Kweli Ni ndugu yenu lakini

ana Mambo mengi huyo mtu usimuamini, amepiga hatua kubwa kukufikia"

Mustafa alionyesha sura ya

kuchanganyikiwa kana kwamba ahakua akijua. Aligeuka klna kumtetea sikio

vyema Dr khairat aliekua akijieleza kwa

kila kitu juu ya Azraj. Taarifa zote

haikuweza kumshtua Mustafa. Lakini

taarifa juu ya mke wake wa kwanza ndo

taarifa pekee ambayo ilikua mpya na

mgeni kwake. Alihisi kuchoka.

Alikumbuka Ni vipi alikutana na

mwanamke huyo. Alikua mwanamke

mpole na asie na hatia alimuamini na

kumpenda kwa wakati mmoja. Lakini

kumbe alikua na sifa chafu Kama hiyo na hakua aliitwa Saida pia?. Alimkaba Dr khairat Koo lake bila kufikiria " huo

ni uongo" Mustafa aliunguruma huku Dr khairat alidhani labda Mustafa amechanganyikiwa juu ya Azraj.

" Huo no ukweli Mustafa, yeye ndo kila kitu, na yeye ndo alitaka nimuue Hizaan

ili nisisumbuliwe na mtu nikiwa na wewe, huku yeye alimpata Saida ki urahisi, hata Ile video ya kipindi kile yeye ndo

aliitengeneza, Mustafa Azraj amefanya mengi kutuunganisha na wewe" Dr khairat alikili kila kitu mbele Yake.

Akiwa Hana matumaini ya kumpata

Mustafa Tena ? Kwa Nini amuache

Azraj aliemsaliti.

Mustafa hakuweza kusubiri kuondoka

hapo kimya. Dr khairat hakuweza

kumzuia kuondoka pia. Alimuacha aende tu, lakini ukweli inauma Sana, Azraj

pekee ndo alikua tumaini lake hapo

awali kumfikia Mustafa lakini mwisho

wa siku hata yeye hakua mtu mwema, aliweza kumuumbua kwa Mustafa. Dr

khairat alilia kwa sauti. Kwa bahati

nzuri mtoto pamoja na mfanyakazi wake

hawakuwapo? Bila Shaka alikua akienda

kukumbuka mbele ya mtoto wake.

Katika jumba la Badru Mustafa aliwasili

akiwa amechanganyikiwa kabisa. Kwa

taarifa alizopewa juu ya mama Shayma.

Hivi Ni kweli alichosikia au alisikia

vibaya. Hakuweza kuchelewa kumpigia

simu Dr Neema ambae alijibu Mara moja simu Ile.

" Nakuhitaji nyumbani Mara moja"

Mustafa alikua skate simu lakini Dr Neema alimsimamisha.

" Boss nafaa kufahamu iwapo, Ni

nyumbani wapi? Maana una sehemu tatu

za kuishi" Mustafa alihisi kupagawa . "

Inamaana makazi ya familia ya Badru

hujui yalipo" baada ya Mustafa kufoka

Dr. Neema alijibu Mara moja kua

atafika Mustafa alikata simu na

kuteremka kwenye gari akakutana naaumbile ya watoto wake wasio na hatia.

" Baba" walimuita na kumrukia.

" Bamdogo muksin kamleta mama" Kim

hakuchelewa kuongea.

" Mama ameumia baba, inabidi umpe

funzo Yule mwanamke mchawi" Shayma

hakuacha kumkumbusha Mustafa juu ya ushetani wa Dr khairat kumshambulia

mama Yake na kusababisha achukuliwe na polisi, Kisha arejee akiwa ameumia.

Mustafa alimwangalia binti Yake

shayma kwa maumivu makubwa. Ni kweli

alikua binti Yake ambae alimpata

kutoka kwa mwanamke asiefaa.

Alimzaa na mwanamke aliejitambulisha

kwake kwa mapenzi na taswira ya

uongo? Yaani aliagizwa na Azraj, alipata maumivu zaidi kila alipokumbuka

Hilo. Alikua amependa kwa Mara ya kwanza bila kusikia. Hakua alielewa

Wala kuambilika lakini ilimuuma zaidi

kila alipokumbuka maneno ya Dr khairat. " Alikua kahaba kwenye

makasino, aliokotwa huko na Bwasha"

Lo! Dr khairat alifikiria hata alivyokua

akimtamkia hayo maneno.

" Hakua akikupenda hapo mwanzo, Wala

hakua aliitwa Saida, aliitwa Raina.

Alikufa baada ya kwenda kinyume na

Azraj, usimuamini azraj, kosa

alilofanya mama Shayma Ni kukupenda

wewe" Mustafa alihisi kurukwa na akili

zake. Mbona Kama hawezi kuamini

alihisi kumpata Azraj mapema Sana.

Hawezi kumsuburi Dr Neema.

" Baba unaenda wapi?" Shayma na Kim

waliogopa inamaana baba Yao

alichanganyikiwa na Mimi mpaka

aondoke bila kumuona mama yao.?

Mustafa hakuweza kujibu swali la hao

watoto. Aliondoka zake hapo.

" Baba, mama anakusubiri" walimuita

lakini waliishia kuona gari uliishia getini"

" Ameondoka tayari, mnafaa kwenda ndani" Najma aliwashika mikono wale

watoto wawili waliopata huzuni.

Alichuchumaa kando Yao baada ya kuona Hali zao.

" Mnakosea Sana, hamfai kua hivi?"

Najma alijaribu kuwabembeleza. "

Mnafaa kuturahi kwani hivi Sasa mama

amekua na baba wataishi pamoja na

nyie milele, sio kwa aunt khairat

Tena?" Najma aliongea kuwakumbusha.

" Kweli aunt" Shayma alihisi kufurahi.

" Ndio huo ni ukweli, au unasemaje

Kim?" Kim aliinua kichwa chake na

kujibu. " Nakuamini" Kisha uso wake

ukasinyaa baada ya kumkumbuka

HudHud ambae bila Shaka angerejerea

neno Hilo Mara moja iwapo Angekua kando Yao.

" Twendeni kwa mama Sasa, baba atakuja mapema au baadae" Najma

aliingia nao ndani akakutana na Salma akizunguka huku na kule.

" Weee nae vipi?" Salma hakuweza

kujibu isipokua alikaa kimya akionekana kuchanganyikiwa. " Hapana najua siku

bado" Najma alitoa macho nje.

.Salma alimtazama najma ana kuweka sura ya huruma. Ni kweli, siku zilikua

bado, lakini aligombana na Azraj wakati wao hawakuwepo. Azraj hakujari juu ya

ujauzito wake mkubwa hata alimsukuma

ukutani. Bila Shaka hayupo salama

kabisa.

Najma alipata khofu na kupaza sauti

Mara moja. " Mama" watu waliokua na

Saida mapema Sana walikimbia upande

wa najma ambapo sauti ilitokea. Najma

alishtuka zaidi na kuwaomba watoto

waondoke hapo. Kwani sio tu alihisi

tofauti kwa Salma. Bali pia aliona damu zikimtoka.

" Salma Kuna Nini?, Nini kilikupata

jamani?" Najma alipata khofu alijiuliza

Ni kipi kimemkuta mwanamke huyo na

kwa Nini hawezi kuongea. Bi Shayma

aliongozana na na wanawake wengine

waliokua ndani ya nyumba Ile Kisha

wakamuacha Saida akiwa amelala

chumbani kwake. Kwani alikutana na

Hali isiyoeleweka huko sero pia Hadi

akawa mgonjwa ghafla

" Salma!!!" Kila mtu alishtuka. Ni kweli

alikua karibu kujifungua lakini hakua

amefika siku maalum. Ilibidi waingie

nae kwenye gari na Kuondoka wote kwa

pamoja. Dah! Wanafamilia wa Badru

walionekana kua na upendo wa Hali ya juu' kwa Salma na sio kwake tu.

Huenda watu wanaweza kua

wanawasema vibaya huko nje lakini

ukweli ni kwamba Hawa watu ni watu

wema Sana.

Salma alihisi hatia juu Yao.

Wanamthamini Sana Azraj lakini Azraj

ni nyoka asiestahili kukaa katikati ya kundi Hilo la watu wazuri. Binadamu

asieona thamani ya mtoto wake

mwenyewe anastahili kweli kuishi katika

hii dunia?. Yalikua maneno ambayo

yalikatiza katika akili ya Salma akiwa

na uchungu mkali. Hakuweza kutoa sauti

katika mdomo wake hata

kidogo. Na

Hali hiyo iliwashangaza watu wote.

Kama mwanamke alifaa awe amepiga

kelele nyingi kwa nguvu kwa sababu ya

uchungu lakini alionekana kuumia kimya kimya bila Kutamka neno, Wala kutoa sauti yoyote Ile.

Sehemu ya 152

Wakati watu wote wameondoka ndani ya jengo la Badru kuelekea hospitali ndani ya nyumba alibaki Saida watoto wake

zarina, Asia pamoja na Bibi. Saida alirejesha fahamu zake na kuamka moja kwa moja alikumbuka kilichomkuta huko sero ndani ya dakika chache. Hakika

alipangiwa njama. Yaani aliingia tu sero na kuambulia kichapo Cha wafungwa waliokuwepo mle ndani.

" Khairat huyu mshenzi, alithubutu vipi

kunifanyia hivi?" Saida alishika kichwa

chake akiwa amechanganyikiwa. "Mama umeamka? " Aliingia Shayma akiwa

kaongozana na mdogo wake. Walikua

Kama mapacha bila Shaka

wangeongozana kila sehemu.

" Ndio nimeamka kipenzi" Saida

alijikaza kuvumilia maumivu Yake. Moyo

wake ulimtuma amtafute Najma akampe

funzo Dr khairat haiwezekani ampeleke

sero kwa masaa kadhaa.

" Aunt najma Yuko wapi?" Watoto

Hawa wawili walipata wivu mama Yao

hata hakujari kuhusu wao alimuulizia

aunt najma moja kwa moja Bora

angeuliza kuhusu baba Yao.

" Kwa Nini aunt najma, inamaana hata

sisi hatupo" Saida alihisi kulia Hawa

watoto walikua Kama baba Yao tu, wangewaza kupendelewa na yeye zaidi

kabla hajatangulizwa mtu mwingine.

" Hapana nyie mpo mbele yangu

wapenzi, niliwamiss Sana, na nawapenda

Sana, lakini si mnamjua aunt najma, nataka tukampe SoMo la ziada yule

mchawi aliekuja kupigana na mimi

asububi nyumbani' Saida aliwaambia

watoto wake mipango aliyokua nayo

wakafurahi.

" Wao mama, lazima apate SoMo lake"

Shayma aliongea.

." Mama usisahau kuharibu pua Yake"

Kim alitoa mawazo mabaya zaidi, alifaa

kuharibu Hadi pua. Kweli huyu mtoto

alistahili kua mtoto wa Mustafa.

" Watoto wa hovyo nyie, mbona

mnanitisha Sasa"

" Sisi ni watoto wa Mustafa Badru, huwa hatuachi Jambo lipite bure"

Mustakim aliongea kauli ambayo baba

yake' huwa anapenda kumwambia.

" Hiyo ni kweli mama, damu ya Mustafa

Badru inatembea ndani yetu" Saida

alihisi kucheka. Baada ya kusikia

maneno hayo.

" Haya Sasa, huyo Mustafa Badru Yuko

wapi? Mbona simuoni?" Saida hakua

akifahamu iwapo Mustafa ameachana na Dr khairat tayari.

" Aah'" Shayma alikumbuka.

"Mama baba ametoka Mara moja na

atarejea, lakini akirejea kumbuka kua

mwema kwake hayupo vizuri kabisa ki

fikra" Shayma alimshauri Saida. Lo!

Huyu binti huyu. Anawezaje kugundua

iwapo mtu hayupo vyema ki fikra?.

" Sawa bila Shaka ntafanya hivyo, twendeni sebureni, nahitaji kuonana na wengine" Saida aliwasogeza mbele Kisha akainuka kitandani.

" Bila Shaka wengine ni kina dada zarina pamoja na dada Asia." Shayma alimhoji.

" Kwani hakuna wengine zaidi Yao"

" Labda wakina anko getini" Kim alimkumbusha.

" Hiyo inamaanisha nini? Wengine wako wapi Hadi Bibi?" Saida alihisi kuchanganyikiwa.

." Hawapo wamempeleka aunt salma

hospitalini nipo njiani kupeleka chakula

inasemekana tayari kaingizwa kwenye

chumba Cha upasuaji zarina aliingia

chumbani akitabasamu kwa majonzi.

Saida alishtuka hiyo ilimaanisha kwamba

Salma amefikia wakati wa kujifungua na ameshindwa kujifungua kawaida?.

' hiyo ilimaanisha nini? Alikua

akiendelea vizuri hapo awali,

angejifungua kawaida tu' Saida

alimwangalia zarina ambae alijibu swali

lake bila kuulizwa.

" Aah' ki ufupi waligombana na Kaka

Azraj sisi hatujui chanzo Ni nini lakini

walionekana kubishana Sana, na mwisho

Azraj aliondoka chumbani kwa hasira na kumuacha mwenyewe, wakati huo huo

watu wengine walirejea wakiwa na fikra

zote juu yako, baada ya hapo Najma

ndo alishtuka kuhusu Salma na Sasa

wapo hospitali" Saida hakuweza kusubiri

kuinuka ajiandae waelekee huko.

" Twende huko haraka" Saida aliingia

bafuni ajiweke sawa kwani hakua

ameoga wakati alipotoka sero alifika na kulala atibiwe.

Shayma na Kim walihisi upweke na huruma juu ya aunt Salma kwa wakati

mmoja. Kim hakua alipendezwa na aunt

Salma mwenye ulimi mchachu Kama

ndimu, ambae hakuweza kuvumilia

kumsema kila wakati.

" Mama aunt Salma atakua salama?"

Shayma alipata khofu.

" Bila Shaka mpenzi" Saida alikipaoasa

kichwa chake kidogo na kuelekea

bafuni.

" Haya twendeni" zarina aliwachukua

Wal watoto wawili na kuondoka nao

hapo chumbani.

Baadae Saida na zarina walikua njiani

kuelekea hospitalini. Wakiwa kwenye

gari Saida alionekana mchovu na

aliechoka. Moyo wake ukipata wasiwasi

ghafla bila kujua. Zarina aliuona uso

wake uliopoteza furaha.

" Bi mdogo!" Zarina alipata uwoga.

" Nipo sawa" Saida alimtoa khofu Ila

zarina bado alibakia na mashaka kwani

Nini kilimkumba Saida?. Ghafla gari ilipiga breki bila kutarajia.

" Huwezi kua Makini unapo endesha???"

Saida alifoka akimlenga dreva aliekua

kawabeba.

" Samahani madamu, Kuna mtoto mdogo

kasimama barabarani Analia

nimeshindwa kukatiza". Saida alishtuka.

" Mtoto? " Hii ukimaanisha Nini? Mi

saa Saba za mchana alafu mtoto

barabarani kasimama akiw mwenyewe?

Ilibidi achungulie kuhakikisha.

" La! Haula Ni mtoto wa miaka miwili tu na haelewi aende wapi? Mtoto alizidi

kulia na Saida akapata huruma na kuteremka ndani ya gari.

" Bi mdogo hapana" zarina alipata hofu na kuhusu hatari zaidi.

" Ni mtoto! Ni mdogo" Saida hakuweza

kujizuia moyo wake wenye huruma na kuelekea alipo mtoto Yule.

" Hapana Bi mdogo ungeacha nimuone

Mimi" Dereva aliongea na kumuelekea mtmto ambae alifikiwa na Saida kabla ya dereva.

" Mpenzi mama Yuko wapi?" Saida

alijaribu kumshika mtoto na kushangaa anashika hewa, sauti ya mtoto akilia

iliendelea lakini bado ilionekana Kama

Maruerue. Saida alishtuka na kuogopa

kwa wakati mmoja. Alikua kaona Nini?

Inamaana Ni mzimu au. Dereva pia

alishangaa kwa macho Yao pale

anaonekana kuwepo mtoto lakini mtoto asiegusika Ni binadamu kweli.

Khofu iliwatanda wawili hao na kubaki wametizama kwa mshtuko. Wakati

huohuo walitokea vijana wawili waliovalia suti myekundu mbele ya Saida na dereva.

" Nyie kina kina Nani?" Kwa khofu na uoga saida pamoja na dereva waoihoji.

Ndo wakati huo zarina pia aliona

kilichopo mbele Yake. 'Mungu wangu, walivamiwa' hakuweza kutulia ndani ya gari alishuka akiwa na khofu Sana

hawakua na mlinzi hata mmoja Mungu

wangu.

" Bi mdogo" zariza alitetemeka. Na

ghafla nyuma Yao wakatokea wanaume

wawili hivyo kwa ujumla wakawa wanne.

Wanaume hawa walishika visu mikononi

mwao, na Ile taswira ya mtoto

ikayeyuka baada ya kujitokeza mwanga

Kama radi alipokua kasimama mtoto

Yule. Na watu wawili kutoka kulia kwao

wakaja na spika ambayo ilicheza sauti ya kilio Cha mtoto. Inamaana

walichezewa mchezo wa mawazo ya akili. Walichezewa ki fikra. Walikua

kwenye ( Illusion)

Saida alihisi kuchanganyikiwa na kuogopa Sana. Yaani siku za hivi

karibuni Mambo yamekua ya kutisha

Sana kwenye Maisha Yake.

" Mnata taka Nini?" Saida aliuliza huku

akijaribu kujiepusha nao hao watu

" Oohh bi Mustafa" mwanaume mmoja

mwenye sura mbaya ambae Saida

hakuwahi kumuona katika Maisha Yake.

Alisimama mbele Yake. Saida

alimtazama kwa Makini hakuweza

kumtambua na kitu pekee alichopata

kukuona kwa mwanaume huyo ni chuki na hasira nyingi mno dhidi Yake.

" Msithubutu kumgusa yeyote Katika

sisi" zarina alifoka na kupigwa risasi ya tumbo ghafla. Saida alishtuka kiasi

kwamba uso wake ulipauka nithili ya jivu, hakufahamu kabisa Kama ilikua

rahisi kiasi hicho kwa mtu kufa. "

Zarinaaaaaa" aliita kwa sauti na uoga.

Zarina pia alishangaa na kubaki

ameshika tumbo lake kwa maumivu. "

Sipendi kuongeleshwa na mbwa nikiwa

naongea na mwenye mbwa" bwasaha

alisema bila kusita Hali hiyo

ilimkasirisha dereva na kujikuta

akipaniki. " Unaweza kumfanyia hivyo, yeye ni mwanamke tu" na hapo dereva

aliekua kavimba kifua kumfata Bwasha

lakini aliishia kukamatwa na kupiga

nyuma ya feel zake akawa mgumu

kwenda chini. Watu wale makatili

wakamchoma vizu vya miguu. .dereva

akashuka chini mwenyewe bila kupenda huku akipiga kelele

" Wanadamu wengine bhana hawana hata maana aliweza tu.kumpiga risasa mbili kwenye paji la uso wake" Saida

alichanganyikiwa kwa bado zarina hakua

amekufa Ila dereva hakuatahili hata

salaam take ya mwisho . Zarina

akabaki akiliankwa uwoga. Huku Saida

ameshikiliwa zarina alijikuta haelewi

anayoyashuhudia.

" Hapana jamani" Saida alipiga kelele

na kubaki haelewi.

." Bi mdogo usiogope, bila Shaka

hawatakudhuru" aliongea zarina ambae

ambae alipata maumivu makali kwa

risasi moja ya tumboni. Alikua kwenye maumivu makali zaidi.

" Zarina hapana" Saida alichanganyikiwa na kuanza kupiga kelele akiwa haelewi

Kama anamshuhudia hicho kitu. Bwasha

alianza kucheka kwa Nguvu Sana.

" Mleteni" neno lake moja lilimtosha

Saida. Watu wale hawakua na masihara

hata Saida alimkumbatia zarina kwa

kuogopa. Zarina akaanza kufoka.

" Nyie Ni wanawake wenzangu

mnawezaje kumuwinda mwanamke mmoja

kwa watu wengi" Bwasha hakuchelewa

kulenga shabaha Yake vyema na

kumpiga risasi zarina ya nyongeza

aache ujinga.

" Fanyeni haraka, hii Ni Barabara.

Pengine Isha funguliwa" Bwasha

aliamuru na kuondoka akiwaacha vijana

wake walimaliza kazi. Saida alihisi

kupagawa, hakuamini amekishuhudia kifo kikija na kuondoka na uhai wa mtu.

Saida alitekwa ki ulaini sana hakupiga

hata kelele.

Mustafa alikua na hasira na Azraj

hivyo aliamua kwenda kumtafuta kwa

kujua yeye chachu ya kifo Cha mama

Shayma na yeye ndo alimletea mama

Shayma ili kumuangamiza yeye. 'hakika

hawezi kusubiri Tena, hata hivyo tayari

ameachana na Dr khairat na pia anao

ushahidi mwingi Sana dhidi yake, hawezi kusubiri Tena! Kuhusu huyo mtu

alienyuma yake bila Shaka

watamfahamu kuppitia Azraj.

Lakini kabla hajafika aendako njiani

alitingwa na pikipiki ya kijanga aina

TVS akashindwa kuendelea na safari.

Aliteremka kijana mdogo mwenye Rasta

kichwani Mustafa akamtazama Mara

mbilimbili akimvutia picha aliwahi

kumuona wapi? Kwani taswira Yake

haikua ngeni kwenye macho Yake.

' ah' ni yeye kijana anaefanya kazi

karibu zaidi na Dr Neema , hamfahamu

jina lake lakini amemuona nae Mara

kadhaa, kijana huyu mwaminifu kwa Dr

Neema alikua akitaka Nini?'

" Mkuu naitwa Feisoo, Ni kijana wa kazi wa Dr Neema, nime nimekuja

nikihitajo msaada wako" alikua

akihemea juu juu na kuonyesha wasiwasi

wa Hali ya juu' Hadi Mustafa akashtuka.

" Unamaana gani? Mbona una khofu

Sana we kijana mdogo?"

" Bwana mkubwa, Dr Neema alitekwa, alirejea akiwa njiani kuonana na wewe"

" Mmh????" Mustafa alibaki haelewi

hivi ninkweli yeye ndo alimuita Dr Neema lakini alisahau kabisa! Sasa

iweje atekwe na alitekwa na Nani?.

Akiwa anajiuliza wakati huo simu Yake

iliita. Aliangalia mpigaji wa simu alikua

Nani hakupata kuielew simu Ile lakini

alipokea. Kwani alikua na wasiwasi

pamoja khofu kwa wakati huo.

" Habari yako Bwana Badru, ahahaha"

kicheko Cha dhihaka baada ya salamu

kutoka upande wa pili wa simu

kilimuacha hoi Mustafa, alipata hasira

kana kwamba alikaza mikono Yake akiwa haelewi Ni mtu gani huyo?

" Usimkasirikie bwana Badru, Ni kazi kwani Ni habari ndogo tu nahitaji kukupatia" sauti Ile ya mikwaruzo

Mustafa aliivutia picha kwa kweli hakuweza kukifahamu kabisa.

" Wewe ni Nani??" Mustafa alifoka

akihisi kabisa kwamba huyo atakua mtekaji wa Dr Neema.

" Ooh!! Mbona una haraka hivyo, utanifahamu kwa haraka Sana, fungua

simu yako bila Shaka utakutana na ujumbe mzuri na wa kuvutia" mwanaume

Yule alikata simu wakati simu inakatika

kuna video iliingia, Mustafa akashtuka

na kumwangalia kwanza feisoo aliekua pembeni Yake.

" Bwana mkubwa? Ni salama. Kwa sister Neema" kijana Yule alikua na

khofu Kwani alimchukulia Dr Neema

Kama sister na sio tu boss.

" Sijajua" Mustafa alimjibu taratibu

lakini taratibu Yake iliashiria khofu kidogo juu Yake. Feisoo alipata

wasiwasi. Ndo wakati huo Mustafa

akijiandaa kufungua video iliyomaliza ki download Ila kabla haja play simu Yake

iliita. Alikua kiongozi na mkufunzi wa Askari wa Badru. Ni mtu muhimu hivyo

alilazimika kupokea simu.

" Halo" Mustafa aliitikia simu.

" Bwana mkubwa, tuna tatizo"

mwanaume huyo ambae hakuwahi

kuongea kwa wasiwasi Wala khofu

yoyote Ile. Siku hiyo alikua akiogopa.

Mustafa alitambua khofu Yake kwa

wakati mmoja, kidogo kichwa chake kilipuke, alikua na matatizo juu ya

matatizo hakika dunia haikua tayari

kumpa nafasi ya kujitetea kwa sekunde moja, tayari ilimpa tatizo jingine.

" Bwana mkubwa, Dani amejulikana na wapinzani, na alikua na ushahidi dhidi

ya kiongozi wao, na Sasa tunavyoongea

sidhani Kama atakua hai?" Bwana huyo

alitia machungu sauti Yake mpaka

Mustafa akachanganyikiwa alikua kijana aliejitoa kwa ajiri ya Badru lakini

tayari ametambulika kirahisi. Bila

Shaka Mustafa ana kibarua kizito.

Mustafa hakuweza kumpa mrejesho

wowote ule Kama jibu alitamani kukata

simu kabla hajapewa bomu zaidi, yaani

bomu la nuclear. " Bwana mkubwa, mkeo pia Bi Mustafa Badru, ametekwa

nyara na kikundi Cha Azraj Badru"

mwanaume Yule alimaliza kuongea na

kumfanya Mustafa ahisi Kama ngome za masikio yake' zimesiziii

Mustafa alikuaaaa.. labda hakua

amesikia vyema. Yaani mke wake yeye

aliemuacha nyumbani kwao! Akiwa

amelala baada ya kutoka sero, ki rahisi tu ametekwa? Hapana bila Shaka sio

ukweli. Mustafa alimkatia simu huyo

mtu anaeongea upuuzi. Na kuishika simu

Yake. Alifungua video aliyotumiwa akiwa

natetemeka mwili mzima, mikono Yake

pia ulishindwa kutulia. Kwa kweli

hakuweza kuamini alichokua ameambiwa.

Ila Sasa dah! Ni kwamba ameshuhudia

mwenyewe.

' yaani Ni Saida. Alirejea kweli?'

lilibaki swali kwenye akili Yake. Ilikua

ngumu kwa Mustafa kukubaliana na Hilo

lakini video hiyo ilidhihirisha Hilo.

Sehemu ya 153

Mustafa alihisi kusizi kichwa. Akiwa

ameshika simu ambayo kioo chake

nilionyesha video ambayo ilikua ilicheza

alihisi kutetemeka mwili na akili. Feisoo

alikua nje bila kukatibishwa ndani ya gari hakuweza kusubiri kuingia ndani ya gari bila kuambiwa karibu. Aliingia moja

kwa moja na kutupia akili Yake kwenye

kioo Cha simu ya Mustafa.

" Bwana mkubwa" alimuita Mustafa

aliekua amepoteza akili Yake kwenye

kioo Cha simu. Kwa kweli lazima

apotee.

Ni ukweli kwamba mke wake alitekwa

kirahisi hivyo. Saida alionekana akiwa

amefungiwa kwenye chumba kidogo

chenye mwanga hafifu huku akipiga

kelele. Kelele na maneno Yake ya

kumpa faraja lilikua Ni jina la Mustafa.

" Mniache niende, Mustafa akifahamu

atawaua mbwa nyie, mliwezaje

kuniteka? Mustafa atanitoa hapa bila

shaka, hata iwe kwa kuchelewa. Na

sitawasamehee. Mustafa najua

utaniokoa!!!" Saida alikua akiupiga

mlango kwa nguvu lakini hakuna alieweza

kumjibu kabisa.

Mustafa alivurugwa kidogo, mwanamke

huyu alikua hatarini lakini aliamini mtu

pekee wa kumuokoa alikua yeye. Bila

Shaka alikua sahihi mtu pekee wa kumuokoa hakua mwingine zaidi yake.

Akili ya Mustafa ilovutugika akatamani

kumpigia mwanaume Yule lakini namba

haikuweza kupita. Ishara Ni kwamba

hakua na uwezo wa kupiga isipokua

mpaka apigiwe.

" Bwana mkubwa, Dr Neema je?"

Mustafa alitamani amfukuze huyo

kijana tayari alihamishia mawazo take

kwa Saida lakini bado alikua akiulizwa

kuhusu Dr Neema hakuona Kama

anamuongezea mawazo.

Mustafa alimpigia simu mkufunzi wa

Badru kambi. " Bwana mkubwa"

mwanaume Yule aliita.

" Hamkua mkifahamu iwapo mke wangu atatekwa??"

Mustafa alifoka mwanaume

Yule akatulia.

" Bwana mkubwa, ki ufupi tulifahamu

juu ya Hilo, Ila hutukufahamu Kama

itakua haraka kiasi hicho" mwanaume Yule alipata.maumivu.

" Kwa hiyo mnamaana gani? Kulikua na haja.gani ya kuwatoa sadaka vijana

wetu wa tatu kuhusika na kikosi Cha

wanaharamu iwapo hamuwezi kumlinda hata mke wangu tu" Mustafa alitamani

kua karibu Yake.

" Bwana mkubwa ipo namna, hata hivyo ni rahisi kupatikana kwa Bimdogo. Kwani

tunafahamu fika kwa nini amechukuliwa, Jana usiku Ni wakati ambao Jambo Hilo

lilipangwa, na limetekelezwa leo.

Tafadhari Bwana mkubwa Kama

unaweza kuja njoo tukueleweshe"

Mustafa alikua mwisho wa akili Yake.

" Hivi!! Una una akili timamu wewe?

Mke wangu ametekwa, sijui kuhusu

usalama wake, alafu bado unataka nine huko? Huna akili hata kidogo" alifoka

Mustafa na kukata simu. Feiso alihisi kusikitika kabisa. Alikua mwanaume gani asie jua kusikiliza mawazo ya wengine.

" Bwana mkubwa, Ni vyema ungemsikiliza huenda ana mpango, usichukue maamuzi mkononi bila fikra

kamili ukaharibj juhudi yako ya muda

mrefu'" Mustafa alimwangalia huyu

kijana mgeni kwenye macho Yake japo

alikua akimfahamu hata hiivyo alikua

Nani mpaka ampe ushauri. " Toka nje"

Mustafa alimsukuma nje kabisa ya gari

lake.

" Bwana mkubwa tafakari juu take tafadhari, sister Neema pia yupo

hatarini" feiso alipiga kelele akiwa

anajiweka sawa. Lakini wakati huo huo

Mustafa aliwasha gari Yake na kuanza kutumia mbio.

Feisoo hakuacha kumfata Mustafa

kwani aliogopa hasira alizoziona kwenye uso wake.

" Bwana mkubwa nitakufata " alimwambia huku akiifata gari kwa

Makini zaidi.

Katika hospitali ya Saifeee. Mlango wa chumba Cha operesheni ukisukumwa na kitanda Cha magurudumu kikasukumwa

nje na wauguzi, wanawake wa familia ya

Badru walikimbia haraka kwenda

kuonana na Dr baada ya mwili kuingizwa

katika chumba Cha Leba ambacho ni binafsi.

" Dr Fatma, Salma ana Hali gani?" Bi

Azat hakuweza kujizuia kuuliza, alikua

msimamizi hapo pia katika hospital hiyo hiyo lakini hakua na ujuzi wowote wa kidaktari. Alikua na usimamizi katika

Jambo lakini bado hakua daktari.

" Bi Badru, tafadhari naomba mnifate"

aliwaita wanawake watatu watu wazima ambae alikua Bi Shayma Bi Sonia, pamoja na Bi Azati. Wanawake hao

walimtii Dr Fatma na kumfata hapo

moja kwa moja.

Wakati huo wanawake wadowadogi wa familia ya Badru wao waliingia leba

kumuona Salma. Huku wakikabidhiwa

mtoto mikononi mwao. Wao alikua

mtoto wa kike, mzuri na mwenye Afya

lakini alionekana kuchoka Sana.

" Jamani ni mrembo" Mariam hakuweza

kujizuia kumbusu lakini Najma tayari

alipata.khofu.

" Kweli Ni mrembo. Najma alipoteza

tabasamu lake na kuamua kuongea tu khofu Yake nje "lakini vipi kuhusu Saida

na zarina mbona hawatokei mpaka hivi Sasa?" Muzda pia alishtuka. Ni kweli

walikua na mgonjwa lakini Saida alikua

afike hapo muda so mrefu.

" Hiyo Ni kweli wamechukua muda mrefu' Sana" Muzda aliongea na simu

Yake ikaita kwa wakati huo.

" Ni Saida ?" Watu wote walimgeukia

" Hapana sio yeye ni Lilian" Muzda

alijibu na kuwafanya wengine wazidishe

khofu. Mwanasheria Lilia alikua rafiki

yake' Muzda tangu mwanzo. Na hata

alishirikiana na Dr khairat kwa sababu

zake maalum hapo kabla, na alimsaidia

Mustafa kukusanya taarifa za kutosha

kwani aliaminiwa na Dr khairat. Mpaka hivi Sasa.

." Kampokee" Najma alimuondoa ndani ya wodi na Muzda hakusita kuondoka na kwenda kupokea simu.

" Lilian" muZda alijaribu zuia khofu

Yake ambayo iliutesa moyo wake kwa

wakati huo.

" Muzda una wakati sasa,? Namtafuta

bwana mkubwa hapatikani, nimepata

taarifa zaidi za kumpa" Lilian aliongea

Muzda akabaki kimya.

" Kwa kweli Hali yetu kwa Sasa sio

nzuri Lilian unaweza kuniacha, maana

hapa nilipo nimevurugwa" Muzda

alimwambia Lilian ambae alihisi kulia.

" Hivi taarifa ya kuuvuruga zaidi ya

taarigmfa niliyonayo Mimi, Muzda najua

huenda mnamatatizo na unatamani

nisikuoe taarifa mbaya lakini lazima niseme. " Mwanasheria Lilian aliongea na kumtaka Muzda amsikilize kwa namna yoyote Ile.

" Muzda nimemfahamu mtu anaefanya kazi nyuma ya Azraj. Ni muhimu Sana kweu kujua, najua nyie wanawake

hamfahamu lolote kuhusu hili ni Kati

yangu na Bwana Mustafa Badru lakini acha niongee" Muzda alishtuka na

akawa haelewi Lilian ana maana gani?

" Sikuelewi nyuma ya Azraj, Kaka

yangu Azraj kapatwa na nini kwani?"Muzda alishtuka. Inamaana

Azraj alikua anafanya kazi gani na mtu gani?

" Muzda Azraj anafanya kazi na mjomba wenu nyinyi, huyo mjomba

mwenyewe Ni A_ aaaaghhhhh" Lilian

alipiga ukunga ambao ilimfanya Muzda

ashtuke bila kutarajia.

." Lilian, Lilian kimekupata kitu gani?"

Muzda alipata khofu, hakuna hata

kimoja ambacho aliongea Lilian kusema

kwamba Muzda alielewa. Ni

kweli.hakuelewa kwa sababu yalikua

mambo yake na Mustafa.

" Muzda kuna Nini?" Najma alimuuliza

kwa khofu.

." Ni Lilian, nahisi Kama Kuna kitu

kibaya.kimemtokea?" Muzda alikua

akitetemeka mithili ya kukata roho.

Bila kuchelewesha muda aliinua simu

Yake ampigie Lilian Tena lakini wakati

huo huo simu ya Najma iliita. Ilikua simu iliyopigwa kutoka nyumbani

" Atakua Saida, labda hawakua wamekuja bado?" Najma alitamani.iwe

hivyo kwani moyo wake unaogopa mithili ya kupoteza uhai. " Hallo" Najma

aliitikia simu baada ya kupokea.

" Bi mdogo, Bi mdogo hapa nyumbani.

Mhhii Bi mdogo zarina na dereva wa

Saida wame... Wame... Wamekufa"

sauti ya Asia ilimfanya Najma ahisi

kupoteza uhai zaidi ya hapo awali miguu

Yake iliishiwa nguvu na akakosa sehemu ya kujishikiza.

Alikua amesema Nini huyu Asia asie na adabu, alikua akimchezea ki fikra. " Bi

mdogo wamekufa vibaya Sana kwa

risasi" asia alizidi kulia.

.

" Nyamaza !!!!" Najma alipiga kelele

akiwa haamini anachoambiwa, mwili.wake ulitetemeka kiasi kwamba moyo ungetengana na.kiwiliwili.

" Wifi!!!" Muzda alimsogelea akiwa haelewi kinachojiri .

"Nini?" Muzda alimnyakua simu. Na

kuweka sikioni. Sauti ya vilio vya watu wakiita majina aliyoyafahamu ilipenya

vyema kwenye masikio yake'. Alijikuta

aling'ata ulimi wake bila kufikiria.

Alisikia zarina. Na jina la dereva wa

Saida hiyo ukimaanisha hata Saida anaweza kua amee.... Hapana hawezi

kufikiria huo upuuzi'

" Asia Kuna Mimi hapo?" Muzda aliuliza

kwa kuogopa jamani Kuna mini kwani

kwa nini watu wanalia bila mpangilio.

" Binti Badru Ni zarina na dereva wa bi mdogo, wamekufa wamekufa vibaya

Sana jamani" Asia alijibu kwa kuamua.

Alikua na machungu lakini lazima ataoe

taarifa. Muzda alihisi kupeteza dira ya ulimwengu alikua Kama Najma tu.

Alishika chini kwa maumivu na hapo

Asia alikata simu baada ya kuona ukimya.

" Hapana! Hapana sio kweli, bila Shaka

huo haiwezi kua ukweli so ndio?" Muzda

alimgeukia Najma aliekua amepoteza

kabisa yaani ni Kama dunia ilisimama kwa klmuda ikimsubiri ashuke.

" Wifi natumai wifi Saida atakua mzima

kabisa Tena mwenye Afya" Muzda

aliongea akiwa na Imani kabisa na Hilo

lakini kwa ninj watumishi wa.nyumbani

kwao hao wawili wapoteze Maisha

ghafla na bila sababu?.

Sehemu ya 154

Bi Shayma na wenzake walirejea kutoka

katika ofisi ya Dr Fatma wakiwa

wamelegea mwili na akili. Kila mmoja

alikua na mawazo Yake kwenye kichwa

chake. Kila mtu alikumbuka maneno

ambayo waliambiwa

" Bi Badru, nimewaita hapa watatu kwa

kua nyie Ni watu wazima na

mnajitambua kuliko ningeongea hapo

mbele ya vijana wenu wadogo" Dr

Fatma aliongea bila kupoa.

" Tunakusikiliza " walimtolea macho na kumpa umakini wa masikio.

" Ki ufupi ni kwamba, haikua kazi rahisi

kumuokoa mwanamke huyu pamoja na

mtoto wake, inaonekana amepitia

misukosuko mingi Sana ya ki saikolojia

kwanzia siku apate ujauzito, licha ya hivyo alikua ajifungue salama kabisa.

Lakini kutokana na hitlafu zilizojitokeza

amelazimika kujifungua kwa kupasuliwa.

Kwa nini alikua akiteseka"

Watu wote walimtolea macho Dr fatma.

Na kukumbuka Ni vipi walimtunza vyema

Kama malkia akiwa na ujauzito hiyo

inamaana gani walimtesa?.

" Haiko hivyo Dr Fatma, itakua

umechanganya Majibu yasm Salma na

mtu mwingine alikua sawa tu, labda

hasira za mimba ndo zilimfanya

aonekane tofauti." Bi Sonia alijibu. ..

" Hapana , acha niwe mkweli mbele

yenu" Dr Fatma alilazimika kuongea

ukweli ambao hakupanga kuusema.

" Ukweli gani?" Watatu wale

walimuuliza.

Dr Fatma akihema kwanza na

kukumbuka kua yeye ndo alikua Dr wa

Saida alipokua mjamzito mpaka

anajifungua Mustakim, na hata kwa

Salma yeye ndo alikua Dr wake. Hivyo

Ni rahisi kuelewa Hali ya kila

mwanamke na kwa Salma alimuweka

karibu zaidi mpaka akamwambia ukweli wake.

" Ukweli Ni kwamba, bwana azrja

Badru alitaka kumuua Salma na mtoto

kwa wakati mmoja, shida Ni moja tu, hamtaki mtoto huyo tangu mwanzo.

Hata ujio wa Salma katika familia yenu

sio Kama alikua anapenda kutokea

mahali hapo, hapana Ni kwa sababu

alikua akitafuta ulinzi baada ya kuokolewa na Mustafa Badru asiuwawe

na watu wabaya ambao Ni vijana wa Azraj Badru" taarifa hiyo ilikua taarifa

isiyoelezeka Wala kuaminika katika

masikio Yao. Walihisi kana kwamba

labda Dr Fatma alikua akiomba mashairi ya majonzi.

" Unaongelea mini wewe? Acha kuongea

maneno yasiyoeleweka"

Dr Fatma alikua na ushahidi kadhaa

dhidi ya Azraj. Ukweli Ni kwamba yeye

pia Ni Dr anaeshirikiana na Mustafa.

Na anategemea Sana katika kambi ya

Badru Jambo ambalo watu wengi

hawafahamu kabisa. Alichomeka flash

ya matukio kadhaa yaliyomtokea

Mustafa na kutoa maelezo juu yake.

Tangu hapo awali kipindi Mustafa

alipokea mgonjwa mwenye dawa za

kulevya katika mwili wake. Ulikua ni mpango wa Azraj Badru alitaka

kumchafua. Sio tu hivyo alionyesha

picha za mama Shayma ambae

alishafatiki miaka minne nyuma.

Mwanamke huyo alikua akifanya huduma ya kuuza mwili wake katika majumba ya

kifahari na makasino mbalimbali. Bi

Shayma na Bi Azat walipauka baada ya

kuona Hilo. Na kubaki wameshika

midomo Yao. Kisha akawahi yesha picha ya Karibu ya Azraj na mama shayma

wakiwa nje ya nchi wakiionekana kukiss.

" Huu Ni upuuzi gani?" Bi Shayma

alifoka akiwa haamini inawezekanaje

Azraj kijana wake mwema kupita.wote awe Kama huyo mwanaume kwenye

picha? Hapana utakua umemkosea'

" Huo ndo ukweli Bi Shayma , Bi Azat na Bi Sonia, nyie Ni ma boss zangu, nitakua Sina akili iwapo nitamshtaki

Azraj kwenu kwa kusudi bila sababu ya

msingi. Hii ilikua Siri ambayo ningekufa

nayo siku moja lakini siwezi Tena kwa

sababu Nina khofu juu yenu." Dr Fatma

aliongea.

Kisha aliwaonyesha picha ya Dr khairat

akiwa na Azraj katika ofisi ya Azraj

iliyokua ikirusha taarifa. Na wakati huo

huo akaonekana Azraj akiwa karibu na Dr hizaan. Watu walishtuka. Dr Hizaan

alikua mume wa Dr khairat na Ni watu

ambao walitalikiana na hawakua

wakipatana lakini Azraj alionekana kua

karibu na watu hao kwa wakati mmoja.

Na katika siku hizo ndo uadui wa wawili

hao uliongezeka. Mtu mzima mwenye

akili zake timamu lazima ajiongeze

kabisa kwamba watu hao walikua

wakichokganishwa.

" Bwana Azraj Mimi na Dr Neema

tumemfatilia muda mrefu' Sana, kwa

sababu sisi ni Askari wa kike wa Badru.

Tupo kwa ajiri ya usalama na ulinzi wa

pembeni wa bwana Mustafa Badru"

Dr Fatma alisita kwanza. " Hivyo Ni

vitu vichache alivyofanya bwana Azraj.

Sio tu kumfanya Mustafa amuoe

mwanamke kahaba na kuzaa nae mtoto,

lakini pia aliishia kumuua baada ya

mwanamke huyo kwenda kinyume nae na

kumpenda Mustafa na Kisha akazaa

nae." Bi Shayma alihisi kudondoka

katika siku alijiona kua mpumbavu na mama asiejua na akili Ni siku hiyo. Hivi

aliwezaje kumtambua azraj Kama kijana

wake mwema kuliko Mustafa?

Bi Sonia pia jasho jembamba lilitoka.

" Bi Azat samahani, bwana mkubwa

hakuwahi kutamani utambue hili lakini

nalazimika kukupa taarifa hii, ukweli Ni kwamba miezi kadhaa nyuma Maulid

alitoweka na kusemekana alienda

akwenye ziara ya michezo Hilo Jambo

halikua la kweli" dr Fatma aliongea

huku akimtazama Bi Azat ambae tayari

usi wake ulishtuka.

" Ndio Bi Azat kijana wake alibaki

kidogo awe muathirika na mtumishi wa

madawa ya kulevya, pongezi kubwa na

shukrani kwa Kaka wa pili bwana Muksin

Badru" Bi Sonia alitoa macho kwani

muksin alifanya Nini kwa kusifiwa.

Bi Azat alikua ameshtuka kiasi kwamba

hakujua anafaa kuuliza Nini?

" Ukweli Ni kwamba, Kaka wa pili

muksin Badru alimtambua mapema na kumpeleka kambini kwa ajiri ya kumpa

SoMo, na huko tuliweza kumtibu

taratibu na kumuadhibu adhabu ambazo

hakuatahilk kuzipitia wakati huo kwa

sababu alikua mdogo lakini ili apate

SoMo lake ilitulamzimu." Bi Azat alibaki

hoi hakuweza kuongea kitu.

" Unataka kusema hiyo pia ilikua kazi

ya Azraj?" Bi Shayma alihisi kumuogopa

Azraj kila alipoambiwa matukio Yake.

Alikua kijana wake wa aina gani?

Aliwezaje kua katili kiasi hiki.

" Bila Shaka anaweza asiwe yeye, Ila kwa sababu watu wanao toa huduma

hiyo walikua watu wake bila Shaka ni yeye, alafu mbaya zaidi Ni kwamba

hayupo mwenyewe, Kuna mtu nyuma

Yake"

Watu wote walikaa kknya kwa uwoga.

" Huyo mtu nyuma Yake ndo

alisababisha mpaka Kaka mkubwa

akaingia kwenye. Ndoa na Dr khairat ili

afanikiwe kumfahamu, na alitamani

afanikiwe kumteketeza bomu

lililopangwa juu ya familia Yake mapema

kabla hajawa mrithi wa familia ya

Badru afrika mashariki. Ndo maana

bwana mkubwa alikua alivumilia kila

kinachoendelea. Akiwa na dhumuni moja

tu familia Yake iwe salama.

.bi Shayma alihisi kulia siku zote alikua

akimuona kijana mkaidi na asie faa, lakini kumbe alikua akipitia Mambo

mengi kwa sababu Yao.

" Najua mtakua mnajiuliza kwa nini

nawaambia Mambo yote haya kwa

wakati huu, lakini ukweli Ni kwamba

siwezi kukaa kimya kwani nahisi hatari

dhidi yenu, mpaka hivi Sasa navyoongea na nyie. Wenzangu wawili tayari Ni mateka wa Azraj."

" Dr Neema na kijana wetu mkoja

kutoka Badru kambi, ameshikiliwa na watu hao. Hivyo Nina khofu na uoga

dhidi yenu nyinyi Azraj Hana khofu

wala uwoga wa kupoteza chochote. Na

hata mtoto wake pamoja na Salma Ni

viumbe ambao hawana maana kwake

yeye"

" Kwa nini anafanya yote haya?" Bi

Shayma alihisi hasira na kuunguruma bila kusubiri.

" Nachojua Mimi anataka kua mrithi wa kwanza wa Badru na kuchukua kila kitu

Cha bwana mkubwa Mustafa, hata mke

pia ndo maana amewagombanisha Sana,

amemchafua Sana Bwana Badru, na

sababu muhimu ya Mimi kuwaambia

haya ni kuwaweka salama kwani mpo

kwenye siku za hatari zaidi. Ni

kuelekea mkutano wa mwisho wa kumpa

urithi na umiliki bwana mkubwa awe

mrithi wa familia lakini hawataruhusu

Hilo. Hivyo basi sitaki kazi na juhudi

tuliyipambania muda mrefu' iende bule.

Tumetumia jasho jingi.pamoja na nguvu

nyingi kwa ajiri ya Badru. Hivyo na nyinyi mnafaa kutupatia sapoti"

Bi Shayma na wenzake walirejea

kwenye fahamu zao huku walitazamana.

Hivi Ni kweli mtu Yule alikua Azraj.

Ambae alifanya Mambo mengi kwa

wema na unyenyekevu, lakini ameishia

akiwa na kisasi na familia ambayo

imempa jina impempa uwezo elimu na mapenzi ya familia. Lakini yeye alikua na Nia chafu kiasi hicho.

Wakiwa kwenye mawazo yaliyowakatisha

tamaa, walikutanishwa na msumari

mwingine ambao ilisafiri moja kwa moja

kwenye ngome na kwenye kina Cha moyo wao.

" Mama zarina na dereva wa Saida, wamefariki kwa kupigwa risasi. Mama

Saida hajulikani alipo mpaka Sasa"

alikua Mariam aliekua akilia baada ya

kumkumbatia Bi Sonia. Na kuwafanya

wanawake hao watatu waliokua na khofu

kuongeza khofu yao.kiasi Cha BP ya Bi

Shayma kupanda na kupoteza udhibiti wa mwili wake.

Alipoteza fahamu zake bila kusubiri.

" Wifi" Bi Azat aliita kwa uwoga. Huku

Bi Sonia alimdaka kwani yeye ndo

aliekua karibu.

' Mungu wangu Ni laana gani hii

umeipata familia Yao?' Bi Sonia

alichanganyikiwa na Mariam akaenda

kumuita daktari haraka kwani Najma na

Muzda tayari walitangulia nyumbani

huku Bu zaina alibaki kumuuguza Salma.

Kwa kweli hata yeye pia akili Yake

haikua hapo. Zarina alikua sawa na

binti Yake anawezaje kufa.

.hapana sio sawa alikua bado binti

mdogo tu mwenye umri mchanga.

Mustafa hakuweza kwenymda moja kwa

moja kumtafuta Azraj hapana. Isipokua

alifata ushauri wa feisooo licha ya

hivyo alifanya maamuzi Yake mwenyewe

hakua tayari kukurupuka na kuharibu

juhudi za watu za miaka mingi.

Alienda katika kambi ya Badru. Huko

alikutana na Askari mkuu wa kambi hiyo

akiwa amevurugwa na kuchanganyikiwa .

Vijana wote walijilanga na kujigawa

katika usawa wao wakisubiri kupatiwa

maagizo wakamilishe mission zao. Kwa

kweli hii kesi ya Azraj iliwachukulia

muda mpaka walihisi kuichoka. Japo

baadhi ya vitu walikua wakifanya na

kuhakikisha usalama lakini Jambo la Azraj lilikua la kuendelea tu.

" Bwana mkubwa, type amri yako na tutaisambaratisha kambi ya maharamia"

wakiongea kwa utiifu wakimuomba

Mustafa awape hiyo nafasi

wakammalize Azraj kwani wanashuhudia

kile kinachomkuta mwenzao. Na Askari

wa Badru Ni Askari wanao hurumiana

sana

" Bwana mkubwa Badru, nashukuru

umenisikiliza kwanza" Mustafa

alimtazama mwanaume huyo mtu mzima

kwa macho makavu.

' alimsikiliza kwa sababu hakua na jinsi, asingekua mjinga kupoteza kila kitu au

kuwaweka hatarinj zaidi wanafamilia

wengine kwa sababu ya mwanamke wake

tu, bila Shaka huo Ni ubinfasi

uliokithiri.

Alisogea kwenye chumba Cha

mawasiliano, ndipo alipifanikiwa kuona

video inaykruka live kutoka katika

vyumba vya nyumba yenye Giza, na mwanga wa jua ndo ulitumika Kama taa

kumulika ndani ya vyumba hivyo.

Alipata kumuona Dr Neema alipitia

matesk makali kutoka kwa Bwasha.

Mustafa aliitazama sura ya mwanaume

Yule akahisi hasira baada ya kuikumbuka. Bila Shaka alijitahidi

kabisa kutoka ndani ya nafsi yake,

yaani siku ikitokea kakutana na Bwasha ana kwa ana bila Shaka atammaliza kwa

mikono Yake mwenyewe. Hatampa

nafasi ya kutoroka.

." Sitasema Wala kuongea neno lolote

lile. Hata Kama nakata roho" Dr Neema

alipiga kelele ya.maumivu baada ya

kuongea maneno hayo kwani chuma Cha

Moto kilibandikwa mgongoni kwake.

" Hawa washenzi wanaweza kumuacha

Dr Neema" feiso alipiga kelele na

kupaniki kwa wakati huo. Kwa kweli

alimuonea huruma. Mwanamke huyu

alimchukulia Kama mdogo wake. Lakini

alikua akiteseka hivyo bila sababu.

Bwasha alichukua simu na kuanza

kumrekodi Dr Neema asijue ya kwamba

hata wao pia walikua wakirekodiwa.

Dah! Mwanaume huyu Hana akili.

Aliitika video hiyo huku Mustafa na

wanakambi wakimuona. Ujumbe huo

uliingia moja kwa moja kww ye simu ya

Mustafa. Kisha simu yake ikaita kabla hajafungua.

" Hallo Mustafa alifanya kana kwamba aliweka utulivu"

" Wewe nk Nani?" Mustafa alijifanya

kukasirikia kana kwamba hakua akimjua.

" Acha papara bwana Mustafa Badru, Ni rahisi tu kunifahamu Mimi ahahaha"

Bwasha aliongea huku akizunguka

zunguka ndani ya chumba hicho

ambacho kilikua sawa na kuzimu.

" Unataka Nini kwani? Mke wangu

namtaka mnaweza kuniambia mnataka

niwape Mimi mumuache huru!!!!!????"

Mustafa alifoka hapo Bwasha

alionyesha mshangao.

" Oh! Bwana Mustafa Badru unaonekana

kujawa na hamaki, Ila usikhofu

nitakwambia Ila sio kwa sasa" Bwasha alikohoa kidogo.

" Ila kwa sasa Kuna ujumbe ama zawadi nimekutumia, utazame" Bwasha alikata

simu Yake na kuondoka eneo Hilo moja

kwa moja. Mustafa alitamani kumuua

huyo mwanaume. Aliwahi kumtengenezea

tukio la ajabu yeye Dr khairat Kisha akamuacha tu.

" Bwana mkubwa, wengine wanaweza

kustahimili, Ila sidhani Kama Dani

ataweza" Gharib alihisi kukata tamaa.

Ndo wakati huo huo Mustafa aliona

katika chumba alichokua Dani.

Kijanadogo Kama yeye alipitia magumu ya Maisha alikua bado kijana lakini

alikua akipewa adhabu ya kubanwa

katika sehemu zake za Siri Kama adhabu ya kua msaliti.

Dani alikua akilia na kupiga kelele kwa maumivu mkali sana. Kibaya zaidi mtu

aliekua akimpa adhabu hiyo alikua Nevi. Mwenzake ambae ametoka nae katika

kambi moja ya Badru. Na alikua rafiki yake' kabisaaa wa kufa kuzikana.

Sehemu ya 155

Mustafa alihisi maumivu kila

alipokumbuka kua yeye ndo alikua

chachu ya kuwafanya vijana hao watatu kutokea huko. Lakini mwisho maisha ya

Dani yamegeuka mabaya zaidi ya kuzimu.

" Kitu gani kifanyike" gharib alihoji

akitamani kupewa nafasi ya kwenda kupambana na hao watu.

" Bila Shaka ipo njia" Mustafa aliongea

wakati huo feisoo alimsogelea Mustafa

haraka akiwa na Imani na yeye

atawekwa miongoni mwao wanaoenda

kumsaidia Dr Neema.

Majira ya jioni Mustafa aliendesha gari

kuelekea nyumbani kwako akiwa na feisoo. Feisoo alikua akilalamika kwa

nini amechukuliwa na Mustafa.

" Bwana mkubwa ungeniacha pia

niungane nao, nahitaji kumuokoa sister

Neema. Yule mwanamke ni zaidi ya

ndugu kwangu, amenitoa mbali Sana"

" Na hiyo ndo sababu sijakuruhusu

uungane na Askari wa Badru, kwani

wewe pekee ndo una Moto laini wenzako

wako tofauti utawahatibia mission Yao."

" Lakini angalau ningekua karibu Yake"

Mustafa alihisi kumpiga kwani aliongea

Sana, lakini hakuweza kwa sababu

alielewa maumivu Yake. Alikua na maumivu ya kumpoteza Saida Mara

kadhaa lakini afadhari alikua akimuona na anaona yupo salama. Ila hii ya Sasa ni too much. Hayupo nae kabisa na hawezi kwenda kumfanya chochote.

Ni Asubuhi nyingine Katika jengo la familia ya Badru majonzi yalitawala

nyumba, hakuna aliekua na amani kabisa

kwani nyumba hiyo ulikua na msiba

usioelezeka Asia alikua akitiririka

machozi Kama maji ya mvua. Hakuweza

kuamini Kama kweli amempoteza dada

mzuri Kama Zarina.

Aliweza tu kumkumbuka Zarina Ni mtu

wa Aina gani? Alitoka nae mbali Sana.

Walikutana hapa kwenye jengo la Badru

wakiwa Bado ma binti wadogo Sana

yaani waliokua na miaka 12 tu waliletwa na Bi zaina ambae aliwachukua kutoka

mitaani na kuwalea Katika mazingira ya utendaji wa kazi na wa kujitegemea

Katika Maisha Hali Yao ya Maisha

ilibadirika kutoka kwa watu wasio na maana na kua watu muhimu na wa maana Katika ulimwengu huu. Lakini

Sasa wameishia kutenganishwa na umauti.

"Zarina, nisamehe dada YANGU" Asia

alikua Sana akiwa kaukumbatia mwili wa zarina uliokua umehifadhiwa Katika

chumba chake alichokua akilala

walisubiri kuufanyia mazishi. Asia

alijishisi mwenye hatia kwani nu yeye

alitakiwa kwenda kumpeleka chakula

hospitali mwisho alikumbuka ilivyokua.

" Nataka kwenda hospital lakini najisikia vibaya" alihisi kutapika baada ya kuongea hivyo, zarina akamsogelea na kuanza kuhisi Hali ya hewa ikiwa

tofauti kwake.

" Wewe!" Zarina alishtuka

" Mmhh, usiwaze upuuzi kwenye akili yako Sina ujauzito" Asia alijitetea lakini ki ufupi ni kwamba alikua

hajiamini pia.

" Sijasema una ujauzito, mbona umejishtukia" Zena alitweta na kumsogelea akaanza kumkagua kwenye

shingo Yake. Asia hakua anaelewa

maana ya zarina hivyo akabaki anaainua

shingo Yake kumkwepa. Hakujua kua

wakati anafanya hivyo ndo alikua

akimpa nafasi ya kukaguliwa kwa

ukaribu zaidi.

." Unafanya Nini?" Asia alihoji kwa mashaka.

" Asia kua mkweli na Mimi, mwezi huu sikuona ukibadili pedi kabisa" zarina

aliongea kulingana na mazoea

waliowekeana hivyo wangeonana pindi

wakiingia kwenye siku zao lakini zamu

hii mwenzie hajaenda safari ya mwezini.

" Aah! Kwani si huwa inatokea tu napita

mwezi mmoja Ni kawaida" Asia

alijitetea.

" Acha ujinga Asia utaumbuka vibaya

Sana" zarina alishika kidole chake Cha

shahada na kumgusisha shingoni. Asia

alianza kubinya mashavu Yake akiwa

hamuelewi. Asia alijisikia Ni jinsi gani

mapigo ya moyo kwenye shingo Yake

yalivyo Kasi bila kutulizana.

" Nimekua hivi kwa siku kadhaa Sasa

hata sielewi shida Ni nini? Labda

mabadiriko ya Hali ya hewa. " Asia kwa akili zake finyu hakuelewa Kama tayari

amejishtaki kwa kweli zarina alihisi

kumcheka

" Pumbavu zako' wewe una nafsi mbili

katika mwili wako ndo maana mapigo ya moyo wake yanaenda Kasi" zarina alihisi

kulia kwa wakati huo aliwezaje kua na dada asie na akili. Asia aliziba midomo

Yake haraka

" Acha utani" aliuma meno Yake baada

kuongea na kuachia mikono Yake. Sure

Yake ijaa aibu na uwoga kwa wakati huo huo.

" Namaanisha nyau wewe, hee sijui

utawaambia Mimi Wana familia?"

Zarina alikosa la kusema. Asia alianza

kulia bila kujua alikua na mimba. Bila

Shaka Ni mimba ya Gharib.

" Haya Sasa haraka, nielekeze vyema Ni huko kigamboni ndo umeikamatia?"

Zarina alihisi hivyo kwani Asia alikua

mfanyakazi kipenzi wa Saida, hivyo

angeishia popote pale ambapo Saida

angehamishiwa na Mustafa iwe kwa

kutaka ama kutotaka.

" Ahaaaa!!! Zarina mi nahisi kua

marehemu jamani, nitamwambia nini Bi mdogo" Asia alikaa kitandani na kuzidisha kulia.

" Najua huna la kumwambia Ila kwa

Sasa acha niende hospitali hakikisha

unaniangalia Majibu kamili" zarina

alimwambia Asia akiwa na Imani kabisa

mtu huyu mwenye stress hawezi kwenda

popote Tena.

" Hapana zarina, haikua zamu yako', acha niende tu natia aibu Mimi" Asia

alizidisha kulia alikumbuka namna

alivyokua akizagamuana na Gharib kwa

kificho tangu hapo mwanzo. Saida na

Mustafa walikua wakiingia chumbani

kwao Basi na wao wangepeana wakati wa kutafutana, mwisho walikubaliana na hatimae Sasa wakavunja amri ya sita.

Dah! Mungu sio Asmani Yale yote

waliyoyaweka Siri leo hii yamewekwa hadharani.

" Aibu hoi Mimi nimemtia aunt zaina

hawezi nisamehe bila Shaka, amenilea

vyema Sana jamani"

" Hebu nyamaza mshenzi kabisa, kwamba saa hii ndo unakuta, kipindi

unafanya miguu yako hukua na

kumbukumbu kua Kuna mtu anaitwa aunt zaina. "

" Zarina naomba nitoroke" Asia alikua mwisho wa akili zake.

" Sio tu kutoroka, inabidi ukiri mbele ya familia kua wewe ni mjamzito na ujauzito huo Ni wa Nani? Naimani

kabisa makaka wa familia watamtafuta mtu huyo na atakuoa na mtalea mtoto

wenu. Ni wasichana wangapi

wameondoka hapa na Wana miji Yao

kwa mfumo wako" Asia alipata aibu na

yeye pia amekua miongoni mwao? Lakini

tatizo Ni hisia hakuna mwanadamu

Wala kiumbe mwenye uwezo wa kuuzuia moyo kupenda.

" Zarina!!!!!!

" Mi naenda, ngoja kwanza nimuone Bi

mdogo alafu naenda, usiwaze Sana

sawa, kwanza unafaa kumshukuru

Mungu Sana, kwa Sasa wewe ni mkubwa na tayari umeshika ujauzito hiyo

inamaanisha utamiliki Wana katika hii

dunia, hautaishia Kama aunt zaina ambae Hana mtoto. Ila anao sisi sawa

kipenzi changu" zarina aliweza kumbusu na kuondoka baada ya kumtoa moyo.

Asia bado hakua na Imani kabisa.

Baada ya hapo ndo taarifa zilirejea mili

miwili ikiwa kwenye machela baada ya kutolewa mochwari na Sasa zarina

anaenda kuishi katika nyumba Yake ya milele. " Da zarina" Asia hakuweza

kujizuia kulia.

Baada ya Asia kulia kwa sauti zaidi

alisikia mtu mwingine akilia kwa

maumivu zaidi nyuma Yake. Alikua

afsat. Kwa kweli hakuna binti alikua

karibu zaidi na zarina katika mabinti

wote was Badru Kama Afsat. Zarina

alimlea kwanzia akiwa mtoto mdogo. Bj

Azat aliamini Sana mikono ya zarina

alipokua alimuachia binti Yake alipokua

mtoto mdogo. Hivyo Afsat alimuona

zarina Ni zaidi ya dada hakuwa tu

akimuita dada Kama mtumishi wa ndani

Bali alikua mama Yake mdogo pia.

Alimpa cheo hicho kwa sababu alimlea

kwa moyo mkunjufu.

Asia alielewa Hali Yake na kumkumbatia

Mara moja.

Wanawake wote walijiandaa Sasa

kwenda kuuaga mwili wa zarina

chumbani kwao. Waliuaga kwa

kumbukumbu nzuri kila mmoja. Kila mtu

alilia kivyake na kumbukumbu take juu ya huyo binti.

Bi zaina alizidiwa kabisa kwani aliwalea mabinti hao wawili Kama mabinti zake

Sasa, mmoja wapo alikua amefariki

inaumiza kiasi gani? Inauma Sana

jamani.

" Aunt zaina" Asia alimkumbatia aunt

zaina kwa uchungu mno. Na hapo bi

Shayma alikuja kumpoza. Ni kweli dunia

hii imechanganyikiwa bila Shaka.

Baadae mwili wa zarina ulitolewa nje

kwa ajiri ya maandalizi ya swala

aswaliwe maiti Kisha akazikwe. Yalikua

maumivu makubwa Sana pale ambapo

mwili wake ulichukuliwa. Kila mmoja

alimkumbuka zarina kwa nafasi Yake

jamani. Kim na Shayma walikua na

misiba miwili kwa wakati huo Ni kweli

kabisa walifiwa na ndege wao mpendwa

HudHud lakini Sasa wameondokewa na dada Yao kipenzi zarina. Na mbaya zaidi mama Yao haonekani. Ilikua Hali

ya huzuni na majonzi kwa watoto hao wawili. Waliweza tu kutembea

wakimuelekea baba Yao aliekua akisali na wanaume wengine mahali ambapo maiti ilikua ikiswaliwa.

Huwezi amini hata Azraj alikua

akiswalia maiti da! Kikulacho ki nguonj mwako. Azraj Badru, hakuweza hata

kuinusurimu nafsi ya vijakazi wawili wasio na hatia kosa atimize lengo lake.

Japo sio yeye aliefanya lakini Ni kwa

amri Yake Saida atekwe.

Mustafa alikua akitamani kummeza huyo

mwanaume aliekua kwenye safu alishiriki

ibada ya maiti. Na yeye ndo anajua

mke wake Yuko wapi? Na yeye ndo

chanzo Cha kila Jambo hapo.

" Kim njoo" Muzda alimchukua Kim eneo

Hilo huku alimshika Shayma mkono na

kurejea nao sehemu walikua wamekaa

wao. " Baba mama Yuko wapi?" Shayma

hakuweza kunyamaza Tena walikua

watoto wadogo alafu wamempoteza mtu

kwa Mara ya kwanza katika Maisha

Yao, alafu mama Yao haonekani.

Mustafa alihisi kufa kwa hasira kila

alipokua akimwangalia Azraj na kusikia

sauti za watoto wake waliokua

walimuuliza juu ya mama Yao. Alitamani

kuruka kwa nguvu na kumtwanga Azraj

ngumi ya uso lakini hapana, acha

auheshimu mwili wa dada zarina. Alikua

sawa tu na mdogo wake Muzda.

' Azraj Badru, kwa kweli nafsi yangu

inashindwa kujizuia kila nikikuona bila

Shaka nitakuua, subiri tu tumalize

mazishi' Mustafa alituna kwa hasira na

wakati huo waliweza kumnyanyua

machera na kuondoka nayo kuelekea

makaburini. Ilikua huzuni Sana kwa

watu walipobaki nyumbani wakiusindikiza

kwaacho.

Saida akiwa katika kichumba kidogo

chenye joto Kali na mwanga hafifu

Sana wa jua ambao ulipenywa kutokea

kwenye tundu Bali halikua likifahamika

iwapo kimetokea juu au upande gani wa ukuta. Alikua na maumivu ndani Yake.

Alikua akimkumbuka Sana zarina.

Zarina binti mdogo unri wake Ni sawa

tu na Muzda na Mariam alikua dada wa

karibu Sana na Asia. Mtumishi wake

kipenzi. Na yeye pia alikua karibu nae

zaidi. " Bi mdogo Kaka mkubwa kakutumia hii, hakikisha unaisoma"

kumbukumbu hiyo ilimjia Saida kichwani na kujikuta akitokwa na machozi.

" Bi mdogo naenda kumchukua Shayma

shule kwa niaba yako haonekani kua sawa" zarina alimuaga hivyo siku moja

alipokua amevurugwa na Vita ya

mapenzi Kati Yake na Mustafa na Dr khairat.

" Ahaha, bi mdogo inachekesha ndo

ukaamua kuchoma nguo za Kaka mkubwa

kwa sababu hakulala kwako?" Asia ulimi

ulimponyoka siku hiyo na zarina

akamwangalia kwa jicho la kumkanya

Hadi Saida akacheka.

" Mbona ananiangalia hivyo?" Asia

alipata aibu na kuziba macho Yake.

" We mwanamke huna haya, nilidhani we ni mkubwa Ila akili huna, unawezaje

kuongea maneno hayo" zarina alikasirishwa nae siku hiyo.

" Msijari hata hivyo Kuna wakati huwa

napenda kutoa hasira zangu kwa kuweka baadhi ya Mambo wazi" zarina akatega

masikio vyema kusikiliza hayo Mambo

wazi anayotaka kuyasema Saida.

" Ehhe" Saida alicheka hoi, bila Shaka

huyu ndo alijikuta hataki kujua Mambo ya Bi mdogo wake.

'" ahahaha umbea huo" alimtulia mto uliokua karibu zarina akaona haya.

" Bi mdogo itabidi uuchome na mwili

wake Sasa vipi Kama anashikwa

shikwa?" Zarina alichochea Saida

akahisi aibu kwenye uso wake.

" Zarina mjinga wewe mkoswa aibu"

alijikuta anaanza kunikimbiza bila

kusubiri. Saida alitabasamu baada ya

kuimiss kumbukumbu hiyo nzuri baina

Yao. Lakini alikumbuka namna

wangebushana Sana pindi wakienda

sokoni. Kuna wakati alikua alilazimika ku

sarenda ili zarina asijione ameshindwa

huku Asia akijiima yatima wa mapishi.

Lakini Leo hii!! Leo zarina hawezi

kufanya yote hayo! Alikufa mbele ya

macho Yake bila Shaka. Alikufa

akimshuhudia. Hajui Ni kwa nini na

shida ilikua Nini Hadi wamuue zarina.

Iwapo walimuhitaji yeye badi

wangemchukua tu, hakuna haja kabisa

ya kumuua zarina wake. Saida alihisi

Kama tumbo linamkata alianza kulia kwa

hofu Sana.

Sehemu ya 156

Saida akiwa analia kwa kukata tamaa

wakati huo ndo mazishi yalikua

yakiendelea, mvua zilikua zikinyesha

kwani kipindi hicho ulikua msimu wa

mvua. Saida aliweza kuikumbuka ndoto

nzuri aliyoiota akiwa na Mustafa

kwenye Maisha ya kale mvua ilionyesha

Kama hivi na wao walikua na wakati

mzuri Sana. Hiyo inamaanisha nini?

Wakati wamateso umeanza ama

umekaribia kuisha.

" Mungu wangu ulie hai milele, nakuomba dua hii kwa ajiri ya zarina.

Hakika yeye ni binti mzuri na asie na hatia kwangu Mimi na kwa wengine.

Alikua dada mzuri kwa kila aliefaa

kumuita dada, na alikua mtoto mzuri

kwa kila aliekua akimuita mwanangu, alikua mamdogo mzuri kwa wale

aliewachukulia Kama watoto kwake. Na

alikua aunt mzuri kwa watoto wangu.

Sina haja ya kusema yote haya isipokua

wewe unanifahamu zaidi. Kwani Ni

kiumbe ulientengeneza kwa mikono yako mwenyewe ewe mola wangu. Dua yangu

sidhani Kama itafaa kwani nipo kwenye

mazingira ambayo Sina uhakika Kama Ni

matakatifu. Lakini naimani Ni takatifu

kwa sababu imetoka katika kina cha

moyo wangu. Naomba unisamehe Yule

binti makosa aliyotenda kutokana na mapungufu ya kibunadamu. Ya Allah

msamehe makosa Yake. Kilio changu

hakina ukubwa Wala maana bila maombi

yanayofaa kumsafishia njia na kumuondoshea madhira aliyotenda akiwa

Kama binti wa adamu... Ipokee salama roho take ewe mola wangu" Saida

aliomba dua hiyo akihisi kabisa Kuna

kipande Cha uhai kinachomolewa ndani ya moyo wake.

" Zarina" Saida alilia Sana siku hiyo na kubaki amejinkunja ndani ya chumba

hicho kisichojulikana kipo upande upi wa dunia. " Natumai Mustafa wangu kwa Sasa yupo anashughurikia mazishi yako.

Naomba umpe salamu za mwisho

aniletee kabla akuweke katika nyumba yako ya milele. Nakupenda Sana zarina.

Nitakuombea siku zote katika Maisha

yangu ya mwisho yaliyobaki.

Nitamuweka katika orodha ya watu

wataokumbukwa na Mimi pamoja na

wanangu. Najua maombi ya watoto Ni masafi na salama" Saida alikua akilia

Sana

" Na dereva wangu pia, sikua nimekufahamu kwa muda mrefu ni wiki

mbili tu umekua dereva wangu lakini

umeishia kupoteza uhai wako kwa

sababu yangu. Naomba unisamehe wewe baba, natambua una familia yako

naomba niwe msaada wao iwapo

nitabahatika kutoka hapa nikiwa hai,,

naomba unihukumu kwa kua mzembe,,, bila Shaka ulinizuia nisiteremke, Kama

ningekusikia bila Shaka huenda

ungeokoa Jambo,,,, nimeishia kukuacha

maiti wewe pamoja na zarina" Saida alihisi maumivu jamani. Upande wa pili watu walikua wakimalizia

mazishi ya maiti mbili. Zarina pamoja na dereva wa Saida. Masikini

mwanaume huyo alikua na mke' mwenye

mtoto mmoja pamoja na ujauzito.

Inauma Sana. Mtoto Yule alikua na umri wa miaka minne sawa kabisa na

Shayma huku mke wake akiwa na

ujauzito mkubwa tu Ni Kama miezi

Saba tu bila Shaka anaweza jifungua kwa presha. Iwapo hawezi jizuia.

Baada ya mazishi Mustafa alikua

akimalizia kuweka mchanga kwenye

kaburi la zarina. Alihisi maumivu makali

sana kwa wakati huo. Moyo wake

ulimwambia aangalie nyuma Yake.

Aliweza kugeuka na kupigwa na butwaa

alipigwa na butwaa baada ya kumuona

binti mwenye umbile sawa na la mdogo wake Muzda alikua amevaa vazi jeupe

huku kajitulia mtandio na nywele zake

zilibanwa vyema Sana katika vazi Hilo.

Alikua akiona vibaya au alikua kwenye

mawazo Yake.

Akiwa anashangaa alimuona mke wake

kipenzi akija katika vazi la kijani

kibichi, lakini alionekana kutoutambua

uwepo wa Mustafa. Mustafa alibaki

haelewi hayo ni maruerue gani alikua akiota.

" Kaka mkubwa shikamoo" ilikua sauti ya kijakazi wao ambae kwa Sasa

wametoka kumfanyia mazishi. Alikua

zarina. Aliitikia bila kwa ishara akiwa

bado haamini.

" Samahani Kaka mkubwa, usishtuke

Mimi ni nafsi hai iliyopumzika kwa

amani kwani nimeombwa nikupe salaam

hizi kabla sijasafiri milele" zarina

alitabasamu kwa tabasamu lake lilelile

Mustafa akawa haelewi. " Nadhani

unaweza kuelewa namna gani moyo wa

bi mdogo ulivyo msafi, aemniombea dua

nzito kabla sijasafiri nilikua najilaumu

kwa ninj naondoka bila kumuona, lakini

kwa maombi tu nashukuru nimemuona.

Mwambie bila Shaka zarina atapumzika

kwa amani. Na hatohangaisha nafsi

Yake kabisa" Mustafa alihisi kulia na

kutabasamu kwa wakati mmoja. Wakati

huohuo aliona Ile taswira ikiishilia

taratibu pamoja na Ile taswira ya

Saida ambayo haikuongea chochote

ilipotea kabisa

Mustafa alibaki bila kuelewa kwa nini

watu hao wamemtolea ghafla na

kuondoka bila kueleweka. Ila hapana

ameelewa bila shaka. Baada ya

kumkumbuka Saida kua hakua hapo na

zarina alikufa akiwa na Saida. Na

wakati huo Saida ndo alitekwa bila

Shaka ana sababu za kuagwa na nafsi

Safi Kama zarina asie na hatia.

" Kaka Mustafa" Maulid alimshtua

Mustafa aliekua amezama kwenye

mawazo.

" Nipo dogo" Mustafa aligeuka na kumwangalia Maulid. Kisha

akatabasamu.

" Kaka naomba niongozane na wewe,

Kaka muksin yupo anashughurika na

masuhara ya mirathi huko yemen. Alafu

wewe una wakati mgumu naomba tuwe

pamoja. Bila Shaka naweza kua mdogo

kwako lakini nikawa na njia ya

kukusaidia kwa chichote" Mustafa

alimuangalia alivyokua mdogo, bila

Shaka hawezi kuruhusu bwana mdogo

Kama huyo kuingia kwenye hii Vita ya

muda mrefu' hayupo tayari kumpoteza

mtu mwingine.

" Hapana dogo, kwa Sasa kila kitu kipo

sawa nitakujulisha bila Shaka iwapo

utahitajikq" Mustafa asingeweza

kumkarisha tamaa kijana mwenye akili

timamu Kama Maulid bila Shaka

anaweza kuchambua Mambo.

" Tuondoke Basi" Maulid alitabasamu na

kuongozana na Kaka Yake Mustafa

ambae alikua amebakia mwenyewe

makaburini.

" Kaka una uhakika Kama Kaka Azraj

anaweza kua anahusika kwa lolote na Jambo hili?" Maulid aliuliza na hapo Mustafa akamtazama.

" Unamaanisha nini?" Mustafa aliweza tu kushtuka kwani hawakujua watu wote.

" Kaka kwa Sasa nahisi hata wakina mama wanaofahamu Hilo. Kwani

nimewasikia wakizungumza kwa huzuni

kabla hatujauchukua mwili wa mamdogo zarina" Maulid alimwambia na Mustafa

akashtuka Sana.

" Una jisikia unacho ongea?" Mustafa

alikua kwenye butwaa.

" Sijui lakini Kaka hata Mimi, niliwasikia

wewe na Askari wa Badru kipindi hicho

nipo kambini kutumikia adhabu yangu

mkisema juu yake. Najua nilikosea

lakini sikua na njia, haikua rahisi kuziba

masikio " Mustafa alimsogelea zaidi na kuvuta sikio lake.

" Hufai kusikia kila kitu, twende

haraka" alimvuta na hapo Maulid aliweza tu kukunja kichwa chake. Kwa

kweli Kaka zake wanapenda kumuona

mdogo akiwa Hana makosa

watamdekeza zaidi Ila ikitokea kafanya

kosa Basi watamnyanyapaa kabisa.

Waliwasili katika jengo la Badru na

hapo Mustafa akawa anamwangalia

Azraj ambae alitabasamu na kumfata

kwa unafiki Kama ilivyo kawaida yake.

" Pole bro, najua Ni ngumu lakini Sasa

tutafanya nini nikuwaachoa tu police"

Azraj alimpa pole ya kinafki kwa kweli.

Mustafa alishindwa kumvumilia na

kumpiga teke la nguvu Azraj akaangukia

chini mbele ya kila mtu.

" Bro una matatizo!!!" Azraj alifoka kwa

nguvu akitafuta usaidizi wa Wana

familia lakini hakuna hata mmoja

aliejisogeza. Kibaya zaidi Bwana

Rashid, Bwana Yusuph , na Muksin

Badru wote hawakuwepo kwa muda.

Japo muksin aliondoka Jana Yake baada

ya kumtoa Saida sero. Hivyo kila kitu

kilikua chini ya amri ya Mustafa

" Gharib, Sajo, feisoo pelekeni huyu

jamaa sero" Mustafa aliongea bila

kusita. Azraj akainuka juu kumpinga.

" Kwa kosa gani? Una matatizo wewe?

Umekua ukininyanyasa siku zote

unadhani nakuvumilia tu bila sababu."

Azraj alifoka aliwaangalia wanawake

waliokua pembeni Yake lakini

hawakuweza hata kujitingisha

kumtetea. Hali Ile iliwachanganya

Muzda na Mariam pia. Haikua kawaida.

Bila Shaka bi Shayma angeumiza kichwa

chake akiwawaza hao wawili

wanaopigana.

Feiso alikua na hasira na Azraj kiasi

kwamba alimsogelea kwa papara ili

amkamate lakini tayari Azraj alishtuka

kwamba hapa sio salama. Aliweza

kuruka haraka na kumpiga teke la

kichwa feisoo akaanguka chini bila

kutarajia. Hapo napo Azraj

hakuchelewa kuchomoa bastora Yake

nje Kisha akafyatua risasi juu. Kila mtu

ndani ya jengo alipata mshtuko na

kulala chini ki vyake vyake. Hapo ndo

wakati ambao Azraj aliweza kumnyakua

Shayma kutoka kwenye mikono ya Muzda.

" Babaaa!!!" Sahyma alipiga kelele bila kuelewa jamani. Alikua akiwekewa

bastora kwenye kichwa chake.

" Mjomba muache da sima" Kim

alimfata Azraj ambae hakuweza

kumuonea huruma huyo mtoto aliweza tu kumpiga teke kubwa mtoto mdogo

akapepesuka Kama ndege.

" Kiiiiim!!!! Kila mmoja ndanj ya nyumba

aliogopa. Hadi wageni waliokuja

kushiriki msiba.

" Unadhani unafanya nini Azraj!!"

Mustafa alifoka kwa nguvu. Huyu Azraj

anakichaa anawezaje kuwatumia watoto

wake wadogo Kama ngao.

" Nafanya nachostahiri kufanya, kwani

nyie wanawake wa Badru Kuna kitu

mmetambua?" Azraj alitabasamu na bastora Yake mkononi. Mustafa alihisi

hasira kiasi kwamba aliwaza alishindwa kujizuia kutoa bastora Yake nje. Azraj

kwa ushenzi akalenga bastora Yake

uelekeo wa kichwa kidogo Cha Shayma

ambae alifumba macho akilia kwa sauti na kujikojolea juu.

" Baba niokoe mjomba Azraj anatisha.

Yeye ni zaidi ya shetani" Shayma alikua

akilia huku akihisi mwili wake unachomwa Moto kwa uwoga.

" Azraj unakichaa, unathubutu kufanya unyama wako hata kwa watoto wadogo"

Bi Shayma alimsogelea Kim na kumuweka sawa mtoto aliekua amepoteza fahamu zake.

" Sina jinsi mama yangu, nakuelpenda

Sana lakini kwa hili sitaweza kupata

huruma na nafsi yoyote Ile." Azraj

alijibu bila kujizuia. Wakati huo huo

walitokea watu wengi ambao walivaa

makanzu kwa ajiri ya msiba. Lakini

waliondoka kanzu zao nyeupe na kubakia

kwenye sare zao nyekundu.

Hapo ndo Mustafa akatambua kabisa.

Azraj alikua kajiandaa mapema. Ni

Kama alipata hisia kua amejulikana.

" Mustafa Badru, imekua kazi rahisi

kwako kunifatilia kwa muda mrefu si ndio. Lakini ulifaa kuniwekea ulinzi

tangu hapo kabla kwa ninj hukutumia akili?" Azraj alimwangalia Mustafa kwa

dharau na kumuona mtu asie na maana na asiejua Vita kwenye.

Sehemu ya 157

Mustafa alimtazama Azraj akabaki amemwangalia kwa Makini. " Azraj

mwanaharamu hufai hata kidogo kuitwa

Azraj Badru hata Kama ulizaliwa na

baba yangu, lakini bado utabaki kua

haramu ndo maana unaweza mtumia

mtoto Kama ngao ya kutoroka. Iwapo

unaniamini muache Shayma aende zake

tupambane kiume" Mustafa alimwambia

bila kua na uoga wowote ule. Azraja

alihisi kumcheka.

" Unadhani unaweza kupambana na Mimi

hata nimumacha binti yako" Azraj

alishindwa kujizuia kucheka kwa Mara

nyingine. Inabidi ujipime ugonjwa wa

akili Bwana Mustafa Badru, inamaana

huoni kabisa umebugi kwa ujuzi gani ulio

nao?" Mustafa alibaki kumwangalia.

" Bila Shaka unalinga kabisa kwa

sababu tu umepata mafunzo makubwa

kutoka kwa wanajeshi wa Badru, lakini

Ni ki kambi kidogo ambacho jlhakina

maana. Ila Hilo kuhusu Mimi hivi

unanifahamu vyema hata kidogo."

Alimuachia Shayma baada ya

kumsukuma Mustafa haraka Sana

aliwahi kumdaka binti Yake asiende chini.

'" baba naogopaaaa!!!!" Shayma

alizidisha kulia na kuhisi kichwa chake

kinamuuma. Mustafa alimsogeza kwa

mama Yake na bi Shayma akampokea.

Kwa kweli Bibi alikua amezeeka alafu

anaona maruerue Presha yake ilipanda

akashindwa kuvumilia. " Azraj mjukuu

wangu nini kilikukuta jamani mbona

familia ya Badru haikuwahi kukunagua na kujifanya wa kando japo hukua

mzaliwa halali wa ndoa ya Rashid na

Shayma" Bibi alihisi kulia na kulia zaidi.

Azraj alimsogelea huyo Bibi kizee huku

Askari wake wenye suti nyekundu

wakiwa wamelenga bastora zao

kuwaelekea wanafamilia.

" Upo sahihi bila Shaka, Ni kweli

kabisa upo sahihi, huoni Kama mlinijari na kunipa nafasi ya kua mtoto wa oiki

ilhali Mimi ndo mkubwa. Hata

mwonekano inaonyesha kabisa Kati

yangu na Mustafa Mimi ndo mkubwa"

Mustafa alitabasamu.

" Azraj Badru unaweza kukaa kimya

baada ya kukata mshipa wako wa aibu"

Bi Shayma alifoka bila kujari na

kuinuka haraka. Hata Kama alikua

mbaya bila Shaka asingemdhuru yeye

alikua mama Yake, japo hakua amemzaa bado alimlea kwa mapenzi na kwa wema

anawezaje kumdhuru?

" Bi Shayma Rashid, simama hapo hapo, usisogee kwangu" Azraj aliweka sura ya hasira na misukosuko kwa wakati huo

mpaka Bi Shayma akapata khofu

mwisho wa Maisha Yake ulikua mbele

Yake. " Hivi Ni kweli Waswahili

wanavyosema, " kua mtoto usiemzaa sio wako" Jambo Hilo lilimuuma Sana.

Mustafa alimuonea huruma Sana mama

Yake ambae alimlea Azraj na kumpa

kipaumbele zaidi yake akijua Azraj ni

kijana sahihi kumbe ndo hasara

iliyopindukia. Mustafa aliweza tu kusimama mbele ya mama Yake na kifua

chake kipana kikamuelekea Azraj. Kwa

kweli amepitia mengi Sana kiasi kwamba

amehisi kuyazoea matatizo. Amejikuta

amekua ndugu Yake na matatizo bila

kutarajia.

" Azraj Badru umenivunja moyo wangu

kwa hakika" Bi Shayma alishindwa

kuzuia kutoa machozi Yake.

" Sikua nimeamini baada ya kuambiwa na mtu lakini kumbe,,, kumbe bado

nilikua najidanganya juu yako" Bi

Shayma alihisi akidumbukiziwa kitu Cha

Moto kwenye moyo wake uliokomaa na kuishi kwa miaka kadhaa.

" Hapana mama sio kosa lako" Mustafa alimjibu.

" Kosa Ni la kwangu Mimi, nilifaa

kumuonyesha rangi yake mapema Sana"

Mustafa aliongea Azraj akawa

anashangaa hivi ymhuyu Mustafa

anajiamini ninj?. Au atakua kaita police, bila Shaka hakuna polisi

wanaoweza kuwasili hapo kwani tayari

mjomba amiri amedhibiti Hilo.

" Mustafa Badru, unaweza kukaa

kimya, nadhani unafahamu zaidi ya yote

kua azraj Badru anataka kitu gani?"

" Usiniite Azraj Badru, jiite jina la

mkuu wako bila Shaka itapendeza Sana"

Mustafa aliongea akiwa kakunja mikono

Yake kwenye kifua chake kipana bila

hata kutiskisika.

" Azraj!!! Bi Shayma bado alibaki

haamini kwa nini haya yatokee.

" Acha unafiki wako Bi Shayma Rashid"

Azraj alifoka kumuelekea yeye.

" Unasema ukinipenda na ku ichukulia

Kama kijana wako unataka niamini Hilo.

Unadhani nitaamini Jambo hilo?

Ulinipenda Mimi Kama kijana wako?

Ulijifanya unanipenda unanithamini kwa macho ya watu na kwa unafiki lakini

chini kabisa ya jioni Cha moyo wako

imuhifadhi Mustafa ambae ndo pekee

uliemzaa" Bi Shayma alihisi Kama

anatupiwa matope usoni mwake.

" Azraj niliwahi kuonyeshea Hilo kweli?

Hata Kama ndio nilikua mdahifu sikufaa

kumpenda Mustafa hata kidogo?" Bi

Shayma alihisi Kama atakufa kwa ukweli

uliojimwaga mbele Yake.

" Hapana bila Shaka, sio kidogo Ni

Sana, yaani ulimpenda Sana. Ukiniita

kijana mwema mtiiifu na mnyenyekevu.

Nawezaje kua jeuri kwa mwanamke

ambae sio mama yangu wa kunizaa bila

Shaka nigeishi Maisha ya kuzimu zaidi

ya jahanamu nikiwa hai." Bi Shayma

alihisi kulia hivi' kweli alikua na roho

mbaya kiasi hicho?.

" Kaa kimya wewe mwana asie na

shukrani " Bi Azat alisimama juu na

kumfata Azraj bila kusubiri kujizuia

hasira Yake. " Shayma amekuchukulia

mtoto zaidi ya alivyomchukulia Mustafa

lakini hayo ndo malipo unayompa,

akikupenda zaidi ya mama yako wa

kambo, alikua sawa na mama yako

mzazi wewe Azraj uliwezaje kubadilika

hivi. Kwa nini inaumiza hivi" Bi Azat

alitamani achimbe shimk akae humo kwa

sekunde kadhaa kwa kweli hawezi

kumvumilia huyu mwana

" Kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo

wangu siwezi kukuzaba Kofi wewe

mwanamke, ambae ni shangazi yangu

Mimi" Mustafa alishtuka inamaana

mama Yake ndio alionekana sio chochote

kwa Azraj Ila aunt Azat alikua wa maana Sana.

" Bora nife kuliko kua na sababu kwako

Azraj. Kwa Mambo uliyofanya nahisi

aibu kujiita mwanafamilia wa Badru."

." Hapana Sina haja ya kueleza Ni vipi bi Shayma Rashid Badru alionyesha

upendo wake kwangu, ningekua kijana wa muhimu kwake bila Shaka

angenipigania na kuniweka katika njia

sahihi kabisa. Upendo wa mama my

f**t' Ni upendeleo gani anganifanyia

iwapo angenitafutia mwanamke Kama

saida pia! Huoni Kama ningetunukiwa

zaidi. Familia ya Badru haikuwahi

kunipa nafasi yoyote Ile katika haya

Maisha"

Watu wote walishtuka Ni kitu gani

ambacho wao hawakumpatia azraj. Bila

Shaka alipata kila kitu kutoka kwao na

hawakuwahi kumshibuti hata katika

matumizi ya pesa bila Shaka angetumia anavyotaka. Lakini mwisho wa siku

umeonekana wameiishia kufuga nyoka wa midomo miwili.

Mustafa alimwangalia kwa hiyo mpaka

hapo bado aliweza kumtaja Saida

kuonyesha Ni jinsi gani alimtaka

mwanamke wake. Mustafa alikua na sababu kubwa ya kumchelewesha Hali

kwa kweli hakua na sababu ya kupigana na huyo kwenda wazimu. Kwa wakati

huo.

" Azraj kwani ulisema unahitaji kuoa

tukashindwa kukutafutia mwanamke,

bila Shaka tulitamani unuoe Salma

baada ya kujifungua"

" Salma Bullsh**t" na hapo mseme bado nilikua wa muhimu kwenu. Angalia

mwanamke mliemuozesha Muksin. Najma

Sabodo binti wa Sabodo" Najma

aliwatazama Mariam na Muzda pamoja na mama Yake mkwe. Hilo nalo lilikua

kosa kwake jamani bila Shaka yeye na

muksin walioana kwa sababu

walipendana.

Wakati huo simu ya Muzda iliingia

meseji, ulikua ujumbe kutoka kwa yasiri

lakini alikua na khofu kiasi kwamba

aliishia kuutazama kwa macho tu. '

Yasir nisamehe Sina namna nipo kwenye

mdomo wa mamba' nu maneno ambayo

aliyatamka ndani ya moyo wake pekee.

Saida, Ni binti ambae mlitufanya

wajinga sisi wengine hapk awali kwa

kumuoa kutoka kijijini, lakini ukweli Ni

kwamba alikua binti aliekulia Maisha ya kifahari na kukutana na watu

mbalimbali akapata ujuzi mbalimbali na

kua mwanamke mashuhuri katika suhara la mapishi na ubunifu wa mavazi

mapambo na mapishi. Ni mwanamke bae

hakua wa kitajiri Sana lakini ana utajiri wa akili, kibaya zaidi Ni mzuri kupita

kiasi. Ni jinsi gani Mustafa asingeweza mkataa hata Kama angetaka"

Lisala ya Azraj ilimfanya Mustafa

ampige ngumi ya mdomo. Azraj

aliushika mkono wake alipokua

akiupeleka Mara ya pili. Alimpiga pia.

" Ndio, nadhani inaeleweka ikija kwa

" Mustafa Badru !! Unadhani Leo hii

utaniweza bado hufahamu Mimi

nimepata mafunzo kutoka kwa watu gani?" Mustafa alitabasamu.

" Nafahamj Azraj Badru. Bila Shaka

umepata huu ujuzi kutoka kwa Husei.

Marzuku mkufunzi wa majeshi ya

alshabab na Boko Haram, lakini pia

mwalimu huyo Ni mkufunzi ambae

amefuliwa kutoka Madina na alikua

miongoni mwa watoto wa wanaume

mashuhuri waliopigana Vita ya Badri na mtume wetu Muhammad. Ila hiyo haina

maana kwamba utanizidi kwa ujuzi huo

wako mdogo"

Azraj alishangaa Sana, alifahamu fika

juu ya mwalimu wake wa mafunzo hiyo

ilikua na maana gani?.

" Ni kwa sababu moja tu, huyo mwalimu

wako wewe, aliwahi kua mwanafunzi wa mwalimu fulani pia, ndk maana

nakwambia usjiamini kupita kiasi"

Mustafa alimpiga ngumi ya mdomo

Azraj akatapika damu baada ya nyama na meno Yake kugusana. Hakua tayari

kukubari kushindwa hivyo yeye pia

aliarusha ngumi kumuelekea Mustafa

akakwepa ngumi kadhaa.

Azraj alijiamini Sana kwa kumuona

mustafa alikua slow kwenye ngumi zake na yeye alikua haraka, walipigana

mateke kadhaa mieleka kwa knock out

kadhaa kwa kweli walikua wameamua

kuminyana siku hiyo, Mustafa alikua na.

Usongo na Azraj tangu mwanzo na Wala

hakutaka kupoteza nafasi hiyo kwani si

amejileta mwenyewe. Azraj alianza

kuchoka na kuona huu Moto mbona

hatari Mustafa alikua hatari zaidi ya siku zote. Azraj Imani Yake ilianza

kufifia maana tayari alikua amempiga

Mustafa Ila hakua amemuumiza Kama

namna yeye alivyoumizwa.

Watu wa Azraj walipoona Hali ya Azraj

imeanza kua mbaya walishtuka na

kumsogelea Mustafa kwa wakati huo

wakimnyooshea bastora. Azraj aliwaka

ishara ya vidole viwili haraka walimteka

Bi Shayma aliekua amechanganyikiwa

kwa wakati huo. Na kumuwekea bastora

kichwani

Azraj alijiweka sawa na kumkuanza

kutoka nje ili akimbie. Lakini hakufika

mbali kwani pale mlangoni alikutana na

Askari waliokua wakifatilia kesi ya

mauaji yaliyotokea Jana Yake.

walimuangalia Azraj aliepata khofu na

kutoa amri ya ishara kua watende kile ambacho kitakua msaada kwao. Kuna

kijana mmoja alichomoa bomu la moshi na hapo wakalifungua,, Mustafa aliona

kabla hivyo akawahi kuziba macho Yake

pamoja na Gharib. Kwa sekunde moja tu tayari nyumba nzima ilijaa mfuke wa

Moshi. Na watu wakaanza kukohoa.

Baada ya dakika mbili Moshi ulianza

kupotea na watu wakabaki wakikuna

macho Yao. Watu pekee waliosalimika

miongoni mwao alikua Mustafa na

Gharib pamoja na feisoo.

Mustafa ambae alishtuka na

kumuangalia mama Yake aliekua

" Bwana mkubwa" vijana wake
" Bwana mkubwa" Gharib alimuita

akihangaika na macho Yake yaliyotoa machozi bila kutarajia.

" Bi Badru upo salama" Askari waliwasili hapo waliuliza kujari kwanza usalama wa raia kilikua kitu Cha kwanza. Mbele Yao hakukua na Azraj Wala mtu yeyote

mwenye suti nyekundu. Hilo halikua na maana kwa Mustafa kwani wanafamilia wengine walikua salama.

" Azraj Badru, Anza kuhesabu chini na kuzimu yako kuanzia hivi Sasa!"

Mustafa alikiri Hilo na Askari polisi wakabi wamemtaza.

" Bwana mkubwa Badru, tunafaa kufanya Jambo lolote kwa wakati huu?"

Askari alieshikka kesi hiyo alihoji.

." Huna haja na Hilo, kwani nadhani

mpaka hapo unaelewa muuaji Ni Nani?

Tukikamilisha ufatiliaji wetu Kama

Badru guard tutawaeleza

kilichopatikana na kuwapatia watu wenu"

Mustafa hakuweza kuongea zaidi ya

kumuelekea mama Yake.

" Mnafaa kujiandaa Sasa muondoke hapa wote, nahitaji kuanza vita yangu

Mimi pekee yangu" Mustafa alimwambia aunt Sonia ambae angalau alikua

kwenye fahamu zake.

" Lakini vipi kuhusu Saida" bi Sonia alipata khofu dhidi ya Saida. Kuhusu

Salma watamchukua hivyohivyo pamoja na mtoto lakini vipi kuhusu Saida?.

Mustafa alitabasamu baada ya kuikumbuka uhusiano mbaya uliokua Kati ya wawili hao bi Sonia hapo mwanzo

hakuwahi kabisa kjmoenda Saida.

" Hatuwezi kumuacha bila Shaka?" Bi

Sonia aliuliza Tena.

" Hilo haliwezekani mamdogo, inabidi

mjiandae tu. Kwani hii ndo nafasi pekee

iliyobaki kumaliza matatizo katika

familia hii" Mustafa alimkumbusha bi

Sonia ambae aliitikia kwa kichwa na

kutamani iwe hivyo kabisa kwani

amechoshwa na hizi karaha.

" Aunt hakikisha unajiandaa vyema

Sana na wanao" Mustafa alimkumbusha

bi Azat alieonekana kua kwenye

dilemma. Hao wengine wanaelewa Cha kufanya.

" Lakini Kaka Mustafa, nitabaki na

wewe, Mimi pia Ni mwanaume wa

familia hii" Maulid aliongea na

kuwafanya watu wachangnyikiwe hivi

walionekana kua kwenye wasaa wa utani.

" Hayupo kwenye utani Maulid." Bi Azat alimfokea.

" Namaanisha mama, ki ukweli

sijafurahishwa kabisa na Kaka Azraj

nahitaji kumpa SoMo kwani aliwahi

kunifanyia muhusika wa mihadarati.

Siwezi kuliacha lipite" Maulid alipata

maumivu na hapo bi Azat akaziba

midomo Yake hiyo unaweza kua kweli

eeh.

" Sawa iwapo unasisitiza. Lakini

uanaume wako katika familia hii

utakamilillka iwapo utaweza kuilinda

familia yetu dhidi ya wabaya nikiwa

mbali nanyi, fanya hivyo haraka Sana, walinde kwenye uwepo wako na

ninapokosekana Mimi" kwa Hilo Maulid aliona sawa iswe tabu.

" Mamdogo bila Shaka nitakua nyuma yenu nikiwa na Saida. Nyie tangulieni"

Mustafa aliamini Sana juu ya kike alichokisema.

Ni kwa nini Mustafa alimuamini Sana aliposema kuondoka kwake na Saida. Ni

kwa sababu alitambua zaidi kua

atamshinda Azraj.

Ni kweli baada ya Azraj kurejea katika

kambi take ya umafia. Alishtuka Sana baada ya kukuta eneo Hilo likiwaka

Moto. Yaani haijulikani ilikuaje kambi

hiyo ambayo ilikua ngumu kujulikana kwa

wakati mmoja iwake Moto ghafla.

" Nini kimetokea hapa?" Azraj alifoka

huku akimuona Bwasha anavyohangaika

kuzima Moto akiwa na watu wengine.

" Hakuna anaejua Bwana mkubwa?"

Bwasha alijibu na wakaendelea kuzima

Moto ambao haukujuliakana Ni. Wapi

ilitokea?" Azraj akapiga heaabu za

haraka na kumuona Bwasha Ni

mpumbavu Hana akili.

Alichomoa Mkanda wake Kama kawaida

na kumrushia I'll ampige. Bwasha

haraka Sana aliukwepa Ile Mkanda. "

Unawezaje kunipiga bila sababu"

alikasirika kwa kweli. Hata Kama

alipigwa ndo hasira Yake aihamishie

kwake.

" Unawezaje kua mjinga" mateka

umewatoa ndani? " Azraj alihisi hasira.

" Ndo unipige??? Bila Shaka nimewatoa

ndani wote" Bwasha alihisi atasifiwa

kwa Jambo hilo, Azraj alihisi

kuchanganyikiwa. Huyu Bwasha ana

ukubwa wa mwili lakini akili Hana.

" Kwa nini umewatoa wewe mbwa" Azraj

aliurusha Mkanda kwa Mara nyingine.

Huku Nevson aliwaangalia kwa Makini na kutabasamu Sana moyoni.

" Bwana mkubwa, bwana Bwasha

alihofia kua wataungua Moto hivyo

akaamua kuwatoa kwani bado wana

umuhimu kwetu" Nevi alimtetea Bwasha

" Kaa kimya sh**zi" Azraj alimrushia

Nevi pia Mkanda. " Huo Ni mtego na nyie mmeingia"

Azraj haraka Sana alishuka chini kabisa

wakati huo jengo Hilo lisiloeleweka

likiwaka Moto kabisa. Na hapo Nevi

pamoja na Bwasha walimfata nyuma

Azraj kumpa escort.

'Mungu Saida tumpate bi mdogo'

yalikua mawazo ya nevi ambae alikua

tayari amefanikisha kuwapata watu

wengine na wiondolewa tayari katika

jengo Hilo kwa hivyo wamechukuliwa

tayari Badru guard bila watu hawa

kufahamu. Isipokua Saida ndo hakua

amepatikana.

Na kwa kua azraj amekuja kwa

kuchanganyikiwa bila Shaka atampata

Saida. Ili amuokoe kwani anaonekana

kumpenda Sana. Na iwapo atampata

Saida Wana jeshj wa Badru gauard

watavamia eneo Hilo na kumvamia

wamnyakue haraka Sana.

Walitembea katika vymba vyote

ambavyo vilikua vikifuka Moshi na moto

ilizidi kutanda ndani ya nyumba hiyo. "

Bwana mkubwa kua Makini utapatwa na shida. " Nevi alionekana Sana kumjari

Azraj ambae hakua tayari kuijari afya

Yake.

Hatimae walifika katika chumba

alichokuwepo Dr Neema na kukuta

kutupu tayari. " Bwana mkubwa Ni

ukweli niliwatoa kasoro mmoja ambae

sikufahamu yupo sehemu gani?" Azraj

hakuweza kumjibu chochote zaidi

aliweza tu kung'oa kiti ambacho kilikua

Cha Moto kupita kiasi kwani kilikua kitu

Cha chuma. Kwa kweli nevi alishtuka

Sana.

Hivi Ni kweli kabisa Saida alikua

amewekwa sehemu mbaya Kama hiyo. "

Kwa nini Albert aliondoka bila

kumwambia Jambo Hilo?" Nevi alishtuka na kupiga tathmini juu ya huu Moto hivi

itakua rahisi kutoka nae nje.

"Haraka Sana vunja hapa!!" Azraj

aliamuru wakati huo Bwasha alikua

akifanya Mambo taratibu nevi hakuweza

kumvumilia, haraka Sana alianza

kuvunja. Baada ya kuvunja kwa muda

kidogo huku wakikwepa mabanzi na

vifusi vya ukuta ambavyo vilianza

kuporoka. Hatimae walizama ndani ya ya jengo Hilo. Hilo Ni jengo ambalo

lilikua na vyumba visivyoeleweka dah!

Baada ya kushuka ndani Yake

kilionekana kua na korido za kutosha.

Hapo Nevi akashtuka na kuhisi Kama

Kuna Siri nyingi Sana ndani ya vyumba

hivyo. " Saida" Azraj aliweza kumuita

Saida bila kusita. Na hapo Nevi

alitambua moja kwa moja kua Saida

alikua sehemu gani? Bwasha alishtuka

boss wake alichanganyikiwa na Saida

kiasi gani? Mbona hapo mwanzo hata

yeye hakumpa ruhusa ya kwenda

kumuona, aliweza tu kurekodi video na

kumletea kisa hakuweza kumuamini ila

saa hii kaingia Hadi na mlinzi mwingine mgeni.

" Bwa mkubwa" Bwasha aliita akiwa na lengo la kumsema Ila wakati huo tayari

Azraj ameingia kwenye chumba

ambacho amemuhifadhi Saida na kubaki

akiwa na butwaa kubwa isiyoelezeka. "

Saidaaaa" Azraj aliita kwani Saida

hakua ndani ya chumba hicho. Alikua

wapi??? Azraj hakutaka kuamini kabisa

Kama Saida atakua tayari amenyakuliwa na Mustafa.

Sehemu ya 158

Nevi pia alishangaa au Albert alitoa

ramani mapema kwa Badru guard kabla

hajaongozana na bwana Amiri Kama

mlinzi wake? Ila hadhanii??

" Kuna mtu aliingia huku??" Azraj

macho Yake yaliwaka Moto kwa hasira

wakati huo ubao wa singboard

uliporomoka baada ya kushuka Moto.

Nevi haraka Sana akakinga bila kujari

kuhusu mwili wake akamkinga Azraj.

" Nauliza Saida Yuko wapi? Hakuna mtu

aliekuja hapa, hawezi kua ametoroka

kwani mlango ulikua umefungwa atakua

wali mwanamke wangu?" Nevi alishtuka na kujikuta akitaka kumsukuma mbali.

Anamuita Bi mdogo wake mwanamke

wake. Hivi ana akili timamu?

" Bwana mkubwa tunafaa kuondoka Hali so nzuri" Nevi alimsiaitiza huku Bwasha

alifungua mlango maana tayari Hali

ilizidi kua Tata na milango ingejiloki

mwisho wakakosa pa kupita.

" Mmeshindwa vipi kuwalinda, hiyo inamaanisha kabisa na mliowatoa nje

tayari wamechukuliwa"

" Bwana mkubwa tuondoke hapa"

Bwasha pia alimsisitiza na kujitahidi

kukimbia eneo haraka Sana. Moto

ulikua ukiporomoka na kufanya jumba

like ligeuke kua Kama jahanamu ndogo.

Nevi aliona hiyo hatari akatamani

kujizolea baadhi ya pointi kwa Azraj na

kuwaounguzia kazi Badruguard kwa

kumuondoa Bwasha huyu kichefu chefu.

Hata alimuua zarina. Hakua na

mahusiano nae lakini taratibu alikua

ameanza kumuelewa. Kila alipokumbuka

Jambo Hilo kwa kweli asingeweza

kumvumilia huyu mshenzi.

" Bwana mkubwa haraka" Nevi

alijitangiza mbele na kukaa eneo ambalo

lingetumika watu kupanda na kutokea

njia ngazi tayari ilikua ikiwaka Moto

hivyo wasingetoboa kabisa kupita.

Azraj alimwangalia kwa jicho la uaminifu Nevi.

" Sawa" alikumbuka kutoa tamko Hilo na haraka Sana akaukanyaga mgongo

wake Kisha akapanda na kutokea nje.

Alipofika nje Azraj ilikua zamu ya nevi

kupita ndo afate Bwasha. Bahati mbaya

Sana ukuta wa juu uliporomoka na

kwenda eneo la chini na kuwafanya

wawili hao wakwame.

" Nyie huko chini wahini tuondoke"

Azraj aliona Hilo kwani eneo alilokua

yeye ndo lilikua likiporomoka.

" Bwana mkubwa tusaidie" Bwasha

alipiga kelele Nevi akatabasamu, huyu

alijikuta mwanaume katili huku alikua

akiogopa kukwama kwenye eneo rahisi

Kama Hilo. Bila Shaka Nevi alikua

mzoefu Sana wa kukwepa mitego ya

panya iwe na isiwe bila Shaka atapata

njia ya kutokea.

" Bwana mkubwa sisi tupo tayari kufa

kwa ajiri yako" Nevi alitoa sauti ya

uaminifu zaidj kwa Azraj ambae alihisi

tu kuwaonea huruma.

" Bwana mkubwa hapana, Mimi na wewe tumetoka mbali Sana" Bwasha

alimkumbusha Azraj ambae alihisi

kuchanganyikiwa" Nevi akaona anaweza

kupoteza lengo.

" Bwana mkubwa kumbuka umeanza

muda mrefu' mission hii, umepitesa

damu nyingi na watu wengi Sana

uliowaoenda na kuawaamini wamekufa, kumbuka una mtoto Sasa. Kumbuka upo

kwenye levo ya mwisho sisi Ni vijakazi

tu. Nenda ukaendelee na Vita" Nevi

alimchochea Azraj ambae alipata hisia

chanya juu ya maoni hayo na maraoja

akaondoka zake na kuwaomba kila la kheri wawili hao.

" Natumai hamtakubali kufa kizembe

Bwasha, nakuamini Sana" Azraj aliongea

huku sauti yake ikipotelea kabisa.

" Unakichaa wewe" Bwasha alimfokea

bevi huku akijaribu kuinua kufusi

ambacho kilikua juu Yao. Na muda wote

walikua wakiongea kwa shida Sana. Na

Moto ulikua umetanda zaidi.

" Ndio Bwasha, siku zote Askari

tunaotoboa na kuitwa Badruguard huwa

Ni vichaa kabisaaa!!! Alijibu nevi na

kuinua kifusi kile kwa kukisukuma na

mkono mmoja tu. Hakika Bwasha

alishtuka Nevi alionekana bwana mdogo

asie na nguvu kumshinda yeye. Alisikia

kuhusu Badruguard lakini hakumjari

kwani Ni neno ambalo alikua akiliongea

Dani wakati anaadhibiwa. Na wakati

huo Dani na Nevi walikua maadui

" Wao we ni super extra power"

Bwasha alikunja mkono wake na

kutunisha msi wake akimpa sofa nevi

Kisha akasogea eneo ambalo lilibaki na

uwazi akihaelewi Ni wapi alitie? Anyway

yeye ni mwanaume bila Shaka atapanda

ukuta Mara moja na kutokea nje.

" Upo sahihi, Mimi ni extra super power,super mind, super fighter. Na

Leo ntakuonyesha uwezo wangu Bwana

mdogo" na hapo Nevi aliweza kumpiga

Bwasha teke la nguvu Sana la mgongoni.

Nevi alijikuta akiangukia pia bila

kutajia. Haa!!! Nini? Inamaana?

Alipigwa na Nevi?

" Wewe?? Bwasha alifoka akitaka

kuinuka lakini mgongo wake ulicheza

ishara kabisa uti wake wa mgongo

uliivunjika. Eehh!!! Alipitia nini kwenye

mguu wa huyu Kaka mdogo nevi.

" Nevi wewe?? Unakichaa umenivunja

mgongo" Bwasha alilalamika na kutaka

kuchomoa bastora Yake haraka lakini

ajabu alishangaa hakua nayo. Bwasha

alimwangalia Nevi amabae aliinua mikono

Yake miwilijuu akimuonyesha bastora. "

Ajaab! Ninazo zote" Nevi alikwepa

kifusi ambacho kilikuja kwake ghafla na

kuruka kabla hakijafika chini Kisha

akakisukuma kwa mguu wake

kikimuelekea Bwasha, lilitua kwenye

kichwa Cha Bwasha ambae aliona nyota

nyota akiwa haamini hivi Ni kweli? Huyu

alikua nevi

Mpaka hapo Bwasha hakuweza kuamini

Kama waliishi na msaliti kwa kumpa

Imani kamili. Nevson. Alikua msaliti.

Bwasha alianza kupiga kelele za nguvu

iwapo Kuna mtu nje Basi afahamu

kabisa huku Ni hatari.

Sauti Ile Azraj alijisikia kwa mbali na

kuhisi tayari amewapoteza Askari wake

mahiri na mashuhuri. Lakini alikosea

kwani ilikua ishara kutoka kwa Bwasha

kua wanasalitiwa. " Bwana mkubwa ana

kuamini Sana nevson" Bwasha alishindwa

kuvumilia kutoa uvimbe uliokua umejaa

moyoni mwake wakati huo.

" Bila Shaka, hata yeye aliaminiwa

Sana na wanafamilia wa Badru" vifusi

vilianza kushuka kumuelekea Bwasha

ambae alikua akizidi kua na Hali mbaya

sio tu hivyo, hata vifusi ambavyo

vilimshukia yeye bila Shaka angevipiga

mateke na vimfate Bwasha.

" Mbwa wewe!!!" Bwasha alimtukana.

" Bila Shaka wewe ndo mbwa, shetani wa kirundi wewe. Umenifanya

nimuadhibu Dani kwa mikono yangu,

umemuua zarina, unajua alikua Nani

kwangu?" Nevi hakuweza kuvumilia

baada ya kuikumbuka sura nzuri yenye

tabasamu Kama sura ya zarina.

Alichomoa kisu chembamba kutoka

kwenye kiuno chake chembamba na kuchomeka kwenye mshipa wa shingo ya

Bwasha. " Roho inaniuma Sana kuona umeenda kufa kifo kirahisi namna hii, sikitegemea ufe kwa Raha hivi wakati una roho za watu wengi Sana kwenye mikono yako, lakini ntafanya nini?

Nafaa kubaki hai ili nijipongeze kwa kukuua wewe" Nevi. Alimkandamiza kisu

hicho kwenye macho Yake kwanza.

Bwana alipiga kelele kwa maumivu makali. Tayari alitia kisu kwenye shingo

Yake haikutosha bado amemtoboa macho Yake. " Wewe ni katili zaidi

yangu Nevi" Bwasha alipiga kelele.

" Natamani niwe zaidi ya hapa Bwasha

lakini sijui

Nevi aliongea na kupolitisha kisu kwenye

ngoma za masikio yake'. Huku

akitukata mshipa mwingine wa shingo.

Bila Shaka mpaka hapo kwa kweli

Bwasha hawezi kupona.

Kutokana na mafunzo waliyopewa

Badruguard lazima umuache adui

amekufa kweli kweli asije fufuka hata

kwa bahati mbaya. Na kweli nevi

alihakikisha Hilo. Kisha anatafuta njia ya kutoa katika jengo Hilo. Bila Shaka

asingetokea kwa Azraj akiwa na afya

kiasi hicho wakati aliwaachia kwenye

Hali mbaya. Hivyo atalazimika kupotea

mbele ya Azraj kwa wiki kadhaa Kisha

ndo amtokee kwa kisingizio Cha alikua

akifanyiwa matibabu"

Azraj alihisi kupagawa baada ya kupelekewa kwenye gari ambayo mateka walihifadhiwa. Alihisi kupagawa baada ya kuwakosa watu wawili pia ambao

alikua Dr Neema na Dani.

" What the heck" watu hawa wameenda

wapi? Azraj alihisi kua mwisho wa dunia yake. Yaani hata watu hao wawili

hawakuweza kuwapata.

" Mna maana gani Sasa iwapo hamuwezi

kuwalinda mateka kabisa" Azraj alihisi

hasira na kuanza kuwapiga vijana wake

ambao waliishi kumtii kwa sababu

waliogopa kukosa kidonge Cha uhai. "

Bwana mkubwa tusamehe sisi tulidhani

tunawaokoa mateka muhimu"

Azraj kichwa chake kilimuuma akaanza

kupiga mateke gari iliyokua tupu kabisa.

Wakiwa hapo ghafla Askari wa Badru

guard waliwasili na kuanza mashambulizi

wakiwa na Askari police wa kutosha.

Azraj alishtuka baada ya kuwaona hao

Askari alitamani kumuita Bwasha ambae

anamuamini Sana katika ulengaji

shabaha lakini Sasa hata yeye

hakuwepo eneo Hilo. Azraj haraka Sana

alitafuta njia na kukimbia akiwa

amepoteza muelekeo kabisa. Amekua

mtj wa kukimbia Sasa? Hivi kwa Nini

Mambo yamekua mabovu, kwani alifeli

wapi?

Baada ya Azraj kukimbia Askari wa

Badru guard pamoja na Askari wa

serikali walijitahidi kutafuta ushahidi

uliosalia pale baada ya kuja zimamoto

na kuzima Moto. Na kuwakamata

baadhi ya watu waliweza kuwakamata.

Na kuhakikisha wameiteketeza Ile ngome kabisa. Lakini katika upekuzi wao

waliupata pia mwili wa Bwasha.

Baada ya mkufunzi mkuu wa Badruguard

kuuona mwili wa Bwasha na technique

iliyotumika kumuua mwanaume huyo

moja kwa moja aliamini kabisa mtu huyo

kauwawa na mwanafunzi wake.

" Samahani iwapo nitaingilia kazi yenu,

Ila nakuomba huu mwili nichunguze kwa

dakika kadhaa" polisi hawakua na ujasiri wa kumpiga bila Shaka walimruhusu

auchunguze.

Katika kambi ya Badru Mustafa aliwasili baada ya kuwafikisha Dr Neema pamoja na Dani wakiwa hoi. Feiso alifurahi

haswa alipompata Dr Neema.

" Sister unetoboa? We ni kiboko!" Feiso

ionyesha shangwe katika uso wake lakini

mdomo wa Dr Neema ikitetemeka kwa

furaha hafifu kwani alikua hoi. " Ulihisi

nakufa" sauti hiyo ilitoka ndani kabisa ya tumbo lake feiso akaweza kumuonea tu huruma.

" Bila Shaka utapona sister " feiso

alimpoza maumivu Yake Dr Neema

alitabasamu na kufumba macho Yake

kwa uvivu ki ukweli alikua na maumivu makubwa Sana.

" Oi msela Hali haikua nzuri kwako eeh!!

Ila usijari wewe ni Badru guard" Dani

aliambiwa kitu ambacho hakuweza

kutulia baada ya kuwaona marafiki

zake. Alihisi kufurahi moyoni japo

alikua na maumivu makali kwenye

maeneo yake. " Niko mzima, nitafutieni

mwanamke" wenzake walicheka kwa

uchungu kwani wakiamini kabisa kwamba

kwa Sasa Dani haiwezi kua rahisi kwake kuweza.

" Mimi bado Nina kazi ya kufanya"

Mustafa aliongea kwa maumivu kwani

imekua kana kwamba hajakamilisha kazi

yake. Ki ufupi haikua rahisi kufanya

maangamizi dhidi ya Azraj lakini bado

hakuweza kumpata Saida.

Askari wote wa Badruguard walikaa

kimya na kuhuzunika kwani walielewa

hisia kamili za boss wao. " Mkuu

tutaandamani na wewe kila Kona, Ni

muhimu Sana kutambua uwepo wa Bi

mdogo" Gharib alikua na hasira kila

alipomuwazia Azraj kumchukua Saida

alikua mwanamke mzuri Sana na alieishi

vyema na kuvumilia madhaifu mengi ya Mustafa.

" Sihitaji kusaidiwa Sana linapokuja

suhara la mke wangu, kwa Sasa nawapa

jukumu la kuiangalia familia nzima ya Badru. Fanyeni maandalizi mapema

muiondoe hapa familia yangu sitaki

misukosuko mingine nikiwa nahangaika

kuweka Mambo sawa"

Sehemu ya 159

Majira ya usiku wa saa tatu Muzda

alikutana na Yasir Sabodo katika hotel ya kifahari jijini Dar. Muzda

alitabasamu baada ya kuonana nae.

" Nilidhani hautafika mpenzi" Yasir

alimpokea Muzda. Walikua wachumba

ambao uchumba wao ulianza Kama

masihara jamani.

Ni siku ambayo Yasir alijitokeza kwenye

ofisi ya Muzda kwa kutumia mualiko wa

Lilian Masele. Sasa baada ya Yasir

kujitambulisha hapo Najma alibaki

akicheka kwani alikua akimfahamu

vyema mtu huyu.

Kwa kweli Muzda hakuweza kumuelewa

hapo mwanzo Ila yasiri hakuacha

kumfatilia. Muda mwingine alimfata

akiwa kaandamana beach na rafiki

zake. Kuna wakati angemtumia Mariam

ili kumfikia lakini Sasa Muzda bado

alimuona Kama mtu wa ajabu. Bila

Shaka alikua wazimu alifanya yote hayo

eti Lisa alikua akimpenda.

Kamati kuu ya kichwa Cha Muzda alikua

Saida na Najma bila Shaka

angewatumia watu hao wawili kufanya

chaguo sahihi la Maisha.

" Kwa hiyo wewe unataka nikupe sifa

mbaya za Kaka yangu mwenyewe, bila

Shaka una wazimu lazima umkubali

kwani sitaki kuona akiwa singo milele"

Najma aliongea. Saida akacheka hoi.

" Ni kweli wifi, yaani hata sijui Kaka

yasiri tumuite shemeji sijui tumuite

Nani Ila ndo hivyo anaonekana

kumpenda Muzda anatusmbua Sana hata

tukitoa ku jivinjari na marafiki zetu

kikubwa Muzda akubali kuongea nae"

" Kwani we wifi unanifahamu Yasir, kwa

kweli sidhani Kama ananifaa namuona

Kama Kaka Mustafa" Muzda na wengine

kwa wakati huo walikua walimchukia

Mustafa.

" Hamna kitu Kama hicho, Yasir

nimemfahamu muda mrefu' Sana kijana

mstaarabu na mwema, sikua ndugu Yake

lakini aliniheshimu na kuniamini Kama

dada Yake mpaka Leo hii, kwa nini tusiunganishe udugu moja kwa moja.

Aoe nilipo olewa alafu ule ukaka udada

ukamilike" Saida alimchochea Muzda

baada ya kumuona akiwa amenogea

Sana kwenye Hilo Penzi.

Kwa kua Baraza limeamua kwani yeye ni Nani kukataa. Haikuchukua muda

alimkubali Yasir na Yasir hakua na lengo

la kumchezea moja kwa moja alienda

zake kumchumbia nyumbani kwao.

Familia ya Badru ilimpokea kwani tayari

walikua nk wanafamilia baada ya

kuwaunganisha muksin na Najma

hatimae Sasa Muzda nae anaenda kua wa Sabodo familia.

" Jamani da Muzda umeniibia mchumba wangu" hiyo siku Afsat alilalamika bila

kusubiri kwani alikua na hisia za mihemko juu ya Yasir.

" Ohoo itaendelea nae hata hivyo ni ruksa" Yasir alitabasamu baada ya kumuona huyo binti mdogo aliekua

akimzimia.

Kumbukumbu iishie Hali tuendelee na mkasa.

" Sitaki uniache" Yasir alilalamika Muzda akahisi haya.

" Nawezaje kubaki? Familia nzima

inaenda Yasir " Muzda alimwambia Yasir

bila kujari lakini moyoni alihisi kua

mpweke.

" Huwezi kubaki na Mimi hata kwa wiki moja ili twende wote wiki ijayo" Muzda

alipata khofu kidogo. Ni kweli kwamba

mwanaume huyu alikua akijua

kumdekeza na kumpatia kila ambacho

likipenda na hakuwahi kumtaka

wafanye.ngono Ila hii kubaki ya ghafla

mbona itamtiahia amani.

" Nakuomba, nimezoea kuiona sura yako

kila kukicha hivyo sitaki ukae mbali na

Mimi" Yasir alimwambia huku aliushika

mkono wake.

" Yasir, naanzaje Sasa kubaki. Na wewe wakati sisi hapa bado hatu_"

" Shh.. usiwe muoga unapoongea na

Mimi, Mimi na wewe tupo sawa kabisa"

Yasir hakua anapendezwa na Hali ya

Muzda kumchukulia mkubwa sana Kama

alivyo Kaka Yake

" Samahani" Muzda alimuomba samahani.

" Ki ukweli sitaki" Yasir alijidekeza

Muzda kapata aibu zaidi. Alifaa

kumbembeleza eti.

" Mi ki ukweli sio Kama nakua

nakuchukulia Kama mkubwa isipokua

napata aibu kuongea baadhi ya vitu

mbele yako wewe, ni tatizo niliwahi

kukuheshimu kupita kiasi" Muzda

aliongea kwa hasira na yasiri

akatabasamu.

" Usijari upo huru kuongea kila kitu

mbele yangu, maneno Kama , sipo

tayari ku sexz natamani romance

naomba uni hug, Ni maneno ya kawaida

kwa wapenzi. Hata ukiwa na khofu

labda mi sio rijari unaweza sema babe

twende nikutest nione Kama jogoo

anawika" Muzda hakuweza kuvumilia

kuziba uso wake kwa mikono huyu Yasir

haoni aibu kuongea maneno hayo mbele

Yake.

" Unanitia aibu" Muzda alilalamika

" Aibu ya nini? Mimi ni mume wako

mtarajiwa au Kuna mtu mwingine ambae

utaongea nae maneno hayo hapo

baadae."

" Yasir bhana mi sitaki" Muzda

alijiinamia kwenye meza na Yasir

akazunguka upande wake. Akakaa Kari u yake. Muzda alihisi Kama atapoteza

joto mwilini mwake.

" Yasir Mimi kwa kweli! Napata tabu

kukaa na wewe naomba unikalie mbali"

Muzda alitania Yasir akataka kumkalia

mapajani. Muzda alipiga kelele.

." Yasiri unafanya nini?" Muzda alihisi

kumla nyama mbismchi.

" Mimi hapa!! Aah' umesema nikukalie mbali"

" Ndo mapajani"

" Basi we nikalie Mimi" Yasir alimvuta

Najma na kumetisha kwenye mapaja

Yake. Kisha Muzda akiwa haelewi Yasir.

Aliweza kumpa romance tanmmu. Hapo

Muzda ubishi wote kwishaaaa.

" Yasir" Muzda aliita kwa sauti ya kudeka akiwa kamlegezea macho Yasir.

" Nakupenda Sana binti Badru, ki

ukweli sitaki ukae mbali na Mimi hata

kwa dakika mbili" Muzda alihisi Kama

amepewa dunia nzima yeye na yasiri

pekee Yao.

" Sina jinsi Yasir"

" Sema Sina jinsi honey" Muzda alipata aibu yasiri akamng'ata midomo Yake kidogo.

" Honey" alijikuta akivuta bila kutaka.

" Sasa je?" Yasir alitabasamu na hapo Muzda joto lake likapa da na mashavu yakawa mekundu Sana kwa hisia. Bila

Shaka alipoteza muda wake bure kwa Yule mshenzi Hamimu hata hakua

romantic Kama Yasir alikua tu muongeaji Sana.

" Njkurejeshe Sasa nyumbani, mmiliki wa moyo wangu" Muzda alitabasamu.

" Asante " alimwambia yasiri

akaonekana kununa. Muzda alimsogelea na kumbusu lakini ai u aliokua nayo

alitamani hata ajifiche sehemu Ila

haiwezekani

neno Hilo na kumbeba juu, miguu Yake

haikua na shida ila alilazimika kumbeba.

Katika jengo moja dogo lipatikanalo

katika kisiwa Cha ukerewe jijini

mwanza. Ni apartment ndogo lakini Ni ya kifahari Sana. Saida alionekana

kulala katika chumba kimoja akiwa

ametulia. Ni majira ya usiku Sana mida ya saa nane.

Bwana amiri alikaa pembeni akivuta

sigara huku akimwangalia mwanamke

huyo ambae alichukua muda mrefu'

akiwa amelala. Kwa nini alichukua muda

mrefu' kuamka alimpa tu dawa za

usingizi na sio za kuzimia.

Nje ya chumba Ni Kama Kuna mtu

alikua akigonga mlango na sauti ilisikika

" Always love you" Yasir alimtamkia

kwa mbali. Hakuweza kukaa ndani

Tena. Aliweza kutoka ndani ya chumba

hicho Kisha akaufungua mlango vyema zaidi. Aliteremka kutoka ngazi Hadi

ngazi kwa uangalifu. Na hatimae aliweza kuufikia mlango wa kuingilia

ndani ya nyumba hiyo.

Azraj aliingia ndani akiwa kaongozana na vijana wake kadhaa walikua wawili

tu. Alionekana kukasirikia Hadi mwisho.

" Upuuzi, siamini hiki" alikua na hasira

kiasi kwamba alitamani kujiua.

" Unataka kujiua, usitumie mwili wako kwa maumivu makali, fanya utumie bastora. " Bwana amiri aliweza

kukamata bastora na kumpatia.

" Fanya haraka Sana" Azraj

alimwangalia mjomba wake akapandwa

na hasira mwisho akamkaba shingo Yake bila kusubiri.

" Unajua hasara na Hali niliyopitia leo., Hivi unaweza niambia kila kitu

kiliaharabika vipi?" Azraj alibana meno yake akiongea alitamani kumuua yeyote atakae muudhi.

" Mi ntajuaje? Kikubwa bado tunayo ngao unaweza kujituliza Azraj Badru"

Azraj alibaki kamshangaa anamaana

gani huyu mwanaume mtu mzima .

" Subiri kwanza" Azraj alimzuia mjomba

wake asitamke neno kwanza akatoka nje na kwenda Hadi nje. Alifungua mlango wa pili wa gari na kumuangalia mtu

aliekua amelala kwenye siti ya gari.

Alikumbuka maneno ya mwisho ya nevi

kwani aliamini kabisa mwanaume Yule

kwa Sasa atakua maekufa bila Shaka.

" Bwana mkubwa, lazima ushjnde bwana

mkubwa, kumbuka unae mtoto hivi

Sasa" maneno Yale yalijirudia Sana katika ngome za masikio yake'. Nevi

alikua akijaribu kumpa morali ya kuipambania kiti alichokua aliamini Ni

Cha kwake teangu mwanzo sema.

Alidhurumiwa ama ipoje?

Alimuangalia mwanamke aliekua amelala

kwenye siti ya gari na kutamani kulia, hakuwahi kupendwa na binadamu yeyote

Yule katika huu ulimwengu Kama

alivyopendwa na mwanamke huyu. Salma

bila Shaka alimpenda Sana. Na hata

alimzalia binti.

" Samahani Sana" kwa Mara ya kwanza

Azraj alipata huruma juu Yake na

kujiona mkosefu, alimkosea Sana na

hata alitaka kumuua mtoto wake

mwenyewe. Kitu pekee alichofanya

akakumbuka kabla ya kutoroka na

kuondoka kabisa katika jiji la Dar

aliweza kwenda hospitalini ambapo

alitambua kabisa atamkuta Salma.

Alijua fika hawezi kuruhusiwa kuingia

kwanj chumba kile kilikua chumba

maalum na Cha watu mashuhuri.

Ingekua kabla Mambo hayajamuendea

vibaya bila Shaka angeingia kwa

kujiandaa na kujiamini Sana huku

akitamba Kama Azraj Badru.

Ah! Potelea mbali, hata hivyo familia ya Badru haikuwahi kumthamini. Hajutii

kuachana nayo. Aliweza tu kupata

mavazi na vyeti kadhaa ambavyo Ni

muhimu Kama daktari kuingia navyo

kwa.mzazi aliefanyiwa upasuaji. Aliweza

kuingia ndani yaile wodi akiwa na lengo

la kumchukua Salma na binti Yake.

Walibaki watu wawili muhimu zaidi

katika Maisha Yake. Na penyewe Ni baada ya maneo kutoka kwa nevi.

Hatimae alifanikiwa kuondoka nae pale na Sasa amefanikiwa kwenda nae

mafichoni. Alimbeba taratibu na kutembea nae kuelekea ndani ya

nyumba hiyo. Alipofika mlangoni

alipokelewa na mjomba wake aliebaki

kumshangaa

"Wewe ?? Huyo mwanamke ulimkataa

Mara kadhaa" bwana amiri alimwambia

Azraj aliemwangalia kwa jicho la hasira.

" Wewe mbona hukuachana na aunt

Azati hata Kama hukua ukimpenda??

Azraj hakutaka kufatiliwa Sana.

" Hujui Ni jinsi gani mwanamke huyu

nimekosea Bora ungeniacha tu" Azraj

alihisi hatia kidogo.

" Sawa nipe sikionlako kwanza" mjomba

wake alimwambia na hapo Azraj akahisi

kuushika kwani hawezi kuongea tu. Kwa

kweli siku hiyo hakua anataka shida na mtu.

" Azraj unafaa kumpeleka mwanke huyo

chumbani kwanza Kisha uingie chumba

Cha wageni ukamuone mgeni wako"

Azraj hakuweza kumuelewa. Ila

taratibu alimuinua Salma na kuingia

kwenye chumba chake ambapo aliweza

kumlaza kwa utulivu. Alihakikisha

hajamtonyesha kidonda chake. Kisha

akatembea kuelekea chumba Cha jirani.

Aliufungua mngo ambao uliofungwa

vyema Sana. Baada ya kuufungua

hatimae alizama ndani ya chumba

hicho. Azraj alitupa macho kitandani

kwa kua kitanda ndo picha kubwa ya chumba. Hakuamini alichokiona. Ki

ukweli ni habari ambayo ilimfurahusha

sanama baaada ya kuburuzika kwa muda

refu.

Sehemu ya 160

Alikua Saida jamani dahh.. hawezi

kujizuia kuamini Hilo. Hivi Ni kweli

alikua Saida. Ilibidi asogee mpaka pale

kitandani alisogea zaidi na kumuona

mwanamke Yule ambae kwa Mara ya

kwanza alipomuona tu aliufanya moyo

wake kuruka ruka kwa hisia Kali.

Aliufanya moyo wake utambue maana

halisi ya kumpenda mtu.

Hakika hakuna kitu kikubwa kizuri na Cha muhimu na Cha thamani, alichowahi

kufanyiwa na mjomba wake Kama

alivyofanyiwa leo. Ni habari nzuri

iliyoje? Kumletea Saida hapa? Hakika

inafurahisha, hakika ilikua dua kubwa ya kijana wake Nevi kabla ya kifo

chake alimpa maneno ya kumtia moyo

kua asikate tamaa asichoke kupambana, na kweli amejitahidi Sana kupambana.

Japo ataonekana looser lakini bado

hajawa looser kwani anayo karata ya ushindi. Hata ikitokea Mustafa

amempata bado hawezi kumuondoa

Saida upande wake. Azraj alimsogelea

Saida iekua kalala kitandani kwa utulivu

mwingi Sana bila kuamka. Aliweza

kufurahia kuziona lips za mwanamke

huyu kwa muda mrefu lakini hakuwahi

kuzinyonya hata siku moja. Kwa nini

asijaribu leo tu. Angalau itamtuliza

machungu na majonzi aliyopitia. Hata

hivyo amewatoa kafara vijana wake

wawili na wa muhimu amabao Ni Bwasha

pamoja na Nevi Lisa Saida kwa nini

asijifahidie tu hata kwa busu.

Alinisogeza uso wake kwa Saida. Na

kujaribu kuitafuta lips ya Saida angalau

kidogo. Kisha akagusanisha midomo

Yake na midomo ya Saida. Saida akiwa

amelala alihisi Kama midomo Yake

ilisongwa na msukumo kutoka upande

mwingine. Hakika alikua mwanaume

ambae uso wake ulikua sawa na uso wa

kipenzi chake Mustafa. Lakini bado

hakua na harufu Wala Radha tamu

Kama ya Mustafa. Alimsukuma mtu

huyo bila kufumbua macho Yake. Azraj

akashtuka. Na kusogea mbali kidogo.

." Uuu wewe? Wewe ni Nani?" Saida

alikua akiweweseka alikumbuka tukio

lililomtokea muda mfupi uliopita. Akiwa

katika like chumba Cha Giza alisikia

kelele watu wakipiga mayowe na kujaribu kuzima moto.

" Msaadaaa" alianza kupiga kelele akiwa

haamini Kama atapona. Moshi ulitawala

ndani ya chumba kile mikono Yake

ilivmfungwa. Miguu Yake ilikua wazi lakini bado isingemsaidia.

" Nakufa huku" singboard zilianza

kuyeyuka na kudondoka kidogo kidogo, kitu pekee alichoweza Saida Ni kupiga

kelele huku akijaribu kukwepa. Mtoto

wa kike alihisi Kama atakufa kila

alipokua akiwakumbuka watoto wake

wawili wasio na hatia na Mustafa alieoa

mwanamke ambae ni Dr khairat mwenye

roho mbaya. Bila Shaka Maisha Yake

Ni Kama ya kuzimu jamani. " Kwani

nilikukosea nini Mungu wangu Mimi? Kwa

ninj naishi Maisha haya ya Allah "

Saida alilia.

Ndio ghafla chumba kilipokua

kimetapakaa Moshi na yeye akiwa

amejikunyata sehemu, bahati nzuri

mlango ulisukumwa kwa utulivu baada ya

kufunguliwa aliingia mwanaume wa

makamo ambae kwa kweli hakuweza

kumuona vyema kwani yeye alikua

ameshauguta Moshi vya kutosha.

" Tafadhari Kaka mtekaji naomba

unitoe humu ndani, siogopi kufa lakini

nawaoneeni huruma iwapo mume wangu

atagundua mmeniua" Saida aliongea

kana kwamba hakuogopa kufa.

" Lakini mmeachq, ulimpa talaka wewe"

mwanaume huyo alikua na sauti isiyoeleweka.

" Sidhani Kama ni hivyo Kaka mtekajiz

nahisi Kama Yule mchawi dr khairat

amekutuma. lakini ukweli Ni kwamba

Mimi na mume wangu hatukuwahi

kuachana, na sikuwahi kumpa talaka

mume wangu" wakati wote huo Saida

alikua akiongea kwa taabu hivyo

hakuweza kustahimili na alipoteza

fahamu zake. Alihisi Kama Kuna mtu

alimnyanyua kwenye bega lake. Na

baadae alikua kwenye gari. Na mwisho

alijihisi Kama vile wapo angani

wanapata. Na hatimae hajui nini

kulifata. Saida alifungua macho Yake

haraka Sana.

" Mustafa" alihisi kabisa mtu

aliemuokoa alikua Mustafa. Ndipo

alipotupa macho Yake aliona umbile la

mwanaume aliekua na mwili sawa na

Mustafa wake lakini hakuonekana Kama

Mustafa japo alimgeuzia mgongo.

" Wewe sio Mustafa, lakini natumai

wewe ndo umeniokoa Mimi" Saida

aliongea na kuamua kupoteza tukio la kupigwa busu"

Azraj aliona Sasa huu ndo wakati wake

sahihi, anafaa kumfanya Saida aamini

kua amemuokoa! Alitaka kugeuka Ila

hapana? Subiri iwapo atasema

amemuokoa Saida atalazimisha

kuondoka na kurejea nyumbani. Na

hataweza kumuamini Tena ! Kwani

lazima Dr khairat aje hapa.

Kumhudumia Salma na yeye bado

hajampata binti Yake. Itabidi atumie tu uhalisia hawezi kujificha daima Ila

hatamwambia moja kwa moja.

" Ni wewe sio" saida alihoji akijaribu

kuangalia mazingira ya hapo ndani.

Aliamini yupo sehemu salama.

Alipowangalia mwanaume huyo kwa

Makini kabla hajageuka bila Shaka

alihisi kumfahamu kwa ukaribu Sana.

" U wewe nii!!! Azraj !!! Saida alibaki

kwenye mshangao, uso wake ulipauka

bila kutarajia. Na hapo Azraj aliweza

kugeuka na kujidhihirisha uso wake

mbele ya Saida.

" Ndio ni Mimi bila Shaka" Saida

alipigwa na bumbuwazi. Alikua Azraj ?

Azraj Badru.

" Hapa Ni wapi? Mbona tupo eneo

tofauti na nyumbani?" Saida hakuweza hata kumpa shukrani alienda moja kwa moja kwenye maswali.

" Kwa sababu nyumbani sik Salam Tena, Kuna maafa yakijiyokeza tangu

kutoweka kwako, zarina alikufa dereva wako alikufa, bila Shaka Kuna mtu

mkubwa ambae familia ya Badru

ilimchokoza vibaya Sana" Saida alihisi kushtuka.

" Vipi kuhusu?" Moyo wake ulizama

kwenye Moto baada ya kuwakumbuka

watoto wake wawili. " Watoto wangu

Azraj ? Wanangu pamoja na Mustafa"

Azraj alihisi kumpiga haina shida

kuwauliza watoto lakini huyo Mustafa ana maana gani kwake?.

" Saida pumzika, kwani watoto wako wapo salama bila Shaka" Saida

alimshusha pumI na Azraj hakua tayari

kuongea nae. Aliondoka ndani ya

chumba na kuelekea nje ambakk kwa

Saida Ni sawa na kusikojulikana.

Kesho yake Dr khairat alifikishwa

katika nyumba hiyo kuja kumuhudumia

Salma aliekua mahututi. Alipigwa

marufuku kusogea kwenye chumba

alichokua Saida. Kwani alifungiwa ndani

kabisa na kuzuiliwa kutoka nje. Aliweza

kumpa huduma kadhaa Azraj pia ambae

alikua na majeraha kutokana na kipigo

kutoka kwa Mustafa

" Bila Shaka bado haujalingana nae

katika kupigana" Dr khairat alikua bado

alivutiwa na Mustafa.

" Sio.kama simuwezi, isipokua nilihofia

usalama wangu zaidi" dr khairat alihisi

kumcheka kwani alionekana kushindwa kabisa.

" Mwanao hajambo?" Dr khairat alishangaa haikuwahi tokea Azraj

akamuuliza Adil.

" Upo sawa kweli?" Alimuuliza bila kusubiri.

" Ndio nipo sawa, inashangaza kuona namuulizia mtoto?" Azraj alikunja

midomo Yake na kumwambia. " Nimehisi

Kama natamani kua baba pia, Ni Raha

Sana kua mzazi?" Alimuuliza Dr khairat

aliebaki Hana neno juu yake.

" Ukiwa mzazi, jiandae kufanya kila

kitu, na kubeba jukumu la kumpatia kila

anachostahili mtoto wako" Dr khairat alimkumbusha. " Mimi nimeshindwa

kumpa kila ambacho alistahili kupata

mtoto wangu, lakini ntahakikisha

nawalipa wale wote walioingilia furaha

Yake." Azraj alitabasamu hakika huyu

mwanamke Ni wa kushikamana nae

mwanzo mwisho.

" Kwa hiyo umeamua kumuoa Salma

Sasa, hatimae umeutambha moyo wako?" Dr khairat alimuuliza Azraj

huku alimvisha Shati Yake na kumfungia

vishikizo.

" Naanzaje kufanya hivyo, unafahamu

kabisa simuhitaji, bila Shaka nitamuoa

Yule Yule niliempigania siku zote" Dr khairat alitabasamu inamaana mpaka

hivi Sasa hakuweza kumkatia tamaa

Saida.

" Siwezi kata tamaa Kama mwanamke"

Dr khairat alihisi kupigwa na baridi

Azraj alikua akimsemeamo na yeye.

Alimsukuma akimtomasa mbavu zake.

Azraj alikua kua Dr khairat amepata

chuki ya chombezo ghafla. Alimuona

mwanamke huyu wa ajabu waliweza

kumudu kukaa siku nyingi hivyo bila

kunaniliu. Alimvuta karibu Yake nmdr

khairat akaangukia kwenye mbavu zake.

Dr khairat alikua na muda mrefu' Sana hivyo alikua na hamu. Hata alitamani

Azraj afanye tu anavyotaka hata Kama

hawapendani.

Azraj hakua na uhakika iwapo Dr

khairat atamkubalia, lakini alipoanza

kumbusu Dr khairat aliweza kutulia.

Hiyo ulimaanisha kabisa yupo tayari.

Kwa nini na yeye asiendeleze hamu na hamasa.

Hatimae ni wiki mbili kupita baada ya

hekaheka na sakata kubwa kuikumba familia ya Badru. Ni ndani ya jiji la Johannesburg, South Africa.

Ni katika ghorofa kubwa Sana na refu kwenda juu. Ndani ya chumba Cha

mkutano watu wa asili ya kiarabu kwa

asilimia kubwa walipatikana katika meza

ndefu ambayo hutumika kwa ajiri ya vikao mahofisini.

Watu wanaofahamika Kama wanafamilia ya Badru walionekana hapo. Alipatikana

Bwana Rashid Badru, Yusuph Badru.

Mustafa Badru , Muksin Badru pamoja

na mwanaume ambae yeye sio wa

familia ya Badru Ila ameoa kutoka

katika familia ya Badru alikua bwana

Amiri. Watu wengine walikua Ni mababu wa familia ya Badru kutoka katichi nyingine au chi mbalimbali. Familia ya Badru tunayoitambua sisi Ni familia

inayo tawala ndani ya nchi za afrika

mashariki. Lakini bila Shaka Badru Ni

familia kubwa iliyotambaa duniani kote na wanaishi katika nchi zote. Wakiwa na utajiri tofauti tofauti.

Siku hiyo ilikua siku maalum ambayo, warithi wa familia, wangekabidhiwa mirathi na majukumu ya kuziongoza

familia zao za Badru. Na watu wote

walitegemea na kusubiria kuuona ushindi wa watoto wa wakubwa zao. Kama ilivyo

kwa upande wa Badru inayopatika

Africa mashariki Ni Mustafa ndo

anaetarajiwa bila Shaka.

Azraj alionekana mtu ambae alijiamini

kupita kiasi na aliamini kwamba siku

hiyo itakua siku yake maalum ya kuanza kutawala. Huku Mustafa akionekana

kunywea Sana na kupotea katika maono ya muelekeo wake. Kwa kweli Azraj

alikua amemshika pabaya.

Alikumbuka kua walipigiana simu na kuwekeana makubaliank kadhaa.

Alifanikiwa kupewa na kuvikwa taji la urithi wa familia ya Badru hiyo ni sawa na kua mtawala wa familia ya Badru

katika nchi za Africa mashariki.

Anakua kinara na mwenye kauli ya mwisho. Hivyo anafaa atamke

hadharani kua anakabidhi kila kitu kwa

Azraj Badru na yeye hatakua mrithi

Wala mmiliki Tena.

Hapo ataweza kupatiwa mke wake bila

Shaka. ' hivi nifanye hivyo kweli?,

Nikubali kupoteza madaraka yangu yote na kumkabidhi Azraj Lisa nimrejeshe

Saida upande wangu. Na iwapo

sitafanya hivyo bila Shaka ataninyakua mke wangu na kumfanya anavyo taka.

Tatizo sifahamu Ni wapi amemuweka mke wangu, kwani Hana kifaa chochote

Cha mawasiliano akiwa huko. Wala Hana

hata gari tutambue Ni wapi anatokea ?

Mustafa alihisi kupoteza muelekeo.

Kweli bhana kikao kiliendelea kulingana na mgawanyo na mlingano wa Mali za

Badru zinazotambulika. Warithi wengine

wote walipata kulingana na vile ambavyo

wao walitarajia. Na waliliridhika. Shida

ikaja Sasa kwa hawa.waarabh wa bongo

wananitumia kiswahili Kama lugha ya

taifa. Mustafa alipewa mirathi Kama

ivyotarajiwa pia.

Na hapo akainuka Kama ilivyo desturi

ayoe neno na kisha atamke Ni agizo

gani ambalo halikua sawa katika utawala

wa baba yake' na hivi Sasa yeye Kama

Badru mkubwa anatakiwa kurekebisha.

Mustafa alisimama kwa kujiamini na

kujiuma kwa wakati mmoja. Alikua

alijilazimisha ujasiri ambao ulimpungia

mkono mbali. Alijikaza Kama Mustafa

Badru Kama baba wa watoto wawili.

Kama mrithi wa Badru hivi Sasa

ameshika nafasi hiyo tayari na Kama mine was Saida. Anaemtaka mwanamke wake.

" Mimi Mustafa Badru, napokea kwa

dhati agizo na desturi iloyowekwa tangu

enzi za mababu zetu. Na sisi

tuakaendeleza. Nakubakiana kwa dhati na mirathi hii na ninatoa ahadi kua

nitasimama wima na vyema zaidi familia

pamoja na kampuni na biashara zote zinazohusiana na Badru. " Azraj

alimtazama kwanza akiwa hamuelewi

huyu jamaa mbona kama anaenda

kinyume na mipango.

Watu wakimpigia makofi ya kutosha

Mustafa na kuzidi kumsikiliza.

" Najua ni kazi ngumu Sana kusimama

nikiwa mwenyewe kileleni, mpaka kufikia

hapa ki ukweli nimepambana Sana na

nimepitia vikwazo vingi Sana. Lakini

sikua pekee yangu, nilikua na mdogo

wangu ambae alisimama kando yangu

siku zote Kama mtetezi wangu, naa ni mrithi wa pili ambae ataishikilia nafasi

yangu iwapo nikiwa katika Hali

mahututi, au ukikosekana uwepo wangu,

napenda kumtaja na kumuweka wazi

mbele yenu bila pingamizi nae Ni .

Bwana Azraj Badru ...."

Watu wote walimtolea macho Mustafa

ambae alionekana Kama alikua

akimaanisha kumchafua Azraj badala ya muksin. Hiyo ilimaanisha nini?

Sehemu ya 161

Azraj alitabasamu baada ya kuona

Mustafa kamtaja yeye, alikua na

uhakika' wa kusimama Kama kinara.

Nafasi hiyo ilikua kubwa Sana na

muhimu pia, kua nafasi hiyo ilimaanisha

anaweza kua namba moja badala ya

mbili wakati wowote kwani akiamua

kumuondoa Mustafa ili yeye awe mrithi mi kitendo cha dakika mbili tu.

Muksin alikua Kama anakabwa na shingo

huyo Kaka Mustafa alikua na matatizo gani? Alipoteza akili ama amesikia

vibaya. Na uchague wote was Azraj

Bado kamchagua Azraj. Sio shida iwapo

Angekua Azraj wa zamani lakini huyu

wa Sasa aliesababisha madhira

makubwa Sana kwa familia ya Badru.

Bwana Rashid Badru na bwana Yusuph

pia walihisi nikitu kipya kwenye ngome

za masikio Yao. Mustafa alikua

akimtaka Azraj Kama mrithi wa pili wa Badru, au hapana.... Bila Shaka alikua

Bado hajamaliza kuongea.

" Ndio kaka mkubwa" Azraj alijiweka

katika nafasi Yake vyema na kujikubali

Kama Kaka wa pili akainuka akionyesha

unyenyekevu wa Hali ya juu' kwa wazee

wote wa Badru baadhi ya wazee wa Badru walimfahamu vyema Azraj kwa

kweli hakuridhika nae, Tena isitoshe

alikua kijana wa nje ya ndoa ndo

kabisaa. Walimchukulia Kama kijana

aliepatikana kwa njia chafu.

" Aah unaweza kukaa kwanza" Mustafa

alikua Bado ameziweka sura za watu

fulani matatani, hakuna aliekua kwenye

fahamu zake.

" Usijari Kaka mkubwa, Azraj kwako Ni mtiifu daima" Mustafa alihisi kutapika

anajiita mtiifu daima wakati amemnolea panga shingoni. Azraj alikaa.

" Ni Kama vile nimetamka neno baya

wazee wangu wa Badru mbona macho

yenu yamenielekea?" Mustafa

alikumbuka kuwauliza.

" Kikubwa nacho hitaji na kutarajia

tupo kwenu bila Shaka sio macho tu, nahitaji masikio pamoja na moyo wa kila

mmoja wenu hapa" Mustafa aliongea na kuwarurisha watu kwenye kikao

ambacho kilikua kimeingia mchanga

muda si mrefu'. Azraj alihisi kusikitika, bila Shaka hii ndo familia Yake kubwa

ya Badru. Familia ambayo bila Shaka

angejivunia kupita maelezo kila wakati

kua yeye ni Badru hapo mwanzo. Hata

hakuna mmoja wao ambae aliwahi

kumkubali.

" Nahitaji kuendelea" watu wote

waliacha minong'ono na kuweka masikio

Yao sawa. Mustafa aliweza kuendelea.

" Ningependa kufanya maamuzi ya

kumchagua mtu ambae anafaa na

kustahili kua mkono wangu wa pili katika

biashara na kampuni zote za Badru,

lakini mtu mmoja hapa hastahili hata

kuwepo katika nafasi yoyote. Na

thamini Sana hadhi na heshima ya

wazee wa Badru," watu walimshangaa na kurejea kwenye ufahamu wao baada ya kunong'ona maneno kadhaa

" Azraj Badru.. kiukweli sidhani Kama

unafaa Wala kustahili kuwepo ndani ya

kikao hiki" Mustafa alifinya nyusi zake na kupandisha macho Yake juu. Kila

aliehudhuria hapo alitoa macho ya

mshangao. Huyu Azraj ndo mtu pekee

alietajwa hapo awali na kuweka

tahadhari kwenye vifua vya watu lakini

Sasa hivi tu. Anaweza kutajwa Kama

mtu asie faa.

Bwana Rashid alishusha pumzi zake na watu wengine. Azraj alihisi kana

kwamba alimwagiwa mchanga kwenye

mwili wake. Yaani magunia matatu

mfululizo yaliyojaa mchanga yalimwagika

juu Yake. Hapana kwa kweli huyu

Mustafa amejisahau. Aliinuka kwa

Jazba huku akimtolea mustafa macho ya hasira.

" Mustafa Badru unawezaje kuniita mtu

asie faa mbele ya wazee wa familia, bila Shaka Mimi ni mtu muungwana zaidi

yako" Bwana Rashid Badru hakuwepo

wakati Azraj akizua varangati

nyumbani. Lakini tayari alifahamu kila

kitu. Alihisi hasira kana

kwamba

hakutaka kuvumilia pale mbele ya wakuu

wa familia na kutamani kumpiga vitungu vya kichwa huyo mwana haramu.

" Azraj Badru you amri yangu na utoke nje ya kikao hiki" Mustafa alimuamuru

Azraj ambae hakua tayari kutoka hapo.

Alitamani kutoa hata bastora Yake

amtumie yeyote hapo Kama ngao

kumlazimisha Mustafa amtangaze Kama

mrithi namba mbili lakini haikua rahisi

kwake. Kwani hapo walikua watu wengi

na wote Wana nguvu na siraha za

makali zaidi Yake.

Alimwangalia bwana Amiri ambae alimpa

ishara kua ikiwezekana amteke yeye

lakini Azraj hakuweza kufanya hivyo.

Alielewa matokeo zaidi, hata hivyo

hawezi kuwasamehe watu Hawa

waliomfanya yeye kua wa kando zaidi.

Wanastahili kulipwa hakuna hata mmoja

aliewahi kumchukulia waaana. Walikua

matajiri kiasi kwamba walikua kileleni

Africa mashariki lakini hakujua Hilo, inamaana yeye alikua mdudu asiestahili

kabisa hapo.

Aliweza kutoka nje akiweka sura kavu

ya maumivu ambayo hakuweza

kuyaeleza, alimwangalia Bwana Rashid

Badru aliekua baba yake Ila hakuweza

kumtupia hata jicho. Kwa kweli hakua

na thamani kwa yeyote, hata yeye pia

hafai kumthamini yeyote. Moyo wa

Azraj ulitangaza Vita mpya kabisa'. Sio

kosa lake bila Shaka Ni kosa la bwana

Rashid Badru kumzaa yeye akiwa nje ya

ndoa. Kwa nini anyanyapaliwe na

kutengwa! Ni kosa la yeye kuzaliwa nje

ya ndoa? Ni kosa lake kuzaliwa katika

familia yenye miiko? Sio kosa lake bila

Shaka. Lakini kwa nini hawakumuona wa

maana tangu hapo awali? Wao ndo

wamefanya awe mbaya japo alikua na

Nia mbaya tangu mwanzo.

" Unachelewesha mkutano huu!!!

Mustafa alimtolea macho makavu Azraj

ambae hakuweza kuwapinga watu hao na

kutoka zake nje akiwa anapata maumivu ya moyo na kuuburuta uso wake kua

wenye kisasi pia.

" Bwana Rashid Badru, nitaanza na wewe!" Azraj alitoa kauli hiyo ambayo haikusikiwa na yeyote zaidi Yake.

Mustafa aliweza kuendelea na

mazungumzo Yake mbele ya wakuu, na

mwisho aliweza kumchafua muksin Kama

msaidizi wake. Kwa kweli muksin alikua

kijana mwerevu na mvhapakazi kupita

maelezo, alikua kijana aliejituma wakati

wote na kuhakikisha Badru inaenda

kwenye njia inayostahili. Muksin

alisimama kwa tabasamu na

kujitambulisha kwa shangwe na kuomba

akaribishwe katika uwanja wa watu

wazima kutoka ukok wa Badru.

Hatimae kikao kilihitimishwa na watu

wakajigawa, watu wote walimaliza

shughuri iliyowakutanisha hapo na kusambaa majumbani kwao. Bwana

Rashid aliwakaribisha baadhi Yao ambao

hawakua na shughuri kubwa kuhudhuria

mlo wa jioni pia alikua na lengo la

kuwaalika kwenye harusi ya binti Yake

inayokimbia hivi karibuni. Muzdarifa

Badru.

" Hakika Rashid umezeeka Sasa,

inasemekana kua mwanaume akiozesha

mabinti zake ujue uzee umemuendea

kwa Kasi, kwani binti ataenda kuleta wa

jukuu haraka zaidi ya kijana" ndugu

take mmoja alimtania bwana Rashid

akaachia cheko la ki boss.

" Ni bure ikiwa nitakufa bila kuifanya

harusi ya binti yangu mwenyewe, sitaki

kumpa.majukumu mengi mdogo wangu, au unasemaje Yusuph?" Bwana Rashid

alitania.

Bwana Yusuph alitabasamu mwanaume

huyu alikua mkubwa lakini alikua bado

Ni mtu mwenye tabasamu changa

aliemuacha mdomo wazi kila mmoja wa Koo za Badru.

" Yusuph anatamba na meno Yake

mazuri yaliyojaa ucheshi, hakika

alierithi sura nzuri ya mama, nahitaji

kumuona Bi saifu Badru" mwanaume

huyu wa makamu ya bwana Rashid

aliongea akiwa na maana ya

kumkumbuka Bibi Mustafa

Bwana Rashid alitikisa kichwa akiashiria

yupo sahihi anafaa kabisa kwenda

kuonana na Bibi Mustafa, kwani

watamfanya asahau makui waliyokutana

nayo. Safari ilianza baada ya watu

wote kuingia kwenye gari zao.

Ni katika jumba moja la kifahari zaidi

ndani ya jiji kubwa la Johannesburg

nchini Africa kusini. Ndani ya mtaa wa

kitajiri watu walikua wanaendelea na

shughuri zao ndani humo.

Alionekana Asia akipata tabu kupika

chakula ambacho kilimnyima Raha, alihisi kichefu chefu kila dakika na

kujificha ili atapike.

" Da Asia, kwa nini mama yangu harudi, anakuja lini nimemiss kula chakula

chake" Shayma alikua akilalamika Asia akahisi kulia bila Shaka Hana la kujibu.

" Mama tarudi leo au baadae usichoke kusubiri sawa kipenzi" Asia aliyashika

mashavu Yake na kumbembeleza

Shayma ambae kwa hakika akili Yake hukuweza kuamini Hilo.

" Baba pia anatuweka mbali nae, yupo karibu na sisi lakini yupo mbali Sana na sisi dada, au na yeye anamkumbuka mama?"

Asia alihisi uchungu kila akimuona

Mustafa anahangaika, bila Shaka na

Gharib ana hangaika akiwa pembeni ya

Mustafa, wote wanatamani kumpata

Saida lakini Ni vipi? Hata yeye

anatamani Saida apatikane kwani

angempa ushauri na suluhisho juu ya kilichomkuta hivi Sasa lakini atafanya

nini? Saida hayupo, zarina amekufa, Maisha yamemuo gezea majukumu. Na

khofu bado imetawala kichwani kwa nini

Maisha yapo hivi kwa familia ya Badru, bila Shaka Hawa Ni wanafamilia wema na wazuri.

" Da Asia, Nina hisi njaa Sana" Kim

alikuja akiwa na sira ya kusikitisha

Sana, watoto Hawa hapo awali hawakua

wakila chakula Cha mtu yeyote mwingine

isipokua mama Yao Saida. lakini mwisho wa siku leo hii wanalazimika kula

chakula alichopika Asia tu. Au Najma

kwani Najma alikua na upishi sawa na

mama Yao. Lakini kwa Sasa yupo bize

na Mambo Fulani Fulani ambayo haupo sawa.

" Nawaandalia chakula Sasa hivi" alijibu na kuwaangalia chakula haraka Sana.

Ndani ya jengo Hilo Hilo, Mustafa

alionekana akiwa kasima dirishani ndani ya chumba chake, chumba ambacho

aliwahi kutumia akiwa na Saida hapo

awali Saida alipokua amejifungua.

Kilichobadirika Ni mandhari tu lakini

chumba Ni kilele yaani kitanda na vitu

vinavyopatikana ndani Yake vyote Ni

vipya na vigeni Ila kuhusu kumbukumbu

za Saida bado Ni zile zile, aliishi nae

hapo wakiwa na watoto wao wawili na

wazuri. Walikua na furaha Sana kipindi

hicho, na wakati huo ndo waliweza

kumpata HudHud.

Hatimae akimkumbuka HudHud , ndege

mzuri wa Shayma ambae kwa Sasa

imeshabaki kua kumbuku tu, kua

waliwahi kuishi na kiumbe aitwaye

HudHud. " Mke wangu" Mustafa alivuta

Moshi wa sigara ndani Yake. Kisha

akautoa kupitia pua Yake.

" Nimekumiss Sana, kwa nini tusibaki

pamoja daima?" Mustafa alilalamika na kuzidi kuvuta sigara kwa machungu.

Alikumbuka namna ambavyo alikubaliana na Azraj wiki moja nyuma.

Mara baada ya familia kusafiri

kuondoka nchini Tanzania. Mustafa

hakuweza kuondoka hapo alibaki

akimtafuta Saida kwa Hali na Mali.

Lakini haikua rahisi kumpata Saida

Wala kupata wapi azraj anaweza

kupatikana.

Siku moja alipigiwa simu kupitia namba

ngeni, iliyokua na code ngeni pia, ilikua

watsap voice call. Alipokea na kusikiliza

mtu huyo atakua Nani? Kwani hivi Sasa

analazimika kupokea simu zote anazopigiwa maana hajui na hamfahamu

wapi mwanamke wake alipo?

" Mustafa Badru naongea" Mustafa alijitambulisha.

" Nafahamu Kaka mkubwa, Mustafa Badru" Azraj aliongea huku Mustafa

akishtushwa na sauti ya huyo mwendawazimu.

" Hakika Azraj wewe ni muoga, kwanza

umekimbilia wapi? Na wapi ulipomuweka

Saida mpaka Sasa? Au nibaki nikikuona

wewe Kama mwanaume alieshindwa"

Mustafa alimdhihaki.

" Mimi sio muoga Mustafa Badru, amini na tambua kua Nina weza kufanya

lolote lile kwako nikiamua, kwani

hakuona anaeutamvua uwezo wangu hata

katika Askari wako" Azraj alijitapa

Mustafa akatabasamu na kufikiria

kimoyo moyo, bila Shaka anajua na

anaitambua jeuri ya Azraj. Anajivunia

mtu alienate nyuma Yake kana kwamba

yeye Mustafa hakua akamtambua mtu

huyo. Basi hakukua na sababu ya yeye

kumuoa Dr khairat. Iwapo

asingetambua mtu huyo. Na Lilian

Masele asingekua na maana yoyote Ile.

" Umeogopa bwana Mustafa??" Azraj

alimcheka Sana kwa nguvu na kwa

dharau Mustafa akatulia.

" Usijari Nina njia bila Shaka ya

makubaliano, kwani mke wako Ni wa

muhimu zaidi na unampenda Sana, Ila

usisahau bwana Mustafa, mi pia Nina

hisia nae, nadhani Hilo hata wewe una

lihakiki kabisa kua Nina mpenda mke

wako kipenzi Saida.

Mustafa alihisi kumuua iwapo Angekua

karibu nae, anawezaje kukiri waziwazi

kua anampenda mke wake? Azraj Badru

Ni zaidi ya mnyama. " Uko wapi azraj, natambua haupo Rwanda, umetumia

mbinu chafu tu ili kunizuga lakini

hakuna Cha maana ulichofanya, mbinu

hizi ni za kitoto kabisa"

Sehemu ya 162

Azraj alikasirika kidogo na kumuona

Mustafa kua mtu mwenye jeuri bila

Shaka alikua Rwanda, angewezaje

kuishi Tanzania kwa Uhuru na kuongea

nae kwenye simu bila Shaka angempata.

" Acha ujinga Bwana mdogo, unaweza

pewa cheo Cha kua mkubwa Ila nikabaki

Kaka kwako" Azraj alimwambia.

Mustafa aliweza tu kuguna.

" Usiishie kuguna, iwapo unahitaji

usalama na kumtaka mke wako akiwa hai, ingefaa tuwekeane mikakati

mapema Bwana Mustafa, kwani hitaji

langu Mimi ni lile lile lisilobadirika.

Nahitaji unifatishe"

" Sahau bwana mdogo" Mustafa

aliongea akiwa anamaanisha, hakika

hawezi mfanya Azraj awe mrithi wa Badru.

" Ni sawa, hata uniite hivyo, nahitaji

nafasi ya mrithi wa pili wa Badru,

sihitaji mengi Wala sitakupokonya

nafasi yako, nipatie cheo hicho kila kitu

litaenda sawa, hakuna asiependa kuvuna

alichokipanda, nimewekeza juhudi nyingi

Sana juu ya Badru, sitaki kua yeyote

asie faaa" Azraj alishushia mvinyo

mwekundu huku Mustafa akizidi

kumtetea sikio.

" Vipi Kama sitafanya Bwana Azraj

mwanaharamu?" Kwa kweli Mustafa ana

kiburi hata katika Hali hiyo hakuwaza

kabisa kuhusu Saida.

" Usisahau ninae mwanamke wako"

Azraj alimkumbusha Mustafa aondoe

kiburi chake la sivyo asahau kuhusu

Saida"

" Unamaanisha, kabisa utamrejesha

kwangu Azraj Badru" Mustafa aliweka

umakini juu ya Hilo.

kinyume na maneno yetu" Azraj alimjibu

Mustafa. Kisha aliweza kukata simu

Yake na kumtumia ujumbe watsap.

Mustafa aliifungua ilikua video ambayo

ilimuonyesha Saida akiwa ndani ya

chumba kimoja kisafi na nadhifu, Kisha

Azraj alikaa karibu Yake na kuniamsha

kwa upole. Kisha akambusu kwenye

shavu lake akiwa amelala. Mustafa

alihisi uvimbe kwenye kifua chake.

Yaani alimbusu mke wake akiwa kalala.

" Saida amka unywe chai" wakati huo

Azraj alionekana akiwa kavaa bukta na

juu hakuvaa chochote. Saida aliinuka na

kumwangalia bila kuuweka uso wake

pembeni.

" Afadhari umeamka" Azraj

alitabasamu mbele ya Saida ambae

" Wanaume hatuna desturi ya kwenda

alipapasa macho Yake kuondoka uchovu aliokua nao baada ya usingizi.

" Ningeamka bila Shaka" Saida alijibu akizidi kujinyoosha, huyu mwanamke

alivaa nguo laini na nyepesi za kulalia, Mustafa alihisi kufa kwa wivu, moja

kwa moja alihisi Kama Kuna kitu hakipo

sawa kabisa hapo. Saida aliinuka

kitandani na kuanza kuteremsha mguu

wake mmoja mlaini kutoka kitandani

mguu huo wenye rangi mchanganyiko

mrefu' kiasi na mnene ulikua wazi

kabisa mpaka usawa wa mapaja Yake, inamaana alivaa nguo Kama Ile mbele ya Azraj?. Kwa kweli Mustafa angekufa.

Kisha akafatisha mguu wa pili na

kujaribu kuinuka, kulingana na uchovu

kiasi kadhaa alishindwa kuinuka

kitandani, hivyo Azraj akamshika mkono

kumsaidia. Uvimbe wa Mustafa ndani ya

kifua chake ilizidi aliwezaje kushuhudia

video mbaya Kama hiyo. Bila kufikiria

Wala kutarajia aliitupia mbali simu

Yake. Na kuanza kulalamika.

" Azraj ntakuua" alitamani kumpata

Azraj Mara moja amfanye awezavyo

walau amfinyange anawezaje kumfanyia

hivyo anawezaje kumuweka karibu hivyo

mke wake. Na kwa nini Saida

hajamchukia Azraj kwa nini? Mustafa

kwa wakati huo alishindwa kuyazuia

machozi kupenya kwenye mboni za

macho Yake.

Hatimae baada ya siku mbili akimtafuta

Azraj kwa namba Ile hakuweza

kumpata, mawazo yalimzonga na kuamua

kusubiri, aliamini kabisa bila Shaka

Azraj atamtafuta yeye. Hakika wakati

huu Hatampuuza Wala kumdharau.

Haikua rahisi kwake na Saida kua

vyema katika siku za hivi karibuni kwa

Sasa bila Shaka anamtaka Saida tu.

Kweli Azraj alimtafuta kesho Yake na

kuamua kuweka miadi nae.

Azraj alitokea Dar es salaam akiwa

mwenyewe kabisa, hakuongozana na

chawa yeyote Yule. Mustafa pia

alijitokeza kwake akiwa mwenyewe.

Yalikua majira ya usiku wa saa mbili

katika mgahawa wa hadhi ya kawaida

Sana. Wawili hao walikua ndugu kabisa

waliochangia baba isipokua walitoka

katika matumbo ya mama tofauti.

" Mustafa Badru, ahahaha, siamini

unewasili hapa" Azraj alimwambia akiwa

anasubiri kupewa kinywaji kizuri kutoka

kwa mtu maalum. Ambae ni mdogo wake.

" Bila Shaka wewe ndo imeandaa miadi hii kwa nini usinihudumie wewe"

Mustafa alimwambia Azraj ambae

alihisi Kama bado huyu dogo hawezi

kuacha dharau.

." Mustafa Badru chunga dharau zako'"

Azraj alimwambia na kummiminia

kinywaji moja kwa moja. Azraj alipata

kinywaji na Mustafa pia, walitumia

kinywaji Cha chupa mom hatua kwa

hatua mpaka wakamaliza.

" Nadhani Sasa tunaweza kuendelea"

Mustafa alitamani Sana kusikia huyu

Azraj anataka nini?

" Unaweza sema kilichokufanya utake

kuonana na Mimi wakati tungekamilisha

kila Jambo hata kwa mazungumzo tu?

Mustafa alimwambia Tena.

Azraj alitabasamu na kuongeza

kinywaji. " Bila Shaka dogo hukufunzwa

adabu, Mimi ni Kaka yako ulifaa

kuniheshimu kwanza kabla hujaenda

moja kwa moja kwenye hoja." Mustafa

aliufunga mdomo wake kimya

" Sawa nitasema" akimalizia glass kisha

akaongea. " Azraj Badru,. Mustafa

Badru, Muksin Badru, mkhi! Azraj

aliweza kufinya midomo Yake na

kumwangalia Mustafa aliekua na maneno makavu.

" Ni rahisi Sana Mustafa nifanye kitu

ambacho nilikuomba, bila Shaka

utampata mwanamke wako, akiwa hai na

bila kuguswa na Mimi, hakika mwanamke

Yule anajua kudeka, na Mimi pia najua

kudekeza sana, tofauti na wewe

uliemuumiza Mara kadhaa haimtachukua

mwaka mzima kukusahu, bila Shaka Ni

miezi kadhaa tu" Mustafa alijikuta

akiifinya glass ya mvinyo mpaka

akasababisha kuipasua bila kujua.

" Usikasirike bila Shaka ntamtunza

iwapo hautakubali kunipatia urithi wa familia Kama mrithi wa pili."

Mustafa aliinuka na kumkamata shingo

Yake kwa nguvu Sana, hapo Sasa Azraj

alikishika kifua Cha Mustafa na kumtuliza haraka Sana.

" Unaweza kutulia bwana Mustafa

Badru, mi mwenzio Ni wanted, ikitokea

nimekamatwa hapa that means hata

mwanamke wako atakufa njaa kwani Ni

Mimi pekee anaye muhudumia" Azraj

alivuta nyusi Yake. Mustafa akapoa kwa

nini alikua mzembe kumlinda Saida. Ni

kweli kabisa Saida alikua sahihi hawezi

kuitwa mume ikiwa Hana uwezo hata wa kumkinda HudHud mpaka alikufa vipi

kuhusu kumlinda yeye Sasa.

" Ok. Fanya Kama nilivyokwambia, Kisha utampata mwanamke mwanamke wako akiwa salama katika anwani hii"

Ila ukithubutu kwenda kinyume na

Mimi,,,, bila Shaka hiyo imekula kwako

bwana Mustafa Badru." Azraj aliinuka

baada ya kumkabidhi kadi mikononi

mwake Kisha akaondoka zake kimya.

Mustafa alibaki pale akiwa haamini, hivi

amekuaje mdogo hivi kwa Azraj? Bila

Shaka angempiga kila Mara pindi

alikutana nae, lakini. Sasa hamna

ambacho anaweza fanya kwa Azraj saa

hii. Kumbukumbu Yake uliishia hapo akaendelea kuvuta sigara.

Bila Shaka Kuna kitu hakikua sawa kwake. Kwa nini alimuachia mwanaume

Yule mke wake. Akiwa ahapo alikumbuka kua alipigiwa simu na mwalimu wa vijana kutoka Badruguard na kumpatia taarifa kua, ndani ya

nyumba ambayo walipewa maelekezo

bila Shaka Saida hakuwepo pale, na hakuweza kabisa kupatikana.

Akiwa hapo simu Yake iliita, aliangalia

mtu anaempigia alikua, Azraj Badru.

" We mwana haramu umeenda kinyume na maneno Yake, utajiitaje mwanaume?"

Azraj alianza kwa kumtukana moja kwa

moja. Mustafa alipata maumivu kuitwa

hivyo, Ni lini yeye alikua mwana

haramu? Bila Shaka yeye ndo mwana

haramu?

" Nilifanya kitu sahihi Kama bwana

mkubwa Badru, kumbuka kabisa hivi

Sasa, cheo changu kimebadirika kutoka

kuitwa Kaka mkubwa Badru na kuitwa

bwana mkubwa Badru, kua Makini

Azraj"

" Ni sawa lakini mpaka uwe bwana

mkubwa bila Shaka lazima wewe uwe

mwaminifu na uweze kwenda na maneno yako"

" Lakini so lazima kwenda na maneno ya mtu asiefaa, Azraj. Mimi sio mpumbavu

kufanya Mambo Kama mtoto, sipo Kama

wewe kuwatumia wengine Kama chambo

ili nipate kitu. Unadhani sikujifahamu

Nia yako. Iwapo labda ningekuoatia

nafasi ya pili kua mrithi wa Badru kwa

maandalizi uliyoyafanya tangu ukiwa

mtoto mdogo bila Shaka utawageuza

watu wote kutoka katika familia kua watumwa wako.

Hata baba aliekuzaa unaweza mfanya mjakazi wako, kwa sababu uanahisi

Kama ulidhurumiwa ilhali ulitengeneza

mazingira hayo mwenyewe"

" Mustafa usinifundishe, ninajua

nachokifanya, utajuta kwenda kinyume na Mimi"

" Bora nimpoteze mtu mmoja katika

haya Maisha kuliko nipoteze familia

nzima ya Badru, mama yangu, watoto

wangu ndugu zangu wote ni wa thamani,

huna Cha kufanya kwa mke wangu kwani

hata wewe pia unampenda, bila Shaka

nitamkumbu Sana iwapo atakufa"

Mustafa alitoa maneno ambayo

yalimuacha mdomo wazi Azraj hakuweza

kuamini maneno hayo.

" Mustafa usije ukajuta!!" Azraj alikata simu na kufagia kila kitu

kilichopatokana kwenye meza ya kioo

aliyokua akitumia ndani ya chumba

chake Cha hotel. Hivi huyu Mustafa

Badru, alijiamini nini haswaa?. Azraj

alibaki na hasira mpaka akahisi kifo

kinastahili juu Yake.

Alichukua simu Yake na kupiga sehemu.

Simu iliita Kisha ikajibiwa haraka. "

Nahitaji ticketi ya ndege Sasa hivi"

alikata simu baada ya kuwafokea watu

wasio na hatia.

Ni siku nyingine Tena alfajiri Azraj

alionekana kutokea katika viunga vya

uwanja wa ndege, JK nyerere.

Alichukua alikwea ndege nyingine

ambayo ilikua fast jet ambayo

ilimpelekea haraka mpaka jijini mwanza.

Aliteremshwa na ndege katika uwanja

binafsi uliopatikana katika katika visiwa

vya ukerewe jijini mwanza. Aliongoza

njia moja kwa moja na kuchukua gari

ndogo aliyoletewa na kijana wake

mmoja.

Gari iliendeshwa mpaka kwenye

apartment aliyokua akiishi tangu amuibe

Saida. Alifika na kufungua mlango kwa

hasira baada ya kuupiga teke kubwa.

Salma ambae alikua aliendelea vizuri

wakati huo alimtokea Azraj akiwa na hasira Sana baada ya kumuona. "

Utaniondosha hapa lini we mbwa,

nahitaji kupatana na mtoto wangu, haikua kazi rahisi kupata mtoto Azraj!!!

Namtaka binti yangu, kwa nini

umeniweka mbali na binti yangu"

Azraj alikua na hasira tayari alafu

bado mwanamke huyu anamzungusha

kichwa chake, aliweza tu kumsukuma

huko na kusababisha Salma kiloshika

tumbo lake kwa maumivu, alichukuliwa

hospital akiwa hajapona vizuri lakini

bado alilazimika kuishi kwa kuhangaika.

Yote ni kwa sababu alizaa na shetani

ambae ni Azraj Badru.

" Azraj Badru, umelaaniwa wewe ni mtoto mwenye laana, bila Shaka

umezaliwa kwa laana" Salma alilia kwa

maumivu na mwishowe alipoteza nguvu zake kwa kweli hakua mzuri wa kukubali

chakula kwanzia arjeshe fahamu zake.

" Madam twende ndani tafadhari"

mjakazi aliewekwa kwa ajiri Yake

alijaribu kumuomba Ila Salma hakua

tayari kabisa. " Nitokee hapa!! Salma

alilia na kujilaumu kwa nini aliishi katika hii dunia.

Azraj aliongoza njia kuelekea juu, huko

alifika na kufungua mlango wa chumba

Cha Saida. Baada ya kujifungua kwa

hasira, Saida aliekua amekaa kitandani

huku akiwa amepoteza matumaini, alikua

akiishi Maisha gani haya ya kufungua

chumbani, Bora hata mfungwa alikua

akiweza kutoka nje na kufanya kazi.

Ila yeye Sasa anahisi alipoteza Maisha

taratibu.

" We mwanamke " Saida alishtuka na kuamka kitandani akiwa hamuelewi huyu

mwanaume aliemfanya mateka.azraj

alikamata mkono wake na kumkumbatia

kwa nguvu.

" Azraj unakichaa, niachie haraka, mi ni mke wa Kaka yako niachie haraka

Sana Azraj" Saida alilalamika.

" Tulia" alimuamuru Saida ambae

hakuweza. Azraj alimshika kwa nguvu

kiuno chake na kuanza kumbusu baada ya kukibana kichwa chake kwa mikono

Yake mikubwa.

Sehemu ya 163

Azraj alikua kichaa' bila Shaka alikua

akifanya nini? Tayari alimfanya mateka

wake ndani ya hiyo nyumba, tayari

amemtii ameweza kutulia bila

kufurukuta ili asije kumbaka Kama

alivyo ahidi. Lakini Sasa mbona Kama

anaenda kumfanyia vitu visivyostahiri.

Azraj alimuachia kidogo huku akiachia

tabasamu la kikatili na la kuchukiza, Saida akazidi kulia na kuchanganyikiwa zaidi. " Azraj unadh_" Azraj hakuweza

kumuacha hata aongee alianza kumbusu

Tena kwa Mara nyingine . Alimbusu

Sana mpaka Saida akachanganyikiwa

huyu mwanaume alikua akimbusu kwa

lazima bila sababu maalum. Kisha Azraj

alichoka na kumsukuma Saida kitandani

huku yeye akibaki amesimama.

" Hii ni kidogo tu ya kile ambacho

ntakufanyia Saida, Sina jinsi zaidi ya hivi, nakupenda lakini huwezi kua wangu

hata nikiwa mwema kwako, Bora wakati

mwingine nitumie nguvu ili niweze

kujifariji"

" Azraj kwa nini umebadilika hivi, kwa

nini umekua katili hivi? Inamaana

umesahau kabisa Mimi ni shemeji yako?

Saida alilia kwa uchungu akiwa haamini

Kama atawahi kutoka hapo siku moja, hakika alichoka Sana kuishi hapo.

Aliwamiss watoto wake alimmis mume wake pia.

" Sio kosa lako, isipokua Yule unaemuita mume wako wakati tayari mmeachana "

Azraj alifoka. " Huwezi kua shemeji

YANGU Tena wewe, sitakuruhusu uende kwa Mustafa" Azraj alimfokea Saida

maneno makali akiwa na macho mekundu.

Saida hakua na la kufanya zaidi ya

kujivuta na kujikunja kitandani Kama

mtoto asie na mama. Alikua na wakati

mgumu Sana hapo. " Azraj siamini

Kama Ni wewe, Mustafa alikua sahihi

wewe ni mtoto usie faa, hukustahili

kuzaliwa katika familia ya Badru" Saida

akiwa amejikunja Azraj alimsogelea na kumvuta ili watazamane.

" Huyo Mustafa ana kipi Saida?

Unadhani anacho kile ambacho Sina?

Azraj alitoa macho Saida akafumba

macho Yake kwa kumuogopa. " Bila

Shaka Nina kile kinachokupa furaha

ukiwa nae!!" Saida alihisi kuyabana

masikio yake' anahisi anaweza

kumfurahisha Kama Mustafa, aha' ana wazimu huyu' Saida alitulia.

" Kwanza nashangaa mume wangu mume

wangu, huyo mwanaume wako sio Kama

mmeachana tayari" Azraj alimsukuma

hapo kitandani saida kwa kiasi fulani

akatulia. ' hapana Azraj Ile haikua

talaka ya kweli, haijulikani popote bila

Shaka mamkwe aliileta tu ili kumtisha

Mustafa, Ila Mimi na Mustafa

hatukuwahi kuachana' Saida asingeweza

kutoa maneno hayo nje wee!; Iwapo

Azraj angefahamu bila Shaka

angembaka hapo hapo kwa kumdanganya na kumfanya awe shahidi wa kuvunja

ndoa kwa talaka ya uongo.

" Mustafa Ni Kama Hana wazo la kukuokoa kutoka kwangu. Hiyo

inaashiria kwamba ameridhika uzidi

kubaki kwangu na Mimi" Saida alitoa

macho akiwa alhaelewi bila Shaka

Mustafa hawezi kufanya hivyo.

" Ndo amegoma kunipa madaraka hata

kua mrithi wa pili wa Badru, atajuta, Ila iwapo anatamani nikufanye mke

wangu nitafanya hivyo asiwaze"

Upande wa Dr khairat alikua

akimwagilia moyo taratiiibu akimsubiri mtoto wake atolewe shuleni ili aondoke nae, Ni majira ya saa tano. Alikua bize anaperuzi mtandaoni kabla akutane na

taarifa za kuahtua kutoka kwa wanamtandao.

[ Tamaa ya pesa yavunja ndoa,. Na kunusurika kifo.] Caption ilisomwa hivyo, Kisha akashuka chini kwenye maelezo.

[ Aliamua kumuua mume wake, ili

aolewe na mwanaume tajiri, lakini

mwisho wa siku amekosa vyote baada ya mume kunusurika na kifo hicho Cha

kukusudia_ Lo! Taarifa hiyo Ni Kama

ilimlenga yeye kabisa.

Mume anusurika na ajari, Kisha

mwanaume tajiri arejea

kwa familia

Yake, kwa Sasa amebaki mwenyewe na

tamaa zake pamoja na mtoto aliezaa na mume wake]

Dr khairat alichanganyikiwa na kuangalia picha iliyokuwepo pale. Ilikua

niii!! Bila Shaka picha Yake? Hee! Alitoa macho nje. Ilikua picha Yake kweli, yeye akiwa na mtoto wake Adil pamoja

na Mustafa, huku picha nyingine akiwa

yeye Dr Hizaan pamoja na mtoto wao.

Dr khairat alihisi uwoga moyoni Ni mtu

gani huyo mwenye uwezo wa kupost kitu

Kama hicho?. Akasoma account

iliyotumika.

" Haa! Ilikua akaunt ya Hizaan?"

Hizaan Yuko hospital mahututi sio wa

kupona leo Wala kesho kwani Nini

kimemkuta? Amewezaje kutoka

hospital?. Ilibidi achungilie komment za

watu, make hata Sasa hivi kazini aendi

duh! Kapoteza vitu vingi sana. Alafu

bado kamkosa Mustafa. Yote kwa

sababu ya saida. Achana na Saida mwenda wazimu! Ngoja kwanza aangalie

maonj ya wanamtandao juu ya picha yake. Alipofungua eneo la maoni

alijilaumu Sana khaa amewezaje sasa

kuyawaza maoni ya wanamtandao Bora angeacha tu?. Yalikua Kama ifuatavyo.

[ Waoo!! Ni Dr khairat mwanamke asie kua na haya!! Mwanamke ambae

amefanikiwa kua funzo katika jamii kwa

kutaka kumtoa roho mume wake ili aolewe na mume wa mtu mwingine]

[ Dr khairat! Kweli Mimi Nina roho

mbaya Sana lakini mwanamke huyu hapo

ilizidi, alifanya ukatili usiyoelezeka, hata kama alimchoka mwanaume wake

asingefikiria hatua ya kumuua]

[ Dr Hizaan alibugi step kubwa kufanya maamuzi ya kumuoa huyo mwanamke, au Waswahili walipatia kusema mapenzi upofu, hata sio mzuri kulinganisha na utanashati alio nao Dr Hizaan, na Dr hizaan Ni mwanaume aliempenda kujitunza]

[ Mwanamke Kama yeye ni kichefu chefu, kwani serikali haipo kushughulika nae] mtu mmoja alitamani hata angemuua Dr khairat.

[ Mmh! Alijifanya kichaa' ndo maana aliruhusiwa kutoka police Ila Hana lolote mbwa yule, kila siku tunamuona anapiga mat*k* mtaani, na anaishi vizuri tu ] mmoja wao alijibu.

[ What the heck, hivi mwanamke Kama

huyu anafaa kupumua kwenye dunia, Kama Kuna mtu alishuhudia video namna

gani aliendesha kabisa kwenda

kumfanyia unyama mume wake wa zamani, bila Shaka ungeelewa hakua

kichaa' mbona hakumgonga mtoto

wake?] Watu walikua mwisho wa hasira zao.

[ Kunayo video kwani?] Mtu mmoja

alilazimika kuhoji. [ Ndio ipo, ipo video Kama unahitaji,

fuata link hapo tukutane telegram] mtu

huyo alishusha link akisubiri watu wajoin

kwenye group lake. Dr khairat

alikasirika Ni mtu gani huyo aliethubutu kumrekodi. Bila Shaka ilikua njama Yao

watatu tu aweze kumpata mtoto wake

na Mustafa upande wake. Mbona Kama

Mambo yanamrudi.

Au atakua.... Lilian!! Hapana

haiwezekani, bila Shaka hawezi kua

Lilian, Lilian ni mtu aliemsaidia sana na wameambizana Mambo mengi Sana, kwa

hiyo atakua Nani Sasa? Azraj ? Dr khairat aliinuka kwani Azraj ndo mtu

pekee aliempa mpango huo hapo kabla.

Na kitu kingine mbona Kama Azraj

alionekana kua karibu na yeye pamoja

na Hizaan kwa wakati mmoja?

Au Azraj ndo anahusika kumfanyia hivi.

Dr khairat alipandwa na hasira Kisha

akachukua simu Yake na kupiga simu

sehemu ambayo aliijua mwenyewe. Kisha

haikuchukua muda kijana wake mdogo

Adil aliwasili na hapo Dr khairat

alimshika mkono.

" Mama baba anarudi lini?" Adil

alionyesha huruma kwenye macho Yake"

Dr khairat alihisi huruma baada ya

kuulizwa hivyo.

" Atarudi tu we usijari, tuendelee kusubiri so unajua huwa yeye anakazi

nyingi mno" Dr khairat alimuingiza

kijana wake kwenye gari Kisha

akaendesha mpaka nyumbani. Kitu

ambacho hakuweza kufahamu ni kwamba

Kuna mtu alikua akimfatilia nyuma

Yake.

Dr khairat aliwasili maeneo fulani ya

Barbara, ilikua njia panda, ghafla gari

Yake ikapata pancha bila kutarajia.

Wakashindwa kuendelea na safari yeye na kijana wake.

" Mama Kuna nini? Adil alihoji.

" Mwanangu sijafahamu pia, nafaa kuchunguza kwanza" ilibidi ateremke

kwenye gari Yake na kwenda kuangalia.

Alihisi kulia baada ya kuona gari Yake

Imepata pancha, hakua anafahamu'

namna ya kurekebisha ili aendelee na safari yake.

" Mama!!" Adil alimuita kwa huruma.

" Adil gari yangu Ina pancha" Dr

khairat alihuzunika Sana alikua

akimchelewesha mwanae kwenda

nyumbani.

Ilimlazimu kuomba msaada kutoka kwa

wanaopita barabarani lakini hakuna

aliesimama kabisa. Wakati anahisi

kukata tamaa bahati nzuri Kuna kijana

alipita akiwa na pikipiki Dr khairat

akamsimamisha pia. Kijana huyo

alisimama na hakushtuka kwenye pikipiki

Yake.

" Kuna sister" kijana huyo aliekua kavaa

helmet aliongea.

" Aah' samahani Kaka yangu, gari

yangu Imepata hitlafu hapa masaa

kadhaa yamesogea Ila nimeshindwa kusaidika" dr khairat alitoa huruma.

" Samahani bhana, nenda garage" kijana yule aliwasha pikipiki Yake na

kuondoka zake. Dr khairat alihisi kuchanganyikiwa. Hivi alikua na siku

mbaya kiasi gani?

Akiwa anawaza Sana ghafla kijana yule alirejea na kipaji mbele ya gari Yake. "

Mbona umerudi Sasa" Dr khairat alimuuliza.

" Nina sababu ya kurejea" kijana yule

aliteremka kwenye pikipiki Yake baada ya kuipak Kisha akatoa helmet na kupangusa nywele zake akijaribu kuzirekebusha.

" Asante kwa kurejea bila Shaka

utanisaidia" dr khairat alikua mpole kwa

huyo kijana kana kwamba labda aliwahi

kua mwanamke mwema. Kijana yule

akipandisha nyusi moja juu na kuachia tabasamu.

" Popote alipo nevi, hakuna

kisichowezekana, na Nevi huwa hatoi msaada bure" dr khairat alimwangalia

Sana huyo kijana akiwa haelewi kijana

huyo anamaanisha nini? Alionekana kua na sura ya kawaida mno.na kijana

mdogo tu.

" Bila Shaka sio msaada wa kuvunjiana heshima" dr khairat alipata hisia mbaya.

" Ahahaha, Nevi sio mtu wa kupenda

kit*mb* , Ni mtu mmoja ambae huwezi amini lakini Ni kweli, Nevi bado bikira wa kiume" Dr khairat alihisi kucheka.

" Sawa bwana nevi" alikaa kimya kwani

wakati huo nevi alikua akifanya

marekebisho kwenye Ile gari, aliweza

kuchomoa msumari ambao alimuweka

mwenyewe akiwa kamlenga Dr khairat na kweli aliingia kwenye mtego wake.

Kisha akafanya marekebisho pale. Gari

ikakaa sawa baada ya kuziba pancha na kujazwa upepo.

" Inashangaza, ulisema nipeleke gari garage wakati na wewe ni fundi gereji

mzuri tu" dr khairat alivutiwa nae.

" Aah' nevi yupo hivyo, nilikua nawahi

kwenye harakati zangu nimepigiwa simu.

Haya Sasa hutaki kufahamu nahitaji nini?" Dr khairat alihisi kulia. Alitamani

kabisa kijana huyu mdogo asiseme masuhara ya kulalana.

Nevi aliweza kuchomoa picha kwenye

mfuko wa koti lake Kisha akamkabidhi

Dr khairat. Ilikua picha ya Nevi, akiwa

na Bwasha pamoja na Azraj. Dr khairat alishtuka na kumwangalia Mara tatutatu

nevi. Nevi hakuwaza hata kidogo juu yake. Aliweza kutabasamu tu..

" Hii inamaanisha?" Dr khairat alikosea Ni jinsi gani amuulize anamfahamu vipi Azraj. Nevi akawahi kumwambia. "

Sitaki kuzunguka sister Ila ukweli ni kwamba, huyu ni boss wangu Mimi, tulipotezana kwenye ajari ktlutokana na matatizo. Na sijui nampata vipi, nimejaribu kumtafuta Sana tu nashindwa kumpata. Lakini hapo nyuma niliwahi kukuona nae Mara kadhaa ndo maana nikarejea kukupa msaada na wewe unisaidie pia"

Sehemu ya 164

Dr khairat alishindwa kumjibu. Kwani haikua rahisi kumfikisha mtu kwa z

Azraj bila kumfahamu kabisa. " Huna haha ya kujieleza unachotaka kuniambia

kwani Mimi pia namfahamu boss wangu, ok em fanya hivi, chuki hii namba yangu ya simu, utanipigia iwapo makuliano

yenu yakienda vyema. Ila ukimuonyesha tu hiyo picha ataelewa moja kwa moja.

Mwambie kua nevi nipo hai iwaoobado

ananihitaji, nipo tayari kumtumikia" nevi aliweza kuondoka zake. Na kudandia

pikipiki Yake Kisha huyoooo.

Dr khairat alibaki hewani asielewe

iwapo anastahili kufanya alivyoombwa au iweje? Alichezesha midomo Yake

Kisha akageuka na kuingia kwenye gari

akiwa anahisi kuchanganyikiwa, kwa

wakati huo tayari Adil kwenye gari

Yake aliainzia.

Upande wa nevi aliendesha pikipiki

mpaka Hilo mbele kidogo na kusimamisha. Alihisi kupumzika nafsi

kwa wakati huo maana angalau alipata

mwelekeo kwenye kazi Yake. Aligeuka

upande wa kushoto na kukunja ndota za

uso wake akitabasamu baada ya kuweka

mikono Yake mfukoni.

" Usiniangalie kwa ubaya" kijana mmoja

aliekua mfanyakazi mwenzako katika

kambi moja ya Badruguard aitwae

Albert aliweza kumfikia. Albert pia

alikua na Nevi katika mission moja ya

kumchunguza Azraj na boss wake.

Alikua Kama mlinzi wa bwana amiri, lakini mwanaume huyo alikua mpumbafu

alimtumia yeye Kama mlinzi wa uchochoroni na kuongozana nae kwenye

sehemu za kawaida tu. Ila kila

alipohitaji kwenda kewenye Mambo

Yake ya faragha bila Shaka angeenda mwenyewe tu.

" Ni vipi unaamini kwamba utafanikiwa?"

Albert alipata wasiwasi.

" Ninao uhakika bila Shaka,

nitafanikiwa mwenzio kwa sababu

nafamu, sio tu najua yaani Ni uhakika

kwamba naaminika kwa Azraj Badru"

Nevi alijitamba.

" Sawa Basi mi natambaaa" Albert

aliupiga mkono wa Nevi kwa kupeana

tano ya wanaume kisha akatokomea

barabarani kw aipi tofauti.

Ndani ya apartment iliyochangamka

Azraj alitembea kuelekea kwenye meza ya chakula majira ya mchana, wafanyakazi wa kike wawili waliokua na kazi ya kuandaa chakula walitokea

wakiwa na hotpot kubwa kwa ajiri ya chakula Kisha wakatenga mezani.

Azraj alimimina Maji kwenye glass

Kisha akanywa. Taratiibu akimwangalia

mwanamke aliekua amekaa kando yake.

Mwanamke huyu alionekana kushuka

sura kwa huzuni Sana. Alikua amechoka na mdhaifu kwa sababu alikua mgonjwa, anahisi kulia tu wakati wote na kutamani Bora angekufa jamani.

" Salma utakula". Azraj alimfokea

Salma hakuweza kujitingisha hata

kidogo.

" Sina hamu na chakula Chako Azraj"

Salma alijibu kwa hasira na kumfanya

Azraj achanganyikiwe, alishusha pumzi zake kwanza na kumwangalia Tena.

." Kwa usalama wako na binti yangu kula chakula" Salma alichukua imma

akachomoa kipande Cha samaki na kumtupia Azraj usoni.

" Nikiwa hai huwezi kua na binti Azraj, wewe ni mnayama sanaz itakua aibu kwa binti yangu kuzaliwa na mwanaume Kama

wewe" Salma alihisi kufa mwenyewe.

" Bila Shaka ni binti yangu wa pekee, ambae nahitaji awe salama na akikuona

usiwe na shida ushindwe kumlea ukiwa

mgonjwa" Azraj alimsogelea na kuanza

kumlisha. Salma hakua tayari kula hivyo

Azraj alikua akitumia ya lazima

kumlisha huku Salma akitaabika kwani

alikua akimuumiza, yeye ni mgonjwa

alietoka kujifungua muda si mrefu' na

alijifungua kwa kisu. Lakini bado Maisha

Yake yalikua mabaya zaidi ya kuzimu

hai. Hakua na namna zaidi ya kula kwa wakati huo.

Alijuta kumfahamu Azraj alijilaumu kwa

nini alimpenda mwanaume anaitwa Azraj

katika huu ulimwengu. Yeye alikua binti

mdogo asie na hatia, alimpenda mtu

huyu na kuamini kila kauli aliyokua

akimwambia, alijilaumu kwani Kuna

wakati alimuonea huruma Azraj kwa

kutengwa na familia Yake kwa vile

alikua kijana wa nje ya ndoa Ila mwisho wa siku ilikua Bora kwake kukaa upande

sahihi baada ya kushuka ujauzito.

' Azraj Badru , wewe ni mdudu usie

faa bila Shaka ntakua siku moja' Salma

alitamani kumuua wakati huo uwezo

Hana kabisa. Baada ya muda Azraj

hakua maeneo ya nyumbani pale Salma

alitamani kufahamu Kuna kitu gani ndani ya chumba Cha wageni ? Hivi kwa nini

anazuiliwa hata kukisogelea.

Aliangalia mlango na kuona mlinzi

aliekua akilinda eneo Hilo kasimama kwa

uangalifu na hatikisiki Kama kisiki.

Lakini kwa kweli yeye ni binadamu bila

Shaka Kuna muda atahitaji hata

kwenda haja ndogo, Kama mwanadamu

akienda haha ndogo Basi Salma

ataitumia nafasi hiyo kwenda kutambua Kuna kitu gani? Ndani ya chumba hicho.

Wakati yeye anawaza hayo, Saida

alikua amesimama dirishani akiangalia

nje kupitia kioo kilichofungiliwa tinted.

Alitamani kufa baada ya kuona anaishi

kuzimu hai. Lakini vipi kuhusu watoto

wake wawili, Ni wadogo Sana bado

Wana muhitaji. Moyo wake uliuma kila

alipokumbuka kuhusu tukio la alfajiri

kutaka kubakwa bila kutarajia aliziba

uso wake kwa maumivu na kujikuta

upya.

" Mustafa uko wapi?" Ni kipindi

ambacho alitamani kumuona Mustafa

moja kwa moja na kujitahidi ya kwamba

hatakaa akae mbali nae hata kwa

bahati mbaya.

" Nilikosea nini dunia? Kwa nini Maisha

yangu yamegeuka Giza baada ya kuoana

na Mustafa, siikatai furaha yangu

kubwa ipo kwake lakini bado walimwengu

wanaona tabu kuona furaha yetu

ikimea" Saida alizidisha kilio. Ama kweli

alimkumbuka Mustafa wake.

Alijikunyata kwenye kitanda na

kuzidisha kilio alikua Amelia Sana kiasi

kwamba Hadi macho Yake yalikua

yakitiriraha machozi bila yeye kujijua.

Kulingana na Hali ilivyo alitamani awe

amekufa zamani tu. Ila Sasa

atafanyaje ana watoto wanaomsubiri.

Tukirejea nchini Africa kusini, bwana

Rashid alikua ameketi kwenye bustani

na kijana wake Mustafa. Mustafa

alionekana mnyonge na mwenye mawazo

mengi Sana hivi kwamba alitia huruma

kwa kumtazama tu. Bwana Rashid

aliweza kuzungumza kila alichokua nacho

ndani ya nafsi Yake.

" Naomba unisamehe Sana kijana

wangu, makosa niliyoyatenda Mimi

katika ujana wangu, yamegeuka kua

hadithi isiyotamani kusimuliwa" Bwana

Rashid ki ufupi alihisi Kama yeye ndo

mkosefu namba moja kwa wakati huo.

Kwani bila yeye kusababisha kuzaliwa

kwa Azraj dunian mambo yasingeenda

hovyo Kama hivi. Mustafa alimtazama

baba yake' na kumsikitikia. Hakua na

Hali Kama yake lakini bila Shaka alikua na maumivu zaidi maana yeye alikua

katika majuto.

" Mh! Baba hapana, sio sahihi

unavyosema" Mustafa alihitaji

kumuondoa khofu. " Sio kosa lako

kuzaliwa kwa Azraj. Ni Mungu alipanga

azaliwe na kingine Azraj asingekua hivi

alivyo iwapo asingepata shinikizo kutoka

kwa mtu Fulani akiwa bado mtoto

mdogo" bwana Rashid alishtuka

shinikizo? Shinikizo gani?

Bwana Rashid aliuliza moja kwa moja

lakini Mustafa hakua tayari kumuingiza

baba yake' kwenye Mambo hayo kwani

umri umeenda ana Mambo mengi ya kushughurika nayo haswa ya kampuni, iwapo na yeye akijiingiza kwenye

Mambo ya kumdaka Azraj vitu vingi vitaenda mrama.

" Baba tuachane na yote, nilikua

naonekana Kama kijana anaechukiza

mbele ya macho Yake lakini ki ukweli

ulikua ukinipa kipaumbele zaidi katika

Maisha , ulikua ukionekana kumpendelea

Azraj tangu zamani, lakini mwisho wa siku ulismama na Mimi hata nipokosea

ungenionya kwa adhabu Kali za familia

lakini huwahi kuniacha nianguke, nimewakwaza Sana Wana familia lakini

" Shinikizo kutoka kwa mtu gani?"

hukuwahi kunitoa katika nafasi ya kua

mrithi na msimamizi wa familia ya

Badru hiyo ilikua na maana gani???

Mustafa alikua anajiuliza swali Hilo kwa

muda mrefu lakini mwisho wa siku alikua

alibaki nalo moyoni Ila leo ameamua kuuliza tu.

" Aah'! Mustafa, wewe ni kijana wangu

mkubwa katika familia, na huo ndo

ukweli unaofahamika kwa kila mmoja.

Ila huo sio ukweli" bwana Rashid

alicheza karata iliyokua mkononi

mwake.

Mustafa alimtazama kwa Makini na

kumjibu kwa kiulizo. " Hiyo inamaanisha

kwamba, Azraj anasema ukweli kila

akiongea na Mimi baba?"

Bwana Rashid hakuelewa Ila alihisi kana

kwamba Mustafa anafahamu' Jambo. "

Kwa maana hiyo unafahamu pia?"

" Baba sikua na uhakika na Hilo, kila

aliponambia, nilidhani anaongea tu kunikebehi?" Mustafa hakika alishangaa.

" Huo ndo ukweli, yeye ni mkubwa zaidi yako wewe! Sikumzaa nje ya ndoa, akikusaliti ndoa yangu Bali nimzaa kabla ya ndoa, anakuzidi wewe mwaka mzima na miezi kadhaa, lakini sikua na shida

hapo awali nilipokua na mama Yake, Ila hakua mwanamke mzuri, aliutumia mwili wake kwa ajiri ya maskahi yake. Kwa kua sikua na shida na pesa niliona haina

haja kumnyima kwani bado Nina nguvu

za kutafuta Kama kijana wa Badru, na pia alinipendeza, sio kwa akili na uzuri

Bali alikua akinitosheleza katika

nahitaji ya kimwili, Ila baada ya

kumuoa Shayma, akili yangu ilibadirika, kwani nilipata mwanamke ambae,

aliufanya moyo wangu uwaone wanawake

wengine waliumbwa kupoteza muda

katika hii dunia" bwana Badru alihisi

kucheka kila alipomkumbuka Shayma wa enzi zao.

" Mwanzo sikua nampenda kwani

nilimuona kwa shinikizo la familia, lakinia kadiri siku zilivyozidi kwenda

nilizidi kumuona mzuri na mtamu, nilimuona anastahili kua wa kwangu.

Niliona Kama nilikua mjinga kudanganya

huko nje. Ki ukweli Maisha yangu na

Shayma yalikua Kama Maisha yako na

mke wako Saida. Nahisi Kama historia

inajiludia kwa kiasi fulani. Tulipitia

changamoto nyingi Sana, na aliwahi

kutekwa Kama hivi pia nilihangaika Sana

wakati huo. Lakini sikuweza kukata

tamaa, Hata hivyo baadae nilimpata

baada ya kutumia akili nyingi Sana. Kitu

pekee kilichoweka utofauti Kati yangu

na wewe Mustafa. Mimi nilikua na

maadui ambao walikua wafanyabiashara

wenzangu na sio ndugu zangu. Ila kwako

wewe??

Daaah!! Bwana Rashid aulishika uso

wake kwa majuto. " Acha nijibu swali

lako kwanza" alicheza kadi na kumtoa

Mustafa mchezoni baada ya kumpiga

bao moja la ushindi. Mustafa hakuweza

kuumia Wala kufurahia kwani alikua

akicheza cheza tu bila kumaanisha. " Ki

ufupi ni kwamba, wewe na Azraj Ni

watoto wangu, niliwazaa mwenyewe,

nawafahamu fika tangu mkiwa wadogo, niliweza kutambua mapema Sana akili

ya Azraj, Kama nilivyoitambua ya kwako wewe, Azraj Ni mtu Safi mwema

mtaratibu na mstaarabu mbele ya kila

mtu, lakini hawezi kua msafi wa nafsi

kwa kujifanya, nilielewa Hilo kuanzia

siku ya kwanza nilipomleta hapa, na

alifanya kila Jambo kumpendeza

Shayma na wanafamilia wengine ili

kuvutia umakini wao, kitu ambacho

hakua nacho kabla ya kuja nyumbani

kwa familia hii! Hivyo nisingeweza

kuzama kwenye njama Yake.

" Ikiwa wewe ni kijana anae onekana

katili asie jari, na mkaidi na mwenye

kiburi, huo Ni uhalisia wako ambao

hukuwahi kuuficha Wala kuuweka

kando, utaonyesha hasira yako waziwazi

pindi utapokasirika, utaonyesha furaha

yako waziwazi pindi ukifurahiz na utaonyesha huzuni yako Mara tu unapohuzunika, na zaidi hutasubiri

kutoa lililopo moyoni mwako pindi

unapoamua Jambo. Huo ndo uanaume

halisi na hiyo ndo namna ambayo

mwanaume wa Badru na mrithi na kiongozi wa Badru anafaa kua. Macho

yako yamejaa uhalisia na macho ya Azraj yamejaa tamaa na ufedhuri" kwa

maneno hayo Mustafa alikosa neno, kwa

hiyo ndo sababu baba yake' alikua

mkali kwake kila alipokua akifanya

makosa. Ni kwa sababu hakutaka

kumuona akiharibikiwa . Maana

alimuandaa kua mrithi na msimamizi wa familia ya Badru mapema zaidi kabla ya muda.

Sehemu ya 165

" Kitu kikubwa ambacho Mimi nakuomba

Ni wewe kupambanaia furaha yako

kijana wangu, una safari ndefu bado

ambayo unakusubiri wewe kwenda na

kuitikia, usiwahi kukata tamaa Wala

kuyumbishwa na watu wasio kua na

maana bila sababu" Bwana Rashid

alikunja ndita ya uso wake na

kumtazama vyema Mustafa

Mustafa alitabasamu. Na kuzidi

kumsikiliza. " Katika haya Maisha

ambayo tumeishi Mimi na wewe,

nimekua mkali Mara nyingi zaidi kwako

wewe, kwa sababu ya Mambo ambayo

yalikua yakifanyika nyuma ya pazia na

ukiyavumilia, nilifahamu kabisa tangu

mwanzo ya kwamba Mustafa wangu

hawezi kufanya. Hili, Mustafa wangu

hawezi kutenda upuuzi huu! Ila nyuma

yake bila Shaka Kuna mtu anatenda

kwa kutumia taswira Yake kumchafua.

Ila nilipima uvumilivu wako, nilipima

subira yako he utaweza kuvumilia "

Mustafa alihisi kutabasamu kumbe baba

yake' alikua akimuamini kiasi hicho.

Mbona Saida hakua muelewa kwake?

Hapana Saida alikua akimuelewa tatizo

wivu na maumivu Kama mwanadamu

anaesalitiwa lazima Imani ishuke.

" Unatambua ya kwamba Mimi sitaishi

milele nikiwa na wewe, japo sifahamu

Ni Nani ataanza kutangulia Kati yangu

Mimi na wewe Ila kitu kikubwa

unachofaa kufanya ni kusimama imara

na kuiongoza Badru kwenye msitari

unaofaa, kwenye njia iliyonyoooka, kwa

Sasa utamuozesha Muzda, katika

familia nyingine lakini haina maana

kwamba umemgawa Kama mwanamke

alieolewa bado atabaki kua dada yako

ambae unafaa kumuangalia kwa ukaribu zaidi"

Mustafa alihisi Kama amekaa kwenye

meza ya wosia siku hiyo.

" Unae muksin kando yako, lakini kijana

huyu bado Ni mdogo Sana ki mawazo, na yeye ndo mtu pekee mwenye mitihani

mikubwa zaidi hapo mbele kwani ameoa

mwanamke ambae, Ni mwema mzuri

lakini atakae gombaniwa na wengi Sana, watu wengi watajaribu kuthubutu

kuiyumbisha ndoa Yake ili wampate

mwanamke wake kwa tamaa za Mali, na

Kuna wakati yatatokea mengi ya

kutokea, Kama Kaka unafaa kusimama

nae kidete na umueleze ya kwamba kitu

kikubwa anafaa kutanguliza katika

Maisha Yake ya ndoa, Ni Imani Kisha

upendo. Upendo bila Imani hakuna

ukamilifu wowote ndoani. Kwa hayo mke wake hawezi kuyumbishwa na kisiki

chochote Wala mwamba wowote kwani

atakua na Imani ya mume wake."

" Kitu kikubwa nakusihi Mustafa wangu

kwani wewe ndo kijana mkubwa na kiongozi wa familia hii hivi Sasa na hapo baadae, wazongatie Sana binamu zako', Afsat na Maulid, haswa Maulid

bado Ni kijana mdogo na bado anakua, katika makuzi Yake unafaa kumuweka

karibu na kumpa mafunzo mengi stahiki

aamini ya kwamba yeye ni Badru, kwani

mtihani mkubwa utakao upitia kwa

kijana huyo, Ni jina lake la ukoo, wafanyabiashara wengi na watu wengi

ulimwenguni, bila Shaka watamshawishi

Sana kwa vitu vizuri ili wamfanye

kwenda kinyume na wewe na familia pia, wataweza hata kumuaminisha yeye kua

sio Badru, Bali ni wa ukoo mwingine,

kikubwa unachofaa kufanya mwanangu

Ni kuufunga Mkanda ukaze"

" Baba unaongea maneno ya kuumiza na kuudhi kana kwamba Kuna mahali

unahitaji kwenda, sihitaji kusikia

maneno hayo toka kwako, Nina Mambo

mengi Sana ambayo yanauvuruga ubongo

wangu kwa Sasa" Mustafa alihisi kana

kwamba baba yake' aliongea kama mtu

anaetaka kufa. Bwana Rashid

alitabasamu baada ya kuiona hasira

Yake. Moja kwa moja alimuelewa

Mustafa aliogopa kuona baba yake'

akimpa wosia akidhania labda atakufa.

" Usiogope Mustafa, Rashid Ni kwamba usio yumbushwa" bwana Rashid aliamka na kukunja mikono Yake Kama mpiga

ngumi na kumfanya Mustafa apate

kutabasamu. Kuna wakati baba yake' alikua na vituko Kama vya mkijana wake mdogo Mustakim.

" Mimi Ni kijana wa saifu Badru, nawezaje kutikisika" Mustafa alipata

kucheka sana.

" Mimi kesho nataka niondoke niende

Tanzania" Mustafa alimuaga bwana

Rashid ambae hakuweza kumpinga.

" Utakwenda mwenyewe huko??"

" Bila Shaka, lakini itabidi niende

mwenyewe" Mustafa alimwambia baba

yake' akamkubalia, hakua na haja ya kumpinga moja kwa moja.

Mustafa alikua akirejea Tanzania kwa sababu ya mke wake tu na so kingine.

Baada ya kuongea na baba yake'

alitafuta eneo akajitenga pekee Yake

Kisha akapiga video call. Simu Yake

ilipokelewa na mwanaume wa makamu

kutoka Badru guard. " Bwana mkubwa"

mwanaume huyo aliita.

" Mmeshapata njia??" Mustafa aliuliza moja kwa moja.

" Bila Shaka itapatikana, nevi hawezi kuacha pengo"

" Vyema Sana" Mustafa aliitikia Hilo na kuona Bora iwe hivyo.

" Lakini bwana mkubwa?? Mwanaume huyo alikua na Shaka yake.

" Nakusikiliza"

" Inabidi familia ya Bwana Amiri irejee

Tanzania pamoja na mtoto wa Azraj arejee pia" Mustafa alipata maswali kwenye akili Yake.

" Unataka turejee kwenye misukosuko na wanafamilia?, Sitaki kumuumiza

yeyote Katika familia yangu" mustafa alipinga.

" Hapana bwana mkubwa, sio kwa ajiri ya hatari, inabidi nevi apate Imani

kamili kutoka kwa Azraj, hata hivyo

familia ya Bwana Amiri haiwezi

kudhurika kwani yeye ndo Mastermind wa Azraj, na anaonekana kunipenda familia yake Sana"

" Nyamaza wewe tumia akili, Kuna

jambazi mwenye uwezo wa kua na huruma na familia Yake, mtu huyu katili

aliweza kumtoa dada Yake sadaka kwa

ajiri ya maskahi Yake unadhani anaweza kua na huruma na shangazi yangu??

Mustafa alifoka Sana.

" Samahani bwana mkubwa lakini kwa

kweli itapendeza iwapo familia Yake

itamshuhudia wenyewe"

Mustafa alitafakari Sana Kisha akaona

Hilo Ni Jambo zuri na aliweza tu kumjibu Kama hakua na uhakika na wazo lake lakini ukweli, alikua tayari

amemkubalia kidogo kidogo. "

Nitafikiria" Kisha aliikata hiyo simu.

Siku nyingine tena nchini Tanzania jijini

mwanza, katika visiwa vya ukerewe.

Hatimae Salma alifanikiwa kupata

upenyo wa kuingia katika chumba

alichokua Saida. Hii Ni baada ya Azraj kwenda na chai ndani ya chumba hicho

Kisha akatoka kwa ghafla Sana.

Saida hakujua Kama Ni Salma alieingia

humo ndani hivyo bado aliinamisha uso wake chini akiwa hana matumaini.

Salma alipoingia mle ndani hakuweza

kuufunga mlango vyema akiwa na wazo

la kutoka haraka baada ya kutambua

Kuna nini ndani Yake? Alishtuka Sana

baada ya kumuona mwanamke

aliemfahamu kwa kusihi nae siku kadhaa

ndani ya nyumba hiyo.

' Ya Allah, alikua Saida? Moyo wa

Salma ulipiga kwa nguvu akiwa haamini

iwapo amemuona saida, inamaana Azraj

alitimiza adhma Yake ya kumteka huyo

mwanamke. Salama alihisi majuto

kwenye nafsi Yake.

.bila Shaka sababu kubwa iliyompelekea

yeye kuzimia siku hiyo, ilikua Ni baada

ya kusikia maelezo kadhaa kutoka kwa

Azraj akiongea na simu na mwanaume

ambae yeye hakuweza kumfahamu, alikua nyuma Yake na alisikia tu neno. "

Bila Shaka atekwe leo, muda umeisha"

Ni azraj aliongea maneno hayo kwa mtu

fulani.

Salma alishindwa kuelewa Nani

anazungumziwa. Mpaka pale ambapo

azraj alirejea kauli take akisema. "

Usifanye Kama humjui Saida mke wa

Mustafa wewe, sitaki nianze kutoa

maelezo nimesema umteke mapema

haijalishi ni katika Hali ipi? " Kisha

Azraj alikata simu Yake. Na kugeuka

nyuma akakutana na Salma ambae

alijikuta hawezi kuuzui mdomo wake

kupiga kelele kwa sauti.

" Azraj Badru unathubutu vipi kua katili

kiasi hiki?" Alitulia akitamani kummeza

sema tumbo lake lilimpa usumbufu

kidogo. " Unapanga kumteka Saida

unakichaa, yeye ni mke wa Kaka yako"

kwa neno Hilo Azraj hakuweza hata

kujari Hali Yake alimsukuma mbali.

Salma alipiga kelele kwa maumivu

alijuta kuongea na hapo akapata

madhara na hitlafu kwenye tumbo lake.

" Nitakufanya ufe iwapo hutaweza

kufunga mdomo wako, haya Mambo

hayamuhusu" aliubama mdomo wake bila

kujari kuhusu maumivu aliyokua nayo. "

Azraj Badru wewe ni mbwa!!" Salma

alimtukana Azraj akamzaba Kofi la

nguvu Salma akapiga kelele kwa maumivu.

Baada ya hapo Azraj aliondoka na yeye akawa hoi. Mpaka pale Najma

alipokutana nae, hakua na uwezo hata wa kutoa sauti kwani alikua na maumivu

makubwa hivyo alihisi akiongea anaongeza maumivu.

" Saida" alimuita akiwa ameziba mdomo

wake, alihisi kulia na kusikitika kwa

wakati huo, kwa nini waliangukia kwenye mikono ya huyu shetani. Saida alishtuka

baada ya kusikia sauti ya kike ikimuita, alitia macho Yake mbele ambayo yalikua madhaifu kwa wakati huo.

Saida alihisi Kama ndoto, aliweza

kumuona salma mbele Yake, Basi haraka

Sana alimkimbilia na kushika mikono

Yake ili kuhakiki iwapo hakua akiota. Ni

kweli kabisa alikua sahihi, alikua yeye

bila Shaka." Sss Salma!! Saida pia

alishangaa

" Umefika vipi hapa? Mwanao hajambo?

Ulijifungua mtoto gani?" Saida alikua na maswali mengi kwa Salma Alie kua na khofu kua azraj anaweza kumkuta.

" Saida, mwanangu hata sijui alipo, Saida Maisha yangu yapo juu chini,

nilipasuliwa na hapa ni nimetekwa na Azraj, na mtoto wangu sijamuona

kwanzia nimzae, kila siku ananitishia

kua nikiondoka atamuua. Na kibaya

zaidi sipajui hapa!! Saida kwa nini

hatimae ulikubali kutekwa??" Salma

alihisi kulia. Saida pia.

" Salma umewezaje kuingia humu? Kwani

mlango uliachwa wazi??" Kulingana na

Hali Yao ya kukutana katika mazingira

Tata walijikuta wakiongea mada ambazo

ziliwanyima kuelewana kabisaaa.

Mara Salma akashtuka kua hafai

kukutwa humo ndani, haraka Sana

alipata mawazo na kutaka kuondoka. "

Saida acha niondoke haifai kwa Azraj

kutambua Kama tumeonana. Bila Shaka

tutapata wasaa mzuri wa kuongea iwapo

ikiwezekana "

" Salma jamani?" Saida alihisi kulia

" Natamani kuondoka hapa" Saida

alinung'unika Salma alihisi Kama muda

wa kumjibu umeisha alikua na wasiwasi

Sana, hivyo alirejea moangani na

kuachia mikono ya Saida iliyokua

imemshika na kufungua mlango haraka

Sana akatoka. Kama bahati, wakati

anaondoka na kuingia katika chumba

Cha jirani Azraj pia alirejea kwenye

chumba alichokuwemo Saida.

" Lo! Kingeumana iwapo Azraj

angemkuta" Saida aliwaza Hilo na

kubaki amemtazama Azraj huyo

mnayama, kwa nini hakumuelewa

Mustafa hapo kabla? Bila Shaka majuto

Ni mjukuu na bahati mbaya hakuna

dawa ya majuto zaidi ya maumivu.

" Nataka kuondoka hapa Azraj, bila

Shaka nitamshawishi Mustafa amuoe

unachotaka Ila ungeniacha huru

kwanza" Saida alihisi kabisa anapiga

kelele kwenye Banda la kunguru maana

hawezi kumsikiliza. " Ni sawa" Azraj

alimjibu Saida akabaki akimshangaa.

Sehemu ya 166

Alisema sawa hiyo ilimaanisha nini?

Saida hakua amemuelewa hivyo

akatamani kuuliza Tena? " Upo tayari

kwa Hilo?" Azraj alimwangalia huyo

mwanamke mwenye sura nzuri na akili

nyingi, lakini kwa wakati huo alihisi

kabisa ubongo wa Salma umedumaa.

" Unawaza kupita kiasi wewe?" Azraj

alimwambia na kummiminia chai anywe, Saida hakua tayari kabisa kunywa chai.

Azraj hakuweza kumlazimisha.

" Ni sawa ikiwa hutaki kula, kwangu

Mimi sio tatizo Wala Sina hasara binti

Abdul" Azraj alijitupia pale kitandani na

Saida akainuka haraka na kusimama

kando. Azraj alimwangalia kwa jicho la kushangaza. Aliwaza nini?.kwamba

alitaka kumbaka?. Ahaha! Ni vizuri

lakini hata hivyo hakuwahi kumuamini.

" Huyo Mustafa unaesema atanipa nachotaka kikubwa uwe huru kaa ukijua ya kwamba anafahamu' kuhusu uwepo

wako hapa, na anafahamu' kua nimewahi kukubusu kwa lazima. Sema

ndo hivyo amekutelekeza, alitanguliza

pesa na utajiri mbele akapotezea

kuhusu wewe" Azraj alimwambia saida

ambae hakuweza kumwamini hata punje.

Baada ya kuona sura ya Saida ikiangalia

pembeni Azraj aliamini kabisa

mwanamke huyu hajamwamini.

Alimuangalia Saida alivyokua amekonda

Kama mfuko wa mifupa. Duh!

Mwanamke huyu aliwahi kua mwanamke

mzuri Sana na wa kuvutia kupita kiasi

Ila inashangaza amekua mwembamba

ghafla. Ameng'aa Sana kwa kua

aliwekwa ndani lakini Ni Kama

amepoteza nuru machoni.

" Saida, wewe ni mzuri Sana moja kwa moja yaani. Ila ulikosea maishani

mwako kuolewa na kiumbe ana itwa

Mustafa hakuwahi kua na mapenzi ya

dhati mwanaume yule, fikiria hata

hakuwaziii" Saida alichoka kumsikiliza.

" Ni sawa iwapo Mimi namuwaza, Ni mwanaume ambae nampenda kushinda ukweli wowote unaokuja mbele yangu"

Saida alimwambia bila kupepesa macho

akimaanisha, Azraj alihisi kumpiga lakini

atasema nini?

" Mmh!! Endelea kumpenda, lakini

hautarejea kwake kamwe" Azraj

alimwambia na kuinuka aondoke zake.

" Haijalishi, kikubwa ndani ya nafsi

yangu nitakufa na jina Mustafa, inatosha kabisa, iwe ananipenda au laa,

Mimi nikimpenda hiyo inatosha, sio

Kama sifahamu kua ulikua mpango wako

kumfanya mume wangu amue khairat

yule mchawi mwenzio, wewe ni muoga

Sana Azraj unapenda kutumia wanawake

Kama ngap na nyenzo za kufanyia

maovu, unazidiwa hata na walinzi wako, kwa hakika huna maana!!" Saida

alimsema awezavyo Tena kwa hasira.

" Uuwewe!!! Azraj aligeuka na kumfata

alipo, Saida Mara hii hakuweza

kushtuka kwani alimzoea kwa Tabia

hiyo. Alibaki kasimama wima akisikiliza maumivu mkononi mwake.

" Sikuwahi kua muoga Saida, Mambo yote haya kasababisha mwenyewe, alinidhurumu kila kilichostahiri kua

changu, baba pia alimpendelea yeye

mama yangu akiwa hai, kwa ajiri ya

mama Yake, mama yangu alikua Hana

maana kwa baba mwisho kifo

kikamkuta, na kwa sababu yake, Mimi

naonekana kua mdogo ilhali namzidi

mwaka mzima na nusu Ila bado

imenibusi kurejesha umri wangu chini ili

niishi Kama Badru, ni makosa yangu

kuzaliwa na bwana Rashid, ufuska na

uzinzi alioutanguliza mbele ndo vitu

vilivyomponza huyo bwana Rashid, na

kuyafanya Maisha yangu yawe zaidi ya

mbuzi" Saida alibaki akimwangalia bila

kumjari, wakati huohuo Azraj alijikuta alidondosha chozi. Na kuzidi kuongea ..

" Laiti Kama ningepata kile ambacho nastahili kutoka kwa watu wa Badru, nisingefikia huku Saida, Ni mtu gani

asiependa kuiona familia Yake ikifurahi na kuishi kwa amani, lakini Mimi

walinipa tabasamu la juu juu bila haki yoyote, sijawahi fanyiwa Cha maana

katika familia Ile, siku zote

wamenifanya kua wa kando tu. Ndo

maana sikua na namna zaidi ya kutafuta

haki yangu kwa nguvu, siku zote wao

wamemtanguliza Mustafa zaidi katika

haya Maisha. Baada ya Mustafa akawa

muksin, ahahahhah!! Saidaaaaa mpaka

hapo huelewi bado machungu yangu,

Mimi pia Ni kijana wao, lakini

walinibagua moja kwa moja hawakunipa

nafasi yoyote Ile" Saida alimuonea

huruma kidogo Azraj alipokua

alidondosha machozi na kuona kweli

hakutendewa haki. Alifaa kupewa

kipaumbele chochote pia Ni Kam vile

alitelekezwa! Saida aliguswa na hali yake.

Kisha akakumbuka Jambo. " Azraj Sina

uhakika sana, lakini nahisi ulianza

kufanya Mambo ya kiovu zamani,

huwezi kumiliki kundi la wauaji na watekaji katika haya Maisha muda

mfupi tu, nahisi walikua watu wako

tangu muda mrefu', na bwana Rashid

Ni mfanya biashara mkubwa alievuka

Mito, milima na mabonde, hivyo

anakuelewa zaidi ya mtu yeyote, huenda alikutambua kabla ndo maana

hakutaka kunipatia nafasi yoyote katika

urithi, Ila hakukunyima nafasi katika

kampuni, na mwisho we uliweza kumiliki

kampuni ya habari na matangazo kupitia

yeye, una pesa za kutosha kufanya

Maisha yako unayotaka, una nyumba

kadhaa ambazo unaweza kuishi bila

kuwaza, kwa sababu ukipata kutoka

katika familia ya Badru, ukisema

hukupewa chochote unakua sawa na

mwanaume asie ridhika na binadamu

asie na shukrani, bi Shayma

alikutanguliza mbele zaidi ya Mustafa, hakika inauma kiasi gani kuona

umewageuka." Saida alinyamaza na kupoteza huruma aliyokua kamuonea

Azraj asie na shukrani. Bila Shaka mtu

huyu Hana maana kabisa

" Wewe ni mwanamke wa Mustafa, bila

Shaka ulimezeshwa sumu nyingi dhidi

yangu, hivyo hata niseme nini? Siwezi

kueleweka kwako" Azraj alibana machungu yake na kuondoka zake

kimya. Hakuweza kubishana Wala kujibizana nae Tena.

Saida aliingalia chai pale mezani na kitafunwa kilicholetwa, aliweza tu kukaa na kuanza kutumia, Hana namna hata

hivyo lazima ale ili aishi, bado anao

watoto wawili wanamngoja, bila Shaka

Mustafa atamuokoa siku moja, iwe

Sasa au baadae.

Azraj baada ya kutoka chumbani

aligongana na mgeni sebureni. Alikua Dr

khairat ambae alijaribu kusalimiana na

Salma Salma akampuuza. " We

mwanamke sikuwahi kujua Kama

unadharau kiasi hicho" dr khairat

alimwambia Salma Azraj akamsikia.

" Ni haki Yake kua na dharau, hata

hivyo yeye ni mwanamke wangu Mimi"

Azraj aliufungua mdomo wa Dr khairat

ambae alikua akilala na huyo mwanaume

pia, Ila bado hakuona aibu kusema

Salma Ni mwanamke wake.

" Koma, ilikua bahati mbaya nikawa

mwanamke wako!!" Salma alitoa maneno

ya simu kumuelekea Azraj ambae alikaa

kimya. Kweli huyu mwanamke hapo

kabla alimpenda Sana Tena alimpenda

kwa dhati, na yeye alichezea nafasi

hiyo, na hata kusababisha chuki

kumjaa.

" Khairat karibu" Azraj alimkaribisha.

Dr khairat ambae aliweza kukaa kwenye

meza ya chakula na Azraj akakaa pia.

Salma alikua amekaa kwenye sofa yaani

mbali nao, Ila alipowaona karibu

aliinuka maksudi tu na kuwafata,

alitembea kuwapeleka Kisha akaenda

kulalia mapaja ya Azraj. Kitu hicho

kilimshangaza Azraj Sana.

" Wewe" Azraj alitamani kumfokea Ila

kwa Sasa hataki kuyafanya Mambo kua

makubwa aliweza tu kunyamaza. .

" Hata hivyo Mimi ni mwanamke wako, unafaa kunivumilia hata nikikukalia

nikiwa uchi" Salma aliongea

akimwangalia Dr khairat.

" Bila Shaka huwezi!! Dr khairat

alimwangalia hapo Salma akawahi

kuongea. " Ooh siku hizi mnafanya kazi

ya kukulana nyie wawili ndo maana

unahisi wivu kwenye koo lako, usijari

Sina hamu na mnyama Kama yeye" dah!

Salma alikua na maneno makali lakini

hakuna uongo aliosema hata hivyo.

Azraj aliweza kuinuka hapo Salma pia

alilazimika kuinuka. Azraj alihisi Kama

itakua tatizo kuongea na Dr khairat

huku wakiwa nae hapo, aliweza tu

kumbeba Salma na haraka Sana

akaongoza njia kwenda nae katika

chumba chake. Alimuweka huko na

kutaka kumfungia.

" Tulia hapa, dr khairat akiondoka ntakufungulia mlango" Azraj alimwambia.

" Nakuchukia Sana wewe ni mbwa, wewe ni ibilisi, inatosha zaidi ya

volkano nyoka wewe" Azraj majina yote

hayo hakuwahi kuyapenda lakini kwa

Sasa alishayazoea, bila Shaka Salma na

Saida wangemuita vile watakavyo. Hata

hivyo mtoto wake amekaribia

kupatikana atamfanya Salma atulize mdomo wake na ata deal na mtoto tu.

" Nimerejea" alikunywa Maji kwenye glass Kisha akamwangalia Dr khairat.

" Inaonekana huna bahati ya kupenda

mwanamke mwenye ulimi msafi Azraj??

Dr khairat alihisi kusikitika.

" Ahh kawaida" Azraj Hilo halikumuumiza kichwa.

" Aah', naenda kwenye point Azraj" dr

khairat aliushika mkoba wake na

kuchomoa picha aliyopewa na Nevi Jana

Yake. Azraj aliipokea na kuitazama

akabaki ameduwaa na kushtuka kwa

wakati huo." Uuwewe!! Hii picha ulii

uliiokota wapi?"

Dr khairat alitabasamu Kisha akichukua

kutoka kwa Azraj na kumueleza. "

Angalia kwa Makini, bila Shaka huyu ni kijana unaemfahamu" Azraj alitikisa

kichwa na kuanza kueleza bila kusubiri

huku akionyesha masononeko kwenye

Koo lake.

" Yeye ni Nevi, kijana wangu, alikua shupavu na mwaminifu kwangu, alinitendea vile ambavyo nafsi yangu

iliridhishwa nae, Ni kijana aliekua na nguvu na hakuwahi kua muoga, sikua

nimekaa nae kwa kipindi kirefu lakini

nilimuelewa Sana Nevi, inasikitisha ya

kwamba vitu vizuri huwa havidumu

kabisa" Dr khairat alishangaa hakuwahi

kumuona azraj akimsifia mtu namna

hiyo.

" Natamani Angekua hai, nilipoteza

mashujaa wawili kwa uzembe wangu

mwenyewe, bila Shaka Nevi au Bwasha

wangekua hapa, nisingekua nasota

namna hii, tayari ningemmiliki Mustafa

na familia Yake mikononi mwangu, na

hata binti yangu angeshapatikana, kwa

Hawa vijana ambao mpaka Leo hii

hawajampata, hii Ni sawa na kipande

Cha keki kwa nevi au Bwasha" Azraj

alijaribu kuyazuia maumivu ambayo

yalimpungia mkono na kumuacha

mwenyewe.

" Unaposema alikua, angekuepo, Ni

Kama unamzungumzia mtu aliekufa

Azraj, ilhali mtu huyu yupo hai??

Azraj alishtuka yupo hai? Nevi yupo

hai? Huyu Dr khairat ana masihara ya

nje nje, hawezi kua hai kabisa?

Walikufa kwa Moto baada ya kuangukiwa na ukuta wa Moto. Nevi

aliwezaje kuponea na kuishi kwa

pamoja? " Hiyo haiwezekani, walikufa

mbele yangu yeye pamoja na Bwasha"

Azraj alimwambia Dr khairat ambae

hakuweza kukubaliana nae.

" Hapana Azraj, niamini Mimi, huyu kijana yupo hai, na aliweza kunisaidia'

Mimi kuziba pancha ya gari langu, baada ya kunifananisha Kama

aliwahinkutuona Mimi na wewe tukiwa

pamoja, na akasema kua anakutafuta

Sana, mlite Hana baada ya ajari

mbaya, Ila anataka kua kando yako

Kama kijana wako muamifu siku zote"

dr khairat alimwambia azraj ambae

aliruka kwa tabasamu.

" Hivi unaweza kua kweli, nevi bado yupo hai? Nevi bado ana ishi? Hakika

hii ni habari njema, itabidi nimtafute, hakukuachi hata namba za simu na jinsi ya kumpata" aah' kwa kweli Azraj

anajitafutia matatizo. Maaana nevi Ni

sawa na mwisho wake mpya.

Sehemu ya 167

" Aliniachia kadi" dr khairat alimpatia

Azraj kadi aliyopewa na Nevi. Azraj

alifurahi alitamani kumbeba juu Dr

khairat kwa kazi kubwa aliyofanya.

" Nashukuru Sana khairat, nashukuru

Sana kwa hiki ulichokifanya." Azraj

alimshukuru

" Sio inshu kubwa, hata hivyo sikua

nimemuamini kabisa, sikuweza

kumuelezea iwapo nakufaham wewe"

" Sio kosa lako, we ni mwanamke Makini

Sana" alimaanisha sio rahisi kumuamini usie mjua.

Wakati huo huo Dr khairat akakumbuka

shida Yake pia . " Azraj ki ufupi na Mimi Nina tatizo" Dr khairat

alimwangalia Azraj aliekua na tabasamu la kumpata nevi.

" Tatizo lipi?" Bila hata kumtazama

usoni alimuuliza. Dr khairat alijihisi

kutengwa. " Aahh, Ni kuhusu hizaan, yeye yupo hospital amelazwa haijulikani atakua hai au la, lakini Kuna mtu

anatumia account Yake kunitishia

amani" dr khairat alizungumza kutokana na mashaka yake.

" Hiyo inawezaje kua? Bila Shaka sio

sahihi ukiachilia mbali familia Yake Dr

Hizaan alikua na mtu gani mwingine

ambae angetumika kukulipizia wewe

kisasi chake" Azraj alipata Shaka

kidogo.

" Sifahamu, lakini natumai utamfahamu

mapema tu. Kwani wewe na Mambo ya

mtandao Ni mtu na baba yake'" Dr

khairat alimwambia Azraj bila

kuchelewa.

Azraj alitafakari Sana kuhisi Dr hizaan

Wala hakuweza kupata jibu. Ok alimpa

matumaini Dr khairat kua lazima atajua

tatizo liko wapi?

" Sawa nakuamini" dr khairat aliweka

matumaini yake kwa Azraj hata hivyo

Hana mtu ambae amebaki nae Kama

tegemeo zaidi ya Azraj na mali alizopewa na Mustafa.

" Vipi kuhusu Yule rafiki yako'

mwanasheria, mbona siku hizi sipati

taarifa zake?" Azraj alipata khofu.

Dr khairat pia alikumbuka kua ana siku

kadhaa bila kuwasiliana nae na haelewi

kwa Nini alipotea ghafla baada ya yeye

kuachwa na Mustafa. " Mmh!

Mwenyewe sielewi hapa, Kuna siku

bwana Amiri akisema kua anamuhisi

vibaya" Dr khairat alidumkiza kipande

Cha tango mdomoni bila hata wasiwasi.

" Wewe!!, Unao wazimu, uliwezaje

kukaa na mtu ambae boss wako ana

Mshakia??" Azraj alihisi kuvurugwa.

" Usikhofu, Shaka yetu ilikua sahihi

japo tayari alituchoma lakini kwa Sasa

Hana muda kwani tayari

anashughurikiwa" dr khairat alizidi kula

tango. Khofu take ya mwanzo ilikua kumpa Azraj wasiwasi tu.

" Uppff" Azraj alipumua " hapo sawa, lakini nataka nimuone nimpe funzo la dunia" azraj alitamani amuue hata

akiwa maiti. Alikaa kwenye kiti na kumnyakua Dr khairat kipande Cha

tango alilokua kadumkiza mdomoni mwake.

" Wewe!!" Dr khairat alitoa macho.

Azraj akapenda pozi lake na kumbusu midomo Yake. Dr khairat alitabasamu.

" Nahisi Kama nakutaka" Azraj alimtania.

" Si ufanye kwa ustaarabu Sasa" dr khairat alilinga.

" Mmhh, ustaarabu gani we mwenyewe

unataka" Azraj hakusubiri Dr khairat

awe tayari kwani huyu hakua Salma

aliweza tu kuushika mkono wake na dr

khairat akajiinua kwenye kiti na kuongozana nae chumbani.

Siku nyingine Tena majira ya saa nne

za usiku familia ya bwana Amiri ilikua

mezani ikipata chakula. Bwana Amiri

hakuonekana kurejea kwa wakati huo

Hadi mke wake na watoto wake

wakapata khofu.

" Hamna haja ya kumuwazia baba, sio

Mara moja kwake kuchelewa kurejea

nyumbani'" Maulid alikaa zake mezani

na kupata chakula.

" Hukuwahi kua na moyo kabisa, bahati

mbaya iliyoje nikazaliwa tumbo moja na

hii mbuzi" Afsat alisononeka na kuinama

karibu na mtoto aliekua akichezesha

mikono Yake kwenye tenga dogo la kubebwa mtoto.

" Azmina! Mambo" aliweza kumbusu na kuendelea kula. Alishtuka baada ya kukutana na macho ya Maulid kwa

.mara nyingine. " Unakichaa, utaniangalia hivyo mpaka saa ngapi?"

Afsat alichoshwa na tabia ya Kaka

Yake.

" Hamuwezi kuishi kawaida kwani?

Mbona niliwazaa kwa masaa tofauti

Sana!" Bi Azat alihisi kulia kwa vihoja

vya watoto wake mwenyewe. Hata hivyo

ana wasiwasi Sana na mume wake

ambae hajarejea mpaka saa hii? Hata

hivyo mume wake ni mwanaume mtulivu

na anae yajua mahaba hafai kumhofia kabisa.

" Mama mbona hujari kuhusu Mimi

kabisa, Afsat kaweka pilipili kwenye

kachumbari!!" Maulid alihisi kulia huyu

mwanamke anafahamu' kabisa kua yeye

Hali pilipili lakini bado aliweka pilipili

kwenye kachumbari.

" Aahh!! Huyu ana wazimu, alitaka Nile

kachumbari isiyo na pilipili. Bila Shaka

ningekufa na kiwewe, Kama huwezi kula acha "

" Usinijibu vibaya mi Ni Kaka yako bado. Kwa nini nahisi kuichukia sura

yako ya kiume kila nikiitazama. Bora

ningezaliwa pekee yangu tu. Mwanamke

mwenyewe hujari kuhusu Mimi kabisa"

Afsat alichukizwa nae alikua na sura ya

kiume? Aliinuka haraka na kwenda

kufinya masikio yake' mabaya Kama

punda. Alivuta hayo masikio mpaka

Maulid akahisi kupiga kelele. Bi Azat aliweza tu kuchukua sahani lake la chakula na kuhamia sehemu nyingine. Amechoshwa na hao wazimu wawili.

" Unathubutu kusema Mimi Nina sura ya kiume. Ungepata wapi ujasiri wa kuniita dada, nyau wa kirusi wewe!"

Afsat alienda zake kukaa na kuendelea

kula taratibu. Maulid aliugua kila

alipotamani kachumbari yake na kuona

Ina pilipili, aliweza tu kuichukua na kuimimina kwenye pipa la takataka.

Bora wakose wote kuliko kumuacha

Afsat afurahie pekee Yake.

" Aaaaaaaaahhh... Mama mi ntaua mtu

siku moja" Afsat bila kutafakari

alijikuta akilia Sana na kusababisha

kilio kwa mtoto mdogo aliekua pembeni

Yake. Maulid alimnyanyua mtoto na kutokomea nae mbali kabisa na huyo

mwenda wazimu wa kike.

" Na akija baba namwambia ulichokifanya" Afsat alibaki akilia bila msaada.

Wakati hayo yakiendelea Nevi alikua

amesimama nje ya nyumba hiyo huku

akiwatazama watu wa familia hiyo

kupitia mwanga wa taa. Alijikaza

kuwaangalia watu hao akiufikiria mpango alionao juu Yao.

" Bado unasoma ramani nyumbani

kwangu" sauti ya mwanaume nyuma

Yake ilisikika. Alikua mwanaume wa makamu ambae alionekana kumfahamu

alikua tu ametoka kushuka kwenye gari

Yake nyeusi ya kifahari akiwa

ameshikiliwa fimbo ndogo nyeusi. Alikua

mkakamavu kwa kumtazama kutokana na mwanga hafifu wa taa uliomulika

kutokea kwenye Kona za fensi ya nyumba hiyo. Nevi alirekebisha kofia take Kisha akajibu.

" Samahani bwana mkubwa nitaondoka hivi Sasa" Nevi hakuweza kukaa hapo

Tena aliondoka zake kimya. Bwana

Amiri alitikisa kichwa na kuingia ndani ya nyumba Yake huku dereva wake

akiingiza gari Yake kimya kimya.

Kwa juu kabisa ya nyumba hiyo Maulid

alifanikiwa kuona tukio kilitokea hapo

muda mfupi. Yaani Ni kwamba Kuna mtu

alikua akiwachunguza wao na baba

yake' alimkuta Ila aliweza tu kumuacha

aende zake. Alipata hisia Hadi dhidi

Yake.

" Hakikisha unatenda mema kwa ajiri yako na Badru pia, unatambua thamani

kubwa ya kua mwana halali na mwana

familia wa Badru sio" sauti ya kike

ilipenya vyema kwenye masikio yake'

bila Shaka sauti hii Ni sauti bayo amezoea kuitii. Lazima atii.

" Wewe sio wa Badru, usiishie kujirahisi

kwa kila wanachokwambia ufanye siku

moja watakupiga teke Kama mvu asie

takiwa bila kutarajia, itabaki huna jina

la urithi na utakumbuka kua baba yako

hakua wa ukoo wa Badru" maneno hayo

yaliuvunja moyo wake kimya kimya

alipokua akirubuniwa na mtu huku

akimtaka atumie madawa ya kulevya.

Hakika hawezi msamehe mtu huyo hata

kwa bahati mbaya.

" Unafaa kuisimamia Sana na kusimama

imara Kama bwana mkubwa kutoka

familia ya Badru Mustafa, haswa

Maulid, Ni kijana ambae atakuja

kukupa mtihani hapo baadae kwa kua

atakutana na washawishi wengi Sana

watao mrubuni kupitia jina lake la ukoo

kwa kua yeye sio Badru ki

uhalisia......" Maulid alikumbuka kua

alidokoa mazungumzo Kati ya mjomba

wake na Mustafa. Kwa kweli walikua

wakiwatunza na kuwajari vyema yeye na

dada Yake tangu walipozaliwa na hata

walimuokoa kutoka kwenye uraibu wa

madawa ya kulevya, kwani Angekua

mgeni wa Nani leo? Mwisho wa siku

aisaliti familia ya Badru, hapana Hilo

Ni Jambo lisilo wezekana. Na kwa

hakika Kuna namna fulani hataki kuamini

lakini Ni ukweli kwamba baba yake' haonekani kua mwema kiasi Fulani. Na

ana Mambo kadhaa ambayo siku hizi amekua akiyatilia mashaka.

Akiwa hapo alisikia sauti za vicheko

vikendelea kwa watu ambao ni kama vile

walikua wakitembea. Bila Shaka alikua

Ni baba pamoja na mama yake. Hakua

na jinsi zaidi ya kuelekea chumbani kwake.

Asubuhi aliamka mapema Sana kuliko

alivyotarajiwa. Hiyo ilikua Ni kwa

sababu makelele ya mtoto aliekua

akibembelezwa ayakuweza kukata. Na

mbaya zaidi kelele hiyo aliisikia kwa

karibu zaidi kana kwamba mtu aliekua

akimbembeleza mtoto alikua karibu

Yake zaidi.

Alishindwa kukaa na kuamua kwenda

bafuni moja kwa moja. Baada ya kutoka

bafuni alisikia sauti ya mtoto ikizidi

akaamua kufungua mlango.

Lo! Alikua mdogo wake Afsat huyu

mjinga inamaana hakujua Kama hapo ni mlangoni kwake? Maulid alikata tamaa.

" Hivi wewe!! Ikitokea siku umeamka na akili timamu, Kuna kitu kitapungua

kwenye Maisha yako?" Swali Hilo

lilimuelekea Afsat moja kwa moja na Wala hakumjari alizidi kuzungukia eneo

Hilo hilo

" Afsat ondoka hapa, nahisi kukulamba

makofi mapema tu" Maulid alimwambia

afsat akaanza kupiga kelele.

" Baba kwa nini maulid ana makelele

hivyo. Anaongea kwa kugomba Hadi

mtoto anaogopa. Nyamaza Azmina.".

Afsat hatimae aliamua kuondoka eneo

Hilo akiwa anambembeleza mtoto wa Azraj. Maulid alichoka.

" Badala ya vitu vyote vizuri kunipenda

Mimi katika huu ulimwengu, naishia

kupata dada mjinga asie na akili Kama

huyu"

Akiwa analalamika juu ya ndugu Yake

alimuona baba yake' alitafuta Kona kwa

mbali ili aweze kuzungumza na simu.

Asingemtilia Shaka iwapo baba yake'

asingekua ana geuka huku na kule

kujificha ili aongee na simu. Ni

nyumbani kwake hapo lakini bado alikua

akii, alikua akijificha kuongea.

Hilo haliingii akilini. Maulid taratibu

alisogea kimya kimya alimfata baba

yake' ambae alijitenga zaidi kwenye balcony. Kwa wizi akawa anamsikiliza.

" mtoto wako makosa njia ya kukupatia, unadhani ni rahisi Sana kwangu Mimi

kumuondoa mtoto hapa, ikibidi uachsne na suhara la mtoto, kwani hapa si analelewa vyema tu" Maulid alishtuka

na kupata jawabu moja kwa moja. Hiyo

simu ya baba yake' lazima mtu wa upande wa pili atakua

' Kaka Azraj, hiyo Ni ngumu jamani, kwani baba anafahamu' wapi Kaka

Azraj alipo?, Hiyo inamaanisha hata

uwepo wa Shem Saida anafahamu' pia?

Anafahamu' Shem Saida atakua wapi?'

Maulid aliziba pumzi zake kwenye fikra.

Ni Kama vile moyo wake ukimuuma Sana

hivi aliekua akizungumza na Azraj alikua

baba yake'?? Yawezekana sio kweli

amechanganyikiwa.

" Huyo Nevi Jana alikua Aki spy

nyumbani kwangu kizembe Sana, Sasa

kwa mfano mtu yeyote kutoka familia

ya Badru angemkuta hapo ingekuaje?

Ana bahati kwamba Mimi ndo nilifika

pale mapema mwambie aache uzembe,

sitaki kua mashakani kabla sijafanikiwa

kumilik kitu Cha thamani kutoka katika

familia ya Badru"

Maulid alihisi kunyeshewa mvua.

Inamaana baba yake' Ni kweli hakua

mtu mwenye Nia nzuri na familia ya

Badru, inaumiza Ni familia iliyompa

thamani baada ya kumuoa mama Yao??.

Sehemu ya 168

Katika fahamu na fikra zake anaamini

kabisa kua baba Yao asingekua

chochote bila Badru. Lakini kwa

inavyoonekana Ni wazi kabisa anaisaliti

familia ya Badru yawezekana kabisa

hisia zake zilikua Sawa.

Aliona baba take amemaliza kuongea na

simu akaamua Kuondoka zake kimya

kimya asigundulike Kama kapata hisia

mbaya kwa baba Yake. Lakini ki ufupi

aliamua kua atamfatilia awezavyo

haijalishi itakua mgumu kiasi gani? Ila

hata yeye lazima atende Jambo kwa

ajiri ya familia Yake.

Huku kisiwani Saida aliugua msongo wa

mawazo na kujikuta anapoteza fahamu

kabisa. Ulikua mgumu kwake yeye Kama

binadamu wa kawaida kufungiwa ndani

muda mrefu vile. Kwa kweli hakua

anaelewa kwa nini Azraj hayupo tayari

kumuachia mbona anamuumiza hivi.

Azraj alishtuka baada ya kuingia

chumbani kumletea kufungua kinywa

akakuta saida amelala bila kujitingisha.

" Saida" akipata mshtukk na kuweka

kiamsha kinywa mezani haraka Sana

Kisha akasogea kumkagua akagundua

kwa kweli Saida amepoteza fahamu

zake kabisa.

" Saida amka" aliogopa na kufungua

mlango haraka akamuinua na kumtoa

ndani ya chumba akampeleka sebureni.

Wakati huo huo aliweza kumuita Dr

khairat aliekua kalala chumbani kwake

na nightdress

" Azraj Kuna nini asubuhi hii!! Hujui

Kama usiku ukinichosha" aliongea kivivu

akiwa na lengo la kumkomoa Salma

iwapo yupo karibu asikie. Salma alikua

na stress zake Wala hakua anajua

Kama Saida katolewa chumbani alipokua

kafungiwa na kumpelekea sebureni

maana yeye alikua katika upande

iliyojitenga na. Chumba alichokua Saida

alikua tu akimuwaza mtoto wake na

kuhisn labda atakufa siku moja bila

kuiona hata sura ya mtoto wake mzuri.

" Acha upumba** hujui Kama Saida

yupo mahututi!!" Azraj alifoka Dr

khairat akashtuka na kuhisi hasira kwa

wakati mmoja huyo mwanamke Saida.

Kwa nini kila mtu anajari kuhusu yeye

hata yeye hawamuoni wa thamani

kabisa.

" Acha kuchelewa twende

ukamwamgalie" Azraj alimkokota mkono wake hapo ndk Salma akaelewa ya

kwamba Saida alikua amepata na shida.

Alihisi kushtuka na bila kufikiria kua

anatakuwa azingatie hatua zake

akitembea kwa sababu ana mshono

AMBAO bado haujapona. akajikuta

anakimbia kuelekea huko chini

walipoenda WAWILI hao.

" Azraj mbona unafanya ionekani Kama

mtu huyo anakata roho!!" Dr khairat ki vivu na kinyonge alihisi huzuni.

" Yeye ni wa muhimu Sana khairat, hujui Mimi kitatokea kwetu sisi iwapo

mwanamke huyu atakufa, fanya haraka

Sana umtibu na ujue anatatizo gani? La

sivyo utanitambuw" Dr khairat aliwaza

kumuua Saida akiwa ana mtibu

haiwezekani Azraj amjari Saida kiasi

hicho! Lakini Sasa atamuua vipi? Dahh!!

Inakera kwa nini awe Saida kwa kila

mmoja.

" Harakisha " Azraj alimuharakisha Dr

khairat akawa Hana namna zaidi ya

kuchukua vifaa amba yo viliandaliwa na hapo akaanza kumkagua kwanza.

" Saida!!!" Salma alipiga kelele kwa

mshtuko na mshangao wa kinafki kana

kwamba hakua akiufahamu uwepo wa

Saida hapo.

" Azraj Saida kufika vipi hapa??"

Salma aliuliza kwa hasira Azraj

akamsogelea.

" Tulia ujue haya...." ki ufupi Azraj

ana hisia kidogo na Salma na haelewi

iwapo alikua akimpenda tangu zamani au

ni hivi Sasa. Kwa Sasa anajikuta

anamuonea huruma na kuogopa

kumuumiza.

" Usithubutu kunigusa Bastard!!" Salma

alitoa macho makali Dr khairat akahisi

kucheka huyu mwanamke anajitafutia

kifo kwa jinsi Azraj alivyomkatili alafu

kana mtukana.

Azraj alihisi kuumia baada ya kuiona

hasira Yake Ila hakuacha kumgusa,

alimshika kwa lazima na akapitisha

mikono Yake tumboni amkumbatie.

" Hivi unaweza kuniacha Mimi wewe!!"

Salma alinung'unika Azraj hakua tayari

kwa Hilo. Kwa wakati huo alihisi kabisa

moyo wake ukidunda kwa kumkumbatia

Salma nyuma kj ufupi alijishtukia maana

mwili wake kidogo ulisisimka Sana

tofauti na akiwa Dr khairat hii Ni

hisia?? Hakuweza kuelewa lakini kadri

Salma alivyozidi kufurukuta ndivyo

alivyokua akizidi kumpa tabu mwanaume huyo. Alijikuta hasikii hata kelele zake

hiyo inamaanisha nini jamani, mbona hakuwahi kuhisi hivyo akiwa nae hata siku moja.

" Azraj Ni lini na siku gani utaacha

unyama, mbona unatisha Sana?,

Unaweza kufanya kila unachoweza lakini

kwa nini umemteka Saida na kumleta

hapa? Binti wa watu aliwahinkukosea

nini? Tangu mwanzo unamuandama

Sana" Salma alilalamika bila kujua

Azraj hakua hata akimsikia.

" Aah' we mwanamke nyamaza nahitaji

kuongea nae" Dr khairat alimkanya

Salma ambae alipandwa na hasira, alitamani kumtema huyo mwanamke

kutoka kwenye kuraza zake za ubongo

iwe Kama hawakuwahi kukutana kabisa

lakini atafanya nini Sasa. Macho Yake

yalishaichukua hiyo taswira na ubongo

wake umeinakili.

" Azraj hajambk hivi Sasa" Dr khairat

alimwambia Azraj ambae alirejea

kwenye fahamu zake na kumuachia

Salma Kisha akamsikiliza Dr khairat.

" Hapo sawa, ataamka baada yamuda gani?" Alitamani kufahamu.

" Hauchukui muda Ila amejawa na stress, aliendelea kupata stress

anaweza kujiua baada ya kuathirika kisaikolojia"

Azraj alihisi kuchanganyikiwa, hivi kwa

nini Mustafa sio muelewa Kama

angemsikiliza mapema bila Shaka haya

yote yasingejitokeza, itabidi afanye

Jambo kabisa la kumkumbusha Mustafa

kua Saida yupo mikononi mwake. Hataki

Saida amfie bila fahida yeyote.

" Sawa nimekuelewa we nenda" Salma

alijaribu kusogea karibu na alipolala

Saida akiwa na macho ya huruma juu

Yake. Azraj alimtazama huyo

mwanamke na kugundua kua ana moyo

Safi na mnyenyekevu.

Majira ya usiku wa siku hiyo Mustafa

akiwa amelala chumbani kwake usingizi

haukuweza kupita aliwasiliana na Nevi

ambae alimwambia ndo anaelekea

kazini.

" Asante nevi, hakikisha unafanya kile

ambacho unastahili Kama mwanaume, hakika ukifanikiwa, nitakupa zawadi

kubwa maishani mwako" Mustafa alimpa

ahadi nevi kijana mdogo wa kambi ya

Badru.

" Sawa Bwana mkubwa, huo Ni wajibu

wangh sihitaji zawadi inakua Kama

rushwa kwa sababu hata wenzangu

hufanya kazi zaidi" Nevi aliweka

tabasamu na kuondoka zake kimya.

Mustafa aligeuka na kukitazama kitanda kilivyo kitupu na kimejaa ukiwa, Ni

kitanda ambacho walizoea kujirusha na

kujiachia kadri wawezavyo yeye na

Saida. Wakati mwingine na watoto wao.

Nyakati hizi zilikua nyakati Safi Sana

kwenye Maisha Yake na kamwe hawezi

kuzisahau. Lakini inashangaza Sana ya

kwamba kwa Sasa zimekua Kama

kumbukumbu tu.

" Mke wangu" aliweza kuuvuta mto

ambao Saida alikua akipenda kuuegemea

ili alale. Alikumbuka kua alikua

akimkera Saida Basi Saida Kama

hajisikii kuongea nae atachukua tu mto na kutegemea alale bila kumsemesha.

Hata angemsemesha vipi Saida

angemjibu mikato tu. Kama vile sawa' haya' sawa' Basi yeye angechukizwa na kufoka Sana ili Saida aongee. Hata

angeuvuta mto wake na Saida

angelaumu Sana.

Katika nyumba ya bwana Amiri majira

ya usiku huo huo alikua ametoka nje ya nyumba na akachelewa kurejea.

But Azat alionekana kuchanganyikiwa maana hakua akimuona mwanae wa kiume pia.

" Afsat Kaka yako ameenda wapi?"

" Mama acha nae, anajikuta mkubwa

siku za karibuni" afsat alijibu bila kujari.

." We ni mshenzi kilimkuta Jambo baya kwa mfano"

" Hakuna baya litamkuta anajikuta

mkubwa Sana yule, India Shaka mama

yangu njoo tu umchukue azmina umpe

chakula na umbadili.nepi nataka kwenda kulala" aliongea huku akipakia vipande

vya tango vilivyokatwa kwa mfumo wa matairi kwenye uso wake.

" Wewe kwa Sasa nj mwanamke, hata uliwahi kumtamanj Yasir Sabodo

mchumba wa Muzda jifundishe pia" Bi

Azat alimjibu bila kujari.

" Mama mi nawezaje kumshika neoi

zake" afsat alijionea huruma mikono

Yake

" Basi muite Maulid aje ambadili" afsat

alichanganyikiwa.

" Sawa tu, na hata.sielwi huyo mshenzi

Yuko wapi?" Wakati wao wanawaza

Sana juu.ya Maulid Maulid alionekana

kua amelala kwenye eneo ambalo

kilionekana kutembea kutoka eneo moja

kwenda eneo jingine. Ilikua Ni wapi

yupo maana alionekana amejibana Sana.

Aliweka sikio lake vyema na Makini

akisikiliza sauti za watu waliokua

wakiongea mle ndani.

" Huyu binti Ni mshenzi Sana hawezi

hata kunipa like nachotaka na Nina

uhakika kabisa anafahamu' Mambo

mengi" ilikua sauti ya baba yake' kabisa.

" Mkuu yeye ni mwanasheria mdogo tu, nadhani hamfahamu kweli Kama

anavyodai, Mustafa sio mjinga

kumuamini mtu mdogo Kama huyo"

" Acha ujinga Lilian Masele sii

mwanasheria mdogo tu, hujui historia

yake kwanza yeye sio mwanasheria wa kawaida, ndo maana Mustafa alimuamini

Sana.

Hapo Maulid akaelewa kabisa bila

Shaka Kuna mtu amechukuliwa mateka

huko. Lazima afate nyuma ili afahamu

Ni mtu gani huyo kwanza. Na akiweza

amtoroshe ili afelishe mipango ya baba yake'

Sehemu ya 169

Safari iliendelea mpaka akiwa kwenye

buti katulia kimya, maulid alihisi Kama

gari imesimama ghafla akajigonga kidogo na kutoa sauti. 'Ai'kisha

akashtuka na kujituliza

Bahati nzuri bwana Amiri na dereva

wake hawakupata mashaka yoyote Kama

Kuna mtu anawafatilia. Muda kidogo

gari iliendelea na safari na hiyo ika

hauweni kwa bwana mdogo maulid

Badru. Uhuu! Alipumua. Baada ya

masara kuchukua muda wake gari

ilisimama hatimae.

Kwa kua maulid alidhania baba yake

atakua na biashara mbaya na bila

Shaka Kuna mtu amechukua mateka.

Hivyo gari itakua imesimama sehemu ya

jumba chakavu na kutisha au kwenye

nyumba yenye ukimya. Lakini Cha

kushangaza baada ya yeye kufungua

buti na kutoka ndani ya gari ajabu

alishtuka kuwaona watu hao wawili

wakiingia kwenye baa. Iliyojaa watu

mchanganyiko.

Alishangaa lakini hakua na Budi zaidi ya kuwafata watu hao nyuma. Mara

wakaingia baa na kukaa kwanza

wakaagiza kinywaji. Na yeye akaagiza

bila kupenda na kuanza kutumia mdogo

mdogo kinywaji laini. Baadae aliemuona

baba Yake aliinuka na kuelekea maeneo ya washroom akaona akaushe asifatilie.

' Ila hapana hata wanajeshi was Badru

huwa wanasema ukifamfatilia mtu

usimpe mwanya was Imani'. Alieweza tu kuinuka eneo Hilo na taratibu akamfata

baba Yake nyuma.

Dereva aliekua kaambatana na bwana

amiri alihisi Kama Kuna mtu anamfata

nyuma baba Yake akataka afatilie Ila

akaona asite tu kwanza maana mtu

huyo Ni bwana mdogo tu anaeonekana

kua na haja zake mwenyewe.

Baada ya Bwana Amiri kwenda chooni

Katika baa hiyo, alikata Kona kuelekea

kwenye Bomba la kupitisha maji

machafu mtu ambae halifaham vyema

eneo Hilo hawezi kujua Wala kukisia

kabisa Kama eneo Hilo Lina mlango wa

kupitia. Aliangalia nyuma huko na kule

hakuweza kuona mtu wa kumshakia

kwani watu walikua wakitoka chooni na

kuingia hakuna ambae alikua na habari

nae.

Aliweza kupanda juu ya Bomba la

majiachafu Kisha akasererka kuelekea

eneo ambalo Bomba lilifata. Maulid

aliekua amebana kwenye Kona alibaki

hoi, kwani baba Yake alikua akielekea

wapi? Akasubiri kidogo ili asije akaenda

kwa papara na kukutana nae. Akiwa

anasubiri subiri akaona sio mbaya muda

umeendelea. Akafanya tu maamuzi ya

kuelekea huko huko. Alifanya Kama

ambavyo baba Yake alifanya na mwisho

Bomba lilimsereresha mpaka chini ya

mtaro uliokua ulitoka harufu mbaya

Sana. Bahati nzuri eneo lile lilikua

kavu. Aliangalia pembeni na kuona suti aliyokua amevaa baba Yake ikiwa

imetundikwa. Duh! Ni ajabu, kwa hiyo

alilazimika kuvua nguo ndo aende, labda

lilikua kuchafu? Hata hivyo yeye hawezi

kuvua nguo make hakua anapajua. Akiwa

anatafakari alihisi Kama nyayo za mtu

akizidi kusonga kuelekea aendako yeye.

Ilimlazimu awahi kupita kwenye hizo

njia za chinichini.

" Baba anampango gani na hii dunia?

Mbona anahangaika Sana" alijisemea taratibu na mwisho akazidi kumfata.

Ndani ya njia hizo za chini kwa chini

hatimae alifanikiwa kumuona baba Yake

akiingia kwenye kijilango kimoja na hapo

akaona acha asukume mlango aone

kutakua na kitu gani huko?. Asukuma

mlango taratibu na kufanikiwa kuingia

ndani ya mlango huo dogo.

La haula! Inashangaza. Mlango mdogo

uliopatikana chini ya njia za ndani kwa

ndani ya baa hiyo isiyojulikana hata

kwa watu wa daraja la juu, lilikua

chumba kikubwa mithiri ya ukumbi

AMBAO ungeweza kujaza watu

takeibani 500 kwa ajiri ya sherehe. Da!

Binadamu wanaweza kubuni Mambo, Kama hufahamj huwezi jua Kama

kwenye baa hiyo Kuna Mambo ya Siri.

Hilo halikumshangaza Sana Maulid

isipokua Kuna Jambo kubwa na

kushangaza zaidi ambalo lilimuacha hoi!!

Yaani alibaki ametoa macho akiwa

haamini Kama anaona kwa macho Yake

mwenyewe au Kuna mtu anammulika macho aone.

Nusu ya chumba like ilisheheni ma

dorali ya fedha za kimarekani unaweza

sema Bwana Amiri alikua akihujumu

uchumi. Pesa zote hizo!! Alikua

akizitumia kwa Jambo gani? Maulid

alishtuka mithiri ya moyo kuchomoka.

Aliushikilia moyo wake uliokua ukienda

Kasi.

Akiwa anatamalaki alihisi kusikia kelele ya kike ikitokea upande anaoelekea

yeye kwa nguvu.

" Utakufa siku moja we shetani??"

Maulid akipata khofu na kujidhibiti, kilikua na nini zaidi mbele Yake, ndipo akarejewa na fahamu zake ya kwamba

alikua akimfatilia baba Yake na hivi

Sasa haonekani. Wazo la kuendelea

kumfatilia likamjia akapiga hatua

kuelekea mbele kwani kilikua na upenyo

mwembamba katikakati ya zile pesa

nyingi Sana alipita na kupita hatimae

alifanikiwa kuona uwazi mkubwa zaidi

ndani ya ukumbi uleule kwa maana ya

kwamba pesa ziliacha nusu ya sehemu

mbele ikiwa wazi.

Alisimama kabla ya kusonga mbele.

Mungu wangu!! alikua baba Yake

akimtoboa mwanamke mwenye umri

mdogo Sana sawa na dada zake wawili

Muzda na Mariam kwenye upaja?

Maulid alishtuka mno. Na chini ya kiti

alichokua ameketishwa mwanamke huyo

kulisheheni matone ya damu. Maulid

alipigwa na butwaa, hivi kweli

mwanaume huyo alikua baba yake'

mzazi kabisa ambae yeye anamfahamu, Ni mwanaume ambae familia Yake nzima

unamuamini na kumpa heshima zote?

Bila Shaka hakua yeye amerananishwa.

" Utasema kwa ufasihi Ni wapi Mustafa

amehifadhi muhuri wa familia ya Badru

bila kusita sita" bwana Amiri alipitisha

Tena chuma kilichochemka kwenye mwili wa mwanamke. Huyo.

Mwanamke huyo alipiga kelele kwa

maumivu na kulegea kabisa hatimae

alikaribia kuzimia, bwana Amiri na vijana wawili waliokua wakimtunza huko

chini huyo mwanamke mateka, hawakuweza kumruhusu azimie

walimwagia Maji ya baridi Sana kana

kwamba alihisi kuganda baada ya kuzunduka. Kwa sura iliyochoka na

kukosa mwangaza usoni mwake yule

mwanamke aliinua uso wake huku

akitetemeka. Alikua ametobolewa

usonwake na ulijaa vidonda vingi mno.

Kwa kujitahidi Sana alitumbua macho

Yake yaliyotetemeka Kisha akaingia kwa taabu.

" Sitasema hata nikiwa maiti" Bwana

Amiri alichoshwa na msimamo

wa.mwanamke huyo, bila Shaka Hilo

lilibaki tumaini lake la mwisho kupata

muhuri wa familia ya Badru, hasingemuitaji mustafa Wala yeyote kuiteka familia ya Badru, na mtu pekee

anaefahamu huo muhuri Ni Nani? Ni

mwanasheria wake wa Siri, mwanasheria Lilian Masele hakuna

mwingine. Mustafa alimtumia mwanamke huyu mdogo na mwaminifu aende

kinyume nae Mara kadhaa ili kuondoka

mashakani kwa maadui zake wa kibiashara kua mtu huyu ni mtu wake.

Lakini kwa utafiti wa bwana Amiri

haraka Sana japo sio Sana

amemtambua mwanasheria Lilia kua

hakua mtu wa upande wao Bali alikua wa Mustafa.

" Kwani Mustafa alikulisha nini?

Alikoroga bendele iliyoandikwa jina

Mustafa aaminiwe Kisha akakunywesha!!!

Huna huruma na wewe mwenyewe

kabisaaa!!" Bwana Amiri aliminya macho Yake akiwa haamini.

" Yawezekana ukawa sahihi" akisema bi

Lilian Masele akiwa Hana shida na

kujikomboa kutoka kwa mtu huyo.

Bwana Amiri aliinua chuma na kuelekea

kwenye masikio yake' akiwa na lengo ya

kupitisha chuma kutoka upande mmoja

kwenda mwingine.

Maulid aliogopa alihisi kana kwamba

anamuona jini mbele Yake, hapana !

Hapana! Hapana! Haiwezekani! Bila

Shaka huyo hawezi kua baba yake'.

Anataka kumtoboa mtu masikio.

Maulid alitetemeka kiasi kwamba miguu

ilimsaliti na kujikuta anadondoka.

Kishindo Cha Maulid kudondoka

kilimshtua bwana Amiri na vijana

waliokua karibu yake. Kwa haraka Sana

waligeuka kuangalia atakua Nani?

Maulid hakuweza kujisaidia' kuyakwepa

macho Yao aliwatozama na wao

wakamwangalia. Kijana mmoja ambae

alitambua kabisa Maulid hakufaa kuona tukio lile na akatoka akiwa hai.

Alinyoosha bastora yake kumlenga

Maulid ambae alibaki akitoa macho tu.

Kabla mwanaume yule hajabonyeza

trigger Maulid alitoa sauti ya kushangaa. Na kumfanya asite.

" Baba!!! Ki ufupi hakuna kitu kinauma

Kama kuutambua ukweli mchungu wa

mtu wako wa karibu.kama ilivyotokea

kwa maulid. Yaani alihisi maumivu

ambayo hayaelezeki

Hivi Ni kweli kabisa? Baba yake' alikua

gaidi? Hapana hapana, Hilo Ni Jambo

lisilowezekana. Bwana Amiri baada ya kumtazama mwanae alipata maumivu

pia, sio kwa kua alikua mtoto wake

isipokua Ni kwa sababu alifahamu

ukweli wake kabla ya yeye kufanikiwa.

" Kwa Nini umesita?" Kauli hiyo bwana

Amiri aliitamka akimaanisha kwa nini

mwanaume huyo aliekua kaielekeza

bastora kumlenga Maulid amesita

kumuua.

" Bwana mkubwa!!!" Mwanaume huyo alishangaa Sana, Ni kwamba tayari

Maulid kamuita yeye baba alafu alifaa

kumuua pia?

" Baba wewe!! Ni gaidi??" Maulid hakua

akiamini anachosikia inamaana hata

alikua tayari kumuua? Huu haiwezi kua ukweli?

" Bonyeza trigger" bwana Amiri hakua tayari kuyajibu maswali ya Maulid

isipokua alimaanisha alichodhamiria, hivyo Kama Maulid kamfatilia saa hii, hiyo inamaana Ni mtoto asiefaa kwake.

" Mkuu?!" Mwanaume aliekua ameshika bastora alihisi kutetemeka. Bora yeye

alihisi kutetetma alishangaa iwapo mtu

anathubutu kumuua.mtoto wake wa

kumzaa, Maulid yeye alitetemeka akiwa

haamini Kama kweli huyo alikua baba aliemzaa yeye. Ki ufupi alipotea kidogo

kwenye mawasiliano hayo!

" Tress the trigger" bwana Amiri alihisi

Kama vile anacheleweshwa alimpokonya

bastora mwanaume yule na Mara moja

akanyoosha bastora kumuelekea Maulid

aliebaki hatambui kinachojiri maeneo hayo. "Bang! Bang! Bang!" Milio mitatu ya risasi ilisikika ndani ya ukumbi huo na kufanya ukimya wa sauti ya viumbe hai

waliokua eneo Hilo Zima kuchukua

nafasi Yake. Na mwisho Maulid

alionekana akienda chini.

Sehemu ya 170

Ndani ya chumba kulikua na ukimya

usiotarajiwa huku Maulid alionekana

kualala chini bila matumaini. Alikua

amejilaza chini na kufungua macho Yake

mawili bila tatizo. Ni kwa sababu hakua

amekufa alikua hai! Masikio yake'

yalicheza baada ya kusikia hatua za mtu akimsogelea. Mtu huyo alikua

akitokea nyuma Yake kulingana na hatua zilizokua zikimsogelea. Kisha hatua hizo

zikaelekea usawa wake mwenyewe. Mtu

huyo alifika mbele na kuinama kwenye

usawa wa.uso wake. Maulid kwa

kutetemeka aliinua uso wake na kumwangalia mtu huyo huku macho yake

yakibubujikwa na machozi.

" Bwana mdogo, upo sawa" sauti ya

mwanaume huyo ambayo aliisikia vyema

Sana ilikua sauti njema kwake na ya matumaini makubwa, lakini kutokana na mshtuko aliokua nao hakuweza kujibu

kitu. Mtu huyo hakua mwingine Bali

alikua shemeji yake mtarajiwa Bwana

Yasir Sabodo.

Maulid alitabasamu hakika mtu huyu

alifika kwa wakati ufaao. Na hakua

amekuja pekee Yake, alikuja na watu

wengine Kama sita hivi kwa ajiri ya msaada.

" Baba yangu kweli Ni gaidi??" Maulid

alimhoji Yasir ambae alimuonea huruma na mwisho akamuitika kwa kutikisa

kichwa kua yupo sahihi.

" Mmemkamata?" Maulid alihoji.

" Amefanikiwa kutoroka, nadhani atapenda mafichoni" baada ya Yasir

Kutamka hivyo Maulid akamkumbuka

huyo baba yake' mkatili bila Shaka

hawezi kua ameenda mafichoni bure

mtu huyo mbaya nii??? Ni baba yake'

yeye pamoja na dada Yake Afsat. Aah'

hapana haiwezekani na asubuhi

akizungumza suhara la mtoto ambae ni

azmina! Bila Shaka atakua ameelekea

nyumbani kwao.

" Hapana shemeji Yasir huyu baba

yangu hawezi kua ameenda mafichoni, bila Shaka atakua ameelekea nyumbani"

Maulid aliekua amepoteza nguvu ghafla

alihisi kujiwa na nguvu upya, anafaa

acheze nafasi Yake Kama kijana

mkubwa wa bi Azat Badru, baba yake'

anaefahamika kama mwema Sana, iwapo

yeye kamgundua na alibaki kidogo

amuue vipi kuhusu mama Yake na mdogo

wake? Hapana acha awahi Maulid

aliinuka haraka bila hata kutazama

nyuma. Alikimbia moja kwa moja

kuelekea nyumbani kwao na kuwaacha

Yasir na vijana wake wakifanya kazi

Yao.

Kazi waliokua nayo hapo Ni kumuokoa

Lilian na kuwakamata vyema vijana

wawili wa bwana Amiri, maana wao ndo

sababu Hadi Bwana Amiri amefanikiwa

kukimbia. Na wanafaa kuwasubiri police

wawasili sehemu hiyo kuja kuchukua

ushahidi wote.

Maulid akiwa amefanikiwa kutoka nje

kabisa ya Ile baa alikua hoi alikimbia

na kusahau iwapo anafaa hata achukue

taxi au pikipiki angalau awahi kuliko

kukimbia. Alikumbuka namna ilivyokua

mpaka Yasir akafika eneo Hilo kwa wakati.

Ni baada ya yeye kuwa na mashaka na baba yake' usiku wa Jana tu.

Alikumbuka siku ambazo walikua south

Africa dada Yake Muzda alilalamika kua

hampati rafiki yake' kwa muda Sasa, na hajui atakua wapi?

Kisha usiku mmoja kabla hawajarejea

Tanzania alimsikia baba yake' aliongea na simu. " Amefanikiwa kuongea??"

Hajui mtu wa upande wa pili alijibu nini? Lakini bila Shaka jibu lake halikua la kumfurahisha baba yake'. "

Hakikisha anaongea hafai kufa bila

kusema muhuri wa familia ya Badru uko wapi?, Nitawaua asiposema ukweli, maana tumezunguka sehemu zote lakini

hatujabahatika kufahamu" baba yake' alisita Kisha akaongea.

" Hakikisha anaongea, nitakufa

asipoongea, hii Ni kazi ilionichukua

Maisha ya watu wengi, amini Lilian ndo

mwanasheria wa Siri wa mustafa, jitahidi aseme ukweli, Jambo hili ni

muhimu, nilimtoa Hadi dada yangu kwa

ajiri hii" Maulid alishtuka Sana kwa

maneno hayo na kuamua kufatilia lakini

hakua na namna ya kumfatilia baba

yake' wakiwa afrika kusini. Mwisho wa siku walipata taarifa kua wanafaa

kurejea nchini.

Wakiwa kwenye maandalizi Muzda

alijikuta akimtolea bila kutarajia,

alimpa ombi ambalo hakuna hata mmoja

anaweza fikiria Kama yeye atafanya

kwa kweli. Maulid alichukuliwa mdogo

siku zote kwatika vijana wa familia

hivyo akili yake nzima alijiweka katika

kipaji chake, lakini hatimae dada Yake

Muzda alimuomba Jambo.

" Maulid naomba ukienda huko unisaidie

kumtafuta lilian, ushikamane na Yasir

mumtafute lilian" Jina lilian liliucheza

ubongo wake Kisha akakumbuka ndo jina

ambalo alimsikia baba yake' akilitamka.

Hivyo akafanya maamuzi ya kuchuja

Kati ya Maji na mafuta. Kwa nini abaki na mashaka kwa baba yake'.

Ndipo alipofika Tanzania alimtafuta

Yasir na kumwambia, yasiri akamjibu

kua mtu wa kwanza anaeshakiwa alikua

baba yake' na Maulid hakutaka kupinga

kwani hata yeye alikua na mashaka nae.

Kwa hiyo siku hiyo kabla hajaenda

kumfatilia baba yake' kwenye safari

zake. Alimpigia simu Yasir. " Ndo

wakati huu" alimwambia Yasir akamjibu.

alifanya hivyo akiwa anaamini kabisa

atakua salama mikononi mwao shemeji yake.

." Washa simu yako niifatilie" Maulid

Na kweli bhana Yasir alifanikiwa kufika hapo kwa wakati na aliweza hata.

¥Turudi nyuma kidogo ili mtambue ilikuaje risasi tatu kusikika na Maulid

akawa hai na kwa nini bwana Amiri alitoroka? ¥

Wakati ambao bwana Amiri akijiandaa

kufyatu risasi na aliweza kubonyeza trigger Kama alivyosema

" Tress the trigger" akafyatua risasi na kuruhusu kutoka kwenye mdomo wa bunduki. Lakini mwishowe risasi Ile

haikufaulu kwani Maulid alijirusha chini upande mwingine na risasi mbili

mfululizo zikasikika kutoka nyuma ya Maulid. Yasir alifyatua risasi hizo mbili

mfululizo kuelekea kwa bwana Amiri

aliebaki amesimama kwa kuduwaa.

Kwani risasi zilikatiza kwenye usawa

kidogo Sana na pua pamoja na macho

Yake. Kwa hakika mtu huyu hakua na

lengo la kumuua kwa shabaha aliyokua nayo.

Ina maana atakua polisi? Maana mtu

huyo hakua amejitokeza tayari. Akaona

kuliko abaki hapo kutafakari anaweza

Kamatwa na polisi wakati wanaushahidi

Tosha kwamba yeye alikua amehifadhi

kiasi kikubwa Cha pesa eneo Kama lile

ambalo aliruhush na pia ndani ya

chumba hicho kulikua na vitu vyake vingi

vya Siri Kama madawa ya kulevya, vipande vya dhahabu, pembe za ndovu, na kadharika vudivyokua halali, na kwa

kweli wakati huu uhai Ni muhimu Sana.

" Huyu mjinga asie na akili amenichoma"

alimaanisha Maulid huku alikimbia kwa

kupitia njia nyingine kabisa kwani

aliamini hapo hawezi kuponea Tena.

Wakati huo pia ndo Yasir aliwasili na vijana wake watano. Na hapo ndo Maulid alisalimia pamoja na Lilian.

Katika nyumba ya bwana Amiri kimya

kilitawala huku watu wakiwa hawaelewi

kwa nini watu wawili. Pamoja na mtoto mdogo.

" Mama mi naogopa Sana, Ni usiku wa saa sita sasa na Maulid hajarejea

nyumbani na marafiki zake wote Ni Kam

hawafahamu alipo" Afsat alilalamika kwa uwoga.

" Usifanye Kama vile Mimi tumbo la uchungu halinikumbushi kuhusu yeye"

hofu ilitanda baina yao na hapo bi Azat

alimbeba azmina aliekua amelala na kuamua kumpeleka kulala chumbani.

." Mama naogopa" afsat aliinuka na kumfata mama Yake.

" Unaogopa nini Sasa?" Bi azat hakua na budi zaidi ya kuongozana nae, hata

hivyo wote kwa pamoja walikua na khofu.

Huku nje bwana Amiri aliwasili katika

nyumba Yake akiwa na wasiwasi wa Hali ya juu' huku akiwafukuza walinzi kwa

kudanganya kua anawapa ofa hataki

kuwaona kwa usiku huo.

" Boss lakini Ni wajibu wetu kuilinda

familia ya Badru bila kuchoka" mlinzi mmoja.alijibu

" Kwa hiyo Sina haki ya kutoa neno juu ya familia nyangu mwenyewe" aliwaka

kwa hasira macho Yake yakajaa damu, na hapo ikabidi walinzi wafanye Kama

walivyoambiwa na hatimae waliondoka

kabisa katika jengo Hilo. Na haikua tu walinzi Hadi kwa wafanyakazi wa ndani

walipewa amri ya kuondoka hapo.

Haijulikani Ni kitu gani bwana Amiri

alipanga kwenye kichwa chake. Ila

alinyoosha njia moja kwa moja mpaka

kwenye chumba ambacho alihisi Kuna

watu walikua wakiongea. Alifika na kuwakuta Mke pamoja na binti Yake

wakiwa wanabembelezana kuitafuta

usingizi. Aliwasalimia na hapo afsat

aliinuka na kumkumbatia baba yake'.

" Baba Maulid haijulikani aliko! Mpaka saa hii saa sita" afsat alivuta kamasi.

" Naogopa baba" alimwambia.

" Huna haja ya kuogopa mpenzi"

aliongea kisha akainama alipo mtoto wa

Azraj. Ma'am bila Shaka Maulid alikua

sahihi, mwanaume huyo amekuja moja

kwa moja nyumbani kwao kumchukua mtoto.

" Mume wangu ndo amesinzia hivi Sasa baada ya muda mrefu', unafaa

umuache iwapo umemkumbuka

utamwangalia hata kesho" Bi Azat aliongea.

" Hili la leo halisubiri kesho!!" Bwana

Amiri alitoa macho makali ambayo bi

Azat kamwe katika Maisha Yake

hakuwahi kuyashuhudia kutoka kwa

mume wake huyo.

" Una tatizo kwani??" Bi Azat alihoji huku afsat akiwa kashangaa.

" Ndio nalo tatizo na nyinyi Wana

familia wa Badru" aliongea kwa sauti ya

tetemeko ambayo iliyakumba vibaya

Sana masikio ya Bi Azat na Afsat moja

kwa moja. Wakiwa akwenye butwaa

bwana amiri alimchukua mtoto na kuondoka nae.

Hapo afsat akili ikamcheza. " Baba azmina, hapana baba unampeleka wapi mtoto?" Bwana Amiri hakua anataka

kujua kitu aliweza tu kuwafungia mlango watu hao ndani ya chumba Kisha

akanyoosha njia kuelekea anakojua yeye mwenyewe.

" Baba huwezi kwenda na azmina, Ina maana kweli baba unashirikiana na Azraj. Ina maana ni kweli Maulid alivyosema. Maneno Yale yalikua

yakijirudia kwenye masikio ya Bi Azat na kubaki haelewi chochote.

Sehemu ya 171

" Kwani wewe unamana gani? Maulid

alisema nini?" Bi Azat alihoji akiwa

hataki kuamini maneno aliyotamka afsat

mwanzo.

" Mama mwenyewe siamini Ila Maulid

alisema eti baba ana Mambo mengi

Sana anaficha sirini na kingine

anashirikiana na Kaka Azraj kuiangusha

familia ya Badru" maneno hayo yalikua

Kama radi Kali kwenye ngome ya

masikio ya Bi Azat, Hawa watoto

hawana akili wakimzungumzia mume

wake bila Shaka. Huyo Ni baba Yao!!

" Nyamaza huo ujinga!!" Bi Azat

alifoka. Kisha akasikia sauti ya mtoto

akilia huko nje. Kwa kweli akili Yake

haikua woman hata kidogo, iwapo

angepatikana mtu wa kusoma ubongo

angeelewa Hali Yake.

" Azmina" Afsat alianza kupiga kelele.

Juu kabisa ghrofani bwana Amiri

alifanikiwa kupanda akimngoja Nevson ambae aliwasili kwa wakati mzuri.

"Bwana mkubwa " Nevson alimsogelea akiwa na lengo la kumchukua mtoto kweli.

" Humpeleki kokote'" sauti ya kufoka ilisikika nyuma ya Bwana Amiri na

kwenye masikio ya Nevson. Kwa upande wa Nevi alihisi Raha Sana kwa kua

tayari familia ya bwana Amiri

imegundua ukweli.

" Bwana mkubwa" Nevi alionyesha

unyenyekevu na subira ili apewe amri ya kutii.

" Ondoka na mtoto haraka" alimsogelea

nevi. Lakini Maulid alikimbia haraka

Sana kuelekea kwao. Nevi akasita

kusogea.

" Huwezi kwenda nae mahari yeye ni mtoto wa Kaka Azraj, ni.muhimu kwa

Kaka Mustafa" Maulid alimlalamikia baba yake'.

" We Bwana mdogo una shida gani na Mambo ya watu wazima" bwana Amiri alifoka. " Familia ya Badru imekugeuza

mtumwa wao" bwana Amiri alihisi

kupata hasara kutokana na kuzaa mtoto

Kama huyo.

" Ndio bila Shaka, nipo tayari kuishi

Kama mtunwa wao kuliko kuishi Kama

wewe. Huwezi mchukua mtoto baba. Ni wa muhimu" Maulid alikazia dhamiri

yake kwani yeye hakufahamu iwapo

Nevi Ni kijana wa musatafa, bila Shaka

angekuja Hilo haraka Sana angempa

nevi kwa mikono Yake mwenyewe.

" Nevson mchukue mtoto" bwana Amiri

aliamuru na kuchomoa bastora aliyokua

nayo. Hakusita kumuelekezea Maulid

kwa Mara nyingine kwa kweli alidhani

anastahili kumpoteza huyo mtoto ambae

kamuingiza matatizoni.

Nevson aliona acha asiweke vikwazo

Kati ya baba na mtoto bila Shaka

mwanaume huyu hata awe katili kiasi

gani hawezi muua mtoto wake

mwenyewe. Kitu ambacho nevi aliwazia

Ila ki uhalisia hakua akamuelewa bwana

Amiri. Aliweza kufanya haraka kwa

spidi yake ya ajabu akamchukua mtoto.

Maulid alijaribu kumsogelea Nevi na

kumvuta bega lake. Kwa nguvu za Nevi

aliweza tu kumsukuma kwa kikumbo

kimoja tu na hapo Maulid alidondoka

chini, Nevi hakusita kuruka kutoka juu ya ghorofa na kutangulia chini akiwa na

mtoto mdogo mikononi mwake.

Maulid alishuhudia tukio Hilo Kisha

akapiga kelele. " Hautafika nae mbali, bila Shaka utakamatwa" Maulid alifoka

kwenye ukweli ambao hajui Kama

hakustahili kumletea shida nevi. Kwani

nevi Ni wa Mustafa.

" Unadhani atakamatwa kizembe kwa

mipango yako finyu, hayupo Kama mbwa wa Badru" bwana Amiri alimwambia

huyo mwanae mpumbavu Kisha

akajiandaa kuondoka.

" Huendi popote baba" Maulid alimzuia.

" Wewe Nani Hadi nisiende pop0te"

bwana Amiri hakuweza kumjari

akajiandaa kuruka kutoka juu ya

ghorofa lakini hakuweza kufanikiwa

kwani tayari Maulid alimfunga kamba

mguuni mwake.

" Wewe!!" Bwana Amiri alishindwa

kujizuia kumuelekezea bastora huyo

mtoto mpuuzi.

." Siogopi kuuliwa na wewe hivi Sasa?

Hapo mwanzo sikujua Kama wewe ni

gaidi ndo maana nilibaki na bumbuwazi

baba, lakini hivi Sasa sitakuacha uende

ukaendelee kutenda maasi, lazima

nikushikilie ili ukakiri madhambi yako

yote baba, kwani ushahidi kamili juu ya

ugaidi wako upo mikononi mwao polisi na

wanajeshi wa Badru tayari

wamekabudhi, na kwa Sasa sidhani

Kama unazo hata hizo sekunde za

kutoroka" Maulid aliongea akiwa

anapata maumivu makubwa kwenye moyo wake.

Ki ufupi inauma kuzaliwa na mzazi

ambae wewe huyo huyo utatumika siku

moja kumkabidhi kwenye mikono ya usalama ili akaadhibiwe.

" Una wazimu wewe!! Unadhani hao

polisi sijui serikali watanifanya nini?

Hakuna wa kunifanyia chochote. Mimi

Ni mtu mkubwa zaidi ya Badru, nilibaki

kidogo nimiliki ulimwengu mzima wa

utajiri Kama sio wewe mwanaharamu"

bwana Amiri alihisi hasira akashindwa kuidhiti na mwisho alibonyeza trigger ili

akiweza amuue huyo mtoto.

." Nitachagua njia sahihi Maisha yangu

yote aijalishi nini kitatokea? Nitabaki

upande wa Badru tu" Maulid alipiga

kelele huku alifunga macho yako baada ya risasi kuchomoka kwenye bastora.

" Baba mauuuuuu!!!!!! Sauti ya bi Azat

ilisikika kwa ukaribu zaidi akionyesha Ni

kiasi gani alipigwa na butwaa kushuhudia tukio Hilo.

" Bang" kama kawaida Pam parika

mlango wa chuma ukiifungua hauna

huruma, risasi hiyo isiyo na huruma

ilisafiri moja kwa moja kuelekea kwenye

mwili wa binadamu ambae alikua

amejiandaa kuipata. Maulid aliekua

amefumba macho yake alifungua macho

akiwa haamini alikua amesubiri risasi

imuingie, lakini mwisho wa siku Ni Kama

vile hakupata tatizo lolote kwenye mwili

wake zaidi ya uwoga na mapigo ya moyo

wake kudunda. Na kingine mbele Yake

kulikua na umbile la mtu amesimama .

Alikua afsat ambae alisimama mbele

Yake huku akimpa tabasamu murua

linialochanua kwa maumivu. Machozi

yalimtoka afsat akiwa kamwangalia

Maulid. " Mm mau" alijikuta akienda

kumuangukia na hapo Maulid aliweza

kumdaka afsat aliekua akimdondokea na wawili hao wakakumbatiana. Maulid

akiwa amemkumbatia Afsat mkono wake

ulikua na majimaji baada ya kumgusa

mgongoni usawa wa bega lake la kushoto. Majimaji hayo yalikua na harufu Kali kana kwamba yalikua, yalikua! Hapana Ni damu!!

Nini?? Kichwa Cha Maulid kilicheza

Kama kitenesi, Ni Ni kweli kwamba?

Sio yeye aliepatwa risasi lakini dada

Yake kipenzi Afsat ndo ameishia

kusimama mbele Yake na kumkinga kwa mgongo. Wake. Na mwisho afsat

ameambulia kupigwa risasi na baba Yao katili.

" Kweli...yeye .... ni Ni baba yetu

sisi?? Afsat alijikuta akihoji swali Hilo

kwa Kaka Yake.

Bwana Amiri haikumshtua kwani alikua na hasira pia, Ni bahati mbaya iliyoje

kupata watoto ambao hawakua

wakimsikia na kua upande wake. Aliinua

Tena bastora take na kuilekeza kwa

wawili hao waliokumbatiana. Bi Azat

ufaham ulimrejea eneo alilokua, alishindwa kusita kukimbia na kuushika

mkono wa mwanaume huyo mpumba**

aliikua akiwaua watoto wake mwenyewe.

" Wewe ni kichaa', wewe ni shetani wa aina gani? Wao Ni watoto wetu

wadogo" Bi Azat alibubujikwa machozi

akijilaaani kuzaa na mbwa Kama hiyo

katika ulimwengu, aliwezaje kuolewa na mwanaume Kama huyo? Kwa nini

hakumfahamu kabla.

" Sio watoto wetu , Ni watoto wako na

Ni zao la Badru damu haramu maishani

mwangu" bwana Amiri alimuweka ukatili wake mbele. Bi Azat alijikuta akilia

Kama mtoto ili huyo mwanaume awaache watoto wake. Mwisho wa siku Ni

kwamba Bwana Amiri aliweza

kumsukuma Bi Azat msumbufu na kusababisha Bi Azat adondoke kutokea

hapo na kuangukia upande wa pili.

" Aaggghhh" sauti ya kukwaruza kwa

uwoga ya Bi Azat ilisikika.

" Mamaaaa!!!! Maulid alipiga kelele huku

Afsat alizidisha kilio. Familia Yao

iliyokua na furaha siku zote imegeukaje kua hivi??

Maulid aliweza kumuweka chini afsat na haraka akainuka amkimbilie mama Yake.

Kwa kweli baba yake' hakumruhusu

alikua na hasira nae kiasi kwamba

alidhamiria kumuua tu. Huyu mshenzi

ndo sababu ya kila kitu. Akimlenga

bunduki na kutaka kummaliza. Maulid

akili Yake ilimlenga mama Yake tu.

Risasi ilimfata Maulid ambae kidogo

impate lakini bahati nzuri Kuna risasi

ilitokea zaidi ya spidi yake na kukigonga risasi hiyo.

Maulid hakuweza kugeuka nyuma Wala

mbele isipokua bwana Amiri alishtuka

Sana baada ya kuwaona watu waliwasili

eneo Hilo. Walikua vijana watatu mbele

Yake. Mashuhuri na mashupavu. Alikua

Mustafa Badru, muksin Badru, pamoja na Yasir Sabodo. Nyuma ya kila mmoja

kulikua na mlinzi mmoja. Gharib.

Halisubiri kuamriwa na akakumbuka

kwenda kumpa tafu Maulid aliekua

akihangaika kumuokoa mama Yake

alieshikilia nguzo ya balcony ili

asidondoke chini akapiteza uhai wake.

Na wakati huo muksin aliweza tu

kumuinua Afsat akisaidiana na mlinzi

wake haraka Sana wakaelekea hospitali.

Bwana Amiri alihisi kuyaona mauti

Yake. Hakuweza kusubiri kuruka kutoka

ghorofani na kuishikilia kamba iliyokua

imeandaliwa kwa ajiri Yake kushuka.

Mustafa pia hakuchelewa kumfata, na

kwa bahati nzuri Yasir alikua mzuri

Sana kwenye kulenga shabaha. Aliilenga

Ile kamba vyema Sana na akafanikiwa

kuikata karibu kabisa na mikono ya bwana Amiri.

Kwa mshtuko wa kukoswa na risasi Tena

mwanaume huyo alijikuta akiachia

kamba na kudondoka kifudifudi. Sio tu kwamba alipata maumivu ya mat*k*

baada ya kudondoka lakini kwa kweli

bado alikutana na teke kubwa la uso

alilopewa na Mustafa Badru huyu mtoto

asie na aibu.

Baada ya Gharib kumuokoa Bi Azat

ambae hakuamini kwa kila tukio

lililojitokeza hapo, na kuhusu mume

wake kwa kweli akili Yake ilipararaizi

kwa muda na mwisho alipoteza fahamu

zake kwa mshtuko. Maulid pamoja na

Gharib walilazimika kuongozana ili

kumpeleka hospitali.

Yasir aliandamana na Mustafa

kumuadabisha huyo mbwa mwitu wa makamo bwana Amiri, isingekua rahisi

kwa wao kumuacha salama. Walianza

kumtembezea kichapo bila kusuburia.

Wakati huo wao walimpiga Sana, Maulid na gharib walikua ndo wanamuingiza Bi

Azat kwenye gari. Maulid alimkumbuka

Afsat dada Yake kipenzi ambae alijitoa

kumuokoa yeye. Alikua kwenye maumivu

makali kiasi gani?.

Roho ya unyama na maumivu kwa

pamoja ikamvaa Maulid ambae aliomba

Gharib asimamishe gari. Kisha

akachomoka na bastora kwenye siti ya gari kwani Ile ilikua gari ya Mustafa.

" Wewe!! Gharib alimtahadharisha. Kwa

kweli Maulid alifanya Kama vile hakua

amesikia huyo mwanaume ambae yupo

sawa na Kaka Yake muksin. Hawezi

kukubali na kuyavumilia maumivu ya

ghafla aliyoyapata kupitia baba Yao

huyo asiesatahili alikua tayari

kuwaangamiza?

Kwa nini amuache. Ki ufupi so sahihi

kumpa nafasi adui. Wakati ambao

Mustafa na Yasir walikazana

kumuadhibu bwana Amiri Kama kitenesi.

Alitokea Maulid na kumlenga bastora

ambayo ilikua na uwezo wa kumiliki

risasi 12 kwa wakati mmoja.

Mustafa na Yasir wakiwa hawana moja

Wala mbili, walishtuka kuona risasi

ikizama na kusababisha damu kuruka

kutoka kwa bwana Amiri. Nini? Alikua

Nani huyo aliefanya hivyo?

" Maulid acha kuchukua Sheria

mkononi?" Mustafa alimfokea lakini

Maulid hakuweza kumuacha baba yake' huyo asiesatahili uhai. Alifyatua risasi

Tena na Tena mpaka pale alipoona

zimeisha kwenye bastora. Hakuna

aliemsogelea. Kabisa.

Sehemu ya 172

Ni siku mbili zilipita tangu tukio Hilo la kutisha lijitokeze. Ndani ya kisiwa Cha

ukerewe jijini mwanza Salma alionekana

kua na furaha na kupata ahueni ya

Maisha baada ya kuletewa mtoto wake

kwenye mikono Yake.

Lakini bado hakua na Amani kabisa

katika eneo Hilo. Bado walilazimika

kuishi na Azraj. Saida akiwa amejikalia

chumbani mlango wake ghafla ulifunguliwa.

" Unataka nini Azraj, ndhakwambia chukua uhai wangu kwanza ndo ufanye

unachotaka kufanya" Saida alifoka.

" Hapana shem sio Azraj, Ni Mimi nevi"

Saida alishtuka alikua nevi, nevi ndo

Nani? Kijana wa Azraj Badru.

" Ondoka hapa, sihitaji kula, Leo ni siku ambayo nitaicha ipite tu. Saida aliongea bila kuogopa. Alikua

amechoshwa na Hawa watu ambao

walimfungia jumla kwenye hicho chumba na kumnyima haki.zote za kibinadamu, kwa kweli hapo mwanzo aliamini

ataokolewa na Mustafa Ila inaonekana

hata Mustafa pia Hana muda nae.

Hivyo hataki kula, Ni sawa hata akifa.

" Shem, Mimi naitwa Nevson Ni kijana

mtiifu wa Mustafa Badru, natokea

katika kambi ya Badruguard. Nimekuja

huku kwa ajiri yako" kwa utambulisho

huo Saida alijikuta akimkumbuka

Gharib. " Mimi naitwa Gharib, kijana

mtiifu wa Kaka mkubwa, Mustafa

Badru" alihisi kumuamini.

" Sio rahisi kwako kunifahamu kwa

sababu Mimi Ni Askari wa Siri Sana na

nafanya kazi na magaidi pamoja na

maadui Mara nyingi, hivyo kwa Sasa

natambulika Kama Askari wa Azraj

mvhapakazi na mwaminifu, lakini Mimi

ndo niliemuua Bwasha" aliongea nevi

Saida akabaki haelewi kabisa.

" Sasa Kama Ni kijana wa Mustafa, huyo Mustafa mwenyewe atakua wapi?

Tayari nimemaliza mwezi Sasa na siku

kadhaa bila kuwekana nae machoni, au sikua na umuhimu wowote ule kwake, kwa nini asimpe Azraj kitu anataka ili anichukue? Kwa kweli Mali Ni muhimu

na za maana Sana kwake kuliko Mimi?"

Saida alikata tamaa.

Nevi alipata hisia chungu na kwa Mara

ya kwanza akahisi kumkumbuka Zarina.

Alikua Ni mjakazi tu kutoka katika

familia ya Badru, Mara nyingi alikua

akimuona kwa kumtupia jicho bila hata

kumsogelea, na alihisi maumivu kila

alipomuona akiteseka na Mambo kadhaa

ambayo aliyafanya bila Shaka

angeongozana na Saida au Asia, na yeye angevizia masaa ya kwenda

sokoni, au kumchukua Shayma shule ili

amuone zarina. Lakini Sasa Ni

marehemu, na tangu afariki msichana

huyo ndo siku ambayo Saida alifungua

hapo katika eneo Hilo. Hata yeye alikua na upweke mwingi Sana baada ya kusikia kifo chake. Kwa maana hiyo.....

" Samahani shemeji, najua umekua

mpweke Sana hapa, lakini Bwana

mkubwa hakuwahi kusahau, hakuwahi

fikiria kukuacha mwenyewe, hata yeye ni mpweke pia Ni mpweke zaidi. Yaani

amekua akifanya Mambo mengi hivi

Sasa. Lakini hajakusahau" nevi aliweka

sura ya huruma kwa Saida ambae

alibaki kamtolea macho.

"Kwa Nini hakukutuma mwanzo mpaka

Sasa hivi ndo anakutuma, siwezi

msamehe Mustafa kwa hili, hivi anajua

nateseka kiasi gani Mimi?" Saida alilia

Sana na kushindwa kuzuia hisia zake.

" Shem tafadhari, usiku wa leo, usiku wa leo bwana mkubwa atakuja

kukuokoa, tayari nimechora ramani, na hivi Sasa nimekuja kukupa mpango

stahiki na kitu unachotakiwa kufanya"

Nevi alimwangalia Saida ambae

alionekana kukubaliana nae bila kusita.

" Hakikisha Shem unafata maelekezo

yangu, na zaidi Sana haifai kufahamika

Kama Mimi ni kijana wa Mustafa"

alimkumbusha Saida ambae aliweza tu kuitikia kwa kichwa. Hatimae Saida

alihisi kuridhika baada ya kuambiwa maneno hayo.

Majira ya mchana nyumbani kwa Dr

khairat alikua amemaliza kupata

chakula chake Cha mchana. Akiwa

anatamani kulala apumzishe akili kwani

siku hizi amekua akipata ndoto mbaya

Sana kuhusu Dr Hizaan. Alitamani

apigiwe simu siku moja hata aambiwe kua mtu huyo amekufa.

" Trriiii" eehh! Tayari simu ikawa imeita bila kujiuliza alihisi huenda maombi

Yake yamejibiwa ki urahisi hivyo

alipokea simu hiyo bila kuangalia mpigaji

Ni Nani?

" Kafa tayari" aliongea kimasihara tu alidhani atapewa taarifa ya swali kua

Nani kafa? Ila ajabu alipewa taarifa

ambayo hakuitarajia.

" Nawezaje kufa mpenzi wangu?

Nahofia kukuacha mjane" Dr khairat

alihisi kulipuka kwa mawazo. Alikua

akiongea na Nani? Hapo ndo akili

ikamtuma aangalie kwenye simu iwapo

anachokiwaza nu sahihi ama anataniwa.

Alipoiangalia kwenye kioo Cha simu

Yake!! Haa! Hakika haliingii akilini. Ni Dr Hizaan.

" We Nani?" Alihoji kwa pupa na kuhisi

uoga kwa wakati.huo huo.

" Mimi hila Shaka Ni mine wako, baba

wa.mtito wako khairat wangu, mume

wako nimekumiss mpaka naumwa, mke

wangu nimechoka kulala pekee yangu

hapa kitandani unaweza kuja kulala na Mimi!" Dr khairat alihisi

kuchanganyikiwa hapana jamani! Sio

sawa, mtu huyu hafai kwenye Maisha, na sio sawa akiongea na hiyo simu.

Haraka Sana alikata simu akiwa haamini kabisa.

'huyu mtu atakua Nani kwani?"

Alijiuliza na mwisho alipiga simu kwa

mtu mmoja hapo Aga Khan kuulizia

iwapo Dr Hizaan amezinduka ama bado.

Alipewa jibu la bado na hawana uhakika

Kama mtu huyo atazinduka hivi karibuni. Akili ya Dr khairat Ni

kama.ilitaka kuluzi. Hakua kwenye akili zake timamu.

" Khairat uliamua kuniua ili uolewe na mume wangu? We ni mwanamke kweli?"

Sauti hiyo Sasa ilimfanya kichwa Cha

Dr khairat kulipukwa kwa radi na mshtuko alisikia sauti Kama hiyo wapi?

Ni mama. Shayma? " Uuu wewe were Ni Nani?" Aliinuka kwenye meza ya chakula na haraka akaanza kukimbilia

chumbani kwake, kwa kweli hakuamini

anasikia marue rue katika umri wake

mdogo Sana. Ndo kwanza kijana wake

bado Ni mdogo na mwenye umri wa miaka mitano tu. Anaanzaje kuzeeka.

Majira ya usiku wa saa mbili Mustafa

aliwasili katika apartment ambayo aliitambua kabisa baada ya kufungua

geti kwa kishindo. Hee!! Walinzi

waliokua wakilinda walishtuka mno

baada ya kuwasili kwa mwanaume huyo.

Alikua alikua Nani? Mustafa Badru.

" Hurushusiwi kuingia" mlinzi mmoja

ambae alinyoosha gobore lake kana

kwamba alikua akiwinda swala msituni

alimtisha Mustafa ambae alimpiga teke

moja na kumsababishia maumivu ya kiuno huyo mwanaume.

Na wakati huo huo wanajeshi kadhaa

wa Badru waliingia ndani walifatana na

Mustafa. " Hii pants azraja Badru iko

wapi??? Mustafa alihoji kwa sauti.

Azraj alikua chumbani kwake amekaa

akiwa mwenye huzuni Sana na alikunywa

Sana pombe baada ya kufiwa na mjomba wake. Lakini Ni Kama alisikia

vibaya hivi? Au pombe ilimzidia? Alikua ameisikia sauti ya Mustafa akimuita.

" We panya mdogo hujui maana ya

kutoka pango ulilojificha ama?" Mustafa alipiga makelele. "Pffff" Azraj alijikuta

akitema pombe bila kutarajia kweli

alikua hajasikia vibaya eti ni Mustafa

Badru alimuingilia kwenye mjengo wake.

" Mshenzi huyu amepajuaje hapa??"

Azraj na ulevi wake aliinuka na kuchukua mashine Kisha akatoka nayo

nje akiwa na dhamira ya kufanya

mauaji ya nguvu.

" Mustafa, bwana mkubwa hatimae

umekuja kutuokoa kutoka kwenye

mikono mibaya" Salma alishangiria huku

akitembea kuelekea kwa mustafa.

Azraj alihisi kuchanganyikiwa huyu mwanamke anawazimu. Aliinua bunduki

take akiwa kule kule juu na kuilenga miguu ya Salma ambae alishtuka na kupiga kelele.

" Unathubutu kuelekea wapi na mtoto wangu? Rudisha makalio ndani!! Azraj

alimfokea huyo mwanamke ambae hakua msikivu.

" Siwezi kubaki hapa Tena, sitaweza shetani wewe" Salma alilalamika Azraj

akainuka bunduki kumtishia. Hata hivyo

Salma hakuweza kujari alizidi tu kutembea.

Sehemu ya 173

"Usithubutu kwenda popote Salma la sivyo wewe na huyo mtoto wako wote

kwa pamoja mtakua hatarini" Azraj alimtisha.

" Ni sawa!" Salma alijibu bila kufikiria

akiamini kabisa Hilo haliwezi kua. Kwa kweli Azraj Ni sahihi kwamba

anampenda yeye na mtoto Sana tu.

Salma alisogea kumuelekea Mustafa na wakati huo huo Azraj akainua bunduki

yake akimlenga Salma kumuelekea

mtoto Kama masihara hivi anamtishia

Salma. Salma hakuweza kuogopa khofu

Yake.

" Tambua huyu ndo binti yako wa pekee na huwezi pata mtoto popote pale"

Salma alimtishia Azraj ambae hakuweza

kujari hata kidogo vitisho vyake. Ayaa

Azraj akimlenga mtoto kweli akiwa na lengo la kuipalaza risasi kwenye uso wake.

" Utakua mtu wa kudharauliwa Sana

iwapo utamdhuru mtoto .dogo Azraj

Badru, mwana haramu" Mustafa

alitamka maneno ya kuumiza Sana kwa

Azraj na Azraj akataka amuonyeshe

kua hamdhuru mtoto isipokua anamfunza

adabh Salma. Salma alizidi jeuri.

" Bwana mkubwa, bila Shaka nitaenda na wewe" Salma alitabasamu na kuitua

Imani yake yote kwa Mustafa. Mustafa

alitabasamu kuonyesha kabisa ameridhika.

Mustafa akijiandaa kumpokea yeye

pamoja na mtoto, Azraj akaona huu

upuuzi gani? Kwa kweli siku za hivi

karibuni anahisi kumpenda Salma na hayupo tayari kutengana nae. Na isitoshe wanae binti Yao wa pekee.

Akiwaza hayo alijikuta tayari

amebonyeza trigger Ila hajaiachia. " Unafikiri unafanya nini Mustafa Badru??" Sauti ya nevi akiwa

amemshika Saida mateka kutoka katika

chumba alichokua ilisikika na kuidhuru

attention ya Azraj aliejikuta akiachia

trigger akiwa amesahau ya kwamba

akimlenga mtoto wake. Risasi ilinyooka

moja kwa moja na kukifikia kichwa

kidogo Sana Cha mtoto ambae alitoa

sauti moja tu na kukata sauti wakati huo huo. " Ng'aaa" hakutoa neno

jingine kabisaaa.

Ghafla Sana Salma aliekua amemshika

mtoto wake alihisi kupauka huenda

labda Kuna mtu alimmwagia jivu kutoka

utosnini mpaka usoni mwake. Nini hicho

aliona? Ni tundu! Tundu ! Tundu la risasi kwenye uso wa binti yake? "

Hapanaaaa!!! Salma alipiga kelele kiasi

kwamba sauti ilikata kwenye Koo lake.

Azraj pia alishtuka bila kutarajia alikua

amefanya nini?? Uso wake ulipigwa na mpasuko wa Karne. Ina maana kweli

kabisa alimuua binti Yake mwenyewe??

Azraj hakuweza kuamini alijikuta

akidondosha bunduki aliokua

ameishikilia. Na wakati huo huo alidondoka baada ya miguu Yake

kukoswa nguvu.

Mustafa pia ndo alibaki hoi kabisaaa,

yaani hakuweza kuamini hata kidogo nini

hiki aliona?? Hivi kweli Azraj kamuua

binti Yake mwenyewe. Huyu Ni

binadamu kweli???

Saida pia alibaki kwenye sintofahamu

hivi kweli kabisa Azraj alikua kamuua

binti Yake mchanga mwenye mwezi

mmoja tu? Haiaminiki hata kidogo.

Hakika alichanganyikiwa. Hakika

ninmaumivu yaliyoje kwa Salma jamani?

Amekubali kuishi kwa mateso na kupambana kwa juhudi zote ili kumuokoa

huyo mtoto Ila mwisho wa siku

amejikuta akimshuhudia binti Yake

akifa mwenyewe baba yake' mzazi ndo

kamuua. Kwa Nini alizaa na mwanaume

huyu? Inamaana hakua macho muda

akipewa mimba?

Mtu pekee ambae alikua na maumivu ya

mwisho na yasiyoeleweka alikua Salma

ki ufupi Salma alihisi Kama ubongo wake utakua wa Moto, hapana sio kweli?

Mawazo aliyo nayo sio kweli hata

kidogo? Huo sio ukweli?

' Haiwezekani? Haiwezekani? Hauwezi

kua ukweli huuu!! Jamani Kama Kuna

mtu aniamshe" Salma alichanganyikiwa.

Kwa Hali hiyo Mustafa alijikuta akiruka

kwa nguvu Sana kumuelekea Azraj huyo

mwana haramu aliesababisha kifo Cha

mtoto mdogo moyo wake uliuma alihisi

Kama vile mtoto Yule alikua sawa na

Shayma wake au Kim. Hivi mtu wa kawaida anawezaje kumdhuru mtoto

mchanga Kama azmina?

" Azraj Badru, unaweza kujiita

binadamu???" Mustafa alimfokea akiwa

hawezi kusubiri mbona Kama hamfikiii.

Moyo wake uliuma Sana kwa nini

jamani? Kwa nini Azraj amemuua huyo mtoto.

" Usithubutu kusogea" nevi

alimkumbusha Mustafa kua alikua na

Saida kama mateka mikononi mwake

hivyo ajitulize la sivyo ataimba haleluya.

Mustafa alisita wakati huo huo na nevi akasogea akiwa na Saida mikononi

mwake. " Bwana mkubwa Azraj naomba

unisamehe nitamtoa huyu kwa ajiri ya mustaqabali wetu" alizidi kumshika

Saida mateka huku Mustafa kailata

maumivu makali kila alipofikiria

kumuacha azraj aende. Kwa nini Nevi

ametaka wamuache mbona Kama

wamekamilisha wakimpa mwanya wa.

Kutoroka safari hii pia.

" Bwana mkubwa Azraj inuka

tuondoke"Nevi alimkumbusha.

" Usiendeshwe na hisia bwana mkubwa, yeye ni mwanao tu utapata mwingine"

nevi alimwambia Azraj ambae aliweza

kuinuka Tena. Alimwangalia Salma

aliekua akipiga kelele huko chini na

kulia kwa nguvu akiwa haamini iwapo Ni kweli binti Yake amekufa.

" Azmina wangu!! Mwanangu amka hapo, amka unyonye mpenzi, Sasa mama

atakupa nyonyo, binti yangu jamani

aamka" Salma alilia kiasi kwamba

alitamani achimbe shimo ajizike na binti

Yake iwapo amekufa kweli.

Moyo wake ulihisi maumivu makali mno

kila alipokumbuka siku ambayo

alijigundua yeye ni mjamzito. Bila

Shaka alifurahi Sana Sana yaani. Na

Tena sio tu hivyo Bali Tena alikumbuka

siku ameenda kwa mtoto wake na

kumueleza kua wapo mbioni kuitwa

wazazi. Mwisho aliambulia matusi na nusu kipigo kufokewa na alilazimishwa

kumtoa huyo mtoto. Tatizo alikua

mwanaume huyo huyo.

" Boss tuondoke" nevi alimkumbusha

huku akimtanguliza Saida nje na wakati

huo Azraj aliweza kutoka nje kabisa ya lango. Na hapo Nevi aliwasha gari

ambayo Azraj alikua kaingia tayari.

" Bwana mkubwa naondoa gari"

" Sawa" Azraj alimuitikia kwa

kutokuzingatia kabisa. Nevi alihisi

maumivu na tabasamu kwa kmwakati

mmoja. Na hapo Mustafa aliweza

kumvuta Saida upande wake.

Saida alikua na hasira na Mustafa kiasi

kwamba hakua tayari kuguswa nae.

Alimkimbilia Salma ambae alikua

akiombeleza kifo Cha binti yake. Saida

alijaribu kumgusa lakini Ni Kama Salma

alikua mfu anaeongea hakua alielewa

kitu zaidi ya kuchanganyikiwa. Mustafa

aliweza tu kumuinua na kumuingiza

kwenye gari aliyokua nayo Kisha Saida

akafata nyuma Yao akiwa amebeba

kiwiliwili kidogo Cha mtoto mchanga

ambae kwa Sasa anaitwa marehemeu"

Mustafa alishangaa kazi imekua rahisi

lakini ya majonzi matupu, hakuja kwa

lengo la kuondoka vizuri hivyo, alikuja

kwa lengo la Vita kabisa na Azraj na

hatimae Basi leo angemnasa huyo

mwana haramu. Lakini Mambo

yamekwenda ndivyo sivyo kwa ujinga na

uzembe wa Azraj kwa nini amemua binti

Yake mwenyewe.

aliweza kumwambia Gharib aondoke na

Salma huku yeye na Saida waliingia

katika gari nyingine. Kwa kweli Saida

alikua amechoka amekonda na amepoteza mvuto wake baada ya kukaa

mateka kwa muda wa mwezi na siku

kadhaa.

Hakuweza kustahimili furaha aliyokua

nayo kwamba atakua huru hivi Sasa.

Mwisho alitamani kumzaba makofi huyo

bwana Mustafa lakini hakuweza kwa

sababu alipoteza fahamu zake. Kwa

kweli ameteseka Sana.

Majira ya asubuhi Sana Saida alifungua

" Gharib, nadhani unaelewa kazi yako"

macho Yake akiwa na uchovu wa kutosha baada ya kulala usingizi wa

kuzimia tangu usiku. Aliweza kuamka na kujaribu kuuvuta mkono wake ili

ajioanguse uso baada ya kufungua

macho Yake. " Aiii" mkono wake

ulikwama.

Kwani alikua na nini mikononi mwake?

Alikua na kanyira alifungwa drilu

kwenye mkono wake.

" Aahh Nani Tena huyo??" Alijikuta

akikumbuka Maisha ya karaha na misukosuko aliyopitia hivi karibuni.

Lakini mwisho wa siku Jana Yake

alisaidiwa mwishowe na mume wake.

" Mustafa hatimae alinisaidia huyu

mwanaume mbaya" Saida alihisi kulia

alimuacha siku zote hizo kwa Azraj. "

Mustafa Badru we ni mchawi uliwezaje

kuniacha mateka masiku yote haya hivi

uliwahi kunipenda kweli??" Alipiga kelele

akihisi labda Mustafa alikua bafuni.

Lakini pia alikaa kimya baada ya kuhisi

harufu nzuri ya mapishi kwa ukaribu.

Sana.

" Haa!! Hapa Ni wapi?" Saida alianza

kupepesa macho eneo alilokuwepo? Ni kweli aliamka tu kudili na kumbukumbu

zake hata hakuweza kuwaza kuhusu

eneo Hilo. Kilikua Ni kijichumba kidogo

Sana. Mungu wangu, hakukua na choo

ndani humo. Chumba kulikua na kitanda tu. Mmhh kitanda? Mbona Kama vile

godoro lipo chini. Saida alitazama Tena na kupiga kelele kwa nguvu.

" Aaaaahhhhhhh" Mustafa haraka Sana

aliingia ndani baada ya kumsukuma mlango.

" Vipi Tena na wewe?" Ni usumbufu ulioje kua na mwanamke muoga Kama

Saida alipiga kelele kwa sababu tu aliona mende kwenye sakafu dah!!

" Mustafa Badru wewe ni mchawi, umenileta hapa kunipambanisha na mende, wewe na yule mtekaji

mnapishana nini Sasa?" Saida alilalamika na hapo Mustafa akabaki

amemuangalia.

" Saida" alishuka miguu Yake na kuangukia magoti take kwenye godoro

alilokua kalala Saida. Kwa kweli alikua

kammis Sana mwanamke huyo.

Alionekana mpotevu asie jua kwao kwa

jinsi alivyokua amekondeana Kama

karatasi.

" Mustafa usiongee, wewe ni mbaya

Sana Mustafa, kwa nini ilimuacha

mwenyewe??" Saida alijikuta kulia na kuanza kumlaumu. Mustafa pia alijihisi

hatia na maumivu kwa wakati mmoja, aliwezaje kumuacha siku zote hizo.

Macho yake yalishindwa jizuia na mwisho wa siku alidondosha machozi

Yake ya thamani.

Sehemu ya 174

" Ida Nili kukumbuka Sana mke wangu, nilikumiss Sana, nilikua nikihisi kifo kila

sekunde na dakika bila uwepo wako

maishani mwangu. Unajua inauma kiasi

gani kukaa bila wewe??" Mustafa alitoa

chozi na msisitizo kwa kila neno

akilitamka kwa kweli alikua akiumia

mno, Ni mwanamke pekee alieuteka

moyo wake? Lakini. Bado alilazimika

kukaa mbali nae' kwa ajiri ya kuokoa

familia nzima. Kwa ajiri ya Saida bila

Shaka yupo tayari kutoa kila kitu.

Lakini Saida pia asingemuona wa maana

iwapo angeitelekeza familia nzima kwa ajiri Yake.

" Mustafa kwa nini ulisita mpenzi wangu?" Saida alimuuliza baada ya

kuushika mkono wake mmoja" Mustafa

alimwangalia kwenye macho Yake mazuri

ambayo kwa Sasa jamani yamepoteza mvuto.

" Ningewezaje mke wangu? Hata wewe

ungeniona poyoyo iwapo ningemkabidhi

Azraj kila kitu kwenye Maisha yetu

tusingekua kitu. Licha ya kitu tungekua

chini yake tungekua watumwa wake.

Unadhani Mimi na wewe tungeipata furaha maishani mwetu??"

" Mustafa nisamehe, nilihisi Kama umenitenga" Saida alipata hatia kwa

kumshuku vibaya. Lakini pia akimuonea huruma alikua mwanaume mmoja tu na binadamu wa kawaida Ila alilazimika kubeba majukumu kibao kwenye mabega Yake.

" Ida natumai wewe ni mzima Sana si ndio" Mustafa alimhoji akikumbuka video ambazo Azraj alikua akimtumia

kila alipokua akimbusu Saida kwa nguvu na mwisho akimlalia juu Yake.

Saida alihisi majuto, bila Shaka yeye ni mzima lakini so msafi Tena kwa

Mustafa. Alimruhusu Azraj ambusu.

" Mustafa Mimi sikustahili Tena. Yule

Azraj mshenzi aliweza kunibusu"

Mustafa alitamani asisikie kauli hiyo

kutoka kwake angalau angepata nafuu

" Mimi kwa kweli, sidhani Kama naweza

Tena kwako! Mustafa tutawalea watoto tu, nimekuvunjia heshima" Saida alitoa machozi.

" Najua kila kitu mke wangu" Mustafa aliweza kumkumbatia. Hata hivyo

haikua Nia Yake na bado hata alikua

shujaa kujisimamia kwa mwanaharamu

yule Azraj. Aliweza Kama Angekua

mdhaifu bila Shaka angefanya nae

ngono Ila aliweza kujisimamia japo

alikua kwenye Hali mbaya.

" Alikua akinitumia video za kila

alichokua akifanya na wewe. Lakini

mwisho wa siku wewe bado Ni mke

wangu, uliweza kujilinda dhidi Yake na

hakufanikiwa kukuingilia kimwili, hiyo inamaanisha wewe bado Ni msafi"

Mustafa alimwambia Saida ambae bado alipata hatia.

" Mustafa mi sio mzuri Tena, nimekonda Kama nini jamani" Saida

alianza kulia upya na hapo Mustafa

akalazimika kumbembeleza.

" Unafaa ukale, inabidi utumie dawa

kwa muda wa wiki mbili na utumie

chakula kizuri na Cha asili vile

iwezekanavyo ili urejee katika Hali yako ya kawaida kabla haujakutana na watoto wetu wapenzi". Saida alitoa

tabasamu mwanana baada ya kuambiwa hivyo.

Ghafla moyo wake ulimuuma, bila Shaka

aliwakumbuka Sana watoto wake. " Ona

Sasa, ushaanza zako', una majukumu

huko ya kurekebisha, sio tu majukumu, una takiwa kudhuru kaburi la mpendwa

wako zarina pia, hivyo jitahidi ukae

katika Hali nzuri Sana mke wangu"

Mustafa alimkumbusha na kuinuka kutoka nje kwanza.

Saida aliweza tu kumsubiri arejee.

Mustafa aliweza kumtoa nje baada ya

kumtolea dripu Kisha akampeleka nje

kupiga mswaki. Saida alihisi Kama

alikua ndotoni. Ni eneo gani Hilo

ulimwenguni jamani? Mbona Kama wapo maporini kabisa?.

" Usishangae tupo kijijini huku, shinyanga kwenu" Mustafa alimwambia

Saida akabaki hoi. Walikua shinyanga.

Na hii Ni nyumba gani? Hapakua kwao

kabisa?.

huku, ili uwahi kutengamaa huku

ukizikumbuka kumbukumbu zako TAMU

za utotoni" Saida alitabasamu na

kumkumbatia mgongoni. Walikua kwenye

nyumba ndogo Sana ya vyumba viwiwli.

Yaani chumba na Sebure.

Nahisi nitapona haraka Sana mume

wangu" Mustafa alihisi Raha Sana

kukumbatiwa nae. Hakika hata yaye pia

alikua amemiss Hilo kumbatio. Saida

alihisi kana kwamba wamekuja kuishi

kwe

Dr khairat alikua bado amelala kwani

ndo kulikua Kuna chwea na anga

taratibu linaanza kupata mwangaza

mweupe. Alipata usingizi wa kutisha na

Kisha kuota ndoto mbaya usiku kucha

" Ndio mpenzi, nimeamua nije nikuuguze

Sasa ndo Kama hivyo Tena ameamka

akiwa amechoka mno.

" Aahhh" alipiga mwayo.

" Mama, niandae kwenda shule mbona

siku hizi unachelewa Sana?" Adil

alimuuliza mama Yake Kwani alikua

hamuelewi siku za hivi karibuni.

" Usijari nakuandaa." Alimjibu Adil

Mara akashtuka baada ya kutazama

dirishani. Dirisha likiwa wazi aliweza

kuona kivuli Cha mwanamke mrefu'

mwenye nywele ndefu pia. Ni Kama

alikua kavaa gauni jeupe. Na alionekana

kumpa mgongo. Bila kusita alijikuta

alihoji kwa khofu. " We ni Nani?"

Adil aligeuka na kutazama dirishani

mahali ambapo mama yake ametazama.

Hakika hakuweza kuona chochote,

aliyarejea macho ya mama Yake Kisha akanena.

" Mama! Hakuna mtu huko" Dr khairat alimgeukia mwanae kwa wakati huo. "

Ni huoni chochote?" Alipata mshangao.

" Hamna kitu mama" Adil alimsontea

kidole dirishani na yeye akaona kweli

hakukua na chochote. Dr khairat alihisi

kuvurugwa. Haamini kabisa kwenye

Mambo ya mizimu na majini japo aliwahi

kumuwekea Mustafa dawa Fulani ili awe

wake ki uchawi. Lakini ilishindikana

yaani Mustafa hakuweza kurogeka. Ila

hii Hali ya kua anaona Marue rue kwa

kweli inatisha.

" Mama nachelewa" Adil alilalamika na

hakua tayari kuandaliwa na mfanyakazi

kwani mfanyakazi aliepo kwa Sasa Ni

no na yeye hakua amemzoea.

Dr khairat haraka Sana alimuandaa

mtoto wake na kumpeleka shuleni.

Alipofika huko shuleni alimkabidhi kwa mwalimu wake wa darasa. Wakati huo

pia Muzda alikua amemfikisha Shayma

shule kumkabidhisha kwa kweli alifaa

kumkabidhisha kwani hawakuwepo nchini

kwa muda mrefu. Wanne hao walikutana

bila kutarajia.

" Aunt Muzda, nataka nihame hii shule"

Shayma aliongea kwa sauti mbelel ya waliku wake baada ya kuwaona Dr

khairat na kijana wake.

" Kwa nini mpenzi? Hii shule ninnzuri

mno" mwalimu alijaribu kumbembeleza, Kwan Ni donge Nene ambalo litawahama

iwapo Shayma akiichukia shule Yao. "

Kwani nini mbaya na shule"

" Shule sio tatizo mwalimu, tatizo Ni huyu mwanamke mchawi!!" Dr khairat

alihisi kufa kufa huku walimu waliona aibu na Muzda akitabasamu. ..

" Nalazimika kuonana nae kila siku nikija shule ntakufa kwa hizi nyayo zake tu" Shayma Ni mdogo lakini

anaulimi mkali kupita maelezo . Dr khairat alishindwa kujizuia kumuinulia

mkono wake ampige.

" Lo! Thubutu utue mkono wako kwa binti yangu" macho ya Muzda yalimtoka

mithili ya mjusi aliebanwa na mlango huku akiwa kaudaka mkono wa Dr khairat.

" Una timamu wewe, hivi umewahi

kumfunza adabu huyo binti yako?? Hiyo

Ni njia gani ya kuongea na watu wazima??" Dr khairat alitamani amuue

huyo mtoto kwa kumfedhehesha mbele ya walimu waliokuwepo.

" Shayma wewe unatabia mbaya Sana" Adil alilalamika.

" Angalau haikinganishwi na ya muuaji

Kama wewe na yako, nyie Ni mashetani

wawili" Shayma alizidi kutoa makali

yake Tena alipomkumbuka HudHud ndo kabisaa. Walimu hawakua na neno dhidi

ya huyo mtoto na Muzda hakujari

kuhusu tabia hiyo japo alikua mdogo

alistahili kumkanya lakini yeye pia

aliwachukia hao wawili kwa wakati huo.

" Umeniona huyo mtoto alivyokua Hana

adabu" dr khairat alijivuta kumsogelea

shayma. Wee Muzda hakusubiri

kumsukuma mpaka akadondoka chini.

Kwa kweli alitamani Sana kupata muda

wa kumuadabisha huyu mwanamke

mchawi. Kwa sababu Yake na huyo

mwendawazimu Azraj wao wamepitia

nyakati ngumu Sana.

" Aunt Muzda mpige Sana" Shayma

alichochea alikua na hasira nae kana

kwamba alifahamu huyo mwanamke

alimuulia mama Yake.

" Muache mama yangu!!" Adil alifoka na kwenda kujaribu kumzuia muzda

asipigane na mama Yake.

" Unathubutu vipi kuwazuia, usiiingilie ugomvi wa wakubwa mama yako hajakufunza" Shayma alimvuta Adil pembeni. Daa! Mtoto ana akili mbovu huyu.

" Usiseme mama yangu hajanifunza, unataka nikuache apigwe" Adil alilalamika.

" Kwani yeye so mkubwa, Tena yeye ni mzee kuliko aunt yangu, iwapo

anajiamini anaweza kumpiga pia, sio haki sisi kuingilia" Shayma alimchochea

Adil ambae aliwaza na kuamini kwa

wakati huo huo kua mama Yake bila

Shaka ananguvu za kumshinda Muzda.

" Mama moige huyo mwanamke bila

Shaka utamshinda" Shayma alihisi

kucheka kampumbaza kizembe kabisa.

" Huo ndo umwanaume usiiingilie ugomvi wa wanawake" Shayma alitabasamu

kimya kimya akiamini kabisa aunt Yake

Muzda atamshinda huyo mchawi.

Dr khairat alijaribu kumzuia huyo

mwanamke mdogo asimoige kwani

aliamini matokeo take iwapo atamdhuru, isitoshe yeye na Azraj kwa Sasa Wana

Hali mbaya. Na Muzda kachumbiwa na

Yasir Sabodo. Aha aa, sijui itakua vipi

kwake Kama akimuumiza. Kwa ajiri hiyo

Muzda alijikuta anauoiga uso wa Dr khairat unavimba na kua mwekundu

Kama nyanya.

Walimu waliokua pembeni walihisi

kumuhurumia Dr khairat lakini wakati

huo huo pia walifurahia tukio Hilo, kwani kwa Sasa taarifa zinazo sambaa

kuhusu yeye Ni jinsi alivyo mwanamke

muovu. 'acha akome' fikra za

wanawake wengi zilimaanisha Hilo.

Saida alikua amekaa kwenye godoro

ambalo halikuweza kumiliki hata kitanda

ndani ya chumba. Wakati ambao alifika

mustafa. Na kuanza kumnywesha supu

kwa mapenzi.

" Mustafa wewe, bila Shaka ulichoka

Sana kufanya kila kitu ukiwa

mwenyewe, nakuonea huruma" Saida

alimaanisha alichokisema. Mustafa

alimtazama sura Yake ambayo

alionekana kua na furaha lakini bado

hakua amerejea kwenye uzuri wake

awali klvaada ya kupitia kipindi kigumu

Cha Maisha akiwa kifungoni. Ila bado

alimuonea huruma yeye aliekua huru vioi

kuhusu yeye?

" Mpenzi wewe hapo, ndo unafaa

kuonewa huruma. Mumeo Ni mwamba

usioyumbishwa. Unafaa kushukuru

kwamba Ni akili tu na sio nguvu nyingi

nilizotumia kuweka Mambo sawa"

alimkumbatia kwanza na kumbusu.

Hakika alimiss midomo Yake.

Wakati anambusu ghafla Saida

alikumbuka namna ambavyo Azraj alikua

akimbusu Mara moja alihisi hatia

kuhusu usaliti huo na kumsukuma

Mustafa pembeni. Mustafa

hakupendezwa na Hilo Jambo, kwa nini

alimsukuma? Na uso wake ulionekana

kufadhaika kana kwamba busu lake

lilitisha.

Sehemu ya 175

" Ida" alimuita na kubaki kamtazama.

" Mustafa samahani" Saida alihisi kulia

" Samahani haisaidii, sitaki uwe na mawazo hayo machafu, kwangu Mimi

wewe ni kila mwanzo na mwisho wa hisia

zangu, sijari kuhusu Nani au nini

kimetokea still we ni wangu" Mustafa

alimkumbatia mke wake Saida

akashindwa kujizuia kulia.

' Ni kweli yeye ni mume wake, haijalishi alipitia wakati gani mgumu

hata yeye alipitia wakati mgumu pia

bila uwepo wake. Na hamna kitu

kinauma Kama kushuhudia mpenzi au

mke wako anafanyiwa matukio ya

kimahaba na mtu mwingine, Sasa kwa

nini Mustafa ajifanye Kama asie moyo?

Ina maana hakua akimuonea kichefu

chefu kabisa.

" Usiniwazie vibaya mke wangu, iwapo

nitaulizwa mwili ambao nakupenda

katika Maisha yangu, iwe kuubusu au

kukupenda kupita kuutomasa na

kuichezea nitakavyo bila Shaka Ni wa

kwako, hakuna mwili mwingine, siwezi

kuacha kuufikiria hata Kama

ungefanyiwa kitu gani?" Mustafa alisita

kuongea na kumvuta Saida mbele Yake

akitaka watizamane uso kwa uso.

" Mimi.... Na..mmh" hakuweza

kumaliza kuongea Mustafa alianza

kumbusu Tena. Hayupo tayari kuikosa

hii midomo mizuri na mitamu hata ikiwa

imechanika chanika kwa vidonda, bila

Shaka anampenda hivyo hivyo,

ananipenda hivyo hivyo midomo mitamu ya Saida.

Saida hakua na ujanja zaidi ya kutulia

akipewa Hilo busu lake la milele. Hakika

hafikirii Kama katika haya Maisha Kuna

mwanaume mwingine atawahi kumbusu

zaidi ya Mustafa wake.

Baada ya busu hiyo Saida angalau akili

Yake ilitengamaa na kuacha kujilaumu, Mustafa aliweza kumlisha supu

iliyokuwepo. Saida alikunywa na kula

alichoandaliwa na mume wake kwa

utiifu. Hatimae baada ya muda alitumia

dawa kwa wakati kwa kweli Mustafa

alikua muuguzi mzuri Sana.

Dr khairat alirejea nyumbani kwake

baada ya kutoka shuleni, hakika alikua na maumivu Sana, aliteremka kwenye

gari Yake na kuisogelea nyumba Yake.

Alikua na maumivu kiasi kwamba alikua

akihema kwa nguvu. Ghafla akahisi

Kama Kuna mtu anapiga nyuma Yake

akashtuka na kugeuka nyuma. Aliangalia

kwa uwoga na kushangaa hakukua na mtu yeyote. Alipotezea na kudhani Ni

Marie rue labda anaona. Akaendelea na

safari Yake, alipiga hatua kadhaa kabla

asikie sauti ya mtu akicheka kwa nguvu

nyuma Yake

" Ahahahaahaha ahahaha" sauti hiyo ya kicheko kikali ilimshtua Dr khairat

ambae aligeuka haraka na kutazama

nyuma kwa uwoga na hofu ya hali ya

juu. Asalala hakukua na mtu.

" Uuuu wewe Ni Nani??? Kwa nini kwa

nini unanitisha???" Dr khairat aliziba

masikio yake' maana Ile sauti

haikuweza kukoma alipiga kelele wakati

huo. " Achaaaaa achaaa tafadhari

unaniumiza masikik yangu, hii hhh"

akihema juu juu na kuziba masikio kwa

hofu. Sura Yake iliyokua imechakaa

kipigo ilimuuma Sana.

Dr khairat hatimae alikumbuka kua

alikua na miguu, aliweza tu kukimbia

kuelekea ndani, ghafla akaanza kuisikia

sauti ikitokea ndani, Sasa hii haikua

sauti ya kike ilikua sauti ya kiume

ambayo aliizoea. " Kipenzi, Adil

anaumwa !!!! Kipenzi, nataka kumbeba

mtoto wetu" hayo yalikua maneno ya Dr Hizaan kabla hawajatalikiana. Kwa nini

anaisikia hivi sasa? Hapana jamani? Hii

sio haki, na hii haiwezi kua kweli

kabisa. Kwani Dr Hizaan. Yupo hospital

amelazwa.

" Usinitishie wewe sio Hizaan, wewe sio

Hizaan najua, unathubutu vipi kunitishia

hakika huniwezi kwa lolote" dr khairat

alijaribu kuweka ujasiri wa kulazimisha

Mara ghafla akasikia sauti ikitokea

kusikia eleweki ikimhoji.

" Kweliii??? " Dr khairat alishtuka

mapigo ya moyo wake yalikua mwisho

kabisa wa speed Kali, kwa nini Mambo

mabaya yamekua upande wake siku hizi.

Alihisi Kama atakufa, lakini bado alifaa

kuwaonyesha watu hao kua Hana uoga kabisa.

" Ndio sikuogopi kabisa" alijibu na kujitahidi kuitafuta hiyo sauti isiyoonekana.

" Ooh noo, kipenzi umeyakoroga" sauti ya Dr Hizaan ilimjibu, sio Siri Dr

khairat alihisi kuchanganyikiwa, mbona

Sasa atakua chizi hivi karibuni. Mara

ghafla akaona kamba ikimrukia na

alieirusha hamuoni, bahati mbaya alihisi kusukumwa na mtu bila kutarajia.

Aliemsukuma alikua Nani ? Alijikuta

tayari amenasa kwenye mtego wa

kamba iliyokuja Kasi upande wake na

akaanza kuvutwa.

" Hapana jamani, hii sio sawa, nisamehe nisamehe, sirudii kukudhihaki"

Dr khairat alipiga kelele kwa nguvu na kuhisi Kama vile atakufa. Ndani

alikuwepo mfanyakazi wake tu na kwa nini alikua hamsikii jamani?.

" Saadaaaaaa" alipiga kelele kumuita na hatimae msichana wa kazi mwenye umri

mdogo mdogo alitokea ndani, huyu Ali

mpya tofauti na wa kwanza. Alipomuona

Dr khairat alihisi Kama atazimia, maana

ghafla akiwa pale chini alishangaa kuona

hamna kamba inayomvuta Tena Wala zile sauti za kutisha hazikuwepo Tena.

" Dada Kuna nini?, Mbona upo chini?"

Binti yule alikimbia na kwenda kumuinua

kutoka hapo chini akijaribu kumuweka

sawa. Dr khairat hakuamini kua hakuna

mwingine ambae anahisi hayo maruerue zaidi yake.

" Dada kwa nini una majeraha mwili mzima?" Dr khairat kwa kweli hakua na ujasiri wa kumjibu msichana huyu

kwamba alikua kapigwa na msichana

mdogo zaidi Yake, na mbali na Hilo

Hana uwezo wa kumuuliza iwapo Kuna

watu walikuja hapa kabla Yake.

" Hapana Ni ajari tu" alijikaza kukaa

sawa huku aliinuka na kujaribu

kutembea, daahh Maisha haya, miguu

Yake iliyokua na kamba tayari

ilifunguliwa na kuachwa huru lakini

tayari alikua na alama miguuni.

Alikishika shingo Yake na kujilaza

kutembea kuelekea ndani, " namtaka

binti yangu, ulifaa kuniua pamoja nae"

sauti hiyo ilimfanya Dr khairat apige

kelele Tena. msichana wake wa kazi

alishindwa kabisa kumuelewa alikua na shida gani?

Baada ya Azraj na nevi kufanikiwa

kumtoroka Mustafa pale kisiwani

mwanza, walitokomea katika Kijiji

kimoja kilichojitenga huko singida kwela

wanyaturu. Nevi hakua tayari kumdhuru

na kumuonyesha Azraj kua yeye sio mtu

wake Kama anavyodhani baada ya

kupokea taarifa kutoka kwa master wake.

Walifaa kupata nyaraka za ramani ya

viwanda vipya ambavyo vilikua

viliandaliwa na kampuni ya Badru, lakini

pia Bwana Badru alihitaji kumuadhibu

Azraj kwa fedheha aliyomsababishia,

hakutaka aishie mikononi kwa Mustafa

iwapo alimzaa mwenyewe anafaa

kumuadabisha ipasavyo na pia

amkabudhi katika mikono ya Sheria.

" Unawaza nini dogo?" Azraj aliekua na huzuni alihisi Kama vile nevi alikua

amepoteza ki fikra.

" Hapana boss, nipo nawaza kuhusu

Maisha haya, sisi Ni watu wa matukio

lakini vipi tumeishia hivi, tumeishia

kutumia fedha na Mali bila kuingoza

fedha sijazoea haya Maisha Mimi" Nevi

alikua mwema Sana na mzuri kwenye

kuigiza.

" Upo sahihi, haujazoea Maisha haya

lakini usijari, mwisho wa kuteseka

unakuja, kwani Nina kitu Cha thamani

Sana ambacho Badru wanategemea, bila

Shaka hawawezi kuniangamiza" alitoa

macho Yake ya tamaa na maovi kwa

upana.

" Kitu gani hicho boss, wakati kwa Sasa

hata mtoto wako u.empoteza, huna haja ya kusita sita Ni mwendo wa

kufanya matukio bila uwoga" Nevi

akilitamka neno uwoga alimtazama

Azraj alieonekana kukosa moyo jinsi

alivyoshukwa na sura.

Hakika Ni kweli alikua amepoteza mtoto

wake. Yote Ni kwa sababu Yake

mwenyewe, kwa nini alimpotezea mtoto

wake? Kwa nini alifanya mzaha kwenye

uhai wake? Ni kweli kwamba alikua

amemkataa hapo awali tangu akiwa na

mimba lakini alimpenda baada ya kuhisi

kua baba kwa Mara ya kwanza, Ila

mwisho wa siku aliishia kukaa nae kwa

siku kadhaa tu Kisha akamuua.

" Boss samahani, sikufaa Kutamka

kumhusu" Nevi aliomba samahani.

" Hapana sio kosa lako" Azraj alijaribu

kujituliza na kutamani kujua kuhusu

Salma pia, kwa kweli alikua amechelewa

Sana kumuelewa huyo mwanamke. Ila

sio sawa kufanya hivyo anafaa kusahau

juu yake pia kwani Salma hatoweza

kumsamehe hata aliishusha mbingu

Kama ushahidi wa kuombea msamaha.

" Dogo, Nina kazi ya muhimu usiku wa leo, jiandae mapema" Azraj alimwambia

Nevi ambae hakutambua Ni kazi gani?

Lakini moyoni Azraj aliapa kumpata

bwana Rashid Badru na kummaliza usiku

huo kwani yeye ndo chanzo Cha mateso

yake. Alikua baba yake' lakini hakuwahi

kumfikiria Kama mwanae alimtanguliza

Mustafa mbele.

" Sawa boss" alijibu Nevi na kusogea

jikoni ambapo Ni Kama chakula kiliiva

huko.

" Rashid Badru, kwa ajiri yako wewe

Mimi nilizalimu nikiwa mwana haramu, kwa ajiri yako wewe mama yangu

alifariki, na kwa ajiri yako wewe

Maisha yangu yamekua kituko

kisichoeleweka. Na kwa ajiri ya mwanao

mpendwa Mustafa na familia yako

mjomba wangu hivi Sasa anapumulia

kaburini, bila Shaka adhabu ya kifo inakustahili.

Iwapo ukifa wewe, nitakua nimeua

familia nzima ya Badru kwa maumivu

ambayo watayapata moyonj mwao, hakika watahitaji msaada wa kupozwa.

Haswa Mustafa nataka uonje Radha ya

kumpoteza mzazi unampenda Sana Kama

nilivyompoteza mama yangu Mimi."

Unahisi nini kinafuata?

Tukutane sehemu ya 176

Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.