Lazima kusomwa na kila mtu anayefanya kazi na ng’ombe wa maziwa na kuwekeza kwenye ng’ombe wa maziwa. Unavutiwa na ng’ombe wa maziwa na labda unawahudumia mara kwa mara? Je unataka kuelewa vyema jinsi ya kuwahudumia ng’ombe? Kuhakikisha wana afya njema, wanazalisha, na kukua vyema au kutoa maziwa mengi? Basi kitabu cha Mambo ya Msingi ya Ng’ombe ni lazima kukisoma. Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha rahisi ya kusoma. Kina zaidi ya picha 200 na michoro ambayo inafanya taarifa kuwa wazi na za uhalisia. Mambo ya Msingi ya Ng’ombe hufanya mfugaji yeyote wa ng’ombe wa maziwa kuelewa usanifu wa kuhudumia ng’ombe wa maziwa na mifugo wadogo, kwa taswira ya ng’ombe mwenyewe. Jan Hulsen, mhariri na mtaalamu wa ng’ombe
Wahariri wa maudhui ya cow signals - msingi –wahariri wa toleo la afrika mashariki: Profesa Bockline Omedo Bebe, Chuo Kikuu cha Egerton Profesa Charles K. Gachuri, Chuo Kikuu cha Nairobi
Cow Signals Msingi Toleo la Afrika Mashariki
C o pr py ot ri ec gh te t d
Toleo la Afrika Mashariki
Cow Signals Msingi Toleo la Afrika Mashariki
Cow Signals Msingi
David Maina, Perfometer Agribusiness Ltd Peter Ngure, Kampuni ya Mauzo na Uchapishaji ya The Olive
www.cowsignals.co.ke
www.roodbont.com
www.vetvice.com
www.cowsignals.com
Kuelewa ng’ombe wanahitaji nini kuwa na afya na kuzalisha Jan Hulsen