SAUTI YA SHUJAA

Page 1

ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita

ULIMWENGU WA SIKOSELI . AFYA MAISHA NA MATUKIO . BURUDANI
SHU AA JARIDA LA J
ULIMWENGU WASIKOSELI 01 | MAUDHUI| | 03 MATUKIO 02 JARIDALASHUJAA SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita MITINDOYA MAISHA 04 DONDOO ZAAFYA |

MHARIRI

UJUMBEWAMHARIRI: “Sikoselisiougonjwawakurogwa”hayonimanenoyaBi.FatumaUbwa,JaridalaShujaanindotoyetusotekatika jumuiyayaSikoseli,Kupatanafasiyakukaribishaduniayetukushirikinakujifunzamengikuhusuugonjwawasikoseli, Tunapotamkaneno,“Ugonjwa”Kilammojawetuanakimbiliaudhaifu,kamawahaririwajaridahililaSHUJAA lengoletu kuunikuchorapichachanyajuuyasikoseli,ndiomaanaukiendeleakusomajaridahiliutaonakuwa kunastorizamashujaakama,AboubakariKilazaambayenimwanamuzikiwaBongoFlava; ambaowanakupamotishanakuhimizakuwaSikoselihaikuzuiikuishiMaishayakawaidanakutimizandotozako. UtakutananamuigizajiwaBongoMoviesThadeusal-maarufkamashetaniwamguummoja,yeyeanatuhimiza kutokatatamaapamojanachangamotozakiafyaalizopata,hadithiyakenidhahirikuwanihadithiyaushindi.

NdaniyaJaridapiautajifunza kuhusuafya,mitindoyaMaisha napiautapatataarifamuhimu kwayaleyanayojirikatika ulimwenguwetuwaSikoseli. LengokuulaJaridahilini kuwafunguliaduniawanajamii wasikoselikuwawezeshakupata chomboambachokitawawezesha kupazasautiyaonakuufikia ulimwengukwaujumla. Tunapendakutoashukraniza dhatikwawaandajiwotenatimu nzimailiyoshiriki katikakuwezeshajaridahili kukamilika.

Nimatumainiyetukuwa utalipokeanakulisomakwa mikonomiwilijarida hililaSHUJAA.

Emmy

|
SHU AA JARIDALA J
NaArafaSaid&EmmyMwita
Arafa
Kuwa Mjanja Ijue Sikoseli. ArafaSalim. Mwita.

ULIMWENGU WA SIKOSELI

SIKUYASIKOSELIDUNIANI

Kilamwaka,juni19nisikumaalumkwajamiiyasikoselidunianikamailivyoazimiwanaumojawamataifa mwaka2004kilasikuyatarehe19itakuasikuyauhamasishajinaufahamuwasikoseliduniani.Hivyokilamwaka, juni19,jamiiyakimataifayasikoseliinaunganakuadhimisha,kutoaelimunauelewajuuyasikoseli.

Leotutatazamayaliyojirikatikamaadhimishoyasikuyasikoseliduniani,nchiniTanzania.Tutaangaliamatukiona taarifakutokamikoambalimbaliambazoziliadhimishasikuhiyorasmiambayoniJuni19,2022.

KwanzatuelekeeArusha,ambapokwa marayakwanzamaadhimishohayo yaliadhimishwajijinihukoKitaifa katikaHospitalikuuyajijilaArushaya MountMeruReferralRegionalHospital; MgeniRasmiakiwaNaibuKatibuMkuu WizarayaAfyaDkt.SeifShekalaghe kwaniabayaNaibuWaziriDkt.GodwinMollel,

JumuiyayaWatuWenyeSikoseliTanzania iliwakilishwanawajumbewaokutoka SickleCellCommunitygroup, ambapo walishirikikatikamatembeziyakilomita1, yaliyoanziaofisiyaHalmashauriyaManispaa yajijilaArushanakumalizikakatikaHospitali yaMountMeru;Nabaadayahapoutambulisho nahotubakutokakwaNaibuKatibuMkuu WizarayaAfyaDkt.SeifShekalaghenawageni muhimuwaalikwa, Ikifuatiwanatukiomaalum lauzinduziwaklinikimpyayasikoseli Hospitalinihapoikiwanijambolakherikwa watuwenyesikoselimaanawatapatahuduma kwaukaribuzaidinapiaitasaidiakuepuka gharamazakuhudhuriaklinikibinafsi.

Piamaadhimishohayoyalipambwa narisalanashuhudakutokakwawatuwenye sikoseliwaliohudhuriaambapowalipata kushirikishaadharajuuyasafarizaokamawatu wanaoishinasikoselinakutoahamasana ufahamukwahadhara.

01
|
|
SHU
JARIDALA J
Said&
JUNI19, |
AA
ArafaNaArafa
EmmyMwita

SIKUYASIKOSELIDUNIANI

| | | |
01 | ULIMWENGU
JUNI19, | SHU AA JARIDALA J ArafaNa
Said&
Mwita
KutokaBaratunavukabaharihadivisiwaniZanzibarambaponaohawakuachwanyumakatikamaadhimisho hayokwanisikuyaTarehe17Juni2022waliadhimishasikuyasikoselidunianikatikaHospitaliyarufaa yaMnaziMmojaZanzibar,MaadhimishohayoyalifanahukuyakiwaletapamojawanajumuiyawotewaSikoseli kisiwanihapopamojanawatoahudumazaafya.
WA SIKOSELI
Arafa
Emmy

SIKUYASIKOSELIDUNIANI

KutokaZanzibartunaelekeahadiPwani,BagamoyoambapoSickleCellDiseasePatients'Communityof TanzaniailiandaamaadhimishoyasikuyasikoselidunianikushirikiananahospitaliyawilayayaBagamoyo, sikuyaTarehe25Juni,2022.MaadhimishohayoyaliyofanyikakatikaviwanjavyaShuleyaMsingiMwambao, wilayaniBagamoyo;MgenirasmiakiwaMheshimiwaKaimuMkurugenziwaWilayayaBagamoyoBw.MajidMhina. SherehehizizilifanakwaburudanikutokakwavikundivyawaaigizajinawasaniiwangomazaasiliBagamoyopamoja naElimuyasomolaLisheBorakutokakwamtaalamuwaLishenaAfyaBora;ikifuatiwanahotubakutokawamgeni rasmiKaimuMkurugenziWilayayaBagamoyoBw.MajidMhinanauzinduzirasmiwaklinikiyasikoseliwilayani Bagamoyo.

ZiadayahayokulikuwanaupimajiwauvikopamojanaelimuyaafyayakinywakutokaColgate,vilevileugawajiwa kitabuchaAmanaShujaawaSikoselikilichoandikwanaBi.ArafaSaidhukutukiohilolikiambatananaushuhuda kutokakwashujaamwenyeumriwamiaka70,akielezanijinsiganiamewezakuishinakustahimiliadhazaugonjwa huohadikufikiamiakahiyo70hukuakivunjaImanipotofuzakuwamtumwenyesikoselihawezikuishizaidiya miakamitanoaukupatamafanikiokatikaMaisha.Tafrijahizizikiwanikilelechamaadhimishoyasikoseliduniani nchiniTanzania,zillfikakikomomidayajioni.

|
| | | | |
01 | ULIMWENGU
JUNI19, | SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita
WA SIKOSELI

SERIKALIYAWAFUTAMACHOZI YA

MIAKAMINGIWATUWAIISHIONASIKOSELI

Kamaumewahikusikiaauunafahamukuhusudawayahydroxyureautakuwapiaunatambuaumuhimuwake kwawatuwenyesikoselikatikakuhakikishakuwawanaishiMaishayenyeuboranaafyakwakupunguza dalilihatarishizinazosababishwanaugonjwawasikoseli.HivikaribunikatikakongamanolaKisayansi lililofanyikaChuoKikuuchaAfyanaSayansiShirikishiMuhimbili(MUHAS),KatibuMkuuwaWizarayaAfya,

Prof.AbelMakubiakiwamojawapoyawagenirasmialiahidi kushughulikiasualahilonakulikamilishaharakahii nikatikakuhakikishautekelezajiwamojawapoyaserazawizaraya afyaTanzaniaikiwapamojanakuboreshahudumazaafyakwawatu wenyesikoselinchini.MheshimiwawaKatibuMkuuWizarayaAfya Prof.AbelMakubialiagizahayowakatialipokiwaanahitimisha kongamanolasabalakisayansi,chuokikuuchaAfyanaSayansi ShirikishiMuhimbili(MUHAS).NukuuyaMheshimiwa Prof.AbelMakubi,“NHIFhakikishenimnatekelezahili, hivividongevipatikanekwenyevifurushivyotevyabima, mnipemajibumapemamlipofikia,ilitufanyemaamuzi” AliagizaMheshimiwawaKatibuMkuuWizarayaAfya, Prof.AbelMakubi.

PiaMhe.KatibuMkuu,Aliongezakwakusemakuwasualahilo, kuhusuupatikanajiwaHydroxyurealitazamwenakushughulikiwa kwauzitokwaniDawayaHydroxyureanimuhimukutokanana KwambawatuwengiwenyesikoseliwanaishikatikaMaishaya kupatamaumivumarakwamaranadawayahydroxyureainawasaidiakupunguzadalilinyingizingizinazosababishwanasikoseliikiwemopamojanakupunguzahaliyakuishiwadamu;naukosekanajiwadawahiyokatika vifurushivyamfukowaAfyawaNHIFunawalazimuwanajamiiyasikoselikulipiagharamaambazowengihawazimudukwaajiliyakupataHydroxyureakwamatibabuyao.MheshimiwaKatibuMkuuWizarayaAfya, Prof.AbelMakubialiongezakwakusema,“Tuangaliejinsiyakusaidiawagonjwahawakatikahili,hukabiliwa namaumivumakali,wanaishiwadamulakinidawahiiinawasaidiakuwapunguziahayo”mwishowanukuu.

JaridalaShujaalinatumainikuwahabarihiinifurahakwajamiinzima yasikoselikwanibaadayakilionachangamotozamudamrefukatika upatikanajiwadawayaHydroxyureasasawahusikawotewenye BimayaNHIFwanawezakupatadawahiyobilamalipokatikavituovya Afya;HabarihiiinaletamawanganamatumainiyakuishiMaishabora naafyatelebilamasumbukokwawatuwotewenyesikoselinchini.

| | | | | SHU AA JARIDALA J
NaArafaSaid&EmmyMwita 01 |
|
Arafa
ULIMWENGU WA SIKOSELI

ULIMWENGU WA SIKOSELI

UZINDUZIWAKLINIKIZASIKOSELIKWA MWAKA2022.

UgonjwawaSikoseliniugonjwawakurithiambaounaathiriselihainyekunduzadamunakubadiliumbolakekutoka katikaumbolakawaidaladonatinakuipaselihainyekunduumbolandiziaumunduhiihutokananaupungufuwa oksijeni,protinikatikaHemoglobinyaseli;Hivyohalihiiinapelekeamtukupatadalilikamamaumivumakaliya viungonahatahaliyakupungukiwadamu(anemia). TafitizinaoneshakuwaTanzanianimojawapoyanchizinazoongozakatikachatiyaduniakwakuwanaasilimiakubwaya watuwenyesikoseliikishikanafasiyanne;PiatafitizinaoneshakuwakilamwakaWatoto11,000huzaliwanasikoselinchini, Tanzania.Piamakadirioyanaoneshakaribuasilimia20%yawatanzaniawanazaliwanavinasabavyasikoseli;

Piakutokananauhabawaupatikanajiwahudumazaafyanamatibabusahihi kwawagonjwawasikoselibilakusahagharamazajuuzamatibabu,hiiinapelekea asilimiakubwayawatuwenyesikoselikushindwakumudugharamazamatibabu katikavituobinafsinakupelekeakufelikupatamatibabusahihihivyoafyazao kuzorotakutokananaatharizinazoletwanaugonjwahuohivyokupelekeawengi waokupotezaMaishakatikaumrimdogokwasababuyakukosauangaliziwa mapema.

Kwamiakamingijamiiyasikoseliukijumuishanawanaharakatiwasikoseli wamekuawakipazasautijuuyaumuhimuwaupatikanajiwahudumaborana matibabusahihikwawanajamiiyasikoseliilikuongezauborawaMaishana afyazao.Hatimayeserikalikushirikiananawashikadaumbalimbalikatika sektayaafyawalisikiaviliovyaonatokamwaka2007mpakasasa,kumekua ongezekolaklinikimpyazasikoselikatikavituovyaafyavyangaziyamsingi, wilayanahataTaifakwaajiliyauangaliziwakaribukwawatuwenyesikoseli.

Nikiongeza,nakwamwaka2022Jaridaletulingependakukuhabarishakuwasasa wigowahudumazaafyakwawatuwenyesikoseliunazidikutanukanakukukua kwanikuachaklinikizaMloganzila,Mwananyamala,TemekenaKlinikiiliyopo HospitaliyaTaifaMuhimbili,serikaliyetukupitiawizarayaAfyaimeongezakliniki nyinginempya,hiiikiwemoKlinikiyaSikoselimkoaniKilimanjarokatikaHospitali yaKCMC,tunapendakuwahabarishawanajamiiwasikoseliwaliopoMoshi, Kilimanjarokuwasasahudumazaafyakwaozimesogezwakaribukabisa,kwani kunaklinikimpyayasikoseli,katikajingolaHemophiliaCenter,Kitengocha matibabuyasaratani.

Piabilakusahaukuwamwezihuusikuyamaadhimishoya sikoseliduniani,jijiniArushakatikaHospitaliyajijiMountMeru,Mheshimiwa NaibuKatibuMkuukatikaWizarayaAfyaDkt.Shekalaghealizinduaklinikimpya yasikoselikatikaHospitalihiyoKongwe,tukielekeamkoaniPwani,Wilayani Bagamoyonapohawakuwanyumakatikaharakatihizi,MheshimiwaKaimu MkurugenziwilayayaBagamoyo,PwanialikatautepenakufunguarasmiKlinikiya SikoseliBagamoyonaKuagizakuwawapeweushirikianonaHalmashauriya WilayayaBagamoyo,hiinipamojanauangalizinaupatikanajiwavifaatiba. Tukifungakurasahii,Tunawezakusema,“HarakatizasikoseliTanzania,Kumenoga ”Nimatumainiyetukuwauwepowaklinikihiziutapunguzaadhawaliyokuwa wakipitiawagonjwawengiwasikoselimikoaninanjeyajijilaDaresSalaamkwa kusafiriumbaliilikupatamatibabuaukulazimikakuhudhuriamatibabukatikavituo binafsihivyokubebamzigomkubwawagharamazamatibabunapiahatuahii itapelekeakupunguzavifovyaawalivyawagonjwawasikoseli.

Shujaaingependakuendeleakuwahasanakusisitizawanajamiiwasikoseli kuhudhuriaklinikihiziilikupatamatibabusahihinaendelevu,piakwaserikali yetutukufutunasema,“shukraninakaziiendelee”

|
01 |
| SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita
| |

WARSHAYACONSA

(CONSORTIUMOFNEWBORNSCREENINGINAFRICA)

W

arshahiiilifanyikaJuni22,2022kuanziasaatatuasubuhi mpakasaatisaalasirikatikaukumbiwakampasiyachuo chaMUHAS;Ilijumuishawatoahudumayaafyapamoja nakitengochaSikoseliMUHAS,wazaziwoteambaowana watotowenyeSikoselinawaliogunduliwakupitiakipimo chaNewbornScreening.

Lengolawarshahiyolikiwanikutoaelimukwawazazihao kupitiamatabibuwenyeujuzinawelediwajuu;Piakuacha elimuyamalezikwaWatotowenyeSikoseliwalitoaelimu juuyaumuhimuwakuwanabimayaAfyayaNHIFili kuwawezeshakupatahudumazotemuhimuzamatibabuna klinikikwaWatotohaohivyokuwapunguziamzigowa gharamazakulipiakwanjiayafedha. Kuachaelimuiliyotolewanawataalamuwaafyawaalikwa, wazaziwalipatanafasiyakuelezajamiijuuyasafarizao kamawazaziwaWatotowenyeSikoselinawaliogundulika katikaumrimchanganapiawazazihaowalielezajinsisafari hiiinamilimanamabondemenginavilekuwanamtoto mwenyemahitajimaalumnisafariyakuwanaSubira, upendonakuwatayarikujifunzakilasikunakushirikiana naasasizilizoponawatoahudumailikuhakikishamalezi yamtotoyanapewakipaumbelenaanapatamatibabuna hudumasahihizaafyakwaukuajimzuri. HudumazavipimovyaNewbornScreeningzinapatikana katikavituovyaafyavyaAmana,Temeke,Muhimbilina Bugandonchini,Tanzania.

02 |
| SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita
MATUKIO

KONGAMANOLASABALAKISAYANSI, CHUOKIKUUCHA

MUHAS.

Kongamanolasabalakisayansilililoandaliwanawanazuoninawataalamuwatibanasayansiwachuokikuu chaAfyanaSayansiShirikishiMhumbili(MUHAS)naKufanyikachuonihaposikuyaTarehe26,Januari 2022katikaKampasi kuuyaDar-es-salaam;Lengokuuikiwanikujadilimwelekeompyawanchikatika kukabiliugonjwawasikoseliambaounaathiriasilimiakubwayaWatotonchini,Tanzania.

KongamanoilolilishirikishanakukutanishawashikadaumbalimbalikatikasektayaAfyanaSayansi,likijumuisha WizarayaAfya,wanazuoninawakufunzimbalimbali,watafitikatikasektayaAfya,watoahudumanaMfukowa BimayaAfyaNHIFpamojanawengineowengi.Mojawapoyamamboyaliyozungumziwailikuwanipamojana utekelezajiwaserayabimayaafyapamojanakujumuishadawayaHydroxyureakatikavifurushivyamfukowa BimayaAfyaTaifa,NHIFkwafaidayawagonjwawasikoselinchini.

Dkt.AgnesJonathan,DaktariBingwawaAfyayaJamiipamojanakuwaMratibuwaMradiwaSikoseli (SPARCO,TANZANIA)MUHASkatikauwakilishiwakewamadajuuyasikoselialisema,tafitizinaoneshakuwa kadiriyaWatoto11,000huzaliwanaugonjwawasikoseli,hivyoyeyekamamratibuwamradiwa SPARCO,TANZANIApamojanatimunzimawamefanikiwakuwaingizakwenyemfumowaTibanaufuatiliajiwa karibukatikamatibabuyaklinikiyasikoselitakribaniWatoto5000napiawamewapatiavitabuambavyovinabeba taarifazaomuhimuzaafya.

Dkt.AgnesJonathan,aliongezakuwatafitizinaoneshakuwatakribaniasilimia13hadi20yawatanzaniawamebeba vinasabavyaugonjwawasikoselinaasilimiailiyosaliabadohawajuihalizao. PiamojawapoyawagenirasmiwaalikwaalikuaMheshimiwaProf.AbelMakubiKatibuMkuuwaWizarayaAfya, ambapoalisisitizajuuyaumuhimuwahydroxyureakujumuishwakatikamfukowaTaifawaBimayaAfya,NHIF kwasababuyaumuhimuwadawahiyokwawatuwenyesikoseli,PiaMheshimiwawaProf.AbelMakubi,Katibu MkuuWizarayaAfyaaliongezakwakusema,“Tanzaniainastahiliiwenakituochaumahirikwaupandewasikoseli” mwishowanukuu.

TaasisiyaJumuiyayaWagonjwawaSikoseliTanzania(SCDPCT)nayohaikuachwanyuma,ikiwakilishwana MkurugenziMwanzilishiwake,Bi.ArafaSaid;Akiwakilishahojajuuyaumuhimuwauboreshwajihudumazaafya kwawatuwenyesikoseliTanzaniapiaalichukuanafasihiyokuwaelimishanakuzungumzajuuya,“UzoefunaMaisha yawagonjwawasikoseli”akiwakilishajumuiyayawagonjwawasikoseliTanzania. NidhatikuwaKongamanoilolasabalaKisayansilililoandaliwanachuokikuuchaMUHASlilikuwachachuya mabadilikokatikaTibanaHudumazaAfyakwawatuwenyeSelimundukwaniBaadayahapo, DawazaHydroxyureaziliwezakujumuishwakatikamfukowaTaifawaBimayaAfyaNHIF,nasasawatuwote wenyesikoseliwanawezakupatadawahizoburebilakulipagharamayeyotekupitiaBimayaNHIF

02 |
| SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita
MATUKIO

MATUKIO

MAONYESHO YA KAZI

YAWANAHARAKATIWASIKOSELITANZANIA

M

aoneshoyavikundivyawanaharakatiwasikoseliTanzaniayalifanyikaTarehe28Januari,2022katikakituocha SickleCellCentre,MUHAS.MaoneshohayoyaliandaliwanataasisiisiyoyakiserikaliyaJumuiyayawagonjwa wasikoseliTanzania(SCDPCT)ikishirikiananaMUHASSickleCellProgram.

LengolamaonesholikiwanikuwaletapamojawanaharakatiwaSikoselinchininakuwapauwanjawakuonesha kazizaonaufanisiwalionaokatikakuhakikishaelimunaufahamujuuyaSikoseliunakuweponchiniTanzania. TaasisiyaJumuiyayawagonjwawaSikoseliTanzania(SCDPCT)ilipatanafasiyakuoneshabaadhiyakazizao katikawarshahiyoilifanyikakatikakituochaSikoseli,MUHAS.MojawapoyaKazizetuambazotulionesha zilijuimushavitabuvyaSHUJAAnaAMANASHUJAAWASIKOSELInamachapishoyaelimuyaSikoseli, hiiikijumuishatoleolakwanzalakijitabuchaSAUTIYASHUJAAambaponimjumuishowamasomokuhusu mambombalimbaliyaAfyaambayoyanaathiriwagonjwawaSikoselikwaujumla.Piatulipatanafasiyakuonesha kupitiapichaKampeninaKazizaKijamiiambazoTaasisiinafanyailikuenezaelimunaufahamuwaSikoselikatika maeneonamikoambalimbaliTanzania.

Lengolakazihizizotenikuhakikishakuwaelimunaufahamujuuyaugonjwawasikoseliunafikiawatanzaniawote napiawanaharakatiwasikoseliwanapatafursayakuoneshakazizaonakujumuikanajumuiyawawenyeSikoseli nakujuamahitajiyaoilikuweponamaboreshokwakipindikijachombeleni. Maoneshoyalifikakilelelnawanavikundipamojanawaalikwawalipatakujifunzanakuonakazimbalimbaliambazo vikundihivyovyawanaharakatinawajumbewajumuiyayaSikoseliwanazifanyailikukabiliananachangamoto zilizopokatikajamiijuuyasikoselinapiailikuhakikishadhanapotofuzinapoteanakunakuweponauelewa, ufahamunaelimujuuyaSikoseli.

02 |
| SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita

ZA AFYA

DONDOOMUHIMUZAKUISHINA UGONJWAWASIKOSELI

Sikoseli/selimunduninini? Sikoseliniugonjwawakurithiunaosababisha mabadilikoyasiyoyakawaidakatikaumbola chembechembenyekunduzadamu.

Kwakawaidachembenyekunduzadamu zinaumbolamviringo ambalohuzirahisishiakupitakwenyemishipa midogoyadamu ilikusafirishahewasafiyaoxygenkatikasehemu mbalimbaizamwili.

Kwamtumwenyeugonjwawasikoseli, selihizihuwatofauti; zinanatanazinaumbolamwezimchanga(mundu). anzanianimojawapokatiyanchizenye wagonjwawengiwasikoseli dunianiambapoinakadiriwatakribaniwatoto11,000 huzaliwanaugonjwawasikoselikilamwaka. Piainakadiriwakuwa12%hadi20%yawatuwotenchi wanavinasabavyaugonjwawasikoseli (sicklecelltrait),kutegemeananaeneo.

DondooMuhimuzakuishinaugonjwawaSikoseli.

a.Uchunguziwakiafyawamarakwamaranimuhimukwawatotowachiniyamwakammoja. Wanapaswakumuonadaktarikilabaadayamiezimiwiliaumitatu

b.Watotokuanziamwakammojampakamitanowanatakiwakumwonadaktarikilabaadayamiezimitatu KuzuiaMaambukizi

c.Hakikishawatotowanapatachanjozotezakawaida

d.Watotowapewechanjoyaziadayakuzuiakichomi(Pneumococcalvaccine)

e.Watotowotewenyeumrichiniyamiaka6wapatiwedawayapenicillinilikujikinganamaambukizi f.Hakikishawatotowanakingwanamaambukiziyamalariakwakutumiachandaruachenyedawa ZingatiaUshauriwaKitaalamu

g.Watotowanatakiwakunywamajiyakutoshawakatiwotenawapewemlokamili,ukijumuishamatunda, mbogamboga,vyakulavyakutianguvunavyakujengamwiliwamtoto.

h.Watotowaepukekukaakatikamazingirayajotokaliamabaridisana

i.Watotowajishungulishenamichezombalimbaliiliwawenafurahanaafyanjema, wasichezekiasichakuwachoshasana.

02 |
| SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita
DONDOO

DONDOO ZA AFYA

UMUHIMUWALISHEBORA KWAWENYESIKOSELI

agonjwawengiwasikoseliwanawezakuwanamwilimdogolakinikunahatariyakuwanauneneuliopita kiasi.Wanashauriwakulavyakulavyenyekaloriyajuunavyenyevirutubishovingitanguutotoni. LisheBora;niileambayoinajumuishaainazotezavyakulaambavyovinavirutubishovinavyohitajikamwilini. Ililisheiweboralazimasahaniiwenamjumuishoufuatao:1/4iweWanga,1/4iweProtinina1/2iwena vyakulavyenyeVitamini.

W

SahaniyakoinatakiwakuwanaWanga(ugali,wali,mtama,mhogo,gimbi,viazi,ndizietc),Protini,VitaminiA, B6,C,D,Enavirutubishovinginevidogokamazinki,kalsiamunamagnesiamu.Lisheboranimuhimukatika kuongezachembezadamu,kuimarishamifupa,kuupa mwilinguvunakuongezakingayamwili.

Ilikuhakikishakuwaunapatalisheborakatikamlowakowakilasikunimuhimukuzingatiamamboyafuatayo; Angalausahaniyakoiwenaaina1yaProtininamboga namatunda(chakulakimojakinawezakuwana kirutubishozaidiyakimoja),kwawaleambaoni ngumukuepukakuongezewadamumarakwa marawanashauriwakupunguzavyakulavyenye madinichumakwaasilimiakubwapia unashauriwakulavyakulavinavyotoka/ vinalimwaardhinikwanjiayaasili (organicfoods)hivyoniborazaidiya vilevyaviwandaninavinavyochakatwa kupitakiasi.Bilakusahauumuhimuwa majikatikammeng'enyowachakula, usafirishavirutubishokatikamwili, msukumomzuriwadamu. Unashauriwaglasi8sawana Lita2au3kwasiku.

Watuwengiwanashindwakulalisheborakutokana nakuwanauhusianombovunavyakula; Lisheboranivileunavyopangilia sahaniyakonavirutubishoutakavyoweka.

MakalahiiyaLisheBora imenukuliwakutokakatikachapisholakwanza laSAUTIYASHUJAA,somoambalo lilitolewanaDkt.VictoriaMsambichaka, mtaalamuwalishekutoka HospitaliyaTaifaMuhimbili.

02 |
| SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita
|

MITINDO YA MAISHA

03 |

“HUUSIUGONJWA WAKUROGWA”

“NinaishinaSikoSelimiaka70sasa. Nikiwanamiaka15nilianzakuuguamarakwamara, awalihaikujulikanatatizolangunini,nilikuwanaishiwa damumarakwamara,nalazwakunanyakatipianiliongezewamaji,” anasimulia.

SHU
JARIDALA J
Said
EmmyMwita
AA
ArafaNaArafa
&

MITINDO YA MAISHA

“HUUSIUGONJWA WAKUROGWA”

“NinaishinaSikoSelimiaka70sasa. Nikiwanamiaka15nilianzakuuguamarakwamara,awalihaikujulikanatatizolangunini,nilikuwanaishiwa damumarakwamara,nalazwakunanyakatipianiliongezewamaji,”anasimulia.

Jamiiimegubikwanadhananyingipotofujuuyaugonjwahuu,wengihukimbiliakwawagangawakienyeji wakiaminiwamerogwaaukukumbwanapepowabaya;Pamojanahaowapowengineambaohuaminimgonjwa waSikoSelihawezikuishizaidiyamiaka18.

LakinimaishayaFatumaUbwa,MkaziwaBagamoyomkoanihapaniushuhudatoshakwambamtizamohuo sisahihi.MwanamamahuyoJuni,mwakahuuamesherehekeamiaka70yakuzaliwakwake,nimgonjwawa SikoSeli.

Zaidianasimulia....

“Nikiwanamiaka15nilianzakuuguamarakwamara,awalihaikujulikanatatizolangunini,nilikuwanaishiwa damumarakwamara,nalazwakunanyakatipianiliongezewamaji,”anasimulia.

Anasemakutokananahalihiyowazaziwakewalihisiamerogwanawapowanajamiiambaowalishauriapelekwe harakakwawataalamu{wagangawakienyejiakatibiwehuko}.

“Lakinibabayangualikataa,hivyoniliendeleakupelekwahospitalininahukobaadaeniligundulikaninaSikoSeli. Hivyo,nimezaliwanaSikoSeli,naishinayokwamiaka70sasa.”

AnasemaamejaliwakupatawatotowanneambaowaohawanaSikoSeli,vilevileamejaliwawajukuukadhaa ambaonaohawanaugonjwahuu.

Usowakeumejaatabasamu,kilaanaposimuliasimuliziyakewengihuvutiwanakustaajabunamnaganiameweza kumudukuishinaokwamiakayotehiyo?

Anasemawazaziwakewalizingatiakumpelekaklinikikilaalipohitajikanakwambaameishihivyoakizingatia maelekezoanayopatiwanawataalamuwaafya.

Fatumaanaongeza“SikoSelisiugonjwawakurogwa,hautokaninauchawi…mtuanazaliwanaopaleanapokuwa amerithivinasabakutokakwawazaziwetuwotewawili{babanamama};Tusiuonenikituchaajabuauugonjwa waajabuniwakawaidatu,Mungukeshatupatunapokea,”anatoarai.

Anasemawatuwasiwenawasiwasikuhusuugonjwahuo,hukuakishauri “Ukimuonamtotowako{anaugonjwahuu}mpelekehospitaliafuatiliweafya/haliyakeiliapatiwetibastahikina elimunijambolamsingihakikishaunampelekashulekamawatotowengine.

Anaongeza“KunawatuwapokazininawanaSikoSelinamiminilisomampaka'formtwo'{kidatochapili} ShuleyaSekondariMiembeSaba. “Zamanishulezilikuwambalizasekondari,lakininilishindwakuendeleaSikoSeliilinizidisana;Naninauchungu sanakwasababunilishindwakumalizalakininapendasana,nilitamaniniendeleelakinindiyohivyoilinibanasana,” anasema.

ShujaahuyowaSikoSelianasisitiza“Nawaombeeniduamlionamatatizohayampone, muendeleenakazizenuvizuri.”

“Madaktariwanguwotenawaombea,mnanisikilizavizuri,mnanitibiavizuri,nashukuruMungukwahilo.”

03 |
SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita

MITINDO YA MAISHA

MAISHA,SANAA NASIKOSELI

MartinDeusTheoalmaarufuShetaniwamguummojaauunaweza kumuitaChibaKismatinikijanawaumriwa miaka36,alizaliwa mpandaAgosti1985naalipofikaumriwamiaka2, wazaziwake waligunduakuwaanasikoseli,taarifaambazo walizipokea kwaugumukutokananakwambawaliambiwa kuwa ugonjwahuohaunatibanamwanaoasingeweza kuishikupitamiaka18.

ChibaKismatianatoasimuliziyakekwajaridalashujaa kwakuongezakuwa,baadayawazaziwakekuambiwa kuwaasingewezakuponanakuwaasingeishikwazaidiya miaka18,walichukuamaamuziyakugeukiakwenyetibaza Kienyejiambapoalipelekwakwawagangambalimbali,mikoa tofautitofautinchinihukuakipewatibazamadawayakienyeji kwaahadiyakuwadawahizozingetibunakuondoaugonjwahuo waSikoseli,anasemakuwaalitumiatibazaajabuambazohazikusaidiabalizilizidikudhoofishaafyayake,mfanokunawakati alishauriwakutumiakinyesikilichokaukakwamadaiyakuwanitibayasikoseli.Hayayoteyalitokeakutokananakwambayeyepamojanawazaziwakehawakuwanaufahamu naelimuyasikoseli.

SikoseliiliathiriMaishayakekatikaNyanjakamaelimu,alishindwakuendeleanaelimukutokananakuumwakwavipindi vyamdamrefuhadimiezi6,hivyoilimlazimukusitishaelimu yakepalealipofikakidatochasabandioikawakikomokwake lakinipiaanasemakutokananakupatavidondakatikamguuambachokilipelekeayeyekupataosteomyelitisnakupelekeakupotezamguukutokananamaambukizihayoyamifupa.BaadaealihamakutokampandanakuhamiaDaressalaamambapoalikuaanapata matibabukatikaklinikiyaWatotopaleHospitaliyaTaifaMuhimbili. KatikaKukuakwakeanasemaalihisikamawatuwalikuawanampuuza aswakutokananakuwanaulemavuwamguu,yeyekamamsaniiwa sanaayauigizajiinakuangumukupatakazinapiakutokananachangamotozaafyanapiakukosaelimukulipelekeaMaishayakekuwadunikutokananakukosakazinahivyoakaamuakuingiakatikatasniayauigizaji lakininahukopiaalipatachangamotokutokananahaliyakeyaulemavu. Chibaanakanushakauliyakuwamtumwenyesikoselihawezikuishi

miakazaidiya18kwa kusemakuwa,yeyeanamiaka36nayupo,anahimizakikubwani kupataelimunakuzingatia ushauriwamadaktarinalisheboranakuepukakazinzitokupita kiasi;anatoaushaurikuwainawezekanakuishimiakazaidiyamiaka70piaanahimizakuwepo seminamkoakwamkoa,nchini.

Pamojanakuwanasikoselianasemahawezikukatatamaakwanianatumiafursazausaniikatikakuelimishaumma kuhususikoselinapiayeyenibabawafamilianaanategemewakamakichwachafamiliayakehivyosikoselihaijamzuiakuwanaMaishamazuri.Anafuatiliamatibabukwakuhudhuriakliniki,anazingatialisheborapamojanakanunizaafya,anashukurumadaktari,jumuiyayaSikoseliTanzania.Inaendelea...

_
03 |
SHU AA JARIDALA J
NaArafaSaid&EmmyMwita
Arafa

MITINDO YA MAISHA

...jumuiyayaSikoseliTanzania.Inaendelea... LengokuulakuwanataasisiyaChibaKismatinikutoafursanajukwaakwawasaniiwenyeulemavuna kuondoamatabakanaunyanyapaauliopo.Yupokwaajiliyajamiinakwalengolakujitoakwajamii. Anategemeakutoaelimuzaidikupitiataasisiyakeyachibakismati;kuanziamikoayaArusha,Tanga, PwaninaZanzibar.Anaombaserikalikuangaliawatuwenyesikoselikwasababuugonjwaniwamdamrefu, anaombawizarahusikaiwasaidiekatikakup-unguzagaharamazamatibabunakuwajumuishakatikabima. MatarajioyakenikutumiasanaayakekufikishaujumbekwawanajamiikuhusuSikoseli.changamotoni kukosamiundombinunarasilimalizakuwezeshakazihiyoyauhamasishaji.

Ujumbewakekwajamii,wasikatishewatuwenyesikoselitamaanakusemakuwahawawezikuishi mdamrefukwaniyeyenimfanotoshakuwaameishimpakasasaanamiaka36,nawenginewengi wenyemiaka60,70,90nakuendelea;Piaanawahasawanajamiiyasikoseliwasitumiesikoselikama kudekanakurahisishaMaishayao,wafanyekazizaokwabidiinavizurikwaniSikoseliniugonjwa kamamenginetu.

KUWAMJANJA KILAZA

AboubakarJumaKilaza,Miaka35niMsaniiwaMuzikiwaBongoFlava; naSikoselinakwasababuwazaziwalipataelimukuhusu kealikuanimuuguzinaBabayakealikuanimuuguzi;kutokananakwambawazaziwakewalikuanaufahamuwasikoseliwalijitoakatikayeyekupatamatibabu,walihangaika katikazahanatimbalimbalikutafutamatibabunahatimaewalifikaHospitaliya Muhimbili,hapondipoalipopatamatibabuyakenakuanzaklinikiyasikoseli.Kuwa naSikoselihakukufanyaajionetofautina waanahitajikakumezadawakamaFolics dhuriakliniki.

Alizidikukuanakuelewahadikupelekeayeyekuwabaloziwa Tanzania.Anasemakwaujumlahajaathiriwanasikoselikabisakwani Sikoselikwakeimekuakamafursayakuwakijanamwadilifunakuepukamakundikamayawavutabanginamamboambayoyanaendakinyumenajamiinapiakwakuwaanafanyakazizasanaa mpafursayakutumiasanaayakekatikakuhamasishaummakuhusu Sikoseli.Yeyekamamsaniianawakilishanakuelimishakuhusu koselikwenyenyimboanazotunganaanapendakujulikanakwa jinalaMr.SickleCellKilanyimboanayotoaanawekajinahilo kamautambulisho.

Anasemayeyehawezikuonekanadhaifukwakuwafamiliayakeanaiendeshamwenyewe,anaongezakusemakuwaSikoselihaimfanyikuwadhaifukwanihatabilaSikoselimtuunawezakuwadhaifu.AnahudhuriaklinikinaanafurahishwanahudumazinazotolewalakinipiaanaombaserikalipamojanajamiiitambueSikoselinawashirikianekatikakuboreshanakuimarishahudumazamatibabuyaSikoseli.

_
03 |
SHU AA JARIDALA J
NaArafaSaid&EmmyMwita
Arafa

MITINDO YA MAISHA

SEPTEMBA,MWEZIWA UELEWAWASIKOSELI.

Kwawasiojuanakwafaidayawanajuasiombayatukikumbushanakuwamweziwaseptembanimweziwakutoa uelewanaufahamujuuyaugonjwawaSikoseliduniani.HivyoTaasisiyaSickleCellDiseasePatients'ofTanzania kuungananataasisinajumuiyakimaifailiadhimishasikuhiyokwakuandaamatukiombalimbaiyauhamasishaji, uelimishajinakutoauelewajuuyaugonjwawasikoselinchiniikishirikiananataasisinawashikadaukatikasekta yaafya.KamajumuiyayawagonjwawasikoseliTanzanianakamawanaharakatinawashikadaukatikaelimuna ufahamujuuyasikoseliwaliandaaJukwaalaMashujaamkoaniPwani,wilayayaMkurangakushirikiananaHospitaliyaWilayaMkurangalengokuulajukwaahililikiwanikutoafursayamajadilianoyawazikatiyawanajamiiwamkuranganawataalamuwaafyakuhusuSikoselinapiawataalamuwaliruhusuwasaawamaswalinamajibuambapochangamotombalimbalinaImanipotofuzinazozungukaugonjwawasikoselizilijadiliwanakutolewa majibusahihiilikuelimishawahudhuriaji;piawahudumuwalitoafursayaushaurinasahakwamtummojammoja. TamashalaJukwaalaMashujaalilifuatiwanatukiolamnamotarehe27,SeptembaambapotaasisiyaSCDPCT iliandaaUpimajiwaSikoselibureikishirikiananaHospitaliyaWilayaBagamoyonaZahanatiyaMwaviiliyopo katayafukayosi,mkoaniPwani,upimajihuuuliambatananaushaurinaelimujuuyasikoseli, piaSickleCellDiseasePatients'CommunityofTanzaniakushirikiananawafadhiliwakewalifanikiwakuwafadhili bimaWatotowaliochiniyaumriwamiaka16,BimazaafyazaNHIFilikuwasaidiakupatamatibabukwagharama rahisinapiakuwahamasishakuhudhuriaklinikizasikoselikwamatibabusahihiilikuboreshaafyazao.Mwezi septembaulifungwanakampenizasautiyashujaa,ambapotulipokeavideombalimbalikutokakwawanajamii, madaktarinawauguzi,washirikakatikasektayaafyawakitoaelimunaufahamujuuyasikoselikwawanajamii kupitianjiayavideo. Septembailinoga,tunakukumbushanakuhamasishakuwausikosekushirikiharakatihizikwamsimumwingine waseptembayanimwaka2023kwaniyajayoyanafurahisha.

03 |
SHU AA JARIDALA J ArafaNaArafaSaid&EmmyMwita

MITINDO YA MAISHA

CHANGIADAMU, OKOAMAISHA.

MajiniuhailakiniumewahikukaanakufikirikuwaDamuniuhaipia? Tukizidikuhimizajamiijuuyaumuhimuwakuwanaufahamunauelewawasikoseli,tungependakuwakumbusha piakuwazaidiyawatu100,000uzaliwanaugonjwawasikoselikilamwakanaTanzanianimojawapokatiyanchi ambazozinaongozakwakuwanaasilimiakubwayawatuwenyesikoseliduniani. Mgonjwawasikoselianawezakuhitajimpakauniti100zadamukwamwakakwaajiliyamatibabuyaatharizinazotokananaugonjwahuo.

Hakunaaliyewahikupungukiwakwakutoanapiakutoakutokamoyoninizawadikwamuhitaji;kukosadamuni mojawapoyasababuzinazochangiakatikakupotezaMaishakwawagonjwawengiwasikoselikwasababukwao damuniuhai.

UnawezakuwamwokoziwaMaishayawengikupitiakuchangiadamu,unawezakuokoaMaishayamtualiyepata ajaliyagari,mgonjwawasaratanianayehitajidamukwamatibabuyake,zaidikwawagonjwawasikoseliambao wanahitajidamukwaMaishayaoyoteilikuishi.

Faidazakuchangiadamunipamojanakuchangiadamunifaidakwamoyowabinadamukwanikwakuchangia damuutawezakuulindamoyowakonamaradhiyamoyokamavileshinikizonakugandakwadamu.Piautapata kujuahaliyaafyayakokupitiavipimovinavyofanywakablayakutoadamu,pianifurahakujuakuwakupitiakuchangiadamuunaokoaMaishayawenginifurahayakuishinakujitoakwaajiliyawenginewenyeuhitajikwenye jamii.

Kuchangiadamuniburekabisa,hakunamalipounawezakuwashujaawamtukwakuchangiadamunakuokoa Maishayakeburekabisa.Fikirianilinimarayamwishoulipatakutoamsaadaburebilakulipiagharamayeyote bilakuhitajikashahadayeyoteauubunifuwowote. Mwishoniniseme,unapochangiadamuunaongezamwakamwinginewaMaishakwampokeajidamu,unatoasiku ingineyaMaisha,sikuingineyashereheyakuzaliwa,zaidiunaongezasikuinginechiniyausikuwanyotauliojaa tabasamunaafya,unatoanafasinyingineyakutimizandotonaunatoazawadinyingineyaMaishakwawapendwa wampokeajidamu. Hivyonikuhimizechangiadamu,okoaMaisha…Timizandoto.

03 |
SHU AA JARIDALA J
NaArafaSaid&EmmyMwita
Arafa
Umuhimuwa UchangiajiDamu

matukionamaisha.blogspot.com

MATUKIONAMAISHA

Kwahabarinamakalaza kinakuhusumasualambalimbaliyaafyana jamiitembeleajukwaala matukionamaisha.blogspot.comni akaunti iliyotambuliwakwatuzona BarazalaHabariTanzania(MCT)mwaka2021 jukwaaborakatikakuripotimasualayaafyaTanzania,

AidhaMmilikiwakeVeronicaMremamwaka2021alitunukiwa tuzonaShirikisholaVyamavyaMagonjwa YasiyoambukizaAfrikaMashariki miongonimwawaandishiborawanaoripotivema.

04 MATANGAZO SHU AA JARIDALA J
Said&
Mwita
ArafaNaArafa
Emmy

BLACKART

04 MATANGAZO SHU AA JARIDALA J
NaArafaSaid&EmmyMwita
Arafa
SHU AA MAGAZINEJ WithArafaSalim&EmmyMwita | Meals on Wheel is a private registered enterprise that offers catering services for more than three years now Meals on Wheel works to make any event or meal time a delicious one 04 MATANGAZO
SHU AA MAGAZINEJ WithArafaSalim&EmmyMwita | 04 MATANGAZO +255743222145
SHU AA JARIDALA J NaArafaSaid&EmmyMwita Ahsante kwa kusoma Tufuatilie kupitia IG: @sicklecellpatientstz FB: Sickle Cell Disease Patients Community of Tanzania

Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.