ua wa ukanda wa chuma Ua wa ukanda wa chuma “Kasaine” uliowekwa ukizunguka nje ya shamba hutoa kelele ya chuma isiyo ya kawaida unapopeperushwa na upepo. Huakisi mwanga wa jua au tochi kwa ndovu wanaokaribia hivyo kuwa kizuio cha sauti na kelele.
Ua huu huundwa kwa vipande vyepesi vilivyokatwa kutoka kwa vipande vya mabati ya kuezekea vikiwa vimefungwa kwa waya. Kenya - Njia ya Wanyamapori ya Kasigau, Sasenyi
Kizuio bora kwa bajeti ya chini ambacho wakulima wanaweza kutengeneza wenyewe kutoka kwa vifaa vinavyopatikana kote.
Von Hagen, R. L., et.al. (2020).Nyua za vipande vya chuma za kuzuia Ndovu wa Kiafrika (Loxodonta africana) Ulaji wa mazao katika Njia ya Wanyamapori ya Kasigau , Kenya. Jarida la Kiafrika la Ikolojia, 59(1), 293–298. African Journal of Ecology, 59(1), 293–298.
VIFAA VINAVYOHITAJIKA VYA UA
Mabati ya chuma (mabati), misokoto ya chuma au chuma nyingine yoyote ya mabati (chuma)
1.
Brashi ya rangi
Kifaa cha kukata mabati
Nguzo/miti ya kutumia kama nguzo
Ili kujenga ua wa kamba wa mabati/chuma, utahitaji kukusanya vitu vifuatavyo:
Waya ya kufunga
Koleo
Nyundo
Sepetu/jembe
Kama ilivyobainishwa katika Mwongozo wa Ujenzi wa Wildlife Works, 2021
Viua waduddu/mafuta ya zamani ya injini/ karatasi ya nailoni ya kulinda nguzo kutokana na mchwa
Futikamba
Misumari
Glavu nene za kazi za kukukinga