MUONGOZO WA UFUGAJI NYUKI NA USALAMA Ufugaji nyuki ni kutoa matunzo sahihi na ungalifu ufaao kwa mizinga yako ili nyuki waliokwepo wasiiache mizinga yao na wewe uweze kuvuna asali ya kiwango cha juu kwa usalama.
Uvunaji wa asali unafaa ufanywe na watu wawili hadi watatu, na mara nyingi hufanyika usiku, pale nyuko wanapokuwa wamepumzika ili kuepusha watoto na mifugo kung’atwa na nyuki. Ukiwa unavuna asali usiku, tumia taa nyekundu kwani nyuki hawaitambuai rangi nyekundu na pia wanakuwa na fujo pale wanapoona mwanga mweupe.
Epuka kufungua nyuki wanaokaliwa kama mvua au upepo. Miundo iliyopendekezwa ya mzinga inaruhusu salama uvunaji wa asali, bila kusumbua nyuki.
Kutunza mizinga mara kwa mara ili iwe misafi ni muhimu kwani nyuki ni wasafi sana na wanahitaji nyumba iliyo safi.
Mzinga wa masanduku
Mzinga wa KTBH
Mzinga wa Gogo
Mavazi ya Kinga Ufugaji nyuki unahitaji seti nzima inayojumuisha:
Hawatahamia kwenye mzinga ulio mchafu au ambao wanaishi wadudu wengine kama vile nyigu, buibui, nondo, mijusi au hata nyoka. Wapatie nyuki maji safi kila wakati kwani wanahitaji maji ili kundi la nyuki lifanye kazi vizuri, na maji yaliyochanganya na sukari (shira) wakati wa kipindi cha kiangazi.
1.
Ovaroli na taji la uso
Glovu
Viatu vya mipira (kama vinapatikana)