Utangulizi kwa Ndovu
SPISHI ZA NDOVU
Jifunze mengi kuhusu ndovu hapa
Kuna spishi 3 tofauti za Ndovu:
MAMALIA WAKUBWA ZAIDI WA ARDHINI
Ndovu wa Savana wa Kiafrika
Ndovu ni nini?
Loxodonta africana Ndovu ni mamalia wakubwa zaidi wanaoishi duniani – ni wa familia ya Elephantidae.
Ndovu wa Savana wa Kiafrika wana uzito wa hadi kilogramu 7,000 na husimama mita 3.5 hadi 4 kwenye bega. Mita 1
Hutambulika haraka kwa mkonga wake mrefu (mdomo wa chini na pua iliyo refu), miguu yenye umbo la mhimili, na kichwa kikubwa, chenye masikio makubwa bapa.
Wana miguu minne, hula majani na hubadilika sana.
Ndovu ni wa rangi ya kijivu hadi kahawia, na nywele za mwili wake ni chache na zimekwaruzika.
Wana pembe refu zilizopindika.
Futi 3
Ndovu wa msituni wa Kiafrika Loxodonta cyclotis
Mita 1
Futi 3
Kuna spishi 3 tofauti za ndovu.
Ndovu wa msituni huishi katika misitu ya mvua, na walitambuliwa kama spishi tofauti mnamo 2021. Ni wadogo kiasi kuliko ndovu wa Savana na ni nadra kuwa wakubwa kuzidi kilogramu 5,000. Wana pembe nyembamba zaidi, zinazoelekea chini na masikio ya mviringo zaidi.
ndovu wa asia Elephas maximus
Hupatikana sanasana katika savana, nyika, na msituni lakini huishi katika makazi mbalimbali, ikijumuisha jangwani, vinamasi, milimani, uwanda wa juu maeneo ya joto jingi na joto kidogo, barani Afrika na Asia. Miaka mia moja tu iliopita, kulikuwa na milioni 10 za ndovu wa kiafrika walioishi katika bara la Afrika. Kufikia 2016, hata hivyo, idadi yake ilipungua hadi 450,000 tu.
1.
Mita 1
Futi 3
Ndovu wa Asia hujumuisha spishi tatu ndogo: ya Kihindi, au bara (E. maximus indicus), Sumatrani (E. maximus sumatranus), na ya Sri Lanka (E. maximus maximus). Huwa na uzito wa takribani kilogramu 4,000 na wana, urefu wa bega wa hadi mita 3.