Basi hauna budi kukisoma kitabu hiki cha Masuala ya msingi katika ufugaji wa Ng’ombe. Kitabu hiki kimeandikwa kwa lugha inayoeleweka kwa urahisi. Kina zaidi ya picha 200 na michoro ambayo inafanya taarifa kuwa wazi na za uhalisia. Mambo ya Msingi ya Ng’ombe hufanya mfugaji yeyote wa ng’ombe wa maziwa kuelewa usanifu wa kuhudumia ng’ombe wa maziwa na mifugo wadogo, kwa taswira ya ng’ombe mwenyewe.
te d
Unavutiwa na ng’ombe wa maziwa na labda unawahudumia mara kwa mara? Je unataka kuelewa vyema jinsi ya kuwahudumia ng’ombe? Kuhakikisha wana afya njema, wanazalisha, na kukua vyema au kutoa maziwa mengi?
Toleo la Afrika Mashariki
ec
Kinalenga haswa mtu anayefanya kazi na ng’ombe wa maziwa na kuwekeza kwenye ng’ombe wa maziwa.
Cow Signals Msingi
ot
Toleo la Afrika Mashariki
Cow Signals Msingi Toleo la Afrika Mashariki
Cow Signals Msingi
Profesa Bockline Omedo Bebe, Chuo Kikuu cha Egerton
op
Profesa Charles K. Gachuri, Chuo Kikuu cha Nairobi
yr
Wahariri wa maudhui ya cow signals - msingi –wahariri wa toleo la afrika mashariki:
ig
ht
pr
Jan Hulsen, mhariri na mtaalamu wa ng’ombe
David Maina, Perfometer Agribusiness Ltd Peter Ngure, Kampuni ya Mauzo na Uchapishaji ya The Olive
C
Mradi huu umefadhiliwa na:
www.cowsignals.co.ke
www.roodbont.com
www.vetvice.com
www.cowsignals.com
Kuelewa wanachohitaji ng’ombe ili wawe na afya na kuzalisha ifaavyo Jan Hulsen