Big up kwa ma-fans wote wa Shujaaz.FM comic, tumeendelea ku-grow sababu ya kupata encouraging messages kutoka kwenyu through SMS, Facebook na Twitter.
Vijana w zao na
M me kw
Shujaaz.FM comic hutokea every 1st Saturday of the month. Tegea na mabeste wenyu ili tupate ideas ya kuendelea kama vijana!
Credits How is you DJ B, hiyo story ya vijana kujiinua kimaisha imenibamba sana, mine am employed but every end of month when I get my salary I use 50% & 50% na keep because I want to employ myself . Zeddy Moi’s bridge. Niaje DJ B, imagine mi huwanga chuo na venye nilikam home nilichop hizo mag za Shujaaz na maze zinani kimbia kwa damu as in zimenijaaz. Saa hii na-feel tu mi ni Shujaa. Kip it blazing Boyie. Beth Agonya, Kisii. Hi DJ B, nimekuwa nikisoma Shujaaz.FM kwanzia chapta 1-5 hadi na-wish kungekuwa na channel kwa TV inayoitwa Shujaaz TV ndiyo niwaone kila siku. congratulations.Shujaaz FM, kusema kweli nyinyi ni mashujaaz. Denzel. Bungoma. It was ma first time to read and can’t wait for the next chaptas. God bless you for your work. Noeline Kaptich. Ever since hii samo ya magazine ya Shujaaz itokee i have learnt many things and ma life has tremendously changed alot big-ups 2 u waaaseiye!! Obiero Edwin As long as Charlie Pele and the Sangoma-beliver Dad are in you can repeat it to eternity coz he is crazziiy!! Sasha Manka Kalonje. Nacheki hiyo picture Shujaaz DJ B ukiongoza uki-raise flag ya Kenya na support ya familia nzima ya Shujaaz. Tunaangaziwa na upya wa Kenya kwenye future na hiyo nyota . Shujazz niko pamoja nanyi na mabeste wangu. Bila shaka. Asante kwa nakala safi ya hayo majuma manne. Nilifurahia kuisoma na ku-share na mabeste wangu! Hellen Mukosi Thanks for the Shujaaz mag, ilini-uplift sana to think about mambo ya bizna although nimeenda college but sijawahi get job, thanks kwa kuni-boost morale... Miriam Mwangi. Am gonna try on your ideas. Maze bro wa mine anakugotea na anani-show kuwa amependezwa na hiyo idea ya ku-paint kuku ziwe pink.. Keep it up with your ideas. Patrick Kay Ngetich. 16
Thanks for you inspiration. We student’s council i it’s working very w Mombasa
Idea za ku-make dooh Hi DJ B! nina idea ya ku-make chapaa, ningeambia wasee ati waanze ku-keep doves ama rabbits alafu wazikinde na wapate machedas na waendelee na life. DOMNIC R Nina idea ingine ya kumake doh. Kama hauna job tafuta tuwaya na ku-make tu-toy then uzia watoi kwa bei safisafi au sio ma-youth.
Walio na kwa messages zao wamejishindia T-sho ya Shujaaz.FM. Congra mashujaa!!! Endelea kunitumia ideas poa poa kama hizi juu ya Shujaaz kwa kuni-SMS on 3008, Facebook: Djboyie Shujaaz na Twitter: Shujaaz. Tuendelee kujijenga sisi vijanaa ili tujenge Kenya yetu!!!