Skip to main content

02.d - Charlie Pele

Page 1

likizo imeisha! vijana wangu hawatakaa nyumbani fwaa!

unajua, meneja hafai kuchelewa...

lakini baba...

boss alisema ataniita. ofisi yetu inahama...

kwanza huyo coach kabila yao ni ile mbaya...

14

unaenda wapi?!

badala ya kuwa hardworking uwe meneja kama bratha yako kila wakati ni mpira mpira tu!

mwagilia shamba maji. shika bucket!!!


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
02.d - Charlie Pele by Shujaaz - Issuu