Biblia hii inayovutia yenye vielelezo vya rangi iitwayo Yeskids imeandaliwa maalumu kwa watoto wa Yeskids! Kila hadithi imefuatiliwa na maombi kumsaidia mtoto aunganishwe na Mungu; kithaminisho cha Kikristo na mchezo wa kubahatisha ambao unakazia hiyo hadithi. Kitabu hiki kitawasaidia watoto wawe Yeskids. Mtoto wa Yeskids husema Ndiyo kuu! Katika kumfuata Yesu na katika kuishi maisha mema na ya furaha.
Mwongozo kwa wazazi: YesKids kimeandaliwa kwa kuzingatia hatua za kukua za mtoto wako na silka yake ya kipekee. Kinasaidia katika kujenga imani, maneno ya kuongea, na hata ujuzi wa kusoma na maendeleo ya kihisia. Kwa maelezo kamili ya alama fungua ukurasa wa 108 hadi 109.
Hatua za maendeleo
Silka za kipekee
Kujenga imani
Msamiati
Usemi
Ujuzi wa kusoma
Ujuzi wa kusikiliza
Mapendekezo namna ya kufurahia kitabu hiki na mtoto wako: • Someni hadithi ya Biblia, • Ongeeni juu ya hadithi na Vithaminisho vya Kikristo wewe pamoja na mtoto wako, • Chezeni mchezo wa kubahatisha na • Tamkeni maombi kwa pamoja.
Kwa kadri wewe na mtoto wako mnavyokuwa karibu na Mungu, ndivyo hivyo mtakuwa karibu kila mmoja kwa mwenzake.
The YesKids Bible – Stories and Prayers (kiSwahili)
ISBN: 978-0-10920-592-4
www.christianmediapublishing.com