National Housing Corporation (NHC) Newsletter

Page 19

PICHA Mkurugenzi wa Fedha wa NHC Felix Maagi akikabidhi hati ya umiliki wa nyumba za makazi za Medeli, Dodoma kwa Mkurugenzi wa Utawala na Raslimali watu wa BOT Bw Leonard Kisarika. BOT imenunua nyumba katika mradi huo kwa ajili ya wafanyakazi wake.

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Bi.Zakhia Meghji akizungumza kwa ufupi mbele ya wageni waalikwa mbalimbali wakiwemo baadhi ya Wakuu wa Mikoa na Wadau mbalimbali kwenye jukwaa la Uwekezaji wa sekta ya nyumba.

Wabunge na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiwasili katika eneo la Kunduchi Range (Tanganyika Packers) kilichokabidhiwa kwa Shirika la Nyumba na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ) na baadaye kuelekea mradi wa Kawe City

www.nhctz.com

17

JULAI - DESEMBA 2014

/Nyumba Newsletter


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.