Shujaaz25.pdf

Page 1

SHUJAAZ_C25.indd 1

16/02/2012 18:16


SHUJAAZ_C25.indd 2

16/02/2012 18:16


uchaguzi wa amani

3 SHUJAAZ_C25.indd 3

16/02/2012 18:16


4 SHUJAAZ_C25.indd 4

16/02/2012 18:16


5 SHUJAAZ_C25.indd 5

16/02/2012 18:16


6 SHUJAAZ_C25.indd 6

16/02/2012 18:16


7 SHUJAAZ_C25.indd 7

16/02/2012 18:16


8 SHUJAAZ_C25.indd 8

16/02/2012 18:17


9

SHUJAAZ_C25.indd 9

16/02/2012 18:17


Sasa nita-do, imagine Asif na Popo wameni-ask tuende date.

Nini iko hapo ya kufikiria? Enda na Popo, nim-cool lakini Asif atakupeleka date kwa library. Plus Popo ni m-tall, m-hot na yuko na swaga

Enyewe mi na Popo tuna match!!!

Nisha-make decision, nitaenda na Popo.

eeee, kama chapo na ndengu!

10

Sooo, unafikiria kuchagua nani?

SHUJAAZ_C25.indd 10

16/02/2012 18:17


Sasa Asif, Sato sitakuwa available, nitakuwa busy sana.

N-n-ni sawa tu, labda siku ingine.

Hata hio siku nitakuwa busy.

Wawawawa! Kazuri come ucheki hii top.

Eish Jipesh, wacha haraka, utamvunja mkono!

Nakaa aje?? Popo akiniona kwa date ata-tupa mbao?

Ulisema unanipenda, sa umeni-dunga ball, hau-pick call zangu! Fathe amesema nihame home, Unataka nifanye nini?

Si ule ni Popo?

SHUJAAZ_C25.indd 11

11 16/02/2012 18:17


ehe ehe‌ ongea kwa sauti ndogo

niongee kwa sauti ndogo, ukinipea ball sauti yako haikuwa ndogo!? eehh eeeh!? Popo! come hapa uniongeleshe ka mwanaume Niaje Kazuri, si unakaa poa.. Hile date yetu bado iko?

Kwenda huko, kwani unadhani Kazuri ni mjinga aje? We mrefu hadi ngozi yako haitoshi mwili, Shingo refu hadi ikona elbow!!!

Ati???

Usahau Kazuri, usiwahi kumuongelesha tena. Umesikia?

SHUJAAZ_C25.indd 12

Si huyu dame yuko na teke! Lazima nimwai nangos.

Wewe ni fala sana!

16/02/2012 18:17


Mbona mimi?

sahau story ya Popo, ni msee amenyimwa akili na akapewa ujinga kikapu nzima!!

Si wewe, Popo ni mjinga tu, yeye ni wale wasee wana-muka na Musi, chapa na swaga, lakini ungem-date unge-get mtoi haujapangia au ugonjwa. Angeku-spoilia life bure.

Usijali, come tuende tu-buy chipo.

13 SHUJAAZ_C25.indd 13

16/02/2012 18:17


14 SHUJAAZ_C25.indd 14

16/02/2012 18:17


SHUJAAZ_C25.indd 15

16/02/2012 18:17


centerspread 1

16 SHUJAAZ_C25.indd 16

16/02/2012 18:17


17 SHUJAAZ_C25.indd 17

16/02/2012 18:17


18 SHUJAAZ_C25.indd 18

16/02/2012 18:17


19 SHUJAAZ_C25.indd 19

16/02/2012 18:17


maria kim [info box]

SHUJAAZ_C25.indd 20

16/02/2012 18:17


21 SHUJAAZ_C25.indd 21

16/02/2012 18:17


SHUJAAZ_C25.indd 22

16/02/2012 18:17


23 SHUJAAZ_C25.indd 23

16/02/2012 18:17


24 SHUJAAZ_C25.indd 24

16/02/2012 18:17


25 SHUJAAZ_C25.indd 25

16/02/2012 18:17


JI MA KI A NI H

fathe! tumefika! lakini ai, hii mlima inaniumiza! nipe maji tafadhali...

bobo! ingia, ingia, tutatuma charlie kuchota maji...

taabu, ndio huyo kaka wako na jamii yake wanaingia kusherehekea ndoa yako...

amekuja na jamii yake yote!

charlie! wachana na hiyo mpira ya uchafu uende kuchota maji!

SHUJAAZ_C25.indd 26

lakini, mbuyu, niko na game hii afte, na nikienda kuchota maji nitachelewa!

labda haukunielewa, hiyo haikuwa swali! enda utuletee maji!

16/02/2012 18:17


nikikimbia, labda naweza kurudi in time kucheza second half ya match yetu!

walai! sifiki!

ah!

ndio hiyo waterhole!

haiya, mbona huzuni? kuna shida gani hapa?

tutafanya nini sasa?

kuna well tofauti mbali kidogo na hapa...

twendeni huko basi!

pump imevunjika! na hatuna usaidizi...

27 SHUJAAZ_C25.indd 27

16/02/2012 18:17


njia ndio hii...

tumefika!

yei!

aaaah! Sasa hii mlolongo! tutakuwa hapa hadi kesho!

28 SHUJAAZ_C25.indd 28

16/02/2012 18:17


AlA! charlie anarudi nyumbani usiku???

pump ya hapa ilikuwa imevunjika... ...puff...

Kumbuka, W.H.O. ina-recommend kila mtu anafaa kuwa na access ya maji less than a km kutoka nyumba yake.

tukaenda mbali na kulikuwa na watu wengi kwa well...

huff...

...ndio hii maji yenyu...

lakini, hujui kwamba ni haki yako kuwa na supply ya maji yenye si shida?

hahaha! yenyewe, hata sisi pale mjini tuna shida ya maji.

ei!

WATOTO! wacheni kurukaruka kwa nyumba!

charlie??? sasa ndio unafika? umechelewa!!!

puff...

chicks za pink!

mama watoto! maji imefika! tupikie chai!

na uoshe nyumba pia! nioshe nyumba na hii maji kidogo ???

29 SHUJAAZ_C25.indd 29

wacha niulize dj B juu ya hizi haki kuhusu maji...

16/02/2012 18:17


Kila mtu yuko na haki ya ku-complain kwa district water officer juu ya shida ya maji.

Kama bado unaona haujahudumiwa, enda kwa Local Water Service Board.

sasa, hadithi yetu inaendelea sokoni...

...na sasa nataka kuwakumbusha tu, juu ya yote nitawafanyia mkinipa kura zenyu na kunichagua tena.

...mali!

na maji?!

...masomo! ...mavazi!

...matunda!

maji!

no water, no votes! naam!

Matunda itatoka wapi bila maji? ...Tunajua Haki zetu kila mtu anafaa kuwa na maji kilometer moja kutoka nyumba yao!

...na hiyo si hali ya mambo wakati huu! utatuletea maji???

hakuna kura, bila maji!

20 30 SHUJAAZ_C25.indd 30

16/02/2012 18:17


N, CHUKUA ACTIO KUWA SHUJAA! Ni haki yako ku request information juu ya issues za ku-kosa maji. DON’T ACCEPT SECOND BEST – TAKE ACTION!

oa :

! IONenu; T C A CHUKUA ay

Mkumbuke pia ku-elect leaders wale wanaleta maendeleo ya area yenu na si ku-make ma-promises tupu!

1

kam a

Pia unaweza complain kwa Local Water Service Providers, hata kama ni kampuni private.

r e vip ji a ki mi it u z a h

5

ma Kama kuna shida ya

pump nds ime-spoil, au unaona fu

2

3

Ukiona bado complaints zako hazisikizwi, enda kwa District Water Officer u-raise issue yako.

Kama bado unaona haujahudumiwa, tuma au enda kwa Local Water Service Board ya area yenu, kuna kadhaa Kenya.

4

Kama umefuata hii process yote na haujashughulikiwa, unaweza andikia WASREB na ucheki website yao u-download complaint form. WASREB CONTACTS: Tel: 254(0)202733559/61 Email: Info@wasreb.go.ke Website: www.wasreb.go.ke

Tuandikie kwa FB utuambie juu ya experiences zako hile time ulicomplain juu ya maji.

31 SHUJAAZ_C25.indd 31

16/02/2012 18:17


SHUJAAZ_C25.indd 32

16/02/2012 18:17


Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.