Chapter 126

Page 1


2


3


4


5


6


7


8


9


10


11


12


13


14


15


Sangoma ni m-sick! leo siku ya soko watu ni wachache!

kwasababu ya social distancing!

tumeosha mikono mara ngapi leo?

Kidogo...

16


ah! baba charlie! 50 bob pekeE! ata hautavaA hiyo mask tena!

50... sangoma! bob tu...? mpatie mimi... unaeza kutu-sh0w hii dawa yako imetengenezwa na nini?

hii ni dawa ya kitambo sana! Ilitengenezwa na mababu wa mababu wa mababu...

17


baba charlie usiniteteE! mtajionea wenyewe!

ah! lazima alikuwa prophet!

oi! kama ni kitambo hivo walijuaje juU ya corona?

lakini sangoma... tunajua hakuna dawa ya korona. serikali imetuambia. world health organisation wamesema... wewe charlie kijana achana! huyu sangoma anajua chenye anasema!

siku kadhaA baAdaye...

nakufa aki!

18


Kidogo... uko na fever? unaweza kupumua?

sangoma uko aje?

dawa yangu haikufanya kazi!

hii ni corona!! wakati wangu umefika!

siwezi kupumua! sisikii harufu ya vitu! sina nguvu wala uwezo! sangoma tulia...

tufanye aje? tuite ule sangoma mwingine?

aii dad! hapana! kwanza tupige simu kwa hotline

719

eEh, ni mgonjwa lakini hatujui ni nini... helLo...

ana miaka kama 55

hapana hatujaenda karibu naye!

sawa, tutamuachia foOd na maji kwa mlango... aka kalipata wapi smartphone?

sawa!

mnakuja na ambulance?

Kidogo...

19


20


21


22


23


24


25


26


27


28


29


30


31



Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.