Asili ya Madhehebu katika Uislamu

Page 439

Asili ya

ya madhehebu katika Uislamu final Lubumba.qxd

Asili ya Madhehebu

7/1/2011

12:25 PM

Page 424

katika Uislamu

ma kuwa tohara ni pale aliposimama (miguu) na pale awekapo paji la uso kusujudu basi. (c)

Madhehebu ya Sunni wanasema kuwa kuswali mahali palipodhulumiwa ni sawa ingawa mwenye kuswali hapo anapata dhambi. Shia tunasema kuwa Swala kama hiyo inabatilika.

(d) Shia tunasema kuwa hairuhusiwi kwa wanaume kuvaa hariri asilia au pete ya dhahabu katika Swala (wanawake wanaruhusiwa). Shafii anasema kuwa katika hali hiyo, mwenye kuswali hivyo Swala yake ni sahihi lakini atakuwa katika dhambi. (d)

Shia tunasema kuwa katika Swala lazima mwanamke afunike mwili wake wote, isipokuwa uso, viganja na miguu (nyayo) yake. Hanafi na Maliki wanasema kuwa mwanamke anaruhusiwa kufunua uso na mikono na miguu (nyayo) katika Swala. Hambal wanasema kuwa mwanamke anaruhusiwa tu kufunua uso katika Swala.

(e)

Malik wanasema kuwa kuteremsha mikono katika ‘Qiyaam’ ni wajibu. Sunni waliobakia wanasema kuwa kufunga mikono siyo wajibu bali mwenye kuswali ana hiari atakavyo. Shia tunasema kuwa kuteremsha mikono ni wajibu. Hanafi wanasema kuwa mwenye kuswali anaruhusiwa (katika rakaa ya tatu na ya nne) kusoma Sura ya Qur’ani au kusoma ‘dhikr’. Madhebu zilizobaki za Sunni wanasema kuwa kusoma Alhamdu kila rakaa ni wajibu. Shia tunasema kuwa ni uchaguzi wa mtu kusoma Suratul-Fatihah au kusoma dhikr: Subhan Allah, wal Hamdu Lillahi, wa laa ilaha ‘ilallahu wallahu Akbar - mara tatu, katika rakaa ya tatu na ya nne. Rejea: Al Fiqh ‘ala al-Madhaahib al-Khamsah - cha Muhhamad Jawad Mughniyyah.

(f)

(g)

Shafii, Hanafi na Maliki wanasema kuwa ‘Dhikr’ si wajibu katika rukuu. Madhehebu ya Hambal na Shia yanasisitiza hiyo dhikri isomwe. 424


Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.