Asili ya Madhehebu katika Uislamu

Page 327

Asili ya

ya madhehebu katika Uislamu final Lubumba.qxd

Asili ya Madhehebu

7/1/2011

12:24 PM

Page 312

katika Uislamu

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Husein anatokana na mimi, na mimi ninatokana na Husein.” Rejea Musnad Ahmad, Jz. 4, uk.172, Fara’id Simtain, Mlango wa 30, Tabaqatul-Kubra, Jz. 8, Yanabiul-Mawadda na vinginevyo.Hadith hii ina maana, mbali na nasaba ya damu, kwamba Mtume (s.a.w.w.) ndiye aliyeleta Uislamu, kwa juhudi kubwa kabisa Bani Umayyah wamejitahidi kuufuta Uislamu kiasi kwamba wakati huo wa Imam Husein Uislam ulikuwa unafutika kwa kuingizwa mambo chungu nzima yasiyo ya kiislamu kwa maslahi ya utawala wa kifalme. Kwa kafara ya damu ya Imam Husein (a.s.) ndipo Waislam wakazinduka na kuuona ubaya wa Yazid na wakaanza baadhi yao kumuasi. Ndipo Uislamu ukasalimika, na bila ya kutoka Husein (a.s.) tusingekuwa na Uislamu huu. Imam Husein (a.s.) akiwa Karbala alisema: “Kama dini ya babu yangu haiwezi kusimama ila kwa damu yangu, basi enyi panga njooni mnichukue.” Hivyo Muharram ni mwezi wa msiba, na wakati huo huo wa kushukuru kubakia kwa dini ya Mwenyezi Mungu. (Mhariri) Maelezo haya si kama ninaondoka katika somo letu, bali nimekusudia kuonyesha kuwa mara nyingi tunaona viongozi wa Sunni wanapoeleza historia ya Uislamu, huishia kwa al-Khulafau Rashidun, wakati ambapo Uislamu una historia ndefu ya karne 14 hadi hivi sasa. Labda hali hiyo inasababishwa na ukweli kwamba mfumo uliotumika Saqifah Bani Sa’idah kumpata khalifa wa kwanza, ndio uliowawezesha madhalimu kama Muawiyah na Yazid kupata Ukhalifa! Nina maana kwamba, kama tulivyoona nyuma, hakuna Shura wala Demokrasia iliyotumika kuwachagua mabwana Abu Bakr, Umar, Uthman, Muawiyah na Yazid! Aliyechaguliwa kwa ridhaa ya watu ni Imam Ali Ibn Abu Talib (a.s.) peke yake. Huo ndio ukweli kwa kadri ya kumbukumbu sahihi za historia ya Uislamu. Kwa hiyo iwapo kwa mfano, wangetokea Waislamu wakati huo, wakahoji uhalali wa Yazid au Muawiyah kuwa khalifa, na ikawa Muawiyah au Yazid amepelekwa mahakamani, ni vipi hakimu angetofautisha mbinu za 312


Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.