Asili ya Madhehebu katika Uislamu

Page 251

Asili ya

ya madhehebu katika Uislamu final Lubumba.qxd

Asili ya Madhehebu

7/1/2011

12:22 PM

Page 236

katika Uislamu

Al-Ghadiir al –Amini, Jz. 8, uk. 98 An -Nass wa’l ijtihad, Sharafu’dDin, Uk. 284-289 (c) Muqqaddamah mir’aatu’l-uquul al-’Al-Askari, Jz.1 & 2. Uthman akiri makosa ya Abu Bakr juu ya urithi wa Bibi Fatima (a.s.): Katika utawala wa Uthman, Mama Aisha na Mama Hafsa walimwendea Uthman kudai urithi wao kwa Mtume (s.a.w.w.). Uthman alikuwa amenyoosha miguu kwenye kochi lake, akaamka na kumweleza mama Aisha, “Wewe na mwenzako mlimleta mwanamume fulani aliyeoga uchafu wake na kushuhudia kuwa Mtume (s.a.w.w.) alisema kuwa Mitume hawaachi urithi. Kama kweli Mtume hakuacha urithi kwa nini mnaulizia urithi? Na kama aliacha urithi kwa nini mlimnyima Fatimah haki yake?” Baada ya hapo bibi Aisha aliondoka akiwa amekasirika na kusema, ‘Mwueni Na’thal (kizee mjinga) amegeuka kuwa kafiri’. Rejea: Sharh Nahjul Balaghah, cha Ibn Abi al-Hadid, Jz. 16, uk. 220-223 Tarikh Tabari (3) Tarikh al-Kamil Yaliyopelekea kuuawa Uthman Ibn Affan: Utawala wa Uthman Ibn Affan ulijaa ukabila, dhulma na uonevu kwa raia wa kawaida. Magavana wake katika sehemu mbali mbali waliwaonea na kuwakandamiza raia.Kutokana na hali hiyo, kundi la Waislamu toka huko Misri walimuasi Uthman. Yeye Uthman aliona kuwa uasi huo ni wa hatari na kwa hiyo akamwendea Imam Ali (a.s.) kutaka ushauri, akiwa mwenye kuonyesha masikitiko kwa matendo yake hayo kwa raia. Imam Ali (a.s.) aliwaambia Wamisri kuwa, “Mmefanya uasi ili kuleta haki na ukweli katika maisha. Uthman ametubu maovu yake kwenu na amesema kuwa atabadili mwenendo wake katika siku tatu na kutekeleza matakwa yenu kwa kuwafukuza kazi viongozi waovu.” Imam Ali (a.s.) aliandika mkata236


Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.