Asili ya Madhehebu katika Uislamu

Page 113

Asili ya

ya madhehebu katika Uislamu final Lubumba.qxd

Asili ya Madhehebu

7/1/2011

12:20 PM

Page 98

katika Uislamu

sha maisha yetu, vimekusudiwa na Mwenyezi Mungu kutusaidia kumwabudu ipasavyo, na siyo tuvitumie kumuasi au kuvifanya kuwa ndilo lengo kubwa la sisi kuwekwa duniani. Kwa kadri ya (Qur’ani 42:20) tofauti yetu na wazungu ni kwamba, sisi tunajiita Waislamu lakini tunashika dini nusu na tunaikumbatia dunia! Matokeo yake tunavikosa vyote! Sina maana kuwa tuiache dunia kabisa! Nina maana kuwa dunia inatufanya tushindwe kumwabudu Mwenyezi Mungu kikamilifu. Lakini wenzetu wazungu, moja kwa moja wamechagua dunia kwa hiyo Mwenyezi Mungu amesema kuwa atawapa kikamilifu! Sisi tunakosa baraka kamili ya Uislamu kwa sababu tumeshika dini nusu tu au tumeitelekeza yote hali ya kuwa bado tunapenda kujitambulisha kuwa ni Waislamu! Ndiyo maana tunaikosa dunia na pia tunakosa baraka za Uislamu. Maana yake ni kwamba hatutafaidi dunia kama wazungu na wala hatutaifaidi akhera, bali tutapata hasara kotekote. Ukichunguza historia ya Uislamu utaona kuwa kila Waislamu walipomwabudu na kumtegemea Mwenyezi Mungu kikamilifu bila unafiki, katika vita vya jihadi, walipata ushindi hata kama maadui zao walikuwa wengi kiasi gani! Kwa maana hiyo ni kwamba kama tungemwabudu Mwenyezi Mungu ipasavyo, hata hivyo Vita vya Msalaba visingefanikiwa kuwaangamiza Waislamu ingawa inasadikiwa jeshi hilo la Crusades lilikuwa na askari milioni moja! Katika kitabu hiki tutaona kuwa, haitoshi sisi kujiita Waislamu bila kudumisha Uislamu wa kweli mbele ya Mwenyezi Mungu. Tunaweza kujiita Waislamu hali ya kuwa Mwenyezi Mungu alikwishafuta majina yetu katika daftari la Waislamu! Imam Ja`far Sadiq (a.s.) alikaririwa akisema kuwa: “Kiwango cha chini sana cha dhambi ya Shirk (ambayo haina msamaha) ni kuanzisha tendo potofu la dini na kuwapenda wanaolifanya na kuwachukia wasiolifanya.� Tukirejea kwenye somo letu la msingi ni kwamba baada ya Himaya ya Waarabu kuanguka, Waislamu walipoteza karibu taasisi zote za elimu. Kuanzia hapo (1270 A.D) wazungu wakaendeleza elimu hizo ambazo 98


Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.