Ebook tanzania tanzanian islam imân na uislam

Page 89

walivyosema, binadam kila anachotaka kinatokea basi Allâhu ta’âla angekuwa ameshindwa. Allâhu ta’âla yuko mbali na kushindwa yaani Hashindwi. Hata hivyo irade yake inakuwa. Ndiye pekee anayeumba kila kitu. Na hivyo alivyo Allahu ta’âla. Kwa watu kusema kama “mtu aliumba hiki,” “tumeumba hiki,” au “waliumba hiki” ni maneno mabaya. Inakuwa tabia mbaya dhidi ya Allâhu ta’âla. Na inasababisha ukafiri.[1] Tafsiir ya kitabu I’tiqâd-nâma inafikia hapa. Haji Fayzullah Efendi, mwenye kufanya tafsir hi, alikuwa anatoka Kamâh, mji wa Erzincan. Alifundisha kama professor kweny mji wa Soke (Uturuki) kwa miaka mingi, na alifariki dunia mwaka 1323 H. (1905 M.). Mawlâna Khâlid-I Baghdâdî Uthmânî ‘quddisa sirruh’, mtunzi wa kitabu alizaliwa 1192 H. kwenye mji wa Shahrazûr, kaskazini mwa mji wa Baghdâdi, na alifariki dunia kwenye mji wa Damascuss mnamo mwaka 1242 H. (1826 M.). anaitwa ‘Uthmânî kwasababu anatoka kwenye kizazi cha Hadhrat Uthmân Zannûrayn radhiyAllahu anhu’. Alipokuwa anamfundisha kaka yake Mawlâna Mahmûd Sâhib kuhusu hadith ya pili kwenye kitabu cha Imâm Nawawî Hadîth-I Arbaîn, hadith marûfu kama Hadîth Jibrîl, awlâna Mahmûd Sahib aliomba kaka yake kuandika ufafanuzi wa hadith hi. Mawlâna Khâlid ‘rahmatullah alaih’ alikubali ombi hili ili kufurahisha moyo wa kaka yake na akafafanuwa hadith hi kwenye lugha ya kiajami [1] kama ilivyoelezwa juu, harakati za binadamu za hiari, vitu vinavotokea bila hiari yake, hatta vile ambavyo hajapata kusikia, vinatokana na matukio ya kimwili, kikemikali na fiziolojia. Mwana sayansi aliyesoma na kufahamu vizuri anaona haaya mbele ya Mungu kusema “nimefanya hiki” au “nimeumba hiki” kuhusu vitendo vyke vya hiari. Lakini mtu mwenye elimu ndogo, uelewaji na tabia, haoni hahya kusema chochote katika sehemu yoyote. Allahu ta’ala anahuruma juu ya watu wote dunian. Anaumba kila wanachotaka na kuvituma kwa kila mtu. Anaweleza mambo mengi wanayofaa kufanya ili waweze kuishi kwa Amani na furaha hapa duniani, na kupata furaha ya milele badae kwenye maisha yajayo. Anaongoza kwenye njia sahih kila anayemtaka miongoni mwa wale walioacha njia sahih na kufuata njia ya ukafiri nay a uzushi bada ya kudanganywa na nafsi zao wenyewe (matamanio), marafiki wabaya, vitabu hatari na mitandao. Anawavuta kuwelekeza njia sahih. Lakini neema hi hawapi wale waliopindukia na kupita kikomo. Anawaacha ndani ya bwawa la ukafiri ambako walianguka na wakapendelea na kutoamani.

– 89 –


Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.