Visa vya Wachamungu

Page 80

Visa vya wachamungu final Lubumba.qxd

5/15/2010

8:55 AM

Page 74

Visa vya wachamungu Muhammad (s.a.w.w.) na Bibi Fatimah az-Zahraa (a.s.). Nataraji kitabu hiki kitathubutu kuwa cha manufaa na cha kufurahisha kwa wasomaji wote na kitawafanya wawe watambuzi zaidi wa uadilifu na ubora wa watu wetu wacha mungu na wale Ma’asum. Hadith hizi pia zinaonyesha umashuhuri wa dini yetu, yaani - “Uislam.” Natarajia vilevile kwamba marafiki zangu vijana wote watakaokisoma kitabu hiki watajaribu kwa uwezo wao wote kufuata njia na mwenendo wa watu hawa wachamungu. Ninawashukuru sana wazazi wangu wastahiki na wapendwa mno, ambao walinitia moyo na kuniongoza katika kuikamilisha kazi hii. Ninamuomba Mwenyezi Mungu Muweza kushusha rehma na baraka Zake juu yao. Vile vile ninamuomba Mwenyezi Mungu amimine neema na fadhila Zake kwa wasomaji wote katika kupata msukumo kwa kusoma zaidi na zaidi kuhusiana na mafundisho ya Uislam. Mwisho kabisa, ningewaomba wasomaji wote kwa kuwatafadhalisha kutuma mapendekezo yao kwa wachapishaji kwa ajili ya uboreshaji zaidi wa kazi hii, ili kwamba hayo yaweze kuingizwa katika matoleo yanayofuata ya kitabu hiki. Saba Zehraa Naqavii Tehran, 1992.

74


Issuu converts static files into: digital portfolios, online yearbooks, online catalogs, digital photo albums and more. Sign up and create your flipbook.