Asili ya
ya madhehebu katika Uislamu final Lubumba.qxd
Asili ya Madhehebu
7/1/2011
12:19 PM
Page 25
katika Uislamu
(a) “Na wote watahudhuria mbele ya Mwenyezi Mungu (ili awalipe); Hapo wanyonge waliopotea kwa ajili ya kuwafuata wakubwa zao waliojivuna watawaambia: ‘Hakika tulikuwa wafuasi wenu, je mnaweza kutuondolea kitu kidogo hivi katika adhabu ya Mwenyezi Mungu?’ Hao wakubwa zao watajibu kuwa, ‘Angalituongoza Mwenyezi Mungu bila shaka tungelikuongozeni. Lakini sasa ni mamoja kwetu tukitapatapa au tukisubiri hatuna pakukimbilia.” (Qur’ani 14:21).
(b) “Wakati wale waliofuatwa (viongozi) watakapowakana wafuasi (wao) huku wakiona adhabu yao (inayowasubiri); (hali ya kuwa) uhusiano wao (wa kidunia) umekatwa.” (Qur’ani 2:166).
(c) “Na wale wafuasi watasema: ‘Kama tungeweza kurejea (duniani), tungewakana kama walivyotukana.’ Hivyo Mwenyezi Mungu atawaonyesha matendo yao ambayo watayajutia majuto makuu, na hawataondolewa motoni.” (Qur’ani 2:167).
25